Makonda Akataa Kuomba Radhi Clouds Media Sababu Hizi Hapa

  Рет қаралды 176,049

Global TV  Online

Global TV Online

7 жыл бұрын

Subscribe / uwazi1
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesisitiza kwamba kamwe hataomba radhi kufuatia sakata la kudaiwa kuvamia Clouds Media, akidai kwamba hakuwa amefanya kosa lolote na kwamba yeye na Ruge ni marafiki wa siku nyingi.
Makonda aliyasema hayo mbele ya waandishi wa habari, wakati wakieleza hatua zilizofikiwa katika usuluhishi wa mgogoro kati yake na Clouds Media chini ya Ruge Mutahaba, kufuatiwa kufungiwa kwake na vyombo vya habari kutochapisha au kutangaza habari zinazomhusu.
Ruge ma Makonda, baada ya kuwa na bifu kwa muda mrefu, hivi karibuni walipatanishwa na mheshimiwa rais, John Pombe Magufuli alipokuwa kwenye mkutano mkoani tanga ambapo aliwaita wote wawili jukwaani na kuwataka wamalize tofauti yao.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers

Пікірлер: 203
@chunyaone2618
@chunyaone2618 5 жыл бұрын
Ruge ni mkubwa kwa makonda kwa kila kitu. Kwa umri, elimu, akili, pesa,.......
@sifasanga7866
@sifasanga7866 7 жыл бұрын
Nakupenda sana Luge....Mungu akubariki sana....Una busara sana
@billionairemuksini2981
@billionairemuksini2981 7 жыл бұрын
Alitamba ridhiwani enzi za utawala wa jakaya lakn sasa kapita, na ww jitawale lakn utapita pia linga tu na bro wako lakn mtapita tu na mm nitapita pia na wengine watapita tu, hakuna wa kuishi milele.
@ibrahimsheha215
@ibrahimsheha215 2 жыл бұрын
Tayari
@andrewyona2552
@andrewyona2552 2 жыл бұрын
Tayari ulichoongea kimetokea .. ubarikiwe sana!
@alfredcharles8029
@alfredcharles8029 2 жыл бұрын
Upo vizuri Bro utabiri wako umetimia
@godfreypaulo8355
@godfreypaulo8355 2 жыл бұрын
Uliona mbali
@sifatiiman
@sifatiiman Жыл бұрын
tayari uku washapita
@lightsgeorge3543
@lightsgeorge3543 6 жыл бұрын
saying sorry is a very simple thing but only the righteous abide to that...
@monilahhamisi8129
@monilahhamisi8129 5 жыл бұрын
Makonda kiburi sana tatizo nikukosa elimu iyo ndosababu shenzi ilo
@betrue33
@betrue33 5 жыл бұрын
agree
@monilahhamisi8129
@monilahhamisi8129 5 жыл бұрын
Sana
@teddykassinde4608
@teddykassinde4608 5 жыл бұрын
Yeah
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
Makonda ulijiona umefika sanaa leo kiko wap mweeh,ruge ulimkosea lkn hukumwomba msamaha sababu ya jeuli tu mbk kaondoka dunian,mtaonana mbele hko
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
Likiongozi lililokosa Elimu kaz sana kuongoza wananchi,linakuwa linajaa kibur tu looh,bashite ulibebwa tu mbwa ww leo yatakuludia yotee
@anwaralhabsi1424
@anwaralhabsi1424 5 жыл бұрын
Sura yake kavu aibu hana , kibri tu imemjaa
@manyweletheboss6053
@manyweletheboss6053 7 жыл бұрын
kwa nini hutaki kumuona na huyo kijana mwenzio madaraka yana mwisho but mwenzio bado ataendelea kupeta tu
@saidimaya3958
@saidimaya3958 5 жыл бұрын
Eti huyu ndiyo aliekuwa mstari wa mbele kwenye msiba wa Ruge???.....kweli Hata mchawi huloga kisha akaenda msibani aisee
@venamlowe3556
@venamlowe3556 5 жыл бұрын
Ruge is genius!!!! I love the guy, humble transparent and genuine. RIP Ruge.
@saidihaji3023
@saidihaji3023 6 жыл бұрын
kuomba msamaha kwa kosa ambalo hujatenda ni dhambi
@davidchungu1806
@davidchungu1806 6 жыл бұрын
Jamani kumbe sifuri INASHIDASANA. Yesu aliombaradhi kwakosa ambalo hakulifanyayeye!! sasa makonda ninani? 000000%
@yusuphkiponza4542
@yusuphkiponza4542 7 жыл бұрын
mwenzimungu humshusha chini ajipandishae juuu ya wengine.
@essaufrancis1266
@essaufrancis1266 7 жыл бұрын
sijaona kitu cha maana alichoongea makonda ,,,
@graciousjerry1322
@graciousjerry1322 7 жыл бұрын
mtu mwenye akili huomba msamaha ili amani ipatikane!! ndo maana wanasema mwenye akili akivuliwa nguo huchutama!! asa wewe kuchutama unaona nini? usichekelee kubebwa! kubebwa kuna mwisho haki tena!! kwan ni uongo hukuingia na silaha mbona tuliona clip jaman!! mh! kaz sana huyo baba achanen nae kolomije always z kolomije tu!!
@rdcongoproduction8796
@rdcongoproduction8796 7 жыл бұрын
Yaani makonda kila Leo wewe ndo wakusemwa...inakuweje..tunafaamu...maji...tayari..uliyavulia...nguo..nauka..yaoga..sasa...je...ya..bahari.nayonn.yana...kufika...mdomoni...makonda?...tengeneza...nchi...sio...marumbano...kila..ku kicha...jitahidi...👏👏
@lichilasalumu7983
@lichilasalumu7983 2 жыл бұрын
Daah makonda alizidisha kiburi aisee
@anthonymhando7402
@anthonymhando7402 7 жыл бұрын
Sometimes its better to have viongozi wazee tukiamini hao wanabusara, hapa tunazidi kuonesha vijana bado hatujajipanga kuongoza
@mariamohamed4870
@mariamohamed4870 7 жыл бұрын
Ajikwezae Mungu atamshusha
@mussaharun7257
@mussaharun7257 5 жыл бұрын
Mungu anaona
@lightuniversaltv2714
@lightuniversaltv2714 3 жыл бұрын
Hakika
@mohammedmhina3973
@mohammedmhina3973 7 ай бұрын
🙌🏽MUNGU ANATISHA NA KWEL IMETOKEA
@sameermilo4907
@sameermilo4907 2 жыл бұрын
15 / 11 / 2021 Karma day Rip Ruge
@lichilasalumu7983
@lichilasalumu7983 2 жыл бұрын
Rip
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 5 жыл бұрын
Tuseme alhamdulilah, kibuli siyo maugwana. leo upo kesho upo, duniani tunapita makonda wasukuma waugwana sana. unatuangusha
@rojakijana1162
@rojakijana1162 5 жыл бұрын
Majivuno ya makonda yata malizika pale Kaka ake atakapomaliza muda wake wa kuiongoza nchi
@mussaharun7257
@mussaharun7257 5 жыл бұрын
Ruge was a genius and very humble guy
@aliram2781
@aliram2781 7 жыл бұрын
Daah! Aiseee huyu jamaa anajiskia sn.
@alexlingwendu6780
@alexlingwendu6780 5 жыл бұрын
And now you will not be able to change your words in front of Ruge.R.I.P Ruge
@kingndinyo9764
@kingndinyo9764 7 жыл бұрын
IPP MEDIA IS THE BEST (ITV) Big Up Mzee Mengi hkn k2hapo Zeroo kabisa
@dullare
@dullare 5 жыл бұрын
Hypocrisy!! Long explanation for nothing.. Your body language speaks all!!
@edwardkasubi1495
@edwardkasubi1495 5 жыл бұрын
kiburi cha UZIMA hicho
@900ikipendezammary3
@900ikipendezammary3 7 жыл бұрын
Hazimtoshi! Huyu! Elimu Elimu Elimu.ndio msingi na weledi katika uongozi.#hawakukosea kusema kufanikiwa kwa mpumbavu ni kuangamia. Kwangu me naona wanajipendekeza kwa huyo jamaa bure na unawatia watu hasira Sana how are you eti .sintakaa niombe msamahaa! Uliwafuata kufanya nini sasa?
@HooDTvTz01
@HooDTvTz01 7 жыл бұрын
Subscribe me kwa habari Zaid
@abbasvictorrealbr7395
@abbasvictorrealbr7395 6 жыл бұрын
elimu mali sana jman
@magingijronlinetv2901
@magingijronlinetv2901 7 жыл бұрын
Huu ni upuuuuzi... hawa tef wanachojipendekeza kwa shite ni nn?
@georgemhando1246
@georgemhando1246 5 жыл бұрын
Ruge akili nyingi sn.
@michaelcanisius1615
@michaelcanisius1615 6 жыл бұрын
Big up mkuu upo sahihi nipe mkono wako wa Baraka
@cornelm9
@cornelm9 7 жыл бұрын
Hii press inatia hasira sana ..... Kwani mnajipendekeza nini kwa huyu jamaa?? Yan mnalazimishwa kuafiki kila kinachosemwa!!! kuwawaqe!.. Upumbavu tu!
@jeromesapi4933
@jeromesapi4933 6 жыл бұрын
Neno msamaha ni tusi kwa mtu mwenye kiburi bali li ndani ya mwenye hekima, na BWANA uwapandisha wasio haki ili awaangamize kabisa. AMINA
@bahatimmependezamwanginda5202
@bahatimmependezamwanginda5202 5 жыл бұрын
Kuomba msamaha ni roho ya Mungu, sasa usiombe msamaha kwan wewe ni Mungu
@aminizabron7985
@aminizabron7985 7 жыл бұрын
zero zero zeroooooooooooooooooo
@moseskisingi9625
@moseskisingi9625 7 жыл бұрын
Mlipoteza muda wenu bure, uongozi wa TEF mmejidhalilisha sana, I wish mngejua mnashughulika na mtu wa aina gani, poor waandishi wetu Mungu tu awatie nguvu!
@ezekielmirambo8704
@ezekielmirambo8704 2 жыл бұрын
Confidence is better than over confidence!
@jamesnkusi4668
@jamesnkusi4668 2 жыл бұрын
Kijyana Makonda kiswari cyako tafazari sio cyamu Tz .
@vincej9275
@vincej9275 9 ай бұрын
Makonda ana kiburi sana {pride}. R.I.P Ruge.
@johnbidya119
@johnbidya119 2 жыл бұрын
1/1 2022 rest in peace Ruge makonda sio mkuu tena sabaya yuko jela
@sifatiiman
@sifatiiman Жыл бұрын
na jiwe loshang'oka
@matowo1990
@matowo1990 7 жыл бұрын
Yani ni bora ukose kiungo chochote mwilini sio ukose uwezo wa kufikiri, na mkuu kama anaangalia haya mahojiano hakika inabidi atengue uchaguzi wake na asihofu kua wananchi watamuonaje maana kila binadamu hukosea.
@emmanueljanuary4052
@emmanueljanuary4052 7 жыл бұрын
Atii kama Baba wa nchi amesema tupendane hee we makonda
@michaelcanisius1615
@michaelcanisius1615 6 жыл бұрын
Nahaohao walitaka utenguliwe Madaraka Leo Uwaombe msamaha ingekuwa mm hata nisinge end a Kwan hawaja kuchagua kuwa mkuu big up usiombe msamaha hata kidogo Achana nao Kula Maisha mkuu
@asiasonda5915
@asiasonda5915 2 жыл бұрын
Ujinga ni kujifanya unajua kila kitu na kujawa na kiburi kujifanya wewe ni mtoto wa mungu.huyu hawezi kuongoza hatq fqmilia yake kwa ubabe huu.sijui ilikuwaje akapewa nchi kiburi huyu.pooh
@travisg.online3818
@travisg.online3818 6 жыл бұрын
Right ungejua wewe n nani na unge assume kuwa ndio makonda ndo ungeweza kueleza vizur... Hamna experience hii halii na ndo maana mnashindwa kuelewa huyuu anaongoza watu na pia n kioo cha jamii na sio kizembe tu aombe msamaha kwa hilo swala.... Tatizo lilikuwa pale pale mwanzo na kwamba hili swala halikuangaliwa pande zote mbili lili base kwa office za clouds so huwez kuja kuomba msamaha bila pande zote mbili kusikilizwa
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
Yaan ruge alikuwaga na busara sana dah,Mungu akupunguzie adhabu ya kabur braza😭😭
@mohammedmhina3973
@mohammedmhina3973 7 ай бұрын
Dah kinoma nimemaind san uyu jmbaz
@ahazimwaikambo790
@ahazimwaikambo790 7 жыл бұрын
Mh jamani wangemaliza tu utofauti wao Tz ni nchi ya amani
@mohammedmhina3973
@mohammedmhina3973 7 ай бұрын
Duuh aisee faza ruge maua yako broo🙌🏽 binafs ningekuw ruge hapo aliposem kwa capital letter makonda ningenyanyuk na kusepa hapo hapo
@yahyaali6496
@yahyaali6496 Жыл бұрын
Dah jana yako uliitumia vibaya angalia leo yako ilivo ya shida maadaraka haya kaka angu yalikuchanyanya sna pole ila kwa mungu unasamehewa rudu kiongoz
@allymohamed4764
@allymohamed4764 5 жыл бұрын
Inahitaji akili nyingi sana kumuelewa makonda hivyo siwalaumu mnaomkosoa ni haki yenu
@esharamadhani3438
@esharamadhani3438 5 жыл бұрын
Zero, zero, zero brain
@graysonbunyala6323
@graysonbunyala6323 5 жыл бұрын
Esha Ramadhani
@MrMtulivu
@MrMtulivu 5 жыл бұрын
Na ni kwa nini ulimtumia. RUGE watuwasio julikana ili wamteke?
@alicekhamis3589
@alicekhamis3589 5 жыл бұрын
hivi Mungu alimpa cha kuzungumza
@charlzlyimo1982
@charlzlyimo1982 7 жыл бұрын
kweli nchi yetu ina viongozi wa ajabu sana
@Amani715
@Amani715 5 жыл бұрын
Sometimes common sense is not so common to everyone
@chunyaone2618
@chunyaone2618 5 жыл бұрын
Yaani muangalie yakwenu na ruge wakat umevamia clouds haujamvamia ruge
@samiralisamir7594
@samiralisamir7594 5 жыл бұрын
uyu mapumbu sijui mapundu sijui likoje
@stephenhosea1113
@stephenhosea1113 5 жыл бұрын
Ni bora kuongozwa na Kondoo kuliko Simba asiye na Hekima
@Hauleshabby
@Hauleshabby 7 жыл бұрын
toka hapa
@niyimpumurizamoise2256
@niyimpumurizamoise2256 2 жыл бұрын
Makonda Pumba kali sana! Mbona nikama vidato vyake ni finyu?
@fettymohamed7636
@fettymohamed7636 6 жыл бұрын
safi makonda
@queenyahaya3147
@queenyahaya3147 5 жыл бұрын
Kila nafsi itaonja umauti 😢😢tanguria ruge R.i.P
@sifasanga7866
@sifasanga7866 7 жыл бұрын
Kama ni mkristo......unaomba msamaha hata kama huna kosa.....bila hivo hakuna Mungu ndani ya mtu huyo...anaekataa kupatana
@janelightmbasha3694
@janelightmbasha3694 7 жыл бұрын
kweli kabisa
@jichomtandaoni8281
@jichomtandaoni8281 7 жыл бұрын
simuungi mkono makonda lakini unatudanganya aisee, kuomba msamaha hata kama hujakosewa, umetoa wapi hii kanuni asee kwenye Ukristo
@graysonbunyala6323
@graysonbunyala6323 5 жыл бұрын
sifa sanga
@loner_wolf
@loner_wolf 5 жыл бұрын
Blessed Mh PM , lkn vitu Kama hiv mlitakiwa kumalizana wenyewe CIO mpk mwenye nchi ambaye anakazi nyingi na zamsingi Sana aje awape chakufanya...... Hii issue NI ujinga mtupu halinamsingi wwte ktk jamii ...hasa kwangu mm cioni umuhimu wa Ruge na Paul kuishi Kama kulwa na Dotto.... Kila MMOJA afanye yake TU.
@johnorinda8195
@johnorinda8195 7 жыл бұрын
kwahyo makonda kasamehe kwasababu ya raisi ila yy hajaridhia kusamehe
@teddykassinde4608
@teddykassinde4608 5 жыл бұрын
Sikiliza msikilize na ruge utaelewa
@alimakaba6170
@alimakaba6170 7 жыл бұрын
Ukitumia vizuri jicho lako la3 utapata kuelekewa nini Rc amemaanisha ktk hii.. ila ukikurupuka na zile akili zako unazo tumia kukosolea hata pale mawingu ya asubuhi yanapo chora sura ya mnyama angani...kamwe huwezi pata point..alieanza elimu kisha uwandish ukaja baadae anautofauti sana na alieanza uwandish kisha elimu ndio ikafuata ciaoooo
@mohammedmhina3973
@mohammedmhina3973 7 ай бұрын
Acha kutetea jambaz iloo ww jinga kubwa kiko wap n yuko wap jamaa ako shwaaaa karmaa is bitch maee
@chynabongo4036
@chynabongo4036 6 жыл бұрын
Uyu mwandishi ni cheecheee😂🤪
@jamesmaleo3407
@jamesmaleo3407 7 жыл бұрын
brain zero × zero × zero vyeti feki vinaongea hapo
@graciousjerry1322
@graciousjerry1322 7 жыл бұрын
wa kolomije kwel wa kolomije tu!! et muache wala sihitaj kumuona! mh ni soni ukanasyo gwe inyambala ugweee!! aseeeeeeeeee nalol amahala ghalikumatanga
@karimswai1140
@karimswai1140 5 жыл бұрын
Uyoo jamaa mm sijuwi ata anafanya nn na uwongozii wakee ila ya tapita tu
@malimanyanja4248
@malimanyanja4248 5 жыл бұрын
Nakukubali sana makonda ao ma k tu
@nasirali-ku7iy
@nasirali-ku7iy 5 жыл бұрын
Unafirwa wewe itakua
@lizbethvintan834
@lizbethvintan834 7 жыл бұрын
kusoma na kuandika
@lauriansimon6805
@lauriansimon6805 7 жыл бұрын
Unapoish na watu angalia ni watu wa namna gan, wengine ni wazee, vijana na wadogo. Xo unapoingia ktk sehem ambyo yakupasa unahitajika kutoa suluhisho la jambo watakiwa kuwa mwazi, xo heb tuambie sababu haswa za ww kutokukubali kuwa umemkosea kakako 1/ kwakuwa upo juu ya sheria? 2/kwakuwa umemdharau Mkubwa alivyowasuluhisha hadharani 3/ ulimwambia Mkubwa afanye vile hadharani watu wajue kuwa nn kinachoendelea?? 4/ Rais alikuwa hana maana kukuita na kukukutanisha na brother ruge? 5/ kwanini msiweke hadharani kuna nn tofauti zenu mpka mnatufanya vipofu wakuelewa kinachoendelea?? 6/ ukiwa una lako jambo tofauti na chama/siasa / mamlaka usiweke wazi ili iwe kazi rahic kufanyiwa usuluhishi kama ilivyo kule tanga kwenye matamasha mengine? 7/ au unatumia madaraka ya kiofc cz kilichopo ndani ya mji wako kipo chini yako?? 8/ brother kubal ya ishe, leo ww kesho yye, xo tusifanyiwe na sisi kuwa na matabaka na ukawa na advantage ya madaraka braza, nakupenda Rais wetu wa dar es salaam lkn ntakuwa na roho ya unyonge napoona Mkubwa anamaliza tatizo alafu ww bado una kinyingo rohon mwako, mshirikishe mungu pia kumbuka aliyekuita na kukusuluhisha nae ana utimamu akiwa na akili ya kukuamin kuwa utayamaliza yote aliyoyafnya ktk jiji la tnga, rbrza cool each and everything uvjal magazeti kukuona ulivyoganya usahihi wa ukwel kwa kumwogopa mungu!! Ni hayo tuu, sorry kama nimemkwaza mtu!!!
@franciscobega2786
@franciscobega2786 7 жыл бұрын
lakini uache kutumia madaraka yako vibaya ishi na watu vizuri
@molimasumbuko4113
@molimasumbuko4113 5 жыл бұрын
ataache kuomba msamaha kwani yenye nani
@princekorofi4434
@princekorofi4434 7 жыл бұрын
Man this nigga funny Af,what is he talkin abt
@adelaidedaycareprenurseryk6324
@adelaidedaycareprenurseryk6324 5 жыл бұрын
R.I.P. BROTHER RUGE.
@zumamarande2969
@zumamarande2969 5 жыл бұрын
Ziro
@victoriarwerengera4831
@victoriarwerengera4831 5 жыл бұрын
Huo mkutano wa vijana...wote damu inachemka....sasa tuangalie mwenye hekina....
@eliasakitasa7141
@eliasakitasa7141 7 жыл бұрын
Bashiteeeee
@asiasonda5915
@asiasonda5915 2 жыл бұрын
Mwenzio ananyea ndoo huko bado zamu yako
@michaelnaftary1268
@michaelnaftary1268 6 жыл бұрын
daaaaaa
@jamalmdugi6458
@jamalmdugi6458 7 жыл бұрын
For the first time i experience non smart RC kama huyuuu.... He doesnt deserve being at any position of leadership! And he can't ever labda kwakua ana nguvu ya kubebwa na kushikiliwa na mtu fulani
@aloyceiluminata3650
@aloyceiluminata3650 7 жыл бұрын
hey,watch your mouth ma' man.....this country has low or poor democracy. ….....this is not kenya where you can talk whatever you want!
@allyhamad7999
@allyhamad7999 7 жыл бұрын
aloyce iluminata , Hahaha. You talk nice point
@naeemmadona5889
@naeemmadona5889 7 жыл бұрын
wapuuz nyie
@oswardemil4039
@oswardemil4039 7 жыл бұрын
Kawe wewe mkuu wa mkoa,, ujinga tu.. wabongo mnapinga kila kitu. shwayn.
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 7 жыл бұрын
he always be..never change
@timothkatwela
@timothkatwela 7 жыл бұрын
the bogaaas never seen before
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 5 жыл бұрын
Mwache wala uhitaji kumuona tena unarudia mara mbili, lkn kwenye msiba ww ndy umekuwa wakwanza kufka msiban yan ww ni bonge la idiot na mnafki mkubwa lkn kumbuka cheo ni dhamana tu, yani ww sjui unafkria kwa ku2mia kiungo gani
@tshikuceaser1592
@tshikuceaser1592 5 жыл бұрын
Alimtilia sumu huko huko Tanga
@teddykassinde4608
@teddykassinde4608 5 жыл бұрын
@@tshikuceaser1592 sura nzur mkaka mzur haendani na roho yake jamani
@mathiaslisu1145
@mathiaslisu1145 7 жыл бұрын
hazimo hata kidogo waandishi mnajidhalilisha
@deewittie523
@deewittie523 5 жыл бұрын
Kiburi cha uzimaa
@charlzlyimo1982
@charlzlyimo1982 7 жыл бұрын
mmmh kiburi kimetawala viongozi waenchi hii
@fatumadrosin996
@fatumadrosin996 7 жыл бұрын
eti mwenye nchi mwenyenchi amesha kufa nyerere
@andrew29468
@andrew29468 2 жыл бұрын
Tuishi kwa kiasi.
@charlzlyimo1982
@charlzlyimo1982 7 жыл бұрын
unauna kiburi cha kiongozi wetu anasema hataomba radhi duuuuh!!!!!
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 5 жыл бұрын
Ovyooooooooooo
@lizzyshoo8084
@lizzyshoo8084 7 жыл бұрын
Duuuu kasheshe msamaha tuuu unaleta mamboooo
@frenkmakongolo5509
@frenkmakongolo5509 5 жыл бұрын
Elizabeth Shoo
@ramadhanimtetu7246
@ramadhanimtetu7246 2 жыл бұрын
Anaetamba Mpe Muda
@mkosianga6826
@mkosianga6826 2 жыл бұрын
Kweli makonda aliki yake ni hatari sana.busara yake sifuri
@japhetbarton8268
@japhetbarton8268 3 жыл бұрын
ITAKUTAFUNA SANA HII KITU HATA KABURINI
@noelsanga6853
@noelsanga6853 5 жыл бұрын
Form 4 bwana
@djfiremoto3429
@djfiremoto3429 2 жыл бұрын
REST IN PEACE RUGE😢
@stephanokayega2792
@stephanokayega2792 5 жыл бұрын
Eti unasema??
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 2 жыл бұрын
We bila magufuli gamma kitu
@safiakhamiss1528
@safiakhamiss1528 5 жыл бұрын
Kila ninayoyaona nazidi kujifunza hili limenifunza kusamehe
Ruge Mutahaba: Kama Makonda Hakutaka Nije Hapa Kwanini TEF Mliniita?
7:41
Askofu Gwajima alivyotembelea Clouds Media Group leo
20:09
Millard Ayo
Рет қаралды 286 М.
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,2 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 61 МЛН
Azam TV - JPM azungumzia sakata la elimu ya Makonda
2:52
Azam TV
Рет қаралды 50 М.
Azam TV - Magufuli awapatanisha Ruge na Makonda jukwaani
1:55
LIVE SCENE, NAPE akitolewa Bastora Hadharani. KITENGE AAMULIA
2:27
Junior Syaary
Рет қаралды 621 М.
Adam Malima Atibuana na Polisi, Wafyatua Risasi Hewani
3:12
Global TV Online
Рет қаралды 84 М.
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,2 МЛН