Nyie hamumjui NABII anaumia ndani kwa ndani ambayo ni mbaya sana sana,tumwombee Mungu amtie nguvu asijepata shida ya shinikizo la Damu.Baba Mwenyezi Mungu akutie nguvu na familia yako katika kipindi hiki kigumu. pole baba pole.najua unaumia lakini huna jinsi.Achana na maneno ya watu wa mitandaoni angalia Mungu nae akutie Nguvu
@matthewpaddy644410 ай бұрын
Pole Sana wanafamiliya
@Aminmwansile-we8vn10 ай бұрын
Amina
@ChristanahChristanah-oo8jn10 ай бұрын
Tetea jina la Yesu wewe sio mwanadamu nabii ni mwanadamu kama wewe
@RichardRobert-ou9zh10 ай бұрын
Poleni sana.
@Katembo_Official10 ай бұрын
Acha zako ww anaumia ndan Kwa ndan wakat kwake ni furaha
@peemsafi606810 ай бұрын
Anaye jua siku ya mwisho ni mungu tuu sisi ni viumbe vyake pumzika kwa amani kaka NISHER
@khadjamhozya10 ай бұрын
Arie muona hamorapa msibani agonge like hapa chinii😂😂
@bakarimmbaga234410 ай бұрын
Poleni sana wanafamilia, mungu awatie nguvu huku tukimuombea marehemu pumziko la milele: "BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA.... AMEN"
@AnnyPhesto10 ай бұрын
Aisee3!!!! Utamalza watoto nawe Mungu atakulp jinsi unavyotenda w Jiandae t huna loloteee😅😅😅😅😅😅
@AsamoahBen-l3r10 ай бұрын
Mungu awasamehe bure nyote Mungu mwenyewe ndy ajuae ukweli wala cy binadam
@SalamaNauthar10 ай бұрын
Ila daaah!!!' mbona kama na mashaka kwa hili!!!!
@athanasyohana872010 ай бұрын
Jamani naona maajabu.ni msiba ama ni nini.
@alicemama909910 ай бұрын
Poleni sana wote, shemeji yangu mpendwa na ndugu yangu Anenyise. Ndugu yako wa KDC Moshi. Mtoto wetu spumzike kwa amani.
@KALULUALLI10 ай бұрын
Wakristo mjifunze uongo wa Geodavie hakuweza kumfufua mwanawe
@sophiamhando728110 ай бұрын
Kumbe alikua anafufuaga??
@JosephKimuri-d1i9 ай бұрын
Acha kuingilia mambo yawatu kima wewe
@JosephKimuri-d1i9 ай бұрын
Tena wewe chunga domo lako
@MakrinaLuoga10 ай бұрын
Poleni Sana mungu awatie nguvu makusudi ya mungu hayazuiriki kila.mtu ataondoka kwa jinsi.yake faraja ya mungu..iwe.nanyi
@josephemmanuel38810 ай бұрын
wanamwinamia mwanadamu
@RJurumboRJurembo-df5uv10 ай бұрын
Ujinga
@habisnasalum-nz4zo10 ай бұрын
Mzee ana zambi huyu na huyo dadaake na nguo yakubana ila wew baba kwani mbona ss maskini tunaisha utamaliza watoto kutoa kafara rudisha mali hata usipojaza kanisa ili uishi kwa amani watoto wako wataisha nibola ungezaa wengi basi😊
@SalumMfaume-on2ks10 ай бұрын
njia nimoja wakuu kwaiyo kila mt ajiandae tusisemane kwan mungu ndiyo ajuae
@findinglela9 ай бұрын
Wengi kama wangapi?
@davidcharlesi35709 ай бұрын
Uko sawa jamaa Mungu anawaona.Anakoelekea anamalza familia shetan hana urafk na binadamu....
@manaseliberatus134710 ай бұрын
NAMHURUMIA SANA NABII MKUU, ILA HANA LA KUFANYA
@NaomiMinja-i1w10 ай бұрын
Pole Sana baba
@NaomiMinja-i1w10 ай бұрын
Ila mungu amtie nguvu
@issakawaya831510 ай бұрын
Na bii mku aja Muongezea siku ya ku ishi mwanaye.sote ni mali ya Mungu
@CosmaKomba10 ай бұрын
Poleni sana wanafamilia wote Mungu awe faraja kwenu
@sonicaghendewa988610 ай бұрын
Kiukweli uyu Mdogo wake Wa kike ni noma Kauzu hasa sijawahi kuona Wakati yeye ndio alikua karibu na maremu sanaaaa enzi za uhai wake lakin mhhhh Kauzu kwakweli 😢
@aishaabrahaman995710 ай бұрын
Anajua kujikaza ila ana maumivu sana huyo nipo ivo pakitokea kitu silii lakini maumivu unaweza kufa moyo unaniaga sanaa😊
@Judy-dy4zt10 ай бұрын
Kauzu aswa
@MRHURUMAHuruma10 ай бұрын
Watu wengi wanaona hivyo kweli jicho kavu sana sijuii kama kaka alikuwa anakera sana kias ambacho Mungu alimpo mpenda jina la bwana libarikiwe maisha yaendelee
@mbanaoyaaweso802910 ай бұрын
kakumbuka na kujilembaaa jmn kwel
@SekelaJakson-ls7dd10 ай бұрын
Yan mi nmeshangaa ad nmehis kama uwenda akili yake haiko timamu
@khadidjaabdi-hd8py10 ай бұрын
Nabii kashindwa kulumdisha mwanee mungu anisamehee bulee ila alisemaga mwenyewe Nabii😢
@neemamabiki39239 ай бұрын
Unajielewa wewe au unakurupuka tu,kuna nabii aliwahi fufua mtu zaidi ya yesu??acha ushamba wa mitandaoni.
@SashaOscar10 ай бұрын
Mungu anisamehe kwa hiki nilichokiwaza😭😭😭😭
@stratonlyari956310 ай бұрын
The same to me .the way I see have something am thinking ,_ _ but not ,++
@samiraaindi10 ай бұрын
R.I.P Nisher😭😂
@MusengimanaJeanette9 ай бұрын
Ultimate experience
@davidsimbeye154810 ай бұрын
Pole Sana baba yangu kwa msiba mkubwa Mungu akutie nguvu baba 😭😭😭🎂
@emmymwashitete33329 ай бұрын
Monika noma no chozi kwa kaka yake ametisha
@aminatanzanya747510 ай бұрын
Rest in peace NISHER ❤️😭😭
@prophetislael526510 ай бұрын
Nimekuja kugundua masikini wanahasila sana nawatu walio fanikiwa YAN MTU MWENYE PESA AKIFIWA UTASIKIA FREEMASON LAKIN AKIFIWA MASKINI UTASIKIWA MASIKIN WOTE HAKUNA ATAKAE SEMA KUWA AMETOA FREEMASON
@MusengimanaJeanette9 ай бұрын
Family Knows all money 💰 will make people to be come crazy 🤪
@SalamaNauthar10 ай бұрын
Kumbe nisher alikua mtoto wa geordave!!!' sikulijua hili
@MatronaTesha-z3p10 ай бұрын
😊pumzika kwa amani
@elionoradavid470410 ай бұрын
Mbona dada ake ananguvu ivo yaan mkavu kichizi
@HappinessSawe10 ай бұрын
Duuh emagine kaka yake af anakua na nguvu hivyo
@antoinekatembo852010 ай бұрын
SI NI MWEZI WA DECEMBER ALAFU MMMHH…!!
@blandinamwarabu502510 ай бұрын
Si unajua tena
@ErickSeurisambeke9 ай бұрын
Hatukujua alikufa na nn tulisikia kifo bc ila atukujua alikufa na nn
@rebecahlaizer644910 ай бұрын
Pole Sana dr . comments zinatisha Ila jitie moyo baba .watanzania ck hizi hawana uchungu na misiba ya wengine.ila waombee
@janembiro305710 ай бұрын
Tunaambiwa tusihukumu ni dhambi.Mungu awatie nguvu wazazi wake
@floramongi141010 ай бұрын
Biblia insema wanadamu watahukumu hata Malika Hilo ni pepo limelipa sadaka kuzimu mtaona atakayo fanya
@SalamaNauthar10 ай бұрын
Wafiwa wenyewe inaonyesha wazi kabisa hawana uchungu na Msiba wa ndugu yao' iweje sisi?
@blandinamwarabu502510 ай бұрын
Mchungaji hamshiki mkono mke wake au sio jamani ila poleni sana
@NaomiMinja-i1w10 ай бұрын
Ni mungu kampa uvumilivu ndio maana.ajalia.unajua.tena.awawaumini walivyo
@khadjamhozya10 ай бұрын
Hamorapaa naye yumo😂😂
@Neverbeensame10 ай бұрын
Majitu yamekuwa maigizaji eeeh Mungu uturehemu
@rasheedabby287110 ай бұрын
Nabii mkuu akipita Lazima tuinamishe shingo??
@mwajumalubunga153410 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@siphaeljoseph215610 ай бұрын
rest easy young bro, Mungu awatie nguvu Familia Nabii Mkuu
@ebenezermachange-zp4es10 ай бұрын
Amen..baba
@zairaisaid638910 ай бұрын
Wengine wanamsema mdada dada yake marehemu kua aonyesh kuumia na msiba ila kiukweli uchungu wa mtu upo katika moyo wake akuna asieumia atakapofiwa na ndugu yake au mtu wake wa karibu Au aloozooea ila tu Mungu samtaim anamtia nguvu mana atafanyaje hana jinsi ata akifanya kazi ya kulia tu kujigalagaza tu ni kazi bure isitoshe msiba tokea alipokufa mtu kalia sana mpaka sasa machozi yamekauka ndio ivo jamani
@clemensiadaniel847910 ай бұрын
Upo correct ndugu siyo haumii anajikaza tu utashanga akiwa home muda wote ni wakulia maana huyu ni damu Yao imetoweka
@floramongi141010 ай бұрын
Wanafunzi wa yesu walimuuliza yesu tutawajuaje watu wako? Yesu a kasema mtawajua kwa matunda yao na hata kwa shetani kuna matunda ndo haya kijana kufa akiwa mdogo tukaneni mnavyoweza ila huyu nabii ni freemasoni mkubwa na katoa mwanae kafara hakuna utajiri wa Mungu ulio ainahiyo ya geodavie iko siku watu watatoa hesabu
@ShamimuBomani10 ай бұрын
Poleni saanah 😢
@SamwelMollel-br9md6 ай бұрын
Wwe malaya unasemaje siku ukiolewa utajitambuwa
@SekelaJakson-ls7dd10 ай бұрын
Ivi uyo bint anaakili timamu kwel mbona anatabasam mda wote na blich zake haumii kuondekewa na kakaake😢😢
@mouldykomba185210 ай бұрын
Ndivyo alivyo
@mouldykomba185210 ай бұрын
Ndivyo alivyo
@williamalphonce35349 ай бұрын
Kwaio akilia kaka ake anarudi?
@SekelaJakson-ls7dd9 ай бұрын
@@williamalphonce3534 we si mwenzie tu ndo wake wale mnaocheka misiban🤣🤣
@feristadaudi659910 ай бұрын
Mtumishi bwana akupe kushida
@MRHURUMAHuruma10 ай бұрын
Watu wamejaji sana uvaaji wa monica na ugumu wa kumwombolezea kaka yake ana nguvu sana ila mimi sijaona kama nikosa alivyo vaa
@noorbazaar906310 ай бұрын
Kama kila anachoona mtu ni sawa ndio sawa basi hakuna kisichokuwa sawa!😂
@ThomasEmmanuel-to5mz10 ай бұрын
Mungu awape faraja kipindi kigumu hiki kwenu
@jamesmulokozi942910 ай бұрын
Sad
@RukiaSamalu-kv5gy10 ай бұрын
Poleni jamani
@saididodi398810 ай бұрын
Mungu amempenda zaid
@sophiamhando728110 ай бұрын
Kumbe wafiwa siku hizi wana nguvu za kupakwa hadi makeup😮😮
@IMANWILLIAM-bl2ui10 ай бұрын
tafuta ela uone kama haiwezekani
@SalamaNauthar10 ай бұрын
Na mie nashangaa ndugu yangu!!!!
@ahlamsaleh67010 ай бұрын
Hamorapa nai eti analia 😂
@janembiro305710 ай бұрын
Pumzika kwa amani Nickel
@ShukraniHebroni10 ай бұрын
Poleni sana😂😂
@pachachidy434610 ай бұрын
Wa kwanza naomba like
@ChugaKazi-rb2ts10 ай бұрын
Eti karibu baba karibu mama misiba ya matajiri bana
@branicemunyanya10 ай бұрын
Eeeii wana inamia binadamu😮poleni sana jamani magumu na uchungu ila mungu awape nguvu
@RJurumboRJurembo-df5uv10 ай бұрын
Asipoacha kufuru lake bado atapokea mapigo ajue Yesu ndio nabii mkuu na mkuu wa wote,heshima na adhama ni zake milele sio huyo binadamu kama mm
@florafilbert328810 ай бұрын
Mke wa marehemu hajaonekana
@habisnasalum-nz4zo10 ай бұрын
Wanafamilia wengine wanainjoi baba anajua hana wasi kafara io
@ThomasEmmanuel-to5mz10 ай бұрын
Toa nawakwako kama ni rahisi hivyo
@BetriceKitalika-zf1jp10 ай бұрын
Ee M/Mungu Nakuomba umtie nguvu Nabii Mkuu ,Roho Mtakatifu Uwe mfariji wa familia hii katika JINA LA YESU ALIYE HAI. AMEN.
@ernestthomas968910 ай бұрын
Hakuna nabiii mkuu ila Yesu pekee..
@BetriceKitalika-zf1jp10 ай бұрын
@@ernestthomas9689ok
@francisfrednand247510 ай бұрын
Pole sana baba
@MagyMunna10 ай бұрын
Huyo Monica hata kujilegeza uongo uongo amna yaani kama mwaume!jamaniii
@verohmchihiyo502910 ай бұрын
Akishajilegeza vya uongo ili itokee nn, fikiri kabla ya kuropoka uswe mtu wakupigilia msumari kwenye maumivu ya wenzako.. unataka ajilegeze vya uongo unafikir ni maigizo hayo
@johnhosea638910 ай бұрын
Godi monica anakufaw
@DarajaniZanzibr10 ай бұрын
Pole baba
@JosiahHaji10 ай бұрын
R.I.P
@RinaRoberts-c6n10 ай бұрын
Mbona watoto wa marehemu nisher nasikia alikuwa na mwana mke na watoto sasa mbona kwenye kuaga sijaona na mwenye wasifu sijasikia kuhusu watoto na mke jmn why ?
@mariedelarie87310 ай бұрын
Hata mke wake sijamuona wala kusikia wazifu wake
@habisnasalum-nz4zo10 ай бұрын
Wanawake hatujui roho za wanaume wanaume wengi wanatanaa za pesa bola amuue mwanae kisa pesa utakufa na wew na mali za filimasoni zitaisha familia ibaki maskini inaumiza kimtoa mtoto wako kafara mama ndo anaumia
@aminatanzanya747510 ай бұрын
Hivi mna uhakika au kwakuw maon ni uhuru wa mtu
@RemmyTuva-p4h10 ай бұрын
sasa badala MTU ulie unanificha ficha
@NaomiMinja-i1w10 ай бұрын
Mungkin kamfunika
@aminatanzanya747510 ай бұрын
@@NaomiMinja-i1w🤣🤣🤣
@RJurumboRJurembo-df5uv10 ай бұрын
Asipoacha kufuru lake bado atapokea mapigo ajue Yesu ndio nabii mkuu na mkuu wa wote,heshima na adhama ni zake milele sio huyo binadamu kama mm