VIDEO IKIONYESHA MWANZO MWISHO MWILI WA NISHER ULIVYOAGWA HADI KUZIKWA NYUMBANI KWA NABII GEORDAVIE

  Рет қаралды 66,708

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 117
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 10 ай бұрын
Nyie hamumjui NABII anaumia ndani kwa ndani ambayo ni mbaya sana sana,tumwombee Mungu amtie nguvu asijepata shida ya shinikizo la Damu.Baba Mwenyezi Mungu akutie nguvu na familia yako katika kipindi hiki kigumu. pole baba pole.najua unaumia lakini huna jinsi.Achana na maneno ya watu wa mitandaoni angalia Mungu nae akutie Nguvu
@matthewpaddy6444
@matthewpaddy6444 10 ай бұрын
Pole Sana wanafamiliya
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 10 ай бұрын
Amina
@ChristanahChristanah-oo8jn
@ChristanahChristanah-oo8jn 10 ай бұрын
Tetea jina la Yesu wewe sio mwanadamu nabii ni mwanadamu kama wewe
@RichardRobert-ou9zh
@RichardRobert-ou9zh 10 ай бұрын
Poleni sana.
@Katembo_Official
@Katembo_Official 10 ай бұрын
Acha zako ww anaumia ndan Kwa ndan wakat kwake ni furaha
@peemsafi6068
@peemsafi6068 10 ай бұрын
Anaye jua siku ya mwisho ni mungu tuu sisi ni viumbe vyake pumzika kwa amani kaka NISHER
@khadjamhozya
@khadjamhozya 10 ай бұрын
Arie muona hamorapa msibani agonge like hapa chinii😂😂
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 10 ай бұрын
Poleni sana wanafamilia, mungu awatie nguvu huku tukimuombea marehemu pumziko la milele: "BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA.... AMEN"
@AnnyPhesto
@AnnyPhesto 10 ай бұрын
Aisee3!!!! Utamalza watoto nawe Mungu atakulp jinsi unavyotenda w Jiandae t huna loloteee😅😅😅😅😅😅
@AsamoahBen-l3r
@AsamoahBen-l3r 10 ай бұрын
Mungu awasamehe bure nyote Mungu mwenyewe ndy ajuae ukweli wala cy binadam
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 10 ай бұрын
Ila daaah!!!' mbona kama na mashaka kwa hili!!!!
@athanasyohana8720
@athanasyohana8720 10 ай бұрын
Jamani naona maajabu.ni msiba ama ni nini.
@alicemama9099
@alicemama9099 10 ай бұрын
Poleni sana wote, shemeji yangu mpendwa na ndugu yangu Anenyise. Ndugu yako wa KDC Moshi. Mtoto wetu spumzike kwa amani.
@KALULUALLI
@KALULUALLI 10 ай бұрын
Wakristo mjifunze uongo wa Geodavie hakuweza kumfufua mwanawe
@sophiamhando7281
@sophiamhando7281 10 ай бұрын
Kumbe alikua anafufuaga??
@JosephKimuri-d1i
@JosephKimuri-d1i 9 ай бұрын
Acha kuingilia mambo yawatu kima wewe
@JosephKimuri-d1i
@JosephKimuri-d1i 9 ай бұрын
Tena wewe chunga domo lako
@MakrinaLuoga
@MakrinaLuoga 10 ай бұрын
Poleni Sana mungu awatie nguvu makusudi ya mungu hayazuiriki kila.mtu ataondoka kwa jinsi.yake faraja ya mungu..iwe.nanyi
@josephemmanuel388
@josephemmanuel388 10 ай бұрын
wanamwinamia mwanadamu
@RJurumboRJurembo-df5uv
@RJurumboRJurembo-df5uv 10 ай бұрын
Ujinga
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 10 ай бұрын
Mzee ana zambi huyu na huyo dadaake na nguo yakubana ila wew baba kwani mbona ss maskini tunaisha utamaliza watoto kutoa kafara rudisha mali hata usipojaza kanisa ili uishi kwa amani watoto wako wataisha nibola ungezaa wengi basi😊
@SalumMfaume-on2ks
@SalumMfaume-on2ks 10 ай бұрын
njia nimoja wakuu kwaiyo kila mt ajiandae tusisemane kwan mungu ndiyo ajuae
@findinglela
@findinglela 9 ай бұрын
Wengi kama wangapi?
@davidcharlesi3570
@davidcharlesi3570 9 ай бұрын
Uko sawa jamaa Mungu anawaona.Anakoelekea anamalza familia shetan hana urafk na binadamu....
@manaseliberatus1347
@manaseliberatus1347 10 ай бұрын
NAMHURUMIA SANA NABII MKUU, ILA HANA LA KUFANYA
@NaomiMinja-i1w
@NaomiMinja-i1w 10 ай бұрын
Pole Sana baba
@NaomiMinja-i1w
@NaomiMinja-i1w 10 ай бұрын
Ila mungu amtie nguvu
@issakawaya8315
@issakawaya8315 10 ай бұрын
Na bii mku aja Muongezea siku ya ku ishi mwanaye.sote ni mali ya Mungu
@CosmaKomba
@CosmaKomba 10 ай бұрын
Poleni sana wanafamilia wote Mungu awe faraja kwenu
@sonicaghendewa9886
@sonicaghendewa9886 10 ай бұрын
Kiukweli uyu Mdogo wake Wa kike ni noma Kauzu hasa sijawahi kuona Wakati yeye ndio alikua karibu na maremu sanaaaa enzi za uhai wake lakin mhhhh Kauzu kwakweli 😢
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 10 ай бұрын
Anajua kujikaza ila ana maumivu sana huyo nipo ivo pakitokea kitu silii lakini maumivu unaweza kufa moyo unaniaga sanaa😊
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 10 ай бұрын
Kauzu aswa
@MRHURUMAHuruma
@MRHURUMAHuruma 10 ай бұрын
Watu wengi wanaona hivyo kweli jicho kavu sana sijuii kama kaka alikuwa anakera sana kias ambacho Mungu alimpo mpenda jina la bwana libarikiwe maisha yaendelee
@mbanaoyaaweso8029
@mbanaoyaaweso8029 10 ай бұрын
kakumbuka na kujilembaaa jmn kwel
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 10 ай бұрын
Yan mi nmeshangaa ad nmehis kama uwenda akili yake haiko timamu
@khadidjaabdi-hd8py
@khadidjaabdi-hd8py 10 ай бұрын
Nabii kashindwa kulumdisha mwanee mungu anisamehee bulee ila alisemaga mwenyewe Nabii😢
@neemamabiki3923
@neemamabiki3923 9 ай бұрын
Unajielewa wewe au unakurupuka tu,kuna nabii aliwahi fufua mtu zaidi ya yesu??acha ushamba wa mitandaoni.
@SashaOscar
@SashaOscar 10 ай бұрын
Mungu anisamehe kwa hiki nilichokiwaza😭😭😭😭
@stratonlyari9563
@stratonlyari9563 10 ай бұрын
The same to me .the way I see have something am thinking ,_ _ but not ,++
@samiraaindi
@samiraaindi 10 ай бұрын
R.I.P Nisher😭😂
@MusengimanaJeanette
@MusengimanaJeanette 9 ай бұрын
Ultimate experience
@davidsimbeye1548
@davidsimbeye1548 10 ай бұрын
Pole Sana baba yangu kwa msiba mkubwa Mungu akutie nguvu baba 😭😭😭🎂
@emmymwashitete3332
@emmymwashitete3332 9 ай бұрын
Monika noma no chozi kwa kaka yake ametisha
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 10 ай бұрын
Rest in peace NISHER ❤️😭😭
@prophetislael5265
@prophetislael5265 10 ай бұрын
Nimekuja kugundua masikini wanahasila sana nawatu walio fanikiwa YAN MTU MWENYE PESA AKIFIWA UTASIKIA FREEMASON LAKIN AKIFIWA MASKINI UTASIKIWA MASIKIN WOTE HAKUNA ATAKAE SEMA KUWA AMETOA FREEMASON
@MusengimanaJeanette
@MusengimanaJeanette 9 ай бұрын
Family Knows all money 💰 will make people to be come crazy 🤪
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 10 ай бұрын
Kumbe nisher alikua mtoto wa geordave!!!' sikulijua hili
@MatronaTesha-z3p
@MatronaTesha-z3p 10 ай бұрын
😊pumzika kwa amani
@elionoradavid4704
@elionoradavid4704 10 ай бұрын
Mbona dada ake ananguvu ivo yaan mkavu kichizi
@HappinessSawe
@HappinessSawe 10 ай бұрын
Duuh emagine kaka yake af anakua na nguvu hivyo
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 10 ай бұрын
SI NI MWEZI WA DECEMBER ALAFU MMMHH…!!
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 10 ай бұрын
Si unajua tena
@ErickSeurisambeke
@ErickSeurisambeke 9 ай бұрын
Hatukujua alikufa na nn tulisikia kifo bc ila atukujua alikufa na nn
@rebecahlaizer6449
@rebecahlaizer6449 10 ай бұрын
Pole Sana dr . comments zinatisha Ila jitie moyo baba .watanzania ck hizi hawana uchungu na misiba ya wengine.ila waombee
@janembiro3057
@janembiro3057 10 ай бұрын
Tunaambiwa tusihukumu ni dhambi.Mungu awatie nguvu wazazi wake
@floramongi1410
@floramongi1410 10 ай бұрын
Biblia insema wanadamu watahukumu hata Malika Hilo ni pepo limelipa sadaka kuzimu mtaona atakayo fanya
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 10 ай бұрын
Wafiwa wenyewe inaonyesha wazi kabisa hawana uchungu na Msiba wa ndugu yao' iweje sisi?
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 10 ай бұрын
Mchungaji hamshiki mkono mke wake au sio jamani ila poleni sana
@NaomiMinja-i1w
@NaomiMinja-i1w 10 ай бұрын
Ni mungu kampa uvumilivu ndio maana.ajalia.unajua.tena.awawaumini walivyo
@khadjamhozya
@khadjamhozya 10 ай бұрын
Hamorapaa naye yumo😂😂
@Neverbeensame
@Neverbeensame 10 ай бұрын
Majitu yamekuwa maigizaji eeeh Mungu uturehemu
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 10 ай бұрын
Nabii mkuu akipita Lazima tuinamishe shingo??
@mwajumalubunga1534
@mwajumalubunga1534 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@siphaeljoseph2156
@siphaeljoseph2156 10 ай бұрын
rest easy young bro, Mungu awatie nguvu Familia Nabii Mkuu
@ebenezermachange-zp4es
@ebenezermachange-zp4es 10 ай бұрын
Amen..baba
@zairaisaid6389
@zairaisaid6389 10 ай бұрын
Wengine wanamsema mdada dada yake marehemu kua aonyesh kuumia na msiba ila kiukweli uchungu wa mtu upo katika moyo wake akuna asieumia atakapofiwa na ndugu yake au mtu wake wa karibu Au aloozooea ila tu Mungu samtaim anamtia nguvu mana atafanyaje hana jinsi ata akifanya kazi ya kulia tu kujigalagaza tu ni kazi bure isitoshe msiba tokea alipokufa mtu kalia sana mpaka sasa machozi yamekauka ndio ivo jamani
@clemensiadaniel8479
@clemensiadaniel8479 10 ай бұрын
Upo correct ndugu siyo haumii anajikaza tu utashanga akiwa home muda wote ni wakulia maana huyu ni damu Yao imetoweka
@floramongi1410
@floramongi1410 10 ай бұрын
Wanafunzi wa yesu walimuuliza yesu tutawajuaje watu wako? Yesu a kasema mtawajua kwa matunda yao na hata kwa shetani kuna matunda ndo haya kijana kufa akiwa mdogo tukaneni mnavyoweza ila huyu nabii ni freemasoni mkubwa na katoa mwanae kafara hakuna utajiri wa Mungu ulio ainahiyo ya geodavie iko siku watu watatoa hesabu
@ShamimuBomani
@ShamimuBomani 10 ай бұрын
Poleni saanah 😢
@SamwelMollel-br9md
@SamwelMollel-br9md 6 ай бұрын
Wwe malaya unasemaje siku ukiolewa utajitambuwa
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 10 ай бұрын
Ivi uyo bint anaakili timamu kwel mbona anatabasam mda wote na blich zake haumii kuondekewa na kakaake😢😢
@mouldykomba1852
@mouldykomba1852 10 ай бұрын
Ndivyo alivyo
@mouldykomba1852
@mouldykomba1852 10 ай бұрын
Ndivyo alivyo
@williamalphonce3534
@williamalphonce3534 9 ай бұрын
Kwaio akilia kaka ake anarudi?
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 9 ай бұрын
@@williamalphonce3534 we si mwenzie tu ndo wake wale mnaocheka misiban🤣🤣
@feristadaudi6599
@feristadaudi6599 10 ай бұрын
Mtumishi bwana akupe kushida
@MRHURUMAHuruma
@MRHURUMAHuruma 10 ай бұрын
Watu wamejaji sana uvaaji wa monica na ugumu wa kumwombolezea kaka yake ana nguvu sana ila mimi sijaona kama nikosa alivyo vaa
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 10 ай бұрын
Kama kila anachoona mtu ni sawa ndio sawa basi hakuna kisichokuwa sawa!😂
@ThomasEmmanuel-to5mz
@ThomasEmmanuel-to5mz 10 ай бұрын
Mungu awape faraja kipindi kigumu hiki kwenu
@jamesmulokozi9429
@jamesmulokozi9429 10 ай бұрын
Sad
@RukiaSamalu-kv5gy
@RukiaSamalu-kv5gy 10 ай бұрын
Poleni jamani
@saididodi3988
@saididodi3988 10 ай бұрын
Mungu amempenda zaid
@sophiamhando7281
@sophiamhando7281 10 ай бұрын
Kumbe wafiwa siku hizi wana nguvu za kupakwa hadi makeup😮😮
@IMANWILLIAM-bl2ui
@IMANWILLIAM-bl2ui 10 ай бұрын
tafuta ela uone kama haiwezekani
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 10 ай бұрын
Na mie nashangaa ndugu yangu!!!!
@ahlamsaleh670
@ahlamsaleh670 10 ай бұрын
Hamorapa nai eti analia 😂
@janembiro3057
@janembiro3057 10 ай бұрын
Pumzika kwa amani Nickel
@ShukraniHebroni
@ShukraniHebroni 10 ай бұрын
Poleni sana😂😂
@pachachidy4346
@pachachidy4346 10 ай бұрын
Wa kwanza naomba like
@ChugaKazi-rb2ts
@ChugaKazi-rb2ts 10 ай бұрын
Eti karibu baba karibu mama misiba ya matajiri bana
@branicemunyanya
@branicemunyanya 10 ай бұрын
Eeeii wana inamia binadamu😮poleni sana jamani magumu na uchungu ila mungu awape nguvu
@RJurumboRJurembo-df5uv
@RJurumboRJurembo-df5uv 10 ай бұрын
Asipoacha kufuru lake bado atapokea mapigo ajue Yesu ndio nabii mkuu na mkuu wa wote,heshima na adhama ni zake milele sio huyo binadamu kama mm
@florafilbert3288
@florafilbert3288 10 ай бұрын
Mke wa marehemu hajaonekana
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 10 ай бұрын
Wanafamilia wengine wanainjoi baba anajua hana wasi kafara io
@ThomasEmmanuel-to5mz
@ThomasEmmanuel-to5mz 10 ай бұрын
Toa nawakwako kama ni rahisi hivyo
@BetriceKitalika-zf1jp
@BetriceKitalika-zf1jp 10 ай бұрын
Ee M/Mungu Nakuomba umtie nguvu Nabii Mkuu ,Roho Mtakatifu Uwe mfariji wa familia hii katika JINA LA YESU ALIYE HAI. AMEN.
@ernestthomas9689
@ernestthomas9689 10 ай бұрын
Hakuna nabiii mkuu ila Yesu pekee..
@BetriceKitalika-zf1jp
@BetriceKitalika-zf1jp 10 ай бұрын
@@ernestthomas9689ok
@francisfrednand2475
@francisfrednand2475 10 ай бұрын
Pole sana baba
@MagyMunna
@MagyMunna 10 ай бұрын
Huyo Monica hata kujilegeza uongo uongo amna yaani kama mwaume!jamaniii
@verohmchihiyo5029
@verohmchihiyo5029 10 ай бұрын
Akishajilegeza vya uongo ili itokee nn, fikiri kabla ya kuropoka uswe mtu wakupigilia msumari kwenye maumivu ya wenzako.. unataka ajilegeze vya uongo unafikir ni maigizo hayo
@johnhosea6389
@johnhosea6389 10 ай бұрын
Godi monica anakufaw
@DarajaniZanzibr
@DarajaniZanzibr 10 ай бұрын
Pole baba
@JosiahHaji
@JosiahHaji 10 ай бұрын
R.I.P
@RinaRoberts-c6n
@RinaRoberts-c6n 10 ай бұрын
Mbona watoto wa marehemu nisher nasikia alikuwa na mwana mke na watoto sasa mbona kwenye kuaga sijaona na mwenye wasifu sijasikia kuhusu watoto na mke jmn why ?
@mariedelarie873
@mariedelarie873 10 ай бұрын
Hata mke wake sijamuona wala kusikia wazifu wake
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 10 ай бұрын
Wanawake hatujui roho za wanaume wanaume wengi wanatanaa za pesa bola amuue mwanae kisa pesa utakufa na wew na mali za filimasoni zitaisha familia ibaki maskini inaumiza kimtoa mtoto wako kafara mama ndo anaumia
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 10 ай бұрын
Hivi mna uhakika au kwakuw maon ni uhuru wa mtu
@RemmyTuva-p4h
@RemmyTuva-p4h 10 ай бұрын
sasa badala MTU ulie unanificha ficha
@NaomiMinja-i1w
@NaomiMinja-i1w 10 ай бұрын
Mungkin kamfunika
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 10 ай бұрын
​@@NaomiMinja-i1w🤣🤣🤣
@RJurumboRJurembo-df5uv
@RJurumboRJurembo-df5uv 10 ай бұрын
Asipoacha kufuru lake bado atapokea mapigo ajue Yesu ndio nabii mkuu na mkuu wa wote,heshima na adhama ni zake milele sio huyo binadamu kama mm
UJUMBE WA MONICA DAVIE KWA MARA YA KWANZA 2023 - GeorDavie TV
32:44
GeorDavie TV
Рет қаралды 171 М.
Maziko ya Bosi wa Freemason Yatikisa Dar
2:35
Global TV Online
Рет қаралды 1,5 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 116 МЛН
Mkasi - S02E03 with Steven Kanumba
26:51
MkasiTV
Рет қаралды 1,3 МЛН