VILIO VYATAWALA | SAYD MWENYE BABA ALIPO MPA IJAZA MUADHI SUNGU | KUA MUDIRI WA ALLY BADAWY MASANGE
Пікірлер: 31
@fatiaali19592 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yk pahala pema peponi amin from Kenya wp like zenu
@fatumahamisi70642 жыл бұрын
Allah Akuongoze ewe Ibun sungu akupe upeo kama wa shekh sungu . Na allah akuhifadhi na madhila ya dunia
@fatumahamis92062 жыл бұрын
Yaalah tunakuomba ya rabbi tuongoze ktk njia unayoridhia na ulijaze NURU kaburi LA sheikh wetu
@aligmoha90152 жыл бұрын
Allah ajalie kabri lake liwe bustani la jannah pamoja na lawaisimu wengine in sha allah
@dktabbaimran20022 жыл бұрын
Inna lillahi wainna ileihi rajiun Allah amlase pema peponi
@Ahmadasshii-raazy88882 жыл бұрын
اللهم اهدنا الصراط المستقيم
@sakinaathuman57972 жыл бұрын
Mashallah tabarakalah
@hadijasimba84632 жыл бұрын
Mabruki sanaa mdogo wetu kushika nafasi ya shekhe R.M.Sungu Takbirrr
@hadijasimba84632 жыл бұрын
From Oman
@yusuphabdullah87902 жыл бұрын
Yaallah
@yusufathman24782 жыл бұрын
Si imani yenu dini ndo inasema ivoo.. lakini itikadi zingine ni bid'aa
@salimalazri94402 жыл бұрын
Allah amlaze pema peponi shekh wetu
@radgabbelege72342 жыл бұрын
ALLAH AMUONGOZE KIJANA BADO MDOGO UONGOZI WA UJANANI MTIHANI SANA TUMUOMBEE DUA NYINGI SANA
@istambuliahmedi82032 жыл бұрын
اللهم ثبتنا إلى الصراط المستقيم
@jamilahjuma92732 жыл бұрын
Allah ampe kauli thabit shekh sungu
@maliamhotimaliamhoti53022 жыл бұрын
Allah karim,
@istambuliahmedi82032 жыл бұрын
اللهم غفر له ورحمه واسكنه فى الجنة رمضان سونغو
@mwanaishamohamedi30672 жыл бұрын
Allah akibar
@eidallyeidally50932 жыл бұрын
Ukiacha msiba washekhe huu nao nimsiba
@sariaibrahimu15702 жыл бұрын
N msiba kivp
@felisterhaule74232 жыл бұрын
Kondoa bidaa ipo kubwa San, kaburi linajengwa km hivyo sijui mafundisho ganj hayo ya dini,kondoa bidaa imejaa San nimeend kujionea,maulid kila siku na wanawak wanaend kulala huko huko
@@aishaomari944 Oman ndio yupo mtume huko au ndio wao ndio kiigizo chako cha dini? Acheni bidaa ndugu zetu, uliona wapi watu wakakusanyana makaburini kama hvyo na kusoma visomo vya quran ilihali mtume allayhi swalatu wassalamu amekataza kusoma quran makaburin?