This is it, I'm feeling proud to be Tanzanian 💪💪💪👍👍👍👏👏👏
@boashamah36426 жыл бұрын
Malengo ya Bwana RAis Magufuli, yatawafukuza wakoloni, well done my people my big up to you all, especially Mkurugenzi wa TRL
@jamesngundateresia26006 жыл бұрын
Home kunaweza kuwa kama ULAYA hasa kwa mambo haya💪💪💪NGOSHA NDIYO HABARI YA TZN
@JohnDoe19xx6 жыл бұрын
Tanzania inabid tujifunze tofauti kati ya. Serikali na rahisi . Hizi project zinajengwa na serikali na zilipangwa more than five years ago. So the president is just implementing an already planned and organised project so please waambieni watanzania ukweli msijeuze projects za serikali kua campaign za kisiasa
@kassimourio68796 жыл бұрын
Alichoanzisha Mwenyezi Mungu anajua namna ya kuimalizia
@pascoalphonce29116 жыл бұрын
Tanzania is my Country l love it soo Much
@aryouclassic42966 жыл бұрын
Hongera serikali ya awamu ya tano
@t1910j6 жыл бұрын
Safi sana. Hapa kazi tu
@amanimbwambo81946 жыл бұрын
Jaman mwenye taarifa sahihi za nafac za kazi kwnye mrad huu anisaidie
@TRCRELITVTANZANIA5 жыл бұрын
GONGA LIKE TUUNGANE NA RAIS WETU DR .JOHN POMBE MAGUFULI KATIKA KULIJENGA TAIFA LETU.
@wcbwanatishakiranikirudiab23496 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU enderea kumuongoza raisi wetu
@edwardedward25206 жыл бұрын
Big up sana Mh. Rais JPM Naiona Tanzania mpya inayo move kuelekea kwenye maendeleo!
@gilbertalex16516 жыл бұрын
Good👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@joellumala32066 жыл бұрын
He is the men aisee
@jescastantanily71556 жыл бұрын
Super sami
@shindapapaya91946 жыл бұрын
Shikamoooo awamu ya 5 chini ya Rais wetu mpendwa John Pombe Magufuli au the Bulldozer wetu 💪 💪 💪 ✊ ✊ ✊ 👍 👍 👍 👏 👏 👏
@prospermakundi27876 жыл бұрын
Safi sana chapeni kazi kubadilisha tz yetu
@IbrahimMohamed-fk5cc6 жыл бұрын
Kwa njia hii 2025 Nyumbani patakuwa super hasa Dar itapanda thamani sana
@salummuhija44356 жыл бұрын
Well done
@boashamah36426 жыл бұрын
I live katika inchi za wa koloni huku Australia , mnanifanya kupanda ndege kurudi Tanzania kabisa
@idrisashelimo3076 жыл бұрын
Safi sana rais wetu
@stephenntinginya10626 жыл бұрын
sekta hii ya usafiri itakuwa mkombozi mkubwa wa uchumi wa nchi yetu,Tanzania.Zidumu fikra na misimamo madhubuti ya JP Magufuli.
@jayissakwakala98846 жыл бұрын
Hakika This Time Watanzania 2mepata Rais Anaethamini Watanzania. MUNGU Mbarki JPM ktk Utendaji wa kz Zote ktk Awam Yke Hii Ya Uongoz.
@fanueliwilliam64926 жыл бұрын
Hapa kazi tu akuna longo longo
@marcuskapinga40176 жыл бұрын
Rais yupo sawa
@CosmicWorld20246 жыл бұрын
KWeli hapa kazi tu.
@wcbwanatishakiranikirudiab23496 жыл бұрын
Sisi ni wamoja sisi nI watanzania mwenyezi MUNGU ametuzawadia sisi watanzania raisi pekee ewe mwenyezi MUNGU turindie enderea kumuongoza zidi kuimarisha afya yake raisi wetu raisi wetu raisi wetu
@godfreyleonad74376 жыл бұрын
MUNGU atutangulie kwakila jambo, watanzania tushika mane neema inakuja
@patricknyiti53034 жыл бұрын
mko nyuma ya ratiba ..2020 mpaka Dodoma haiwezekani...ongezeni bidii
@michaelmathew83095 жыл бұрын
Yeah yaan ni zaid ya furaha
@michaelmathew83095 жыл бұрын
Cna la kusema mana nayafurahia maendeleo ya nchi yetu
@aniphalijimasebo14656 жыл бұрын
Poa sana magu
@ambrosonesmo92816 жыл бұрын
hadi raha
@jastinaderick29116 жыл бұрын
Inapendeza sana
@emmanuelkubambala98066 жыл бұрын
Echo hon JPM
@mnzavachris54236 жыл бұрын
kwaio mpaka uganda, burundi & rwanda itfika lini yaani baada ya muda gan?