Рет қаралды 66,525
USIKU WA VITASA: Kutoka Nacoz Camp, bondia Mfaume Mfaume amemchapa Chikondi Makawa kutoka Malawi kwa pointi katika pambano la raundi nane. Tazama ilivyokuwa….
Ni pambano la utangulizi kuelekea pambano la Kidunda vs Mukadi katika usiku wa vitasa ndani ya ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
#UsikuWaVitasa #VitasaNight #NgumiJiwe #Boxing #MfaumeMfaume #ChikondiMakawa