VITASA | Mfaume Mfaume vs Chikondi Makawa |

  Рет қаралды 66,525

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

USIKU WA VITASA: Kutoka Nacoz Camp, bondia Mfaume Mfaume amemchapa Chikondi Makawa kutoka Malawi kwa pointi katika pambano la raundi nane. Tazama ilivyokuwa….
Ni pambano la utangulizi kuelekea pambano la Kidunda vs Mukadi katika usiku wa vitasa ndani ya ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
#UsikuWaVitasa #VitasaNight #NgumiJiwe #Boxing #MfaumeMfaume #ChikondiMakawa

Пікірлер: 60
@mc_rasbeib834
@mc_rasbeib834 Жыл бұрын
Ngumi za mfaume zina ladha yaani anajua tecnique❤❤❤yaani unaenjoi kuwatch, mfaume mfaume akieza pata nguvu kama za selemami kidunda basi tanzania nzima hamna mwengine, yua jua kuzikwepa, kupunch na kuscore
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Team wafalme tupo hapa border Tunduma tunainjoi kuona Chuma chetu mfalme mfalme 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 bado cha moto🔥🔥🔥🔥🔥
@mc_rasbeib834
@mc_rasbeib834 Жыл бұрын
Nakukubali sana mwanangu mfaume mfaume
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Жыл бұрын
Mfaume atafute video za Alexander usyk atakuwa best... Ajifunze speed nakupiga double jab at once
@emmanuelsichone4681
@emmanuelsichone4681 Жыл бұрын
Mfaume hii slow nigem plan Kwa kawaida anaspd sana
@LukmaanSalum-ys8nf
@LukmaanSalum-ys8nf Жыл бұрын
Fact kabisa
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Mfaume ni mpiganaji mwenye kipaji kikubwa, tatizo lake ni dogo sana, technique ,..namkubali sana MWAMBA..!
@user-ls6lq3yj7s
@user-ls6lq3yj7s Жыл бұрын
Mfaume ndio meamba anapigana ngumi zimenyooka zenyeakili nying pumz yakutosha respect mfaume
@bakarishaban9311
@bakarishaban9311 5 ай бұрын
Mfaume kiwango chake apigane na Mandonga MTU kaz
@user-xq8eh1ut9n
@user-xq8eh1ut9n Жыл бұрын
Mfaume akunangumi Zaid ya kujaa cfa kaka fanya kweli jina kubwa ngumi ndogo sana
@bakarishaban9311
@bakarishaban9311 5 ай бұрын
Mfaume hakuna lolote
@uwezotv
@uwezotv 10 ай бұрын
Huyo mtangazaji mwenyesaut nyembamba anamapenz na mfaume hadi yanapitiliza anasifia hataujinga
@khalfanissa136
@khalfanissa136 Жыл бұрын
The king 🤴 is back
@malimanyanja562
@malimanyanja562 Жыл бұрын
Ukitaka kujua mwakinyo ni levo zingine angalia mabondia kama awa utagungundua wamejaa maneno tu ila ngumi sizionagi mimi
@lama6310
@lama6310 Жыл бұрын
Kwa Mchezo Ule mwakinyo Aliocheza Dodoma Hata Said Bwanga Anampiga
@enockkifaru4121
@enockkifaru4121 Жыл бұрын
Jamali kunoga akitengenezewa njia..ni kama mwakinyo anavopigana
@charlesinestor6094
@charlesinestor6094 Жыл бұрын
Tuheshimishe MAPAFU
@GrolySunday
@GrolySunday Жыл бұрын
Mfaume kachez vizur. Tu
@marcellysumaye341
@marcellysumaye341 Жыл бұрын
Huyu jamaa ameanza kupigana mda mrefu sana tokea mwaka 2012 yupo ulingoni tu lakin cha kuxhangaza mpaka leo ananyota 1 ubishoo mwingi
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 Жыл бұрын
Big up Sana kwa mapaf ya dog
@JustineJustin-dx9cq
@JustineJustin-dx9cq Жыл бұрын
Mapafu 😂😂😂😂 unanikosha
@TALLUBOY
@TALLUBOY Жыл бұрын
awa mafundi
@user-gd8eu7yc6k
@user-gd8eu7yc6k Жыл бұрын
Noma mkal wa mabibo
@uwezotv
@uwezotv 10 ай бұрын
HEBU PIGENI KURA HAPA KWA NGUMI HIZI ZA MFAUME ANAWEZA KUPAMVANA NA MWAKINYO KWELU? SI ATAKUFA HUYU
@bakarishaban9311
@bakarishaban9311 5 ай бұрын
Mfaume akipigana na mwakinyo waandae kaburi
@rickmahelela6680
@rickmahelela6680 Жыл бұрын
Nice mfaume
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Huyo chikande ana mikono kama ya NYANI NGWENGWE , .....mikono mirefu gadi NONDO..!
@allylukinga3582
@allylukinga3582 Жыл бұрын
Kaka ushindi umenyookaa kabithaaa
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl Жыл бұрын
Ama
@gwantadibusta
@gwantadibusta Жыл бұрын
Oiii mapafu ya mbwa noma
@helbethivalentinohizza
@helbethivalentinohizza Жыл бұрын
Naitwa HELBETi na wapata nikiwa kongo mtuakikandwa semeni ukweli acheniushabiki
@BilobzBzee-ed5jy
@BilobzBzee-ed5jy Жыл бұрын
Stili hii mfaume atapigwa vibaya na pialali bado kiwango kikochini sana
@abubakariali9848
@abubakariali9848 Жыл бұрын
Hamna ngumi hapa 1 - 8 wanacheza kama sparing pambano limepoa san wapewe nafasi vijana waoneshe vipaji vyao.., na pia Azam TV itafute wachambuzi wa Boxing na sio wapenz wa Boxing Pambano limepoa watangazaji wamepoa inatoa ladha ya ngumi
@issaissa1361
@issaissa1361 Жыл бұрын
Ivi awa mapromota watafutieni mabondia wenye uwezo apo hamna ata upinzani wote wakaendelee na mazoezi
@user-nn9nx6zl5w
@user-nn9nx6zl5w Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 iv uyu ndo mnampiganisha na iddy pialali Simba wa kijeshi 😂😂😂😂😂 mamae atapigwa kama ngoma ya kizalamo yan sijaona ata ngumi ya hatar zaid ya board punch nimeona uchawi tu wa mama ake 😂😂😂😂😂😂
@mc_rasbeib834
@mc_rasbeib834 Жыл бұрын
We kusema ukweli hujui kabisa maneno ya masumbwi, idi pialali sio bondia hamna bondia wa hivo, hajaufikia uwezo wa kupigana na mfaume ata kidogo
@YustoMlay-is8ed
@YustoMlay-is8ed Жыл бұрын
Mfaume pumzi anayo
@yohanekopilato-wn3lo
@yohanekopilato-wn3lo Жыл бұрын
Huyu kweliii ni Mfalme wa ngumiii
@HusseinNgendanyi
@HusseinNgendanyi Жыл бұрын
Huyu jamaa MFAUME ndo hamnaga kitu kabisaa Masifa kibaoo ngumi hajui Wakati anapambana na mkate wa KIZANZIBAR
@alfredsalim5279
@alfredsalim5279 Жыл бұрын
Mfaume sio bondia
@tonnyelias9454
@tonnyelias9454 Жыл бұрын
Kapigane ww bondia unadhani ngumi za vichochoroni ngumi za akili kama uelewi tembea na bwana
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 Жыл бұрын
Huyu ndo shujaaa wa ngumi
@saidiathuman-og6bc
@saidiathuman-og6bc Жыл бұрын
Amna kitu apo mfaume bwege uyo mpika maaandazi uyo kuku2
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 Жыл бұрын
Mfaume mfaume kashinda kijalali kabsaaa hata mm huku les vagas naangalia hil pambano Jamaa mmalawi mda mwing kufunga gadi tu hata askooo ongera sana mapat ya mbeaa
@coolruler6820
@coolruler6820 Жыл бұрын
😁Les Vagad
@abdulzinga5878
@abdulzinga5878 Жыл бұрын
Upo las vegas na hata kuandika vzuri hujui bro unazngua
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 Жыл бұрын
Abdul zınga What confuses you ? writting scriptures do not meant the reality ,
@abdulzinga5878
@abdulzinga5878 Жыл бұрын
@@twaibumikidadi7377 of course, what you're writing or saying have to represent how good are you in a certain language you're using at a time, especially he says he's watching at lagos means that he lives there, so how comes a person living i lagos speaks such an amateurs words of english while its a language peaple are using as a communication language in daily life activities at a place he lives.
@abdulzinga5878
@abdulzinga5878 Жыл бұрын
@@twaibumikidadi7377 men that's some bullshit.
@amosimvumaamov3840
@amosimvumaamov3840 Жыл бұрын
Mfalume amepigwa ngumi nyingi Sana
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Жыл бұрын
Kabebwa daah munapoteza ukweli wauni
@liboriusbabile1197
@liboriusbabile1197 Жыл бұрын
Hujielewi.
@user-np3xn4jo9l
@user-np3xn4jo9l Жыл бұрын
Mfaume bado cn afanye mazoezi
@gwantadibusta
@gwantadibusta Жыл бұрын
We hujui ngumi
@coolruler6820
@coolruler6820 Жыл бұрын
Kiukweli Mfaume bado sana kwenye ngumi,,,tambo alizo nazo na ngumi anazocheza haviendani,,,,,Anatakiwa kujifua zaidi na kuachana na tambo za mitandaoni maana kwa staili hiyo kimataifa hatoboi
@ibrahimutuwaamiri9163
@ibrahimutuwaamiri9163 Жыл бұрын
Kwa mwakinyo hatoboi mfaume kumbe manenoo tuu ndo mengi ila shughul hamnaa anarukarukaa tuu😂😂😂
@jonlocha1957
@jonlocha1957 Жыл бұрын
Unaongea ww unaweza ngumi!?
@coolruler6820
@coolruler6820 Жыл бұрын
Si kuziweza tuu,,,,nazifahamu, na ujana wangu nilikuwa fundi kweli,,ila hata wewe si umeona mwenyewe,,kwenye ukweli tusifiche, pa kusifia tusifie na pa kukosoa tukosoe,,hiyo ipi na inasaidia kumboresha mtu
@coolruler6820
@coolruler6820 Жыл бұрын
Tatizo lake sifa zimemzidi na hataki kujiona kama bado ana mengi ya kujifunza ktk ngumi,,,,kwa Mwakinyo hatoboi kabisa, anarukaruka tu kama usemavyo
@amosimvumaamov3840
@amosimvumaamov3840 Жыл бұрын
Mfalume amepigwa ngumi nyingi Sana
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 33 МЛН
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 11 МЛН
HOTUBA YA MWAMBA IBRAHIMU TRAORE NI YA KUWAKERA MABEBERU
15:11
UKUU WA MWAFRIKA (IBM)
Рет қаралды 59 М.
Ong Bak | Fight Club Scene
15:05
Cinewatch
Рет қаралды 72 МЛН