🔴

  Рет қаралды 288,427

Bongo Boxing Safari

Bongo Boxing Safari

3 ай бұрын

🔴#Live: 'KO' ya HASSAN MWAKINYO Akimchapa MWANAJESHI wa GHANA RAUNDI ya SABA, MTATA MTATUZI ZANZIBAR
ULE Usiku uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu wa pambano la Hassan Mwakinyo vs Elvis Ahorgah hatimaye umewahi na Bongo Boxing Safari tunakuletea matukio yote yanayoendelea kwenye pambano hili.

Пікірлер: 421
@yakoubaliy7559
@yakoubaliy7559 3 ай бұрын
Hongera sana Brother Mwakinyo Allah akuzidishie uwezo mkubwa katika safari yako ya boxng na uweze kuimarisha vipaji tanzania
@mfebricknkuna7106
@mfebricknkuna7106 3 ай бұрын
Tumeona uwezo wako, mdogo wangu. Mungu akujalie na akulinde kwenye safari yako. Wewe ni bingwa kwenye uzito wako.
@njilatv-pj1gq
@njilatv-pj1gq 3 ай бұрын
Kuna wenye mamlaka..Na walio chini ya mamlaka....Ila bibi alininong'oneza..! Jua halifunikwi na ungo..! Na ukiona kwako Giza basi kwawenzio kunawaka...!! Tukiachana na hayo mwakinyo ni mtu mwingine... HONGERA SANA MWAKINYO.
@nzumbibahati2192
@nzumbibahati2192 3 ай бұрын
Hongera sana Mwakinyo, umeonyesha wewe ni Bondia na ngumi unazijua, tatizo TZ hatupendi vyetu, nashangaa pambano kubwa Azam nao wanaonyesha ngumi za kitoto...ilitakiwa hili walipromoti Kwa nguvu kuinyesha Dunia namna ngumi za kimataifa zilivyo, wao wanaonyesha sijui ngumi Gani!!! Au ulikuwa mpango wa kuvunja coverage ya Mwakinyo nn? Tuache wivu Mwakinyo anakipiga sana..❤❤
@janejoel2465
@janejoel2465 3 ай бұрын
Watu wame umbukaaaaa ❤❤❤
@user-yu6zj3bw1y
@user-yu6zj3bw1y 3 ай бұрын
Wanatumia nguvu kubwa kumpoteza mwakinyo
@reubenmajambo1270
@reubenmajambo1270 3 ай бұрын
Kumbe hawajaonesha
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 3 ай бұрын
❤❤
@salumumchaga9717
@salumumchaga9717 3 ай бұрын
😂😂😂😂 ukweli haujifichi, tumeona ,tumegundua na tupo Benet na mwakinyo
@user-ct7qy4oy9q
@user-ct7qy4oy9q 3 ай бұрын
Hongera sana Hassan Mwakinyo kwa kazi nzuri sana yenye uweledi wa hali ya juu, Shukrani sana Mr Hassan Mwakinyo kwa kuipeperusha vyema bendera yetu ya Tanzania.
@user-pj8yc3zw6m
@user-pj8yc3zw6m 3 ай бұрын
Mwakinyo mungu akujalie us❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@omarzinga7046
@omarzinga7046 3 ай бұрын
ZBC should be able to slow motion highlights each round
@universitylink
@universitylink 3 ай бұрын
Mwakinyo yuko fit sana alikuwa anamsoma alipombadilishia mguu ili apige jab na Cross na upper cut
@user-pj8yc3zw6m
@user-pj8yc3zw6m 3 ай бұрын
God bless you 🙏🙏🙏 mwakinyo
@veelmng7746
@veelmng7746 3 ай бұрын
Hizi ndio boxing ya ukweli jamaa wote fit. Hongera sana Mwakinyo. Pia waandaaji kwa kuandaa pambano zuri kama hili
@yahyambigily6031
@yahyambigily6031 3 ай бұрын
Wenye maua ya Mwakinyo njoni hapa💪
@frankhaule8570
@frankhaule8570 3 ай бұрын
Mtangazaji na mchambuzi mlikuwa vzuri sana kutuletea radha nzuri ya matangazo na uchambuzi🔥
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 3 ай бұрын
Tumeinjoi sanaaa Crawford wa tanga umewafunga midogo wenye roho za ku2 msena wangu mungu ndo kila ki2 leo wataongea nn mana alukuwa wanasubria kuongea cwackii kmya dadek champenz oyeee❤❤❤❤
@boniphacenkombe4868
@boniphacenkombe4868 3 ай бұрын
Champez..one more time for the king
@FunnyChurros-hy9fe
@FunnyChurros-hy9fe 3 ай бұрын
Kama unasema mwakinyo kapambana na mnyonge omba week pambano na mwakinyo au mlete Baba ako
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 3 ай бұрын
Wewe umemleta uyo babako
@user-qk5gh5ns9m
@user-qk5gh5ns9m 3 ай бұрын
Huelewi kiswahili ww​@@rogerabdallah439
@avelinpriscus6018
@avelinpriscus6018 3 ай бұрын
Mletemamayako
@husseinmanyanga1587
@husseinmanyanga1587 3 ай бұрын
Allah azidi kukupaisha bondia wetu watanzania tuko nyuma yako.
@Jibambeshow254k
@Jibambeshow254k 3 ай бұрын
😂😂mtu anapigwa pekeake wasema ukopamoja naye acha uongo
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 2 ай бұрын
😂😂😂😂​@@Jibambeshow254k
@user-ej3ho5ps4n
@user-ej3ho5ps4n 3 ай бұрын
Oya msimfananishe Mwakinyo na Twaha kiduku ,Twaha bado mdogo sana
@user-gc3ec9wx6z
@user-gc3ec9wx6z 3 ай бұрын
Hana lolote
@janejoel2465
@janejoel2465 3 ай бұрын
Kweli kabisa . Kiduku anatabia ya kujitupia mwilini kwa wenzio na limwili lake ndio maana yule muafrika kusini alimshinda coz akirukia mwilini alikuwa ana mkwepa
@user-du6bd3no2b
@user-du6bd3no2b 3 ай бұрын
Kiduku kwa mwakinyo ni kama kusukuma mlevi tu....yaani huyo kiduku asije kuyakanyaga kwa mwamba huyu
@frankbai2473
@frankbai2473 3 ай бұрын
Hongera sana mwakinyo kwa mechi nzuri@najua unapitia figisu nyingi ndo TZ tulivyo mtu mwenye mafanikio anapigwa vita badala na ku suppprtiwa@MWENYEJI MUNGU akusimaie uendelee kupeperusha bendera
@bigemagomabigemagoma6312
@bigemagomabigemagoma6312 3 ай бұрын
Ongera Sanaa kaka 🎉kumbe Azam wa ovyo mbona hawajaonesha
@ishengomarugemarila908
@ishengomarugemarila908 3 ай бұрын
Nakukubari mwakonyo
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve 3 ай бұрын
You is 👑 in Africa
@musaamos2431
@musaamos2431 3 ай бұрын
Nakukubalj mwamba mwakinyo pamoja sana
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 3 ай бұрын
Kiduku atapigwa kipigo cha mbwa kokoooo, mpaka piko😂😂. Mwakinyo congratulations
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 3 ай бұрын
The best boxer in Tanzania kwa uzito wao
@mussamwamoto8231
@mussamwamoto8231 3 ай бұрын
Mwakinyo hongera Sana,umeonyesha maneno na vitendo kwa pamoja,watu wengi na mabondia wanakuchukia ila hawaelewi kuwa kuongea kwako kunaamsha amsha games za ngumi kuwa na ushindani,salamu kwa wapaka piko zimefika,wale walio andaa pambano Tanga ilikuwa ni gamę plan kuvuruga bambano la Zanzibar,ila mungu kawaumbua na tumeamini maneno yako kuwa ni maadui zako,kwa nini wasipange pambano lao tarehe 28?
@josephatmakaranga
@josephatmakaranga 3 ай бұрын
Haongei kuamsha amsha tu Bali jamaa anatetea haki za mabondia pamoja na maslahi yao kwa ujumla.
@user-vm1yw6yh5u
@user-vm1yw6yh5u 3 ай бұрын
This is good my role model champezi one mo time hasaaaaaani mwakinyoookioooooooooooo,🔥👊
@hassanlyanga9415
@hassanlyanga9415 3 ай бұрын
Kazi nzuli wajinaa🔥
@sidebraizoy2070
@sidebraizoy2070 16 күн бұрын
Nakukubali sana champez🎉
@user-ku1ys6xf6x
@user-ku1ys6xf6x 3 ай бұрын
Asante🎉
@Izaangonyan
@Izaangonyan 3 ай бұрын
Hongera bingwa from my country i am so proud for MWAKINYO pambono moja tu ndio uliniangusha mjin Liverpool lkn unapoamua kuifanya kaz unaifanya kisawasawa na sijaonaga kama Mwakinyo
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 3 ай бұрын
Huyu Mghana alikua mgumu sana. Welldone Mwakinyo
@user-ky3dj4tp5i
@user-ky3dj4tp5i 3 ай бұрын
Pipa na mfuniko hao
@user-cu6mr4uj9q
@user-cu6mr4uj9q 3 ай бұрын
Allwah atakusimamia mwakinyo
@hamzamakame-fy6yp
@hamzamakame-fy6yp 3 ай бұрын
Maasha allah hassan hongera kwako kaka wanao bishana na ww ndy wanaokuwa chanzo cha siziki yko wako hivyo waendelee kuwa na chuki wako maana ww unaakilia ya ngumu hivyo watakuchukia tu 💪💪💪💪
@angelangaiza2274
@angelangaiza2274 3 ай бұрын
Mwakinyo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@AdilRashid-lw9wg
@AdilRashid-lw9wg 3 ай бұрын
Kama unajua unajua tyu mti wenye matunda ndo hupigwa mawe Yan mnatak mtudanganye kwadunia hii kwamba mwakinyo hajui ngumi?nyie mwakinyo ni bondia haswa TNG❤❤❤❤❤❤❤
@mwananganzi
@mwananganzi 3 ай бұрын
Congratulations to u and god bless u HASSAN Mwakinyo
@josephmwabange9633
@josephmwabange9633 3 ай бұрын
Yule jamaa ni mbavu lakini ,mwakinyo ana uzoefu mwingi, na ngumi yake haitui ovyo, hongeraaaa brother Mwakinyooo, utakuwa mnyakyusa wewe hakika , maana ni nooooomaaa! Mungu aendelee kukutia nguvu, tulikumisi ulingoni sanaaa! Sasa tafadhari sana , katupigie yule muingereza basi , naamini utaonesha maajabu !
@hamadkipenzy6905
@hamadkipenzy6905 2 ай бұрын
Uwezo wa Hassan Mashallah Allah azidi kumpanguvu katika mikono yake Insha'Allah kingine kiherehere cha mtangazaji anamtangaza mshindi kama yeye ndiyo refa hajafuta protocol ametengeneza delay
@zaradially1666
@zaradially1666 3 ай бұрын
Keep it up mwakinyo baba ngumi unajua watazania sisi wivu ndio tatzo nakupa maua yako🎉
@user-uu5fi2zz7h
@user-uu5fi2zz7h 3 ай бұрын
Good job champenz
@user-pq2gv9wm1h
@user-pq2gv9wm1h 3 ай бұрын
❤❤❤ yako Ayo hasani waonyeshe maboya wataka kufafana naww
@LovelyGo-Kart-so8ur
@LovelyGo-Kart-so8ur 3 ай бұрын
Honger kaka ww nifundi wangumi unajuakk
@osoovieraamigo4709
@osoovieraamigo4709 3 ай бұрын
Hongera familia hii game umeonesha umaarufu sio siri...keep it up MWAKINYO🎉
@user-bv4gu5po4g
@user-bv4gu5po4g 3 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉kazi nzuri broo hassan❤❤ tz oyeee
@hamadiselemani8665
@hamadiselemani8665 3 ай бұрын
hongera sana
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 3 ай бұрын
Safi sana kijana mchezo uko sawa.
@GiahESayi
@GiahESayi 3 ай бұрын
Hongera Sana mwakinyo aibu yao waliokuwa wanakutafutia mzengwe ktk kazi zako mungu akizidi kukupambania mwisho wao ni aibu
@davidmeta8747
@davidmeta8747 3 ай бұрын
Cha kushangaza wapo humu wamegeuka kumshangilia,,hii ndio tz,rafiki kinyonga,leo rafiki kesho adui keshokutwa rafiki
@user-wv1pu4jo3k
@user-wv1pu4jo3k 15 күн бұрын
Huyu soja wa Ghana kule kwao ndio kama kiduku huku Tanzania levo yake ni kiduku sio mwakinyo kwa mwakinyo atachezea sana
@imanimwampagama8390
@imanimwampagama8390 3 ай бұрын
Nimefuatilia comment za watu hakika nyota ya mtu huwezi kuua kabisa utajitahidi kuififisha lkn mungu ana kung'arisha zaidi sema wabongo msema kweli wanaona kama mkorofi jamaa hapendi ubabaishaji!
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 3 ай бұрын
huyu jamaa kiboko hana rongorongo wenye wivu wakakojoe wakalale😂❤❤❤
@user-hi5dx1cn6b
@user-hi5dx1cn6b 3 ай бұрын
TZ one forever and ever
@user-ib5jh9xg5q
@user-ib5jh9xg5q 3 ай бұрын
God bless 🎉
@chiamberboy2394
@chiamberboy2394 3 ай бұрын
Amazing fight
@adampius5140
@adampius5140 3 ай бұрын
Kma hajaguswa yaan macho meupeeee Hongera sana Hassan Mwakinyo unatuwakilisha vemaaa sana
@DavisMmole-yk8lo
@DavisMmole-yk8lo 3 ай бұрын
Mwamba unajua waache wasiojielewa wakuseme vibaya ukiwa unapambambania maslai Yako ❤❤we ni mwelevu hepuka unyonge bro pigania maisha Yako Kaz iwe na maslai fanya Kaz good champion
@user-nv8oq5ep6c
@user-nv8oq5ep6c 2 ай бұрын
hongera brother
@jabrous2057
@jabrous2057 3 ай бұрын
hayufosi KO tunacheza professional boxing,,champez one time hongera
@adammbarouk4379
@adammbarouk4379 3 ай бұрын
❤🎉 hongera sana bro
@user-wv1pu4jo3k
@user-wv1pu4jo3k 15 күн бұрын
ingetakiwa mwakinyo angeenda kule Ghana akamfue soja kule kule kwao ili heshima iwepo
@hariethmatungwa9293
@hariethmatungwa9293 3 ай бұрын
Kazi nzuri
@WebDevComputerLearning-dr8ej
@WebDevComputerLearning-dr8ej 3 ай бұрын
Champez Mwakinyo............! The One N Only in Tanzania and Africa
@abubakariali9848
@abubakariali9848 3 ай бұрын
Hongera mwakinyo kwa ushindi mnono Ila kwa huyu mwanajeshi hakuna bondia anapiga ngumi kama tunaangalia Slow motion sioni Jab, sioni Combination, 1 two hakuna kwa ufupi ni pambano la kawaid na hio Combat angeivua anatudhalilisha wanajeshi
@kellybreezytz2491
@kellybreezytz2491 3 ай бұрын
Kesho tutakuita upigane wewe
@user-wv3dq4mx3d
@user-wv3dq4mx3d 3 ай бұрын
Big up mwakinyo
@rashid3562
@rashid3562 Ай бұрын
Mwakinyo mungu amjalie nguvu zaid
@saidmagayuka4939
@saidmagayuka4939 3 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯
@jumamabu3650
@jumamabu3650 3 ай бұрын
Mwakinyo ni fundi , anajua sana Allah amjalie kijana huyu
@AyubuKibengu
@AyubuKibengu 3 ай бұрын
Hongera sanaa mwakinyo nimefurahii sanaa hinzo ndo ngumi tunataka safi sana
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 3 ай бұрын
Mwakinyo umetisha❤❤❤❤❤
@hamadkipenzy6905
@hamadkipenzy6905 2 ай бұрын
Tanga Alihamdulillah tupo vizuri zaidi sana kuna kina bonzo na mambea sasa Mtoto wao Mwakinyo
@AthumanSeleman-zz3im
@AthumanSeleman-zz3im 3 ай бұрын
Safi Sana brother
@yohboy8810
@yohboy8810 3 ай бұрын
Kinyoo boy
@abuuyusufamashi5459
@abuuyusufamashi5459 3 ай бұрын
Mwenyezi mungu amkinge na Mahasidi
@user-zs4xz1vv4o
@user-zs4xz1vv4o 3 ай бұрын
Safi sana champez Mogadishu famili
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 3 ай бұрын
Mwanajeshi wa gana amepigwa na raia wa bongo breeking news 😂😂😂😂😂😂
@faakhames
@faakhames 3 ай бұрын
Nakukubali sana mwakinyo zidi kutangaza tz
@HappyGrant
@HappyGrant 3 ай бұрын
Mwakinyo mtegemee Sana mungu upo viziri Sana sio makuli wanaigiza ngumi wanakumbatia
@user-vm1yw6yh5u
@user-vm1yw6yh5u 3 ай бұрын
Uyu ni crawford wa tz🔥👊
@JeremiaJohnsonmkane
@JeremiaJohnsonmkane 3 ай бұрын
Onger bloo God bless you
@saidsam3053
@saidsam3053 3 ай бұрын
Hongera sana broo ALLAH azidi kukusimamia inshallah waloanzisha pambano jn tanga walikuwa na Nia mbaya ya kukuharibia pambano lko ila Allah kakuhifadh haiwezekani star km ww jn ilitakiw tz nzm ikuangalie ww lkn Kun wanafik tz sure
@jabrous2057
@jabrous2057 3 ай бұрын
❤❤
@user-yo7sj8fs4h
@user-yo7sj8fs4h 3 ай бұрын
Jamaa anajua. Wanajitahidi kumtenga na kumtengenezea chuki bure. Safi Mwakinyo
@user-fu6qu6dd4x
@user-fu6qu6dd4x 3 ай бұрын
Information us who is who identifying by their trunks
@eshaabdallah8253
@eshaabdallah8253 3 ай бұрын
Umeweza kaka wa Taifa🇹🇿
@damaspmtz1018
@damaspmtz1018 3 ай бұрын
Mwakinyo Unajua ngumi, ukitoka wewe anafuata Twa kiduku anafuata Ibrahim clask Big up Tanzania 🇹🇿 my best
@zuberikamote2078
@zuberikamote2078 3 ай бұрын
Safi sana mwakinyo mdogoa angu mungu akusimamie umeiheshimisha tz umetuheshimisha watanga wenzio
@AwadhiAlfani-bd5pj
@AwadhiAlfani-bd5pj 3 ай бұрын
sikuzote tulikua tunangalia ugovileo tumeangalia ngumi
@user-lk3qc7vr2n
@user-lk3qc7vr2n 3 ай бұрын
😂😂😂 Kwa hakika
@hamsikrasheedi1796
@hamsikrasheedi1796 3 ай бұрын
😂✊🏼
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 3 ай бұрын
Ugovi ni nini?
@wadudi2741
@wadudi2741 3 ай бұрын
Hahahahahahahha
@SwalehSaid-mf5sg
@SwalehSaid-mf5sg 3 ай бұрын
​@@Ndu-wa.uroony2 ugomvi ni vurugu za ulingoni yani kukosekana ladha ya boxing ndicho alichomaanisha nduguyangu nahili ni kweli kabisa
@FakiBuzwhite-no6re
@FakiBuzwhite-no6re 3 ай бұрын
Mm ni mzanzibari ila mwakinyo nakukubali sanaaa
@modestusndunguru7183
@modestusndunguru7183 3 ай бұрын
Acha kusema mi ni mzazibar..mbona Kwan yeye kakuambia wa wap😂😂 ..hata ukiwa wa komoro...baridi tu
@masoudchegeka9752
@masoudchegeka9752 3 ай бұрын
💪✌️
@HamisiWadali-es6fs
@HamisiWadali-es6fs 3 ай бұрын
Hongera champez
@JumaKimanga
@JumaKimanga 3 ай бұрын
Champion mwakinyo Yuko power kabisa
@abubakarially3461
@abubakarially3461 3 ай бұрын
Pamoja sana home boe
@user-ou8hr9ff8g
@user-ou8hr9ff8g 3 ай бұрын
Dua sana kwako Kaka mwakinyo
@tumainmbuba260
@tumainmbuba260 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@zubeirsalum4823
@zubeirsalum4823 3 ай бұрын
mghana kapipa hesabu kaona hawez toboa round ya 10, hongera hassan mwakinyo
@MwanaNgurumo
@MwanaNgurumo 3 ай бұрын
Ninakuamini sana mwaba ujawai kunihagusha mtan wangu wasambaa hoyeee❤❤
@abubakarially3461
@abubakarially3461 3 ай бұрын
Mashallah
@mariamthomas5554
@mariamthomas5554 3 ай бұрын
Hongera Kwa mpambano mzuri
@SelemaKidundo-ii2pz
@SelemaKidundo-ii2pz 3 ай бұрын
Mwakinyo mwakinyo mwakinyooooo bingwawangumi afrikanzima
@ezekielmbise9766
@ezekielmbise9766 3 ай бұрын
Wanafiki wote baada ya ushindi wako tunakuunga mkono. 😅hongera Sana mwakinyo
@issabakary-no2kc
@issabakary-no2kc 3 ай бұрын
mwakiyo nakukubali leo umepapan kwelikweli ss tunakuombeya nduwa uzindi kutuwakilisha watazaniya wenzako 🤝🤲🤲
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 3 ай бұрын
Ukwel haufichiki mwakinyo ngumi unajua wanao sema ngumi hujuwi chuki zao tu pambana bro utafika mbali kwa uwezo wa god
CAN YOU HELP ME? (ROAD TO 100 MLN!) #shorts
00:26
PANDA BOI
Рет қаралды 17 МЛН
Super sport🤯
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 14 МЛН
Маленькая и средняя фанта
00:56
Multi DO Smile Russian
Рет қаралды 4,1 МЛН
MSANII HARMONIZE AMEKASIRISHWA NA MPIGANAJI WA NGUMI HASSANI MWAKINYO
1:42
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53
YahStoneTown
Рет қаралды 257 М.
FULL FIGHT | Floyd Mayweather Jr. vs. Marcos Maidana (DAZN Rewind)
56:51
LOVE BITE  《01》
31:27
Boncena got Talent
Рет қаралды 332 М.
VITASA | Ibrahim Class vs Xiao Tau Su | #UlingoWaMoto 28/10/2023
39:01
Mike Tyson Vs Jake Paul Face Off 🗿
0:11
Wisemind
Рет қаралды 7 МЛН
kid ronaldinho vs kid haaland ☠️ #shorts #football
0:20
БОЙ: Тайсон Фьюри - Александр Усик | Бокс
4:32
Perfect line challenge 🥇 Ronaldo Vs Messi 🐐
0:15
LauweBaller
Рет қаралды 3,6 МЛН