Highlights: Ibrahim Class alivyomchakaza Dennis Mwale Usiku wa Vitasa -

  Рет қаралды 221,332

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

IBRAHIM CLASS vs DENNIS MWALE: Mtanzania, Ibrahim Class ameibuka mshindi wa mkanda wa WBF Intercontinental Super Light Weight baada ya kumchapa Mmalawi, Denis Mwale kwa pointi kwenye pambano la raundi 12.
Shughuli imefanyika #NextDoorArena Masaki, Dar es salaam.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 109
@charleskaozya9924
@charleskaozya9924 3 жыл бұрын
Kiukweli sasa ivi TANZANIA nchi yetu ktk upande wa boxing tumeanza kuona mambo makubwa safi sanaa hongera kwa mr class 🔥🔥🔥🔥
@festolukumay1217
@festolukumay1217 3 жыл бұрын
Ibrahim Class ndio bondia namba Moja Tanzania hongera sana
@fadhili2293
@fadhili2293 3 жыл бұрын
Ibrahim classic ndio bondia hajawahi niangusha anapopambana apa bongo tofauti na mwakinyo na mfaume
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
ivo
@baltazalbusanya8851
@baltazalbusanya8851 3 жыл бұрын
Respect to azam media to still promoting
@zananabalozi670
@zananabalozi670 3 жыл бұрын
Ibrah class mawe yamekaa sawa. Hongera sana class
@daudimatelot9339
@daudimatelot9339 3 жыл бұрын
Respect kwa Ibrahim class mawe 🇹🇿
@zananabalozi670
@zananabalozi670 3 жыл бұрын
Class ni bondia mzur sana tena sana sio mfaume mfaume
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
duh!
@omaryseif6930
@omaryseif6930 3 жыл бұрын
Hhhhh!! au sio ?
@Kemdraphael
@Kemdraphael 3 жыл бұрын
Tuwe professional kweny kuanalysis game mnakua kama mashabiki wote but what a match fantastic
@fadhili2293
@fadhili2293 3 жыл бұрын
Wanakosea Sana
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
Fadhili wamekosea nn
@HD_mark
@HD_mark 3 жыл бұрын
@@mnzavachris5423 wanakosea kutompongeza mpinzani anapofanya yake
@ismailkatala4792
@ismailkatala4792 3 жыл бұрын
Mfaume na kiduku jitahidini kuwa neutral kwenye analysis mnayofanya....mnaweka ushabiki sana wakati kazi yenu ni kuchambua mchezo... otherwise hongera kwa Ibraah ametishaa 💪
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
halal kabs co
@saidhuma9171
@saidhuma9171 3 жыл бұрын
Game nzur sio ile ya Mfaume mfaume,, Ibra hongera sana
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 3 жыл бұрын
Mfaume hamna kitu anaongea sana kaz hajui
@mowales8040
@mowales8040 3 жыл бұрын
Inatosha kama jina lake Ibrahim Class professional kabisa Ushindi halalii
@AhmedAli-hk1il
@AhmedAli-hk1il 3 жыл бұрын
He deserved to be winer congratulations 👏 ibraclassic
@boningassa4302
@boningassa4302 3 жыл бұрын
Class ni world class athlete
@HD_mark
@HD_mark 3 жыл бұрын
Ibrahim saf sana, afanyie mazoezi stamina ya right yake next time tupate knock out. You're the man Ibrah! Bongo to the world
@fatmabaraka3191
@fatmabaraka3191 3 жыл бұрын
Good boy Ibrahim unanipa raha' kazi nzuri
@hollocharles8205
@hollocharles8205 Жыл бұрын
Huyo ndio mawe on fire
@abasmwika3432
@abasmwika3432 3 жыл бұрын
Safi Ibra Ila fanyia kazi idara ya ulinzi unajiweka wazi sana.
@kidunapoletano3118
@kidunapoletano3118 3 жыл бұрын
Bondia wangu ninao wapenda Na wazee wa show. Namber 1 Mwakinyo 2 class. 3 mfaume Na 5 ni mzee wa show show kiduku. Tuendeleee kuwapa sapoti mabondia wetu ili wafike mbali nao waweze kuishi good time Na wakatuwakilishe Duniani kote bila kumsaau messi wa ngumi salimu mjengo ni balaa
@pedrojimenez7514
@pedrojimenez7514 3 жыл бұрын
Desde Colombia bendiciones para toda África
@fadhilplatnumz6209
@fadhilplatnumz6209 3 жыл бұрын
Good- Ibrahm class umeshinda Vizuri ikpoa .
@josephmshanga7955
@josephmshanga7955 3 жыл бұрын
Mwamba ibra unajua saana .. respect kwako
@twebwetvcommedytz9113
@twebwetvcommedytz9113 3 жыл бұрын
Class wewe nakupa namba 3 kwabongo yani no 1 mwakinyo,no kiduku na no 3 ndio wewe mdogo wangu hongera sana nakuonambali sana
@twebwetvcommedytz9113
@twebwetvcommedytz9113 3 жыл бұрын
2
@abubakarbakar7518
@abubakarbakar7518 3 жыл бұрын
huyo class mfaume nakaa vizuri tu
@greysonsindini5489
@greysonsindini5489 3 жыл бұрын
Hamjui kuchambua mnamchambua mtz tu mmefeli sana
@mack_vita_onyango8409
@mack_vita_onyango8409 3 жыл бұрын
Naona watu wana msema champion Mfaume mfaume, Niwambie tu Game some time huwa ina mkataa mtu, kutokana na aina ya mchezo wenyewe na mpinzani wake" Ila mfaume mfaume champion ni Namba nyengine nina imani Akipata game nyengine hato tuangusha tutataka kuona Bad punch.. high speed punch
@ezekiellukiko4487
@ezekiellukiko4487 3 жыл бұрын
Co kwamba tunasema n mbaya cc tulizungumzia game ile alipigwa akapewa ushindi lakin game nyingine huwa anacheza vzuri
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
Ezekiel Lukiko au co!
@kennedymatonge4833
@kennedymatonge4833 3 жыл бұрын
Mfaume mfaume mashine nyingine
@abdulkarimukitamkanga4053
@abdulkarimukitamkanga4053 3 жыл бұрын
Hongera Sana iblahimu klsasi
@aliymajala5678
@aliymajala5678 3 жыл бұрын
Kazi kazi
@shijamakoye6013
@shijamakoye6013 3 жыл бұрын
Huyu ndio bondia sasa IBRA sio ujinga ule wamfaume mfaume
@fadhili2293
@fadhili2293 3 жыл бұрын
Mfaume anajua ngumi za kuongea tu. Ata mwakinyo naye anazingua
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
Fadhili yamekuwa hayo!
@maikogod7831
@maikogod7831 3 жыл бұрын
Noma
@sarahrajabu9812
@sarahrajabu9812 3 жыл бұрын
Hongera sana class
@emmanuelmwakyusa7383
@emmanuelmwakyusa7383 3 жыл бұрын
Macho yako yanaona kama mimi? Round ya nne wakati Mwale akishambuliwa na Class kocha wa Mwale anaonekana kwenda kuchukua Kitambaa tayari kwa lolote hata kumaliza pambano. Ibra Class is best in Bongo, hakimbii kimbii kwenye ulingo, yeye ni showshow mwanzo mwisho.
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
au co
@jasperjackson8871
@jasperjackson8871 3 жыл бұрын
Big up sn ibra classic!!!
@stephenmatiko2585
@stephenmatiko2585 3 жыл бұрын
Good our champ
@lewismpangala927
@lewismpangala927 3 жыл бұрын
Good boy mhehe wetu mawe
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
nani mhehe!
@shaabanali4869
@shaabanali4869 3 жыл бұрын
Big up ibra
@alexkohe8735
@alexkohe8735 3 жыл бұрын
Classic ni mnoma
@kombozuberi3143
@kombozuberi3143 3 жыл бұрын
Safiii champion
@begaca
@begaca 3 жыл бұрын
Duh trip hii mmezingua mbona kama sio full fight n za kudonoa donoa haina radha duh
@charlesmazige
@charlesmazige Жыл бұрын
class big up
@mchaganaduka
@mchaganaduka 3 жыл бұрын
Boxing in tanzania is taking over
@valensmyovela9483
@valensmyovela9483 11 ай бұрын
Jamani bondia Class atapambana lini tena? Yuko vinzuri sana
@shebanishebe7866
@shebanishebe7866 3 жыл бұрын
Pongezi. Uko vzr
@danielimikaeli1408
@danielimikaeli1408 3 жыл бұрын
Hawa ndomabondia wakuleta safisana Ibla
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 Жыл бұрын
Ibra amejitahidi sna ila amepogwa
@kinyikaog7267
@kinyikaog7267 3 жыл бұрын
Daaa ongela yake
@liboriusbabile1197
@liboriusbabile1197 3 жыл бұрын
ibra anapiga punch zinanyooka, zina speed na anacheza kizungu kabisaaaa. game utazani MGM grand. hata mwakinyo alibondwa kabisa na mfilipono uzalendo uka mbeba. ibrah anatupa jamani ngomi zote jamaa anatipa
@Skha_LowTk
@Skha_LowTk 3 жыл бұрын
Next time bro Denis..
@halfanijuma7646
@halfanijuma7646 3 жыл бұрын
Very cool fight congrtas to ibra class
@lifeisgood4242
@lifeisgood4242 3 жыл бұрын
Very heavy. The fight is cool and interesting.m
@mchaganaduka
@mchaganaduka 3 жыл бұрын
Simply mwale couldn't match up ibrahim speed
@patrickmuvendi142
@patrickmuvendi142 3 жыл бұрын
Ibra huyu ndo bondia Bora tz
@jacksonjoel1352
@jacksonjoel1352 3 жыл бұрын
Big up usiwe kama mfaume anapigwa kam mtoto
@gavethhans5242
@gavethhans5242 3 жыл бұрын
Hamna bondia maneno mengi tu mkienda ugenini mtachapika sana sababu mnapigana ķwa mdomo ila Mwakinyo kiboko yao hana mpinzani
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 3 жыл бұрын
doh
@ramsonramadhan4156
@ramsonramadhan4156 3 жыл бұрын
Nyie sio wachambuzi ni mashabiki Nguli...not gud
@zabronnkoy4908
@zabronnkoy4908 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@ezekiellukiko4487
@ezekiellukiko4487 3 жыл бұрын
Kabisaa sasa mfaume na ibra wote wanacheza gym moja ndio maana hapo ibra akipigwa wanakaa kimya
@frankmwacha
@frankmwacha 3 жыл бұрын
Maweeeeeee
@piuszahoro4326
@piuszahoro4326 3 жыл бұрын
Hii mechi hatar
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 жыл бұрын
Pambona zuri sana
@twalibuabubakarichamotto1449
@twalibuabubakarichamotto1449 3 жыл бұрын
Pambaneni tuliongezee taifa thamani kila idara
@bernardoleonard7331
@bernardoleonard7331 3 жыл бұрын
Kabisa na inaongekeka kwa kasi
@lutenganocharles7194
@lutenganocharles7194 3 жыл бұрын
Classic is better than mfaume and mwakinyo he use brain and he is fast he a shapper appreciate that was the box we need not uzalendo you won that fight 100 percent
@googletz4527
@googletz4527 3 жыл бұрын
Show show
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 3 жыл бұрын
Jimmy Kabwe Hapa Kazi unayo kwakweli😎😎😎 Mnhhh Utopolo hao wachambuzi.. Jimmy Kabwe Nakukubali.. Azam tafuteni wachambuzi sio hivi ni fujo Tu.. Hawajibu vzuri wanavyoulizwa.. Mungeleta mtu mwengine mwenye mawazo kama ya Jimmy Sio kila mtu anafaa kuwa kwa hiki kipaza..
@naomisosoma9667
@naomisosoma9667 3 жыл бұрын
Yani nishosho
@lutenganocharles7194
@lutenganocharles7194 3 жыл бұрын
Alaf nyie watangazaji mnapotangaza pambano acheni kutaja neno uzalendo Hilo Ni shindano msiwe upande mmoja mnakosea Sana mapambano yte huwa mnasema uzalendo haitakiwi hivo nyie tangazeni ngum achaneni na maswala ya kuwa one side lekebikeni
@danielimikaeli1408
@danielimikaeli1408 3 жыл бұрын
Mwakinyo naTwaha kiduku hamjawahi kupambana kamahuyu Ibla
@SwaibuIbrahimu
@SwaibuIbrahimu Жыл бұрын
😅😅😅Àsim
@salehemkanza6495
@salehemkanza6495 3 жыл бұрын
Rali
@mchayunguadamu9120
@mchayunguadamu9120 3 жыл бұрын
neno kuuza nyago sio neno lakiungwana kwenye mchezo tujifunze watu wengi wanafatilia
@twaizoofficial4455
@twaizoofficial4455 2 жыл бұрын
W
@jaspermkoxeffu9039
@jaspermkoxeffu9039 3 жыл бұрын
Samata
@kinyutatonha8831
@kinyutatonha8831 3 жыл бұрын
yule alo akisema nitamuua atachangiwa hela arudi kwao mbea naona alikuwa anatoa madevu tu hana lolote sifa nyingi na majigambo mwambieni aangalie pambano ilo iliajifunze
@elizayanga9756
@elizayanga9756 3 жыл бұрын
Hahahaaaaaaa
@coolruler6820
@coolruler6820 3 жыл бұрын
Tuna vijana wazuri,,tatizo bado naona lipo kwa makocha. Ktk ngumi hakujapatikana kocha mahiri wa kunoa hawa vijana tukaona vitasa angalau kama vile vya Mbwana Matumla enzi za ubora wake kipindi akinolewa na kocha Msouth
@hamudumussa4986
@hamudumussa4986 3 жыл бұрын
Saivi mapromota tunataka mkanda wa WBO
@mosesjohn9986
@mosesjohn9986 3 жыл бұрын
Makin
@deusmauka9626
@deusmauka9626 3 жыл бұрын
Mfaume Mfaume na wewe jifunze kupigana kwa weledi acha ujinga, tatizo la mfaume kinachomdhoofisha ni ngono zembe kwa mkewe, kuweni mbali na wake wenu mwezi mmoja kabla ya pambano, ngono inadhoofisha mwili.
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 3 жыл бұрын
Ibrahm klas ni mtu hatal huyu ndio bundiaa mwenye raza ya mpambano sio wale wanao letwa na wenginee
@deusmauka9626
@deusmauka9626 3 жыл бұрын
Watangazaji acheni ujinga wa kuegemea saaaana upande mmoja onyesheni uelewa wa kazi mnayoifanya kuweni nyutro. Sifia kwa akili msiwe kama mbumbùmbu wa utangazaji.
@nyagenyage104
@nyagenyage104 3 жыл бұрын
Nyage@1234
VITASA | Ibrahim Class vs Said Chino | KAZI IPO 27/05/2023
38:34
iPhone or Chocolate??
00:16
Hungry FAM
Рет қаралды 52 МЛН
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 30 МЛН
VITASA | Twaha Kiduku alivyomtwanga Dullah Mbabe - 20/08/2021
23:03
Lamine Yamal will never forget Endrick's performance in this match
14:22
AML_QUATER FINAL_BOUT 17_S-PRO
12:11
African MMA League (AML)
Рет қаралды 801
The Most Hated... and Elusive Knockout Artist - Prince Naseem Hamed
36:49
VITASA | Ibrahim Class vs Xiao Tau Su | #UlingoWaMoto 28/10/2023
39:01
iPhone or Chocolate??
00:16
Hungry FAM
Рет қаралды 52 МЛН