MABINGWA WA ULINGO: Tony Rashid Vs Bongani Mahlangu - 03/08/2021

  Рет қаралды 273,852

Azam TV

Azam TV

2 жыл бұрын

Fuatilia hatua kwa hatua, ujionee mbinu alizotumia bondia kutoka Afrika Kusini Bongani Mahlangu kumkalisha Mtanzania, Tony Rashid kwa KO.
#MwakinyoVsIndongo #TonyRashidVsBonganiMahlangu #MwakinyoIndongo #TonyMahlangu #VitasaNight #Vitasa #Septemba03 #MabingwaWaUlingo
@hassan_mwakinyo_jr
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 153
@allyhamisi6394
@allyhamisi6394 2 жыл бұрын
Tumepoteza moja watanzania🇹🇿 woote tumepata moja watanzania🇹🇿 woote hongereni Hassani na Tonny👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@aminamagoma479
@aminamagoma479 2 жыл бұрын
Daah!Pole sana home boy umepambana ila leo haikuwa bahat yako,Jipange tena match ijayo,Asiyekubali kushindwa c mshindani. Tumepoteza kwa halali kabisa,
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay 2 жыл бұрын
huyo bondia wa SA yuko well trained amemzidi sana huyo wetu wa tz.Umeona kwanza huyo bondia wa SA ana huwezo mkubwa sana wa kumkwepa mpinzani wake ulingoni yani huwezo wake wa kukwepo makombola ni mkubwa sana.Yuko very skilled uingoni
@kessyngarawa9902
@kessyngarawa9902 2 жыл бұрын
Tony Rashid umewakirisha vizuri sana bendera..Hayo matokeo yasikuumize..kaa na team yako.pitia video..wapo kina Ibrahim class namabondia wengi wenye uzoefu watakupa mbinu..upo vizuri tena sana na hapo umeongeza experience tu..Pamoja..nakukubali
@zarinatv2024
@zarinatv2024 2 жыл бұрын
Jaman yaan nimeumia sana Tony alivyopigwa🥲🥲🙆‍♀️🙆‍♀️
@fromgascity
@fromgascity 2 жыл бұрын
Hili pambano linatoa somo ,,,,NEVER GIVE UP ,,,,dogo alijiamin sana
@franceanton5371
@franceanton5371 2 жыл бұрын
Hili ndilo pambano bora nguvu nyingi na mbinu nyingi
@MwafricaMweusi
@MwafricaMweusi 2 жыл бұрын
Kuliko yooote hili ni bora kabisa.
@chenyakwihela1637
@chenyakwihela1637 2 жыл бұрын
Bora hata hili pambano kuliko la mwakinyo
@kimandoluArusha
@kimandoluArusha 2 жыл бұрын
kweli kabisa,tumekesha kusubiria pambano refaree anakuja kuharibu mechi
@salumnassor3845
@salumnassor3845 2 жыл бұрын
Liliburudisha sana hili pambano
@salumnassor3845
@salumnassor3845 2 жыл бұрын
Liliburudisha sana hili pambano
@losa4976
@losa4976 2 жыл бұрын
Oh oh oh . Yan watangazaji hovyo kabisa
@josephchawala3510
@josephchawala3510 Жыл бұрын
Ongera
@saloomidd1084
@saloomidd1084 2 жыл бұрын
Katika mabondia wote huyu msouth ndio amenifurahisha kwa mbwembwe zake na ametumia akili nyingi sana wengine waliobaki wanatumia miguvu tu bila akili
@stephanoyusuph1256
@stephanoyusuph1256 2 жыл бұрын
Ili pambano saf sana dogo Tonny anafata nyayo za twaha kiduku
@saloomidd1084
@saloomidd1084 2 жыл бұрын
@@stephanoyusuph1256 Tatizo ndio hivyo amekutana na mtu mwenye uzoefu na akili nyingi. Yule msouth ni mwepesi sana kukwepa na huku anarusha ngumi kwa wakati mmoja
@rashidnono7918
@rashidnono7918 2 жыл бұрын
Nmekubali
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 8 ай бұрын
Hii ni style maalumu sio kukimbia acheni ushamba
@nuruworldinsight2957
@nuruworldinsight2957 2 жыл бұрын
This man from South Africa looks like he prepared for marathon race not for fighting !
@Allystor
@Allystor 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 2 жыл бұрын
too much running rounding rounding like a motorcycle 😂😂😂
@HD_mark
@HD_mark 2 жыл бұрын
That's how Mayweather became unbeaten
@sideboyyboyy1834
@sideboyyboyy1834 2 жыл бұрын
@@hassanparamana2215 but he won by ko
@sideboyyboyy1834
@sideboyyboyy1834 2 жыл бұрын
@@HD_markyap
@gervasmwagen8135
@gervasmwagen8135 2 жыл бұрын
Iliiiii pambano hstariiiii sana
@ayubdax3977
@ayubdax3977 2 жыл бұрын
Tony uko una uwezo sana, ume wakilisha Poa sana Tz So , Usikate tamaa,
@josephmhanga7093
@josephmhanga7093 2 жыл бұрын
Toni ni mbindia wa kweli yuko vizuri sana
@mponejawillson1453
@mponejawillson1453 2 жыл бұрын
Hili ndo pambano la ukweri ila sio kama lile la mwakinyo na yule mlevi mwenzie.
@leilatmussa6533
@leilatmussa6533 2 жыл бұрын
Daaaah nimeumia Sana tony alivyo shindwa ilabado tunakuamini tutaenderea kukupenda
@sideboyyboyy1834
@sideboyyboyy1834 2 жыл бұрын
Jamaa kapambana sanaa ila kashindwa kulinda ushindi wake kapoteza dikika za mwisho dooh imeniuma sanaa tony alipanic kukosa kupiga k,o ndomaana kapoteaza dooh
@domykimata5768
@domykimata5768 2 жыл бұрын
Tony his good boxer and he know to fighting good more morethan other boxer in Tanzanian
@leskarmeikok8956
@leskarmeikok8956 2 жыл бұрын
Aseee hii mechi ilikuwa ya kwetu kabisa jamaa anakimbia kimbia round 11 kaja kutumaliza mwishoni
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 8 ай бұрын
Sababu miguu mizito vyuma vingi na kuvuta gari
@wilsonmpega8225
@wilsonmpega8225 2 жыл бұрын
Ooo ooo oooooo ooooooo
@joelinko6632
@joelinko6632 2 жыл бұрын
Uyu m sauth Africa nimempenda sana kwanza alivoingia na ngoma la bob marley alafu anajiamini anajua ili pambano lilikua kali kuliko lile la mwakinyo bongo bado sana refa anamwambia et usikimbie badala kocha wa toni ampe mbinu za kumkabili ili asikimbie uyo bongani ata akipewa mwakinyo anamkalisha
@MwafricaMweusi
@MwafricaMweusi 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@nassoribrahim2192
@nassoribrahim2192 2 жыл бұрын
Huyu tony amecheza vzr na kama angepata washauri wazuri kwenye kona yake kumpa mbinu mbadala ( plan B ) mechi ingekuwa rahisi kwake kwani huyu m-south Africa hana stamina ya kutosha amefanikiwa kwa style yake ya kuutumia ulingo hii mechi ilikuwa nzuri ukilinganisha na Main event. @hard work pay.
@amosimichaeli4833
@amosimichaeli4833 2 жыл бұрын
leo ni ushind tony
@anordmwambinga2520
@anordmwambinga2520 2 жыл бұрын
Kwangu Mimi tony ni mshindi pia naona ni bondia atafika mbali
@luckybanda730
@luckybanda730 2 жыл бұрын
Keep on it Tony Rashid
@officialankomadevu6427
@officialankomadevu6427 2 жыл бұрын
Hongera tony
@emmanuelmasse6219
@emmanuelmasse6219 2 жыл бұрын
Jamani bondia ni mwakinyo wengine Hawa
@kosovoawadh8362
@kosovoawadh8362 2 жыл бұрын
Majaji wote na Azam wafungiwe serikali iangalie ndomana tukienda nje tunashindwa hata mwakinyo kaona ndomana Kawa mnyonge kajua tony kashindwa
@samwelyanthony258
@samwelyanthony258 2 жыл бұрын
Tonny ameshinda kishindo cha ngu tonnny huyoooo!
@ismailmuyenzi3403
@ismailmuyenzi3403 2 жыл бұрын
Champion tony 👊
@temkezatv4381
@temkezatv4381 2 жыл бұрын
Good
@josephkiwone8806
@josephkiwone8806 2 жыл бұрын
Yani ibra class anajua sana yan kama angekuwa kwenye corner ya tony bas tz tungeshinda msikilize class vizuri anatabiri yanatokea
@msetikebwasi7270
@msetikebwasi7270 2 жыл бұрын
Huyo msouth anatumia style ya Terence na Prince naseem, kumpiga huyo ni kazi ngumu sana .
@johnmike5454
@johnmike5454 2 жыл бұрын
Saaaaana yani
@msetikebwasi7270
@msetikebwasi7270 2 жыл бұрын
@@johnmike5454 watasumbuka sana ,huu mchezo wa ngumi kama uliwahi kupitia karate hautokusumbua utawapiga mno sababu unakuwa mwepesi na uwezo mkubwa wa kunyumbulika .Sasa mfano ,,,mwakinyo ,mwakinyo kakulia humo tena kwenye uwanja wa kick box ndo maana hawamwezi ,kuna mlinzi mmoja wa tundu lisu wakati wa kampeni anaeleza vizuri mziki wa mwakinyo .Nenda KZbin andika hivi ,,,dude lililo tumika kumlinda tundu lisu,,,msikilize yule jamaa utajua mwakinyo ni nani .
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 8 ай бұрын
Maboxers wengi wa Tanzania ukiwa na mfumo wa kufaiti na kuranda utawasumbua tu
@kiya0910
@kiya0910 7 ай бұрын
Hili pambano liniliuma Sana
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 2 жыл бұрын
M̶t̶a̶n̶g̶a̶z̶a̶j̶i̶ -"🅣︎🅞︎🅝︎🅨︎ a͟t͟u͟l͟i͟e͟ r͟o͟u͟n͟d͟ y͟a͟ 12...." T̶O̶N̶Y̶ - 💤💤
@mwanahawabakari718
@mwanahawabakari718 2 жыл бұрын
Mnaongea Sana Kama nyie ndio mnaopigana
@noelwakota5852
@noelwakota5852 2 жыл бұрын
IBRA CLAC
@mwambatv5202
@mwambatv5202 2 жыл бұрын
Round ya 10 ilipoisha kuna kitu huyo jamaa amenyweshwa chini ya tawell ambayo alikuwa anafutwa jasho kuna chupa, amekunywa kitu, afu ndio akapewa maji, huyu anatumia dawa za kuongeza nguvu, hili pambana Tony akikuwa anashinda, amechezewa faulo
@abdallahfances693
@abdallahfances693 2 жыл бұрын
Dah! Itamuuma Sana Tony kupoteza akishinda pambano mwalim Tujifunze kulinda Tulichokipata mda wa mwisho hakutakiwa kukamia na Ajifunze hata kukumbatia akiona kapigwa Sehem mbaya asilete ununda Ila poule Sana dogo jipange unaweza Sana
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay 2 жыл бұрын
The box from SA is well trained, he knows how to control the game😂😂😂
@majidmbuguni2903
@majidmbuguni2903 2 жыл бұрын
Go gif
@Yu-jr9uf
@Yu-jr9uf 2 жыл бұрын
He knows how to run
@abdulkiliga335
@abdulkiliga335 2 жыл бұрын
Sasa izi ndo ngumi burudan inakuja yenyewe t
@jumakasim8784
@jumakasim8784 2 жыл бұрын
Ngumi ni akili na technique huyu msouth amecheza na akili ya Tony bila tony kujielewa yeye asingekua anamfuata lakn huyu msouth kapigana kwa akili nyingi bila kukimbia angekaa
@ssmithsaid3483
@ssmithsaid3483 2 жыл бұрын
Kakasirika tatizo
@michaeljackson9177
@michaeljackson9177 2 жыл бұрын
Unapingwa na mzee? Tatzo kajiamini Sana
@wolpertv2151
@wolpertv2151 2 жыл бұрын
Senzo ni mnafiki sana
@rechorechojumamaroda5045
@rechorechojumamaroda5045 2 жыл бұрын
Tony alikosea wakati wimbo wa taifa unaimbwa yeye anacheza Kama kwaya
@mujibumsigit2741
@mujibumsigit2741 2 жыл бұрын
Hakikisha kesho Toni unafanya vizur usije ukatuudhi Tena utahama bongo
@HD_mark
@HD_mark 2 жыл бұрын
Hii uppercut haitomwacha Tonny salama, mark my words!
@joelinko6632
@joelinko6632 2 жыл бұрын
Yani bongo tuna njaa mpaka glopsi tuna dai😭😭😭
@awadhijemie3360
@awadhijemie3360 2 жыл бұрын
Uyo jamaa anausika na nini adi anataka kumvua
@djmswatt3795
@djmswatt3795 2 жыл бұрын
Ila tonny miwa anarusha
@maulebanali1314
@maulebanali1314 2 жыл бұрын
Huyu jamaa akienda kwao atasimulia kuwa bongo si pakuja kichwakichwa
@afrosk3753
@afrosk3753 2 жыл бұрын
Kweli huyu bongani kuna vitu anatumia
@eliudamunime5492
@eliudamunime5492 2 жыл бұрын
THEY WAS ABOUT TO ROB BONGANI
@johnmike5454
@johnmike5454 2 жыл бұрын
Eti bongani anapanch sana hahahaha, mnatangaza vibaya wapuuzi nyinyi
@MwafricaMweusi
@MwafricaMweusi 2 жыл бұрын
Maboya Sana badala ya kutangaza ngumi Wana msifia mtu mmoja muda wote wakati msauzi ni mnyama mkali pia
@tumainmindolo3107
@tumainmindolo3107 2 жыл бұрын
So sad 😔 Tony aombe rematch halafu iwe kwao tukamchape huko huko S.A
@malangunda7365
@malangunda7365 2 жыл бұрын
Uchawi huui
@bahatimkumbo7298
@bahatimkumbo7298 2 жыл бұрын
Yes nitakwenda na tony na kiduku ndio mabondia wangu huyu mwingine anayeona watu wabeba tofali , sijaona kama anajua ngumi Bali anapambana na mabwege
@malickabubakari2179
@malickabubakari2179 2 жыл бұрын
Ww acha majungu kiduku kafanya nn akitoka anakalisha.acheni unazi nyie ngulue
@alfredymakuru8333
@alfredymakuru8333 2 жыл бұрын
Panda wew tuone uwezo wako
@jomwenomkal
@jomwenomkal 2 жыл бұрын
Tonny is worry
@saidmuhsin2446
@saidmuhsin2446 2 жыл бұрын
Wote wapiganaji wazuri..ila ukiangalia ndio kama Muhammad ali alivyocheza na Sony liston
@kombostambuli1366
@kombostambuli1366 2 жыл бұрын
Bondiamwakinyo vs mnamibia
@paulinadaudmvaiponya7614
@paulinadaudmvaiponya7614 2 жыл бұрын
Simba
@adamsimba4886
@adamsimba4886 2 жыл бұрын
Tony yuko poa sana
@noelwakota5852
@noelwakota5852 2 жыл бұрын
Irudiwe io mech
@immanuelmwaipopo1605
@immanuelmwaipopo1605 2 жыл бұрын
Wakwetu alipewa moja tu ndipo maji alipoamua kuyaita mma!
@adamsimba4886
@adamsimba4886 2 жыл бұрын
Ngumi nzuri chali etu anacheza kama mbele vile
@fadhilijoshua398
@fadhilijoshua398 2 жыл бұрын
Tonny aliloose concentration but yuko poouwa sana
@theprogrammer3351
@theprogrammer3351 2 жыл бұрын
Hawa mabondia wote wapo vizuri ila si wa? kuwafananisha na Mwakinyo... Mwakinyo hadi ss anashikiria ubingwa wa Afrika na wala si ubingwa wa Tanzania pekee.... Hvy nyie Machiz achen uchiz wenu.... Hata kwa record za Bondia aliyepigana na Mwakinyo hakuna bondia aliyefikia kat ya Hawa... Rai yai kwa Mwakinyo azidishe mazoez ya punch maana huo ndy uzaifu wake
@binahmedjuma8681
@binahmedjuma8681 2 жыл бұрын
Eti ubingwa wa Tanzania! 😆😆😆Tanzania my foot
@shinjemackenzie6256
@shinjemackenzie6256 2 жыл бұрын
Mm nalia na kocha wa tony mwisho wa mzunguko tony alipaswa na yeye kulinda point zake maana tayari alikuwa mbele kwa point kuliko huyo mwanaliaza wa kusini lakini kocha hakuliona hilo matokeo yake dogo bahati mbaya ngumi zito ikamtoa kwenye mchezo lakini yote kwa yote Tony ni bodia mzur sana asikate tamaa
@ntymmwasambili6372
@ntymmwasambili6372 2 жыл бұрын
Tony bado ni mpambanaji bola sana isipokua leo aikua kwake ajipange mapambano bado mengi sana
@coolruler6820
@coolruler6820 2 жыл бұрын
Basi tu bongo hakuna makocha wa ukweli katika ngumi ila huyu kijana akipata benchi maridadi la ufundi ni wa kiwango cha akina Ryan Carcia. Kocha chaurembo kanikosha tofauti na makocha wengine, anajua pa kusimama na yu haraka kuchukua maamuzi
@kingibanda8178
@kingibanda8178 2 жыл бұрын
msauth naona mbiyo tu nahuyu mbongo hanajiendea tu
@bilalbaker9238
@bilalbaker9238 2 жыл бұрын
Anakimbia mpaka anakera
@allylameck6165
@allylameck6165 2 жыл бұрын
Uyu dogo kajitaid lkn uyudogo humuwezi bongan mkongwe mno
@leonardmanawa952
@leonardmanawa952 2 жыл бұрын
Tonn yuko vzuri Sena bahati hakuwa yake
@jamesswai6583
@jamesswai6583 2 жыл бұрын
The south African boxer is faster in legs
@jumamnumbwa9483
@jumamnumbwa9483 2 жыл бұрын
Huyu commentaitor sindio yule alipigwa na upepo urusi
@cymone6159
@cymone6159 2 жыл бұрын
Hata hivyo limetunguliwa sana hilo sauz
@losa4976
@losa4976 2 жыл бұрын
Eti the fight was stopped by the referee.the 😂😂 sema by the way of technical knockout
@bundalathomas6414
@bundalathomas6414 2 жыл бұрын
Usajili was simba
@habariyaostudiomedia8699
@habariyaostudiomedia8699 2 жыл бұрын
Daaaa ira watanzania tunapendelewa
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 2 жыл бұрын
Sijawahy kumkubalib mwakinyo hata cku moja sab ya njodo zke yule kundu🥴
@johnmike5454
@johnmike5454 2 жыл бұрын
mnajifanya mmesahau cha simba na keizer chief eeeee hahahaha, hao sio watu pumbavu zenu mnajifanya hamuelewi tuuuu, eti Tony, Tony, Tony hahahaha
@christopherlucas2218
@christopherlucas2218 2 жыл бұрын
HUYU MPUUZI KASHINDWA KUITETEA HESHIMA YA BENDELA IYO BENDELA UKIKABIDHIWA INAMANISHA UMEBEBA NCHI ALAFU YEYE ANALETA USENGE WA KITOTO
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 2 жыл бұрын
Brother niliacha aya mambo ya ngumi coz nilijua akuna wapiganaji hapa.lakn uyu toni rashid ndo bondia wakumtengeneza sio uyo mtu wakutafuta wagonjwa alafu anajiita profitional aje uku South Africa akutane na wapigia ngumi wamchonyoshe .kiduku yuko sawa
@godfreymalinga1476
@godfreymalinga1476 2 жыл бұрын
Mwakinyo amna kitu
@tbwayjunior8947
@tbwayjunior8947 2 жыл бұрын
Katumia dawa yakumlgeza
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 2 жыл бұрын
Too much run.كككك
@salumupalango8144
@salumupalango8144 2 жыл бұрын
Toni mzuli
@martinswai8031
@martinswai8031 2 жыл бұрын
Pambano limeniuma hili. Huyu msauz kumbaf zake anakimbia tu mda wote
@MwafricaMweusi
@MwafricaMweusi 2 жыл бұрын
Nifunzo kwetu aisee muhimu tupate waalimu wenye mbinu nyingi style aliyotumia huyo msauzi inaruhusiwa ni moja Kati ya mbinu bora za kumlegeza mpinzani wako.
@saidmuhsin2446
@saidmuhsin2446 2 жыл бұрын
Katika boxing kila mmoja ana style yake..huyu referee inaonekana sio mzowefu...huwezi kujaji why too much run...naomba referee watafutwe wenye uzowefu ama wasomeshwe
@godfreymalinga1476
@godfreymalinga1476 2 жыл бұрын
Hiyo ni technique
@hamadjuma9059
@hamadjuma9059 2 жыл бұрын
Sijawh kuona ngumi au bondia kama huyu anakimbia uwanja nzima
@abdulkiliga335
@abdulkiliga335 2 жыл бұрын
Dance boksingi km mwamedi Ali
@alfredymakuru8333
@alfredymakuru8333 2 жыл бұрын
Anaboa bhnaa anakimbia ovyoo tuu
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 жыл бұрын
@@abdulkiliga335 yaaaa upo sahihii nduguu
@godfreymalinga1476
@godfreymalinga1476 2 жыл бұрын
Ila hii inaruhusiwa ni technique moja wapo
@MwafricaMweusi
@MwafricaMweusi 2 жыл бұрын
😂😂😂 msauz ni mnyama wa ajabu 🙏🏼🙏🏼
@PetVMyinga
@PetVMyinga 2 жыл бұрын
Kijana kaonja joto ya jiwe🤣🤣🤣
@maulebanali1314
@maulebanali1314 2 жыл бұрын
Tony ninamuelewa Sana Yuko vizuri analeta raha
@plantino3091
@plantino3091 2 жыл бұрын
Hili ndo pambano amabalo linafanana na mapambano ya kweliii duniani. sasa huyo mwakinyo endeleeni kumpa mbeleko mtakuja kumuua maaana atakuja kupigana na watu ambao sio rank yake! Leo ashafika 13 katika rank kiujanja siku yoyote ataitwa Russia au philipino tutaenda kumkosa ajipange.
@dicksonaroka6961
@dicksonaroka6961 2 жыл бұрын
Mbona unaongea kipumbavu hvyo hiv we umeanza kumjua mwakinyo toka lin?? Na je unamjua yule bondia wa uingereza aliempiga mwakinyo yule ndio bondia namber moja kwa uzito wa mwakinyo na alimpiga tena pale pale uingereza mbele ya mashabiki wake huu mchezo n uwezo na maandaliza ushind n popote pale endelea kumwonea wivu tu ...
@kishkiogkishki1960
@kishkiogkishki1960 2 жыл бұрын
Huyo jamaa kapatiwa dawa chekin pambano la 10 lilipo isha hicho kitambaa hakikuwekwa stail yakupangusa mtu
@awadhijemie3360
@awadhijemie3360 2 жыл бұрын
Kitambaa kipi
@ben.breaker
@ben.breaker 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mYXMZamFqZmKr9U FAHYVANNY vs PAULA KAJALA 🔥🐉
@flova7022
@flova7022 2 жыл бұрын
Watu tunachek ngumi unatuletea usenge WA kidem
@africafightingkingafk862
@africafightingkingafk862 2 жыл бұрын
This is an Asian-style pirate style of play, the purpose is to win by points. But unexpectedly ko the opponent.
@profesakidenku1436
@profesakidenku1436 2 жыл бұрын
Kama mwakinyo angepigana na huyu bongani angekalishwa Mapemaa
@ibrahimmbango9117
@ibrahimmbango9117 2 жыл бұрын
unamuona mwakinyo kama boya sio endeleeni ila yeye anafanya yake
@mraj4586
@mraj4586 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mraj4586
@mraj4586 2 жыл бұрын
Kweli huyu jamaa anajua ila sio mwikinyo
@peterjohn4206
@peterjohn4206 2 жыл бұрын
Kweli kabisa kaenda kuchukua bondia ata ajui ngumi😂
@justinjasson7070
@justinjasson7070 2 жыл бұрын
Uzito tofauti, lakini bondia wa mwakinyo anamikanda mingi alishachukua, tony hana akili, ngumi sio kutupatupa tu.
VITASA | Twaha Kiduku alivyomtwanga Dullah Mbabe - 20/08/2021
23:03
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 58 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 9 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53
YahStoneTown
Рет қаралды 259 М.
Valentino Mashaka - 2005 | Striker / Tanzania
4:35
FE Company
Рет қаралды 15 М.
Real Madrid vs Juventus 5-3 - Mbappe First Goal - All Goals & Highlights - 2024
9:59
منوعات ام شيماء
Рет қаралды 82 М.
LOREN JAPHET v TONY RASHID: USIKU WA VITASA
43:23
Azam TV
Рет қаралды 65 М.
100% Smooth Skills
0:35
L7 Football
Рет қаралды 7 МЛН
ТОП 10 Итогов Евро-2024
39:51
МЯЧ Production
Рет қаралды 381 М.
Players with Their Kids
0:31
LA15I
Рет қаралды 16 МЛН