WACHE WASEME - machaprala

  Рет қаралды 154,459

kenyanprince007

kenyanprince007

Күн бұрын

old is gold ..swahili taraab song...

Пікірлер
@suleimansaid7486
@suleimansaid7486 5 жыл бұрын
Nyimbo hii kila ninapokuwa na masikitiko au simanzi basi husikiliza nyimbo hii au shada la maua. Simanzi na sikitiko hutoweka. Mashallah hizo siku za kheri.
@saheelameir4313
@saheelameir4313 6 жыл бұрын
I realy miss my home. Allah ibariki zanzibar yetu na uwarehemu wazazi wetu
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 3 жыл бұрын
Amiin allahumma amiin
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 5 ай бұрын
Amin
@mohammedjumasalum90
@mohammedjumasalum90 4 жыл бұрын
When you miss zanzibar here is the right place to regain the moments of how beautiful island it is ! RIP the magic voice
@sakinaabd5898
@sakinaabd5898 9 жыл бұрын
waché waseme sina budi nawe sikhofu lawama sababu ya wewe ungekuwa nyoka radhi uniuwe seuze taussi wache walalame hakika mrehemiwa machaprala ungekua nyoka sumu yako dawa,damu husafika maradhi hupoa,uzuri hakika wewe umepewa siwezi kwepuka liwe litokuwa ahsante oncle MUNGU AKUREHEMU NA AKULAZE PEMA PEPONI
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 10 ай бұрын
Bwana mkatili usiye Imani nimetambua wewe ni adui , wala hukui thamani saddaqta Maneno kibao👏👏👏hebu tahayari kutupa hissani chuki n'a kiburi zinajiamini,ni jambo zuri wacha kisirani, ni wewe ufanyavyo Jua umo hatarini taumwa mwisho useme shetani whaouuuu🤔
@hidayabakar7026
@hidayabakar7026 5 жыл бұрын
Kweli bb znz haipo wameiyuza Salimini na wenzake
@maryamjohn2537
@maryamjohn2537 3 жыл бұрын
Natamani Zanzibar yetu irudi nyuma jamani tunaenda wapi Sasa sielewi kabisa Allah bariki visiwa vyetu na tamaduni zetu
@saheelameir4313
@saheelameir4313 3 жыл бұрын
Amiin
@saheelameir4313
@saheelameir4313 3 ай бұрын
Ahaa utanitoa machozi😂😂😂
@sakinaabd5898
@sakinaabd5898 9 жыл бұрын
nimefunga nia katu sibadilii, hapa na khatwia kupenda jamali, hiyo nitwabiya pasiwe suali mimi naridhiya yeye kakubali hakika kupenda ni jamali oncle lalapema peponi ichallah
@mohammedsahera4753
@mohammedsahera4753 5 жыл бұрын
Sakina ABD wambea mkome kutusema na chokochoko zenu midomo km kunguru
@adidascrew1308
@adidascrew1308 6 жыл бұрын
That our really zanzibar yenye amani na upendo maskini zanzibar yetu
@nasseral-maqbaly2420
@nasseral-maqbaly2420 11 жыл бұрын
Khasara tumeipoteza zanzibar na culture yake kwa sababu ya wanafiki wachache ambao wanatizama maslaha yao tu sasa imekua sio zenji imekua zanzibara na tumepoteza mpaka culture yetu ya kiislam.Allah awalaani waliosababisha na wanaoendelea kuizamisha zenji yetu ambayo iliweka history katika africa na dunia nzima.
@shirazyameir2403
@shirazyameir2403 6 жыл бұрын
Allah ataturudishia wenyewe kama si duniani basi huko peponi
@mushken65
@mushken65 5 жыл бұрын
Nikweli. Lakini umesahau kusema tulipoteza culture yetu ya sisi watu weusi kabla ya kushika culture ya waarabu na kiislamu. Hapo ndiyo muafrika anakosea kujiuliza kabla hajaiga culture ya waarabu culture kwanini akapoteza culture yake. Ukishajibu Hilo swali hutorudia sema tena culture yetu ya kiislamu ihali mababu zetu walipigwa na kwa nguvu wakalazimishwa waache culture zao. It's all about control of the black man to force him to see his culture as satanic and white men or Arab culture as better.
@saheelameir4313
@saheelameir4313 5 жыл бұрын
we Ngeta utakua kaffir hapa hatuzungumzii uafrica tunazungumzia uzanzibar uliojaa utamaduni wa kiislam
@saheelameir4313
@saheelameir4313 5 жыл бұрын
sisi wazanzibar utamaduni wetu ni wakipekee
@prriya507
@prriya507 3 жыл бұрын
Wallh hii nyimbo naweza isikiliza ata kutwa nzima na ham haniish😘😘😘😘😘😘
@saheelameir4313
@saheelameir4313 5 жыл бұрын
lau ningalikua nauwezo duh zamahizo ningezirudisha nyuma ila cwez Ya Allah tupe mwisho mwema
@khakeemafro6274
@khakeemafro6274 8 жыл бұрын
dahhhh chozi iloooo miss u my Zanzibar
@kassuomar
@kassuomar 4 жыл бұрын
HOME SWEET HOME
@sumaiyayahya1252
@sumaiyayahya1252 6 жыл бұрын
Sikhofu lawama sababu ya wewe! Umenkosha marehem.... Kweli saivi Zanzibar taarab kama disco... Old is surely gold!
@mussazamzam5762
@mussazamzam5762 4 жыл бұрын
Wallah nyimbo Inaimbwa kw hisia Kali mpka ndani mifpa inatembea aah ungekuwa nyoka sumu yako dama damu husafika maradhi hupoa
@saheelameir4313
@saheelameir4313 3 жыл бұрын
Asalam alykum sumaya
@bumsnyagenda9639
@bumsnyagenda9639 3 жыл бұрын
Hawa wazee walikua waandishi wa kweli hawakubahatisha machaprala gwiji wa taarabu asilia
@mubamubarak3219
@mubamubarak3219 6 жыл бұрын
Ungekua nyokaa sumu yaako dawaa, damu husafika maradhwi mashalla!!machaprala rest in peace
@shirazyameir2403
@shirazyameir2403 6 жыл бұрын
MY ZANZIBAR MY MOM AND DAD LAND I REAL MISS YOU SO MUCH
@abdallahsuleimani7416
@abdallahsuleimani7416 3 жыл бұрын
Dah!!! Wapi Tena imebaki story sijui kama Zanzibar ya heshima na maadili itarudi Tena : tumebakiwa na wabakaji
@saheelameir4313
@saheelameir4313 3 жыл бұрын
Itarudi in shaa Allah kwa uwezo wa Rabbi
@abdallahsuleimani7416
@abdallahsuleimani7416 3 жыл бұрын
Sio kizazi hichi tena
@mohdseif2459
@mohdseif2459 2 жыл бұрын
Znz imendoka tangu 64 ww unajua leo
@IdhharMKassim
@IdhharMKassim 2 жыл бұрын
Waache waseme, sina budi na wewe Sikhofu lawama, sababu ya wewe Wache waseme, sina budi na wewe Sikhofu lawama, sababu ya wewe Ungekua nyoka, radhi uniume Seudhika usi, wache walalame Ungekua nyoka, radhi uniume Seudhika usi, wache walalame Ungekua nyoka, sumu yako dawa Damu husafika, maradhi hupoa Ungekua nyoka, sumu yako dawa Damu husafika, maradhi hupoa Uzuri hakika, wewe umepewa Siwezi kwepuka, liwe litokua Uzuri hakika, wewe umepewa Siwezi kwepuka, liwe litokua Nimefunga nia, katu siibadili Hapana hatia, kupenda jamani Nimefunga nia, katu siibadili Hapana hatia, kupenda jamani Iyo ni tabia, pasiwe suali Mimi nimeridhia, yeye mekubali Iyo ni tabia, pasiwe suali Mimi nimeridhia, yeye mekubali
@abdymmanga6338
@abdymmanga6338 Жыл бұрын
Umetisha sanaaa 🔥
@sulaiman9113
@sulaiman9113 10 жыл бұрын
Na mwibaji Machaprala Tarab asli.
@shirazyameir2403
@shirazyameir2403 6 жыл бұрын
kuna aehisi huzuni kma mm now juu ya zenji yetu duh machozi mengi mengi
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 8 жыл бұрын
mashallah..ZANZIBAR YETU
@najjatharoub197
@najjatharoub197 3 жыл бұрын
Nimefunga nia ?? Nalia my beautiful zanzibar😇😇
@allyshafi4391
@allyshafi4391 Жыл бұрын
Legend professor, Mauild Moh'd Machaprala❤
@samihzamil1559
@samihzamil1559 7 жыл бұрын
i miss zanzibar
@Albertin6
@Albertin6 12 жыл бұрын
Siku zetu hizo leo wapi them day Zanzibar ilikuwa Zanzibar
@ibrahimalghaithi6405
@ibrahimalghaithi6405 8 жыл бұрын
Masikini Zanzibar yawakati ule, kitovu cha Islamic civilization
@saheelameir4313
@saheelameir4313 7 жыл бұрын
dah wallah mwili unasisimka tufanyeje tuirudishe Zanzibar yetu imeharibiwa na utalii na muungano
@ahmednarshad6149
@ahmednarshad6149 6 жыл бұрын
Napenda sana mimi
@suleimansaid7486
@suleimansaid7486 6 жыл бұрын
Wapi sasa imebaki hadithi tu. Zanzibar nimeenda arijojo.
@shamscookery5989
@shamscookery5989 8 жыл бұрын
Nalia wallahi
@suleimansaid7486
@suleimansaid7486 4 жыл бұрын
Za kale dhahabu
@zuhuraramadhan3960
@zuhuraramadhan3960 4 жыл бұрын
Jaman maneno yametulia kweli mahaba haya sisemi kitu mim
@ndalokacha7885
@ndalokacha7885 4 жыл бұрын
Laha ya Zanzibar
@JKIddi
@JKIddi 11 жыл бұрын
Very nice!!
@johnkuma6867
@johnkuma6867 3 жыл бұрын
Ulikuwa na sauti ya kupendeza na mpangilio wa vyombo vya muziki wa kipekee.( PKA) ulituwacha pwekee kwa ulimwengu wa Taarab🇰🇪
@aminajaha3703
@aminajaha3703 4 жыл бұрын
Nice song
@abdymmanga6338
@abdymmanga6338 Жыл бұрын
Old is Gold ❤
@fatumaabdallah6794
@fatumaabdallah6794 5 жыл бұрын
Love ma home 😘
@rahaaa1845
@rahaaa1845 6 жыл бұрын
Sikhofu lawama sababu ya weweeee
@abedhamza9153
@abedhamza9153 5 жыл бұрын
Uzuri halima wewe umepewa siwezi kwepuka liwe litokuwa kweli dhahabu haifanyi kutu
@abedhamza9153
@abedhamza9153 5 жыл бұрын
UNGEKUWA NYOKA RADHI UNIUME SEUZE TAUSI WAACHE WALALAME
@minahmussa8484
@minahmussa8484 5 жыл бұрын
Waache waseme
@aminajaha3703
@aminajaha3703 4 жыл бұрын
Nice song
Bora Adui Shetani Kama adui Kiumbe Fatma Issa
15:48
Old Is Gold Taarab Zanzibar
Рет қаралды 283 М.
Sabah Salum Mithili Yako Hapana@al ghafri
17:54
gunity2008
Рет қаралды 712 М.
Support each other🤝
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН
MUUNGWANA - ZANZIBAR TAARAB
10:38
Bin Seif
Рет қаралды 382 М.
leo tena
11:07
Abdalla Issa - Topic
Рет қаралды 8 М.
Abdalla Issa-Kajaomba Samahani
9:16
Ali Samaki
Рет қаралды 306 М.
Waache waseme
6:22
Zanzibara - Topic
Рет қаралды 41 М.
NILAUMU MACHO YANGU AU MOYO NAMBIENI - SADIK TAARAB
13:10
Bin Seif
Рет қаралды 663 М.
VING'ARAVYO VYOTE SI DHAHABU-MAULID S.  MACHAPRALA - ZANZIBAR OLD TAARAB
6:22
Kinyaunyau (Official Video) - Kilimanjaro Band Njenje
6:46
Kilimanjaro Band Njenje
Рет қаралды 1,7 МЛН
Asokasoro Hakuna -Fatma Issa, Culture Music Club
13:16
Old Is Gold Taarab Zanzibar
Рет қаралды 557 М.
Kiu
10:49
zanzibarwebsite
Рет қаралды 67 М.