WAJUE MARAIS wa AFRIKA WALIOKUFA WAKIWA BADO WAPO MADARAKANI..

  Рет қаралды 93,795

Global TV  Online

Global TV Online

3 жыл бұрын

WAJUE MARAIS wa AFRIKA WALIOKUFA WAKIWA BADO WAPO MADARAKANI..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 53
@mbwanarajab7238
@mbwanarajab7238 3 жыл бұрын
Gaddafi aliwapa wananchi wake raha na kuwagawia fedha kwenye akaunti zao lkn Wamarekami na wafaransa pamoja na vibaraka wao wakaleta machafuko nchini Libya ambayo yalipelekea kifo cha Gaddafi... Mungu atawalipa
@hawahabibu1379
@hawahabibu1379 3 жыл бұрын
Cku zote vzur havidum Rais akiwa mzalendo anahatalisha maisha yake
@nrwawanndeny7394
@nrwawanndeny7394 3 жыл бұрын
@@hawahabibu1379 taja pia na mabaya Gaddafi
@amissesalimo814
@amissesalimo814 3 жыл бұрын
Daa hi Chanel ya kisenge sana samora machele
@mumbaimedia.5286
@mumbaimedia.5286 3 жыл бұрын
You represented Current president of Somali's phote ...he z alive take care
@yusuphusaimoni4182
@yusuphusaimoni4182 Жыл бұрын
Unaelezea vizuri Sanaa kumbe viongozi wengi Huwa wanauwa duuu walinzi wanakuwagap au wanakufaga na walinzi wao naomba jibu
@hurumamtambo739
@hurumamtambo739 3 жыл бұрын
Mungu awabaliki
@sylvestrenyandwi7131
@sylvestrenyandwi7131 3 жыл бұрын
Hongela Sana
@jamesisaac8804
@jamesisaac8804 3 жыл бұрын
Rais wa Rwanda na waburundi hujawataja
@alloycejames5285
@alloycejames5285 10 ай бұрын
Mnapinga kila kitu... wekeni ya kwenu basi tuone.. mdada amejitahidi
@kajishijakasabuku
@kajishijakasabuku Жыл бұрын
Africa hatujitambui
@mursallusinde9189
@mursallusinde9189 3 жыл бұрын
Mhm ugonjwa wa moyo ndo umeondoa wengi hii ni kutokana na kubeba majukum mazito ya nchi kweli uongozi si lele mama ni kazi nzito yenye lawama za kutosha
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Mungu amlaze mahali pema peponi
@sikaongaabel9350
@sikaongaabel9350 Жыл бұрын
Pumbavu magufuli hakuumwa na ugonjwa wa moyo wali muua ili mpate madalaka
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 3 жыл бұрын
Ukiwapinga wazungu na ukiwa na mikakati ya kuzibit mali katika nchi yako kwa kuleta maendeleo lazima maaduwi wa ndani ya nchi yako na nchi jirani na za mbali watakuchukia to. Watakuuwa na ndio mana ukaona viongoz wengi wa Afrika huwa na hofu ya kufanya mabadiliko katika nchi zao wanakuwa na wao mafisadi na vivu wa kufanya kaz na rushwa mana wameambiwa na wazungu au umoja wa kimataifa kama bara la Afrika hatutaki liendelee kiuchumi. Na tutakwambieni sheria zetu muzifate. Kama hutaki .Tunakuuwa .
@deodadeo2016
@deodadeo2016 Жыл бұрын
Huyu mtafti ana wazimu hao ndo ameona ndo marais waliouawa tu Africa
@jimmynsemwa
@jimmynsemwa Жыл бұрын
Daaa😭
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 3 жыл бұрын
Globo Umemsahau mwamba Mmoja hivi Sadam Abdul majiid husain Ndani ya iraq
@rosemollel4637
@rosemollel4637 Жыл бұрын
Ni sawa maana wa Burundi ambaye yupo sasa alikuwa bado hajaapishwa
@racinecarine818
@racinecarine818 3 жыл бұрын
Umesema vema Anmah, baadhi ya viongonzi kwa kuwa umewaacha nyuma Raisi wa Rwanda Havuarimama, Zaïre Mobutu, Malawi Kamuzu Banda, Zimbabwe Robert Mugabe, na wengine wengi
@jumachire3041
@jumachire3041 3 жыл бұрын
Yuko sawa...kasema ni baadhi ya marais
@homar1147
@homar1147 3 жыл бұрын
Je raisi wa Zanzibar Mzee Abeid Aman Karume yeye hayumo kwenye orodha ya viongozi wa Afrika? Maana nae alifariki kwa kuuwawa nchini kwetu Tanzania akiwa ni raisi wa Zanzibar.
@gabrielsawike7327
@gabrielsawike7327 3 жыл бұрын
Thomas sankra wa bukinabe ambayo kwa sasa bukinafaso,Fanya utafiti upya umeaacha wengi mno
@bienvenukichambaomar5067
@bienvenukichambaomar5067 9 ай бұрын
🇨🇩 Laurent Kabila
@jfmkenda6792
@jfmkenda6792 2 ай бұрын
Kuna Anuary Sadati wa misri
@bossmtoto133
@bossmtoto133 3 жыл бұрын
Mnazingua rais Ahmed Abdallah abderema alisoilih takidine au hawa sio marais
@johnonkoba740
@johnonkoba740 3 жыл бұрын
Gadafi aliuliwa na marekani sio waasi
@vicentmakoro9162
@vicentmakoro9162 3 жыл бұрын
Unaanzaje kumsahau Thomas SANKRA
@mosespastatroy
@mosespastatroy 3 жыл бұрын
Na kenyatta!
@davismate6999
@davismate6999 3 жыл бұрын
hawawezi kufahamu, wajinga sana hawa wabongo, unaweza je kusahau jirani wako ...bure kabisa...
@salminmabrouk5433
@salminmabrouk5433 Жыл бұрын
KARUME ALIKUWA BARA GANI ? AFRICA AU TUAMBIENI JAMAN MAANA KARUME ZANZIBAR AMEUWAWA AKIWA MADARAKANI
@aziziomary6118
@aziziomary6118 3 жыл бұрын
Rwanda na Burundi 1994:
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 Жыл бұрын
Mbona hujataja kilicho muua simba wa Africa jpm??
@bizimanaboubakar4529
@bizimanaboubakar4529 3 жыл бұрын
Ndadaye wa burundi umesahau
@francischegemwang8987
@francischegemwang8987 3 жыл бұрын
Wewe Ni mbure tu na Kenya iko wapi hakuna ire unajua wewe kumbfu wewr
@salminmabrouk5433
@salminmabrouk5433 Жыл бұрын
KABLA HUJAATOA TAARIFA SOMA HISTORIA KWANZA MBONA MARAISI WENGI WA AFRICA HUJAWATAJA ?
@jumamwadhini6263
@jumamwadhini6263 3 жыл бұрын
Nchi za kizungu mbona hawapo au wao hawafi
@muhammedomer9256
@muhammedomer9256 3 жыл бұрын
Hiyo picha uliotowa ya Rais wa Somalia huyu ni Rais Farmajo yuko hai nahuyu sio Egal
@cusmaancaadle3498
@cusmaancaadle3498 3 жыл бұрын
We vipi hio picha wa rais wa somalia ume chukua nia rais wa saahi
@bahatimacha5501
@bahatimacha5501 3 жыл бұрын
Samora masheli umsahau
@ayuzomsigwa618
@ayuzomsigwa618 3 жыл бұрын
Hgf
@Jirhley
@Jirhley 3 жыл бұрын
Muongo! Nkurunziza alikuwa na umri wa miaka 55
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 3 жыл бұрын
Sio umri tu kukosea nkurunziza was stil young 55 pia alikufa na covid
@nelsonzakayo496
@nelsonzakayo496 3 жыл бұрын
Nkurunzinza hajafia madarakani acheni uongo jamani
@renatusdeogratias2108
@renatusdeogratias2108 3 жыл бұрын
We ndo mwongo alikuwa hajaachia madaraka na
@zahrahassan4175
@zahrahassan4175 3 жыл бұрын
Kwanza hakuna nchi inayoitwa somaliland pili Unamtaja Mohamed igaal halafu unaleta picha ya farmaajo...makinika madam
@wlkmwlkm3381
@wlkmwlkm3381 3 жыл бұрын
Asande sikuwa nimejuwa
@sibonilenjela3524
@sibonilenjela3524 3 жыл бұрын
You lier one think thre is lot president ded in Africa and pure kuruziza ager you don't know was haver 55 ager
@habibumbawala1173
@habibumbawala1173 3 жыл бұрын
Nakukubali sana dadaaa, tunashukuru kwa kutujuza haya
@alexgombanila5263
@alexgombanila5263 3 жыл бұрын
Samola mashel hayup was msumbiji
@rosemollel4637
@rosemollel4637 Жыл бұрын
Ni sawa maana wa Burundi ambaye yupo sasa alikuwa bado hajaapishwa
@KhamisHassan-dz9yw
@KhamisHassan-dz9yw 8 ай бұрын
Wa zanzibar
DRC: Inside the world’s forgotten war
8:01
Channel 4 News
Рет қаралды 7 М.
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 15 МЛН
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 27 МЛН
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
17:01
Global TV Online
Рет қаралды 812 М.
| UKUMBI | Mikakati ya Rais Ruto baada ya maandamano ya Gen Z [Part 1]
29:22
| UKUMBI | Mikakati ya Rais Ruto baada ya maandamano ya Gen Z [Part 2]
28:12
France's Stunning Election Results Explained
9:39
TLDR News EU
Рет қаралды 1,1 МЛН
| UKUMBI | Mikakati ya Rais Ruto baada ya maandamano ya Gen Z [Part 3]
30:44
| UKUMBI | Mikakati ya Rais Ruto baada ya maandamano ya Gen Z [Part 4]
16:55
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 15 МЛН