Рет қаралды 1,184,749
SAMORA MACHEL: Rais Aliyetolewa UHAI Kwa Njama Kisa Mabeberu!
Ukilitaja jina la Samora Machel wazalendo wote tunagonga cheers, washenzi wananuna kwasababu wanajua alivyowakaba, wakaishia kumtungua kwenye ndege na kumuua, mkewe akaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi kwa miaka mitano mfululizo.
Mwanaharakati huyu aliyezaliwa septemba 29, 1933 katika jimbo la Gaza nchini Msumbiji alikuwa mtoto wa mkulima tajiri wa Ng'ombe na mashamba lakini wazungu wakamfukarisha.
#SAMORAMACHEL
//www.youtube.com/watch?.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho