Hongera sana Mungu awabariki kwaajili ya taifa letu
@HassanKibwana-h3w2 ай бұрын
Hongera kiongozi upo vizur sana mungu Akusimamia
@Uhuru12342 ай бұрын
Ubarikiwe sana Madeleka
@jumamustapha82542 ай бұрын
Pumbavu huyu madeleka, polisi fanyeni kazi yenu. YaA,kusini usifananishe na hili kenge wewe.
@AliSalim-yu4mo2 ай бұрын
Akili zako zimeshikiliwa na mshipa wa haja kubwa unatakiwa ufanyiwe upasuaji immedietly🎉
@zebedayokatamaduni96762 ай бұрын
Mbona matusi Ninyi ni vijana ambao hamna maadili, alafu mnataka muwe viongozi, kiongozi ni lazima awe na heshima. mmekosa uadilifu, siasa siyo uadui . Wana chama wa vyama vyote mnatakiwa mpendane❤
@FridayMwassa2 ай бұрын
Angalia tu majina yao ndiyo utajua IQ zao@@zebedayokatamaduni9676
@gililwise2 ай бұрын
Mungu awatangulie kwa kila jambo madereka watanzania wananyanyaswa na hawa watu waliofeli iv
@geraldabel87842 ай бұрын
hahahaaaa
@yohanamdemu92322 ай бұрын
Ubarikiwe baba ubarikiwe saaaaana
@MuhojaMalicho2 ай бұрын
Jamaa anakiri sana❤❤❤❤❤
@duniakidogo85162 ай бұрын
Ubarîkiwe kaka. Hata kama mahakama ni zao iende tutajua mbele ya safari
@ChristianMkumbo-ix2ke2 ай бұрын
Your the golden boy
@Uhuru12342 ай бұрын
Asante wakili,wapeleke wanamazoea mabaya, tena deal nao mpaka mwisho, na mungu awasaidie katika hili, mm nitawaombea
@leokamil62842 ай бұрын
🎉🎉
@GoodluckTarimo-u3j2 ай бұрын
Wanatulazimisha tuwe ccm wakati tushawachoka
@JemeslaizerJemeslaizer2 ай бұрын
Mungu Akulinde Sana madeleka lakini tengeneza shule ya ujasiri na sheria. Watu wote, wawe walimu kama wewe.
@othmarluwawilo83082 ай бұрын
Thank you advocate Madereka, you deserve to your professional.
@HadijaKilagule2 ай бұрын
Nakufatiliaga Sana kaka
@goldenmaduhumedia46812 ай бұрын
Wakili ana akili huyu nyie duh utafikiri anasoma sehem kumbe ni bongo kali .Mungu akubariki sana wakili Madeleka na uje uwe kiongozi mkubwa katika nchi hii
@omarsaid71532 ай бұрын
Madeleka hua havungi vungi maneno, he is straight forward ( Matumizi Mabaya ya Akili )😂😂😂
@luganomwaigomole74412 ай бұрын
WAKILI MSOMI PETER MADELEKA. .SAFI SANA KAKA
@margarethsaramaki39662 ай бұрын
Amen Mh Madeleka Mungu awatangulie kwa kila kitu unachofanya na team yako 🙏🏼🙏🏼
@ngagamtumzima2 ай бұрын
Upo sahiii sana
@HeriMohamedi-re7xu2 ай бұрын
Mimi sijasoma lakini nimegundua kuwa Tanganyika bado haijapata Uhuru ila Zanzibar ndio Ina Uhuru ndio maana inaitawala Tanganyika
@SarahShao-jw1up2 ай бұрын
Kweli kaka
@mirajichima9692 ай бұрын
Kama una hoja hivi!?
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv2 ай бұрын
Huo ndio ukweli
@kwisa48992 ай бұрын
Watanganyika ni wajinga sana
@Sheba46512 ай бұрын
@@kwisa4899Si wajinga ndugu, ni wajanja ila ule ujanja ujanja umezaa kasiriko, yaani Zanzibar tumetowa mwanamke anakutawaleni, sasa mna hasira za bure, ndio katiba mliandika wenyewe, mkaona Zanzibar mwisho wao umakamo tu. Na huku Zanzibar muweke kibara hata kwa mtutu wa bunduki, ujanja ujanja umewaumbua. Mtakua naye mama huko, sisi Zanzibar tutampa kura zooote, pamoja na ACT, tena atakaa miaka 10, alimaliza huu urithi wake😂😂
@hamidabarraball31622 ай бұрын
Waambie bro hawajaenda shule hao, wanaotumia mitutu kwa mambo madogo mno!!
@slivestermathias94162 ай бұрын
Jamaa uko vizuli sana
@MiriamAziz-z5t2 ай бұрын
VIVA WAKILI MADELEKA....MZALENDO WA KWELI WA TAIFA LETU.
@phillipmasungwa73652 ай бұрын
SAFI SANA MADELEKA.
@RizwanAbdallah2 ай бұрын
Upo sahihi kaka
@elicktilia44302 ай бұрын
Mungu akutangulie mr mwana sheria
@AshrafLema-n5r2 ай бұрын
Madeleka ,we need to've people like you & others,to roll our lowfull desire,precisely to reach our goal!!
@abubakariramadhani13722 ай бұрын
Wakil msomi uko vizuri sana
@briankatani67702 ай бұрын
100%✓ uko sahihi
@estambuya39012 ай бұрын
Mungu awatangulie katika hili, polisi wavunja sheria ".
@MSOMBAAlon-gh3ps2 ай бұрын
Wachukuliwe hatua mara Moja liwe fundisho maana wanakurupuka sana nakujiona. Wapo juu ya Sheria. Tena washitakiwe umoja wa mataifa .wamezidi sana
@admaumsengi42302 ай бұрын
Wasitulazimishe kuendelea kuwaamini kuongoza hii nchi tumeichoka ccm ikae pembeni tufanye yetu . Peoples umesomeka wakili msomi
@CharlesMwakajinga-r5d2 ай бұрын
Nikweli ajila wanapeana wenywe
@geofreychitamu3662 ай бұрын
Ilo la mahakamani nafikiri litakuwa sawa,wapenda haki wataichangia hili.
@jumannehamadi22822 ай бұрын
We jamaa huwa nakuelewa Sana namani mm ndio ngekuwa ww
@mbwanahasan29712 ай бұрын
Chadema Ina vijana wengi wasomi sana ndio maana CCM inawanunuwa
@REMMYMATOVELOMASASI2 ай бұрын
Safi sana madeleka afande mwenzangu
@AllyMabena2 ай бұрын
Saf sana washtakiwe Hao polis walio walio ongoza ukamataji
@Uhuru12342 ай бұрын
Hii ya kuwashitaki nime ipenda, na muone namna ili kesi kama hizi zisicheweshwe mahakaman
@GerardMdui2 ай бұрын
Nlilkuwa nakusikia tu, kumbe upo vzr!!
@godsson59542 ай бұрын
Genius
@TemuCalvinWilbard2 ай бұрын
Mheshimiwa nakuelewa sana napenda watu jasiri kama wewe muungane muwe 100 nchi hii itakombolewa
@SundaySteven-bz4yq2 ай бұрын
Kwakuwa police wameshidwa kutenda haki kwa vya upinzani maana yake wao ni ccm hivyo basi kwenye uchaguzi patachimbika
@PeterMandata2 ай бұрын
Madeleka,Tundulisu na mwabukusi mnatuelimisha sana watanzania ambao serikali hawataki hichokitu.
@noelbryson78402 ай бұрын
YULE KAMANDA AJE HAPA ASIKILIZE WATU WANAOJITAMBUA..
@geofreychitamu3662 ай бұрын
Hawzikuja kwa kuwa wanaokuja hapo ni wanaojitambua na wana matumizi mazuri ya akili.
@hassanjalikazi67542 ай бұрын
Madeleko bro wewe unaskili sana unajua mko wachache tanzani wewe kibatala mwambukuzi aaaa huwa mnanikosha sana mungu ata walinda ishaala
@MSOMBAAlon-gh3ps2 ай бұрын
Inaonyesha police ni makada wa chama wanafanya wanavyotaka ndio maana mwenezi wa chama Cha ccm aliposema tu wakawatoa wenye akili tumejua
@SinarahaNtaraha2 ай бұрын
Kutokuijua sheria shida kubwa sana yaan madereka unaongea bila hofu kwa sababu ya kujua sheria
@IsayaSosolo-nx8zk2 ай бұрын
Ndiyo maana alienda kusoma akaliacha Jeshi la police vilaza Kama Hawa wasio jielewa!
@ODENILWILA2 ай бұрын
Hawa polisi hivi wanajielewa kweli
@slivestermathias94162 ай бұрын
Wewe jamaa unahakili sana
@MajengoPo2 ай бұрын
Pongezi Wakili Madeleka, wachukueni mahakamani mapolisi hao hawaijui haki, wao ni kuswaga tu kujipendekeza tu kuwa wanafanya kazi. Endelea Mh. MADELEKA
@KuzenzaSangija2 ай бұрын
Sahihi Tz hakuna haki na demokrasia uonevu umetawala kuliko hata Kwa mkoloni tunafanyiwa maigizo ya 4R Tena Kwa matumizi makubwa ya nguvu ya uvunjifu wa Sheria na polisi Kwa mihemko ya hofu na ujinga
@1961nungwi2 ай бұрын
Jambo TV hebu tafuteni Waandishi wenye weledi, sio ilimradi wanajua kuongea
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv2 ай бұрын
Nenda wwe
@1961nungwi2 ай бұрын
@@SmilingFlowerBouquet-hs2hv kwa kweli inabidi niende. Maana inachosha!!🥴 Habari ni bidhaa ya Ubongo.
@FridayMwassa2 ай бұрын
Wenye weledi ni kama nani
@DominicKihwele2 ай бұрын
Asante Wakili Msomi Madeleka: Waburuzeni Mahakamani ili liwe fundisho tupate Tz inanayo zingatia Utawala kwa mujibu wa Katiba na Sheria mbali mbali
@ShabaniOmaryy2 ай бұрын
💯✊✊pa1
@ceciliamagalabajimmy43912 ай бұрын
Exactly.
@B23-i8p2 ай бұрын
Mtu makini
@hybridaccounts2 ай бұрын
Tatizo ni D mbili kaka na IQ.
@Zaikadena2 ай бұрын
Ukijua Sheria ni Raha sana jmn
@benjaminseraphin9032 ай бұрын
Huyu jamaa ana akili sana!god bless you 💯
@RahmaMwamwezi2 ай бұрын
Nmeipenda hyoooooo
@MedardLutelemba2 ай бұрын
Ndio maana police ni division 4 ya zero 0️⃣ hayanaga akili afu ni masikini watumwa kwenye nchi mishahara midogo yananyonywa haki zao na serikali badala wawe kitu kimoja na wananchi yanajipendekeza
@ibrahimmsula2012 ай бұрын
Big up
@mandajamaly48432 ай бұрын
Kuna watu mnajua mambo katiba na sheria mnazijua aiseee
@kamalabuberwa20012 ай бұрын
Peleka Awadhi mahakamani haraka sana
@EliasMwita-q3x2 ай бұрын
True
@mlelwa2 ай бұрын
Duuuuh kumbe
@francissimwinga-gb2vd2 ай бұрын
Kweli kabisa muharifu atachiwaje bila mahakama kuamua kweli police wapelekwe mahakamani
@InnocentCharles-hm3ff2 ай бұрын
Yan mambo ya kalee bado yanatesa watz hadi Leo...
@raphaelkorio24352 ай бұрын
Asee dah
@justardzelphine65262 ай бұрын
Kabisa aisee, hii mijitu ni ya kushitaki
@rebekakulwa61592 ай бұрын
Maelekezo
@isacktesha66592 ай бұрын
Hii ndiyo tafsiri ya akili kubwa Sasa , mwanasheria msomi
@francissimwinga-gb2vd2 ай бұрын
Kweli hii nchi ni nchi huru kweli hata wakoloni waliheshimu sheria
@yosephatMasanyiwa-oh1rl2 ай бұрын
Madeleka usiishie kuongea Peleka kabisa mahakamani tukaone utaalam wao wa kujieleza huko
@ChristianLimo-k8t2 ай бұрын
Nice
@CastoMasuta-e8g2 ай бұрын
👍
@altonkanjolonga23802 ай бұрын
KAKA MUNGU AKUTUNZE,UMEKUWA SAUTI KWA WASIO NA SAUTI
@yosephatMasanyiwa-oh1rl2 ай бұрын
Umetumia Neno zuri sana madeleka kusema ni matumizi mabaya ya akili. Haki ya Mungu Hilo neno linawatosha kabisa wajitafakari.
@RehemaMagoire2 ай бұрын
Hahahaha
@TallTallmysha2 ай бұрын
Hhhhhhhhhhh safi sana dah kusoma raha sana aise,madeleka ni mtu na nusu
@fadhilikyandofadhilikyando56662 ай бұрын
sanaaaaaaa
@isayamwashibanda58192 ай бұрын
Uko sawa kamamanda bola wafutee kuliko kuacha kupambana na majambazi wanapambana na chademaa
@lindajohansen92202 ай бұрын
Tuko pamoja kaka Madeleka, kama mtahitaji solidarity ya wananchi tuambieni tutajitokeza tu. Wahaini wa kisiasa hawa waelewe kwamba wao hawana haki ya kuwa juu ya sheria. Pimbi hao
@PeterMahona-zd3oz2 ай бұрын
Mungu atusaidie. Nahi ccm navibalakavyeka. Vya vilambalamba vipolis hivi tukiviletea. Bokoalamu. Watatu sivinatosho kabisha nasisi tukanunu bunduki tumalizane
@JoyceKabula-in1sh2 ай бұрын
Kweli baba
@jacklinelyimo74072 ай бұрын
Wapelekeni haraka sana tunataka haki Tz na sio siasa za ubaguzi upande mmoja Polisi hawatakiwi kujihushisha na siasa wapo kusimamia haki na usalama wa raia basi
@paulmanda8012 ай бұрын
Mungu nionyeshe njia nikutane na huyu mweshimiwa peter wakili au kama kuna namb zake naombeni ndugu wana fb
@paulmathias63282 ай бұрын
Hawa watu jamaniiiiiii ni shida siwapendi mpaka bas
@rogersiddy2 ай бұрын
Mtangazaji nawewe akili zako bhana yaan unasema Katibu mkuu wa Ccm amesema waachiwe mtu anakupa tatizo tatizo alafu analitatua uyo uyo unamuona mwema watanzania tuna akili timamu bhana
@EmmanuelMwankusye2 ай бұрын
Tuandamane tu
@manethmwiyanja24522 ай бұрын
Nyie ndio watu muhimu yaani mihimili ninawaunga mkono polisi wana mahovyohovyo sana msipo wadhibiti kisheria mmoja mmoja watatusumbua.
@georgempogomi73292 ай бұрын
Madereka nakuelewa Sana peleka mahakamani kabisa sisi wanyonge tunateseka mno mioyoni kuona uovu wa polisi kwa viongozi na vyama vya upinzani
@mosesmacha10802 ай бұрын
Kama itahitajika gharama tutasaidiana
@LilianMushi-ho8qf2 ай бұрын
Peter naomba mawasiliano yako ninaomba ushauri/ msaada wako
@JekobuNgwara2 ай бұрын
Nikweli kama wanatumika hawapolis wanaweza vuluga uchaguzi maana wanajipachika vyeo bilamagizo
@michaelmhina36132 ай бұрын
Najaribu kufikiri sana kuhusu elimu ya Awadh Juma Haji.
@JoelRichard-hj3bi2 ай бұрын
Police wa Tanzania wamekua chanzo cha maovu nchini,sijui ni nani kawapa akili hizi za kijinga,Tanzania inakwenda pabaya.
@thadeusmateru13562 ай бұрын
Fedheha kwa Taifa
@kisinza60772 ай бұрын
Duuh! Hii nchi kifanyike kitu gani?
@gowekogoweko58032 ай бұрын
ASANTE MR PETER
@mzeebabumzee2 ай бұрын
ndiyo watu ninao wa fatilia kama awa nipo lazi pesa yangu iishe kwaa jili ya bando ili nim sikilize wakili wangu madeleka mwabukusi pitakiba tala na mkuu wao lisu mungu awa linde sana na sana