Yeyote unaesoma comment hii Yesu Kristo anakuja kuchukua kanisa takatifu sana hivyo ushauri jiandae kwa kujitakasa, kujitenga na tamaa za kidunia na ubaya wote. Ukipuuza utajuta milele ukitii utafurahi milele
@jericonzogolo14921 күн бұрын
Hakika
@emmanuelShayo-dk6vf2 ай бұрын
Dahaa ukiwa na wazazi wako wote na pia ni mzima mshukuru mungu sana wengine ilo jambo hatulijui tunasikiaga baba na Mama tokea utotoni na pia mshukuru mungu pale unapo pata changamoto alafu yupo wa kukutatulia..jambo la kushukuru sana
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
ooh jmni pole sana kakaangu Mungu kwako umkimbilie Yeye ndo kila kitu kwakoo
@herijaphet2 ай бұрын
Hongera kwa kupachika kope.
@ShukranMwakyambo2 ай бұрын
😂
@stellahsimon44602 ай бұрын
😂
@Allyhujjat2 ай бұрын
Yes is added after every single word yes, yes, yes duh
@binseif22162 ай бұрын
Mtoto wa nabii anavaa uchi ya hizi dini mtihani sana
@charlesmtaita96642 ай бұрын
Dini haihusiki hapo
@josephlorri4312 ай бұрын
Hakuna aliyezaliwa na nguo.. mavazi ni utamaduni tu.. wazazi wetu wa mwanzo ie Adam na Hawa (kadiri ya vitabu vya dini .. Bible, Qur'an, Torati) hawakuwa na mavazi yoyote
@DanielLukumay-h7cАй бұрын
Don't judge my friend
@EllllllllllllyАй бұрын
Ni mtoto wa nabii,hajakuambia yeye ndo nabii😂
@sulemanmuyomba3524Ай бұрын
Monica ana Sura ya Uaminifu sana.
@DaheerK2 ай бұрын
Masikini ndio wenye koment mbaya kwajili ya njaa 😂😂
@meikoking2 ай бұрын
Umeongea point
@annathomas-wy8yt2 ай бұрын
Kabisa yaani, hatuwezi kufanana
@AdelinaBenjamin2 ай бұрын
😂😂😂😂kabisaa
@charlesmtaita96642 ай бұрын
Kweli tena
@josephlorri4312 ай бұрын
Hasira za njaa..
@ndukulusudikucho_2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awazidishie awape zaid na Zaid ili wasaidie na watu wengine
@gracemwakibolwa79102 ай бұрын
Mtoto umetulia hadi raha.nakupenda sana binti maana una kila kitu mwingine hapo usingetoa hata ushirikiano wee ni bonge la binti mwema.kaa salama na ndoa yako mama.
@RehemaChizumi2 ай бұрын
Hongera sana mwanangu Monica Mungu akuinue kwa viwango vya juu
@jeremiahcharles60272 ай бұрын
@@RehemaChizumi kusifia ujnga tu
@CharlesMbunda-og5tn2 ай бұрын
Mtoto wa 'Nabii Mkuu' 😂😂
@leonardkajuna121315 күн бұрын
Mimi sionagi Kama Nabii Mkuu uwaga anamchakato wa sadaka zaidi sana namwonaga yeye anatoa zaidi,sioni hata mshirika aliyekamuliwa hapo,labda kama ana VYANZO vingine!
@florianhenry71982 ай бұрын
Mwaka huu utaishaje sijui
@RachelLaizer-n2p2 ай бұрын
Kazuri karembo
@ThomasMmary-r7wАй бұрын
❤
@jeremiahcharles60272 ай бұрын
Duh,,Hawa hata shida hawazijuagi,,,,Raha kuanzia utotoni Hadi ukubwan,anahudumiwa na baba ,,hata kama kaolewa
@israelkisaila84012 ай бұрын
Ndo maana yake,hata mume akimzinguwa ni kutoka mara moja tu,maana hana shida yeyote.
@philemonmagesa55482 ай бұрын
Ninyi hamjui hawa wa hvyo nawao wanachangamoto zao ambazo hata kwa uwezo wao walionao kiuchumi wanashindwa kuyatatua unakuta magonjwa sugu au kitu ambacho kitamfanya asivimbe zaidi kujiona yy ni tofauti na watu wengine
@jeremiahcharles60272 ай бұрын
@@philemonmagesa5548 pia mahusiano yanawatesaga sana
@vickytango55912 ай бұрын
😂😂😂@@philemonmagesa5548
@judyngowi3912 ай бұрын
Subiri zamu yake ya kutolewa kafara ifike
@HappyatHome-bn8wm2 ай бұрын
mikope, makucha.. ushetani tuu. hamna Mungu hapo
@mussanyanda34517 күн бұрын
Huna tu
@benjo_brighter2 ай бұрын
Yupo vizuri mdada wa watu 😊
@djamanitvonline3623Ай бұрын
Mbona kaolewa Mapema tena na muhimdi
@nurumollel59882 ай бұрын
Hongera Mona.
@ChitaiElish2 ай бұрын
Nimebahatika Kua mwl.wa Monicah kwenye moja ya sec nzuri Kisongo enzi hizo..àma kweli mwl. hawezi mtambua mwanafunzi wake alichokibeba..... hongera.
@talents79342 ай бұрын
Acha kuwa chawa huendani na career yako
@Jerie-q1c2 ай бұрын
Dada wewe ni Mzuri sn, ila kope bandia hazikufai zimekuharibu
@KideNetworks2 ай бұрын
Sijapenda hayo maswali😮
@EmmanuelMajele-ny2hk2 ай бұрын
Nimechunguza watu wanao koment mabaya ndio masikini sana ndivyo watakavyo kuwa masikini sana kwa sababu mioyo yao lmejaa chuki
@janethelly49862 ай бұрын
Mzuri sanaa mpolee❤
@EricUbalijoro-x1l2 ай бұрын
Abarikiwe sana huyu mchungaji anajitowa sana kwa kusaidia watu
@binseif22162 ай бұрын
@@EricUbalijoro-x1l anasaidia ili aingienao motoni hata kwenda pekeyke
@simonrichardmosha61412 ай бұрын
Za mafala zinazungushwa
@JenifaWilbad2 ай бұрын
Wajinga ndio waliwao
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
kwa kweli jmni
@evelema61462 ай бұрын
Hakuna dini yakweli hata moja wote tumedanganywa na wazungu na aliye nyuma ya hiz din ni pepo mwenye uwezo mkuubwa kwa haya na mengi ya kushangaza mfuatilie Imani mcimbwa utube you will be shocked
@SamwelMollel-br9md2 ай бұрын
Safi sana
@MonicaBenitomwalongo2 ай бұрын
mzuri jamani
@zuenahamoud15322 ай бұрын
Yes yes yes
@ijsound51492 ай бұрын
Watu wengine waopewa platfom daah ila sawa bhan ni vyombo vyenu vya habar
@GeorgeAkasha-zx2rj2 ай бұрын
Wivu ama?
@msowamhokole77142 ай бұрын
Ya zamani hiiiiii wakati Nisha yupo hai
@saimalunde40022 ай бұрын
Wewe hukasikia mdogo wake anasema nammiss kaka ake hii ni tyr nisha slikuwa kishafariki
@binseif22162 ай бұрын
Mtoto wa nabii anavaa uchi na kucha ndefu yani hizi dini mtihani sana
@meikoking2 ай бұрын
Uchi unaujua wewe
@bestforever-q2w2 ай бұрын
Ficha wako itakusaidia
@binseif22162 ай бұрын
@@meikoking Kamulize sister wa kanisa lako ndo atakujibu,mulize kwann nyie mnavaa kwa kujistiri atakujibu
@berithaandersonn22342 ай бұрын
Achana na huo mtihani fanya mitihani mingine
@binseif22162 ай бұрын
@@berithaandersonn2234 Nilipoona sura yko na mwili wako ni zaid ya shetan
@hanifamziray2772 ай бұрын
Kapole ila unapenda sn urembo ila kucha hapanaaaaaas
@sammimbuta45612 ай бұрын
Safi sn
@miriamdavis38932 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@prophetislael5265Ай бұрын
Hivi kwann maskini huwa wanahasila sana na walio fanikiwa Kama huamin angalia koment zawalala hoi wanatumia kigezo cha din kumbe nisshida naumaskini punguzen makasiliko
@Mery-f5p8c2 ай бұрын
Nachenyewe ni kilimbukeni Dah! Kinapenda Camera kama Babaake 😂
@wilsonandlea86142 ай бұрын
Chawa msenge
@DaheerK2 ай бұрын
Apo pasululuu tu
@zawadimbwambo109121 күн бұрын
Yani tanzania mtu akipata ahueni ya maisha kidogo anaongea na pua kidogo kama mzungu!!!!!! Na mchanganyiko kiswahili kingereza mhhh
@mtangag7742 ай бұрын
Maisha haya hatar
@abbyadams86912 ай бұрын
We acha tu bora tukae kimya
@molenicharles910716 күн бұрын
Mwaka huuu ni mwaka wakuforce mtakemsitake mtamuita booosii🤣🤣🤣
@tinnahagustinolyelu42472 ай бұрын
Hizo hela za kupewa bila kuzitolea jasho zina madhala katika ulimwengu wa roho
@meikoking2 ай бұрын
Kwako ndo umenena hivyo
@sylvetermtunga45872 ай бұрын
Tafuta pesa na wewe wanao wawenamaisha
@shamsaabdalah7038Ай бұрын
Kwanini shoga
@tinnahagustinolyelu4247Ай бұрын
@@shamsaabdalah7038 Yaani ogapa saana mtu anakupa pesa nyingi hujàfanya kazi yoyote halafu unapokea Kuna wema mwingine nyuma yake umebeba uharibifu mkubwa mno lakini kwa wakati huo huwezi kujua utaona ni kawaida lakini hatukatai misaada ila kusudi lake ni Nini maana huyo mtu yeye anatafuta hela kwa ajili ya kuwagawia watu sio hela tu mpaka magari wewe huogopi
@GreenNicole2 ай бұрын
Lewis Ruth Thompson Brian Walker Mark
@kessynurutajiri49402 ай бұрын
Hiyo mikope mmmh!
@edithaeugeni96952 ай бұрын
Mhiii hyo Naisi yupo kazini kuwatafuta Maisha
@MussaBakar-p2p2 ай бұрын
Baba yake anaubiri mtoto kaweka makope ya bandia manywele kama kichaa
@robertphilip3852 ай бұрын
Ponda Raha mama maana imeandikwa Wana walawi watakula kwenye mathabahu
@Kabwela7762 ай бұрын
Matapeli tu hawa wahuni hamna nabii wala nini , ni watanzania tu wajinga wanaibiwa kutoa hela za sadaka, mtoto wa nabii anawazia fashion na nguo wahuni hawa 😅
@broka_genius36152 ай бұрын
Izo kelele za maiki sasa 😂😂
@DaheerK2 ай бұрын
Shida kupenda vitoto vip kaolewa mume wake yupo apo
@EmanueliWildausoni2 ай бұрын
Nimependa unavyojieleza japo nyie ni matajir lakn unaonekana huringi huna mapoz saf nimependa pia unapambana
@upendoeliya93292 ай бұрын
Anajishauwa huyo halafu mavazi hayaendani na huduma ya kanisani nguo fupi. Hayo mahela ya baba yako yawe tu ya haki. Hayo macho wamekuwekea .... Oversize nini maana ndefu sana 😅😅😅😂😂😂.
@subiralema2 ай бұрын
Ayo makucha uchafu
@jumaalmasjuma17002 ай бұрын
Shida mnapenda vitoto
@SamwelMollel-br9md2 ай бұрын
Gd
@NuruJara2 ай бұрын
Dada unajisifia umeolewa mm nalia sababu ya hoa mabwana nimeumia sasa sai natafuta ndoa
@jeremiahcharles60272 ай бұрын
Hata ungekuwa ni wewe,,,😁. Sadak@ zinamfany ajisikie😁😁😁
@NuruJara2 ай бұрын
@@jeremiahcharles6027 😂😂😂
@salymsuleiman20352 ай бұрын
Njoo mm nakutaka
@jeremiahcharles60272 ай бұрын
@@NuruJara unakwama wapi
@frankraphael75462 ай бұрын
Mdada mditarabu sana unaongea kwakujielewa ongera familya bora
@binseif22162 ай бұрын
Nabii fake mchawi huyu hakunabkitu hapo majitu majinga sana yanamfata huyu mtaendanae motoni