NYUMBANI KWA MONICA MTOTO WA NABII MKUU GEORDAVIE, MFANYA BIASHARA NA MWIMBAJI, AMKUMBUKA NISHER

  Рет қаралды 58,382

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 110
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 2 ай бұрын
Yeyote unaesoma comment hii Yesu Kristo anakuja kuchukua kanisa takatifu sana hivyo ushauri jiandae kwa kujitakasa, kujitenga na tamaa za kidunia na ubaya wote. Ukipuuza utajuta milele ukitii utafurahi milele
@jericonzogolo149
@jericonzogolo149 21 күн бұрын
Hakika
@emmanuelShayo-dk6vf
@emmanuelShayo-dk6vf 2 ай бұрын
Dahaa ukiwa na wazazi wako wote na pia ni mzima mshukuru mungu sana wengine ilo jambo hatulijui tunasikiaga baba na Mama tokea utotoni na pia mshukuru mungu pale unapo pata changamoto alafu yupo wa kukutatulia..jambo la kushukuru sana
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
ooh jmni pole sana kakaangu Mungu kwako umkimbilie Yeye ndo kila kitu kwakoo
@herijaphet
@herijaphet 2 ай бұрын
Hongera kwa kupachika kope.
@ShukranMwakyambo
@ShukranMwakyambo 2 ай бұрын
😂
@stellahsimon4460
@stellahsimon4460 2 ай бұрын
😂
@Allyhujjat
@Allyhujjat 2 ай бұрын
Yes is added after every single word yes, yes, yes duh
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
Mtoto wa nabii anavaa uchi ya hizi dini mtihani sana
@charlesmtaita9664
@charlesmtaita9664 2 ай бұрын
Dini haihusiki hapo
@josephlorri431
@josephlorri431 2 ай бұрын
Hakuna aliyezaliwa na nguo.. mavazi ni utamaduni tu.. wazazi wetu wa mwanzo ie Adam na Hawa (kadiri ya vitabu vya dini .. Bible, Qur'an, Torati) hawakuwa na mavazi yoyote
@DanielLukumay-h7c
@DanielLukumay-h7c Ай бұрын
Don't judge my friend
@Elllllllllllly
@Elllllllllllly Ай бұрын
Ni mtoto wa nabii,hajakuambia yeye ndo nabii😂
@sulemanmuyomba3524
@sulemanmuyomba3524 Ай бұрын
Monica ana Sura ya Uaminifu sana.
@DaheerK
@DaheerK 2 ай бұрын
Masikini ndio wenye koment mbaya kwajili ya njaa 😂😂
@meikoking
@meikoking 2 ай бұрын
Umeongea point
@annathomas-wy8yt
@annathomas-wy8yt 2 ай бұрын
Kabisa yaani, hatuwezi kufanana
@AdelinaBenjamin
@AdelinaBenjamin 2 ай бұрын
😂😂😂😂kabisaa
@charlesmtaita9664
@charlesmtaita9664 2 ай бұрын
Kweli tena
@josephlorri431
@josephlorri431 2 ай бұрын
Hasira za njaa..
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awazidishie awape zaid na Zaid ili wasaidie na watu wengine
@gracemwakibolwa7910
@gracemwakibolwa7910 2 ай бұрын
Mtoto umetulia hadi raha.nakupenda sana binti maana una kila kitu mwingine hapo usingetoa hata ushirikiano wee ni bonge la binti mwema.kaa salama na ndoa yako mama.
@RehemaChizumi
@RehemaChizumi 2 ай бұрын
Hongera sana mwanangu Monica Mungu akuinue kwa viwango vya juu
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 2 ай бұрын
@@RehemaChizumi kusifia ujnga tu
@CharlesMbunda-og5tn
@CharlesMbunda-og5tn 2 ай бұрын
Mtoto wa 'Nabii Mkuu' 😂😂
@leonardkajuna1213
@leonardkajuna1213 15 күн бұрын
Mimi sionagi Kama Nabii Mkuu uwaga anamchakato wa sadaka zaidi sana namwonaga yeye anatoa zaidi,sioni hata mshirika aliyekamuliwa hapo,labda kama ana VYANZO vingine!
@florianhenry7198
@florianhenry7198 2 ай бұрын
Mwaka huu utaishaje sijui
@RachelLaizer-n2p
@RachelLaizer-n2p 2 ай бұрын
Kazuri karembo
@ThomasMmary-r7w
@ThomasMmary-r7w Ай бұрын
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 2 ай бұрын
Duh,,Hawa hata shida hawazijuagi,,,,Raha kuanzia utotoni Hadi ukubwan,anahudumiwa na baba ,,hata kama kaolewa
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
Ndo maana yake,hata mume akimzinguwa ni kutoka mara moja tu,maana hana shida yeyote.
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 2 ай бұрын
Ninyi hamjui hawa wa hvyo nawao wanachangamoto zao ambazo hata kwa uwezo wao walionao kiuchumi wanashindwa kuyatatua unakuta magonjwa sugu au kitu ambacho kitamfanya asivimbe zaidi kujiona yy ni tofauti na watu wengine
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 2 ай бұрын
@@philemonmagesa5548 pia mahusiano yanawatesaga sana
@vickytango5591
@vickytango5591 2 ай бұрын
😂😂😂​@@philemonmagesa5548
@judyngowi391
@judyngowi391 2 ай бұрын
Subiri zamu yake ya kutolewa kafara ifike
@HappyatHome-bn8wm
@HappyatHome-bn8wm 2 ай бұрын
mikope, makucha.. ushetani tuu. hamna Mungu hapo
@mussanyanda3451
@mussanyanda3451 7 күн бұрын
Huna tu
@benjo_brighter
@benjo_brighter 2 ай бұрын
Yupo vizuri mdada wa watu 😊
@djamanitvonline3623
@djamanitvonline3623 Ай бұрын
Mbona kaolewa Mapema tena na muhimdi
@nurumollel5988
@nurumollel5988 2 ай бұрын
Hongera Mona.
@ChitaiElish
@ChitaiElish 2 ай бұрын
Nimebahatika Kua mwl.wa Monicah kwenye moja ya sec nzuri Kisongo enzi hizo..àma kweli mwl. hawezi mtambua mwanafunzi wake alichokibeba..... hongera.
@talents7934
@talents7934 2 ай бұрын
Acha kuwa chawa huendani na career yako
@Jerie-q1c
@Jerie-q1c 2 ай бұрын
Dada wewe ni Mzuri sn, ila kope bandia hazikufai zimekuharibu
@KideNetworks
@KideNetworks 2 ай бұрын
Sijapenda hayo maswali😮
@EmmanuelMajele-ny2hk
@EmmanuelMajele-ny2hk 2 ай бұрын
Nimechunguza watu wanao koment mabaya ndio masikini sana ndivyo watakavyo kuwa masikini sana kwa sababu mioyo yao lmejaa chuki
@janethelly4986
@janethelly4986 2 ай бұрын
Mzuri sanaa mpolee❤
@EricUbalijoro-x1l
@EricUbalijoro-x1l 2 ай бұрын
Abarikiwe sana huyu mchungaji anajitowa sana kwa kusaidia watu
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
@@EricUbalijoro-x1l anasaidia ili aingienao motoni hata kwenda pekeyke
@simonrichardmosha6141
@simonrichardmosha6141 2 ай бұрын
Za mafala zinazungushwa
@JenifaWilbad
@JenifaWilbad 2 ай бұрын
Wajinga ndio waliwao
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
kwa kweli jmni
@evelema6146
@evelema6146 2 ай бұрын
Hakuna dini yakweli hata moja wote tumedanganywa na wazungu na aliye nyuma ya hiz din ni pepo mwenye uwezo mkuubwa kwa haya na mengi ya kushangaza mfuatilie Imani mcimbwa utube you will be shocked
@SamwelMollel-br9md
@SamwelMollel-br9md 2 ай бұрын
Safi sana
@MonicaBenitomwalongo
@MonicaBenitomwalongo 2 ай бұрын
mzuri jamani
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 2 ай бұрын
Yes yes yes
@ijsound5149
@ijsound5149 2 ай бұрын
Watu wengine waopewa platfom daah ila sawa bhan ni vyombo vyenu vya habar
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 ай бұрын
Wivu ama?
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 2 ай бұрын
Ya zamani hiiiiii wakati Nisha yupo hai
@saimalunde4002
@saimalunde4002 2 ай бұрын
Wewe hukasikia mdogo wake anasema nammiss kaka ake hii ni tyr nisha slikuwa kishafariki
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
Mtoto wa nabii anavaa uchi na kucha ndefu yani hizi dini mtihani sana
@meikoking
@meikoking 2 ай бұрын
Uchi unaujua wewe
@bestforever-q2w
@bestforever-q2w 2 ай бұрын
Ficha wako itakusaidia
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
@@meikoking Kamulize sister wa kanisa lako ndo atakujibu,mulize kwann nyie mnavaa kwa kujistiri atakujibu
@berithaandersonn2234
@berithaandersonn2234 2 ай бұрын
Achana na huo mtihani fanya mitihani mingine
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
@@berithaandersonn2234 Nilipoona sura yko na mwili wako ni zaid ya shetan
@hanifamziray277
@hanifamziray277 2 ай бұрын
Kapole ila unapenda sn urembo ila kucha hapanaaaaaas
@sammimbuta4561
@sammimbuta4561 2 ай бұрын
Safi sn
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@prophetislael5265
@prophetislael5265 Ай бұрын
Hivi kwann maskini huwa wanahasila sana na walio fanikiwa Kama huamin angalia koment zawalala hoi wanatumia kigezo cha din kumbe nisshida naumaskini punguzen makasiliko
@Mery-f5p8c
@Mery-f5p8c 2 ай бұрын
Nachenyewe ni kilimbukeni Dah! Kinapenda Camera kama Babaake 😂
@wilsonandlea8614
@wilsonandlea8614 2 ай бұрын
Chawa msenge
@DaheerK
@DaheerK 2 ай бұрын
Apo pasululuu tu
@zawadimbwambo1091
@zawadimbwambo1091 21 күн бұрын
Yani tanzania mtu akipata ahueni ya maisha kidogo anaongea na pua kidogo kama mzungu!!!!!! Na mchanganyiko kiswahili kingereza mhhh
@mtangag774
@mtangag774 2 ай бұрын
Maisha haya hatar
@abbyadams8691
@abbyadams8691 2 ай бұрын
We acha tu bora tukae kimya
@molenicharles9107
@molenicharles9107 16 күн бұрын
Mwaka huuu ni mwaka wakuforce mtakemsitake mtamuita booosii🤣🤣🤣
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 2 ай бұрын
Hizo hela za kupewa bila kuzitolea jasho zina madhala katika ulimwengu wa roho
@meikoking
@meikoking 2 ай бұрын
Kwako ndo umenena hivyo
@sylvetermtunga4587
@sylvetermtunga4587 2 ай бұрын
Tafuta pesa na wewe wanao wawenamaisha
@shamsaabdalah7038
@shamsaabdalah7038 Ай бұрын
Kwanini shoga
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Ай бұрын
@@shamsaabdalah7038 Yaani ogapa saana mtu anakupa pesa nyingi hujàfanya kazi yoyote halafu unapokea Kuna wema mwingine nyuma yake umebeba uharibifu mkubwa mno lakini kwa wakati huo huwezi kujua utaona ni kawaida lakini hatukatai misaada ila kusudi lake ni Nini maana huyo mtu yeye anatafuta hela kwa ajili ya kuwagawia watu sio hela tu mpaka magari wewe huogopi
@GreenNicole
@GreenNicole 2 ай бұрын
Lewis Ruth Thompson Brian Walker Mark
@kessynurutajiri4940
@kessynurutajiri4940 2 ай бұрын
Hiyo mikope mmmh!
@edithaeugeni9695
@edithaeugeni9695 2 ай бұрын
Mhiii hyo Naisi yupo kazini kuwatafuta Maisha
@MussaBakar-p2p
@MussaBakar-p2p 2 ай бұрын
Baba yake anaubiri mtoto kaweka makope ya bandia manywele kama kichaa
@robertphilip385
@robertphilip385 2 ай бұрын
Ponda Raha mama maana imeandikwa Wana walawi watakula kwenye mathabahu
@Kabwela776
@Kabwela776 2 ай бұрын
Matapeli tu hawa wahuni hamna nabii wala nini , ni watanzania tu wajinga wanaibiwa kutoa hela za sadaka, mtoto wa nabii anawazia fashion na nguo wahuni hawa 😅
@broka_genius3615
@broka_genius3615 2 ай бұрын
Izo kelele za maiki sasa 😂😂
@DaheerK
@DaheerK 2 ай бұрын
Shida kupenda vitoto vip kaolewa mume wake yupo apo
@EmanueliWildausoni
@EmanueliWildausoni 2 ай бұрын
Nimependa unavyojieleza japo nyie ni matajir lakn unaonekana huringi huna mapoz saf nimependa pia unapambana
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 ай бұрын
Anajishauwa huyo halafu mavazi hayaendani na huduma ya kanisani nguo fupi. Hayo mahela ya baba yako yawe tu ya haki. Hayo macho wamekuwekea .... Oversize nini maana ndefu sana 😅😅😅😂😂😂.
@subiralema
@subiralema 2 ай бұрын
Ayo makucha uchafu
@jumaalmasjuma1700
@jumaalmasjuma1700 2 ай бұрын
Shida mnapenda vitoto
@SamwelMollel-br9md
@SamwelMollel-br9md 2 ай бұрын
Gd
@NuruJara
@NuruJara 2 ай бұрын
Dada unajisifia umeolewa mm nalia sababu ya hoa mabwana nimeumia sasa sai natafuta ndoa
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 2 ай бұрын
Hata ungekuwa ni wewe,,,😁. Sadak@ zinamfany ajisikie😁😁😁
@NuruJara
@NuruJara 2 ай бұрын
@@jeremiahcharles6027 😂😂😂
@salymsuleiman2035
@salymsuleiman2035 2 ай бұрын
Njoo mm nakutaka
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 2 ай бұрын
@@NuruJara unakwama wapi
@frankraphael7546
@frankraphael7546 2 ай бұрын
Mdada mditarabu sana unaongea kwakujielewa ongera familya bora
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
Nabii fake mchawi huyu hakunabkitu hapo majitu majinga sana yanamfata huyu mtaendanae motoni
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 ай бұрын
Ukiambiwa ulete Ushahidi?
@paulrwechungura4284
@paulrwechungura4284 2 ай бұрын
Hamna kanisa ,ni utapeli mtupu
@djamanitvonline3623
@djamanitvonline3623 Ай бұрын
Mbona kaolewa Mapema tena na muhimdi
UJUMBE WA MONICA DAVIE KWA MARA YA KWANZA 2023 - GeorDavie TV
32:44
GeorDavie TV
Рет қаралды 171 М.
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 25 МЛН
Elza love to eat chiken🍗⚡ #dog #pets
00:17
ElzaDog
Рет қаралды 9 МЛН
When mom gets home, but you're in rollerblades.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 51 МЛН
MWANAUME LAZIMA UMVALIE KANGA SIO KULALA  NAE KAMA ULIVYO ZALIWA
35:08
MCHUNGAJI HANANJA AMVAA MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KUSEMA WANAONGEA NA MUNGU
29:57
Великие художники😂 #6кадров #смех #юмор
0:48
6юмористов
Рет қаралды 4,8 МЛН
: 🙌🏻 أوف يا جماعة!!! 🥴 مجرد أوف
0:28
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 19 МЛН