Please support dawah by subscribing to our channel, commenting and sharing. Tafadhali Subscribe kwenye channel yetu na utakuwa umechangia kueneza dawa Tupigie simu: (+254) 0722600533 / 0700716677 / 0728844477 Whatsapp: 0777600777
Пікірлер: 535
@loner_wolf Жыл бұрын
Yesu anasema yupo m/mungu, abiria wanasema yeye mwenyewe yesu ndio mungu..... Wazungu wametuweza sana waswahili.....
@SalmanMughal-lq5lt2 ай бұрын
SubhanaAllah.
@rbagha5280 Жыл бұрын
Thank you so much our Sheiks and also the Christian brothers and sisters. They, the Christians, are humble as Quran states. The Christian brother appears so close to Islam because of his passion. He will make a Good Muslim, God Willing. These sheikhs are working hard to save their brothers from the hell fire. They love their Christian brothers and sisters. They have good intentions, so please listen to them with an open heart. I am from Canada and your lectures strike lessons fairly deep into the heart. Your examples are sweet, and make one think of our short and GHAFLA { deceptive} lives on earth. Bless you my brother. Your knowledge amazes us! May our Christian brothers search for their Creator and accept the One who created them. It is the same God of Christians and Muslims and all humans and everything created. Let us not fight for the sake of holding on to our bias. The Truth stands alone, differences are many. Regards from Ray in Canada Reply
@jasminjuma63903 жыл бұрын
Alhmdulilah kwa kuzaliwa muislam shukran yarabi kwa neema. Hii ya uislam
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@maryammagenyo50873 жыл бұрын
Wa crhisto mumelewa kabisa
@Awatee3 жыл бұрын
Alhamdulilah mashallah ukhty Jasmin Allah atunusuru na ukafiri na atufishe tukiwa waislam Amiin
@jasminjuma63903 жыл бұрын
@@Awatee Allahumma Amiin
@Awatee3 жыл бұрын
@@jasminjuma6390 Thumma Amiin ya ukhty
@mussamohamedmohamed96293 жыл бұрын
Sheikh Ramadhan Gakuo,,,,ALLAH AKUONGEZEE UMRI UZIDI KUFUNDISHA AU KUFIKISHA UJUMBE WA ALLAH,,,
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Allahuma ameen. Ni Bin Kaguo
@naimaabuualii5782 жыл бұрын
Amini
@SalmanMughal-lq5lt2 ай бұрын
Aamin
@user-td3kt5lx7rАй бұрын
Allah Akupe kila la kheri shekhe wetu, mwalimu wetu... Asante sana wakiristo wa Kenya kwa kweli mmeonesha kuwa ni watu wa upendo na mnajali malumbano ya kiimani.. Allah atuongoze njia iliyonyooka
@jafarykahera17274 жыл бұрын
Shegh mnafanya kazi kubwa allah atawalipa kwa kuwafumbua macho wakrsto wamefungwa na wachungaji
@bnussrahlimsantah37302 жыл бұрын
Sana tu wallah
@kenyan97392 жыл бұрын
😂😂😂Christian forever
@wazirikhamisi48283 жыл бұрын
بارك الله فيك وجزاك الله خير يا أخي الكريم الله يحفظك
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
اللهم آمين
@salamahamadisudi19123 жыл бұрын
Yesu ni Nabii wakristo wacheni ushindani
@Yu-jr9uf Жыл бұрын
Alhamdulillah najiskia raha sana kuona wasokua waislamu wakikiri kwamba Yesu sio Mungu... biggest step ahead to monoitheism religion, Islam
@telaamtauta22272 жыл бұрын
Hatamimi namshukuru mungu kwakutoka huko kwamaana hawana hata muelekeo mungu akulipe sheikh ramadhani namwexiyo
@nasseralhabsi14832 жыл бұрын
Ma sha Allah sheikh, namwomba Allah akujaalie kila la kheri ktk. kazi hii ya daawah. Hakika unajua kuelimisha watu ili wamjue Allah wa kweli.
@jaffarumar52583 жыл бұрын
Masha’Allah Mafundisho mazuri
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Jazak Allahu kheiran
@salehejuma52903 жыл бұрын
Allah akuongezee ufaham na uelewa ya mambo ya mwenyzi mungu
@fridahmulongo94842 жыл бұрын
Ma shaa Allah sheikh good job Allah akulipe
@salmaalnaamani85043 жыл бұрын
Mungu akupe afya kwa kazi yako Taqbir Allah akbar . Mungu awasameh na awaongoze katika njia ya sirat mustaqim
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Ameen, jazak Allahu
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Ameen
@maryanomar1193 жыл бұрын
Amin
@SalmanMughal-lq5lt2 ай бұрын
AaminaYaarabSoote.
@user-yc8xr9ws8z3 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah Rahman Yaa Sheikh Masha Allah,straight to the point,kuelezea kila kitu Masha Allah,may Allah reward you and your group for the beautiful work of dawwah you have dedicated yourself into. Perfect👌
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@iddyally44394 жыл бұрын
Allah awajalie sana mashekh hao vijana wakislimu watakua vijana wazuri sana kwenye uislamu
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Allah awaongoze
@abdur-rahmanmuhammad28984 жыл бұрын
As-salaam Alaykum warahmatullah wabarakatuh Masha Allah kwa kazi nzuri mnayoifanya Allah awalipe khayr nyingi na awalinde na kila Shari mbaya
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Allahumma Ameen
@mohammedt.v49303 жыл бұрын
Ameen
@mohammedt.v49303 жыл бұрын
امين
@mafhalimahlalbeyt54463 жыл бұрын
In toilet do poop and pee clean your skin with water not with paper because,s,tosmear dirt more people toucht paper so you can also get corona virus from x why not brush teeth with paper?
@Awatee3 жыл бұрын
Waleykum salam warahmatu llah wabarakatuh
@radhiamohaa3723 Жыл бұрын
Shekh ramadhan nimekubali sana, Allah ndio kila kila
@shehaothman29482 жыл бұрын
Kijana Ramadhan, ana Subra ya hali ya juu, MaashAllwah. Alhamdulillah
Adam! YESU ALIENDA SHULE GANI tatizo hatusomi vizuri tukaelewa
@hashimkassim2822 жыл бұрын
MashAllah Allah akuzidishie ilmu
@rashidkipingu73583 жыл бұрын
Wallah ustadh nimekupenda kwaajili ya ALLAH
@hamisiomari61813 жыл бұрын
Asalam alaikum, shekh kazi unayoifanya ni kubwa mno, kuoambana na watu wote hao bila kukasirika wala kuchanganyikiwa na memory yako bado iko sawa. ALLAH akupe afya na ufahamu zaidi ili uweze kuwafungua macho waliolala
@lavinnochii7203 жыл бұрын
Hawa wakristo wanapewa ukweli waziwazi kutoka kwenye bibilia lakini bado hawataki kukubali ukweli.ubarikiwe ustadh Kwa kazi nzuri unaoifanya🙏.uko pekee wakristo wako wengi lakini bado ulitokea kuwa nambari moja MASHALLAH
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Wabishi sana Mwenyezi Mungu awaongoze
@stivutitus9633 жыл бұрын
falaww ujijui dinigan yamashetan
@Bosskubwah4501 Жыл бұрын
Mashaallah kazi nzuri nasi tunapata elimu kubwa
@mariarin64282 жыл бұрын
Hapo mwanzo kulikuako na neno, na neno lilikuwako kwa Mungu.
Sheikh Ramadhana Allah awabarik na awaogeze umrii duniani muadele na dawah mtaani walai naskia alm zaindi ndani ya streit pant ndawah inshallah mpaka mtakapo fuguliwa na Allah nget ya firdhaus
@sgfdhaikuhusu60863 жыл бұрын
Mashallah shekhe una moyo mungu akuzidishieee
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Allahuma ameen
@ESM14342 жыл бұрын
Don't force siyo roho mtakatifu wakati siyo Imani yako. That is Holy spirit and no body else
@FatimaFatima-wk1jk2 жыл бұрын
Pole na kazi shekhe na hongera Kwa uthubutu Allah akulipe kheri INSHA'ALLAH 🤲
@StraightPathDawah2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@aaibrahim44873 жыл бұрын
Wakristo hua hawaelewi maandika.... Allah awaelekeze wakristo wote INSHAALLAH
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Ameen
@wazirikhamisi48283 жыл бұрын
Aamiyni
@mwalimupatrick43233 жыл бұрын
Wakristo ndo walimu wenu
@jacobponga15402 жыл бұрын
Masha Alllah, Allah Akbar Uislamu ni dini nzuri na ya haki kwa watu wote! 💜
@hamadkombo65133 жыл бұрын
Allah awazidishie nguvu na Imani kwa kazi ya kujitolea kwa ajili ya Allah na kuelimisha waliokosa elimu ya ukweli kwa ajili ya kumjua Mungu wa kweli
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Allahuma ameen
@perischari3630 Жыл бұрын
Yesu Kristo ni mwana Mungu.Someni john 3:16
@smadon56382 күн бұрын
Mara mwana wa Mungu Mara Mungu,nyie Wakristo 😂😂
@leonardmasano3123 жыл бұрын
Roho Mtakatifu ni nafsi ya Mungu hivyo anaweza kuwa ndani ya kila muumini. Hivyo kuufanya utabiri wa Yesu kuhusu Roho Mtakatifu kwa inahusu Mohammad ni uongo.
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Andiko gani ni sehemu Mungu?
@leonardmasano3123 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Yohana 14 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ¹⁶ Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele; ¹⁷ ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu. … ²⁶ Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
@maryamgalu55232 жыл бұрын
Masha Allah good job
@davismwamachi11453 жыл бұрын
Tumsifu YESU mtumishi,huyo shehe atupe andiko linalomtaja mohamadi kuwa yeye ndiye Roho mtakatifu,,, Yesu katikà john 14:25-26...jina la Roho mtakatifu ni Yesu mwenye... mathew28:20 Yesu atakuwa pamoja Nasi Hadi mwisho wa dhahari(Roho mtakatifu ndiye Yesu, ndiye MUNGU wa kweli,,,1 john5:20... Romans 9:5.Amina mtumishi barikiwa Sana.
@hamidaalhabsi85683 жыл бұрын
Maashallah maashallah nimependa sana hichi kipindi alhamdulilah rabillamin niko Musalam 🙏🙏🙏🙏
@suheilahsuheilah49682 жыл бұрын
Mashaallah mola akubariq ustadh
@jumanjenga76823 жыл бұрын
Good job. Masha Allah. Watching from Boston USA.
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Shukran jazeelan, may Allah protect you and your family
@jamuhuraly12382 жыл бұрын
MASHAALHA Mungu akuifazi maisha mema, Wakristo wanapingana wenyewe ,
@aybkham57953 жыл бұрын
Apo safi unaelewesha vema kwa amani
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Ndivyo inavyotakiwa
@jaliaibrahim28323 жыл бұрын
Asante ustadhi
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Karibu sana
@divinahdivinahw5133 жыл бұрын
Maria alimzaamtoto JinaEmmanueli inamanisha munguyukonasi
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Wapi alimwita mwanawe Emanueli?
@mwajumamwajuma37563 жыл бұрын
Mashaallah wisilam ustadh wakiristo wanakufuru sana mungu awape mogozo hawaelewi
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Ameen
@munaisa58502 жыл бұрын
MshaAllah Mungu akuhifadhi duniyani na agira sheg wetu Amiin
@jeromemathias22923 жыл бұрын
Wakristo kweli uwa Awana muda wa kujadili Mambo ya mungu kuweni makini kupotosha watu wa mungu wasije angalia kwa kukosa mahadili
@bibleknowledge-b1y19 күн бұрын
Yohana 3:14-15 [14]Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa; [15]ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye. Yesu aliteseka, kufa na kufufuka kwa ajili ya dhambi zetu.. Bila hivyo hakuna msamaha... Wakolosai 1:14 [14]ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi;
@aliissa-je6gt2 ай бұрын
wao kwa wao hawaelewani inna lilahi wainna ilayhi rajiuwn😆😄😁
@musanike30793 жыл бұрын
😁😁 SubnALLAH... May ALLAH guide you Sheikh Ramadan
@achanifumos10933 жыл бұрын
Allah akupe na akuzidishie subra...
@saumuseif91893 жыл бұрын
Kazinzuri kwakweli
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Shukran jazeelan
@rahmaabid4473 жыл бұрын
Waaa eti tishuuu...😊😊
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Naaam kufuta badala ya kuosha
@munirashughuli72243 жыл бұрын
Allahu Akbr
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Allahu akbar kabira wa alhamdulillahi kathiira
@isaacotieno79008 ай бұрын
ameshindwa kujibu
@salehmalale9794 Жыл бұрын
Mashallah...sheikh Rudi huko
@esthermrambamramba15703 жыл бұрын
Hapa kazi ipo
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Tena kubwa
@bendit44763 жыл бұрын
Hapo Shehe unapotosha. Roho wa kweli ni Roho mtakatifu. Na Roho huyo alishuka siku ya Pentekoste. Vifungu vyote havimtaji mtume Mohamadi
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Na yule alikuwa na Yesu katika Yohana 20:22 ni yupi?
@ayubumzaire10443 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Hauna ufahamu juu ROHO MTAKATIFU, Kwani hata manabii kwenye agano la kale Roho huyo huyo aliwashukia, Hakai kwa mtu mmoja tu, Shekh hiyo BIBLIA sio ya kuikulupukia
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Subirini inshallah hii mada yaja
@fauziaabdullah37333 жыл бұрын
mungu atawaongoza wajue njia ya sawa
@jasminjuma63903 жыл бұрын
Mashaa allah
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@rilkabuya65193 жыл бұрын
Mashaallah tabarak allah, Takbiriiiiiiiiii, Allah Akbari
@jamilshisia59294 жыл бұрын
MashaAllah hapo umewapa elimu ya kutosha
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Wabishi sana lakini
@juliusgichuki14343 жыл бұрын
Osha kikombe dani na nje itakuwa Safi.
@moodyhassany89283 жыл бұрын
Shekh yesu ameshakufa teyari zamani tu
@wazirikhamisi48283 жыл бұрын
Hapana yesu ajafa ndg
@ayubumzaire10443 жыл бұрын
@@wazirikhamisi4828 Mbona kubishana kuhusu YESU kufa, BIBLIA ktk Injili zote tatu zinaeleza ya kwamba YESU alikufa na baada ya siku 3 alifufuka akapaa mbinguni, Na ktk hili hakuna shaka ndio ukweli wenyewe
@francinensavyimana56013 жыл бұрын
Wakristo awanacakufundisha akipinga anakuta kajiyega mwenyewe uyo ni roho a swadiki al amini mikweli muaminifu mutume MUHAMADI S.A.W
@omargbabaomar20044 жыл бұрын
Masha Allah sheikh nakupata kazi yako mzuri nikiwa Qatar
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Shukran sana ndugu yangu tukumbukane kwenye dua Allah atufanyie wepesi
Kweli, shikio la kufa halisikii dawa. Allah akupeni subra, hii kazi ngumu lakini malipo yake adhimu.
@j.bjacobbasubi21873 жыл бұрын
Minaona anatuma mkewe kwa wa kristo kwasababu anajuwa dini yawa uwaji Sana sana kilamutu tuninabii tu ka anamuamini kristo yesu kamavili muhamed alivio mwamine yesu nandiya kwaama akaomba angozwe kwa jia ya walio nihimishwa
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Hapa kazi ipo
@yusufmwangichannel66924 жыл бұрын
Masha Allah, kazi nzuri, Allah akulipe kheir, next time urudi hapo ili mjadili kuhusu kifo cha yesu
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Inshallah mpango huo upo
@husnaodhiambo68484 жыл бұрын
Mashallah Shukran Jazylan kwa part 2
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Ameen
@adammwangatwa99143 жыл бұрын
Mtu mwenyew kusoma hajui
@Bosskubwah4501 Жыл бұрын
Taja japo barua moja yesu aliisoma
@fatumamwalimu57654 жыл бұрын
Huyo mwanamke jina tu ni shida! Mashekh wetu Allah awatangulie kwa kila hatua na awape humri mrefu pamoja na afya njema Aamin thuma Aamin
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Ameen
@pungopungo4113 жыл бұрын
Hao sio wakristo yesu ukikutana na mkristo wa kweli hapatatosha hapo
@mileshm31483 жыл бұрын
Waliojibu maswali wamejitahidi sana, Hongera sana... Keep reading the word of God... Next time Learn to listen to understand, wengi mmejibu mkiwa on panic coz this people are asking questions as Mafarisayo were doing. Matthew 16:1-2,5-6,12 [1]The Pharisees also with the Sadducees came, and tempting desired him that he would shew them a sign from heaven. Most of the time, mnauliza si kuelewa bali kujaribu kuona what they understand.. Mungu awafungue macho, muamini ukweli Wakamjia Mafarisayo na Masadukayo, wakamjaribu, wakamwomba awaonyeshe ishara itokayo mbinguni. [2]He answered and said unto them, When it is evening, ye say, It will be fair weather: for the sky is red. Akajibu, akawaambia, [Kukiwa jioni, mwasema, Kutakuwa na kianga; kwa maana mbingu ni nyekundu. [5]And when his disciples were come to the other side, they had forgotten to take bread. Nao wanafunzi wakaenda hata ng’ambo, wakasahau kuchukua mikate. [6]Then Jesus said unto them, Take heed and beware of the leaven of the Pharisees and of the Sadducees. Yesu akawaambia, Angalieni, jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo. [12]Then understood they how that he bade them not beware of the leaven of bread, but of the doctrine of the Pharisees and of the Sadducees. Ndipo walipofahamu ya kuwa hakuwaambia kujilinda na chachu ya mkate, bali na mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo. Petro Amkiri Yesu kuwa Kristo
@abumuhammad25723 жыл бұрын
Sheikh Allah akulipe kheri kwa kazi nzr unayoifanya ningeomba tu jaribu kuwaelimisha kile wasichokijua hao ni kama blind vipofu waoneshe njia ya haki ni ipi, lkn wewe una base zaidi kuwauliza wao masuali una waconfuse than huwapi jibu wafundishe njia ni hii na sababu ni hizi na kristo mupo ktk wrong kwa sababu hizi shukran
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Wengi ni waoga wanaogopa hata kuongea
@ibrahimjuma103 жыл бұрын
Masha Allah munafanya kaz mzur Allah awalipe malipo mema
@mileshm31483 жыл бұрын
God is mysterious, you can't know fully how He works... That why He is calling you to have encounter with Him
@abdallahseif56283 жыл бұрын
P
@pungopungo411 Жыл бұрын
Kuna wakrito jina .mkristo anaemjua Yesu vizuri hawezi kusimama hapo. Kwa mapopo
@groupelumiereuvira97563 ай бұрын
Roho wa kweli ni yule yule roho mtakatifu! Aliwaagiza nitume! Kisha baada ya siku 50 yule roho akashuka akawajaza!
@magrethmmbaga70983 жыл бұрын
Roho mtakatifu anakaa nasi milele huyo Muhamadi yuko ama alikufa zamani. Yesu mokozi anaweza Yesu nimzuri Yesu Yesu
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Quran aliyopewa tunayo milele, naye pia yu hai katika nyoyo zetu
@mamoulovecherry51213 жыл бұрын
MASHAALLAH tabarakaAllah Allahu Akbaru 🤗🤗🤗🤗🤗🤗
@111dudi3 жыл бұрын
Baraka Llahu fiyk Ustaadh Ramadhan
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Shukran jazeelan
@achouraachoura57632 жыл бұрын
Mungu awaongze ktk njia ya Haki🤲
@duchillahomaromar96742 жыл бұрын
du malim uko vizur sana
@ndelemwalonde21453 жыл бұрын
John 14:10-11 [10]Believest thou not that I am in the Father, and the Father in me? the words that I speak unto you I speak not of myself: but the Father that dwelleth in me, he doeth the works. Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake. [11]Believe me that I am in the Father, and the Father in me: or else believe me for the very works' sake. Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Hilo halimfanyi kuwa Mungu
@davismwamachi11452 жыл бұрын
@@StraightPathDawah wafilipi 2:5-11
@Yu-jr9uf Жыл бұрын
hayo maandiko wala hayampi uungu Yesu hata chembe
@myoutubecom-gg7sb3 жыл бұрын
MashaAllah
@juniorYB Жыл бұрын
Only halla is great
@hassanambarakmbarak87593 жыл бұрын
Shekh safisana mashallah
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Shukran jazeelan
@ahmednassor68873 жыл бұрын
@@StraightPathDawah pole cana ustazi mungu atakulipa kila la kheri vijana wamekushika na wala hawaelewi
@anwarsadatas014 жыл бұрын
salam aleikum, part 3 tunangoja
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Inshallah
@AbdulmajidHyder4 жыл бұрын
Ma Sha Allah...... tuko pamoja nawapata nikiwa Doha Qatar 🇶🇦