Pole sana wenzetu amini mungu yupo na ndo mtetezi wetu ,hipo siku watalia na kusaga kusagameno,😂, ❤
@amanimakombe71412 ай бұрын
Pole sanaaa mtanzania tunapaswa kumwomba Mungu hii sio kawaida
@nurumohammed1310Ай бұрын
Pole sana watanzania hatuna Amani na inchi hii halafu viongozi mseme uwongo mungu anawaona nyinyi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@omaryjudasymwanga71722 ай бұрын
Wengi wanaopinga nahisi ni swala la elimu tuu wazazi tusomeshe watoto wasiwe na ubongo wa ngurue kiasi hichi yani watanzania wengi wanatembea lakini wana mtindio wa ubongo hivi police ni mahakama wanapata wapi nguvu ya kuadhibu mtu kwa kipigo akifa nani alaumiwe....kuna wakati mpaka nazama JWTZ ni jeshi la wananchi ila utii wao na kusema hawajapewa amri inalipeleka taifa kukosa haki kitengo flani kama kinakosea na badala ya uongozi kikawa cha ukoloni kuna haja ya kutoa maonyo police tumeshudia wanaua watu kwa sababu wanazojua wao na hakuna cha kuuliza kwanini uhuru ni wamagazeti na sio uhuru kamili?, mnataka taifa la wajinga mpaka lini nchi yangu naionea huruma sana huko police mlipo kuna watu wanamatukio ya kutisha ila kwakua ni ccm mmenyamaza na mnapishana nao tendeni haki kuna maisha baada ya kazi ya uma hakuna damu iwe ya mnyama au binadamu inayoshuka chini ya mdomo wa ardhi ambayo haitakua na hesabu jiulize kwanini nilazima kuomba kabla ya kuchinja mnyama unayemla lazima pale na sababu msijione mmemaliza dunia kwenye haki za watu hakuna ambacho hakitakua na fidia
@MagrethCassimАй бұрын
Poleni sana,inaumiza sana
@ShedrackLuvanda-m2qАй бұрын
Mungu awatie nguv kwakweri amani haipo huondo ukweli
@SaliminSwalehe2 ай бұрын
Kweli kabisa pole sana
@FatumaTwaha-c2yАй бұрын
Naaumia sana ee Mungu shuka kwa haya
@ushiwamarandu74332 ай бұрын
kwa matukio haya eheee... sijui hili taifa linakwenda wap...!
@salomemahenge7935Ай бұрын
Inaumiza sana
@IsayaRobert-c5lАй бұрын
Jamani poleni xana Mungu yupo
@RoseMwakatunduАй бұрын
Poleni sana mungu yupo pamoja nanyi
@RaphaelKonga-v9j2 ай бұрын
IPO cku mungu ataingilia kat polen sana
@elizabethsaibo36582 ай бұрын
Poleni sana
@isackmachiyanshoka67542 ай бұрын
Polen sana CHADEMA, hii siyo kawaida ni uonevu!
@BullahSambigaАй бұрын
Poleni sana kwakwel mnayoyapitia mngu anayaona kiukweli ni maumivu
@MAJALIWADANIEL-t3i2 ай бұрын
ni rahis kuchukulia poa kam hujawah kuonewa na polis lakn kiukwel n hatar polis kunamda wanazidi sana sheria itangulie kuliko mabavu
@omaryjudasymwanga71722 ай бұрын
Kuna watu wanakua kama wana ubongo wa ngurue nimeona senge moja limecoment upuuzi kabisa yani kuna wakati kuongoza nchi inahitaji busara sana nchi sio genge la wauza bangi
@ShukranMwajaАй бұрын
Mamaaaa mungu wangu tutetee hihii ninini unyama huo pole baba
@AsiaDismas2 ай бұрын
Kuna watu wanaonekana nchi hii ni Yao wengine wakimbizi si kweli jaman
@AshaMwamba-g3l2 ай бұрын
Jamanii Kaka yangu sugu watamuuwa Mara ya polenii Sana chedema mnachangamoto
@ManuuNgingo-cs3hx2 ай бұрын
Inaumiza sana ipo siku mungu atawalipa machozi yenu hayataenda bure ipo siku mioyo yawalio Fanya hayo itanyamaza kimya mungu atalipiza kizazi Hadi kizazi
@fridahjohn12192 ай бұрын
Mungu awape macho ya rohoni polis na Mungu awape hofu yake moyoni na Mungu awasaidi kukumbuka kuwa mna watoto mnawazazi mnafamilia Mungu awasaidie sana
@BorySaronge2 ай бұрын
Mbona hatuoni majeraha katika miili yenu wala hatuoni ni hosptali mliopelekwa au majeraha yenu ni ya ndani kwa ndani mtu aliypigwa ni sugu lakini nyinyi wengine ni wasanii mnatudanganya.
@RomanMwinyi2 ай бұрын
We unaongea nii mlevii au we ujui kama walikamata adi waandishi jitambue ww
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
Hiyo ni comedy shows 😢😢😢😢
@MAALIMU2 ай бұрын
Hivi uongozi wa kuiongoza nchi unakuja kwa USANII kwa staili hiyo. Mumedai Mnyika kaumizwa sana. HUKO ndo kuumizwa. Ukiwa umeumizwa vibaya lakini umeshuhudia hayo yote.USANII ULIOKAMILIKA HUO.
@evansthobias6460Ай бұрын
Bongo bwana unataka uone jeraha Kuna watu wanakupiga na huonekani kama umeumia
@rithaurassa2 ай бұрын
Pole sana makamanda . KWANI police wanaunyama kias gan.MUNGU PIGANA NAO MAANA HII NCHI IMESHAKUWA YA WATU WACHACHE WALIOMWUWEKA MUNGU PEMBEN.ILA MUNGU ATAFANYA JAMBO JUU YENU.
@TomasiklistophaMwinuka2 ай бұрын
Poleni sana ukombozi wanchi hii ipokaz haswa
@LailaLaila-r2jАй бұрын
Poleni saana
@ryobanchagwa2499Ай бұрын
Siku moja yataisha huyu Mungu ataonekana
@merrynancesimon1562Ай бұрын
Duuuh😢😢😢😢😢😢duuhu hatari sana😢😢😢😢😢😢
@AnjelicaBayyoneАй бұрын
Poleni sana watetesi wetu kiukweli mnateswa sana bila sababu
@JamesMwandoje2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 CCM Juuu....Samia miaka mitano teena chadema PGA teke kule🎉🎉🎉❤❤❤
@RomanMwinyi2 ай бұрын
Utaona kama ita tokea ivyoo mume zoea kuiba ela mwakaauu kina wakaaa
@bcozhenry26982 ай бұрын
Kushabikia maumivu ya wengine ni upumbavu unaofanywa na wapumbavu ambao kimsingi ni wezi wa haki za wengine
@masalakulwa76012 ай бұрын
uchi wa mamako
@evangelistfrank19112 ай бұрын
Ipo sku moja utajua hii nchi haina haki kabla hujafa
@magrethmbangama11992 ай бұрын
Hiki unacho kifurahia maumivu ya wengine kitakupat na wewe uone utakuwa ktk hali gani,usifurahie maumivu ya wengine Mungu akurudishie hayo maumivu na wewe.
@gladnessterry84302 ай бұрын
Mm ninaumia mno viongoz wa chadema mnavyooneawa jamn mpaka machozi yanitoka polen sana
@glorysungura31802 ай бұрын
Yana mwisho hayo, ipo cku yatafika mwisho. Alikuwepo goliati, lakini leo yupo wapi. Kijana mdogo Daud alimshinda kwa kombeo. Nguvu haitawali dunia hata siku moja. Maongezi na makubaliano ni kitu cha muhimu sana, na ndio kinacholeta amani. Walikuwepo watawala wenye mabavu kama Idd Amin leo wapo wapi? Ipo ck dunia itasema.
Mwamba vp anasema sikupata ucngiz adi chai unaomba mshukuru mungu aki ipo mbinguni acha ujinga
@gkanyanda1173Ай бұрын
Duuuh...
@AziziMapunda-vt4nvАй бұрын
Polesana
@MashakaMaduhuАй бұрын
❤❤❤❤❤
@DevinusMabiba2 ай бұрын
Niwapumbavu sana jesh la polc
@elbaricktv16322 ай бұрын
Bila kujua ccm inampiga teke chura inamuongezea mwendo safi sana yan baada ya hili tukio chadema imepaa viwango zaidi
@ameirzapy13182 ай бұрын
Hili pele limepata wakunajiii ,, shoti za umemeee😂!? Sura inatoka saluni hiyo😅
@alex_festo_haule96229 күн бұрын
Polen sana yatakwisha tu
@josie27697Ай бұрын
Halafu wanasema ni nchi ya Amani hakuna kitu Tz ni nchi inayotawaliwa na ma decktetor wauwaji , wezi ..na mengi mengi
@JansanMokiwa2 ай бұрын
Ukombozi unagharama kubwa
@HamidaAhmad-jd5zi2 ай бұрын
Msitake huruma nyie pambaneni n yenu sisi tushazoea yetu. Kilamtu apambanena hali yake mimikiukwel simwamin mtu sikuhizi wote n walewale
@Ibrahim-ne3in2 ай бұрын
😂😂😂😂liongo hili umepigwa kweli wewe mnatufanya cc watoto et...Ila tupo pamoja makamanda had mtangulie kufa😂😂😂🤣🤣
@RomanMwinyi2 ай бұрын
Boya ww mweu Kwan baba levo alivyoo pgwa na naizeee aliumia sem Gani uka paona ww choko jitambue Bandalii zime uzwa uko Bado ww2 kuuzwaa na matko Yako ayoo
@JosephKangungu2 ай бұрын
Haijawahi kupigwa hiki
@abasiramashoo50262 ай бұрын
Acheni uwongo
@RomanMwinyi2 ай бұрын
Jitambue ww au ndio wezii wenyewwee nyinyiii
@Mumewangu2 ай бұрын
@@RomanMwinyi walifirwa hawasemi tu
@abasiramashoo50262 ай бұрын
Uwongo wa hali ya juu
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
Maigizo ndio kampeni kwao 😢😢😢😢
@joshualazaro16412 ай бұрын
Kwahiyo ndugu Mnyika unataka kutuambia kwenye harakati mnataka nguvu ya wananchi, kikinuka "wanachama wa kawaida" ndio waingie kwenye karandinga wewe upewe gari nyingine ya polisi!!?? Any way, nimeelewa.
@williammashine34052 ай бұрын
we bora mama ako angezaa kifaranga saiv tungekua tunakula mayai
@neemaisrael6882 ай бұрын
Poleni ila mlikatazwa mkalazimisha mtoto akililia wembe mpe mlikuwa mnatafuta Kiki .
@damiansanga232Ай бұрын
What is this kind of democracy
@PharesMax-co6mkАй бұрын
Msimamo wenu ni upi????
@HASSANWAZIRIGAOАй бұрын
HIYO NDIO KAZI YA POLIS
@machintangachibwena59222 ай бұрын
Yaani mmepigwa hata majereha hamtuonyeshi japo kidogo tuuu 😂😂😂😂😂😂
@SurprisedFullMoon-gg9vu2 ай бұрын
Wew akil zako ziko matakon"hili suala nila kucheka kwel??
@EvodiusJohn-f9p2 ай бұрын
Bado hamjasema😂, tatizo lenu n kupinga Kila kitu
@MariamuAdamu-r6r2 ай бұрын
Ww ukiambiwa chutuma unachutama??
@devothaignatius5256Ай бұрын
Jmn mbn Rais wetu anajifanya mkarimu kumbe niatali ???? Najiuliza maswali ata cpati majibu mbn watu nimaktili hivi????😭😭😭😭😭 Mungu fanya jambo hawa maaskali wakutwe jambo gumu nafamilia zao ili nao watoe machozi
@katunzikamara7989Ай бұрын
kweli kabisa devotha Mungu akawafanyie ivyo nao waonje aise Wana umiza watu Sana lkn dam yamtu haitamwagika bure itanena juu yao na famiria zao Asante Mungu kwakutujibu maombi yetu
@barrynzeyimana62702 ай бұрын
Kwakua siasa ni gulsa, unaweza kupigwa short ya umeme usiwe na jeraha hata 1?
@PaulinaNyanzalashijaАй бұрын
Sio
@kassimhamis-rs8lq2 ай бұрын
Tushawazoea nyie hatuwapi nchi
@kalungamabrucki612 ай бұрын
Acheni uchoko nyie mnatengeneza mattukio ili mpate kiki hamna jipya
@robertphilip3852 ай бұрын
Wenyamazatu bana bakitu na uchawa wako mwenyewe
@RomanMwinyi2 ай бұрын
We kuma jitambue kumawewe bandali Zina uzwa uko nenda bandalini kama we tz uone unavyooo kimbizwa kumaweeee
@robertphilip3852 ай бұрын
@@RomanMwinyi mweleweshetu matusi yanini? Sasa
@BoniphasLukas-c3c2 ай бұрын
Wenikuma kwel kumalamaako watu wamefanyiwa tukio kwel nadunia umeona ww ninani Ambae unatuaminisha Kuma wako kama huna koment kaa Kimya
@BoniphasLukas-c3c2 ай бұрын
@@robertphilip385wenaw tulia Kuma ww kwan yeye hujaona kama katukana choko ndio nn we unaijua maana yake
@ConsalvaMumbara2 ай бұрын
Wananchi tuko macho
@hamzakimaro37642 ай бұрын
hampo juu ya sheria lazima mtii sheria bila shuruti,mmeona hamsikiki tena,matafuta upenyo ili mjulikane mpo!!
@NaomiMwampondeleАй бұрын
Duu pole nchi hii mbona nihatarii
@OmaryMakange27 күн бұрын
Taarifa ya mtu aliyetekwa akiwa kwenye gari la abiriya
@AsiaDismas2 ай бұрын
Ni uonevu sana naunyanyasaji mkubwa
@bonicurtius8108Ай бұрын
Poleni ila mtii mamlaka iliyopo
@abubakaranwar337Ай бұрын
Da Hawa asikari wataingia motoni moto wa milele
@SeciliaKasian2 ай бұрын
Mimi naomba mwanangu asije ingia katika kazi ya polisi siokazinzuri nikazi ya laana
@MaryLee-sh4ndАй бұрын
Mimi ninahofu ya MUNGU kwakweli naumia . naachana nachama kinachotesa watu nakumwaga damu zawatu. nisijeletea kizazi changu laana nimetoka ukotokea leo.
@jkomedikaduli2 ай бұрын
😂😂😂😂 chadema bwana Baki njia kuuu
@mwitamalwa27732 ай бұрын
Hii inchi vita lazima iwepo tu
@Ibrahim-ne3in2 ай бұрын
@@mwitamalwa2773 subir watoto wako wakikua utawapeleka vitan
@TitoRufizi-xb2ub2 ай бұрын
Nyie viongozi wa chadema mumezidi upole na mutaendelea kudundwa wanajua wanawaweza
@ndakichuwa76182 ай бұрын
Sawa bana ila mwisho wa ubaya ni fesheha
@HamisShaweji2 ай бұрын
Jiepusheni na Matatizo yasiyoyalazima
@AnjelicaBayyoneАй бұрын
Inauma kweli hivi tz kuna mapolisi inchi hii so sada
@athumanitanu26632 ай бұрын
Kama vp mtuu mbili,, tumezoeaa sanaaaa…
@MsNajma-j7eАй бұрын
Police wa tz ccm na sio kurinda raiya na mari zao wao wanairinda ccm...kwan jana warikamata raiya hata awana makosa na wadhishi wa habari ata erimu yao sjui wamesoma wap..na hii sheria ya kukamata watu na kupga inatoka wap
@kulwastima39932 ай бұрын
Wakamata wezi ndo wezi wanajifanya walinzi wa amani kumbe wezi wa simu😂😂😂😂
@VivaSmart344Ай бұрын
Wanaoomba waonyeshwe majeraha ndio majambazi wenyewe hao.
@rithaurassa2 ай бұрын
Mnao tafuta majeraha ni chakula au ni unafiki wabaadhi waonaohujumu hii nchi.Iko ck kitawatokea puan hakuna kisichokuwa na mwisho kifo kipo palepaleee!!!!
@nathanmmasi38902 ай бұрын
Iko siku Mungu atalipa kila chozi maana wapumbavu wamekuwa wengi sasa ila tu umiya nao ukumtaani polis kwanini wanajichukuliya shiriya mkononi mwishoni ihi laana inakuja kusumbuwa familiya zaho
@NuruEria2 ай бұрын
Nchi hii jaman!! Polisi ipo siku tu mkae mkijua
@MtazameKristoTv2 ай бұрын
Huwezi kujua mpaka uingie mikononi mwa polisi
@basilisamsaka8469Ай бұрын
Ila jmn police waa tz wabaya sana
@EmmanuelSimon-c4xАй бұрын
Kula yangu mnayo
@fatumamahoiga39782 ай бұрын
Mnasubiri Uchaguzi ndo mnaanza hekaheka
@TM-zs3rmАй бұрын
Mungu akupe nguvu, akulinde, akuponye majeraha yako. Nchi inakuhitaji. Mayesi uliyoyapitia na unayo yapıtız ndio ushujaa na uongozi unaohitajika. Nchi hii ni ngumu sana hapa tulipopafikia. Amani Tanganyika itawale sana.
@stevensteven45132 ай бұрын
Kilicho baki nikuwakodi tu GEZ maana CHACHAMA Wamezidi 😂😂😂
@yolandachuwa55542 ай бұрын
😂😂😂😂😂nacheka kama mazuri ,,,poleni
@popawiz54812 ай бұрын
Duu wazee wamepita hadi na simu hatari sana
@samwelnevele77962 ай бұрын
Wewe huna madhara kwenye taifa hili ila hawa wanautumiwa na maabeberu jitoe huko
@ElvisMulenga-j5w2 ай бұрын
Hawa watu ni waongo wanataka wawafukuzishe mapolisi kazi
@JosephKessy-qb4pu2 ай бұрын
Yani kuna watu watu wanaandika Coment kisenge tu acheni kushabikia ujinga kwahyo mnaona polisi wanafanya sawa hii nnchi ni yao
@wisdomfolks2 ай бұрын
Wamenunuliwa hao wala usiwawaze
@HASSANWAZIRIGAOАй бұрын
SASA MBONA HAMJAONYESHA MAKAMANDA WENU
@elbaricktv16322 ай бұрын
Hata wafanyeje sio rahis kupindisha haki ya wengi mana siku ya uchaguzi rais wetu ni mmoja tu na tunamjua ni nani muda utaongea