Kama wewe ni Mwanamke zisikilizi sababu hizi kwa makini ili usije ukamuacha Mwanaume kwa kukurupuka na matokeo yake ukajuta. naomba usisahau ku Subscribe.
Пікірлер: 335
@kwisa4899Ай бұрын
wewe ni miongoni mwa The best of the best advicer kupata kutokea unakitu tofauti sana
@mbekitv693Ай бұрын
@@kwisa4899 asante sana ndugu yangu, inatia moyo kuona wapo wanaoelewa🙏🤝😊
@user-xs9gg6xi8q5 ай бұрын
Mimi nilipambania ndoa 19yrs paka maombi lakini ndiyo kwanza anakuona kama takataka saivi nime move on never come back
@mbekitv6935 ай бұрын
Myb haikuwa riziki
@YasminaMkali19 күн бұрын
Yaani umesema ukweli ulio wazi...maana mie nilimuacha wangu bila yeye kujua, na siku nilivyo toka, sikuangalia nyuma...alisema siwezi muacha...😂😂😂alijidanganya. Na siwezi rudi nyuma. Alisubiri! Alisubiri! Alisubiri! Nafurahia maisha yangu peke yangu.
@mbekitv69314 күн бұрын
@@YasminaMkali duh😀
@anithamsoke23299 ай бұрын
Duh! Kaka unaongea point tupu yaani kama najiona mm hapa kwa hizo sababu3. Barikiwa sana!
@mbekitv6939 ай бұрын
Amina mpendwa😀🙏
@IsmailKajonjo5 күн бұрын
Manager dadaangu nyiny ndy tatz
@marylynliseche7738 күн бұрын
Ukweli kbs I salute you kaka😂😂
@mbekitv6932 күн бұрын
@@marylynliseche773 asante sana mpendwa😊🙏
@mwanahawashayo27959 ай бұрын
Woooow amaizing lesson 🙏 thank you broo
@mbekitv6939 ай бұрын
Asante mpendwa karibu sn
@EsterNko-kh6of6 ай бұрын
Waoooooo nimepata iyo
@user-bs6et9vy4q6 ай бұрын
Haaa kaka yaani umegonga ndipo
@mohammedalghannami31504 ай бұрын
Mwanamke mwenye AKILI TIMAMU, hawezi kukubali kuvunja ndoa yake kirahisi, Ndoa zote kila moja na changamoto zake, Talaka zinasababisha watoto kukosa malezi bora, Familia mbili kuvunjika mapenzi na hasara nyingi. Mwanamke ni kiumbe ambae akisimama ktk sehem yake na maumbile yake kwa mumewe nyumba inakua na Amani. Ushauri Subra, Subra, kusubiri na kuvumilia ni bora zaidi
@Asiamachosefu3 күн бұрын
Hivyo ndivyo mnavyo jidanganya mna wafanyi visa na vituko wanawapenda na kuwajali ndo mnawaona taka taka , kisa wana watoto ndo hawato choshwa na tabia zako😅
@Mpakauseme24 күн бұрын
Salute 🫡 home boy
@mbekitv69314 күн бұрын
@@Mpakauseme bless
@user-er3cb9mb9m4 ай бұрын
Much love from Kenya guys like back umenifunza kitu kakangu❤
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@bas28233 ай бұрын
THANKS FOR SHARING🙏 GOD BLESS U AMIN🤲
@mbekitv6932 ай бұрын
Amen
@Asiamachosefu3 күн бұрын
Hata mimi niko najihakikishia kuwa maisha yangu bila yeye yataenda nikisha jihakikishia hilo tu , nampa amani yake naondoka , mana , hindoa kila siku mimi ndo nimekuwa naifosi idumu ila yeye , ana ,ipuzia kisa anajuwa nampenda , sasa ndo niko kwenye kujihakikishia maisha bila yeye nikiona naweza tu , nampa amani yake ,naondoka
@mbekitv6932 күн бұрын
@@Asiamachosefu ni changamoto kwakweli
@user-cx7tw1xd6i4 ай бұрын
Nmekifunza kitu Asante Sana kaka❤
@mbekitv6933 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@alimatambwe34023 ай бұрын
For sure absolutely you right,we know how to tolerate any kind of men behavior but when we get tired’there is not any excuse ll be is enough 🙌 mafuzo yako mazuri sana .
@mbekitv6932 ай бұрын
Thanks
@user-gw4jc9so5p3 ай бұрын
Kweli kabisa👌
@mbekitv6933 ай бұрын
Karibu kutazama video yangu mpya
@MishersKhalid10 күн бұрын
Mpaka nalia yaan wangu sikio la kufa haambiliki
@user-sx3id3rv8lАй бұрын
🔥🔥🔥🔥
@mbekitv69314 күн бұрын
@@user-sx3id3rv8l 😊🙏
@MariamObotte9 ай бұрын
Uliyo yasema yote mm ndio yaliyokuwa maisha yangu!! Jamaa alikuwa ananifanyia vitimbwi vyakila aina!!! Lakn navumilia!! Siku niliyo amua kuondoka hakuamini adi sasa anahangaika kwa waganga ili nmsamehe yaan haamin kama nimm!!!
@mbekitv6939 ай бұрын
Eeh
@mbekitv6939 ай бұрын
Eeeh😀
@justinmushagalusa13507 ай бұрын
Kaka umenena haki-Mungu akubariki-it my first time to visit the channel
@mbekitv6937 ай бұрын
Oh karibu sn🤝
@leahraymond62909 ай бұрын
Ahsante,nimejifunza
@mbekitv6939 ай бұрын
Oh karibu tena
@leahraymond62909 ай бұрын
Ahsante
@user-wn5te1wg4m6 ай бұрын
Amen 🙏 mungu àkubariki sana
@mbekitv6936 ай бұрын
Ameen🙏🏼
@glorymlawa70784 ай бұрын
Kwakweli ya mwisho hyo Imenikuna sawa saw❤❤❤
@mbekitv6934 ай бұрын
😊
@stellahbwari9 ай бұрын
From tiktok to KZbin thanks kwa kutuchanua
@mbekitv6939 ай бұрын
Ooh mpendwa karibu sn
@kadzowanje17917 ай бұрын
Nkweli kabisa yani unamuvulia mpaka.unafika mwisho❤❤🎉
@mbekitv6937 ай бұрын
Changamoto sn
@winnymbula6 ай бұрын
Wow umeogea vizuri
@mbekitv6936 ай бұрын
Asante saaana
@evalyinesalama25357 ай бұрын
Ni kweli broo hongera sana
@mbekitv6937 ай бұрын
Asante sn mpendwa😊🙏🏼
@user-rn7gl9yy7y9 ай бұрын
Hakika kaka asante wanaume wajifunze hapa
@mbekitv6939 ай бұрын
Kabisa
@bas28233 ай бұрын
ABSOLUTLY WRIGHT👍 VERY TRUE👌
@mbekitv6932 ай бұрын
Thanks
@bettymariga4 ай бұрын
Hongera bro
@mbekitv6934 ай бұрын
Asante
@veronicandakaba46395 ай бұрын
Mafunzo yako yanagusa sana hongera
@mbekitv6935 ай бұрын
Asante sn mpendwa🙏
@user-wm5nk4dt1x5 ай бұрын
Abroo umetisha
@mbekitv6935 ай бұрын
Asante sn
@HamidakomboKombo-xs2ju8 ай бұрын
Uko sawa kaka yaani kama umeniona! Mimi Niko Ivo yan
@mbekitv6938 ай бұрын
Pole sn
@ChannyAlia9 ай бұрын
Ukweli kbxaaaa🎉
@mbekitv6939 ай бұрын
Kabisa
@user-zs1fv9wc6z5 ай бұрын
Uuh Yani Kaka ndohiv hivo umepatiy
@mbekitv6935 ай бұрын
😀
@shidasyassini64577 ай бұрын
Yaani maelezo yako na hizo sababu 3 ni mafunzo tosha Sana kwa sisi wanaume Asante Sana!
@mbekitv6937 ай бұрын
Hakika kaka
@asmaafamau83079 ай бұрын
Swadakta bro
@mbekitv6939 ай бұрын
Asante
@PBeauty-bd9ks9 ай бұрын
Weee kaka hongera umenifanya nijiamn akk
@mbekitv6939 ай бұрын
Woow hiyo ni nzuri sana😀💪
@glorymlawa70784 ай бұрын
Wanaume Kula chuma hiyoo😂😂😂mniazime my crophon 😂😂😂😂
@mbekitv6934 ай бұрын
☺️
@user-lb7qf9or9e9 ай бұрын
Ubalikiwe Sana kwa kutuelimisha. Kaka
@mbekitv6939 ай бұрын
Amina mpendwa amina 🙏
@aishafrancis77148 ай бұрын
Upo sahihi kk 🎉🎉
@mbekitv6938 ай бұрын
Asante😀
@user-kg6gh5uj1z6 ай бұрын
Kabisa kaka kama umeniona vile jmn
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu sn🤝
@hilalkhalfan14526 ай бұрын
Naharibiwa ndoa kisha mnajiona mnaa akiili😂.
@user-xh9py9rh2q6 ай бұрын
Asante sana kaka kwa elimu yako nzuri sana
@mbekitv6936 ай бұрын
Asante sana mpendwa
@rosamairusya-dk6eb6 ай бұрын
🤣🤣🤣Wewe kaka Nimecheka Kwa Sauti!
@mbekitv6936 ай бұрын
Kwanini😀
@frijinswai60495 ай бұрын
Nimecheka kwa sautii😂😂😂😂😂
@mbekitv6935 ай бұрын
Why😀?
@AthumaniMwajamboАй бұрын
N kweli bro tukichika ndio kiume
@mbekitv693Ай бұрын
@@AthumaniMwajambo 😀
@SelineBhokeseline-go5eu8 ай бұрын
😂😂😂😂kaka umenena ukweli.pewa soda kwa bill yangu 😊😊😊😊daa
@mbekitv6938 ай бұрын
😅
@Ethlo-bf4oo6 ай бұрын
Hahaaa,eti pumziko😂
@mbekitv6936 ай бұрын
😀
@tausimohammedy7 ай бұрын
asante kaka❤
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibu sn
@laylayl51669 ай бұрын
Nimeichukuwa hiyo Sahihi kabisaa yaani
@mbekitv6939 ай бұрын
Kabisa
@user-zc7ip3ut5c4 ай бұрын
Kaka yangu unachosema nikweli.atamimi siwezi kubwatuta na mwanaume.nafanyaga maamuzi.
@mbekitv6934 ай бұрын
Good
@mashiassenga88499 ай бұрын
True bro umenena❤
@mbekitv6939 ай бұрын
Hakika
@user-rw9od9ly9d8 ай бұрын
Kweli kabisa 💯💯👌
@mbekitv6938 ай бұрын
Hakika
@RahelMrope3 ай бұрын
Namba tatu pigia mstari kaka😂😂😂
@mbekitv6933 ай бұрын
ahahaha
@biashadotti22949 ай бұрын
Daah umeuuwaa. Ukweli mtupuu. Naipataje hii
@mbekitv6939 ай бұрын
Nicheki WhatsApp 0659152333
@user-uq4he9zy7v9 ай бұрын
Upo sahihi kaka
@mbekitv6939 ай бұрын
Asante
@reemareemo26986 ай бұрын
Amin❤❤❤
@mbekitv6936 ай бұрын
Amin🙏🏼
@user-pk7rx7gp4t9 ай бұрын
Thank you broo
@mbekitv6939 ай бұрын
Karibu mpendwa
@SalhaAlly-sf7tk2 ай бұрын
Mim kabisa 😂😂
@mbekitv6932 ай бұрын
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
@AnnehEdward4 ай бұрын
Kijamaa kinamfariji fariji 😂😂
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333
@NeemaPhilibart4 ай бұрын
Yaani kaka nashukur kwa ushaur wako namm niko ivo ukiniaid kit skuachi ata kwa dawa ukikmlsha ndo mazima 😂😂
@mbekitv6934 ай бұрын
😀
@dominic47279 ай бұрын
Bro nime kukubali
@mbekitv6939 ай бұрын
Asante sn 😀🙏
@WinfridaKasonya-uf5ud8 ай бұрын
Asante kwa ujumbe
@mbekitv6938 ай бұрын
Karibu mpendwa🥰🤝
@user-to6xs9ri1h6 ай бұрын
Imepenya hiyo!!!!
@mbekitv6936 ай бұрын
Asante😀🙏. Ila Usiache ku subscribe ili tuendelee kujifunza pamoja.
@liliancheruto67088 ай бұрын
Barikiwa
@mbekitv6938 ай бұрын
Amen🙏
@user-gt8hc6gp8l6 ай бұрын
Wanawake ni wafumilifu Sana katika ndoa
@mbekitv6936 ай бұрын
Ni kweli
@agnesmwangombe69997 ай бұрын
Hiyo kwelii kabisa
@mbekitv6937 ай бұрын
Hakika
@GodenBMDaniel6 ай бұрын
Umeongeya ukweli ndugu yangu
@mbekitv6935 ай бұрын
Bless kaka
@user-cf3iu8we8n9 ай бұрын
Hapo bado sijaelewa mbona wengine akimuacha mwanaume anaanza kuomba kurudi Tena .
@jeffhard57738 ай бұрын
Uko sawa atoe ufafanuzi kwanini wanarudi sometimes huwa Wana bet matokeo huja tofaut na matarajio ghafla hukumbuka aliko Toka na akirudi pandisha tinted
@hilalkhalfan14526 ай бұрын
HUYU JAMAA ANAWAPA MOYO WAKE ZA WATU WAFANYE UMALAYA BADALA KUJIREKEBISHA TABIA ZAO. ATI MWANAMKE MWENYE AKILI TIMAMU ANAFANYA UMALAYA, NA MWANAMKE ASIE AKILI HUTULIA KWENYE NDOA. 😂😂😂
@devothangovano97294 ай бұрын
Elewa mwanamke mwenye akili ukiona hayo jua hyo mwanamke Hana akili maana syo wote wanaakili
@user-tb5jq2js1y9 ай бұрын
😂 kaka ukweli, mtupu
@mbekitv6939 ай бұрын
Asante sn mpendwa☺️🤝
@boyauto3337 ай бұрын
Wow nabadilika kuanzia Leo nitamtunza mke wangu😢
@mbekitv6937 ай бұрын
Oh vizuri sana kaka👏👏
@ceciliafissoo66019 ай бұрын
Fact ☑️☑️☑️✅✅
@mbekitv6939 ай бұрын
Asante❤
@user-df5qu1rd6z9 ай бұрын
Yaan uko vizur kala
@mbekitv6939 ай бұрын
Asante sn
@fahidashishi2559 ай бұрын
😂kaka vipi wewe umeoa
@mbekitv6939 ай бұрын
😂
@user-mc6um1it1r9 ай бұрын
Kweli kabisa yani kama umenileng'a mm
@mbekitv6939 ай бұрын
Pole
@BiyuwaSimbaАй бұрын
Huyu ni mimi wallah
@mbekitv693Ай бұрын
@@BiyuwaSimba eeh
@AmissaBintikapiki4 ай бұрын
Iyo ya Tatu imenigusa sana
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333
@rosamairusya-dk6eb6 ай бұрын
💯%TRUE
@mbekitv6936 ай бұрын
Hakika
@NaisoSimon6 ай бұрын
Kweli kabisa kaka
@mbekitv6936 ай бұрын
Hakika
@mbekitv6936 ай бұрын
Hakika
@NeemaMateleka6 ай бұрын
Jamani hayo ndo maisha tunayopitia haswa wanawake jamani
@mbekitv6936 ай бұрын
Poleni sn
@abdultandala65769 ай бұрын
Sisi ni zaidi ya hao mbwa! 🤣🤣🤣🤣
@mbekitv6939 ай бұрын
Hatari
@user-wr6uz1rx1o8 ай бұрын
Ulizaliwa na mwanamke kwaiyoo na wew ni mtoto wa mbwaa
@lydiahnabwire1286 ай бұрын
😢😢ulizaliwa na mwanamke kumbe ni umbwa akazaa umbwa dume wewe afu watoto wako wa kike ni maumbwa na mkeo mbwa pia shame on you big fool heshimu wanawake umbwa mwitu
@user-ow2ht5sp8k9 ай бұрын
Kwel kabisa
@mbekitv6939 ай бұрын
Hakika
@eliminalaurent-kc6kg3 ай бұрын
Yani yote uliyaongea ni yakweri kaka
@mbekitv6933 ай бұрын
Karibu kutazama video yangu mpya
@user-su8il2rh1m3 ай бұрын
Umesema kweli
@mbekitv6932 ай бұрын
Hakika
@SelinaKahonzi5 ай бұрын
Yes
@user-ho9vv7vb4t6 ай бұрын
Ukweli kabiza unachokisema
@mbekitv6936 ай бұрын
Hakika
@user-tb5jq2js1y9 ай бұрын
👍👍👍
@mbekitv6939 ай бұрын
🙏
@marydzidzi84489 ай бұрын
Kweli kaka ukweli kabisa
@mbekitv6939 ай бұрын
Hakika
@EstaMwangoge-eg5go9 ай бұрын
Yeah asent kaka
@mbekitv6939 ай бұрын
Karibu sn mpendwa, je imekusaidia?
@mbekitv6939 ай бұрын
Vizuri sn mpendwa..
@zawiyamtulia43339 ай бұрын
Imenisaidia nimejifuza kitu hapa asante kk nimekuelewa vizuri sana
@zawiyamtulia43339 ай бұрын
Kuna kitu nimekiwlewa sana daa umetisha kk
@rahmaadam99579 ай бұрын
@@mbekitv693 yaan Kaka upo sahihi kabisa ndio mm kabisa😂😂
@judithnyantikanyaboke63637 ай бұрын
Very true
@mbekitv6937 ай бұрын
Hakika
@user-ny2ke2ou8kАй бұрын
Mimi nimetoka naye chini lakini penyemungu amemuinua mimi nimekua takataka
@mbekitv693Ай бұрын
@@user-ny2ke2ou8k pole sn
@LidyaMwakajinga4 ай бұрын
Umeongea ukweli mchungu😭😭😭
@mbekitv6933 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@MarthaGeay-qm4ob7 ай бұрын
Hakikaaaa
@mbekitv6937 ай бұрын
Kabisa
@user-cf8re1vm7o5 ай бұрын
Yani we kakaa ulijuaje?? Ndivo tulivo wanawake😂
@mbekitv6935 ай бұрын
Eti eeh😀
@user-zu2dc2bj6z5 ай бұрын
Nikweli tunaacha kimyakimya ❤❤
@mbekitv6935 ай бұрын
😅🙌
@user-tw7xc7tc1s5 ай бұрын
❤❤❤
@mbekitv6935 ай бұрын
🥰
@bonifacendunguru42347 ай бұрын
Mm nafikiri Cha msingi ni kutafuta pesa za kutosha, mm nafikiri ukiwa na pesa za kutosha halafu ukawa mtulivu, hauwezi kuachwa milele
@mbekitv6937 ай бұрын
Vizuri😀
@winfridamchelema20304 ай бұрын
Uwe na pesa alafu unitese nikae kwasababu ya pesa
@annamnyazi82069 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@mbekitv6939 ай бұрын
😍😍
@LidyaMwakajinga4 ай бұрын
Unaongea ukwel mchungu😭😭😭😭
@adellahmgaya94049 ай бұрын
Yaan ukweli mtupuuu
@mbekitv6939 ай бұрын
Hakika
@gracekyajimba47455 ай бұрын
Kweli kabisa
@mbekitv6935 ай бұрын
Hakika
@user-tt5mx6bc5t7 ай бұрын
Km umeniongelea mimi vile, np kwenye kujitafuta, nikijipata hata amini!