No video

SIFA TATU (3) ZA MKE | DEO SUKAMBI

  Рет қаралды 139,998

Deo Sukambi

Deo Sukambi

Күн бұрын

Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza SIFA TATU (3) ZA MKE
Usisahau kuangalia hii pia SIFA TATU (3) ZA MUME • SIFA TATU (3) ZA MUME ...
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ deosukambi1
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
/ @deosukambi
Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano

Пікірлер: 746
@BarnabaBuhoma
@BarnabaBuhoma 6 ай бұрын
Mimi sijaoa…ila kwa sifa hizi, napata wasiwasi kwa mabinti wa kizazi hiki… mimi najua ndani mwangu mnaupendo na huruma nyingi. Naweza kumpenda mwanamke mpaka akajuta kuchelewa kunijua. tatizo hawa mabinti wa sasahivi wamejaa ungangari. Unajua kabisa huyu akiwa ni mke lazima anitoe jasho. basi bwana. Mungu atusaidie. Asante kwa somo zuri sana. Nukuu ya leo “mwanaume akikupenda akakutawala, sio utumwa..kama hakupendi halafu akakutawala, ni utumwa..” hii nimeichukua……
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Umechukua point muhimu sana..changamoto ni kubwa sana kwa mabinti wengi kwa sasa hizi sifa hawana
@BarnabaBuhoma
@BarnabaBuhoma 6 ай бұрын
@@DeoSukambi aisee ni hatari…
@joyceshile8837
@joyceshile8837 6 ай бұрын
😆😆😆mbona Mimi nipo kaka usiogope kuoa.
@BarnabaBuhoma
@BarnabaBuhoma 6 ай бұрын
@@joyceshile8837 kumbe!
@user-vy6st5ki2v
@user-vy6st5ki2v 6 ай бұрын
Kwakweli mapenzi yalikuawepo ezi zawazee wetu sio sasa kwakweli
@RobertEmmanuel-pl9jj
@RobertEmmanuel-pl9jj 3 ай бұрын
Be blessed a man of God. Nimejifunza kitu kikubwa mno mtumishi hakika Nimefwatilia pande zote umefundisha vizuri Kuna wale akina ngoja nijaribu niusikilize moyo😅😅😅😅
@boragrethahaule8853
@boragrethahaule8853 3 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nimekoment ktk mtandao,umenibariki sana❤
@user-py2pb2ks7v
@user-py2pb2ks7v 3 ай бұрын
MCHUNGAJI. UBARIKIWE SANA. TUPE MAELEKEZO. YA KUISHI NA MWANAMME AMBAYE UWEZO WA KITUNZA FAMILIA HANA. LAKINI ANAKULETEA. NDUGU ZAKE KIBAO. UWALEE. KWA KEEP PATO CHAKO. MWENYEWE UNACHOHANGAIKA KUKIPATA. EJ MASECHA
@GodfreyMnzava-wi8mt
@GodfreyMnzava-wi8mt 6 ай бұрын
Natural, judicial and Biblical law hii amazing sana Pastor.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Thank you brother
@user-nv1tk2tv7x
@user-nv1tk2tv7x 6 ай бұрын
Asante pastor mi nimekuelewa sana,uko sawa kabisa ni ufunuo toka kwa Mungu ndoa zipone manake kizazi cha leo ni majanga tupu.!
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Barikiwa sana ndugu
@qfuisso6224
@qfuisso6224 6 ай бұрын
Pastor deo asante kwa elimu muhimu sana na imenisaidia sana na nitabadilika Naomba kujua je mwanaume unaweza mnyenyekea ivo na kumsikiliza ni yupi aliekuoa au ata ulie nae kwenye mahusiano! Na je nina haki kumkubalia kumzalia kabla hajanioa anadai akinizalisha kwanza ndo ataenda kwa wazazi wangu itakuwa sawa. Iyo!🙏
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
1. Usithubutu kumzalia mwanaume ambaye bado hajakuoa achilia mbali kujitambulisha kwa wazazi..ndoa ndio ilete watoto na si vinginevyo 2. Hizo sifa ni za mke sio mchumba..kama bado hajakuoa hana haki na huna wajibu wa kumfanyia hivyo isipokuwa kwa mipaka maalumu ambayo itakuacha wewe salama Kama haoni kama unatosha jinsi ulivyo kiasi cha kukupa masharti ya ziada ili akuoe then HAFAI KUWA MUME WAKO atakuharibia maisha..
@godwineliya5434
@godwineliya5434 6 ай бұрын
​@@DeoSukambiumepiga kwenye mshono
@shanti-hd7zy
@shanti-hd7zy 5 ай бұрын
Upendo 0 uaminifu 0 kutawalika ajeee😊
@peterchesam5737
@peterchesam5737 5 ай бұрын
Usithubutu Hilo Jambo Kama unataka kuolewa okoka muombe Mungu atakupa mume wa kweli wa Kufunga naye ndoa usizae ukiwa hujaolewa kwa msaada zaidi funga na kuomba Mungu atakujibu
@upendogidion5167
@upendogidion5167 4 ай бұрын
​@@DeoSukambiKwakweli mtumishii namm nmiongoni mwa wanawake ambao tunaambiwa tuwazaliee kwanza ndo watuoe, Ahsanteee Mungu kwa kujua na kunifundisha Kupitia ww Mungu akubalik na analazimisha saana kuanzia leo huyo mwanaume namkana na Naomba Mungu aniepushie mbali nae Ahsanteee mtumishii
@victoriagalinoma4532
@victoriagalinoma4532 2 ай бұрын
Mwenyezi.Mungu azidi kukupakauli. thabiti .Mimi nasukuu Ninazo zote tatu(3) Amina
@CindyAoko
@CindyAoko 2 ай бұрын
Am Soo much blessed am still a student ad have learnt alot hence am about to get married thank you pastor for the reasonable lessons
@DeoSukambi
@DeoSukambi 2 ай бұрын
You are very welcome
@user-yb3zn7jm8e
@user-yb3zn7jm8e 5 ай бұрын
Kaka Deo hari ya asubuhi,Mimi ni mwanamke nimeishi kwenye ndoa miaka 13 mme wangu tunapendana sana lakini nilikkuja gundua mwanamme wangu amezaa nje hapo hapo nikasikia Tena amempa mwingine ujauzito na tayari amefungs nae ndoa nimeumia sana kaka ukiangalia tumepambana kimeisha tukapambana tukafanikiwa lkaka Deo nimeumia sana nakuomba ushauri nifanye nini
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Msamehe..ikiwa unakiri kuwa mnapendana basi itoshe tu kuona kuwa mwanadamu anaweza kukengeuka na kufanya maamuzi mabaya..ila kama unaona kabisa kilichotokea unashindwa kukumudu basi tafuta msaada wa kisaikolojia
@dativajoachimwai1194
@dativajoachimwai1194 5 ай бұрын
kaka mimi sielewi hapa anaposema kua wanapendana sana na mume wake. sioni kupendana hapo. ni upendo wa upande mmoja. miaka 13, azae na wanawake tofauti na kufunga ndoa na mtu mwingine bila mke kujua? hakuna upendo hapo. kuna interest fulani huyo mumeo anayo kwako ndo inamfanya asikuache.
@EverlyneShivayiru
@EverlyneShivayiru 2 ай бұрын
Stor ni refu na unanaeleza polpol
@wahidakisingo3588
@wahidakisingo3588 6 ай бұрын
Mungu anatumia Mtu yeyote kufikisha ujumbe kwa watu wake,,,,,wanawake tulisikie somo hili kimwili,,,kiroho na nafsi,,,tujitafakari hatua zetu na mienendo yetu,,,Mungu anasema na sisi kupitia doctor huyu,,,Mungu yupo hapa kutusaidia,,,,,tumsikilizeni na kufuata mafundisho haya
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@winiemajengo1679
@winiemajengo1679 5 ай бұрын
Mimi natamani mawasiliano yako mtumishi wa Mungu niongee na wewe binafsi,if possible
@mwlsimonitvchannel1577
@mwlsimonitvchannel1577 4 ай бұрын
Kaka barikiwa sanaa kumbe nimechelewa KUOA Kwa sababu Mungu ananipenda
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
👍
@mariamlutenganija6889
@mariamlutenganija6889 3 ай бұрын
Thank you Pastor, I get something from your lesson, be blessed.
@user-zw9tb1pr6j
@user-zw9tb1pr6j 5 ай бұрын
Daah,umenena point kabisa pastor,labda kama wapo wanawake waliowaombea wachumba zao na wakawabadilisha waje watupe evidence tuone kama tunaweza kuwaombea😅😅 maana binadamu huwezi kubadilisha binadamu mwenzio zaidi ni Mungu tu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
Mi nimeomba weee Nimeamua kumuacha maana nimeona red flags sitaki kujitia upofu kisa kuonekana nimeolewa
@VictoriaShirima-s2x
@VictoriaShirima-s2x 2 ай бұрын
Waooh naimani Mungu atanipa mume mwenye sifa stahiki. Ubarikiwe mno
@bahatisophie6211
@bahatisophie6211 5 ай бұрын
Apo kwenye sifa tatu (3)asante saana ❤❤❤❤ubarikiwe zaidi Amen
@user-kr5sn3zi8r
@user-kr5sn3zi8r 6 ай бұрын
Ubarikiiwe Deo,juu nilikuwa na hamu sana na hiking kipindi
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Barikiwa
@aishavogelmann5021
@aishavogelmann5021 5 ай бұрын
Shukran sana Ila naona ninakibaruwa
@eliudmwakaghali
@eliudmwakaghali 6 ай бұрын
Thank you, pastor. Previous lesson ulitubonda wanaume hadi nilichoka Lakini leo nimekuelewa kumbe unagusa pande zote. "Thanks in advance pastor".
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Huwa nagusa pande zote..endelea kunifatilia
@emmanueltwaha1489
@emmanueltwaha1489 3 ай бұрын
Mtumishi nakukubari sana yaani umeongea points mno yaani upewe tu, maua yako Mungu akubariki mno mno. Daa
@ALINEVIKALAVA
@ALINEVIKALAVA 2 ай бұрын
Nami nashukuru saana kwa kipindi hiki. Nimara ya kwanza kukufata nimebarikiwa.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 2 ай бұрын
Amen amen
@HappyGabieli
@HappyGabieli 2 ай бұрын
Nakupenda kusikiliza ukweli maan humuweka mtu akiwa huru,thx pastor
@jonesshao8284
@jonesshao8284 14 күн бұрын
Thanks
@user-ec6ub7hq9t
@user-ec6ub7hq9t 6 ай бұрын
Nashukuru kwa mafundisho mazuri pastor ila kwa kizazi cha leo waume na wake ni wachache,Mungu atusaidie
@NdimyakeKennedy
@NdimyakeKennedy 17 күн бұрын
Ubarikiwe sana
@ababelemobintu2278
@ababelemobintu2278 6 ай бұрын
Asante sana kaka somo lako nilipenda sana mungu akupe nguvu zaidi🎉🎉
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Amen amen ndugu
@Coachsamwel
@Coachsamwel 6 ай бұрын
Madini sana umetema mkuu🔥 🔥 Be blessed & keep impacting
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Thank you bro
@user-ms3di6qt7r
@user-ms3di6qt7r 5 ай бұрын
Asante kwa somo zuri
@SleepyBocce-lf4vr
@SleepyBocce-lf4vr 4 ай бұрын
Hilo nikwr kaka deo me nilipata mwanaume nikipata mshahala naleta nyumban namkabinzi mshahala yonte unayo yasema me ninafanya 2nalundi kw wanaume wamekosa uwaminifu kwenye miti hakna wajenzi😢😢😢😢😢😢me nalia kila siku sipati majibu mungu naomba anisaindie kila siku me nafanya maombi ila bado sijapata naomba sapoti yako 😢😢😢😢😢😢😢
@consoassenga7153
@consoassenga7153 5 ай бұрын
Everyone has born for his/her own purpose. This principles are never applicable kwenye maisha ya kawaida. My friend angalia maisha yako, mazingira yako, uchumi wenu, uwezo wa Mume wako, na malengo ya kuolewa kwako lah! Sivyo unajiandaa kuua watoto wako.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Kama unaongelea Purpose halafu unaongelea suala la kuua watoto then nafikiri unahitaji kujifunza upya kuhusu purpose..labda kama unazungumzia mishe mishe za maisha lakini purpose is self sustaining hakuna aliyewahi kuishi purpose akawa na njaa au watoto wake wakafa njaa. Umeweka vitu viwili ambavyo haviwezi kuchangamana kamwe..purpose na njaa, never
@user-mm8ts3nk7h
@user-mm8ts3nk7h 4 ай бұрын
Mtumshi wa mungu mimi nimeoa lakin mke wangu katika sifa hizo Hana ata Moja nifanyeje niliingia bila kuangalia hizo sifa
@JackilineMoshi
@JackilineMoshi 2 ай бұрын
😂😂
@user-mm8ts3nk7h
@user-mm8ts3nk7h 2 ай бұрын
@@JackilineMoshi ndugu najua coment hii inakama miezi 2 lakin hadi Sasa ninamwezi mimi na mkewangu hatupo pamoja na mtoto kamwacha kwangu hivyo nimemrudisha nyumbani kwa wazazi wangu moyo unawaka moto nashida tunaonana nae lakin Yuko kwake na mimi kwangu
@happiness_713
@happiness_713 6 ай бұрын
Thank you very much for the powerful message. Nimejifunza mengi! .. from Kenya 👌
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Woow..thank you so much..my greetings
@happiness_713
@happiness_713 6 ай бұрын
Ukweli mchungu🙆 🫣! Am inspired 💯 . You just hit the nail on the head 👊....I like such 😭🤔bcoz, najua sasa cha kufanya 🫶...
@IngabireAisha3813
@IngabireAisha3813 6 ай бұрын
😂😂😂yani umepigilia misumali kweli kweli khaa!? Shukran maana kuna ukweli mtu ❤
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
🤣🤣🤣..barikiwa sana
@user-vi5sw8sn4t
@user-vi5sw8sn4t 5 ай бұрын
Mawahidha j mazuri yakujenga familia be blessed pastor
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Amen
@sarahsarahjacob1974
@sarahsarahjacob1974 4 ай бұрын
Leo nimejifunza jambo mtumishi! Bora nimechelewa kuolewa! Mungu ananipenda
@DeoSukambi
@DeoSukambi 4 ай бұрын
Amen
@PolyneKhandali-br9gj
@PolyneKhandali-br9gj Ай бұрын
Very educative,,,thanks 🙏🙏🙏
@bas2823
@bas2823 6 ай бұрын
TRUE I AGREED THAT👌 UPSOLUTLY CORRECT N WRIGHTS👍😆👌
@PetroGabriel-oh4fw
@PetroGabriel-oh4fw 6 ай бұрын
Kweli mtumishi wa Mungu umenena na Mungu akusaidie sana na kuzidi kukutumia mimi ni Petro Gabriel mtumishi wa Mungu nipo mkowani singida
@JosephinaMwahalende-pn1ub
@JosephinaMwahalende-pn1ub 6 ай бұрын
Kaka DEO mungu akutunze maana unatufundishavitu vikumba Sana ambavyo hata wazazi hawaku wai kutuelezea
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Amen amen amen..asante sana kwa maombi naamini Mungu ameniweka kwa wakati na majira haya
@kainibachungege3430
@kainibachungege3430 5 ай бұрын
Pastor Sukambi God bless you. You are Blessing The people God. Channel yako ipo vizuri Sana!
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Amen amen my brethren..glory be to God
@dativajoachimwai1194
@dativajoachimwai1194 5 ай бұрын
tunaomba uwe unaweka nba yako ya WhatsApp kwa screen .
@fanuelnjau
@fanuelnjau 4 ай бұрын
Aisee hizi nondo ni kiboko Mungu akubariki sana mtumishi
@user-pg5kf2ec2i
@user-pg5kf2ec2i 6 ай бұрын
Aksanti mwalimu kwa utafiti huo nipasteur DIDO
@JosephinaFransic
@JosephinaFransic 5 ай бұрын
Baba Amina sanaaa sanaaa pia Asante baba jamani mungu akubalikie sana,.
@user-ld5xj2hu4h
@user-ld5xj2hu4h 5 ай бұрын
Warching from Alhofu Saudi Arabia
@EVODIAMBUNDA-in9ey
@EVODIAMBUNDA-in9ey 6 ай бұрын
Asante kwa mafundisho
@user-ft1fr8ic2l
@user-ft1fr8ic2l 6 ай бұрын
Wawooo amaizing sana! Somo zuri
@maiyasalenjashi2352
@maiyasalenjashi2352 2 ай бұрын
Wooo nimefurahi ju ya somo lako mm niko nazo zote tatu ila bado sijaolewa ndiyo Nik na mchumba
@FelisianaMapunda-dw3db
@FelisianaMapunda-dw3db 5 ай бұрын
Be blessed pastor, from songea.
@salesiomweda1747
@salesiomweda1747 5 ай бұрын
Obrigado pela aula
@bas2823
@bas2823 6 ай бұрын
YES MUME AKIKUTAWALA NA AKAWA ANAKUPENDA ITS VERY GOOD👌 BUT HUSBAND AKAKUTAWALA KWA MATESO TUU NA HANA UPENDO WOWOTE ULE KWA WIFE WAKE! THIS IS TOTAL WRONG! EVEN TO GOD! DOESNT EXCEPT IT!😢! SO IT HAS TO BE EQWAL N LIMITS IN EVERYTHING BETWEEN HUSBAND N WIFE👍 NO BODY IS POWERFUL TO EACH OTHER! THEN GOD! ONLY GOD IS POWERFUL TO ALL OF HIS CREATIONS N THATS IT👍❤👌
@user-tk8de2pl4j
@user-tk8de2pl4j 4 ай бұрын
Mtumishi wa mungu naomba plz hii clip jmn hahahahah mwanaume wangu ni level za mbinguni aiseeee ananihudumia na matunzo ananipa hajawah nauliza kuhusu pesa yangu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
Muombee, shukuru Mungu
@user-zr1he6jb3m
@user-zr1he6jb3m 6 ай бұрын
Bwana akubariki sana ni kitu nilikuwa sijuii ila nimejua naam ni kweli
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Amen amen
@lilyjones3584
@lilyjones3584 6 ай бұрын
Bwana Deo, nitakutafuta pembeni.
@user-xm2zx3tl9l
@user-xm2zx3tl9l 6 ай бұрын
Be blessed pastor I learnt a lot of things from your speech continue with that heart of helping us 👏👏
@user-mo7cz9gs7l
@user-mo7cz9gs7l 6 ай бұрын
Golden message pastor
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Amen
@theresiagisberth6197
@theresiagisberth6197 6 ай бұрын
Ahsante kwa somo zuri, Theresia Malekela kutoka Njombe.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Barikiwa Theresia
@glorylyimo6037
@glorylyimo6037 6 ай бұрын
Point ya mwisho nimekuelewa kabisaaaaaaaa yaani sanaaaaaaaa
@user-uq1py9nl4w
@user-uq1py9nl4w 6 ай бұрын
M sawa
@giftotaru5808
@giftotaru5808 6 ай бұрын
Mungu wambinguni uliejificha sirini atusaidie kwa neema zake na rehema zake
@Lubango-gj3ud
@Lubango-gj3ud 6 ай бұрын
Pastor we kiboko sana. Mafundisho mazuri saana barikiwa pastor
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Amen amen ndugu
@sylviesaidi5740
@sylviesaidi5740 6 ай бұрын
Asante kwa hao mwalimu ❤
@tumainirighton9507
@tumainirighton9507 6 ай бұрын
Powerful 🎉
@AgathaMwapinga
@AgathaMwapinga 2 ай бұрын
Asante kwa somo zuri,nashukuru somo nimelipata kabla sijaolewa.
@zainba7812
@zainba7812 2 ай бұрын
Very true pastor
@MamaNabii
@MamaNabii 6 ай бұрын
Asante sana pastor. I get it!!
@guelfasidanielsentitato5151
@guelfasidanielsentitato5151 Ай бұрын
asante, bom trabalho. MOZ
@gracemasawe7646
@gracemasawe7646 6 ай бұрын
Ubarikiwe Sana pastor kiukweli mafundisho yako yamenibarik namuomba Mungu anipe mume mwema mweye upendo wa kweli na mwenye sifa hizo tatu ulizo zitaja
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Amen Mungu na akujalie sawa sawa na uhitaji wa moyo wako
@rehemashetuli8620
@rehemashetuli8620 5 ай бұрын
Kunavitu nakuwa sijavielewa mwanaume kazaa watoto wengine nje anachokipata anawekeza kwa wale watoto wake hichi ninacho kutafuta kwenye biashara zangu nimshirikishe kweli daa kwa dunia ya leo mungu atusamehe sanaa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Pole sana dada yangu..hiyo ni changamoto
@JustineKileo
@JustineKileo 5 ай бұрын
Shiriki naye kwa watoto uliyozaa naye.
@JustineKileo
@JustineKileo 5 ай бұрын
Kama hao watoto, wapo nyumbani, ungananae mfanye pamoja na watoto wenu wawili.
@bint8178
@bint8178 5 ай бұрын
Maonevu hapo PIA naapazungumze naona hajaigusa iyo point
@janethstephen7869
@janethstephen7869 6 ай бұрын
Asante Pastor umetueleza ukweli
@samarabdullah9511
@samarabdullah9511 6 ай бұрын
Thanks paster be blasted ❤
@FlorenceNabintu
@FlorenceNabintu Ай бұрын
Mafundisho mazuri sana Mungu akubariki
@LoveInamugisha-cm7yw
@LoveInamugisha-cm7yw 3 ай бұрын
Asante sana kwa mafunzo mazuri,mimi ni muka aji wa Burundi
@vitusingonyani
@vitusingonyani 3 ай бұрын
nimekukubali sana pastar
@user-eu4hi4he3m
@user-eu4hi4he3m 6 ай бұрын
mungu akubariki mchungaji somo zuri
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Amen amen
@SimbiRiziki-rl7xj
@SimbiRiziki-rl7xj 6 ай бұрын
Mimi ni mama mkaaji wa Burundi Niko wakufata 100%100
@user-hq7lz6re7j
@user-hq7lz6re7j 6 ай бұрын
🎉Duu kwa sifa hizo najion sifa za kuwa mke uwiii
@winiemajengo1679
@winiemajengo1679 5 ай бұрын
Yaani mimi sijui ntafanyaje uwiiiii😂😂😂😂
@user-tk8de2pl4j
@user-tk8de2pl4j 4 ай бұрын
Aiseee mi mungu anisaidie jmn, ndio nina mshahara wangu lakini hpo penye kutunza hahahahah siokweli tutagombana, pesa yangu niyakwangu
@user-pf3hl8yz4d
@user-pf3hl8yz4d 6 ай бұрын
Baba nimekuelewa saana
@user-ie4zp4bi5e
@user-ie4zp4bi5e 6 ай бұрын
Uko sahihi mtumishi! Ubarikiwe sana
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Amen amen
@RebeccaMwakibibi
@RebeccaMwakibibi 2 ай бұрын
Daaaah Pastor mume wangu naishi naye vizuri na ni mume kweli ila Kuna vitu Mimi niliingia bila kuvijua, nimemuonea huruma mume wangu kweli nimemnyanyasa duh!! Mungu anisaidie ninakwenda kubadilika kabisa!!!Barikiwa mnoo
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
Nimekuelewa Kwakweli naomba nipate mwenye sifa za mume
@user-cd3ux7ys5q
@user-cd3ux7ys5q 5 ай бұрын
Naitwa Jimson kyando nipo Dar es salaam nakupata vizuri apostle endelea kuelimisha Jamii mungu akubariki
@user-dy9un3qb9g
@user-dy9un3qb9g 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana Pastor
@mpollogeneralenterprises2530
@mpollogeneralenterprises2530 6 ай бұрын
Jamañi Ninalike haya yoooteeeee yanamuhusu
@scolasticakaduma5143
@scolasticakaduma5143 6 ай бұрын
Amina Paster
@jemimarobert3672
@jemimarobert3672 6 ай бұрын
Ahsante sana
@AdelaidaMartine
@AdelaidaMartine 2 ай бұрын
Asante
@user-pg3mu7je7f
@user-pg3mu7je7f 5 ай бұрын
Asante sana nimeshukua ilimu kwa hi darasa
@user-nv9uf1ze3n
@user-nv9uf1ze3n 2 ай бұрын
ahsante sana pastor mejifunza meng
@user-pw7mc7om6b
@user-pw7mc7om6b 5 ай бұрын
Ubarikiwe kwa mafundisho sahihi
@hadidjaissa9154
@hadidjaissa9154 6 ай бұрын
Amnina pastor
@preceenosent6324
@preceenosent6324 6 ай бұрын
Asante sana pastor mungu anipiganie nipate chaguo langu🙏🙏🙏🙏🙏
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Amen
@eunicenjonge2205
@eunicenjonge2205 6 ай бұрын
Mimi nimejivunza sanasana.. waa.. kumbe ??? Barikiwa sana mtumishi
@user-kk5nf3pu1g
@user-kk5nf3pu1g 6 ай бұрын
Asante sana brother
@user-jj1cl8od9e
@user-jj1cl8od9e 5 ай бұрын
Amen kwa kipindi kizuri
@nicegeorge21
@nicegeorge21 5 ай бұрын
Asante doctor
@user-fr1ed6es3f
@user-fr1ed6es3f 2 ай бұрын
Pastor,bona unaongea ni kaa unaongelelea (a Nurcissist) hii niaje?.
@rosinamtauka9933
@rosinamtauka9933 4 ай бұрын
asante pastor kwa kunirudisha kwenye mstari
@user-hj3zi7ux1d
@user-hj3zi7ux1d 5 ай бұрын
Kuna wanaume hakutunzi kabisa nahataki ufanye kazi itakuwaje
@japhetselestine2156
@japhetselestine2156 2 ай бұрын
Amesema urudi kwenye sifa 3 za mwanaume ukazisikilize kwanza
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha Ай бұрын
Huyo hakutakii mema achana nae VP yyy😂😂🎉🎉
@user-ro8zn2nv9u
@user-ro8zn2nv9u 5 ай бұрын
Kweli kabisa juliana kutoka kenya
@Esther-yi1ul
@Esther-yi1ul 4 ай бұрын
Kweli kabisa mtumishi
@Majariwauser-jj6si5vm6n
@Majariwauser-jj6si5vm6n 6 ай бұрын
Asante mwalimu
@glorianamatemu6856
@glorianamatemu6856 6 ай бұрын
Nimekuelewa sana ..acha nijitafute kwanza.nimejichunguza kwa hili somo nkaona niache haraka kwakwel 😂.. ubarikiwe sana
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 ай бұрын
Bora wewe uliyepunguza speed😆😆..nawaonaga mabinti wanavyokimbilia huko ila hata hawaelewi wanachokikimbilia masikini
@user-tk8de2pl4j
@user-tk8de2pl4j 4 ай бұрын
Ahahahah kwakweli namm najiona bado ngoja nijitafute
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
TOFAUTI YA UPENDO NA MAPENZI | DEO SUKAMBI
1:00:20
Deo Sukambi
Рет қаралды 21 М.
SIFA TATU (3) ZA MUME | DEO SUKAMBI
55:00
Deo Sukambi
Рет қаралды 46 М.
Lehanga 🤣 #comedy #funny
00:31
Micky Makeover
Рет қаралды 30 МЛН
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 22 МЛН
Before VS during the CONCERT 🔥 "Aliby" | Andra Gogan
00:13
Andra Gogan
Рет қаралды 5 МЛН
天使救了路飞!#天使#小丑#路飞#家庭
00:35
家庭搞笑日记
Рет қаралды 89 МЛН
Dalili Za Mwanaume Anaekupenda Kwa Dhati
6:19
Topten Tv
Рет қаралды 327 М.
KUUAMSHA ULIMWENGU WAKO WA ROHO (Sehemu Ya tatu) Na Pastor Tony Kapola
1:44:52
NATALIA ( PENZI LA GENERALI ) : SIMULIZI FUPI YA KUSISIMUA.
1:17:34
Simulizi Mix
Рет қаралды 221 М.
MWANAMKE UKIMPENDA SANA NA AKAJUA UNAMPENDA SANA UTANYANYASIKA  "PASTOR MGOGO
36:53
FIKRA 4 HATARI KUHUSU NDOA |  DEO SUKAMBI
51:23
Deo Sukambi
Рет қаралды 2,2 М.
TOFAUTI YA MKE NA MSAIDIZI | DEO SUKAMBI
53:50
Deo Sukambi
Рет қаралды 6 М.
AINA10 ZA WANAWAKE WASIOPENDWA
20:49
Mbeki TV
Рет қаралды 121 М.
Lehanga 🤣 #comedy #funny
00:31
Micky Makeover
Рет қаралды 30 МЛН