Kama bado haujatazama sehemu ya kwanza bonyeza video uliyopita. Usasahau KU SUBSCRIBE.
Пікірлер: 261
@mayaashassan39186 ай бұрын
Shukran sana kaka ila kuna baadhi yatu wanawake tunajitahidi kwa kla jambo ttz tumeangukia pua mwanaume ajali wala huruma na mkewe hana 😢😢tunafnya kla ktu wanachotaka ama tunachokijua kitamfnya mwanaume awemwenye upendo na mkewe ila waap tunajinunulisha ata vizawadi ili akirudi apate mabadiliko lkn bdo ssa uyu cio wakuoneshwa tena kakangu maana hanatoa ata hisani ya mtu anaye fnya hayo yote mwanaume ananuna mwez mzma ata iwe kosa ni lake yaani amesikia mwanaume ndo kichwa cha familia bc anajifanya Mungumtu wallah wanawake tunavumilia mengi mengine ni siri za wanandoa c vzr kutoa inje😢😢
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@mbekitv6935 ай бұрын
Nakuunga mkono 💯 Ndio maana kuna somo hapo linasema mambo 5 yakuzingatia kabla haujaingia katika mahusiano. Huko sasa ndio wengi mnafeli hadi mnaangukia pua. Litafute ilo somo nzuri sn lipo hapa hapa
@carolinekimatare732710 күн бұрын
Wakati mkiwa kwenye mahusiano hauyaoni ukishaingia ndani ndo yanaonekana ss@@mbekitv693
@princessleonard95228 ай бұрын
Kaka asante sana jaman ila kwa upande wangu namshukuru Mungu mie sio mchafu kuanzia mwili wangu, ndani ya nyumba yangu na hata eneo nafanyia kazi pana usafi wa kutosha. Kingine mie sijawahi kunywa pombe tangu nimezaliwa na hata sina shauku nayo na kwenye mapishi nimpe sifa Mungu amenipa uelewa wa kutosha na kama kuna ninachoshindwa huwa nawauliza wamama wenye hekima na wananisaidia. Cha mwisho namshukuru Mungu mie sio mtu wa kuongea hata kama kitu kimeniumiza sana na siwezi kukiuliza huwa nachukua muda napiga magoti namweleza Mwenyezi Mungu vile naumia na yeye ni mwaminifu huwa anaondoa kile kinaniumiza na kunipa furaha ya kipekee. Ila kiukweli kuna baadhi ya wanawake wanawaumiza sana wanaume wao na hata mie nilikuwa na rafiki alikuwa na hiyo tabia nilimkanya akashupaza shingo nikaachana nae na ni mkubwa sana kwa umri na mpaka sahivi hajapata mtu kwasababu anamdomo wa kulaumu sana wanaume 😢 😢😢
@mbekitv6938 ай бұрын
Wooooow😀👏👏👏
@mbekitv6938 ай бұрын
Vizuri sana mpendwa huko vizuri kwakweli
@ummuwawili6 ай бұрын
tupe no ya mume wako tumuulze 😂 na majirani kwahyo wewe huna mapungufu😅😅
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu katika darasa langu la whatsapp tujifunze pamoja🤝 0659152333
@princessleonard95226 ай бұрын
@@mbekitv693 wooow nakutumia text now uniunge
@AishaTrecy-t5h2 күн бұрын
Asante sana mwalmu mungu akuzdishie neema n marifa zaid maana nmjifunza mengi kupitia kwako yenye skkuw nmejuw n pia guzia kule kwngne,
@NasurAli-sx3bb3 ай бұрын
Brother Mungu Akuzidishie hekima zaaaaidi, Shukran saana
@mbekitv6932 ай бұрын
@@NasurAli-sx3bb asante sn mpendwa😊🙏
@SelinaSelinal8 ай бұрын
Kweli mafundisho Yako ni mazuri sana hongera
@mbekitv6938 ай бұрын
Asante sana mpemdwa, usisahau ku subscribe
@dorothymalambughi2125 ай бұрын
Elimu nzuri Sana hii, wanawake wenzangu tubadilike, tutunze mahusiano yetu jaman.
@mbekitv6935 ай бұрын
Shukrani
@Doreenkanario-o5u2 күн бұрын
Asante sana kaka kwa mafundisho najirekebisha pale nilikuwa nikikosea
@MombasaKwetu-ft9ky7 ай бұрын
Kaka mawaidha mazuri sana pogezi sana
@mbekitv6937 ай бұрын
Asante sana🙏
@owandjanoella99218 ай бұрын
Kweli 💯 asante saaana mwalimu
@mbekitv6938 ай бұрын
Karibu
@blandinamanongi881816 күн бұрын
nimependa mafundisho yako ni mazuri
@MamakeJayden-w3wАй бұрын
Asante sana brother kwa mafundisho yako nmejifunza mengi, barikiwa🙏
@catherinehanje16287 ай бұрын
Asante sana kijana wangu hata mimi mtu mzima nijifunza kitu kikubwa nitafanyia kazi Mungu akuongee marifa usadie wengi
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibu sn mpendwa Mungu akuongoze pia🙏🥰
@GraceOmari-j3u8 ай бұрын
Napenda kujifunza kupitia ww Najiandaa kua mke bora
@mbekitv6938 ай бұрын
Wooow hiyo ni habari njema😀👏👏
@GraceOmari-j3u8 ай бұрын
@@mbekitv693 😊
@GraceOmari-j3u8 ай бұрын
Can I get your number for connection 😉plz
@ZainabAyoub-hv1zo8 ай бұрын
Mimi pia vingi alivozungumza huwa nafanya lkn ckujuwa km ni vya muhimu kwa mume
@EmilianaLono8 ай бұрын
Kweli kabisaa
@happynescostat74207 ай бұрын
Mafundsho mazuri sana,MUNGU akufikishe mbali sana❤
@mbekitv6937 ай бұрын
Amina mpendwa
@GENTRGXGENTRGX6 күн бұрын
waw asante san kwamaoni❤❤❤❤
@Neydanieldaniel2 ай бұрын
Naomb no tafadhali
@mbekitv6932 ай бұрын
@@Neydanieldaniel 0659152333
@IreneLeonard-cw3xp7 ай бұрын
Thank you Soo much for the lesson, watching from kenya
@elikamoses1046 ай бұрын
Sema basi na mwanaume ambae sisi wanawake hatuwezi kumpenda usilalie upande mmoja tu
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333
@bonifasimasanja11318 ай бұрын
Thanks so much sister, my life changed so much after I started to follow and listern to your teachings, Iam learning everyday...❤❤🙏
@mbekitv6938 ай бұрын
Sister🤔 are you talking to me?
@africa74797 ай бұрын
@@mbekitv693 😂😂😂😂😂😂 nilishtuka pia
@LuccyMgaya-ex4dn7 ай бұрын
Nimazuri sana hakika asante
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibu saaana
@AishaHaji-te6dl7 ай бұрын
Ahsante nakukubalii sana
@AnishaEmmanuelKananda2 ай бұрын
Asante sana baba yangu hakika umenielimisha sana
@mbekitv6932 ай бұрын
@@AnishaEmmanuelKananda oh vizuri sna kama umeelimika😊🙏
😀 Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@patiencesamba94677 ай бұрын
Ushauri mzuri kabisaa
@mbekitv6937 ай бұрын
Kabisa mpendwa
@patiencesamba94677 ай бұрын
@@mbekitv693 Nikuulize mtu akikwambia muachane kwanza eti mtafute maisha kwanza ndio mruadiane akuoe hio ni kweli ama ananicheza kwa sababu anasema anatafutia mtoto kwanza ndio ndoa ikuje
@sein.2085 ай бұрын
Jazaakallah kheiry
@mbekitv6934 ай бұрын
🙏
@annaanthony28507 ай бұрын
Ahsante sana
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibu sn
@silviafurah91728 ай бұрын
Asante kwa mafundisho ubarikiwe sana ntarekebsha
@mbekitv6938 ай бұрын
Good Mpendwa Mungu akubariki sn
@SarahStanford-do2wj4 ай бұрын
umeongea ukweli sana aiseee
@mbekitv6934 ай бұрын
Asante sn
@bisemwabernadette7 ай бұрын
Mashauri mazuri
@mbekitv6937 ай бұрын
Asante sn
@luselose99448 ай бұрын
Napenda mafundisho yako watching from Saudi Arabia
@mbekitv6938 ай бұрын
Ooh asante sana wape salaam👋
@alimatambwe34026 ай бұрын
Big up for your lessons Bruh unatufunza vyema🙌
@mbekitv6935 ай бұрын
Asante sn
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu kutazama video yangu mpya
@Neydanieldaniel2 ай бұрын
Nashukuru kwa ushaur naomb no yako tafadhali
@mbekitv6932 ай бұрын
@@Neydanieldaniel 0659152333
@GRACEFELICIANKALUMUNA7 ай бұрын
Wakora waituu
@mbekitv6937 ай бұрын
😀
@adammkondya58967 ай бұрын
Umenisaidia asante
@mbekitv6937 ай бұрын
Wooh 😊. Sasa usiache kusubscribe ili uendelee kupokea mafundisho mengi zaidi
@HawaJeremiah-s2y8 ай бұрын
Mungu akujarie mwalimu ahsante Kwa masomo mzuri
@mbekitv6938 ай бұрын
Karibu sn mpendwa
@ChristineMwasaru8 ай бұрын
Kaka nashukuru umeleta mafunzo bora kwa kweli
@mbekitv6938 ай бұрын
Asante sna mpendwa 🙂🙏
@Khadijahamza-o2n8 ай бұрын
Sijaolewa na ukoo mie sitaki nichanganyikiweeeeee😂😂😂😂
@mbekitv6938 ай бұрын
Yaani🤣
@josephinajosephu68596 ай бұрын
Unayoyasema ni kweli kabisa,mwenye akil atayashika haya..darasa zuri kabisa
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333
@LovenessSalewa7 ай бұрын
Ushaur wako mzur sana asante ila tunaomba nayawanaume
@mbekitv6937 ай бұрын
Soon itakuja😀
@LILIANIMWASHINANI7 ай бұрын
Iyo nikweli kaka ang kutokuwa na heshima inatukost sana wanawake sema hatujui na ukiwwa na sifa hizi mwanaume atakupenda sana
@mbekitv6936 ай бұрын
Hakika
@esthermakelemo28645 ай бұрын
Komaaa kabisa,Wasukuma ni wastaatabu na tunaheshima,futa kauli Yako chafu
@mbekitv6934 ай бұрын
🙏
@Sandrinedusabe-r5x8 ай бұрын
Noma sana
@mbekitv6938 ай бұрын
Yaani acha tu
@ireneinniss10487 ай бұрын
Sana tena sana nimekulibali
@mbekitv6937 ай бұрын
😀
@NasraMrisho-z4o8 ай бұрын
Asante kwa somo Asante sana
@mbekitv6938 ай бұрын
Karirbu maana
@mbekitv6938 ай бұрын
Usisahau Ku Subscribe🙂
@elinazuberi26893 ай бұрын
😂😂 mbona midomo kweli wanawake midomo tupunguze 😂
@mbekitv6932 ай бұрын
@@elinazuberi2689 😀
@adammkondya58967 ай бұрын
Mungu akubariki sana umeniamsha kwenye ndoa yangu
@mbekitv6937 ай бұрын
Wooow vizuri sana. Sasa subscribe ili uendelee kupokea masomo mazuri zaidi
@JaneNyamwihura8 ай бұрын
Asante kwa mafundisho
@mbekitv6938 ай бұрын
Karibu sn mpendwa Usiache Kusubscribe
@ErfEff-k6wАй бұрын
Jaman Kaka Mimi macho yangu ni ya aibu hata akinitambulisha kwa marafik zake siwez kuwakazia macho je na Mimi ni malaya
@witnessrobert7 ай бұрын
Vip kwa wale wanao kublock wakiwa na hasira unapta ata mwezi hakutafti,,,,,,iv mwanaume kma uyo utaendelea nae ,,,,naomb nishauri
@mbekitv6937 ай бұрын
Hiyo ni kesi tofauti cos kila mtu ana namna yake yakutatua matatizo yako, so wewe ndio unapaswa umfahamu zaidi ili ujue nini ufanye kulingana na unavyomjua
@HudhaifaMansour7 ай бұрын
❤❤❤ nakubali sana kaka
@mbekitv6937 ай бұрын
Asante sna sna mpendwa
@JulianaMbeyu7 ай бұрын
Nimesaidika haki from samburu
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibu saana, na usiache ku subscribe🙂
@ZaujiaNzitonda7 ай бұрын
Ansate 🎉🎉🎉🙏🙏🙏
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibuu sana
@dashuushu68838 ай бұрын
Nice
@mbekitv6938 ай бұрын
Shukran
@HadijaDaffo-b6q7 ай бұрын
Nimefurahi mafundisho yako nimejifunza mengi Allah akulipe
@mbekitv6937 ай бұрын
Amen🙏
@ArafaAlly-dy3nv8 ай бұрын
Sawa ila nawao wnatakiwa wajue wake zao tabia gani awapendi kwa waume maana akuna mkamilifu chini ya jua kuna watu wanishi kwa vizur tu na waume lakini hao waume wanakuja kuyahalibu wenyewe wao ndo waanzilishi wao ndo wanakua chanzo mda mwingine
@mbekitv6938 ай бұрын
Sawa tutaongea nao pia..
@روز-ق6ل8 ай бұрын
Nashukuru kwa elimu hii najianda kuwa mke bora zaidi
@mbekitv6938 ай бұрын
@@روز-ق6ل Gooooood
@EdinaInnocent6 ай бұрын
,🤣🤣🤣nmefurah san hapo kweny gubu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣haloooo nmefurah san😂😂😂😂
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
Asante kwa ukumbusho ila nmecheka kifala kwel kusikia Kulthum ndio nan 😂😂😂😂
@mbekitv6938 ай бұрын
😂 Ni vita🙌
@MolloRupia5 ай бұрын
Asante umenipa uelewa
@mbekitv6935 ай бұрын
karibu
@gracepius11026 ай бұрын
Wanaopendwa wenzangu hapo kuna jirani yangu kila siku saa saanane anapomfungulia mmewake,yaani anaanza kumchamba dirishani😅😅😅😅
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@mbekitv6936 ай бұрын
Ahaahahah🤣
@wardazamzam84638 ай бұрын
Shukra sana
@mbekitv6938 ай бұрын
Karibu sana mpendwa
@SeverinoLuis-j1h7 ай бұрын
Mwanaume não uwafunde
@mbekitv6937 ай бұрын
Sawa zamu yao inakuja
@Zulfa-i3e7 ай бұрын
Asante kakaake umetuerimisha
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibu sn mpendwa
@AugustPro-f3c8 ай бұрын
Asante mwalim mzri
@mbekitv6938 ай бұрын
Karibu sn
@furahabindu28897 ай бұрын
Asante kwa shauri
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibu
@rahmamohammed77078 ай бұрын
Umalaya katika dini yetu uwa ni deni, mkeo analupa bila ye kujua, au mwanao au dada au mama,kama upendi kusalitiwa usisaliti, ukimfanyia wa mwenzio na wako atafanyiwa, kujua tabia ya mme ata awe vp angalia ndugu zake wa kike au mkewe basi uampata
@mbekitv6938 ай бұрын
😰
@MarrylinellyMshana8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Kumbe kuna wanawake wanategemewa kwenda kusuta watu nimecheka kama mazuri
@mbekitv6938 ай бұрын
Aaah wapo hao😀
@estalinhachisina25546 ай бұрын
Hii video inafunza sana🤝
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@SelinaKahonzi7 ай бұрын
Ni kweli ❤😊
@mbekitv6937 ай бұрын
Hakika
@DativaMbowe5 ай бұрын
Tena ngoja nikanunue savanna zangu ninywe nilewe zangu
@mbekitv6934 ай бұрын
Good😀
@SylvieBagirisha6 ай бұрын
Asanteni kaka
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@maureensunguya87798 ай бұрын
Hapa nilipo naitikia mhh mhh utadhani nimeolewa😂
@mbekitv6938 ай бұрын
Maandalizi ni mazuri kabla ya tukio so endelea kujifunza
@LeahMuganyizi7 ай бұрын
Umenichekesha muelimishaji ety sjaolewa na ukoo!!😅😅😅mbavu zangu mimi
@mbekitv6937 ай бұрын
Ahahahah😅
@elizabethakiru30435 күн бұрын
Nimecheka Kwa Sauti 😂😂😂
@MegaNasri-bv7tc5 ай бұрын
apo kwenye mdomo sasa ndio mana nimeachwa 😂😂😂😂
@MegaNasri-bv7tc5 ай бұрын
Kama atarudi najilekebisha😢asante Kaka May God bless you Amen
@ChikuDady7 ай бұрын
Kaka nimejifunza mwengi sn kwako
@mbekitv6937 ай бұрын
Woow nafurahi sana kusikia hivyo. Sasa usiache Kusubscribe ili uendelee kujifunza mengi zaidi sawa
@DiannaJumanne-de1kk3 ай бұрын
Me kwenye kununa jamani mmh ndo tabia angu nmeacha kuanzia leo
@mbekitv6932 ай бұрын
@@DiannaJumanne-de1kk 😀
@NeseriaMungay7 ай бұрын
😂😂😂😂😂umenichekesha umenielimisha siku nikimpata wakwangu ntajua pakuanzia
@janety19337 ай бұрын
Kabisa 😂😂😂😂😂
@mbekitv6937 ай бұрын
Vizuri sana😀
@mbekitv6937 ай бұрын
@@janety1933 😀
@MerlinaKubadesha2 ай бұрын
Eeeeeeee😲😲😲😲😲😲😲tena
@janety19337 ай бұрын
Mm mdomo Kisilani😅😅😢😢
@mbekitv6937 ай бұрын
Eeeh😰😅
@lyneteisaack28007 ай бұрын
Anaongea peke ake kam anamajini😂😂😂😂😂...
@mbekitv6937 ай бұрын
😅
@kabwefrancine998 ай бұрын
sawa tume sikia sasa kipindi anavyo fanya yeye kwani nani hana moyo nyooo
@mbekitv6938 ай бұрын
Jamani mbona mimi nasema kwa nia njema tu, inamaana wewe uko radhi kuharibikiwa kisa mwanaume wako?
@LeahMuganyizi7 ай бұрын
Mmh
@JeniferHepitas6 ай бұрын
❤❤
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@PeterNambale-oq8ko4 ай бұрын
Asante sana
@mbekitv6933 ай бұрын
@@PeterNambale-oq8ko karibu ssn
@margaretkaranja18648 ай бұрын
Na maraya wanaume nje
@mbekitv6938 ай бұрын
Eeh
@mbekitv6938 ай бұрын
Eh?
@SelinaKahonzi7 ай бұрын
Yes thanks bro
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibu sn
@SelinaKahonzi7 ай бұрын
@@mbekitv693 asanet
@Winfridankalupia-t8d8 ай бұрын
Asante!
@mbekitv6938 ай бұрын
Karibu sn
@emilyondari47968 ай бұрын
Working mothers tuna shida. Wengi hatuwezi hiyo biashara. Ata housewife, atachoka umimzalisha ovyo ovyo. G
@davidnjile49952 ай бұрын
Mfano mi kaka nmekutwa kweny sim nachart na mwanamme akantumia na nauli ameona chart zote ila hajanioa apo itakuaje kweliiii ila skwenda nauli bad ipo kwa simu😢😢