EXCLUSIVE: JAKAYA KIKWETE / MAISHA Baada ya URAIS / BIASHARA BINAFSI / AFUNGUKA MENGI | GOOD MORNING

  Рет қаралды 14,322

Wasafi Media

Wasafi Media

19 күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 32
@nivesmapunda694
@nivesmapunda694 16 күн бұрын
Mmmmm mh.Rais mstaafu tunakukumbuka sana hasa sisi watumishi wa umma. Mungu akujalie maisha marefu!
@ShadowScreamStudio
@ShadowScreamStudio 15 күн бұрын
Jakaya ..always happier May Lord bless you mzee
@jumambaga7825
@jumambaga7825 12 күн бұрын
Yani pale kazungumza kwa hekma sana mzee anajua hapa kuna wahuni washagawana kiwanja lakn sasa najua ninamamlaka ya kuwajibisha ila ngoja nitumie busara niende kwangu kujenga dahh lini huyu mzee tutaonana kuvuna busara zake😂🔥👍🏾
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 17 күн бұрын
Hongera sana wa SA Fi Kwa interview yenye akili,💪💪💪
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 14 күн бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 14 күн бұрын
@@user-fr7jj1bo7y Sasa wewe ulikuwa wapi nawe si ungeba😲
@ramadhanijuma4130
@ramadhanijuma4130 17 күн бұрын
Safi sana interview inamafunzo mazuri
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 15 сағат бұрын
❤❤❤❤❤jakayaaa
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 12 күн бұрын
mnatakiwa muje na interview kuhusu afya kwa ujumla..huyu nasikia kuna vyakula hali na vingine anakula. alafu mazoezi anafanya sana..itasaidia hata watu wazima na vijana kuskia hekma yake. alafu watu wanajumlisha zaidi na kuishi maisha ya utauwa kumuita Mungu sana kila siku
@yohanamaiga3031
@yohanamaiga3031 17 күн бұрын
Asante sana Rais Mstaafu Kikwete.
@RogersMasamalo
@RogersMasamalo 10 күн бұрын
Watanzania hata ufanye mazuri vipi,wanaangalia mabaya tu Mungu anawaona jamani.
@RogersMasamalo
@RogersMasamalo 10 күн бұрын
Watanzania hata ufanye kazi vp mazuri hawayaoni..mimi ni Kati ya watu ambao nilipenda kazi na uongozi na mabadiliko sekta ya biashara ya mitandao.
@jofreykivambe6520
@jofreykivambe6520 14 күн бұрын
JK mara ya mwisho tumeonana wakati wa maziko ya aliekuwa Waziri wa Fedha Mgimwa.....
@ndonjelaurent3182
@ndonjelaurent3182 17 күн бұрын
Mh Jakaya Mrisho Kikwete una akili kubwa sana
@phaustinemmao424
@phaustinemmao424 16 күн бұрын
Msoga
@huldamichael4445
@huldamichael4445 11 күн бұрын
Shati zuri nyie,dah
@shadrackmijjinga9793
@shadrackmijjinga9793 14 күн бұрын
Mh.Rais ukimwangalia nikama hazeeki ila umri inaongezeka ..soon atakuwa na 74yrs kweli kala chumvi nyingi last time nilibahatika kukaa meza kuu Moja pamoja nae pale Mlimani during Udsm marathon 2023 ..hakika Bado Mzee JK ana nguvu zakutosha.🙏
@jumambaga7825
@jumambaga7825 12 күн бұрын
Big brain kikwete huyu mzee anamafira mapana sana busara na hekma mungu ampe maisha marefu🤝🔥👍🏾
@More_Tv111
@More_Tv111 13 күн бұрын
Rais wetu mpendwa
@jofreykivambe6520
@jofreykivambe6520 14 күн бұрын
Anazeeka JK... usiseme hazeeki, anaazeeka mtu wetu
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 14 күн бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@matipukaAthumani
@matipukaAthumani 3 сағат бұрын
Rais bora kuwahi kutoa Tz
@saidkajagale3716
@saidkajagale3716 12 күн бұрын
Tutunze afya ni mtaji
@bonintajiri3958
@bonintajiri3958 14 күн бұрын
Mungu akubariki kiozi wetu
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 15 күн бұрын
Rais akasema hawa watu siwawez kwl uongoz kaz wale wenye D mbili tumemuelew mzee wa Msoga inabid tujiffunze namna ya kupata viongozi wazalendo kwl kwl hasa wale wapenda maendeleo ya watu wa chini lkn sio viongoz kama hawa ambao nachukulia raisi raisi tu vitu vya muhim kwenye jamii nzima sio kwa maslahi ya wachache
@EliaoleshengEa-pv8fu
@EliaoleshengEa-pv8fu 12 күн бұрын
Mimi sijui maana ya d mbili sjasoma nisaidie kk
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 4,3 МЛН
KUSTAAFU ANZA MAPEMA USISUBIRI MUDA UFIKE
5:01
Wasafi Media
Рет қаралды 2,2 М.
ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA
18:50
Eliud Samwel
Рет қаралды 2,3 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 67 М.
NILIMKABIDHI MAGUFULI MRADI WA SGR
6:53
Wasafi Media
Рет қаралды 4,3 М.
Русалка
1:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
Хотел вывести 🤣❤️
0:54
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 1,2 МЛН
100❤️
0:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 14 МЛН
Ужасное свидание🤯 #стальноймужик #жиза #еда
0:50
SteelMan XXL | Стальной мужик
Рет қаралды 2,9 МЛН