Mmmmm mh.Rais mstaafu tunakukumbuka sana hasa sisi watumishi wa umma. Mungu akujalie maisha marefu!
@ShadowScreamStudio15 күн бұрын
Jakaya ..always happier May Lord bless you mzee
@jumambaga782512 күн бұрын
Yani pale kazungumza kwa hekma sana mzee anajua hapa kuna wahuni washagawana kiwanja lakn sasa najua ninamamlaka ya kuwajibisha ila ngoja nitumie busara niende kwangu kujenga dahh lini huyu mzee tutaonana kuvuna busara zake😂🔥👍🏾
@aediayumgo854617 күн бұрын
Hongera sana wa SA Fi Kwa interview yenye akili,💪💪💪
@user-fr7jj1bo7y14 күн бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@aediayumgo854614 күн бұрын
@@user-fr7jj1bo7y Sasa wewe ulikuwa wapi nawe si ungeba😲
@ramadhanijuma413017 күн бұрын
Safi sana interview inamafunzo mazuri
@user-pu6pr5jt4n15 сағат бұрын
❤❤❤❤❤jakayaaa
@jedidahbintidaudi824112 күн бұрын
mnatakiwa muje na interview kuhusu afya kwa ujumla..huyu nasikia kuna vyakula hali na vingine anakula. alafu mazoezi anafanya sana..itasaidia hata watu wazima na vijana kuskia hekma yake. alafu watu wanajumlisha zaidi na kuishi maisha ya utauwa kumuita Mungu sana kila siku
@yohanamaiga303117 күн бұрын
Asante sana Rais Mstaafu Kikwete.
@RogersMasamalo10 күн бұрын
Watanzania hata ufanye mazuri vipi,wanaangalia mabaya tu Mungu anawaona jamani.
@RogersMasamalo10 күн бұрын
Watanzania hata ufanye kazi vp mazuri hawayaoni..mimi ni Kati ya watu ambao nilipenda kazi na uongozi na mabadiliko sekta ya biashara ya mitandao.
@jofreykivambe652014 күн бұрын
JK mara ya mwisho tumeonana wakati wa maziko ya aliekuwa Waziri wa Fedha Mgimwa.....
@ndonjelaurent318217 күн бұрын
Mh Jakaya Mrisho Kikwete una akili kubwa sana
@phaustinemmao42416 күн бұрын
Msoga
@huldamichael444511 күн бұрын
Shati zuri nyie,dah
@shadrackmijjinga979314 күн бұрын
Mh.Rais ukimwangalia nikama hazeeki ila umri inaongezeka ..soon atakuwa na 74yrs kweli kala chumvi nyingi last time nilibahatika kukaa meza kuu Moja pamoja nae pale Mlimani during Udsm marathon 2023 ..hakika Bado Mzee JK ana nguvu zakutosha.🙏
@jumambaga782512 күн бұрын
Big brain kikwete huyu mzee anamafira mapana sana busara na hekma mungu ampe maisha marefu🤝🔥👍🏾
@More_Tv11113 күн бұрын
Rais wetu mpendwa
@jofreykivambe652014 күн бұрын
Anazeeka JK... usiseme hazeeki, anaazeeka mtu wetu
@user-fr7jj1bo7y14 күн бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@matipukaAthumani3 сағат бұрын
Rais bora kuwahi kutoa Tz
@saidkajagale371612 күн бұрын
Tutunze afya ni mtaji
@bonintajiri395814 күн бұрын
Mungu akubariki kiozi wetu
@michaelmaziku99115 күн бұрын
Rais akasema hawa watu siwawez kwl uongoz kaz wale wenye D mbili tumemuelew mzee wa Msoga inabid tujiffunze namna ya kupata viongozi wazalendo kwl kwl hasa wale wapenda maendeleo ya watu wa chini lkn sio viongoz kama hawa ambao nachukulia raisi raisi tu vitu vya muhim kwenye jamii nzima sio kwa maslahi ya wachache