#TheStoryBook 'SIRI YA ROHO NA KIFO' - Unazo Taarifa za Uhakika za Maisha Ya Kifo? Ni DINI au SAYANSI ndio yenye majibu ya Uhakika? Professor @jamal_april ameandaa Makala Nzito Katika Episode Hii
Пікірлер: 1 200
@user-ee9ye3qt6l10 ай бұрын
Hongera Kaka Mungu akuzidishie neema hiyo,Mimi ni Emmanuel kutoka Mombasa Kenya nafuatilizia simulizi zako.🇰🇪🙏
@edwardgistave94884 жыл бұрын
Wanagpi wana amni mungu yupo
@Pedeshee014 жыл бұрын
Edward Gistave Mungu yupo kuna mrusi mmoja aliwahi kwenda mwezini na chombo chake baada ya mtu mmoja ambaye anaitwa Neil Amstrong naye huyu yasemekana pia alienda na chombo chake cha Apollo 11, sasa huyo mrusi alipofika mwezini akawa anaulizwa na wana anga wenzake hapa duniani vipi unamuona Mungu huko? Akasema simuoni Mungu wala nini ,wenzake wakamuuliza tena inamaana huko hakuna Mungu? Akajibu sioni Mungu wala nyayo za watoto wake wanapocheza,basi alipokuwa anataka kupanda chombo chake arudi duniani kutoka kule mwezini chombo kikapotea mpaka leo hakijulikani kimeelekea wapi.
@edwardgistave94884 жыл бұрын
@@Pedeshee01 da hatli
@hassanussi60544 жыл бұрын
Simba vs aliance
@onyangojoseph21803 жыл бұрын
Mungu yupo
@fastnetpangani66503 жыл бұрын
Mungu yupo, Hata kabla ya hizi dini, Jamii zilikuwa zinajua uwepo wa Mungu kupitia miungu ya mababu zao, Lakini baada ya ujio wa Dini za kigeni, wakatuaminisha kuwa Miungu tunayoiabudu ni Miungu ya Kishenzi. Ebu fikiri hao mababu zako ambao kupitia wao, wewe uliweza kuingia duniani, halafu Leo wanaitwa Washenzi, hatuoni kwamba in laana isiyosameheka ?
@iii3news4 жыл бұрын
there is a time come i realize this jamal is someone else touched by allah
@nomatter12394 жыл бұрын
Huy jama mwanzo nilikuwa na sema hajuwi kusimulia ila ss kanimaliz wanaomkubali jamal kam mm lik hp zifike kwake kam 20 hivi plss
@stanslaus77754 жыл бұрын
Basi ulikuwa fala 😏
@nomatter12394 жыл бұрын
@@stanslaus7775 dahhh kwa ss sio fala
@fabiantanzania57954 жыл бұрын
me mwenyewe mwanzo nkasema kama anakuja harafu anakataa
Kwani hizi like mnazoziomba mnazipelekaga wap!!!?i au kazi yake nn
@legendcallofduty4 жыл бұрын
Allah anasema kumwambia mtume (s.a.w) nawanapo kuuliza kuhusu roho waambie roho ni Amri ya Allah.. Nakubali story book
@papaesco51984 жыл бұрын
Kabisaa Mzee baba
@halimamis42363 жыл бұрын
Naam
@twalhaadam9524 жыл бұрын
Wakiuliza kuhusu roho au Sema hiyo ni Amri ya Allah tabaraka wataala. Hivi ndio tunavyojua sisi waislamu dini yetu haijawacha chochote cha Duniani wala cha kesho Akhera 👆😌الحمد لله على نعمة الإسلام ♥️
@AHLUMTANGANAUkhtyDyda91544 жыл бұрын
Enheee sema roho Min Amri Rabbih 🙏
@ashurahussein97484 жыл бұрын
Hakika
@mariamkissiwa25494 жыл бұрын
Exactly
@qassimayoub39544 жыл бұрын
Fact
@lightnessshayo17833 жыл бұрын
Hayaaa sawaa
@ezekielmungeleza46664 жыл бұрын
The story book 4life piga like Kama unamkubali Jamar April
@justapius94954 жыл бұрын
Nimeikubari
@ibdranation64893 жыл бұрын
Good
@raikiss36153 жыл бұрын
Namkubali Sana
@ramadhanmsafiri28893 жыл бұрын
Nakubal
@haikajohn75803 жыл бұрын
Sana tuuuu
@ctcacleophas97333 жыл бұрын
Daah...! Mwenyez Mungu nijalie Mwisho mzuri. Ameen🙏
@khaijakadija20822 жыл бұрын
Amiin
@hassanmatei4063 Жыл бұрын
Daah jamal April mung akupe Kila utakacho Cha kheri 🙏
@glorymakena7811 Жыл бұрын
Amen
@andrewsewangi87474 жыл бұрын
Bonge moja la kipindi Na hili litaleta competitive advantage kweny media.. Wasafi musiiache hii.. Wafatiliaji tupo sana
@sigifridaloyce71162 жыл бұрын
mustapha
@jacklinekiria64524 жыл бұрын
Kama unamkubali na story zake gonga like hapa
@bunnasib19614 жыл бұрын
Itabaki kubwa ni ndoto tu aseee Maana ye mwenyewe Allah anasema "Wanakuuliza kuhusu Roho Sema uwaambie Hiyo ni katika ujuzi wa Allah tu"
@latifahissa85814 жыл бұрын
Asanta🙏
@blukimusic51374 жыл бұрын
JAMANI SIKILIZENI HI YA MTIGA kzbin.info/www/bejne/f32ZnoysrNOkbas ALAFU NIAMBIENI NANI MKALI ME NAONA MTIGA AMEPATIA SANA ,,,EMBU SIKILIZENI HIYO YA MTIFA
@hamzasalah86284 жыл бұрын
V
@moussajuma46354 жыл бұрын
kbx👍
@irsamsailo5804 жыл бұрын
Upo Sawa
@rukiajumaa5743 жыл бұрын
Jamaaaniii na mie ninamsikiliza Jamal pia....wooteee wanaoangalia hapa sasa naombeni likes zenu 200 tu.
@drraizkidume8674 жыл бұрын
*Zamani walimponda sana, ila leo wote wanamsifia* *WCB atukosei* piga like hapa from Mozambique
@nasralameck50274 жыл бұрын
Achana na wasafi aise ata kama wangeniweka Mimi apo mngenipenda tuh mamaee
@dasilvajunior30164 жыл бұрын
punguza ulimbukeni wcb ndio nini
@markthegreat57894 жыл бұрын
Da Silva Junior Wcb no Baba Lao 😒😂
@Sadaamberlin83074 жыл бұрын
@@nasralameck5027 qq
@emanyamhanga27674 жыл бұрын
Wcb inahusikahuku kaeni na mziki huko
@abnizplatnumz55204 жыл бұрын
Ninaamini @Jamal ni bonge la jini Ametafta sifa sanaa humu ndani kuanzia voice hadi simulizi
@mwanaidimuhindi66714 жыл бұрын
Wangapi sasa wameanza kumuelewa huyu jamaa
@eliudignatio93784 жыл бұрын
Nimeanza kumuelewa
@pendomarco5724 жыл бұрын
Jamary
@ommyomar9073 жыл бұрын
anaongea upuuzi tuh na ujiinga
@samwelgeorge14653 жыл бұрын
Yuko vizuri
@samwelgeorge14653 жыл бұрын
Namkubari sana
@zacariaalihat97893 жыл бұрын
This man jamal is very great the way he explain things 👏
@ramadhanimkomeni95154 жыл бұрын
Daaaaaah eeeeh mungu tujaalie mwisho mwema
@mamuliciosrajab66644 жыл бұрын
Ameen In sha Allah
@sniper939993 жыл бұрын
Amini
@idymligo71313 жыл бұрын
Inawezekana
@captainswaicomedian84844 жыл бұрын
Kunasiri gan kwenye likes embu na mm nipen nifikishe like 100 nitoe ushuuda kwenye stor inayo fuata plz
@trailersmozzy52154 жыл бұрын
Duh maneno mengi ugonjwa sina neno kabisa bro unajua
@Hillary_Daudi_Mrema4 жыл бұрын
Doctor Duncan McDougall ametisha sana... Big Up
@maulidipeter61244 жыл бұрын
Professor Jamali mustadha is another level keep it bro you have fantastic talent.
@uzwaifakp73234 жыл бұрын
Jamal mashalah Allah amekujalia elimu hv unamke nikupe Dada angu bure pasina mahari yeyote wallah unaelimu kubwa sn
@abdullally37334 жыл бұрын
Wisilam haujaacha kitu kuhusu kifo chamwanadam kikubwa tusome na mwenyezimungu atujalie mwisho mwema
@jdjdudbsjdjd13524 жыл бұрын
Ameen yaa rabbi
@yusufmwangichannel66924 жыл бұрын
Amiin Thumma Amiin
@darhustler4 жыл бұрын
Insh' Allah
@hamisaramadhan58874 жыл бұрын
Amina inshaallah
@zananaally29634 жыл бұрын
Ilayhi amin yaa rabbi
@goodluckleonard15814 жыл бұрын
Jamal April ametufundisha kua Tusiyafanye mazoea kua ukweli usioweza kupingwa. 2. Tusikikatae kitu kabla hatujakipa muda, hamkua tayari kumpa muda Jamal. 3. Kila mtu ameumbwa na kipaji kikubwa si lazima uwe na sauti nzito Kama mtiga ndio utoe simulizi za kuvutia. 4.uamini uwezo wako wa ndani usitake watu wakuelewe mwanzoni wape muda wataelewa tu na hata wakielewa usiwasikilize kwa vile hawachelewi kubadilika. AMINI KATIKA UWESO WAKO
@mrbweichum4 жыл бұрын
*KAMA UNAIPENDA THE STORY BOOK ACHIA LIKE YAKO HAPA*
@bennympatanishi83414 жыл бұрын
Huwa ni saa ngapi katika channel ya wasafi?
@mrbweichum4 жыл бұрын
@@bennympatanishi8341 *KILA JUMAPILI*
@amaniuhwangi1173 жыл бұрын
You are good in the story book
@cyrusradge653 жыл бұрын
This is the main reason i watch wasafi TV.Jamal is the KING.Lots of love from Kenya.
@samwelylaurent43014 жыл бұрын
Jamal Jamal Jamal endelea kukaza na bii aliekataliwa mwanzo leo hii ushatuamnisha Kua kwenye maisha uwez pendwa nakila m2
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Jamani nimekisubiri hadi nikajiuliza Jamal ametusahau nini? But now that you are here Roho imetulia 😘😘😘😘😘😘😘😘 Good job April kama kawaida hutuangushi👏🏽👏🏽👏🏽💯💯💯
@wasasyjr43454 жыл бұрын
Saf xn walau we hjaomba like
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Wasasy Jr shukran sana 😘😘😘
@salvashaban91944 жыл бұрын
kajitahidi
@salumtamopa54804 жыл бұрын
Upo Mombasa Julia?
@martinfrancis98084 жыл бұрын
JAMAL APRIL AU PROFFESA SI MCHEZO HII STORY INA TISHA UKIWA MWENYEW GETO UNAWEZA UKIMBIE... HONGELA UNA FIKILIA SANA
@fainajaffary40704 жыл бұрын
😃😃😃
@ceomeja6704 жыл бұрын
😁😁😁
@sampartick22354 жыл бұрын
Mwanangu najikaza nipo gheto hp
@onlytecna94984 жыл бұрын
Kweli aiseee inatishaaa balaa
@chuimyaudidesigner16064 жыл бұрын
Ni balaaa
@abuuabuuamed53664 жыл бұрын
JAMALI UNAJUA SANA KAKA LEO NIMEJIKUTA NAJIFUNZA MENGI KUPITIA HII SIMRIDHI NAMUOMBA MUNGU ANIPE MWISHO MWEMA🙏🙏🙏
@leticiajohn31142 жыл бұрын
Amina
@mrbweichum4 жыл бұрын
*KAMA UNAMKUBARI JAMALI ACHIA LIKE YAKO HAPA*
@leylahassan87914 жыл бұрын
Nipo
@mrbweichum4 жыл бұрын
@@leylahassan8791 *Safi Sana*
@Chilumedia4 жыл бұрын
@@leylahassan8791 tupo
@mrbweichum4 жыл бұрын
Safi
@mrbweichum4 жыл бұрын
@@Chilumedia Safi sana kaka
@twalibtz19364 жыл бұрын
Duh leo nimeiwahi na mie tunaoipenda The Story Book Tujuane hapa like walau 5 tuh
@athumanijumapili38194 жыл бұрын
mtangazaji yupo makini
@OmarAli-wr1ti4 жыл бұрын
Dah kwa hakika Allah ndio amesema ukweli juu ya Haya KWAMBA kwa hakika hatujapewa elimu juu ya roho anaejua ni yy tu
@shabaniadolph73674 жыл бұрын
Duuuh proffesor . Sina uoga kabisa ila leo kwamala ya Kwanza nmeangalia usiku hi story imekuwa nzito na imeniogopesha. Ila tumependa story big up
@doreenchuwa36304 жыл бұрын
Mimi hapa naangalia jioni ila mweeee 🥴🥴🥴 naona shidaa kweli
@shabaniadolph73674 жыл бұрын
@@doreenchuwa3630 atar sana
@onlytecna94984 жыл бұрын
Hata mm mpk nmeogopa
@fatmaaljumaa57384 жыл бұрын
Msiongope jmn
@godfreirafael34654 жыл бұрын
N
@samsonjuma98214 жыл бұрын
Biblia inafafanua vizuri kabisa Kama ukisoma kitabu Cha Muhubiri 9:5-10 Na zaburi 146:4 like Kama umenipata
@salimmobiletechnology11384 жыл бұрын
Hyo ni imani yako ,kuna mwingine haamini hata hyo biblia
@ericmkami75784 жыл бұрын
Samson upo sahihi kabisa...ila kuna watu wahajui ndio maana wanashindwa kupata majibu ya maswali yao
Wapili kucomment kama unaikubali story book gonga like
@leylahassan87914 жыл бұрын
Niko
@kitundaradjabu153 Жыл бұрын
The story book ndo historia ambayo inatufunza vingi sana jamani
@abdallahhamza96894 жыл бұрын
Style yako umeibuni tofauti kabisa umepatia broo wengi wanatembelea viatu vya ananias edger lakini wewe umevaa viatu vyako Goo kamanda na jipa like mwenyewe sitaki zingine moja tu inatosha😁
@drbinagi4 жыл бұрын
This is exceptional journalism! Brilliant!
@imbatokamoyoni22094 жыл бұрын
Very fantastic awesome
@yusufmwangichannel66924 жыл бұрын
Mwenye kuijua siri ya roho ni Allah peke yake
@abelchuche44844 жыл бұрын
Allah ndo nan ww?
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Allah ndo mdudu gn
@mrjagenmuuz57044 жыл бұрын
@@euniceeunice7680 utakuja kumjua huyo mdudu unosema sıku utakapo kua unakata roho na hayo marungu ma moto utakaoenda kuıngızwa
@lightnessshayo17833 жыл бұрын
Ndio maana haijawa perfect ni practically ya duniani tu Kama wewe unajua hivyo umeskiliza vya nn si kwa sabbu ni binadamu tu na utabaki kuwaa binadamu
@khadijahali68563 жыл бұрын
@@euniceeunice7680 muogope Mungu dadangu wewe
@handsomekiller83254 жыл бұрын
Hatari sana wasafi aseeee daaaaa mtafika mbali sana nawaombea
@collinmhina22744 жыл бұрын
Jaman tusiwe wanafki huyu jamaa fundi kuliko mtiga Abdallah..aisee respect bro
@diouftomba72984 жыл бұрын
Unafeli
@princenyakurungwi69254 жыл бұрын
Kweli kabisa
@maireshsaid16283 жыл бұрын
Sasa mtiga si alikuwa msomaji tu huyu ndo alikuwa anamuadikia kika kitu
@Hbjamesblk4 жыл бұрын
Mwanzo nilikuwa nimekuzarahu na kusema kuwa siwezi kusikiliza unavyo simuliza maana nilisema ujuwi lakini kwasasa hacha nisema naomba razi kwako.maana nimekubali kazi yako brother na unafanya kazi kubwa mno
@kalobhantazi19504 жыл бұрын
Mi shabiki wa Mtiga abdallah lkn bro kwa hili umempiku parefu....big up bro
@mussanassoro7904 жыл бұрын
Multi talented programmer,coder ,story teller and author =Professor jamal appreciated bro
@barakavictor59594 жыл бұрын
Tumewahi Leo mie wa tatu naomba Like watu wangu
@pascleshayo97404 жыл бұрын
Like za nn Sasa mnateseka ga
@allenrweyemam66204 жыл бұрын
Kwan nyie mnaoombaga like .. huwa mnapataga faida gani tusaidiane kuelimisha . Au ndo mnaomba kitu ambacho hakina faida yoyot mnapoteza mda wenu bure?
@barakavictor59594 жыл бұрын
@@allenrweyemam6620 kwan na we ukitoa like unapata mateso gani ? Mpk unashinda kutoa like kitu ambacho hakihitaji nguvu wala akili
@frankmnyela5104 жыл бұрын
Itakuwa kuna IT fran inafanyika hawa jamaa watakuwa wanaziuza hizo like zetu wasenge yani sote tupo hapa kumsikiliza april afu utuombe like wakati we mwenyewe msikilizaji kama sisi.. Fungua account yako youtube uhadithie kama hv uone kama hata wa kuwaomba like utawapata sio mnakuja kwenye akaunt za wanaume kuomba like.. Eti utamckia mtoto wa kiume "naomba like" mtakuja mtuombe vocha... Haya jaman ili kumkomoa nipeni mimi hzo like
@kimsaid76434 жыл бұрын
Hizi like mnakulaga?
@aftermath52264 жыл бұрын
😄😄😄 Big Respect to you bro...waoh! Walahiii hii show unaipatia sanaaaa hadi mwili unanisisimka, keep it up bruda 💪💪
@alexboyofficial62952 жыл бұрын
😅😅
@user-rj1qn8us7z5 ай бұрын
May God help and guide those who are making research like this guy Jamal April,,, Furaha Barikiwa Kenya 🇰🇪,,,he is giving answers to questions I thought of when l was 3 years old.I believe in God and reincarnation. What comes round goes around.🤝🌍👍
@stansilauseliasi78834 жыл бұрын
Huyo jamaa ni hatari anatisha asante sana bro mungu akupe maisha marefu kwenye kazi yako
@khalidwaziri54034 жыл бұрын
Meeen I really love how you finish it.. mashallah..
@imanimwegenyaalum70364 жыл бұрын
NIKWELI hmna mwisho wa dunia ila tu nafsi kuhama mwenykutk kujua zaidi anitfute
@goldiebuzzbee83033 жыл бұрын
much love from kenya...... am watching for the first time n i love it
@yasinsaid84633 жыл бұрын
Love it
@ourmath87254 жыл бұрын
Jamal April 👏🏾
@mt360degreez74 жыл бұрын
Daa Jamal april Ni mnyama Sana story inasisimua Kama mm npo getto alone apa gafla had nywele zimesimama
@danielkayun70382 жыл бұрын
Like jamn kam NANYI mwapend the story book
@sixteenonline98114 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mkali sana kuzid mtiga
@jacksonmazinge80994 жыл бұрын
You're beyond a prodigy Professor Jamal! Kudos Wasafi
@dennisnyakundi68932 жыл бұрын
Sasa nimejua
@FredoBoy3 жыл бұрын
Sisi ambao tunaishi tuna juwa ya kuwa tuta kufa ila wafu hawajuwi lolote. Kifo ni kinyume ya kuishi(death is the opposite of life). Mfalme sulamani kaandika yakwamba wafu hawawezi fanya jambo lolote wakisha fariki (Ecclesiastes 9:5,6,10)Lazarus, hata kitabu cha Zaburi 146:4 kina sema kwamba mtu akifa hata akili na mafikiri yake yote hufa, yaani mawazo yake hupotea. Jesus's freind kafariki na ku kaa katika kaburi kwa siku inne (4days) soma Yohana 11:11-14, yesu haja sema eti lazaro iko mahali fulani, ila kasema lazaro ame fariki Yesu kamu fufua ila Lazarus (lazaro) alipo ulizwa kulikuwaje alipo kuwa kwa hizo siku inne? Lazaro akajibu akasema, nikama vile alikuwa tu ame lala katika usingizi mtupu, usingizi bila ndoto. Mtu akifa ame kufa. Musiwape watu tumaini amboyo sii sahihi. Mungu mwenyewe anajuwa ukweli kuhusu kifo
@shatepsofficial1708 ай бұрын
Kipi nilicho kosea ili nisipewe likes hata Siku moja? 😢
@Nzinyangwa4 жыл бұрын
And the best comes first','# JAMAL THE BEST'''#.
@shanicemasai55893 жыл бұрын
Wow leo nikaona sura yako. Asante kakangu. Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kathomugisa5412 жыл бұрын
Bonjour comment
@jackjonathan50094 жыл бұрын
nam pia nilikuw nacubilia nipeni like hizo twend pamoj
@jahome21174 жыл бұрын
Siwezi lala bila story book😜😜 Kenya her🇰🇪
@user-zb1xq6dv6l5 ай бұрын
Allah ameteletea mtafiti na muelimishaji hakika wewe ni kiumbe wa tofauti ulieshushwa kwaajili ya watu wenye akili za ziada ndomana tunakuelewa Allah mjalie mwisho mwema mja wako Professor Jamali
@hadyahidrissa59594 жыл бұрын
Ukifa umekufa hayo ni mawenge ya kuumwa 😆😆 Allah tupe mwisho mwema tu👏🏻 like 20 tu
@ZabronWambura-yb5jf2 ай бұрын
Kabisaa
@yasinali43774 жыл бұрын
Kifo na uhai upo baada ya kigo kuna maisha tujuwe ya kwamba wapo wanaadamu walokufa kipndi cha zaman cha mitume na watu wema wamesha kufa na kuzikwa lkm kaburini kwao ukifukuwa km wamekufa leo kwaiyo uhai upo badaa ya kufa na kuna maisha ya milele kwa wale waloamini na kutenda mema ndo watakao epukana na adhabu zake ALLAH (S.W)
@jumamohamedkidiaunga92244 жыл бұрын
April uko njema kaka now days unau kinyama.
@jabliisuleimani19824 жыл бұрын
Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema Roho ni katika mambo ya mola wangu mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu. Qur.17-85
@salmaalimusa5474 жыл бұрын
Naam
@abduljabbarmohammed41884 жыл бұрын
Hakuna kitu kama re incarnation. Once you die there is no coming back .
@Kazubassyathyvry894 жыл бұрын
Kila mtu akubari kuendana na imani yake,ndo vizuri zaidi.
@kapituomary23444 жыл бұрын
Kama nawewe unaichek usiku huu gonga leke hapa mh ina ogofya aisee!
@annethjosephat63493 жыл бұрын
😁😀😂
@glorymakena7811 Жыл бұрын
👍👍
@ricktales964 жыл бұрын
thanxs Bro nimejufunza mengi sana na Kiukweli Wanadamu Muogope Mungu Ndiye mjuwa siri zote amin.
@valentinanduku87184 ай бұрын
Kazi safi Sana kwa hii elimu
@godlovejohnmbedule42604 жыл бұрын
This man is very smart....Jamal ⭐
@norregaraper53834 жыл бұрын
Aisee katika story ulizo toa hii umeadisia vizuli sana pa1 kk Nataka kila muda niludie ludie
@mohammadsuleiman67084 жыл бұрын
Nikushaurin ndugi zangu mkitaka kujua ukweli khs maisha ya badae bada ya kufa nendeni kwenye quran tukufu matapata majibu yenu yte bila shaka
@simbajuma99714 жыл бұрын
Facts%100
@simbajuma99714 жыл бұрын
Quran mtaielewa tu. Mbona yote haya mtume saw alishasema??? Nafsi hutambua kila kitu kinachoendelea baada ya kifo. Hadi ukishawekw kwa kaburi unasikia mivuto ya miguu ikiondoka. Allahu akbar
@matesopascal35992 жыл бұрын
WOuu I'm really serious understand about this investigation
@seifzongo3204 жыл бұрын
Qur'an na Bible zimefafanua vizuri sana ...kifo ,maisha kabla ya kifo na mahali roho yeny matendo maovu inapoenda,roho nzuri mahal inapoenda,Mungu amefafanua mpaka siku ya Qyama na namna dunia itakavyoisha Mungu ametueleza pia daliliza Mwisho wa dunia,Mungu hakuna mahali alipotuacha...nadharia ya nafsi kuhamia kwa mtu mwngne n makusudio yake mwenyew Mungu,nmewahi angalia movie nying hasa za kizungu wanaizungumzia nafsi kuingia kw mtu mwngne pia Kuna movie ya kihind ya zaman inaitwa karan Arjun wameigiza hi nadharia ya kufa na kuzaliwa Tena na kuwa na kumbukumbu kuwa umewah kuishi duniani ,pia nyingne inaitwa omshanty om ya sharukh mohammed Khan pia imeizingumzia hi nadharia hapa ndio kweny like neno ndani ya Bible kuwa akili yake haichunguziki huenda huwa n mapenz tu Mw Mungu kumrudisha mtu dunian kupitia mwil mwngne all in all science imefail kujua chochote kuhusu kifo isipokuwa Mungu tu ndie aliyetueleza ukweli wote whether you like or no ... Gospel ambacho n KITABU Cha Allah imeelezea sana elimu ya rohoni na maisha yake na viumbe vilivyopo ktk ulimwwngu wa roho na sababu mpak mahal na hatma kwa ujumla ... Mungu Mwenyezi Acha aendelee kuitwa Mungu
@dastopadady24024 жыл бұрын
The ster book ndio ukweli halisi
@g.successhome43254 жыл бұрын
Jamal kama Jamal...bro kama professor kweli
@nickosimumba45414 жыл бұрын
jamani naombeni like sijawai pata like tupe vitu bross
@ismovickitogo25804 жыл бұрын
Jaman mm nlimkataa huyu jamaa nkasusa mpka kufatilia the story book tena ila baada kumfatilia kidogo wasafi tv nmerud tena mnipokee huyu jamaa kawa mtamu
@barryryoba14893 жыл бұрын
Hakika Umebarikiwa Uwezo Wa Kufikiri Kwa Upana, Na Uwezo Wa Kutafiti Mambo Kwa Upana.. Lakini Pia Uwezo Wa Kutafuta Uwiano Baina Ya Vitu Mbalimbali Unavyosimulia.!!! Mungu Akubariki Uendelee Kusaidia Watu Ktk Kujua Mambo Mazito Yaliyojificha. Naamini Watu Wengi Hapa Wanakushukuru Jinsi Unavyosimulia Kwa Ueledi Mkubwa.
@kevinboyse86284 жыл бұрын
This is the best channel ever ❤️ love from sweden 🇸🇪
@hammyboy114 жыл бұрын
Hello
@pamelauwera38304 жыл бұрын
kevin jem am in Stockholm where do u live.....
@kevinboyse86284 жыл бұрын
Pamela Uwera Hej, I live in Stockholm as well ( KISTA ) you ?
@pamelauwera38304 жыл бұрын
kevin jem Barkarby
@kevinboyse86284 жыл бұрын
Pamela Uwera do you live in barkarby?
@mwanaharakatimukoyaaywahma19403 жыл бұрын
Asante 🙏🏾 Kwa makala hii Safi
@elviraramadhan39004 жыл бұрын
Story ambayo haijasimuliwa na JAMAL hainivutii kusikiliza hata kdg 😂 penda sana Jamal 😘😍
@lyrics_forum4 жыл бұрын
Wallah Naenda kufungua Group FB Ili Tuelimishane
@fatmaaljumaa57384 жыл бұрын
Saw baba we fungua tuu
@issaibrahim77712 жыл бұрын
hivi inakuaje profesa jamal anaelezea kwa kiwahili, halafu mtu unakoment kwa kithungu, daaaa dunia kweli hadaaaulimwengu shujaaaa, hongera sana kaka
@tinejuxfrancis7294 жыл бұрын
Jamani kama mnamkubali jamal gonga like yako hapa
@georgelee98764 жыл бұрын
mtiga kashapotea daahh jamaa kajipanga kwer
@habarinamichezo64274 жыл бұрын
Sana
@richardjuma77084 жыл бұрын
Mtiga ajapotea broo
@sarantebo53994 жыл бұрын
Yuko wap
@elidadnyalema20644 жыл бұрын
Mondi ni mchawi yule
@historianyeusi95244 жыл бұрын
@@elidadnyalema2064 kakuroga?
@hillarykibet78733 жыл бұрын
Jamal hapo swa mungu akujalia mema kwa mafunzo
@fatimaabdulla13204 жыл бұрын
hiyo inaitwa ilham kuwa na kumbukumbu za mtu unakuwa unaletewa na allah ila sio wate broo ila sio roho ya mtu kuingia ktk mwili wa mtu huo unakuwa ushetani tu ila roho anahifazi mwenywe allah ila ukitaka kujuwa fatilia kisa cha miraji mtume alivo pandishwa mbinguni huko ndiko alivo zikuta roho za waja zimehifaziwa sehemu maalum yy tu ndie alie pata bahati ya kuona roho za waja wema na waovu wanavo azibiwa
@diamondplatnumz1394 жыл бұрын
Mmmy
@diamondplatnumz1394 жыл бұрын
Kwer
@mustaxiil......43822 жыл бұрын
Jamal is beyond talents vivid description, deep analysis,vast experience curiosity and being world class orator are genes lord bestowed upon him Mungu atu wazidishie
@hollysinner50623 жыл бұрын
Nairobi tunakubali The story book 📚 100% tuendelee hivyo hivyo
@jumanobo21284 жыл бұрын
Mbn watu wanapenda like zinasaidia Nini, ila huyu jamali yupo vizuri sanaaaaaa kwenye kusimulia
@estonemwanje53533 жыл бұрын
Tofauti na wanadamu, ikiwa wanyama waliokufa hawakupungukiwa uzito, Basi elewa kwamba kitabu kitakatifu kinasema kwamba wote wako na “ROHO MOJA" na hakuna aliyetofauti kwa mwingine. Mhu.3:18-20. Pili, utakapokufa wewe hutakuwa na fahamu yoyote wala hutaona na kusikia lolote kamwe. Mhu.9;5 Tatu, sahau kabisa masimulizi ya waota-ndoto Eti waliishi na kuzaliwa tena, hata mimi naweza kusimulia hadithi kama hizo kwa njia yenye kusadikisha. Kungalikuwa na kisa kama hicho angalau kimoja tu kwenye kitabu kitakatifu tungelikuwa na msingi wa Hilo. Tatu, sayansi haiwezi kamwe kuelewa mambo ya roho, Lakini Mungu huwafunulia watu fulani siri hiyo. Lakini tunatarajia ahadi ya Mungu ya ufufuo ambao haungewezeka bila mtu kufa kabisa.
@alanlugano33222 жыл бұрын
Kwani unaelewaje wakati yesu anapoulizwa kuhusu kurudi kwa Elia na kusema alishakwisharudi nae ndo Yohana mbatizaji?
@alanlugano33222 жыл бұрын
Usikosoe tu kirahisi kaz ya mtu ambayo ameifanyia utafiti kwa mda mrefu. Fanya utafiti kwanza
@abdullahallyalkindi71304 жыл бұрын
the story books always open people in mentally
@ummymiwa73034 жыл бұрын
Mwenyezimungu muumba wa ardh na mbingu ndio huyo huyo alieumba kilakitu ikiwemo kifo,yy anasema kuna maisha baada yakufa pale aliposema kumwambia kiumbe chake chema mtume muhammad kwamba * ewe nafsi ulietulia rudi kwa mola wako haliakua amekuridhia ingia kwa wajawangu watukufu na ingia kwenye pepo yang tukufu* kwaiyo kutokana na maneno haya ya mwenye kuumba viumbe na icho kifo na uhai pia,inaonesha nikweli kuna maisha baada ya kufa na wala watu hawana haja yakujisumbua kufanya utafiti kubwa tufanye yalomema
@yasinali43774 жыл бұрын
Kweli na tunuwe tukilala unajijuwa km unafnya nn ukiamka ndo unajikuta vyengine kufa na uhai upo mfano tukilala na kuamka
@awuorsewe73953 жыл бұрын
Nani bado yuko hapa. Sauti inakubali kabisa hongera kaka.Ameen asiafumbe
@aftermath52264 жыл бұрын
Prof. Jamal 😎😎
@ngakechauga86094 жыл бұрын
TOka StOry Book Imeanza Mbk LeO Ni Fire Tyu Pia Jamal We Unaxmulia XtOry Vzr Xn Na Unachimbua Vitu AmbovyO Tulikuwa Atujui Hanii