VIDEO YA MAKONDA ALIVYOCHARUANA na HUYU DADA ''HAUONGEI na MCHUMBA WAKO HAPA, UNAFANYA DHARAU?''

  Рет қаралды 45,243

Wasafi Media

Wasafi Media

Ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 53
@MfaumeIbrahim
@MfaumeIbrahim Ай бұрын
Mzee simamia KAZI za taifa mungu atakulipa watanzania wengi sio wazalendo
@AzaeliMbise
@AzaeliMbise 18 күн бұрын
Makonda apo unaenda vizuri.nitakua na imani na wewe sasa asante mungu akulinde
@user-st3tz7lk2k
@user-st3tz7lk2k 9 күн бұрын
Makonda pokea mauwa yakoo kaka uko vizurii ....I wish Rais wetu 2030❤
@vascombembela3632
@vascombembela3632 Ай бұрын
Tunahitaji Makonda wengine angalau 10 tu naamini nchi hii itakuwa vizuri. Hongera sana mheshimiwa Makonda kwani kazi unayofanya ni kubwa sana. Ni vema na watendaji wengine waige mfano huu kwani nchi hii inaibiwa sana!
@molenicharles9107
@molenicharles9107 13 күн бұрын
MH.RAIS HUYU MWAMBA ATUMIKIA KAZI YA UKUU WA MIKOA ASIZIDI MWAKA MMOJA KWA MKOA MMOJA...KILA MWAKA AWE ANAHAISHIWA MKOA MWINGINE ILI AINYOOSHE NCHI.💪💪
@craudiadominicus6995
@craudiadominicus6995 13 күн бұрын
Hakika ni Mungu amekuchagua mkuu wa mkoa,YEREMIA:1;5, Nakuombea Mungu akutunze mpaka utimize kusudi lake.lSAYA:54;17, ubarikiwe sana baba.
@user-zi4hx4jf3o
@user-zi4hx4jf3o 4 күн бұрын
Makonda njoo nahuku wizi upo mwingi sana Aisee
@happyfrancis9809
@happyfrancis9809 17 күн бұрын
Makonda ninoma sanaaa❤❤❤
@AngelaniAbwe
@AngelaniAbwe 8 күн бұрын
Mungu abariki Sana katika utumishi wake
@e11said23
@e11said23 10 күн бұрын
Kazi yako nzuri makonda lakini majibu yako kwauyo mama umemdhalilisha sio vizuri
@user-xx4kb6qz6p
@user-xx4kb6qz6p 14 күн бұрын
Mungu akulinde mheshimiwa uaminifu ni kitu kizuri na uongo unagharama yake
@Renatus-fk5lr
@Renatus-fk5lr 7 күн бұрын
Makonda ivi wewe mbona unaubongo wa hayati Mzee wetu magufuli ungekuwa unaungwa mkono taifa lisingelia na umasikini
@user-xb7ys5lf4x
@user-xb7ys5lf4x 7 күн бұрын
BwanaYesu akufunike Makonda
@boniphacepaskal4024
@boniphacepaskal4024 Ай бұрын
Viongozi wengne mnawapa vyeo visivyo wafaa kabsa tusidharilishane majukwaani babu hatujasomeshana Kila mtu kasomeshwa kwao kwahiyo Kama unataka Kiki tunakutoa wanaingia wengne
@bashayabenjamin-ot7xi
@bashayabenjamin-ot7xi Ай бұрын
Huna hoja
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 29 күн бұрын
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 29 күн бұрын
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
@benjaminierick8274
@benjaminierick8274 11 күн бұрын
Mungu akulinde
@AsumaniMAtanga
@AsumaniMAtanga Ай бұрын
Hello
@JumaAwamu
@JumaAwamu 12 күн бұрын
Anko oooooo chukuw kiti uwe raisiiiiii nimefulahiiii umakiini wakooooooo
@AsumaniMAtanga
@AsumaniMAtanga Ай бұрын
🇺🇸🙋🇹🇿
@sabrinaandrew4245
@sabrinaandrew4245 14 күн бұрын
Mh mkuu wa mkoa mwenyezi mungu akupe umri.mrefu.wewe ni mtu wa mwenyezi mungu napia ni mtu wawatu.yaani upo vzr kwa haki na kiswahili kizuri.Aiwezekani hajitambui mara sita mara nane mara 18.wanafuja pesa.Hakii waongo.hapo kasema kulipa bill sasa anasema kuingiza umeme.ushuru😳sasa ni ushuru au mafuta😳
@RajabuLanda
@RajabuLanda 29 күн бұрын
Wakowengi Dana watu Kama hawo Kira wiraya nnchi hiyi Mambo ya hovyo xana hayo sii happy tuu
@happyfrancis9809
@happyfrancis9809 17 күн бұрын
Nakutabiria utakuja kuwa rais wajamuhuri ya muungano wa tanzania naamin ilo kipenzi cha wengiii nchi hiii itanyooka sanaaa mungu akutunze ili litimie❤
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 12 күн бұрын
Bwana Yesu atende namsubiri Raisi ajaye kwenye wakati aliomsaza.
@CalmOmbreSky-iz2hj
@CalmOmbreSky-iz2hj 6 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@olivastephano2900
@olivastephano2900 Ай бұрын
Kamata wezi
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Ай бұрын
Makonda hana Tatizo, Tatizo lipo kwa anao wagusa..kuna Ubadhirifu mwingi Makonda anaufukua kwa hiyo atatafutiwa kila aina ya Chuki ili kumfitini
@user-oo2fx8nk5r
@user-oo2fx8nk5r Ай бұрын
Sasa Na yeye Anajieleza Sijisikia bati sjisijia mbao hapo au hayo madarasa yamejengwaa bila bati na mbao
@RajabuAmir-cl3ke
@RajabuAmir-cl3ke 10 күн бұрын
yani tanesco ana bei kuliko rea
@AnnaKessy-yr6gs
@AnnaKessy-yr6gs 9 күн бұрын
Tunataka watu kama hawa
@babyboy6310
@babyboy6310 15 күн бұрын
RC. Tuko pamoja fanya kazi. Nchi iko pabaya uongo umezidi. watu wamekuwa waongo
@HancyHancy-wn5et
@HancyHancy-wn5et 14 күн бұрын
Makonda sijui nisemeje tu
@ChescoJohn-gc8qt
@ChescoJohn-gc8qt 10 күн бұрын
Tunaomba Mr.rais amluhusu ndungu makonda awezekuhudumia kira mkoa mwaka mmoja mmoja make ni mtetez wa wanyonge
@RajabuAmir-cl3ke
@RajabuAmir-cl3ke 10 күн бұрын
mafundi hamuwalipi kwawati ndiomna wanaondka
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 21 күн бұрын
SUPANA ZIENDELEHE PEMBE ZOTE ARUSHA 😂😂😂
@user-td4le3xf7h
@user-td4le3xf7h 28 күн бұрын
Makonda alikuwa sahihi
@AloyceStnford
@AloyceStnford 11 күн бұрын
hakuna kamaww kwenye hiinchi
@AbdullyCharles
@AbdullyCharles 18 күн бұрын
Kaka gombania na uraisi
@msongojumbe486
@msongojumbe486 19 күн бұрын
Acha upuuzi militia kwanza
@user-rv2gb1ym9d
@user-rv2gb1ym9d Ай бұрын
🙆🙆🙆🙆 21:23
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 20 күн бұрын
Wizi mtupu😢
@mraeliphas9293
@mraeliphas9293 11 күн бұрын
huyu Bashite ni mpumbavu, bado anawadhalilisha wanawake, eti ana mke mzuri, nonsense.
@user-zi4hx4jf3o
@user-zi4hx4jf3o 4 күн бұрын
Pumbavuuuu nakuzalilisha kama anamwanamke mzuri wakwako mjinga kabsa mvuta bagi wewe kafie mbali uko huna Cha kusema msenge wew
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 28 күн бұрын
kama unaamini dada hana shida lakini Hiyo miwani ya kuogelea ndio inamfanya dada aonekane kuwa anakiburi , gonga like hapa 😂😂😂😂😂
@AbudulNasibu
@AbudulNasibu Күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-ys5iu3qu3u
@user-ys5iu3qu3u Ай бұрын
😅😅😅😅😅
@RajabuAmir-cl3ke
@RajabuAmir-cl3ke 10 күн бұрын
rajabu
@josephbosire4788
@josephbosire4788 6 күн бұрын
Mondamano
@user-xz7fm3sf7z
@user-xz7fm3sf7z 16 күн бұрын
😂aaa
@uzungupoint
@uzungupoint Ай бұрын
SOIL TEST 10M😂🙌
@user-pk5tu4be6r
@user-pk5tu4be6r 19 күн бұрын
Tunaomba ndugu Makonda ajje namkoa kigoma
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 76 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
0:30
MacDannyGun
Рет қаралды 25 МЛН
Страшно, когда ругается мама😰
0:10
Лиза Вертинская
Рет қаралды 1,8 МЛН
Respect 🤯💯 || Look This 👰🏻#shorts
0:29
GOJU Amazing 99+
Рет қаралды 20 МЛН
Живые куклы и злая племянница! Часть 3! #shorts
0:35
Страшно, когда ругается мама😰
0:10
Лиза Вертинская
Рет қаралды 1,8 МЛН
That Feeling When You Pick A Hangnail🫢💀
0:17
Giggle Jiggle
Рет қаралды 14 МЛН