Mzee simamia KAZI za taifa mungu atakulipa watanzania wengi sio wazalendo
@AzaeliMbise18 күн бұрын
Makonda apo unaenda vizuri.nitakua na imani na wewe sasa asante mungu akulinde
@user-st3tz7lk2k9 күн бұрын
Makonda pokea mauwa yakoo kaka uko vizurii ....I wish Rais wetu 2030❤
@vascombembela3632Ай бұрын
Tunahitaji Makonda wengine angalau 10 tu naamini nchi hii itakuwa vizuri. Hongera sana mheshimiwa Makonda kwani kazi unayofanya ni kubwa sana. Ni vema na watendaji wengine waige mfano huu kwani nchi hii inaibiwa sana!
@molenicharles910713 күн бұрын
MH.RAIS HUYU MWAMBA ATUMIKIA KAZI YA UKUU WA MIKOA ASIZIDI MWAKA MMOJA KWA MKOA MMOJA...KILA MWAKA AWE ANAHAISHIWA MKOA MWINGINE ILI AINYOOSHE NCHI.💪💪
@craudiadominicus699513 күн бұрын
Hakika ni Mungu amekuchagua mkuu wa mkoa,YEREMIA:1;5, Nakuombea Mungu akutunze mpaka utimize kusudi lake.lSAYA:54;17, ubarikiwe sana baba.
@user-zi4hx4jf3o4 күн бұрын
Makonda njoo nahuku wizi upo mwingi sana Aisee
@happyfrancis980917 күн бұрын
Makonda ninoma sanaaa❤❤❤
@AngelaniAbwe8 күн бұрын
Mungu abariki Sana katika utumishi wake
@e11said2310 күн бұрын
Kazi yako nzuri makonda lakini majibu yako kwauyo mama umemdhalilisha sio vizuri
@user-xx4kb6qz6p14 күн бұрын
Mungu akulinde mheshimiwa uaminifu ni kitu kizuri na uongo unagharama yake
@Renatus-fk5lr7 күн бұрын
Makonda ivi wewe mbona unaubongo wa hayati Mzee wetu magufuli ungekuwa unaungwa mkono taifa lisingelia na umasikini
@user-xb7ys5lf4x7 күн бұрын
BwanaYesu akufunike Makonda
@boniphacepaskal4024Ай бұрын
Viongozi wengne mnawapa vyeo visivyo wafaa kabsa tusidharilishane majukwaani babu hatujasomeshana Kila mtu kasomeshwa kwao kwahiyo Kama unataka Kiki tunakutoa wanaingia wengne
@bashayabenjamin-ot7xiАй бұрын
Huna hoja
@meshacknyandongo57729 күн бұрын
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
@meshacknyandongo57729 күн бұрын
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
@benjaminierick827411 күн бұрын
Mungu akulinde
@AsumaniMAtangaАй бұрын
Hello
@JumaAwamu12 күн бұрын
Anko oooooo chukuw kiti uwe raisiiiiii nimefulahiiii umakiini wakooooooo
@AsumaniMAtangaАй бұрын
🇺🇸🙋🇹🇿
@sabrinaandrew424514 күн бұрын
Mh mkuu wa mkoa mwenyezi mungu akupe umri.mrefu.wewe ni mtu wa mwenyezi mungu napia ni mtu wawatu.yaani upo vzr kwa haki na kiswahili kizuri.Aiwezekani hajitambui mara sita mara nane mara 18.wanafuja pesa.Hakii waongo.hapo kasema kulipa bill sasa anasema kuingiza umeme.ushuru😳sasa ni ushuru au mafuta😳
@RajabuLanda29 күн бұрын
Wakowengi Dana watu Kama hawo Kira wiraya nnchi hiyi Mambo ya hovyo xana hayo sii happy tuu
@happyfrancis980917 күн бұрын
Nakutabiria utakuja kuwa rais wajamuhuri ya muungano wa tanzania naamin ilo kipenzi cha wengiii nchi hiii itanyooka sanaaa mungu akutunze ili litimie❤
@brunidamadege374712 күн бұрын
Bwana Yesu atende namsubiri Raisi ajaye kwenye wakati aliomsaza.
@CalmOmbreSky-iz2hj6 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@olivastephano2900Ай бұрын
Kamata wezi
@angellomarcel5677Ай бұрын
Makonda hana Tatizo, Tatizo lipo kwa anao wagusa..kuna Ubadhirifu mwingi Makonda anaufukua kwa hiyo atatafutiwa kila aina ya Chuki ili kumfitini
@user-oo2fx8nk5rАй бұрын
Sasa Na yeye Anajieleza Sijisikia bati sjisijia mbao hapo au hayo madarasa yamejengwaa bila bati na mbao
@RajabuAmir-cl3ke10 күн бұрын
yani tanesco ana bei kuliko rea
@AnnaKessy-yr6gs9 күн бұрын
Tunataka watu kama hawa
@babyboy631015 күн бұрын
RC. Tuko pamoja fanya kazi. Nchi iko pabaya uongo umezidi. watu wamekuwa waongo
@HancyHancy-wn5et14 күн бұрын
Makonda sijui nisemeje tu
@ChescoJohn-gc8qt10 күн бұрын
Tunaomba Mr.rais amluhusu ndungu makonda awezekuhudumia kira mkoa mwaka mmoja mmoja make ni mtetez wa wanyonge
@RajabuAmir-cl3ke10 күн бұрын
mafundi hamuwalipi kwawati ndiomna wanaondka
@kilogreekachananawatuwasio405421 күн бұрын
SUPANA ZIENDELEHE PEMBE ZOTE ARUSHA 😂😂😂
@user-td4le3xf7h28 күн бұрын
Makonda alikuwa sahihi
@AloyceStnford11 күн бұрын
hakuna kamaww kwenye hiinchi
@AbdullyCharles18 күн бұрын
Kaka gombania na uraisi
@msongojumbe48619 күн бұрын
Acha upuuzi militia kwanza
@user-rv2gb1ym9dАй бұрын
🙆🙆🙆🙆 21:23
@gracekagoma323120 күн бұрын
Wizi mtupu😢
@mraeliphas929311 күн бұрын
huyu Bashite ni mpumbavu, bado anawadhalilisha wanawake, eti ana mke mzuri, nonsense.
@user-zi4hx4jf3o4 күн бұрын
Pumbavuuuu nakuzalilisha kama anamwanamke mzuri wakwako mjinga kabsa mvuta bagi wewe kafie mbali uko huna Cha kusema msenge wew
@BIGBOSS-hl3bu28 күн бұрын
kama unaamini dada hana shida lakini Hiyo miwani ya kuogelea ndio inamfanya dada aonekane kuwa anakiburi , gonga like hapa 😂😂😂😂😂