No video

RAIS SAMIA AMKABIDHI MAMA MAGUFULI NYUMBA MPYA ILIYOJENGWA NA SERIKALI

  Рет қаралды 203,143

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 164
@user-sn1qv9ic4f
@user-sn1qv9ic4f 5 ай бұрын
mama Mungu akubaliki sana Rais wetu
@Bihomebuja
@Bihomebuja 9 ай бұрын
For sure I need to learn more about this country. I was born in tz mpanda but I am not Tanzanian unfortunately. I pray for this country. God save Tanzanians
@richardasiimwe3726
@richardasiimwe3726 5 ай бұрын
Tanzania takes care of its people and leaders. Mwalimu Nyerere set the perfect example for the rest of Africa. GOD BLESS Tanzania.
@user-kh2bm4ug9t
@user-kh2bm4ug9t 9 ай бұрын
Ni jambo jema sana kwani hata Magufuli alikabidhi Kikwete nyumba iliyojengwa na serikali safi sana alianza na umeendelea safi sana ❤❤❤❤❤
@florachogo243
@florachogo243 9 ай бұрын
Asante sana mh Raisi kumkumbuka mpendwa wetu Mgufuli.na Mama yetu Janeth . nimefurahi sana Asante sana ❤❤❤
@nyandwijeanbosco8041
@nyandwijeanbosco8041 5 ай бұрын
God is in Tanzania and life starts with u I'm happy to be your neighbor. Rwandan citizens we all know that Tanzania be stars 🌟 of ourselves as Africans.
@wanzambinya8501
@wanzambinya8501 4 ай бұрын
I am not Tanzanian, but may Almighty God bless u abundantly Prezo mama Samia. Infact in the world world, I loved Dr. John Magufuli with all my heart. Mtetezi wa wanyonge, Zero corruption Man, and above all man of great faith. I pray one day to meet u on the glorious morning, the day of Resurrection.. rest in peace JPM
@SuleyGodwin-eg1fh
@SuleyGodwin-eg1fh 5 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu Rais wetu mpendwa we love yu
@shaluamagandi2184
@shaluamagandi2184 9 ай бұрын
Ni moyo wa upendo sana. Hongera sana Rais wetu. God bless you.❤❤
@profemmanuelmbennah5599
@profemmanuelmbennah5599 9 ай бұрын
Nimeguswa kwa namna ya kipekee na tendo hili na tukio hili. Asante sana Mhe Rais Dr Samia Suluhu Hassan. Mungu aendelee kukubariki na kuibariki nchi yetu. Balozi Prof Mbennah
@omwengajoseph4298
@omwengajoseph4298 4 ай бұрын
Rais Samia Suluhu asante sana,your respected your boss former president Magufuli let God bless you so much.
@augustinsafari5699
@augustinsafari5699 5 ай бұрын
Asante sana mama raisi,una roho ya upendo.from Rwanda
@maernov4257
@maernov4257 5 ай бұрын
Mama samia naomba na mm unijengee nyumba nipate kuishi na watoto wangu ❤
@user-sx2sz6sr8d
@user-sx2sz6sr8d 3 ай бұрын
hhhhhhhhhhh
@benterokuom8464
@benterokuom8464 4 ай бұрын
Hongera sana Rais wa Tanzania 🇹🇿 you're the best 👌🏽 👍🏾
@Chrisjosiah-xk9ds
@Chrisjosiah-xk9ds 5 ай бұрын
Hongera Mama Suluhu Hassan, huyo Shujaa aliye aga baada kutumikia nchi tukufu ya Tanzania anastahili kukumbukwa. Asante kwa tendo hili last busara, hongera. Nimebubujikwa na machozi mama asante. Nilimpenda Magufuli na ninamkosa sana.
@mungaiwamungai7383
@mungaiwamungai7383 4 ай бұрын
I just like how things are done in Tanzania....my eyes are tearing to see how good deeds follow them that live to serve even they are dead!! This reminded me of the day the Late President Magufuli gave his predecessors ( former Presidents) Peacocks bird. Long live my neighbor country.... from 🇰🇪
@judithdonald2023
@judithdonald2023 9 ай бұрын
Hongera sana raisi wetu mungu akubariki na mungu akakusimamie kwa Kila unachokifanya kwa ajili ya watanzania mpaka nimesikia mwili kusisimuka mama una upendo sana
@ustadhisimbula8622
@ustadhisimbula8622 9 ай бұрын
Mama yangu kipenz umefanya jambo kubwa kuwakumbuka walio tia mchango wao kwa serekali yetu na nchi yetu tanzania daima kaz iendelee
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 9 ай бұрын
Asante sanA kwakulitambua
@aliomar5518
@aliomar5518 5 ай бұрын
Mfano mzuri sana, hongera mama, hongera watanzania wote, baraka Tele idumu
@magorimagori9264
@magorimagori9264 9 ай бұрын
Dah...Mama amefanya kitu Kikubwa sana.Mungu mbariki sana Rais wetu Samia Suluhu Hassan
@desderylasway9810
@desderylasway9810 5 күн бұрын
Hongera cna mama nimelia cna kwa furaha❤
@muhetostylewilly5884
@muhetostylewilly5884 5 ай бұрын
God bless you Miss president to please the family of Magufuli. From Rwanda❤
@zissons3696
@zissons3696 5 ай бұрын
Tz asante kwa mfano mzuri wa maadili mema na huruma kwa Mjane wa makufuli.East Africans hope you are learning sonething from our TZ counterparts
@nelsonandrew2638
@nelsonandrew2638 9 ай бұрын
Ahsante mama samia! katika kulijenga Taifa ni vyema kuwakumbuka waasisi wa Taifa hili maana bila wao tusingefika hapa tulipo
@paulsavana5610
@paulsavana5610 9 ай бұрын
Honngera sana Rais MSS ni vigumu Kwa wengine kutenda jambo kama Hilo.
@christinadominic980
@christinadominic980 5 ай бұрын
Mama mungu akubariki kwa tendo hili kwa mama magufuli halijawahi tokea Mungu akusimamie popote ulipo maraika saba wainde mama yetu nuru yetu tuendelee kukuombea amina
@simionbirai7851
@simionbirai7851 9 ай бұрын
Hakika wetu wa Taifa hakika nakupenda! Mwl.Simon Birai
@nyandwijeanbosco8041
@nyandwijeanbosco8041 5 ай бұрын
My best country in world Tanzania mungu awarinde Tanzania Tanzania Tanzania means life
@jackmsuya6842
@jackmsuya6842 9 ай бұрын
Nimekupenda mama❤
@zenakioga6567
@zenakioga6567 9 ай бұрын
Maashaallah Mungu akuzidishie upendo na hekima raisi wetu, mama yetu mlezi
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 8 ай бұрын
kwani katoa kwa moyo wake au ndio sheria ya inchi kua kila rais akitoka madarakan lazma ajengewe nyumba au mnasahau kila rais akimaliza hua anapewa nyumba ?
@JonaTaus-gb3ep
@JonaTaus-gb3ep 7 ай бұрын
Mama munguakubaliki sana zaidi ya sana.nimekupenda sana.RAISI wetu
@alphason6004
@alphason6004 9 ай бұрын
Hatawaseme ila uyu ni mama mwenye upendo Kwa Kilatu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@richardbegga6679
@richardbegga6679 9 ай бұрын
ACHA UJINGA hiyo ni Sheria inamtaka ajenge
@saidfhamad
@saidfhamad 9 ай бұрын
​@@richardbegga6679Sio sheria kaka
@user-gc1ez1yv4k
@user-gc1ez1yv4k 5 ай бұрын
Mungu ameibariki.Tz kwa mengi tusiyoyajua.Rais anamjengea nyumba mke wa mtu !! Wanaostahili na wanaohitaji na wenye njaa hawajala achilia mbali kushiba.Mtu anampa mpita njia,bado raia hao hao wanakenua
@KhadijaSaid-vj9kh
@KhadijaSaid-vj9kh 5 ай бұрын
Mashawah mungu awazidishie upendo mama samia hongera sana
@user-fm8dp7we6m
@user-fm8dp7we6m 7 ай бұрын
Hakika nimekubuka baba wa taïfa la Tanzanie pôle sana wa Tanzanie n'a mungu amulinde Rais wenu🇨🇩🙏
@novatuserasmi4744
@novatuserasmi4744 5 ай бұрын
❤ karib Tz mkongoman😊😊❤
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 5 ай бұрын
Ni raisi wa inchi mwenye huruma. Laziyada sasa ni Mama. Nimependa sasa maneno haya. President John Pombe Magufuli.kaka yangu.Mulezi wangu, boss wangu.duhhh Mama asanti kwa kujali wajane na mayatima. Ubarikiwe mama
@user-ou2kw3rx3h
@user-ou2kw3rx3h 9 ай бұрын
hamujambo Ndugu zangu wa tanzania, mimi ninapo hongeya hapa mimi ni mkongo, nikiwa Kinshasa, jamani, kipindi ninapo hona ngisi maman mweshimiwa Raisi jambo aliyo fanyizia jamaa la Raisi Pombe Magufuli, machozi yame nidondoka, si famiye katika ulimwengu huu tunayo, kupata Raisi kama Pombe Magufuli, kwakweli hayupo, mimi katika maisha yangu ya hubinadamu, kuna watu wawili walio nihacha na ubovu wa moyo, 1=} Raisi John Pombe Magufuli. 2=} Stevens Kanumba. kwakweli hao watu wawili vraiment, niwatu awalio nihacha nahubovu wa moyo,. kila mara nihendapo kanisani nawahombeya msamaha kwa mwenyezi Mungu azidi kuwaremu, na roho zao zizidi kupumzika kwa Amani ya mwenyezi Mungu, je kwetu sisi wa kongo si mutuhombeye tupate Raisi kama mzee John Pombe Magufuli ? Jameni. sisi hapa Kinshasa tuna washukuruni.
@damaspmtz1018
@damaspmtz1018 7 ай бұрын
Kinacho fanyika ni sawa lakini unafiki tulio nao ni mkubwa Sana ndiyo maana chochote mnacho kifanya akitufanyi kuacha kuumia Baba yetu Jonh Pombe Magufuri alikiwa na kundi kubwa Sana la kuwasaidia wananchi na vizazi vingi vya Tanzania kwa maono yake na utendaji wake kataika Taifa lake bila kumumunya maneno Ulijitoa kwa lolote Mwenyezi Mungu amtangulie nafsi yake hi ishi milele Amen❤❤❤
@user-in6dx2zy1b
@user-in6dx2zy1b 9 ай бұрын
Rais wetu Allah akupe maisha marefu❤❤❤🙏🙏🙏🙏
@nyabuharajulian3306
@nyabuharajulian3306 5 ай бұрын
Tanzanian swahili is sooo nice .
@peteretlawe6269
@peteretlawe6269 5 ай бұрын
Ubarikiwe sana mama ndio maana nakupenda Sana kiukweli inafurahisha sana
@josephinamkono5183
@josephinamkono5183 5 ай бұрын
Yani Kuna watu wanaishi Kwenye nyumba za makuti juu nachini mnaenda kumjengea nyumba magufur kwahio hawana nyumba Mungu anawaona
@user-dc1qh3nm5s
@user-dc1qh3nm5s 9 ай бұрын
Asante mama tuko na ww ukitaja magu unaponya roho yangu
@SifaBushashire
@SifaBushashire 4 ай бұрын
Hooooongera mama samiya suluu mungu akuongezeye Siku zakuishi...🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@thomskasong2839
@thomskasong2839 9 ай бұрын
God bless tanzania🇨🇩🇹🇿
@anastazialushika
@anastazialushika 9 ай бұрын
Kwer mh rais unajal sana Hongera Kwa kumkumbk mama maguful
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 9 ай бұрын
Inchi yenye utu,uzalendo,asante na heshima kwa viongozi.
@kennedykimaiwua1938
@kennedykimaiwua1938 4 ай бұрын
Hakika jonn pompe makufuli alikuwa mtu wa watu ...ila mola awe nae kwa kona yy aliko watanzania wote hakika mlimpoteza kiongozi bora..ila mola awe nae...
@naishiyemollel
@naishiyemollel 9 ай бұрын
Mungu akubariki sana kwa kumkumbuka mama yetu mama makufuli
@naishiyemollel
@naishiyemollel 9 ай бұрын
Mama Samia safiiiii sana songa mbele mama
@ramadhanhamzah2804
@ramadhanhamzah2804 5 ай бұрын
Yaani mmuuwe alafu mrudi kumpongeza na nyumba upuzi mtupu we need magu back stop being fooled the tanzanian people
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 9 ай бұрын
MAMA SAMIA ASANTE SANA KWA MOYO WAKO
@Kawumah
@Kawumah 7 ай бұрын
DKT Samia Suluhu Hassan has a good heart❤.
@LuisAgostinhoMonteiro
@LuisAgostinhoMonteiro 9 ай бұрын
Mungu amubariki sana raisi Samia suluh
@RajaburashidiKamsweka
@RajaburashidiKamsweka 5 ай бұрын
Namunga mkono mama mkono kumpa nyumba mama janeti
@nkurunzizafidel2026
@nkurunzizafidel2026 3 ай бұрын
serekali yatanzania safi ❤ wanyamulenge
@user-sg4dc3ow5x
@user-sg4dc3ow5x 6 ай бұрын
Maashaalah hasbilah Allah akulinde mama etu Samia suluh
@GeradinaJohn
@GeradinaJohn 6 ай бұрын
Nakupenda mama Janeth Magufuli❤❤❤❤
@shabansumaiya4770
@shabansumaiya4770 4 ай бұрын
Tuangaliane nahuku vijijini hali za miundombinu nimbovu tunapata tabu mvua zikinyesha wakulima wanapata tabu kusafirisha mizigo yao inayoacha mupate kodi kwanini viongozi wachuni hawatembei kwenye vijijini navitongoji kujua hali zawananchi
@agnesmangale3163
@agnesmangale3163 9 ай бұрын
Upandacho ndicho uvunacho...Rip Magufuli❤
@LugelaMweya
@LugelaMweya 9 ай бұрын
Mama ame Fanya jambo jema Kwa msaada mkubwa Kwa mama janeti magufuli ame mtoa kwenye upweke ambao alikua nao Ivo basi tuwa pende wtu walio pata shida yoyote hile tuwa thamini Sana
@user-lq6hq4jr6t
@user-lq6hq4jr6t 9 ай бұрын
Kumbe magufuli alikuwa hajajenga.mimi ni nani nijenge
@rosejohn8494
@rosejohn8494 4 ай бұрын
we mjiga Jenga nyumba au hujui mweny nacho huongezewa hahahaha
@ImanueliNyela
@ImanueliNyela 5 ай бұрын
Mungu.akubariki.sana
@user-jr6fc1xx6p
@user-jr6fc1xx6p 5 ай бұрын
Huyu mama nampenda yaaan Mungu akutunze mama samia❤❤❤❤
@verombwambo3703
@verombwambo3703 5 ай бұрын
Hongera sana mama yetu Mungu akubariki sana.
@naomiilikeyoursongmumgodbl6748
@naomiilikeyoursongmumgodbl6748 5 ай бұрын
Mama mungu akubarika sana kwa kukumbuka mama
@muhirebruno
@muhirebruno 5 ай бұрын
Mama suluhu hassan mugu akupe Maisha malefu akumbuke mate matendo ya mikono yako ❤
@marthaanton6967
@marthaanton6967 9 ай бұрын
Hakika hili jambo mama umefanya lamaana sn Asante mno
@ignasnyembo1256
@ignasnyembo1256 8 ай бұрын
Haina maana yeyote selikali yako kujenga hiyo nyumba. Umemgeuka john halafu unadanganya uma kwa kujenga hicho kijumba
@NumberOneProductions
@NumberOneProductions 9 ай бұрын
Mama Mungu akubariki
@davidlinerevelation3427
@davidlinerevelation3427 5 ай бұрын
Thank you maam
@asteriashios1852
@asteriashios1852 5 ай бұрын
Kweli wewe ni mama mnzuri hao ma rais waliopita wakiwajengea waliopita labda makofuli
@user-lk5ln4fi8h
@user-lk5ln4fi8h 9 ай бұрын
Kazi nzuri sana! Mama yetu.
@sifunimakongwa
@sifunimakongwa 5 ай бұрын
Mama pokea baraka za yeah Mimi much Sifuni kutoka mkwawa chuo kikuu mwenyekiti uvccm mstaafu kilolo.
@khadijayusuph2634
@khadijayusuph2634 4 ай бұрын
Siyo maamuzi ya Samia" Bali katekeleza walokwisha jipangia" k ama utakumbuka hapo nyuma alipewa Mzee Ruksa"mh Benjamin na hata Jk alishapokea yake"kwa Hy ni muendelezo
@FlorideUwamaliya
@FlorideUwamaliya 5 ай бұрын
Mungu ababarikiye mama
@jumanzumbi1215
@jumanzumbi1215 5 ай бұрын
Mama samia Mungu akubariki sana.
@user-ry8bx1fr7v
@user-ry8bx1fr7v 5 ай бұрын
binadam ndiyo tunavotakiwa kukumbuka wame mungu akuweke mama😊
@hamudseif
@hamudseif 9 ай бұрын
Kwan magufuli ilikuwa hana nyumba ktk uhai wake. Ilikuwa wamepanga familia yake au nivipi
@ibel4lf
@ibel4lf 9 ай бұрын
Alikuwa nazo ila sheria inataka ajengewe yeyote anayetoka kwenye uraisi kwa namna yeyote ile
@leokamil6284
@leokamil6284 9 ай бұрын
Hii nchi ya Mabepari weusi alafu majinga kusifia ,vitu vya kushangaza sana hivi .Raisi anatunzwa hadi kifo chake na bado familia yake itatunzwa na mda wote madarakani analipwa ati kisha anajengewa nyumba. 🚮wakati kuna watanzania wazee wanataabika huduma hospitali shida maisha magumu .Tuache kujilimbikizia mimali ambayo hamtazikwa nayo kuweni na hofu ya Mungu acheni ubinafsi nyinyi.
@hamudseif
@hamudseif 9 ай бұрын
@@ibel4lf Izo sheria wamejizitunga wao wenyew ili wajilimbikizie mali tu
@leokamil6284
@leokamil6284 9 ай бұрын
Wana sheria za kibinafsi na kikandamizaji na zimeshamiri Tanzania mno .Viongozi wanatamaa kupindukia hawana shida watoto wao wanaajira Serekalini humo wengine mawaziri alafu huwezi kuona ata wanaaibu wakasema hiyo ni sheria kandamizi.Hayo mahekalu mnayotujengea jengeeni vituo vya kulea wazee au watoto yatima .Kwa ubinafsi wao na tamaa za mali wanachekelea na kuona wajinga ndio waliwao .Siku CCM ikitoka madaraka tunaomba umrudishe mlivyojilimbikizia.Na hiyo ndio sababu kubwa mnapambana msitoke kwa kuwabeba wakuu wa ulinzi ili wasiwatoe lakini ipo siku watu watachoka dhulma na dharau zenu
@MariaStepheno-it5jp
@MariaStepheno-it5jp 9 ай бұрын
Hata iwe gorofa bado naumia sana baad ya kufarki baba mambo mengi yalivurigika
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 9 ай бұрын
sasa Rais unanza kuingia kwenye hisia za watz unajua JPM anapendw na watanzania hakitokea mtu akampuuza anaumiza mioyo sasa unaelekea kuzuri
@jailosefelix6324
@jailosefelix6324 9 ай бұрын
Naomba rais wangu ambaye sijawahi kuona kasoro yake bali ni mpambanaji kila sakati kwa Taifa lake ,naomba mkumbuke mtoto mmoja wa baba yetu JPM aingie kwenye serikali ,either Ubunge na uwaziri !
@willibroadwilliam6798
@willibroadwilliam6798 4 ай бұрын
Kwa ilo Watanzania tumeshukuru sana.
@David-zb6kk
@David-zb6kk 9 ай бұрын
Naona mnavyomsifia huyo mama yenu utafikiri amemnunulia kwa pesa zake
@MaureenAdhiambo-el2ks
@MaureenAdhiambo-el2ks 5 ай бұрын
Huku kenya kuna chuki..sijui kama wanaeza jengea raila nyumba...
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 5 ай бұрын
Kwani Raila aliwahi kuwa Rais hizi nyumba ni kwa marais wastaafu tu sijuwi huko kenya ipo sheria ya kujengea wastaafu nyumba😅😅😅
@rosejohn8494
@rosejohn8494 4 ай бұрын
mwambien ajenge mwenywe
@kitsao-kb3qk
@kitsao-kb3qk 9 ай бұрын
Nampongeza mama Samia suluu Kwa kitendo hiki
@rajabushaibu1068
@rajabushaibu1068 4 ай бұрын
Yani wew mama ela za selikali ni ela zetu sasa kwann mnajengeana nyumba
@niyilagirarusibamayila1005
@niyilagirarusibamayila1005 9 ай бұрын
Kwa niaba ya familia ya JPM tunakushuru Mhe. Rais kwa kutukabidhi jengo hili. Pia tunawashukuru wananchi wa Tanzania kwa kutambua mchango wa Hayati JPM kwa Taifa letu!
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 5 ай бұрын
JPM utakumbukwa na watanzwnia daima milele.
@topfootballtrends6517
@topfootballtrends6517 9 ай бұрын
Ameshindwa Kuyaishi aliyoacha Marehemu Jpm kutoa Nyumba ni Unafiki mtupu
@tomfoss9613
@tomfoss9613 9 ай бұрын
Waouh!! Safi saana Mama Samia
@julianamwinami4739
@julianamwinami4739 5 ай бұрын
sijui nimelia Nini
@salummussa1139
@salummussa1139 5 ай бұрын
Pole juli
@julianamwinami4739
@julianamwinami4739 5 ай бұрын
@@salummussa1139 asantee 🙏🏿
@alexsambia3046
@alexsambia3046 4 ай бұрын
Waooooh najiskia vzr snaa
@BalboAlain
@BalboAlain 5 ай бұрын
Super sana maman
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 7 ай бұрын
Peyaneni mali za umma iko siku mtajibu na masikini watunzeni majumba kibao bado munaongezana
@SifaBushashire
@SifaBushashire 4 ай бұрын
Mama ni mama🇨🇩🇨🇩
@AMENMUSHI-wt4li
@AMENMUSHI-wt4li 4 ай бұрын
Ubarikiwe
@channyanjen9047
@channyanjen9047 9 ай бұрын
Unatuma😭😭Maman samia Allah azidi kukubariki kwakila jambo🙏🙏🙏🙏🙏
@donvanpierre4369
@donvanpierre4369 5 ай бұрын
hivi nyumba ya nyerer ndioo ile ile iliyojengwa n jeshi au ....
@makambosafari2746
@makambosafari2746 9 ай бұрын
Imeenda ❤❤❤😊
@R0gastianEzekiel
@R0gastianEzekiel 9 ай бұрын
Mungu ni mwema
MHE. RAIS SAMIA AKITEMBELEA KABURI LA HAYATI DKT. JOHN MAGUFULI
9:42
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 628 М.
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 162 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,4 МЛН
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
Schoolboy Runaway в реальной жизни🤣@onLI_gAmeS
00:31
МишАня
Рет қаралды 3,9 МЛН
UTAPENDA VAZI NA VIBE LA RAISI MAMA SAMIA KWENYE HII HARUSI.
3:17
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
CHOZI LAZIMA LIKUTOKE | ALICHOKIFANYA MWANDALE MBELE YA RAIS SAMIA
17:27
JPM Awabana Mawaziri, Askofu 'Njooni Hapa Mchangie Msikiti'
14:14
Global TV Online
Рет қаралды 355 М.
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 162 МЛН