RAIS MAGUFULI AMGEUZIA KIBAO MKE WAKE NA KUMSHUSHA KWENYE GARI, AMPA NENO HADHARANI

  Рет қаралды 369,068

Uhondo TV

Uhondo TV

5 жыл бұрын

Пікірлер: 107
@josephmsabila3229
@josephmsabila3229 5 ай бұрын
Kama ulikuwa unamkubali DK magufuli gonga like hapa
@oscarkasalile9367
@oscarkasalile9367 4 жыл бұрын
Kamaliza Bundles kwa kufuatilia hotuba zako Nipo tayari nilale na njaa lakini Nijue kwa kila siku unaongea nini. Tulichelewa kupata Rais kama wewe. Najua wewe ni zawadi kutoka kwa mungu Mungu akulinde.
@mourinhonyamkekwa3568
@mourinhonyamkekwa3568 6 ай бұрын
Comment yako nimesoma zaidi ya mara tatu alikua zawadi kutoka kwa mungu 😢
@emmanuelellymwakyusa2900
@emmanuelellymwakyusa2900 4 ай бұрын
una akili saaana mpwa JPM alale pema
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 3 ай бұрын
Daah pole sana
@stevek8318
@stevek8318 5 жыл бұрын
I'm addicted to watching this man from kenya. Wa! Ndume huyu mh. Rais
@masunga.m.nimloddar9819
@masunga.m.nimloddar9819 5 жыл бұрын
magufulification big up father the best one in the world🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@thobiasmosha60
@thobiasmosha60 4 жыл бұрын
Rais huyu Mungu ambariki sana.
@princesstaes5483
@princesstaes5483 5 ай бұрын
Nimelia mnooooo😭😭😭😭😭😭we miss you daddy😢
@user-vz7fc3vn9p
@user-vz7fc3vn9p 5 ай бұрын
Mimi mkenya lakini namlilia hayati raisi John pombe Magufuli. JEMBE kweli. Pumzika Kwa amani.
@emmanuelellymwakyusa2900
@emmanuelellymwakyusa2900 4 ай бұрын
missing you BABA haya mambo yalitupa UNDANI na UWAZI wa mambo ya WAJIBU na HAKI 😢😢😢😌😌😌🇹🇿
@user-dh4iz7yb8h
@user-dh4iz7yb8h 5 ай бұрын
Bado tunakupenda mungu ailaze rohoyako mahal pema pepon
@user-bc5kt8hh6n
@user-bc5kt8hh6n 5 ай бұрын
Hakika watanzania hatutapata kiongoz kama JPM tuzidi kumuombea alale salama😭😭😭😭
@SamwelJoseph-yk3cw
@SamwelJoseph-yk3cw 5 ай бұрын
Tutampata tuu
@luciasospeter6897
@luciasospeter6897 3 ай бұрын
Tuombe Mungu .kwenye stoo yake naamini anao wazuri atatupa
@RizikiRiziki-bp6dx
@RizikiRiziki-bp6dx Ай бұрын
​@@luciasospeter6897Amen
@user-nj1jd6zy8e
@user-nj1jd6zy8e 5 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi Rais wetu
@user-bl2yf8ef4t
@user-bl2yf8ef4t 4 ай бұрын
Laisi mwenye hakili ndomaana uchumi ulipanda alikua na hakilii❤
@josephnchunga3019
@josephnchunga3019 5 жыл бұрын
Najivunia kuwa na rais mwenye maono
@Satier47
@Satier47 6 ай бұрын
Lala salama mzee ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@sahiamohamed9172
@sahiamohamed9172 5 жыл бұрын
Siku zote hizo ulikua wapi mzee pole sana kwa kazi nzito unayoifanya wanaokupinga niwale ambao wamekosa myanya ya upigaji lkn wala usishtuke coz bado ni wachache ktk nchi yetu na hawana nafasi
@HusseinNyongaa
@HusseinNyongaa 6 ай бұрын
Allah ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi
@nuurinkluge7584
@nuurinkluge7584 4 жыл бұрын
🤣🤣👍🙏magufuli his are very good Präsident..anajua hizo watu zinapata lushwa kwaleo zakomeshwa pesa yote yatoka 💝
@name-or9ll
@name-or9ll 5 жыл бұрын
hapa kazi tuu
@ClementinakapewaLihepali-pg5lo
@ClementinakapewaLihepali-pg5lo 7 ай бұрын
Baba tunakukumbuka tunalia kwa uzslendo wako Mungu akuangszie nuru ya USO wake
@neemabenedictor8211
@neemabenedictor8211 17 күн бұрын
Aiseee umetuweza baba🙌
@katabaroonlinetv9688
@katabaroonlinetv9688 6 ай бұрын
Dah sikumpa Kura lakini naijutia Kura yangu Bora ningempa tu
@yonakantu6577
@yonakantu6577 5 жыл бұрын
Uras mzuri sanaa
@noelbryson7840
@noelbryson7840 5 жыл бұрын
Yona Kantu Kwanin Yona 🤩🤩
@allysanya8346
@allysanya8346 5 ай бұрын
Uzidi kuendelea kupumzka kwa Amani mpendwa wetu wa muda wote
@benjaminjackson8567
@benjaminjackson8567 5 ай бұрын
Hata Mimi ningechangia laki 5 maaana ni kwa maendeleo ya Taifa letu uzalendo kwanza, RIP John
@user-ot3cg8lb4l
@user-ot3cg8lb4l 8 ай бұрын
Hakuna kama Magu😢😢😢😢😢😢😢
@naibei_Tv
@naibei_Tv 5 ай бұрын
Hii pressure haiko kenya 🇰🇪 mmekaliwa Tanzania
@naibei_Tv
@naibei_Tv 5 ай бұрын
Ruto anaambia moses kuria aty milioni moja na kuria amesema 10k 😅😅😅😅
@user-wq7pk2xy7n
@user-wq7pk2xy7n 12 күн бұрын
Ndio rais pekee wa kujivunia.ana upeo wa maendeleo.pumzika baba
@marymgimwa
@marymgimwa Ай бұрын
Nakupenda❤🎉 yaani
@davidojuok1608
@davidojuok1608 6 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi
@johannesmaloda8209
@johannesmaloda8209 5 жыл бұрын
Wananchi tunamuelewa...wapigaji mtaelewa tu
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 4 ай бұрын
😢😢😢 Tanzania nchi yangu
@user-zv5dg1bq3p
@user-zv5dg1bq3p 5 ай бұрын
Miami ni mukindi nikukumbush baba wawanyonge nalia Mungu nakuomba umulaze kwaamani Raisi ayati magufuli tunakukumbuka😭😭😭😭😭
@emmanuellkfightforjusticea2474
@emmanuellkfightforjusticea2474 6 ай бұрын
R I P uncle Mumagu
@getrudankole7445
@getrudankole7445 5 ай бұрын
Bado unaishi moyoni mwangu😢😢😢😢😢😢😢😢 JPM
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Ай бұрын
Dady I miss you
@JamalDaudlulyeho
@JamalDaudlulyeho 29 күн бұрын
Hakuna Kama uncle magu
@user-pd9cl2xl7e
@user-pd9cl2xl7e 5 ай бұрын
Très bien
@user-ru6gm2cc5n
@user-ru6gm2cc5n 3 ай бұрын
Mzee aacheni akumbukwe tu kwa mengi aliyoyafanya
@user-kp5jy5fy8y
@user-kp5jy5fy8y 8 ай бұрын
😮jamani
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 7 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭
@user-jm1kg4lu7b
@user-jm1kg4lu7b 8 ай бұрын
Kipenzi chetu rais nimekukumbuka sana machozi Yamejaa
@samwelpaschal9527
@samwelpaschal9527 5 жыл бұрын
Hadi mke duh
@gamingbanana9792
@gamingbanana9792 4 жыл бұрын
Magufuli gelezai kwimba mwanza
@user-en8tj4yz6n
@user-en8tj4yz6n 3 ай бұрын
Yan tumepoteza mtu muhim sana mungu kwann lakini?
@user-jm1kg4lu7b
@user-jm1kg4lu7b 8 ай бұрын
Cha upole mama kipenzi chetu. Maumivu. Ni makubwa roho inauma sana
@percysaid5974
@percysaid5974 6 ай бұрын
Hakuna wakufananishwa na Magufuli
@gorgonusshayo920
@gorgonusshayo920 3 ай бұрын
Maguful huwez kumfananisha kimaendeleo na mtu yeyote . wengn wapuuz tuu
@salehemkomwa4400
@salehemkomwa4400 5 жыл бұрын
piga kazi haswaaa kama selikali yako ulivyoahidi ila Kilosa mifugo yatusumbua sanna wanalisha mashamba Yetu maksudi mkoa WA morogoro tunaumizwa
@user-gf9ej9nd8m
@user-gf9ej9nd8m 6 ай бұрын
Pumzika kwa amani ❤❤❤❤
@KasboyKasmos-md2us
@KasboyKasmos-md2us 5 ай бұрын
😰😰😰mungu akurehemu huko ulipo baba
@pollylazmartins9690
@pollylazmartins9690 3 ай бұрын
Mcheshi mno prezzo
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 2 ай бұрын
Rais kama huyu atoke wapi rest in dear brother
@Itarusii
@Itarusii 5 жыл бұрын
Eti nazitoa hapa hapa!😥😥
@user-yq1fd6ok7e
@user-yq1fd6ok7e 5 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 3 ай бұрын
Mie huwa inaniuma sana nilitamani uwepo
@rehmadamian8020
@rehmadamian8020 5 жыл бұрын
Duh ukiwa na Rais ujipange tu maana hapa kazi tuu
@zullaicamatola3431
@zullaicamatola3431 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Raaaha sana wachangishe hao
@user-mh9zr8bf6s
@user-mh9zr8bf6s 3 ай бұрын
Tutakukumbuka kwer. Baba yetu hakuna mwingine ira tumuombee makonda kwabadae aje aombe kura awe rahis
@rukiamadati336
@rukiamadati336 5 ай бұрын
Mmh Sina hata chakusema
@user-yq1fd6ok7e
@user-yq1fd6ok7e 5 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23 🎉
@yusuphndavanje5192
@yusuphndavanje5192 Ай бұрын
Tumemiss sana haya mambo ila ndo basi tena
@LydiaMartine-pm4mw
@LydiaMartine-pm4mw 2 ай бұрын
Alekumsalam😅😅😅😅 nmecheka kwel
@vanessajames2192
@vanessajames2192 3 ай бұрын
I miss you JPM
@user-yr5zg5mq5c
@user-yr5zg5mq5c 5 ай бұрын
Matokeo kidato cha nne 3:19
@user-yq1fd6ok7e
@user-yq1fd6ok7e 5 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23
@charlesnzwalla3001
@charlesnzwalla3001 Жыл бұрын
BABA 😢😢
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 2 ай бұрын
Continue rest in peace
@user-yq1fd6ok7e
@user-yq1fd6ok7e 5 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba ulifanya kazi mpaka nikupenda lkn ulivyoondoa baba mambo........
@user-ko7pv1fh7d
@user-ko7pv1fh7d 5 ай бұрын
Hakika mungu Akutunze uko uliko baba twakulilia bado daddy 😭😭
@JudithMaziku-tf5os
@JudithMaziku-tf5os 7 ай бұрын
Pumzika. Kwa. Amani
@alfredinacharles6243
@alfredinacharles6243 28 күн бұрын
Endelea kupumzika kwa amani baba
@mbugamatulanya2149
@mbugamatulanya2149 6 ай бұрын
Lala xalama baba 🙌 😂😂
@bushbabytz
@bushbabytz 6 ай бұрын
Inauma natokea kumpenda huyu magufuli baada ya kufa jamani😢
@PaschalMbuzi
@PaschalMbuzi 6 ай бұрын
😅
@vanessajames2192
@vanessajames2192 3 ай бұрын
😂😂sasa kwann umechelewa kumpenda
@user-hh8sc7lu8q
@user-hh8sc7lu8q 4 ай бұрын
Kipenzi cha watanzania
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 4 ай бұрын
Msifikiri sijaoa.
@MastoMasto-iy4nl
@MastoMasto-iy4nl 4 ай бұрын
😢
@petrochundu9702
@petrochundu9702 3 ай бұрын
😢😢
@djkellyb5539
@djkellyb5539 4 ай бұрын
Kiswahili sanf
@alize-nm6jw
@alize-nm6jw 7 ай бұрын
Rip
@WolfW-ip6jl
@WolfW-ip6jl 3 ай бұрын
KWELI HUYU ALIKUA MWAMBA, MWAMBA KWELI KWELI.
@charlesnzwalla3001
@charlesnzwalla3001 Жыл бұрын
Baba
@user-kw5tj2bz6g
@user-kw5tj2bz6g 6 ай бұрын
Makin
@EmanuelMwandete-tm9jn
@EmanuelMwandete-tm9jn 6 ай бұрын
No no
@NakuYona-kn6us
@NakuYona-kn6us 2 ай бұрын
Mh Rip
@twikaleomary5801
@twikaleomary5801 6 ай бұрын
😂😂😂😂
@jahabdallah1829
@jahabdallah1829 5 жыл бұрын
Mimi m south Africa jah hundred thousand rand cash I have it lit now where can send please tomorrow we love you makufuli ninakuja uko morongoro kungombea cheo chochote kile kenye kuwatengenezea wana inchi maisha mazuri kwa watanzania wezetu kwasababu raisi wetu mapema kabisa kampeni tunapita bira jasho mabari amkeni mnayoyataka mnayapata kanali umesiki mjomba sasa tufanyaje kuusu mabaria wote to support makufuli wanaoishi south Africa wote Johannesburg pritoria Portethabert witbank Cape town Durban east London free state wote Richard bay tunaona fanya kazi baba wakimbie kama Sisi walivyo tukimbiza kukumbilia inchi za watu kwa siasa zao kwa manufa yao na watoto zao makufuri awee oyee 👍👏👏
@zainabkizenga8118
@zainabkizenga8118 4 жыл бұрын
Waooooo
@johnmartin1705
@johnmartin1705 3 ай бұрын
Ni wachache
@husseinswalehe3837
@husseinswalehe3837 4 ай бұрын
Hakuna kama wewe hata tokea
@barakaabel482
@barakaabel482 6 ай бұрын
Hahahahhahaaaaaaa
@ShabaniNanyanga-ch3uz
@ShabaniNanyanga-ch3uz 6 ай бұрын
P
@Hashim-tp2ti
@Hashim-tp2ti 5 жыл бұрын
Ni kick hzo
@happynesssamwel2917
@happynesssamwel2917 4 ай бұрын
Bora Kiki zinazofanya kazi Kuliko Kiki za mabango nchi nzima Zisizofanya kazi
@ChudeSinkala-tn4wo
@ChudeSinkala-tn4wo 5 ай бұрын
Pppppppppppppp
@user-yq1fd6ok7e
@user-yq1fd6ok7e 5 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23
@user-yq1fd6ok7e
@user-yq1fd6ok7e 5 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba ulifanya kazi mpaka nikupenda lkn ulivyoondoa baba mambo........
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 6 МЛН
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 27 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 34 МЛН
Hotuba ya Askofu Gwajima 'iliyomvunja mbavu' Rais Magufuli bungeni
9:30
Daily News Digital
Рет қаралды 484 М.
Mbarikiwa ahoji. Je kikwete atakamatwa na simu yake...
20:02
Kikosi kazi cha injili🎖
Рет қаралды 313 М.
MCHUNGAJI HANANJA AMPA ONYO MASANJA KUISHI NA MWANAMKE MSALITI
16:56
SIMULIZI ZONE
Рет қаралды 106 М.
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
He has no power to use all tomato 🍅 🤣
0:15
LikvoFam
Рет қаралды 2,4 МЛН
The end for King Kong's bully #funny
1:00
Sơn Hero
Рет қаралды 9 МЛН
Пацан Шокировал Родителей 😂
0:27
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 4,1 МЛН
ЗА ЧТО ЧАПИТОСИКИ ТАК?🥹🥹
0:22
Chapitosiki
Рет қаралды 32 МЛН