Kama ulikuwa unamkubali DK magufuli gonga like hapa
@oscarkasalile93674 жыл бұрын
Kamaliza Bundles kwa kufuatilia hotuba zako Nipo tayari nilale na njaa lakini Nijue kwa kila siku unaongea nini. Tulichelewa kupata Rais kama wewe. Najua wewe ni zawadi kutoka kwa mungu Mungu akulinde.
@mourinhonyamkekwa35686 ай бұрын
Comment yako nimesoma zaidi ya mara tatu alikua zawadi kutoka kwa mungu 😢
@emmanuelellymwakyusa29004 ай бұрын
una akili saaana mpwa JPM alale pema
@lucasmhagama81663 ай бұрын
Daah pole sana
@stevek83185 жыл бұрын
I'm addicted to watching this man from kenya. Wa! Ndume huyu mh. Rais
@masunga.m.nimloddar98195 жыл бұрын
magufulification big up father the best one in the world🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@thobiasmosha604 жыл бұрын
Rais huyu Mungu ambariki sana.
@princesstaes54835 ай бұрын
Nimelia mnooooo😭😭😭😭😭😭we miss you daddy😢
@user-vz7fc3vn9p5 ай бұрын
Mimi mkenya lakini namlilia hayati raisi John pombe Magufuli. JEMBE kweli. Pumzika Kwa amani.
@emmanuelellymwakyusa29004 ай бұрын
missing you BABA haya mambo yalitupa UNDANI na UWAZI wa mambo ya WAJIBU na HAKI 😢😢😢😌😌😌🇹🇿
@user-dh4iz7yb8h5 ай бұрын
Bado tunakupenda mungu ailaze rohoyako mahal pema pepon
@user-bc5kt8hh6n5 ай бұрын
Hakika watanzania hatutapata kiongoz kama JPM tuzidi kumuombea alale salama😭😭😭😭
@SamwelJoseph-yk3cw5 ай бұрын
Tutampata tuu
@luciasospeter68973 ай бұрын
Tuombe Mungu .kwenye stoo yake naamini anao wazuri atatupa
@RizikiRiziki-bp6dxАй бұрын
@@luciasospeter6897Amen
@user-nj1jd6zy8e5 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi Rais wetu
@user-bl2yf8ef4t4 ай бұрын
Laisi mwenye hakili ndomaana uchumi ulipanda alikua na hakilii❤
@josephnchunga30195 жыл бұрын
Najivunia kuwa na rais mwenye maono
@Satier476 ай бұрын
Lala salama mzee ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@sahiamohamed91725 жыл бұрын
Siku zote hizo ulikua wapi mzee pole sana kwa kazi nzito unayoifanya wanaokupinga niwale ambao wamekosa myanya ya upigaji lkn wala usishtuke coz bado ni wachache ktk nchi yetu na hawana nafasi
@HusseinNyongaa6 ай бұрын
Allah ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi
@nuurinkluge75844 жыл бұрын
🤣🤣👍🙏magufuli his are very good Präsident..anajua hizo watu zinapata lushwa kwaleo zakomeshwa pesa yote yatoka 💝
@name-or9ll5 жыл бұрын
hapa kazi tuu
@ClementinakapewaLihepali-pg5lo7 ай бұрын
Baba tunakukumbuka tunalia kwa uzslendo wako Mungu akuangszie nuru ya USO wake
@neemabenedictor821117 күн бұрын
Aiseee umetuweza baba🙌
@katabaroonlinetv96886 ай бұрын
Dah sikumpa Kura lakini naijutia Kura yangu Bora ningempa tu
@yonakantu65775 жыл бұрын
Uras mzuri sanaa
@noelbryson78405 жыл бұрын
Yona Kantu Kwanin Yona 🤩🤩
@allysanya83465 ай бұрын
Uzidi kuendelea kupumzka kwa Amani mpendwa wetu wa muda wote
@benjaminjackson85675 ай бұрын
Hata Mimi ningechangia laki 5 maaana ni kwa maendeleo ya Taifa letu uzalendo kwanza, RIP John
@user-ot3cg8lb4l8 ай бұрын
Hakuna kama Magu😢😢😢😢😢😢😢
@naibei_Tv5 ай бұрын
Hii pressure haiko kenya 🇰🇪 mmekaliwa Tanzania
@naibei_Tv5 ай бұрын
Ruto anaambia moses kuria aty milioni moja na kuria amesema 10k 😅😅😅😅
@user-wq7pk2xy7n12 күн бұрын
Ndio rais pekee wa kujivunia.ana upeo wa maendeleo.pumzika baba
@marymgimwaАй бұрын
Nakupenda❤🎉 yaani
@davidojuok16086 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi
@johannesmaloda82095 жыл бұрын
Wananchi tunamuelewa...wapigaji mtaelewa tu
@shijandobehe49534 ай бұрын
😢😢😢 Tanzania nchi yangu
@user-zv5dg1bq3p5 ай бұрын
Miami ni mukindi nikukumbush baba wawanyonge nalia Mungu nakuomba umulaze kwaamani Raisi ayati magufuli tunakukumbuka😭😭😭😭😭
@emmanuellkfightforjusticea24746 ай бұрын
R I P uncle Mumagu
@getrudankole74455 ай бұрын
Bado unaishi moyoni mwangu😢😢😢😢😢😢😢😢 JPM
@enockmaige8936Ай бұрын
Dady I miss you
@JamalDaudlulyeho29 күн бұрын
Hakuna Kama uncle magu
@user-pd9cl2xl7e5 ай бұрын
Très bien
@user-ru6gm2cc5n3 ай бұрын
Mzee aacheni akumbukwe tu kwa mengi aliyoyafanya
@user-kp5jy5fy8y8 ай бұрын
😮jamani
@mamboshepea88887 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭
@user-jm1kg4lu7b8 ай бұрын
Kipenzi chetu rais nimekukumbuka sana machozi Yamejaa
@samwelpaschal95275 жыл бұрын
Hadi mke duh
@gamingbanana97924 жыл бұрын
Magufuli gelezai kwimba mwanza
@user-en8tj4yz6n3 ай бұрын
Yan tumepoteza mtu muhim sana mungu kwann lakini?
@user-jm1kg4lu7b8 ай бұрын
Cha upole mama kipenzi chetu. Maumivu. Ni makubwa roho inauma sana
@percysaid59746 ай бұрын
Hakuna wakufananishwa na Magufuli
@gorgonusshayo9203 ай бұрын
Maguful huwez kumfananisha kimaendeleo na mtu yeyote . wengn wapuuz tuu
@salehemkomwa44005 жыл бұрын
piga kazi haswaaa kama selikali yako ulivyoahidi ila Kilosa mifugo yatusumbua sanna wanalisha mashamba Yetu maksudi mkoa WA morogoro tunaumizwa
@user-gf9ej9nd8m6 ай бұрын
Pumzika kwa amani ❤❤❤❤
@KasboyKasmos-md2us5 ай бұрын
😰😰😰mungu akurehemu huko ulipo baba
@pollylazmartins96903 ай бұрын
Mcheshi mno prezzo
@maryaugustor69832 ай бұрын
Rais kama huyu atoke wapi rest in dear brother
@Itarusii5 жыл бұрын
Eti nazitoa hapa hapa!😥😥
@user-yq1fd6ok7e5 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............
@mohammadoman89633 ай бұрын
Mie huwa inaniuma sana nilitamani uwepo
@rehmadamian80205 жыл бұрын
Duh ukiwa na Rais ujipange tu maana hapa kazi tuu
@zullaicamatola34315 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Raaaha sana wachangishe hao
@user-mh9zr8bf6s3 ай бұрын
Tutakukumbuka kwer. Baba yetu hakuna mwingine ira tumuombee makonda kwabadae aje aombe kura awe rahis
@rukiamadati3365 ай бұрын
Mmh Sina hata chakusema
@user-yq1fd6ok7e5 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23 🎉
@yusuphndavanje5192Ай бұрын
Tumemiss sana haya mambo ila ndo basi tena
@LydiaMartine-pm4mw2 ай бұрын
Alekumsalam😅😅😅😅 nmecheka kwel
@vanessajames21923 ай бұрын
I miss you JPM
@user-yr5zg5mq5c5 ай бұрын
Matokeo kidato cha nne 3:19
@user-yq1fd6ok7e5 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23
@charlesnzwalla3001 Жыл бұрын
BABA 😢😢
@aminamwivita76902 ай бұрын
Continue rest in peace
@user-yq1fd6ok7e5 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba ulifanya kazi mpaka nikupenda lkn ulivyoondoa baba mambo........
@user-ko7pv1fh7d5 ай бұрын
Hakika mungu Akutunze uko uliko baba twakulilia bado daddy 😭😭
@JudithMaziku-tf5os7 ай бұрын
Pumzika. Kwa. Amani
@alfredinacharles624328 күн бұрын
Endelea kupumzika kwa amani baba
@mbugamatulanya21496 ай бұрын
Lala xalama baba 🙌 😂😂
@bushbabytz6 ай бұрын
Inauma natokea kumpenda huyu magufuli baada ya kufa jamani😢
@PaschalMbuzi6 ай бұрын
😅
@vanessajames21923 ай бұрын
😂😂sasa kwann umechelewa kumpenda
@user-hh8sc7lu8q4 ай бұрын
Kipenzi cha watanzania
@eliasthomas15474 ай бұрын
Msifikiri sijaoa.
@MastoMasto-iy4nl4 ай бұрын
😢
@petrochundu97023 ай бұрын
😢😢
@djkellyb55394 ай бұрын
Kiswahili sanf
@alize-nm6jw7 ай бұрын
Rip
@WolfW-ip6jl3 ай бұрын
KWELI HUYU ALIKUA MWAMBA, MWAMBA KWELI KWELI.
@charlesnzwalla3001 Жыл бұрын
Baba
@user-kw5tj2bz6g6 ай бұрын
Makin
@EmanuelMwandete-tm9jn6 ай бұрын
No no
@NakuYona-kn6us2 ай бұрын
Mh Rip
@twikaleomary58016 ай бұрын
😂😂😂😂
@jahabdallah18295 жыл бұрын
Mimi m south Africa jah hundred thousand rand cash I have it lit now where can send please tomorrow we love you makufuli ninakuja uko morongoro kungombea cheo chochote kile kenye kuwatengenezea wana inchi maisha mazuri kwa watanzania wezetu kwasababu raisi wetu mapema kabisa kampeni tunapita bira jasho mabari amkeni mnayoyataka mnayapata kanali umesiki mjomba sasa tufanyaje kuusu mabaria wote to support makufuli wanaoishi south Africa wote Johannesburg pritoria Portethabert witbank Cape town Durban east London free state wote Richard bay tunaona fanya kazi baba wakimbie kama Sisi walivyo tukimbiza kukumbilia inchi za watu kwa siasa zao kwa manufa yao na watoto zao makufuri awee oyee 👍👏👏
@zainabkizenga81184 жыл бұрын
Waooooo
@johnmartin17053 ай бұрын
Ni wachache
@husseinswalehe38374 ай бұрын
Hakuna kama wewe hata tokea
@barakaabel4826 ай бұрын
Hahahahhahaaaaaaa
@ShabaniNanyanga-ch3uz6 ай бұрын
P
@Hashim-tp2ti5 жыл бұрын
Ni kick hzo
@happynesssamwel29174 ай бұрын
Bora Kiki zinazofanya kazi Kuliko Kiki za mabango nchi nzima Zisizofanya kazi
@ChudeSinkala-tn4wo5 ай бұрын
Pppppppppppppp
@user-yq1fd6ok7e5 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23
@user-yq1fd6ok7e5 ай бұрын
Ndo inavyotakiwa baba ulifanya kazi mpaka nikupenda lkn ulivyoondoa baba mambo........