No video

The Story Book : Kisa Cha SHETANI Kufukuzwa MBINGUNI (Kwa Mujibu wa WAISLAMU)

  Рет қаралды 377,313

Wasafi Media

Wasafi Media

5 ай бұрын

The Story Book : Kisa Cha SHETANI Kufukuzwa MBINGUNI (Kwa Mujibu wa WAISLAMU)
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 983
@editorfrank7471
@editorfrank7471 17 күн бұрын
hii story imeniingia sana ,nimekugundua kwenye biblia tumesoma kwa kias kidog sana ,namshukuru Mungu kwa ajili yako ndgu endelea kutuelimisha.
@elsiekainyu4794
@elsiekainyu4794 4 ай бұрын
Who subscribed to this channel because of Jamal April (professor)🇰🇪💕
@Abdalakangile1
@Abdalakangile1 4 ай бұрын
WASAFI MEDIA nawapongeza sana kwakuturudishia THE STORY BOOK yaani kama mlikuwa mkiona nlivyo kuwa nateseka 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@salimtabu4703
@salimtabu4703 4 ай бұрын
Not only u bro
@THOMASNYAGIROTV
@THOMASNYAGIROTV 4 ай бұрын
Kiukweli haya ni zaidi ya mateso, mimi kama Mkenya, nawakubali sana wasafi media
@abdallamwakesi8503
@abdallamwakesi8503 4 ай бұрын
Qq
@aminata3702
@aminata3702 4 ай бұрын
Wakenya kwani mnaelewa kiswahili
@user-rn5yt6mf7u
@user-rn5yt6mf7u 4 ай бұрын
​@@aminata3702😂😂😂
@FaustineAntony
@FaustineAntony 4 ай бұрын
Ee ,Mungu uliye mkuu nifanye niyatende yaliyo mema katika jina la Yesu , Ameen,!❤
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@lilfourcreatives
@lilfourcreatives 4 ай бұрын
Am top 30 to connect ... I have been waiting for this .. From Kenya with love 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ... Show some love my people
@simonkamau5370
@simonkamau5370 4 ай бұрын
Great bro
@haidarykufakunoga8869
@haidarykufakunoga8869 4 ай бұрын
Jamal hakika uko vizuri. MOLA WETU MTUKUFU ALLAH S.W. AKUZIDISHIE maarifa na uelewa zaidi. IN SHAA ALLAH. AMINA.🙏🙏🙏🙏
@JaffaryDege
@JaffaryDege 4 ай бұрын
Amin
@user-yu9gy6dg3g
@user-yu9gy6dg3g 3 ай бұрын
ameen
@MrJuma-in5io
@MrJuma-in5io 3 ай бұрын
Allah (S.W.T)
@user-yu9gy6dg3g
@user-yu9gy6dg3g 3 ай бұрын
shukran sana profesa wangu shekhe jamal mustapha kwakweli unafaa kuwa hata muhubiri kwa kutangaza maneno matukufu ya mwenyezi mungu (ALLAH) yaani hadi inafurahisha kukuskiliza mwamba april, tulete na mengine kama hivi yenye kuusiana na dini yetu tukufu yaani udini uwemwingi sana usijali nani anafurahi au nani anakasirika big up sana brother.
@hamadihamisiambale8943
@hamadihamisiambale8943 4 ай бұрын
Napenda story zako mwamba one ❤ nakupta nikiwa doha Qatari.kama unamkubali professor gonga like yako ❤
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 4 ай бұрын
Hii kiboko ilivyoishia da Shaitwani kweli kiboko, Sanaiya st 29
@hamadihamisiambale8943
@hamadihamisiambale8943 4 ай бұрын
St15
@kimjey0012
@kimjey0012 4 ай бұрын
Nakubali bloody Asia city- Grandmall 🤜
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 4 ай бұрын
@@kimjey0012aah karibu sana mwendo wa mguu tu kama dak 10
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@bendera8589
@bendera8589 Ай бұрын
Mimi wakwanja nampenda mungu namaamuzi yake yote nmimi nitamuomba musamaha nikiwa nimetambua kosa langu kwan Mimi nwamungu kwamimi siomukamilifu niyeye anikamilishe Mimi nwakwanja kusemahayo yote like yangu jameni kwani Mimi aijachelewa
@Yesslarry
@Yesslarry 4 ай бұрын
Amen mungu hana dini kila kiumbe kila chenye mwili kila chenye roho pumzi maisha ni cha kwakwe tumshukuru yeye mkuu kuliko vyote amen
@LouisianaRiri
@LouisianaRiri 4 ай бұрын
Hiyo ni iman yetu” Muslim Kama hana Dini iyo ni Imani yako
@gyeong5972
@gyeong5972 4 ай бұрын
Polo sana Mungu afunguwe akili yako
@AlexMumoMalonza
@AlexMumoMalonza 4 ай бұрын
From Kenya,Nakuru Niko Tuned....Mungu akulinde Jamal
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 4 ай бұрын
Alex
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@vedastusrobert7744
@vedastusrobert7744 4 ай бұрын
Wa kwanza kutoka mkoa wa mara wilaya bunda munipe likes ata 20 tu zinatosha ❤
@Nyabwari536
@Nyabwari536 4 ай бұрын
Mungu akubariki zaidi Prof. kwa kweli nimejifunza mengi kutokana na utafiti unaotuletea .Nakupa likes kwa wingi
@freenaturetv
@freenaturetv 2 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@AhmadyMpaluka
@AhmadyMpaluka 4 ай бұрын
Hakika Uislam ndy dini iiyojitosheleza#SUBAHANALAH
@danieljohn3836
@danieljohn3836 4 ай бұрын
Umepagawa wewe
@Mlangira1993-ge9es
@Mlangira1993-ge9es 4 ай бұрын
Msujudie na kumtumikia Mungu Peke yake Dini haitokupeleka peponi hivyo tupendane Sisi Kwa Sisi na tusijione Bora Kuliko wengine
@jameskazungu8032
@jameskazungu8032 4 ай бұрын
DINI ya majinI , mapepo, wauajii
@assfzainab912
@assfzainab912 3 ай бұрын
​@@jameskazungu8032majini vp na niviumbe waliumbwa wamuabudu ALLAH kama hujui kuna majini na majini wakristo na dini zengine
@user-yu9gy6dg3g
@user-yu9gy6dg3g 3 ай бұрын
@@danieljohn3836 ww ndio uliopagawa tena umechizika kabsaa🤪🤸🏻‍♂
@nichoojr.6747
@nichoojr.6747 4 ай бұрын
Someni Maandiko Acheni Tu kusema Wakwanza Kama mmesikiliza Vizuri .. Sio Yote aliosema NI kweli kunavingine havipo Sasa ili uweze kuelewa NI vema usome Maandiko Ya Mwenyezi Mungu Na uombe Mungu Akusaidie kuelewa ...
@nabillionairevevo5986
@nabillionairevevo5986 4 ай бұрын
Soma Qura'an upate elimu
@user-pg6db8jl2y
@user-pg6db8jl2y 3 ай бұрын
Kabca maandiko ndo usema kweli ivyo vingne mbwe mbwe tu
@mctcher9297
@mctcher9297 4 ай бұрын
Mungu akupe umri kaka hii ina mafunzo sana kwa muelewa.Wakenya tupatane kwa likes basiii
@sophiaissay6307
@sophiaissay6307 4 ай бұрын
Napenda story zako sana. Jamani tukumbuke ahadi alo iweka uyo shetani kwa mungu. Nani anaejua kama atakuja kutuma na kwenda kusujudu katka kaduli la baba adam. Sis tutatubu lini. Kili kichwani kwetu. Tujitahidi kufanya mema😞😞
@HalidiMalande
@HalidiMalande 4 ай бұрын
Mashaaallah Maalimu Jamal.......Allah S.W akuweke ndugu yangu.Sio sili unaelimisha sana Allah S.W akuweke ndugu yangu.
@andrewraphael3098
@andrewraphael3098 4 ай бұрын
The story book 📖📚 toka kwa Prof Jamal 😊
@user-jc4ci2fr3p
@user-jc4ci2fr3p 4 ай бұрын
Kama unamkubali professor gonga like apa♥️♥️♥️
@user-jc4ci2fr3p
@user-jc4ci2fr3p 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@SalimOmary-y3e
@SalimOmary-y3e 15 күн бұрын
Vp
@Nyabwari536
@Nyabwari536 4 ай бұрын
Kutoka Egerton University ,KENYA.Jamal God bless you bro.
@rabikekitashu88
@rabikekitashu88 4 ай бұрын
He's so professional more likes to jamal❤❤
@Brainmind22
@Brainmind22 4 ай бұрын
kama unaamin hyu ni genius like hpaa❤
@Anthony-vb6hp
@Anthony-vb6hp 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@philbertmkude9564
@philbertmkude9564 Ай бұрын
@habonajeanwillon3336
@habonajeanwillon3336 4 ай бұрын
Good morning wadau Bana Nimimi Jamal in Kenya please likes zije kwawingi😊😊
@silaskengere1686
@silaskengere1686 4 ай бұрын
The late Kanumba and Jamal have played a good role in making my swahili great.
@Bradleycarlostawai
@Bradleycarlostawai 4 ай бұрын
Jamal is back, vivaa
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 4 ай бұрын
❤prof.asante kwa somo endelelea kutuletea maarifa kumjua Alie juu.
@AbdiMusa-df1lx
@AbdiMusa-df1lx 4 ай бұрын
Prof umetisha sana hakika mungu aendelee kukupa maarifa na sisi tuyapate
@CollisBill-mu3zp
@CollisBill-mu3zp 4 ай бұрын
Duuuu story book kila ijumaaa ni uhakka... Nikuwaiii tuu. Kenya na Tanzania let's go
@OgKing-tp1jc
@OgKing-tp1jc 4 ай бұрын
wakwanza kutoka american munipe like ata kumi tu jamani.
@hallin9561
@hallin9561 4 ай бұрын
😂upo america lakin bado unauzuzu wa kuomba like, chiz wew
@dansonmketi4827
@dansonmketi4827 4 ай бұрын
Amerika kwema
@samsonngabahi6406
@samsonngabahi6406 4 ай бұрын
​@@hallin9561kweli chizi😂😂😂😂
@sharafikuliyocha1558
@sharafikuliyocha1558 4 ай бұрын
Kutoka AMERICAN?
@omaryCylvester-hu8fu
@omaryCylvester-hu8fu 4 ай бұрын
Tupe connection za American
@athumanmabuge3688
@athumanmabuge3688 4 ай бұрын
Ubarikiwe shekh wangu Jamal bin mustafa.🙋🏾‍♂
@jemasmasimbi8109
@jemasmasimbi8109 4 ай бұрын
Mmmm am very appreciative for the back of story book with jumal,,,,all the way from malawi
@AgustinoKinyaga
@AgustinoKinyaga 4 ай бұрын
Mungu ni Mkuu sana hawezi kupoteza muda kubishana na kiumbe alichokiumba ni story tuu
@epmzmusifiwar6694
@epmzmusifiwar6694 4 ай бұрын
Amen
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 4 ай бұрын
Hujaelewa hakubishana ila ibilisi ndie alie bisha elewa hakubishana ndio maana baada ya ibilisi kuasi tu alipewa adhabu hapo hapo mungu hakubishana jitahidi uwe mwelewa
@AgustinoKinyaga
@AgustinoKinyaga 4 ай бұрын
Kaka mkubwa MUNGU ni uhai kamili na MUNGU hawezi kuweka makubaliano ya ushindani na kiumbe chake yaani eti sawa nenda kawapotoshe na nimekulaani wakati ni Mkuu anayeweza kukipoteza chapu iyo ni hadithi tu inshu ni amini kuna uhai ambao ni roho kamili yaani na wazung wameshatengeneza two side yaani MUNGU na SHETANI ila shetani hayupo isipokuwa ni wewe ushapewa utashi ambao ukiona umefanya kitu ukakitafsir negative basi hapo ndio umekosea wewe mwenyewe sio shetani
@eliasakhamisi7947
@eliasakhamisi7947 4 ай бұрын
Huna unalolijua kaa kimya eti mungu kubishana wapi kabishana unajua maana ya mtihani ibilisi ni mtihani kwetu sisi wanadamu na ndio maana ikawepo pepo kwa wale watakao faulu nyie watu mnaamini yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zenu duuuh
@AgustinoKinyaga
@AgustinoKinyaga 4 ай бұрын
@@eliasakhamisi7947 naomba niambie Mungu wako amekuumba mkamilifu? Kama jibu lako ndio basi kweli sina nalolijua ila kama hapana basi haikuwa na haja ya kukuwekea mitihani kwenye kuishi kwako ebu nikuulize wewe unapenda kumuona mwanao akipitia magumu?
@faridbinjumaonlinetv9258
@faridbinjumaonlinetv9258 4 ай бұрын
Kung of story tanzanian km unakubali akuna mwengine km yee na unamuombea maisha marefu weka like ajionee
@TinaMzee-lr9vs
@TinaMzee-lr9vs 4 ай бұрын
Oya like huwa zinasaidia nn Mzee au Kuna maokoto??
@faridbinjumaonlinetv9258
@faridbinjumaonlinetv9258 4 ай бұрын
@@TinaMzee-lr9vs Tina apaana ila alieweka video anakua anafurahia shabiki zake Sanaa mana kwa wanaojua utamu wa stori bsi jamali anatukosha
@GracieTyno
@GracieTyno 4 ай бұрын
@@TinaMzee-lr9vsYaani me huwa nawashangaa 😂😂😂
@aminata3702
@aminata3702 4 ай бұрын
KUNG FU 😂
@faridbinjumaonlinetv9258
@faridbinjumaonlinetv9258 4 ай бұрын
@@aminata3702 jmn unachkua nn
@patisondidas6720
@patisondidas6720 4 ай бұрын
Kazi nzur San Profs Jamar be blessed
@Alexismadimo
@Alexismadimo 4 ай бұрын
Nice story sema nakubal zaid story kama za kina mtaalam jogodo
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 4 ай бұрын
Asante sana my brother from another mother
@1914Imperador
@1914Imperador 4 ай бұрын
Wakwanza kutoka Msumbiji,naomba like zenu❤
@user-lq1wt3hh9s
@user-lq1wt3hh9s 4 ай бұрын
Aii na mmkawia sana ilaah umeegemea upande mmja wadini tu😢 lakini ni sawa fun mkubwa kutoka🇰🇪🇰🇪
@GracieTyno
@GracieTyno 4 ай бұрын
Mbona amesema kwamba hii story ni kwa mujibu wa dini ya kiislam?
@user-vw5gy9mv6r
@user-vw5gy9mv6r 4 ай бұрын
🤗🤗🤗🤗bb mbon kaongea mapema
@erastonzogela1405
@erastonzogela1405 4 ай бұрын
WASAFI mmeupiga mwingi sana. Tulishaanza kuhamia MANARA TV maana nao wameanza kutoa simulizi. Prof Jamar wewe ni gwiji
@allywaziri1997
@allywaziri1997 4 ай бұрын
Wale waimba taarabu tu
@kafitiwilliam8358
@kafitiwilliam8358 4 ай бұрын
Safii sana story nzurii sana
@ismailmohamed4815
@ismailmohamed4815 4 ай бұрын
Moja safiiii sanaaa
@oxygenthemimi1600
@oxygenthemimi1600 4 ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana Leo mungu akuweke Jamal
@mustafaezeq6473
@mustafaezeq6473 4 ай бұрын
Sawasawaaaaa Iko poa
@henrymutabari
@henrymutabari 4 ай бұрын
Safi sana mtiga, Allah atujalia mwisho mwema 🇰🇪
@ahmedzicco6584
@ahmedzicco6584 4 ай бұрын
We kichaa huyu ni jamal april huyo mtiga alifukuzwa miaka 3 iliyopita
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 4 ай бұрын
Wamwisho leo naomba like jen kutoka Australia 🦘
@Addiah_cardie
@Addiah_cardie 4 ай бұрын
Hi Jane love you from Kenya
@JabamanJeve2015
@JabamanJeve2015 5 күн бұрын
Amini Mungu peke yake. Amini manabii wote amina Lakin maOmbi peleka kwa Mungu Usishikanishe na mngu na yoyote
@AbubakarySemkuya
@AbubakarySemkuya 2 ай бұрын
Na mm naomba like bas
@nyamesadaniel5553
@nyamesadaniel5553 4 ай бұрын
Prof i love your stories so much,nipeni kalike for missing this stories
@juliuselmeleck6468
@juliuselmeleck6468 4 ай бұрын
goood voice apreciate likes plzzz 🎉
@LouisianaRiri
@LouisianaRiri 4 ай бұрын
Surat Al -Waqi’ah Quran 56:57 Fafanuzi” Mwenyz Mungu anasema wale walio Potea siku ya Malipo watakua hivi” Bila shaka mtaonja mti wa Zaqqum. Kisha mtajaza matumbo yenu kwa mti huo. "Na unywe Maji yanayo chemka juu yake. “Hakika mtakunywa kama ngamia wagonjwa walio na kiu
@aminata3702
@aminata3702 4 ай бұрын
Vipi Wachina na wakorea ambao hawajatawaliwa na Waarabu wakasambaziwa dini ya Uislam?Wanamakosa?
@LouisianaRiri
@LouisianaRiri 4 ай бұрын
@@aminata3702 kwani hakuna wachina waislam, ikiwa ujumbe umewafikia wakapuza basi hiyo ndio hukumu yao
@Maymuna-wc8lz
@Maymuna-wc8lz 13 күн бұрын
​@@aminata3702 sehemu nyingi Dini ya KiislM Imefika,,,kwani hata Africa Dini Zimefika Ila Wengi wao wana Kataaa Kufuata,,, Tambuwa Pia Sisi wana adam Tumeumbwa Kwa Ajili Ya Kumuabudu MWENYEZI MUNGU,,,NAKATIKA SISI WANAADAMU WENGI WAO NIWAPINGAJI
@ellypiusi9388
@ellypiusi9388 4 ай бұрын
Wakwanza kutoa bejiung china nipeni like zangu
@bakarially253
@bakarially253 4 ай бұрын
Nitumie number yako Ellypiusi9388 very Important
@josephjosephat4792
@josephjosephat4792 4 ай бұрын
Mm mkristu lakn kwa kias flan simulizi hii ya kiislam yaniingia akirini kulko hii ya kwetu huku ukristuni.
@nabillionairevevo5986
@nabillionairevevo5986 4 ай бұрын
Soma Qura'an upate elimu
@LouisianaRiri
@LouisianaRiri 4 ай бұрын
Dini ya Haki Mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislam Ukisoma Bibilia utajua kabsa ni uongo “ eti Mungu aliumba Dunia siku ya saba akapumzika “Mungu Hachoki”
@bone102
@bone102 4 ай бұрын
Kwa hadithi hapo juu ni shetani peke yake anayejiona bora kuliko wengine hvyo basi kwa kauli yako kusema wakristo sio bora ila waislamu ni bora nadhani umenielewa mafunzo yametufundisha vizur kabisa ​@@LouisianaRiri
@simulizibora
@simulizibora 4 ай бұрын
Hama tu mzee huku tunataka wanaoamini km ww huamini hama
@moseserasto7011
@moseserasto7011 4 ай бұрын
Kweli mzee baba, kama haamini ni ruksa kuama​@@simulizibora
@seth-hussein.2020
@seth-hussein.2020 4 ай бұрын
From kenya Mombasani like hapa
@suleimanbuta3217
@suleimanbuta3217 4 ай бұрын
Nami pia nimewahi kiasi chake hata like kidogo tu
@mussamasasi
@mussamasasi 4 ай бұрын
Allah akuzidushie bro
@khamissalum8642
@khamissalum8642 4 ай бұрын
Jamal you are fire ,,,Kindly ✈️✌️✌️
@nancyg8664
@nancyg8664 4 ай бұрын
😂😂brother Jamal unavosimulia ni kama ulikuepo jaman big up sana
@Derick_07
@Derick_07 4 ай бұрын
😂😂😂
@azyzyomary9819
@azyzyomary9819 4 ай бұрын
😅😅
@user-kn1cm9ez2q
@user-kn1cm9ez2q 4 ай бұрын
Wakwanza Leo naomben like zenu tano tu
@AllyMoussa
@AllyMoussa 4 ай бұрын
Kutoka UAE🇦🇪 naomba like zangu
@MwanamisiBakari-xh3jo
@MwanamisiBakari-xh3jo 4 ай бұрын
Mashallah Mungu akupe miaka mingi uzidi kutupa hadithi nyingi
@Ericomtz5
@Ericomtz5 4 ай бұрын
Wa kwanza kutokea Geita town,,,ebanaeee hii buk nimemic kitanbo sanaa!!!!!😂😂😂
@yusuphally1380
@yusuphally1380 4 ай бұрын
From Muscat Oman 🇴🇲🇹🇿
@aminata3702
@aminata3702 4 ай бұрын
Namlaani na kumkana ibilisi.AMEN 🙏
@CLINTONMICHAEL-yk6lt
@CLINTONMICHAEL-yk6lt 2 ай бұрын
😂😂😂
@user-yr3yi2yr6i
@user-yr3yi2yr6i 4 ай бұрын
Majini ni spirit hayafi
@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim
@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim 4 ай бұрын
😂😂wanakufa sema wanakaa umri mrefu
@aminaadamu5036
@aminaadamu5036 4 ай бұрын
Kila nafsi itaonja umauti
@alswahabein-99alkhazain91
@alswahabein-99alkhazain91 4 ай бұрын
Nani kasema awafi majini pia zinakufu Kama malahikapia zitakufu ila mungu ndiye ata baki pekeyake kisha
@iddykalinda-ue3ib
@iddykalinda-ue3ib 4 ай бұрын
jin hana.nafsi
@MuhammadMakame-bx4nq
@MuhammadMakame-bx4nq 2 ай бұрын
Kwani ni nini nafsi​@@iddykalinda-ue3ib
@khalifamaquatory1112
@khalifamaquatory1112 4 ай бұрын
Afadhari wasafi mmerud maana mlinikera sana kusitisha the story book
@rubenmkilima4681
@rubenmkilima4681 8 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki kaka jamal 🙏🙏🙏
@user-yu9gy6dg3g
@user-yu9gy6dg3g 3 ай бұрын
najua kuna mishetani hapa itakasirishwa sana hata kuchukia ulioyasema maalim jamal april lakini endelea hivyo vivyo kusema haqqi maana hata mitume walichukiwa kwa kusema ukweli we endelea mwamba kutufahamisha & kutujuza tena hivi hivi kidini leo mashallah ndo nimejua uko upande gani profesa jamal (Allah) akurinde☝🏻 na mahusda na wachawi nk. mwamba umetisha sana kiukweli 👍🏻
@samsonoundo651
@samsonoundo651 4 ай бұрын
We love you jamal from Zambia
@OMARYKAHUNGO-mn4mf
@OMARYKAHUNGO-mn4mf 4 ай бұрын
Wadau huyu mwamba ni genius kama unakubali gonga like 😅
@TinaMzee-lr9vs
@TinaMzee-lr9vs 4 ай бұрын
Like inakusaidia nn
@OMARYKAHUNGO-mn4mf
@OMARYKAHUNGO-mn4mf 4 ай бұрын
❤​@@TinaMzee-lr9vs
@UmmyLubna-rp6rv
@UmmyLubna-rp6rv 3 ай бұрын
Laa ilaaha ila llah wahdahu laa sharika laa..Lahuu Mulku walahu Lhamdu Yuhyii Wayuu umitu.Wahuwa alaa kulli shay inn Qadir.
@user-kv1gu4ee3s
@user-kv1gu4ee3s 4 ай бұрын
Am proud of you Jamal❤️❤️ keep it up💪💪
@faithmbijima777
@faithmbijima777 4 ай бұрын
Nlkua namsubir professor Jamal😊
@hassanissa4145
@hassanissa4145 4 ай бұрын
Allah Akbar hadithi ya ukweli na iliyopata msimuliaji allah atunyooshe wajawake njia ya kheir ya peponi atuepushe na uyo kiumbe Ibliss
@EmmanuelKinyaha
@EmmanuelKinyaha 3 ай бұрын
Respect brother jamal you are fantastic story teller 27:13
@user-oy8gk5fj2e
@user-oy8gk5fj2e 4 ай бұрын
Ee mwenyezi mungumm ni mja wako nipunguzie mitihan naamini mm ni mwenye iman kubwa juu yako yaraab
@fellybenard5459
@fellybenard5459 4 ай бұрын
Jamal Ni Mmoja TU.. Big up kaka
@neibuilomoo6419
@neibuilomoo6419 4 ай бұрын
Si kwaubaya kwann Leo umebez upande mmoja wa imani ya kidin ❤
@Ammy_Rain
@Ammy_Rain 4 ай бұрын
Ulishaambiwa mwanzoni kbs ndugu ama hukuona tangazo?
@neibuilomoo6419
@neibuilomoo6419 4 ай бұрын
@@Ammy_Rain nililiona ndiomaana nimeuliza
@Ammy_Rain
@Ammy_Rain 4 ай бұрын
@@neibuilomoo6419 Yeah great Sasa ni hivi Kwa upande wa Jamal Kwa kuw ni muumin wa dini ya uislamu kwake ilkuw rahisi Zaid kuielezea hii story kupitia upande huo infact hakuna baya ambalo limekandamiza upande Fulani la hasha japo Kuna details chache ambazo hazilingani lkn cyo za kupunguza content iliyolengwa
@kibwamoko8767
@kibwamoko8767 4 ай бұрын
​@@neibuilomoo6419 Usitake kulazimisha jambo lako na Tangazo uliliona. Ukweli ndio huo Malaika hawajaumbwa kumuasi Mungu. Sasa Story za kwenye Biblia sijui kuna Malaika na Kikundi chake cha Baadhi ya Malaika walitaka Kumuasi Mungu, ndio Mungu akawalaani haziko sahihi. Na kama ziko sahihi uje na Majina ya hao Malaika.
@simbaphonez
@simbaphonez 4 ай бұрын
Kila Dini ina Simlizi Zake tofauti za vitabu! Kwahiyo subiri Siku ya hadithi za shetani kwenye vitabu vingine! Huwezi kuchanganya hadithi huwezi kuelewa.
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 4 ай бұрын
Ibilisi hana tofauti na yuda walikuwa wazee tamaa wangetuuza
@japhetlust5050
@japhetlust5050 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@GracieTyno
@GracieTyno 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@jiiwolf2900
@jiiwolf2900 4 ай бұрын
😂😂
@nickdemitychanell
@nickdemitychanell 4 ай бұрын
Welcome back professor we love you🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
@JaydenKariuki
@JaydenKariuki 4 ай бұрын
One of a kind professor keep it up
@user-gz8mz4dj5f
@user-gz8mz4dj5f 4 ай бұрын
Leo nimechelewa aisee wangapi tunafatilia tukiwa hapa Dubai gonga like
@YaziduJuma-jv9to
@YaziduJuma-jv9to 2 ай бұрын
Jamali Mungu amekupa kipaji kizuri sana hakika tunakupenda sana kwa hii kazi unayofanya kwa hakika pepo itakuwa wazi kwa jili yako
@Adamwaziri-dn3qs
@Adamwaziri-dn3qs 4 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ni mkubwa, Namuomba mwenyezi Mungu atubariki
@LusokeIsay
@LusokeIsay 4 ай бұрын
Waiting for it ❤😊
@Ciyara248
@Ciyara248 4 ай бұрын
Dah Mimi ni mkristo lakini nimejifunza mengi sana 😭😭😭😭
@danieljeffrey540
@danieljeffrey540 4 ай бұрын
Hata mm 😢😢
@yangaaSC
@yangaaSC 4 ай бұрын
Mkristo wa wapi ww maku😅
@Ciyara248
@Ciyara248 4 ай бұрын
😂😂😂Kuna watu mnataka tu kujalibu watu sema nini baridi ntakurudia hapa baada ya pasaka😂😂😂😂
@EmmanuelHaule-zz3me
@EmmanuelHaule-zz3me 4 ай бұрын
Kuna kitu nilikua nataka nione between script na nimekiona this is fantastic 🤩🤩🤩🤩😊😊😊🤩
@user-nq1pn7ui6w
@user-nq1pn7ui6w 4 ай бұрын
Nakukubalisana Brow🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ningependa story yamitu gisi walivyo ishi baada ya Yesu kwenda
@dayana5513story
@dayana5513story 4 ай бұрын
God bless you bro the story book🔥🔥🔥🔥🔥
@user-fp6uu9my7l
@user-fp6uu9my7l 4 ай бұрын
Nianze na shukuran kaka mim nimoja yawafuansi wako napend unach kifanya sana ila mim ni mkristor mim najua wew ni wakwet sont nilikua na omba jambo moja tu? 50⛪️⛪️⛪️⛪️⛪️%🕌🕌🕌🕌🕌50
@Abdulracheed
@Abdulracheed 4 ай бұрын
Hakuna story kamili uko njoo katika Uislamu upate story yako kamili
@misagosylvestre3356
@misagosylvestre3356 4 ай бұрын
Uisilam ni uongo mtupu
@Abdulracheed
@Abdulracheed 4 ай бұрын
@@misagosylvestre3356 Ukweli ni upi sasa?
@kaizermkenya
@kaizermkenya 4 ай бұрын
Jamal umepotea sana jamani ... karibu tena 🇰🇪🇰🇪❤️🇹🇿🇸🇴
@NicksonKabaijam
@NicksonKabaijam 4 ай бұрын
A lesson to learn both Muslim and christian brilliant story teller Jamal 🔥🔥🔥
@nurdinchilambo1486
@nurdinchilambo1486 4 ай бұрын
Brother keep it up we miss you, l like your analysis, your investigation
@JohnKuje-bd4vz
@JohnKuje-bd4vz 4 ай бұрын
Ulipo malizia apo mwisho nimejifunza Sana kaka mungu akuongoze
@KipkiruiDaniel
@KipkiruiDaniel 4 ай бұрын
Nazifuata hadithi hizi kutoka Longisa Kenya. Najifunza funzo moja au mawili. Shukrani kochokocho!
@ulayanapinda7808
@ulayanapinda7808 4 ай бұрын
Jamani hatari sana wangapi mmependa hii simulizi tujuwane kwa like
@user-pb3iv1mv2p
@user-pb3iv1mv2p 4 ай бұрын
Masha Allah ...❤❤❤
@Paplick9
@Paplick9 4 ай бұрын
Wewe ni zaidi ya professor 💥💥💥💥
@AbdulMustaiph
@AbdulMustaiph 4 ай бұрын
Mashallah umemaliza vizur sana kwa kipofu🙏
@PaulOrenge-eo4hb
@PaulOrenge-eo4hb 4 ай бұрын
I like this Maeneo ya Marekani Kusini nakupata mbashara endelea kutupea story book Mola akubaliki
@PaulOrenge-eo4hb
@PaulOrenge-eo4hb 4 ай бұрын
Marekani nipe comments na like mpaka Nairobi Kenya ❤❤❤❤❤
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 180 МЛН
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 3,1 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 58 МЛН
WAISLAMU WALIZWA  MSIKITINI
28:59
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 104 М.
HISTORIA YA NABII ADAM SEHEMU YA 1/2 Animation
9:39
HISTORIA ZA KWELI
Рет қаралды 3,9 М.
MWISHO WA DUNIA UNA MAMBO MAZITO YA KUTISHA...!!
22:07
Wasafi Media
Рет қаралды 2,8 МЛН
The Story Book: Mambo 20 ya Ajabu Zaidi Ya Viumbe Na Wanyama Pori
37:48
THE STORY BOOK: MPINGA KRISTO MASIH DAJJAL ANA MAMBO MAZITO
36:25
Wasafi Media
Рет қаралды 1,3 МЛН
Maisha na vifo vya mitume wa yesu
13:28
Shane Tv
Рет қаралды 36 М.
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 180 МЛН