The story book : Mfahamu Christina Shusho Je ni Malaika au Shetani wa Injili Aliyevunja ndoa yake

  Рет қаралды 218,512

EPIC BONGO

EPIC BONGO

5 ай бұрын

#christinashusho #freemason #injili #gospel
Maisha ya christina shusho kutoka mahali alipozaliwa Tanzania mkoani Kigoma,kusoma shule yake ya msingi Mpaka sekondari, ndoa yake, maisha yake binafsi mpaka kuwa mwanamuziki wa injili.
vipande vya video clips nilivyotumia katika video hii vinatoka kwa christina shusho mwenyewe kuwa huru kumsapoti katika channel yake ya youtube, kuna nyimbo nyingi za kuburudisha na kufurahisha Asante. / @cshusho

Пікірлер: 123
@user-ck7ip4qr1o
@user-ck7ip4qr1o 3 ай бұрын
Napenda sana nyimbo zako dada na zina ni tia nguvu kwa mapito mbali mbali na ubarikiwe na Mungu akutie nguvu ya kuendelea❤
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman 3 ай бұрын
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu,
@reubenjoram9675
@reubenjoram9675 3 ай бұрын
​@@THEKINGBROWN-Top_angrybadmanSasa kama nimkongo kilichomleta Nchini kweri TANZANIA n nn? Kwann asingekaa hkohko cngo kwenye mpaka aibuke. Huku alifata Amani wakongo Nchini yenu imewashinda
@Rebecca-d7l
@Rebecca-d7l Ай бұрын
Wangu Dada chouchou kweli nachukuru kuwa wewe ni mu 🇨🇩 Wana wake Wenye nguvu na Karama kubwa ni was Congo Tena tutaenda bingini Dada courage .karibu homme
@fabianmkemesa9606
@fabianmkemesa9606 2 ай бұрын
Nampenda sana dada yangu shusho pamoja na nyimbo zake mungu akutie nguvu na ujasir
@nicenard5749
@nicenard5749 3 ай бұрын
Pole Christina Shusho, shetani anatumia watu kukupiga vita, usikate tamaa ifanye kazi ya MUNGU,taji yako ipo mbinguni
@user-dr7si9qw6e
@user-dr7si9qw6e 3 ай бұрын
Ni hatari sana kumaliza Kwa mwili maana unakuwa mhalibufu kuliko ata wapagani Christina Mungu amsaidie sana maana ni siku za mwisho hizi asema bwana watu wataikana imani
@euphrasiakavayi7586
@euphrasiakavayi7586 10 күн бұрын
This is an amazing lady God sent and very inspiring through her songs
@carolinenyemba2412
@carolinenyemba2412 3 ай бұрын
I love this woman with my heart, may God fight for her devil will never shake this woman because she carries a big God in her
@MarthaNyanmech
@MarthaNyanmech 3 ай бұрын
Napenda nyimbo za Christina anasauti ya ajabu mungu hakutiye nguvu na kukuinua zaidi
@user-ic6cv5vx2sWahise
@user-ic6cv5vx2sWahise Ай бұрын
Tata wahiseelelwa neno yuko djuu ya watu njooni mpate mibaraka ya mwenyezi mungu
@lydiamburia4113
@lydiamburia4113 3 ай бұрын
The story book : Mfahamu Christina Shusho Je ni Malaika au Shetani wa Injili Aliyevunja ndoa yake. THE DEVIL IS A BIG LIAR IN HIS NATIVE LANGUAGE.
@woissopaschal6391
@woissopaschal6391 3 ай бұрын
Sielewi sana haya. Maana kama amejitenga na ndoa kwa ajili ya kristo ahakikishe anaendelea naye vinginevyo matokeo yatakuwa fundisho.
@SamsoniMaloda
@SamsoniMaloda 14 күн бұрын
Maneno ya YESU ni ya kweli alisema siku za mwisho manabii wengi watakuja na watawadanganya wengi yamkini ata wateule
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman 3 ай бұрын
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu
@rabilubinza7661
@rabilubinza7661 3 ай бұрын
hahaaaaa
@joannesmalipo3008
@joannesmalipo3008 3 ай бұрын
Christina Shusho akuzalia Tanzania! Ni mu Congo wa DRC kwabo Uvira nimukimbizi wa vita DRC mwaka 1996. Nimu Congo wa baba na mama kwa Uvira jina yake ya kweli ni CHRISTINE NONDO.
@MarcelinMashala
@MarcelinMashala 3 ай бұрын
Njo habari ya kweli tunayoijuwa
@esterkabigili
@esterkabigili 3 ай бұрын
Neema ya Mungu na izidi kwa christina shusho
@user-kb8wv6kg8g
@user-kb8wv6kg8g 3 ай бұрын
Mungu Anazo nguvu njia zake hazichunguziki ngoja tuone
@jacsax3436
@jacsax3436 3 ай бұрын
Aliyesimama aangalie asianguke hizi ni siku za mwisho. Tumwombe Mungu atupe kusimama siku hizi za mwisho
@EliaLazaro
@EliaLazaro 3 ай бұрын
Jamnii na mm na mpnd sana
@stephaniakanka8178
@stephaniakanka8178 3 ай бұрын
Ni kweli kabisa shushu ni wa kwetu Congo Kalemi njoo kwao na hiyo jina ni za kwetu 🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇧🇻🇧🇻
@RwachiryoraWema
@RwachiryoraWema 3 ай бұрын
At this point hata shusho mwenyewe hatambui congo. Wacongo mnashida. Haya Bolingo tumekuskia shida ni hatuezi kuja hatujui kwenyu ni wapi mwaya
@user-hv1rg1be4w
@user-hv1rg1be4w 3 ай бұрын
Jmn wat u eating Mung u tusihuku Tusije Tula hukumowa na Mungu mwenyewe🙏🙏🙏🙏🙏
@FredyMsigwa-ul5kr
@FredyMsigwa-ul5kr 3 ай бұрын
Da! Yote anayajua mungu mimi ninani hata nihukumu
@user-ml4of7yu5g
@user-ml4of7yu5g 2 ай бұрын
Mbona sia mini
@EzekMhale
@EzekMhale 3 ай бұрын
Mungu ndie atoaye hukumu acheni afanye kazi yake
@Inkubutembo7779
@Inkubutembo7779 3 ай бұрын
Huyo sasa ni sawa na Yezebeli.
@FrolidaLuvanda
@FrolidaLuvanda 2 ай бұрын
Ubarikiwe
@SamsonEzekiel-or9xc
@SamsonEzekiel-or9xc 3 ай бұрын
Anasura nzuri yuko bombaa
@catherineangaufoo2530
@catherineangaufoo2530 3 ай бұрын
She not he
@alicekthoya96
@alicekthoya96 3 ай бұрын
Mungu ndio hukum, msipende kuhukum wengine acheni Mungu afanye kaz yake....
@habililailo271
@habililailo271 3 ай бұрын
Mungu hadhihakiwi utavuna ulicho kipanda. nuru na giza haviwez kuwa pamoj. Imani bila matendo imekufa. Haiwezekan mtu anatuhubiri kupitia uimbaji na ni mchungaji aseme Mungu amemuita kumtumikia amesema achana na ndoa kwa hiyo alipokua kweny ndoa alikua anamtumikia nani? Na sasa anamtumikia Mungu? Hapo lazm kweny vichwa vya watu kuwe na( ?) kumbuka NURU NA GIZA HAVIKAI PAMOJA YESU ALISEMA.
@yosurekirahuka
@yosurekirahuka 3 ай бұрын
Kumbuka, Mungu hufanya kazi yake pia kupitia watoto wake, au wanadamu wake,
@alicekthoya96
@alicekthoya96 3 ай бұрын
@habililailo271 there's alot behind the social media zenye ni sababu ya maisha binafs.....I can't judge her bcoz yy mwenyewe na Mungu ndio wanajua kilichomtoa kwenye hio ndoa ....tusiwe wepes wa kuhukum....
@habililailo271
@habililailo271 3 ай бұрын
@alicekthoya96 yeye anadai kilichomtoa kweny ndoa yake ni Mungu, sababu amemuita kumtumikia kwaiyo asitufany sisi hatujasoma neno la Mungu aje kweny social media atudanganye.
@DomeMasti-jeuneAkilimali
@DomeMasti-jeuneAkilimali 3 ай бұрын
Yaani umependa wamupakae mafuta? Iyo siyo hukumu. Haujue kwamba Yesu kristo alisema hakuna jambo halitafunuliwa! Elle est fausse servante !
@nininahazweEritier-tr6fh
@nininahazweEritier-tr6fh Ай бұрын
Nice
@NassariWalulya
@NassariWalulya 2 ай бұрын
Mungu tupe jicho la tatu
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 3 ай бұрын
Mwacheeeeni jmn
@everfredrick4979
@everfredrick4979 3 ай бұрын
Ukisikia siku za mwisho ndo hizi paka watumish nanamsema mtumishi mwenzawo Sasa nani atamuombea huyu dada ? Mungu atusaidie sanaa!
@MiruhoFaida
@MiruhoFaida 3 ай бұрын
Ulianza kwa roho umemaliza kwa mwili😢😢
@ElizabethFaimu
@ElizabethFaimu 2 ай бұрын
Christina muogope Mungu
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 3 ай бұрын
Nishetani kajiunga nawa imbaji waduniyaaa khaaaa 😢😢😢😢
@jamescarloss9671
@jamescarloss9671 3 ай бұрын
Sio mtanzania uyo ni mcongomani, na alikuwa anaishi pale kambini nyarugusu kijiji cha H2
@PeterKyamba
@PeterKyamba 3 ай бұрын
ubarikiwe neno Mchungaji
@JILBERTDaniford
@JILBERTDaniford Ай бұрын
SIMULIZI AKO NI UJINGA. MUULIZE MUME WAKE YUKO WAPI YUPO NAE
@StephenKagonji
@StephenKagonji Ай бұрын
Dada wanadam awaishiw maneno kaza mwendo
@onesphorebizimana9808
@onesphorebizimana9808 2 ай бұрын
Ft
@gibranmwasi-kw8px
@gibranmwasi-kw8px 4 ай бұрын
Hapa mmegonga pahali sipo
@user-fc2rk1rp2z
@user-fc2rk1rp2z 3 ай бұрын
Kwa Nini??
@johngeorge4834
@johngeorge4834 3 ай бұрын
Mwenye kumhukumu ahakikishe pia yeye hana dhambi hata kidogo ivi😢
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 3 ай бұрын
rip my mbs
@saumbliz8983
@saumbliz8983 3 ай бұрын
Wasanii wote wa tanzania freemason
@user-lo9kv9vv3n
@user-lo9kv9vv3n 3 ай бұрын
Acheni uongo
@MadeleineKiza
@MadeleineKiza 9 күн бұрын
❤😂😢
@user-hr7ep8zt2r
@user-hr7ep8zt2r 4 ай бұрын
Uleamechanganyikiwa mungu amukumbuke amekuwa ikabodi
@user-si3ts1px8z
@user-si3ts1px8z 3 ай бұрын
Huyu mwanamke christina shusho ni malaya tu aliache jina la shusho
@johnngugi9552
@johnngugi9552 4 ай бұрын
Ukweli setani husababisha wanandoa waachane,lakini ki biblia ni kifo tu kinaruhusiwa wanandoa waachane 1corinthians7:39-40.
@johnngugi9552
@johnngugi9552 4 ай бұрын
Setani hupiga vita ndoa sana maanake nini unanjua sikivunjika Kakuba ufalme wa milele
@NiyizigamaClaudine
@NiyizigamaClaudine 3 ай бұрын
Myaka 50 mbona kacelewa Atulite na muze mwenzake Aace vijana huyo ni mubembe
@janewasilwa8813
@janewasilwa8813 3 ай бұрын
Let God who is true speak. The rest are irrelevant
@AnethSwila-tw9mv
@AnethSwila-tw9mv 3 ай бұрын
Na hizo Pete zake hata Huwa siziamini
@marionoti5760
@marionoti5760 4 ай бұрын
Walokole bwana! sio muziki uliompa umaarufu , walokole wanavutwa na sura yake, wanajisikia fahari kuwa na sura ya Delila miongoni mwao.
@zainababdul2704
@zainababdul2704 3 ай бұрын
Ndo maana sipendagi kufungua video za KZbin yaan content ya picha nje na video yenyewe ni vitu viwili tofauti
@JoshuaCharles-jr6ro
@JoshuaCharles-jr6ro 3 ай бұрын
Huyo cyo jamali mdogo wake mandonga
@user-ew4qf9ud4v
@user-ew4qf9ud4v 3 ай бұрын
Naona kama sio jamaal hivi sijui vip
@janewangui7074
@janewangui7074 3 ай бұрын
Please pray for me stroke paralysis revred
@emoalembe4790
@emoalembe4790 3 ай бұрын
Que la main puissante de Jesus-Christ notre Seigneur puisse vous toucher dès maintenant et que la guérison entre en vous au nom de Jesus-Christ !!!!
@amoskariuki2881
@amoskariuki2881 3 ай бұрын
Healing in Jesus name
@AlbertYangson
@AlbertYangson 3 ай бұрын
Mamekap2 yanafanya aonekane binti but ni mzee huyo
@AdolfKitawa
@AdolfKitawa 3 ай бұрын
Haujaeleweka
@davejeams
@davejeams 3 ай бұрын
Malaya wa Ch. shusho !
@isaacnjoni8021
@isaacnjoni8021 3 ай бұрын
Shenzi saana
@uzimakwayesutv
@uzimakwayesutv 3 ай бұрын
Sisi Ni Nuru Ya Ulimwengu Nuru Na Giza Havikai Pamoja Tena Nichunvi Ikihalibika Yafaanini?
@jemsjingo483
@jemsjingo483 3 ай бұрын
Wacha mwenyewe aseme kwa kinywa chake
@hildamsumal8628
@hildamsumal8628 3 ай бұрын
Kume kucha
@zamdanamwenje9415
@zamdanamwenje9415 3 ай бұрын
Huyu anatangaza vibaya
@user-kg7xb4hm5m
@user-kg7xb4hm5m 3 ай бұрын
Hawezi kuwa na 50yrs
@theogeorge3773
@theogeorge3773 3 ай бұрын
1974 kumbe mkubwa aisee
@NondelaCastro
@NondelaCastro 2 ай бұрын
Ni hatari kuwaona awa wasani wa kikristo kumbe nima shetani
@user-go5hd4wl5r
@user-go5hd4wl5r 3 ай бұрын
Storia ya uhongo mmmmm 🤔😳 siji utube tena
@godlovemalekela17
@godlovemalekela17 3 ай бұрын
Usihukumu
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 3 ай бұрын
Sipendi iruminat
@imanimulumbilwa6056
@imanimulumbilwa6056 3 ай бұрын
Mwaka wa 1974,acheni uwongo ninyi .
@user-mf8su7us1j
@user-mf8su7us1j 3 ай бұрын
Kumbe mkubwa Sasa mbona ansonekana Binti
@swalehsalim5576
@swalehsalim5576 3 ай бұрын
Wanawake waokovu nao pia wana balaa zao
@yusuphyusuph1641
@yusuphyusuph1641 3 ай бұрын
1974 uongo labda 1984
@uzimakwayesutv
@uzimakwayesutv 3 ай бұрын
Shetani huyo Hatufai Kwenye Familia Yetu Watoto Wa kristo Yesu
@esterkabigili
@esterkabigili 3 ай бұрын
Kwani we ni mtakatifu?
@esterkabigili
@esterkabigili 3 ай бұрын
Kama neema ya Mungu imekuhifadhi si umuombee neema ya Mungu pia? Si vema kujihesabia Haki kama mkristo. Mwenyewe YESU alikuja kutafuta kilichopotea
@EspoirJosueBahizire
@EspoirJosueBahizire 3 ай бұрын
Ni Congolaise ule dada
@aidankakulu398
@aidankakulu398 3 ай бұрын
LIMALAYAAAAAAAAAA HILOOOOOO JIBWAKOKOOOOOO
@shabani_Osee_Ngena
@shabani_Osee_Ngena 5 ай бұрын
😂😂
@VeronicaKamau-np2si
@VeronicaKamau-np2si 3 ай бұрын
Kama hujui historia yake mwache,,,you cannot understand 😂😂
@momylaviel
@momylaviel 3 ай бұрын
Mambo ya watu hayakuhusu nyau wewe
@stanslaustwanje7543
@stanslaustwanje7543 3 ай бұрын
Sawa ss unatak kusemaje kwamb na yeye n Freemason au ..?!!tafuta content nyngne
@beverlykabz5429
@beverlykabz5429 3 ай бұрын
Hii ni tabia mbovu sana. The creator of this video must repent :/
@user-ew4qf9ud4v
@user-ew4qf9ud4v 3 ай бұрын
Hivi wewe ni jamaal??..nauliza tu
@Epicbongo
@Epicbongo 3 ай бұрын
Hapna hii sio wasafi.
@MolinaSammy-gi1lb
@MolinaSammy-gi1lb 2 ай бұрын
Asilimia 70 ya unayosema hapa ni uongo mkubwa kwa sababu chanzo cha habari zako ni aidha toka kwa media kama hizi au za christina shusho mwenyewe ambazo anasema uongo mtupu. Historia yako kumuhusu ni uongo mtupu. Hakuna substance katika mambo mengi mnayojifanya mnaandika, mnatafuta views tu.
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 3 ай бұрын
Naona kama mmetumwa wajinga nyny
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 3 ай бұрын
Shetani huyo
@RwachiryoraWema
@RwachiryoraWema 3 ай бұрын
Nani nishetani wewe au yeye we mwenyewe bin Adam kumuita mwenzio shetani ina maanisha wewe una roho ya sherani pengine
@phanicelidjo8011
@phanicelidjo8011 3 ай бұрын
Shushos voice is very poor, she can't even perform live. She serves other gods.
@mercynina6288
@mercynina6288 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Farajahelene23031
@Farajahelene23031 4 ай бұрын
Nonsense
@kingdavid8800
@kingdavid8800 2 күн бұрын
Wew ni muongoo...... Ety amezaliwa October,5 ,1974????? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 .... Kumbe ni muuguzi..... Nyieeeeee 😂😂😂😂😂😂😂😂..... Huu wasifu una uongo mkali sanaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lucytonkei2391
@lucytonkei2391 3 ай бұрын
Rubbish
@Rebecca-d7l
@Rebecca-d7l Ай бұрын
Wangu Dada chouchou kweli nachukuru kuwa wewe ni mu 🇨🇩 Wana wake Wenye nguvu na Karama kubwa ni was Congo Tena tutaenda bingini Dada courage .karibu homme
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman 3 ай бұрын
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu..
@AnithaMuvurwaneza
@AnithaMuvurwaneza 2 ай бұрын
Ayakuusu mu Congo mu tzt wote ni Wa africa 😂😂😂
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman 3 ай бұрын
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu&
@merinazyd0532
@merinazyd0532 2 ай бұрын
Kwao Tanzania Kigoma
@eliassoingei2046
@eliassoingei2046 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman 3 ай бұрын
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu
The Story Book : Mizimu Ndani Ya Pango La Ngonga Zanzibar
30:04
Wasafi Media
Рет қаралды 237 М.
Israel Mbonyi - Sikiliza
11:29
Israel Mbonyi
Рет қаралды 10 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 102 МЛН
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 11 МЛН
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 26 МЛН
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓
00:15
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 11 МЛН
Israel Mbonyi - Nina Siri
11:11
Israel Mbonyi
Рет қаралды 57 МЛН
The Story Book:Ukweli Wote Kuhusu PEPONI.
48:39
Wasafi Media
Рет қаралды 646 М.
MAKOSA UNAYOYAFANYA WAKATI WA MAOMBI YAKO // REKEBISHA HARAKA
12:45
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 231 М.
Neema Gospel Choir - Nikurejeshee (Live Music Video)
12:44
Neema Gospel Choir
Рет қаралды 3,5 МЛН
MUIGIZAJI TAUSI NA PACHA WAKE WAKIIMBA KANISANI
7:28
NGOME YA YESU KRISTO
Рет қаралды 1,5 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 102 МЛН