MFAHAMU KOPLO KOJA: ASKARI ALIYETREND AKIONGOZA MSAFARA WA RAIS MWINYI

  Рет қаралды 377,055

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

MFAHAMU KOPLO KOJA: ASKARI ALIYETREND AKIONGOZA MSAFARA WA RAIS MWINYI
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 202
@JosephinaKupuya
@JosephinaKupuya Жыл бұрын
Yuko vzr ameongea point pia anaonesha kuipenda na kuithamini ajira yake hongera ndugu kwa kazi nzuri
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 Жыл бұрын
Safi sana,shupavu sana,utapata cheo kwa uwezo wa allah 🙏🏿
@Andrewbendera
@Andrewbendera Жыл бұрын
Kazi kazi All the Best Soldier.. %
@youngbob9761
@youngbob9761 Жыл бұрын
Safi sana kazi nzuri
@hassanrashid9436
@hassanrashid9436 Жыл бұрын
Safi kaka nakukubali uko vizuri umewakulisha vizuri kambi ya bomani pia big up.
@abdulazizabuu
@abdulazizabuu Жыл бұрын
Safi sana big up officer
@user-uj5yk5ty3m
@user-uj5yk5ty3m Жыл бұрын
Broo nakukubali 100%100 Allah akufikishe mbali inshallh
@kayumbasosthenes3596
@kayumbasosthenes3596 6 ай бұрын
Mimi pia nmempenda pia japokuwa hajajibu vema,jibu nihivi niheshima na nidhamu kwa mwenye kukuzid cheo,kapiga gwaride kwa kutanua njia watakqyopita na salute kwa wakuu big up
@hassanmsipi4094
@hassanmsipi4094 Жыл бұрын
Aaaakh!!! Maa Shaa Allah Mwanangu Sana Tanga Moja hiyo
@ramadhanihamisi9393
@ramadhanihamisi9393 Жыл бұрын
Hongera Sana jinsi ulivo ongoza msafara wa mweshimiwa rais Ally mwinyi mungu akutangulie Raha sana
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Жыл бұрын
Halikuwezaaa kuzowelaas au hakika pigiwa pichaaa zikarushwaaa hivyooo alivyooo fanya ndioo utaratibu kazi nzuri kijana
@cholosadi4352
@cholosadi4352 Жыл бұрын
Hanalolote huyo mshamba tu
@jumaamwairo2264
@jumaamwairo2264 Жыл бұрын
Mjomba kwenye majukumu yake 👍
@cholosadi4352
@cholosadi4352 Жыл бұрын
Anapenda sifa tu Mtanaga
@ibni_H2TL6r
@ibni_H2TL6r 7 ай бұрын
MACECHU STAND UP ✌
@allyzumo5832
@allyzumo5832 Жыл бұрын
Kakaaaaaa ndugu yangu kijana wangu mwanafunzi wangu Tanga hukooooo
@alphamwasakyen7696
@alphamwasakyen7696 Жыл бұрын
Hongera sana askari wetu
@UstadhImran
@UstadhImran Жыл бұрын
Mashaallha kazi nzuri💯
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Жыл бұрын
Nijasir Sana big up Sana 💪 kwake
@takrimumakame2271
@takrimumakame2271 8 ай бұрын
Hongera sana bro Nassir wew ni mchapa kazi, kazi iyendeleeeeeee
@athumaniyshehoza2252
@athumaniyshehoza2252 Жыл бұрын
Hakika uko vizuri nimeipenda hiyo uko makini na kazi yako
@MudathirAli-i5g
@MudathirAli-i5g Жыл бұрын
Safi sana chapa kazi🎉
@edithaeugeni9695
@edithaeugeni9695 Жыл бұрын
Na kukubali sana kamanda umejieleza vizuri sana
@spiderelexander9977
@spiderelexander9977 Жыл бұрын
Wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kuzuia
@yudamanyumbu4978
@yudamanyumbu4978 7 ай бұрын
Safi sana kazi nzuri afande
@Sampertz
@Sampertz Жыл бұрын
Anko nassir mwanyevu pangarawe icon never give up mjomba🙏🏻
@mwajunassibu4192
@mwajunassibu4192 Жыл бұрын
Mashalwahu kwa ulakamavu wako
@user-dx1wg4wr7q
@user-dx1wg4wr7q 10 ай бұрын
Pambana mkwe kazi Kwanza majungu bdy inshaallh
@fadhilhimid2776
@fadhilhimid2776 Жыл бұрын
Yupo vizuri Sana hongera sana
@AbbrahamChellah
@AbbrahamChellah 6 ай бұрын
Baba yako huko alipo anajivunia sana kaka na hata sisi wanatanga wenzako tunajivunia kupata habari nzuri kama hizi kaka, mwenyewzi Mungu zaidi kukubariki kuja boy. Kwaminchi umepata jembe
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 Жыл бұрын
Hakuna kitu special hapo,ni moja ya mbwembwe tu katika kazi
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 7 ай бұрын
Si mbwembwe bro. Kihana anaipenda kazi yake.
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 7 ай бұрын
Kijana.
@ashiriiyulu6430
@ashiriiyulu6430 Жыл бұрын
Makini sana
@aminasaid4771
@aminasaid4771 Жыл бұрын
Hongera sana
@fadhilplatnumz8474
@fadhilplatnumz8474 Жыл бұрын
Nimemkubaali sana huyu mwamba 👍Apewe MAUA yake nimepja KAZI mahiri
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
😂😂😂😂 maua
@raymondcreditconsultant5067
@raymondcreditconsultant5067 5 ай бұрын
KAZI nzuri makanda
@boraimanijumamahenge7554
@boraimanijumamahenge7554 Жыл бұрын
Long life blood... Askari ameweza kinoma 😂
@jelaategroup3750
@jelaategroup3750 Жыл бұрын
Kazi nzuri
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz Жыл бұрын
Mungu Amjaalie apate cheo Amin ila Nchi hii ina Fitna sana na uchoyo Wonderfully Kamanda Piga kaz
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 Жыл бұрын
Cheo cha kazi Gani?
@JumaMsukwa-bu5nt
@JumaMsukwa-bu5nt Жыл бұрын
Vizuri sana
@user-ej1mw7xw5x
@user-ej1mw7xw5x 7 ай бұрын
Mungu akuongoze inshallah 😊😊
@user-bo4be2yq8x
@user-bo4be2yq8x 8 ай бұрын
Muheshimiwa raosi jamaa kajielezea vizuri namuombea japo kijinyota huyo mpeeeeeeee❤
@dr.alexmagufwa9131
@dr.alexmagufwa9131 Жыл бұрын
Good job
@nassorrashid2419
@nassorrashid2419 Жыл бұрын
Mashallah
@saumuothman7196
@saumuothman7196 Жыл бұрын
upo vzr kaka,,ALLAH ATAKULINDA
@abdulkareemchacha2625
@abdulkareemchacha2625 Жыл бұрын
Safi sana👍
@suleimanmuhammed1347
@suleimanmuhammed1347 Жыл бұрын
Tunakuomba dr mwinyi huyu Askari Ameweka heshima kubwa sana kwako kwa hi staili Aliotuonyesha wa tanzania na wazanzibar kwa ujumla.
@mhandoonthebeats8581
@mhandoonthebeats8581 Жыл бұрын
Utaratibu wa kazi upo hivyo hata angewekwa mwingine angefanya kama yeye
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
@@mhandoonthebeats8581 dah hv una shida gani ww...wangap hawajawah kufanya???
@sam-l3z9i
@sam-l3z9i 6 ай бұрын
Trafic yupo vizuri sana ❤❤❤❤❤❤
@mswaki_newstz
@mswaki_newstz 7 ай бұрын
Very nice,, congratulation soldier
@gimbagembeyale5252
@gimbagembeyale5252 7 ай бұрын
Bravo🎉🎉😮
@ShabanisaidiMsangi-jg6uq
@ShabanisaidiMsangi-jg6uq 5 ай бұрын
Ndio kazi inayompa maisha mjini
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 Жыл бұрын
👍🏿👍🏿❤️
@Amourharoub-rf1tc
@Amourharoub-rf1tc 6 ай бұрын
All the best Afisor
@ramadhanijumapugilaleo
@ramadhanijumapugilaleo Жыл бұрын
hongeren sn
@osodowilberforce2321
@osodowilberforce2321 10 ай бұрын
Congratulations Corpral,very smart and very alert.
@KarimuYusuph
@KarimuYusuph 6 ай бұрын
kazi ipo kwenye damu safi sana kaka
@cholosadi4352
@cholosadi4352 Жыл бұрын
Anapenda sifa mwambie sifa mbaya izotabia zakufukuza daladala kwa honda ili kulazimisha rushwa atapotea
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 Жыл бұрын
Kwa roho zenu mbaya.
@user-py6mn1uq7z
@user-py6mn1uq7z Жыл бұрын
Kama wew si konda au dereva lazima utasema kuwa tuna roho mbaya ila anaemjuwa huyo kama mim hiyo tabia ya kukufata na chombo anayo mim ashikamata sana tu anajita mandonga
@user-sp9re7kc1u
@user-sp9re7kc1u 6 ай бұрын
Hongera sana best wangu
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Жыл бұрын
Huyu Askari ni mnoko sana namchukia sana
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 Жыл бұрын
Huo ndio uwaskari lazima uwe mnoko kwenye sheria kuzisimamia, maana ili askar awe mnoko aende kinyume na raiyaa anavyo taka
@cholosadi4352
@cholosadi4352 Жыл бұрын
Mnoko kweli aambiwe
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 Жыл бұрын
Unoko ndiyo uaskari wenyewe
@princes6045
@princes6045 Жыл бұрын
Good job son
@hassankaduara436
@hassankaduara436 6 ай бұрын
Nzur kak 🎉
@user-nw8vw8ev6b
@user-nw8vw8ev6b 8 ай бұрын
Kamanda nakupa maua yako upo vinzur nakuombea kwamwenyezi mungu upate cheo kikubwa zaidi
@athanasekiyoja8369
@athanasekiyoja8369 Жыл бұрын
Huyo ni askari, turn out yake, yuko sawia,mkakakamavu ,smart,uwezo kujieleza yuko safi.Kwa ujumla huyo Ni askari.
@aminaaminahmuhammad8838
@aminaaminahmuhammad8838 10 ай бұрын
Nice job
@hakunamatataznz5508
@hakunamatataznz5508 6 ай бұрын
❤❤❤
@user-rf1fd4kf8l
@user-rf1fd4kf8l 6 ай бұрын
Noma
@feisalboy6702
@feisalboy6702 Жыл бұрын
Nyny waandishi tafuteni habari za maana km hamna bora tulieni tu ss ndio kuna kipya gn alichokifanya hapo
@barackhussein312
@barackhussein312 Жыл бұрын
Tanzania unatrend ukifanya majukumu yako. Halafu haya yanatokea kwa kuwa hatuna standard za kuongoza hivi vitu so watu wanatumia utashi binafsi kufanya majukumu.
@cholosadi4352
@cholosadi4352 Жыл бұрын
Anapenda rushwa huyo
@allythabiti8150
@allythabiti8150 Жыл бұрын
Kijana wangu, nakuona sheikh naona umeiva,,
@jumannemfaume
@jumannemfaume Жыл бұрын
Very nice smart kabisa
@hamiduchingi2672
@hamiduchingi2672 7 ай бұрын
Sarut Nafulai Sana nikiona mtu anaipenda kaziyake naiiyote nikwasababu moyo,akili,mwili, vimelidhika nakaziyako,ila laitikama ivyo vyote vingekataa ninatumaini iyokazi ungeichukia Pigakazi dume tafuta pesa,usitafute sketi Wala majungu chukuwa mauwa yako ayo🎉🎉🎉🎉
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Жыл бұрын
Huyu jamaa ni mnoko balaa anaongoza kwa kulazmisha kula rushwa Ukweli namchukia sana
@cholosadi4352
@cholosadi4352 Жыл бұрын
Umeongea pwent broo
@aliiddi608
@aliiddi608 Жыл бұрын
Angalia account yako Ina picha Gani basi Kisha sema hisia zako. Njia unayotumia kujiweka huru sio salama kwako
@baaliyanuun416
@baaliyanuun416 Жыл бұрын
Wwe ni fala mbwa ww
@shabanihamis-lc3ww
@shabanihamis-lc3ww Жыл бұрын
Jina lako peke yake linashabihiana na tuhuma zako kwake kwamba nazo ni za mchongo!!😅😂
@othmannkya5837
@othmannkya5837 Жыл бұрын
Ila hapo traffic akikosea upande wa msafara... Maamuzi yanakuwa yapi, watamfwata traffic, au wataendelea na protocol.. af wazungumze baadae issue ilikuwa ni nini
@dullahrajabu6418
@dullahrajabu6418 6 ай бұрын
Khoja
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 Жыл бұрын
Safiiiii
@YasrFak
@YasrFak Жыл бұрын
Yuko vizuri kuna siku alinikaamata akanifahamisha tu bila pesa akaniachia hana Tamaa tofauti na askali wengine niliona kweli watu hatufanani
@mbarakazuberi7915
@mbarakazuberi7915 Жыл бұрын
Wabongo washamba sana ivi vitabia vya kuonyesha funguo za gari ndo nini si uiweke kwa mfuko tu
@alextanzania
@alextanzania Жыл бұрын
Fanya yako
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
We mshamba zaid ya watanzania wote 😁😁😁😁
@daudjohn752
@daudjohn752 Жыл бұрын
Funguo ya pikipiki TVS mzee wala sio gar Ako proud na pikpik yake😂😂
@mbarakazuberi7915
@mbarakazuberi7915 Жыл бұрын
@@salamasaidi6620 haha aya inawezekana nikawa mshamba ila uyu amenizidi na ndo munauzaga sura kwa kuonyesha onyesha funguo ulimbukeni utasema mtu mwenye miaka 18 kumbe jitu zima
@kiyabolnjemu9646
@kiyabolnjemu9646 Жыл бұрын
Kinyozi nzuri anayetumia wembe na kitana
@tausimwalimu9255
@tausimwalimu9255 Жыл бұрын
Hahahahaaaaaaaaa
@mohamedkondo-tq2bm
@mohamedkondo-tq2bm Жыл бұрын
Hakika huyu askari sio mbinafsi akiongea asemi yeye anasema sisi. yaani askari wote wapo kama anavyo fanya yeye
@aminamrisho8878
@aminamrisho8878 Жыл бұрын
Congratulations
@AbdallaJuma-ih4ib
@AbdallaJuma-ih4ib 7 ай бұрын
Kazi iendelee
@aloyceponela3249
@aloyceponela3249 7 ай бұрын
Safi sana maiki
@aimanankya7405
@aimanankya7405 7 ай бұрын
@jamesjustine2811
@jamesjustine2811 Жыл бұрын
Sifaa zinatrend kuliko mambo yabandari
@user-up3tn4de9u
@user-up3tn4de9u Жыл бұрын
Masiaya
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
gari kali.za.kifahari nchi.hoehae
@alexvenas2699
@alexvenas2699 Жыл бұрын
Aibu
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Weweeeeeeeeee safiiiiiiiii kamanda hii ilikuwa ni kazi uliyoipenda from kumoyo hujalazimishwa
@mazeenipia8782
@mazeenipia8782 Жыл бұрын
Good job mkuu
@KUPASteven
@KUPASteven Жыл бұрын
Good job offisa
@anthonymilambo6038
@anthonymilambo6038 Жыл бұрын
Good kijana.
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 Жыл бұрын
Hivi mmeishiwa habari au?sasa hapo nn cha ajabu🤔
@hijazhija316
@hijazhija316 Жыл бұрын
Chuki wivu
@abdillahchikota4303
@abdillahchikota4303 Жыл бұрын
katikati ya mji wa zanzibar kivip?
@KadabraGadna-xu5ez
@KadabraGadna-xu5ez 8 ай бұрын
Namjuwa huyu Askari namjuwa,Hana tamaaa nimuelewa sanaaa,huyu jamaa sio mtu wa rushwa kabisa ila wapo hapo malindi sub Hana ALLAH
@AmosiEmanuel-dw2pj
@AmosiEmanuel-dw2pj 5 ай бұрын
Mmmm
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 8 ай бұрын
Ki today kakiweka wp ?
@waytvtz2549
@waytvtz2549 Жыл бұрын
Mnakuza vitu vya kijinga Kwan Kuna maajabu gan kwa huyo Askari si yupo kwenye moja ya utekelezaji wa majukumu yake ujinga tu ndyo maana utendaji watanzania ni duni sana
@officealomarion8066
@officealomarion8066 Жыл бұрын
Kbx yn kuna vitu muhimu hawajadil
@kombohajjihamad8776
@kombohajjihamad8776 5 ай бұрын
Hhhhh umetisha nasir H2
@msellemseif3102
@msellemseif3102 Жыл бұрын
Bro. Hunaga makuu wewe af Jabir af Jahfar nk..ZANZIBAR OYEEEEEEE❤️❤️❤️🤣🤣🤣😂😂😂
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
Hii kazi inawaweka kwenye hatari ya kifo any time we can do better than this huu mtindo ni wa kizamamni sana trafiki kisimama barabarani wekeni trafiki light zitawaongoza wapi pole sana askari kazi hujui kama utarudi nyumbani kila siku naona umasali usigongwe.
@rostamkamazima1012
@rostamkamazima1012 6 ай бұрын
Ilimradi tu wajuaji hamkosekani
@mohamedrishadiahmed.
@mohamedrishadiahmed. Жыл бұрын
Nzury sna kamanda wa polisi kwa unaa wako ulotuonesha tunaomba polisi wengine mfate km kamanda koja.
@herimbinguni9384
@herimbinguni9384 Жыл бұрын
😢
@MahdiMkubwa-yb1oz
@MahdiMkubwa-yb1oz Жыл бұрын
Zanzibari wazaledo
@muyongahassan2188
@muyongahassan2188 Жыл бұрын
Kazinzur kk
@papaamakolokolo3868
@papaamakolokolo3868 8 ай бұрын
Hizo nimbwembwe 2 kinacho kufanya tukuheshim niutendajiwako siyombwembwe hizo he upotimam kikazi?
@user-rw6pl4zd8x
@user-rw6pl4zd8x 6 ай бұрын
Mbona kawida Cha ajabu ni nn au kutembe?
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 16 МЛН
小丑和白天使的比试。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:51
超人不会飞
Рет қаралды 46 МЛН
Touching Act of Kindness Brings Hope to the Homeless #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 19 МЛН
EXCLUSIVE: MZEE RAMIA afunguka KUHUSU HAYATI MZEE MWINYI
23:20
Wasafi Media
Рет қаралды 4 М.
UTEKAJI NA MAUAJI, JE RAIS SAMIA NA MBOWE WANAHUJUMIWA?
7:38
Wasafi Media
Рет қаралды 18 М.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 743 М.
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 16 МЛН