#EXCLUSIVE

  Рет қаралды 81,552

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

#EXCLUSIVE: A to Z HAYATI KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADI KUUAWA, MTOTO WAKE ASIMULIA KILA KITU
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 59
@francisboydmwakyusa230
@francisboydmwakyusa230 6 ай бұрын
Mungu amtunze Rais Amani, he's so genuine all the time. Huwa sichoki kumsikiliza, ni zawadi kwetu.
@mohamedbat-heif3693
@mohamedbat-heif3693 3 ай бұрын
Nimevutiwa sana na mheshimiwa kwa heshma yake,upole wake na fungamano lake na dini yake,mara kwa mara hua anamshukuru Allah na kutowa shukrani zake kwa Allah kwa kutamka alhamdulillah. Namuombea tawfik katika harakati zake za kimaisha na za kuwaunganisha wananchi wenzake. Wabillah tawfiq
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 4 ай бұрын
Ahsante Mh umeeleza ukweli usiopingika nimependa sana ,hususan kufilisika kwaviwanda vyetu 🎉🎉🎉
@khamismakame5934
@khamismakame5934 6 ай бұрын
muandishi mie napenda kwanza ujue nini tofauti ya hayati na marehemu maiti ya kiislam baada kuzikwa huitwa marehemu maana hua tunamuombea rehma kutoka kwa mwenyezi Mungu na hao wengine hiyana hayati maana yao wao mie siijui
@moxasaidi3398
@moxasaidi3398 5 ай бұрын
Sasa hivi Simai amejiuzulu kwasababu anataka kujaza pombe zanzibar na sharia haimruhusu😊
@Itarusii
@Itarusii 6 ай бұрын
Kazi kweli. Tuna la kujifunza hapo. Historia mpaka mtu uje kufahamu ukweli ni changamoto. Yale yale ya Sokoine. Tuendelee kujuzana.
@allyhusseinally2461
@allyhusseinally2461 Жыл бұрын
Appreciate history ya mzee wetu🇹🇿🙏🤲♥️
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 Жыл бұрын
Ukitaka kujua kwanini haswa marehemu alipigwa risasi...andika hapa youtube mahojiano ya amani thani akiwa dubai... Akielezea dhulma kubwa aloifanya marehem na nin kilipelekea auwawe... Nchi hii imemwagwa damu za watu ambao hawana hatia bila ya sababu ya msingi... Historia inafichwa fichwa mno ..ila kiukweli wazee hawa walizingua mno ..
@admirabisikiduduye1516
@admirabisikiduduye1516 6 ай бұрын
Nilisoma makala moja , pamoja na simulizi za mitaani, baba yake hamoud na wanaharakati kadhaa wa mapinduzi waliuawa akiwemo Hanga na kuzikwa kaburi moja, kabla ya kumuua karume hamoud alitamba na kusema ipo siku nitamuua karume, vyombo vya dola vilipuuzia kwa kuwa walikuwa marafiki pete na kidole
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 5 ай бұрын
@@admirabisikiduduye1516 mzee na hamoud walikuwa marafiki?
@salimukungulilo2928
@salimukungulilo2928 Жыл бұрын
Allahuma umghofirie na UMREHEMU NAUMPE MAKAZI JANNATI FIRDAWSNUZULA Amin
@nathanamon6876
@nathanamon6876 Жыл бұрын
MUNGU azidi kumpa uhai Mzee wetu hata like basi wakuu nimekua wa kwanza hapa
@omarmussa5755
@omarmussa5755 Жыл бұрын
Muandishi kazi nzr sana brother
@Brandsonce-qs2yt
@Brandsonce-qs2yt 7 ай бұрын
Safi sana kwa kumusikia
@wizkidayo390
@wizkidayo390 Жыл бұрын
Mh ameanza vizuri anamaliza vibaya mpka anafanya kigugumizi sisi tunataka nchi yetu yenye mamlaka kamili asiseme uwongo c aseme tu 😢😢
@leblue4768
@leblue4768 Жыл бұрын
Dhulma zao watazilipa hapahapa
@hassannyagawa2308
@hassannyagawa2308 Жыл бұрын
Unalaumu nini. Huyo saa hizi mzee unatakasema alishiriki kumuuwa baba yake au wewe unajuwa vizuri twambie
@pandungozi1072
@pandungozi1072 Жыл бұрын
Mtoa maada nahisi mmekwenda mchomo na mmepoteza maada ya lengo na madhumuni yote ya topic yenu! maada ilikua kuelezea kifo cha karume mwanzo hadi mwisho sio kuruka kwenye maada za mapindunzi,uchumi na uwongozi na maisha yao,vigugumizi na kupoteza mda wa wasikilizaji. Anyway mmejitahidi but mmepoteza muelekeo wa maada yenu bila kujijua wala kujitambua. Asanteni
@fatmaabeid9668
@fatmaabeid9668 7 ай бұрын
Hajajitaarisha wala hakusoma histri ya mzee karume ili ataarishe masuala
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
😍😍😍❤️
@bekabeka-ww2mn
@bekabeka-ww2mn Жыл бұрын
world on fire
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 Жыл бұрын
Stories nyingi zinasima Mzee Karume alizaliwa Malawi kijijini na aliletwa Zanzibar na Kambarage apindue hatujui Nani Mkweli
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 Жыл бұрын
Tuambie pia hao masultan waliopinduliwa walitoka wapi
@personpeter2221
@personpeter2221 Жыл бұрын
Hz stori za masikan
@benjaminmanento4120
@benjaminmanento4120 4 ай бұрын
Asante, nimefaidi sana. Huyu mzee ana HEKIMA NYINGI. Mungu ambariki.
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 4 ай бұрын
Ukiuwa Kwa upanga utauliwa Kwa upanga hili halina mjadala
@moviesgreatdirectors3193
@moviesgreatdirectors3193 6 ай бұрын
Muungano wa leo siyo Muungano maana washirika hawako sawa. Zanzibar ina Serikali yake, Tanganyika haina serikali. Maono ya hayati Karume kuhusu Muungano ulikuwa wa kuwa wa nchi moja yenye serikali moja.
@HassanBoy-cp2zr
@HassanBoy-cp2zr Жыл бұрын
VIP Levi pesa za wizi zishamaliza
@emmanuelsanga3797
@emmanuelsanga3797 Жыл бұрын
Nakuona unachekiii cm why
@belgieboys9867
@belgieboys9867 Жыл бұрын
Tujiulize wale wengine walioenda nangari walitafutwa vipi? Au ndio hao waliokamatwa katika mawaziri na vipi walifinguliwa kesi za mauaji?
@fatmaabeid9668
@fatmaabeid9668 7 ай бұрын
Uyo muandishi hana maswala yake sijui hakusoma histri ya mzee karumee hajahitaarisha hasa na mauala ya mzee karume
@user-mg6hn6os6y
@user-mg6hn6os6y 4 ай бұрын
Baba yake huyu Abeid Amani Karume hivi sasa yupo Jahannam.Mapinduzi ya 1964 Zanzibar ni mauwaji na Karume alishiriki.Malipo ni duniani na Karume akauwawa.
@belgieboys9867
@belgieboys9867 Жыл бұрын
Hapo kasemq kweli walionda kushambulia, na walioenda kushambulia walikuwa group Lakini mzee aman hujatwambia walioshambia ni gari ya aina gani? Na watu wa aina gani? Mie sisemi. 😂😂😂
@godwinmbwambo3316
@godwinmbwambo3316 11 ай бұрын
Acha speculations
@mlulamsiliwa7123
@mlulamsiliwa7123 5 ай бұрын
😮😮😮😮😮😮
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🙏
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 6 ай бұрын
Wauwaji na uvamizi na wengine wamekosa radhi kuwa wanafiki Mwenyezi Mungu mkubwa ndio anaejuwa na haki ataleta In Shaa Allah ameen
@issahajjiira5411
@issahajjiira5411 7 ай бұрын
Kwanini mzee Karume aliuwawa?
@belgieboys9867
@belgieboys9867 Жыл бұрын
Thabit kombo kafa mwaka gani?
@Bam268
@Bam268 Жыл бұрын
Juzi
@razackmuba8195
@razackmuba8195 Жыл бұрын
Mh,
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Mamlaka kamili hayawezi kupatikana kwa makaratasi
@user-bl9zf1zb2t
@user-bl9zf1zb2t Жыл бұрын
Yanapatikanaje?
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
@@user-bl9zf1zb2t hujaskia walivyo sema nchi hawajaipata kwa makaratasi na haitatoka kwa makaratasi sasa akili kichwani mwako
@belgieboys9867
@belgieboys9867 Жыл бұрын
Alishambulia alikuwa na wenzake wanavyosema mashahidi ndani ya afisi kuu. Kilikuwa ni kikundi cha huyo jamaa ambao walitumwa na wanavyosema mashahidi aliyeua kauliwa na watu wake ambao walimpeleka aue. Hadithi hiyo niliipata ndani ya ofisi kuu kwa mzee wa ccm ambaye wakati huo alikuwa kijana wa asp
@lastborn7810
@lastborn7810 Жыл бұрын
Nae ni nyerere na wanajua lakini hawasemi 😂
@user-xf9or5cv1d
@user-xf9or5cv1d Жыл бұрын
Si kweli baba ako hakuzaliwa mwera kazaliwa malawi huo ni kweli nyi nyi hamna asili ya uzanzibari
@KhalidMohammed-mq3km
@KhalidMohammed-mq3km 6 ай бұрын
Kumamae wallah yaani utazani wewe ndio mzazi wao gastadialo stupid
@tatumuhando6107
@tatumuhando6107 Жыл бұрын
Aliemuuwa karume ni shemeji yake huyo anaezungumza hapo ni mjomba wake aliezaliwa na mama yake Baba na mama mmoja ninaushahidi na ninayoyazungumza mkitaka kujua zaidi wasafi mnitafute niwapeni story maana nilikuwepo eneo la tukio japo nilikuwa mdogo
@jumamachano3442
@jumamachano3442 Жыл бұрын
Acha shoboooo www
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 4 ай бұрын
Viwanda viliendeshwa kwa ujamaa na mazoea rushwa matumizi mabaya ya vyeo na kutoajiri wataalamu wa kitosha.
@SliJuma-un9sl
@SliJuma-un9sl Жыл бұрын
Hunaishu wewe ulipokua madarakani alifanya nini mbwa
@salimamani6672
@salimamani6672 Жыл бұрын
Mpumbavu sana wewe unajuwa nani aliye leta Zanzibar mariziano mpaka leo ikiwa shwari hakuna Raisi duniani kote au kiongozi asiye kuwa na mapungufu walipita maraisi wangapi Zanzibar kabla yeke je kulikuwa na neno mariziano?
@muniraally4091
@muniraally4091 8 ай бұрын
Subhanallah una haja gani kutu k ana
@mombasa0076
@mombasa0076 6 ай бұрын
MATUSI SI MTAJI
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 16 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 25 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,3 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 40 МЛН
SIJARUDISHIWA LESENI | FATMA KARUME | KUHUSU FAMILIA
11:47
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 33 М.
Salama Na Shangazi Ep 28 | FIRST BORN Part 1
41:43
YahStoneTown
Рет қаралды 124 М.
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Mwananchi Digital
Рет қаралды 424 М.
🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku, 28 Julai 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 1,1 М.
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 16 МЛН