Hatuwezi kujivunia mapinduzi kwasababu yalikuwa mauwaji ya wazanzibar kama alivyosema mzee Hashil anaomba radhi walihadaiwa
@ndalahwakulwa87587 ай бұрын
John Okello ndio Ali ongeza Mapinduzi akisaidiwa na Tanganyika Karume alichomekwa na Tanganyika Ndio maana Tanganyika Tanganyika bado inaongoza na kuhakisha Jumbe Mwinyi waliwekwa kutawala
@zakariapaulowiliamuwiliamu18407 ай бұрын
mzee wetu anajua mengi sana na mamenifungua mengi hongera kwako black and White
@aliferuzi15377 ай бұрын
MV MAPINDUZI IHAIKUUNDWA CHINA NI JAPAN KTK KAMPUNI YA NIIGATA Engineering lkn umeme. Lift ya kwanza ILIKUA beiltjaib. Simu ikiwekwa pale Serena hotel.
@ahmedalbalushi62394 ай бұрын
Mchanganyiko wa watu hao ulowataja ukasahau kutoka Iran Ambao babu zetu ndio wametoka na kuingia Zanzibar tokea 1700
@ahmedalbalushi62394 ай бұрын
Ni propaganda za kudanganya hasa wenzetu wa Tanganyika Said ndugu yangu hapa nakuonga mkono kuwazibua viziwi
@abdulrahmansalim97732 ай бұрын
KWA PESA ZAKE 😂😂HAKUIBA NA MENGI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAONGO WANAFIKI TAMAA HAKI KAILETA NA ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN.
@EshaHamd-ed9yv7 ай бұрын
Haya hayakuwa Mapinduzi yalikuwa ni mauwaji yaliyopangwa Kwa makusudi kuwauwa Watu na akisaidiwa Na Laana tu Allah Mungu ampe adhabu Kali huko aliko kaburi limbane Sana Kafiri la Kitanganyika.
@ahmedalbalushi62394 ай бұрын
Na wewe Said wakati tunasoma ulikuwa kiongozi wetu
@SULEIMAN-l8v8 ай бұрын
Wahadimu sio wakusini maana ya hadimu ni huduma wahudumu ni watu kutoka bara waliokua wanatumwa mashambani 11:07
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey7 ай бұрын
BABA HUMUD ALIMUUA. MUGHERI KWA AJILI KUWATETEA WATU WEUSI YOTE UONGO NA HAKUPEWA ADHABU YOYOTE NA YEYE AKAPEWA HUKUMU YA KIFO
@salmaabdu50118 ай бұрын
Mr x ndie aliemuuwa karume na ndie alieuwa wazanzibari 12/1/1964 akaweka ukoloni wa kitanganyika laana tullah Nyerere
@machaliakulima767 ай бұрын
Waliomuua AAKarume ni makomred chini ya uongozi wa Abdulrahman Babu si Nyerere
@abdifaraji28837 ай бұрын
@@machaliakulima76 Watu wanajua lakini wanaogopa kusema tu kuwa kifo kibaya cha Karume Mwalimu alihusika. Mwalimu alikuwa na wasiwasi kuwa hurnda siku moja karume akaitoa Zanzibar katika mungano.
@sammarley14136 ай бұрын
@abdifaraji2883 nyerere alikua adui mbaya sana kwa jamii yawaislam mapinduzi yanzanzibar ndie Alie yapanga nakuuwa waislam wengi kwa kisingizio cakuwapindua eti watu weupe Masikitiko makubwa baadhi yawaislam wakashiriki kuwauwa waislam wenzao. Nyerere alikula njama na wakoloni waingereza nahivyo wakakubaliana kuleta wanajeshi wa Kenya kuja kufanya mauwaji na Zama hizo hizo ndio ikapacikwa Mombasa kwenye ardhi ya Kenya Mombasa sio Kenya . Lengo kuu ilikua kuangamiza uislam mwambao wa bahari Hindi. Nabada ya hapo ikaletwa hila ya vita vya kagera ili kumuondoa pia Id amin dada. Yote haya yalifanyika kwa sirikubwa namasikitiko Hadi Leo waislam wa Tanzania wapo bado tu kwenye ujinga hawataki kujua ukweli Bali wao nikukaririshwa tu
@ChumHaji6 ай бұрын
Mjinga mpe cheo, wewe ni kubwa jinga
@salmaabdu50116 ай бұрын
@@machaliakulima76 wazanzibari si wajinga kama wewe msione tunanyamaza ila hakuna tusokijuwa nyerere ndio alowatuma na akapanga njama
@Lundege_Hips8 ай бұрын
Huyu mzee Mungu amuweke anaifahamu sana Zanzibar kuliko viongozi waliopo sasa hawa ndio watu tunaowataka ktk uongozi
@williamkilembwe71898 ай бұрын
😊
@karimdaud39937 ай бұрын
Aquarium kubwa Africa ilikua fisheries .abayo wa bara wameivunja.chuo cha uvuvi 😅
@mamohamed12528 ай бұрын
Waliomuuwa Karume hawakusoma Cuba. Kwa taarifa yako kwa mfano Humudi alipata mafunzo ya kijeshi Urusi. Fanya utafiti wa kina tusipoteshe.
@humphreychristopher85778 ай бұрын
Kusoma Cuba na Russia si tofauti kwa kuwa nchi zote mbili hizo za kikomunist zilizalisha makomredi wenye mtazamo komavu na angavu😊
@BedroomTvKe5 ай бұрын
Ndugu unamrekebisha mtu aliyekuepo wakati ule
@baghabaghaingwengwe17508 ай бұрын
Television ya rangi ya kwanza Afrika
@kassimhaji32388 ай бұрын
Aliyemuuwa rais KARUME ni mr X ambapo hadi leo haijawekwa wazi huyu mr X ni nani
@natafutamatatizo43827 ай бұрын
OKELO KUTOKA UGANDA NDIE ALIYEONGOZA MAPINDUZI, KARUME ALIKUWA TANGANYIKA AKIPAKWA HINA ZA MIGUU NA MIKONO, ACHENI KUDANGANYA WATU!
@saqrymo3796 ай бұрын
Sheikh umesema mengi mazuri lakini mengi hukuyasema ya ubaya. Labda watu Unguja walikuwa na raha. Pemba tulisumbuka sana hasa 1969 - 1972. Njaa ilitupiga vibaya sana mpaka hata vilimo haviwi. Yakaja maduka ya ukoo tukiletewa sembe manjano mafunza watupu. Wapanga foleni ukifika mlangoni unaambiwa limekwisha. Karafuu ilikuwa haina faida mwisho wakaja serikali kuikata ili waPemba wazidi kufa njaa. Wakata mikarafuu kupanda raba na iliki. Iliki haikuwa. Tukaanza kufanya magendo ya kuuza karafuu Mombasa na Tanga ill tupate kula. Akaja Mh Rais Karume, Mtabwe Daya akasema nyie ndio munafanya magendo atakae kamatwa atapigwa risasi. Watu wakipigwa ovyo na watu walowekwa kwenye ubalozi wa nyumba kumi kumi. Ah inatosha Pemba tulipata adhabu sana mpaka leo. 😢😢
@victorjeremiah2468 ай бұрын
Aliyemuua Bado anaishi au keshatangulia mbere ya HAKI?
@machaliakulima767 ай бұрын
Kauliwa siku hiyo hiyo 07.04.1972 pale pale Makao Makuu ya ASP Ijumaa saa 11 jioni, Capt Ali Humoud ndo alomuua AA Karume. Humoud aliuliwa na dreva wa AA Karume
@ahmedalbalushi62394 ай бұрын
Halaiki kwanza sisi tuliokuwa tunasoma Pemba tulifundishwa uwanja wa Ndugukitu anakumba Said 😂
@abdulrahmansalim97732 ай бұрын
😮😮
@suleimansaid74868 ай бұрын
NI MAVAMIZI NA SIO MAPINDUZI.
@khatibabass31068 ай бұрын
Ulikuepo?
@ahmedalbalushi62394 ай бұрын
Said Miraji ambae nilisoma nae pamoja mwishoni mwa 70s mpka 81 kule kisawani Pemba
@siasia54698 ай бұрын
"Alikuwa Baharia Original "
@fanityubu8 ай бұрын
Duh Zamaradi umempa nini jamaa Kutoka Dar24
@stanslausmteme84554 ай бұрын
Yupo vizuri sana somo yangu huyu
@stanslausmteme84554 ай бұрын
Dar 24 wana watu sana hata maalim Kondo(Shaban Kondo) yupo vzr sana.
@geraldgogadi70548 ай бұрын
A nice interview, full information
@husseinkarim76637 ай бұрын
Viatu vya Kenya ni Bata,sio Bora,Bora ilikuja baada ya kutaifishwa Bata. Bora imekufa,Bata bado ipo na ubora wake upo palepale.
@AllyHamran6 ай бұрын
Nkuulize swali hivi muhammad Shamte sio mzawa na kazaliwa chambani Pemba.
@aliferuzi15377 ай бұрын
Treni imeanza Bububu SIO mwembe makumbi Bububu mpaka shangani
@hafidhali30207 ай бұрын
Si wengi waliofurahi na mauwaji ya kimbari yayofanywa na wakoloni weusi
@salma_6j9758 ай бұрын
Majina ya miraji tunakuwaga na akili sana
@mikiothman1038 ай бұрын
darajani canal imefukiwa 1932 na treni ya znz ilianza 1905 na safari yake ilianzia ngome kongwe ama forodhani na kuishia bububu namueka sawa kidogo.
@AliFakiMati-m7n8 ай бұрын
Unaijuajeehistoria ya mapinduzi wewe kumbe ulikuwa atahaujazaliwa.
@muddyausi84706 ай бұрын
Nimeipenda hy hameni mabondeni na wanajibu kijeuri et mumejenga wenyewe kwenye mashamba ya mpunga
@AbrahamSekuza6 ай бұрын
Huyu jamaa muongo anaongea nn kama anaogopa kusema ukweli
@selemanshayo71265 ай бұрын
Nimemuelewa san mzee miraji ni mpinzani ila anaongea kweli
@machaliakulima767 ай бұрын
Kwa kifupi kajitahidi kuelezea Zanzibar kuanzia mapinduzi, kaeleza kwa hamasa na fasihi
@alijuma78828 ай бұрын
Maneno mengine anayosema ya uwongo Kupata passport utawala wa karume ilikuwa kama unataka kwenda sayari ya mars
@cosmasmilanzi71178 ай бұрын
Huyu mtu anaijua vema Zanzibar
@machaliakulima767 ай бұрын
Sana tu anajua sana lakini mengine kabania bania
@khatibal-zinjibari69568 ай бұрын
Wakati wa ujenzi wa Hoteli ya Bwawani Karume hushika Sururu asubuhi na wafanyakazi.
@wamisangi28018 ай бұрын
Kenya hamna Bora kuna Batta. Bora ya Mwl JKN.
@machaliakulima767 ай бұрын
Ndugu nimekukubali, ingawa ni mbara lakini nilikuja Unguja nikiwa na miaka 13, 1969 Disemba 29, lakini nimeikuta Zanzibar iko bado na moto wa mapinduzi, Abeid A.Karume akisema CURFEW wote mnajifugia ndani siku kadhaa isipokuwa jeshi, polisi na mgambo wanatamba nchi nzima, ilikuwa raha kweli kweli.
@machaliakulima767 ай бұрын
Viatu vya raba Bora Tanzania na raba Bata na raba za China.
@machaliakulima767 ай бұрын
Nimecheza halaiki nyingi za mapinduzi Zanzibar tangu 1970
@khatibal-zinjibari69568 ай бұрын
Karume alianzisha TV ya Rangi ya Zanzibar ya mwanzo Afrika.
@maomacatta97708 ай бұрын
Viatu Bora sio kutoka Kenya ilikuwa kiwanda cha serikali ya Tanzania Bara Pugu Road
@ibrahimomari24587 ай бұрын
Mtafute jusa...huyo msanii tu...
@georgemkira17208 ай бұрын
Nimejifunza sana kuhusu zanzibar , mahojiano muhimu sana kwa vijana wa sasa
@ahmedalbalushi62394 ай бұрын
Gari za serikali SMZ
@shahidmaftouh11417 ай бұрын
1976 halaiki iliyo shinda ni usalama ❤kutoka wete, ukombozi chake chake 😂
@aliferuzi15374 ай бұрын
Halaiki ya usalama na ukombozi PIA zilikuwspo Zbar
@stanastana31997 ай бұрын
Mnona zanzibar isewe nchi kivyake
@abdulhalimjuma77867 ай бұрын
Huyu anatafuta mchongo
@HafidhOmar-rs4ty8 ай бұрын
Saidi miraji siasa vp umerud tna
@alijuma78828 ай бұрын
Tartan ilikuwa baadae sio wakati wa karume
@iddiyrashid16827 ай бұрын
Sasa imekuwa nyuma kama mkiya
@alikashmir29837 ай бұрын
,,,,,,,,
@ilynpayne74918 ай бұрын
cha kushangaza yani nchi yetu hii kila mzee wa miaka hiyo ana sema maisha yalikuwa bora kenye uongozi wa zamani ila sio sasahivi basi tume logwa ama kweli
@R10_Rajab8 ай бұрын
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ndio ulioiharibu Zanzibar bro Muungano ndio kirusi cha Zanzibar kutokukuendelea
@nassorsubah31007 ай бұрын
Sio wote wazanzibar
@stanastana31997 ай бұрын
Jamaa alitoka dar 24 au?
@roudhamahmoud7638 ай бұрын
Siasa inatuvuruga
@abdifaraji28838 ай бұрын
MV Mapinduzi imeundwa Uchina au Japani ?
@omarmsuya24597 ай бұрын
Japan
@roudhamahmoud7638 ай бұрын
Kwa kweli inauma unasema kweli mzee kama nayaona uongeayo mana tulikuwa wadogo lakin tulishuhudiyq bibi zetu wakifanya kazi humo mote
@mbogelabairo47228 ай бұрын
Hakika kunavitu ukisikia na kuambiwa kichwa kinakuuma sana. Zanzibar ilikuwa mbele sana sana Nadhan viungozi na siasa imekuwa changamoto ktk maendeleo
@MdNasr-jm8pj8 ай бұрын
Yani Acha tuu 😢
@abdulrahmansalim97738 ай бұрын
😮😮
@roudhamahmoud7638 ай бұрын
Yani hatokei kama karume kwa kweli 😢😢😢 mola amlaze pma peponi
@humphreygodfrey54007 ай бұрын
Zanzibar ni Tanzania 🇹🇿 hao watu unaowasema ni Waarabu,wahindi, wa Iran nk hao wote ni foreigners, Zanzibar, Pemba nk hii ni Tanzania 🇹🇿 hakuna kitu kinachoitwa wazanzibar, wapemba.
@rashidsuleiman92537 ай бұрын
Zanzibar ipo na itakuwepo. wazanzibari wapo na wataendelea kuwepo. Kama hutaki rudi kwenu Tanganyika
@SaidHassan-wz1px8 ай бұрын
Naomba namba zake
@abdisalim79008 ай бұрын
Sk,Said Miraj umeekeza historia nzr kwa faida ya vijana wetu.Mungu akubarili sn!!
@abdifaraji28837 ай бұрын
Haijui vizuri historia ya Zanzibar na Maponduzi yake. Vijana waliokuwa katika Police Mobile Force wanayajua vizuri, kwani walikwisha pata habari miezi 2 kabla hayajatokea, lakini walinyimwa silaha na maofisa Wazungu, na wengi wao wakapewa ruhusa ya kwenda kulala majumbani kwao siku ya mapinduzi, yaani late pass.
@badruabdalla53017 ай бұрын
Hajui anachokisema
@AliFakiMati-m7n8 ай бұрын
Wewe mzee ukweli bado hujasema kifo cha mzee karume.
@mwatumsaidi51048 ай бұрын
Karume kauliwa kwa sababu alitaka kuuvunja muungano
@R10_Rajab8 ай бұрын
That's it
@wemakingdaily14628 ай бұрын
Si kweli
@ilynpayne74918 ай бұрын
karume na nyerere ndio walikua viongozi kweli bwana saahivi hakuna viongozi
@abdifaraji28838 ай бұрын
Nyerere alikuwa mtawala, Karume alikuwa Kiongozi baye Watawala walikuwa hawampendi, wakiogopa asije kuvunja Mungano aliolazmishwa kuingia.
@karimdaud39937 ай бұрын
Hata samia na hussein . Ndio maendeleo yanafufuka sasa mola awaweke AMEEN
@BedroomTvKe5 ай бұрын
Kuna mambo mengine nmejifunza leo juu ya kifo cha Mzee Karume, haya mambo sikuwahi kuyasikia kabisa kabisa