KILICHOTOKEA SIKU YA KUUWAWA RAIS ABEID KARUME/RISASI ZILIPIGWA BALAA

  Рет қаралды 104,392

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 87
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 5 ай бұрын
KUUWAWA KWA MUUWAJI WA WAZANZIBARI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM HAKI ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 3 ай бұрын
Mungu amlipe pepo Homoud Mohd Homoud yeye na wenziwe kwa wema mkubwa wa kumuuuwa kiumbe Karume.
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 2 ай бұрын
M mungu akurehemu mzee wetu
@yudakassim1138
@yudakassim1138 Жыл бұрын
Mungu ampunguzie adhabu yakabuli inshallah
@limbunyuguyu1573
@limbunyuguyu1573 Жыл бұрын
Dada uko vzr umehoji na kutuonyesha mambo ya Msingi sana hongera
@WinfridaZakayo-mj7co
@WinfridaZakayo-mj7co 8 ай бұрын
Kumbe karume aliuliwa nilikua cjawahi kujua mtangazaji umefanya kazi nzuri 🎉🎉
@hamadysalum7032
@hamadysalum7032 Жыл бұрын
Wasafi namkubari saanaa
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Lazima iko au ziko sababu lakini hawataki kutangaza,wengi wanaohusika wanajua lakini wanaogopa kusema ukweli
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын
Lengo na sababu ya kuuliwa kwa Rais Abeid Karume ni Siri na Kitendawili.
@Bam268
@Bam268 Жыл бұрын
Nyerere ndie alie kuwa mtuhumiwa mkubwa wa kifo cha karume
@sephaniaizengo760
@sephaniaizengo760 Жыл бұрын
Jna lako tuu linaonesha ufinyu wa fikra na kwanza unachafua jina la kiongoz ,tna baloz madhubuti malawi
@LeylatVlogs
@LeylatVlogs Жыл бұрын
Nimeipenda na nimesoma kuhusu jina la Eneo hilo kuitwa kisiwa ndui ambalo sikujua maana yake kabla 👏
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Жыл бұрын
Adela hongera kwa history
@idrisasimba8501
@idrisasimba8501 Жыл бұрын
Hmmm memorandum of understanding.
@Hassanali-sq2dm
@Hassanali-sq2dm 5 ай бұрын
Alitumwa na nyerere lengo nikumua karume ili asivunje mungano karume alitaka kuvunja mungano badala kuona anapelekeshw na nyerere
@sulimanm6525
@sulimanm6525 Жыл бұрын
Anafahamu kila kitu uyooo anaogopa kusema
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 Жыл бұрын
*Ukweli Upo Ila Tutajuwana TU kwamungu*
@Bam268
@Bam268 Жыл бұрын
Na ukimaliza hapo uende ukatutafutie historia ya tanganyika pia ni nnchi yenye history nyingi tu
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Zanzibari mpaka leo haijapata uhuru wake kutoka kwa ungereza NA waarbu ikaja ukoloni wa tanganika
@allychale2885
@allychale2885 Жыл бұрын
Usidanganye wazanzibari semeni ukweli nyerere alipoona muungano unakaribia kuvunjika nyerere akamuua karume ikawa hakuna kuvunjika muungano tena wanasahau kwamba karume alisema muungano mwisho chumbe
@mchagagaspar6649
@mchagagaspar6649 Жыл бұрын
NYERERE ndie alie mumaliza MZEE KARUME acheni kuzungumza!!
@edwardmenawezkuzamakwadaki4825
@edwardmenawezkuzamakwadaki4825 Жыл бұрын
Nimeipenda xana
@nelsonjonathan7660
@nelsonjonathan7660 Жыл бұрын
Safi dada umehoji vyema
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Жыл бұрын
Piya uko vizuri dada
@richardmakupa8040
@richardmakupa8040 Жыл бұрын
By
@kelvinbernard5453
@kelvinbernard5453 Жыл бұрын
Nimependa Sana Sana tu
@bakarimtange570
@bakarimtange570 Жыл бұрын
Uo ulikua mpango ambao Nyerere aliupanga
@abdulab6202
@abdulab6202 Жыл бұрын
Hao wengine hawakupigwa risasi zilikuwa zile risasi anazopigwa Mzee karume ndio zilikuwa zikimtoka zinawapiga wale wengine nikweli alikuwa mlengwa ni yeye na Marehemu humudi alikuwa na lengo lake
@michaelmkisi6999
@michaelmkisi6999 Жыл бұрын
Hamtapata ukweli hata kidogo media ndogo sana . CCM wameshindwa kutoa habari hizo CCM Leo wasafi mpate habari hizo za miaka takribani miaka 31.
@ahmadajafari7083
@ahmadajafari7083 Жыл бұрын
Mie nafaham vizuri sababu ya huyo mwanajeshi alika na cheo luteni sio cpt alikua mwarabu amempiga risasi kwaajili ya kulipiza kisasi cha baba ake ambae inasemekana aliuawa kwa anri ya rais karume wakati wa mapinduzi mie nafaham vizuri historia ya jambo Hilo lengo ilikua kuipindua serikali Kiongozo mkuu alikua conalAli mahfudh mie nilikua mwanajeshi wakati huo nikiwa na cheo Cha sgt
@selemanimakau9026
@selemanimakau9026 Жыл бұрын
Acha uongo mungu anakuona,na siku ya hukumu ukasimame useme ivoivo,unafikiri watu hatujui kuna siku maumivu ya watu yataisha,je angekuwepo mpaka leo zanziba ingekuwaje,acha kudanganya watu wanajua.
@jofreymsigwa85
@jofreymsigwa85 Жыл бұрын
Sasa ukweli n upi
@alrabee01suleiman40
@alrabee01suleiman40 Жыл бұрын
Unafahamu kisasi hicho lakini ndio umewiva husein kitu cha kweli
@YussufAli-yt6dp
@YussufAli-yt6dp Жыл бұрын
​@@selemanimakau9026 hug Thu by😊h
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Yaani mwafrica bwana kweli hakuna kuaminiana
@redmondbaby1710
@redmondbaby1710 Жыл бұрын
Hhhhhh hata Mimi siyafaham 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mchezo nini
@timotheosumba4293
@timotheosumba4293 Жыл бұрын
🙏🙏
@frankmlowe7559
@frankmlowe7559 Жыл бұрын
Duuh ilikuwa hatari mzee karume aliuliwa kikatili Sanaa
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Frank,jaribu kuulizia namna Kassim Hanga na Othman Sharif walivyo uliwa huko Zanzibar.Ukipata taarifa sahihi ndio utajua nini ukatili
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 3 ай бұрын
Mbona unamtaja Humoud tu huwataji na wengine .hakuwa humudi pekee walimuwa wengi wataje usifanye bias.
@tamyomy8398
@tamyomy8398 Жыл бұрын
Aliua wa arabu na akauliwa na humud muarabu
@bwittozmjomba7019
@bwittozmjomba7019 Жыл бұрын
Leo ssa nimejifunza kitu ususan kifo cha karume, Nilikuaga sijui kam alikufa kwa bunduki. Lkn nimejua kumbe muuaji Alikua mwiongoni mwa walizi police
@hanihaji6217
@hanihaji6217 Жыл бұрын
Historia ya khalifan
@rahmajaffar794
@rahmajaffar794 Жыл бұрын
Tukio limetokea cha msingi tujiulize wananchi tumejifunza nini na viongozi pia wajiulize wamejifunza nini? Halafu tuiombee dua zanzibar na Tanzania kwa ujumla ibarikiwe na amani na rizki za halali
@user-dk7jf7gs5n
@user-dk7jf7gs5n 2 ай бұрын
Kikubwa aliwadaidia wanyonge
@redmondbaby1710
@redmondbaby1710 Жыл бұрын
Karume akifufuka leo akiiona znzbar ilivyo hii atalia sn
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Redmond,unadhani hivo kwa sababu zipi?
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 Жыл бұрын
Bibilia nikitabu kizuri kilichotafusiri mambomengi yaduniani hata yapeponi,kunamahali pameandikwa kwamba lisilowezekana kwetu kwamwenyezimungu lawezekana vilevile auwaekwaupanga atauawakwaupanga
@janerouhassanjanerou7933
@janerouhassanjanerou7933 10 ай бұрын
Duh mzanzibar gani huyo anaesema Afisi
@fareesfarees7634
@fareesfarees7634 6 ай бұрын
it seems u don knw swahili
@b.3940
@b.3940 Жыл бұрын
Mbona hamtaji Tito Okello katika historia ya Ungunja? Zanzibar haingekuwa huru bila huyo mganda.
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Жыл бұрын
Nyie mbona hamtii nchi yenu mnawachia watanganyika wanaimaliza.
@KhaleedHamad-vl7lz
@KhaleedHamad-vl7lz 3 ай бұрын
Ongea ukweli karume alimuuwa baba yake humud karume kutaka humudi asahau wkt huo humudi alikua kjn mwenye elimu karume akampatia veo vikunwa ili asahau machungu ya kuuliwa baba yake kumbe humudi alikua anamachungu na nyerere alipanga mipango amkimbize humud baada ya humud kuuwa na wenzake wakakimbilia shamba chwaka kupanda boat na boat haikuwepo
@gangmore9091
@gangmore9091 Жыл бұрын
Ukitenda dhulma n wewe itakukuta Dhulma ameuwa n yeye ameuliwa
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 5 ай бұрын
😊
@KhaleedHamad-vl7lz
@KhaleedHamad-vl7lz 3 ай бұрын
Sasa wale walio burutwa na gari ni kina nani
@mohammedbakar4142
@mohammedbakar4142 Жыл бұрын
Wewe unajuwa humo ndani makao maku ya ASP kiswandui hakuna kaburi la mzee Abeid Amani Karume peke yake humo ndani kuna makaburi mawili moja la mzee Abeid Amani Karume na jengine limo ndani hukulitaja ?
@salumahmadasalum1556
@salumahmadasalum1556 Жыл бұрын
Mkuki ndani ya mkuki
@allychale2885
@allychale2885 Жыл бұрын
Leo kilakitu CCM kanisa
@kessynurutajiri4940
@kessynurutajiri4940 Жыл бұрын
Hiyo Miwani ya nini?.
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Жыл бұрын
Umeona ndio wandishi wa tz
@erenwesmgeni4837
@erenwesmgeni4837 Жыл бұрын
Duuu aliyafanya
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Жыл бұрын
Nyie ccm mkowa mnajuwa Karume hakuwa na makuu na nyie kuwache makuu muwache wizi
@AliAli-rx6wu
@AliAli-rx6wu Жыл бұрын
Kwani hilo li miwani bayaaa kama la kipofu!!! La nini??? Au una makengeza!!!
@idrisasimba8501
@idrisasimba8501 Жыл бұрын
Acheni kuingilia privets lives za watu
@omarimpogo6895
@omarimpogo6895 Жыл бұрын
We muandishi umeniboa... Unaacha kuuliza maswali ya msingi unauliza kuhusu bao
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Жыл бұрын
Afisi kiswahili wacha ushamba
@belgieboys9867
@belgieboys9867 Жыл бұрын
Muulize huyo jamaa alikuwepo hapo wakati wa tukio? Mie nishaelezewa na mzee aliyekuwepo hapo siku ya tukio.
@ZanzibarOrchestra
@ZanzibarOrchestra Жыл бұрын
tuelezee wewe bac huenda tukapata faida zaidi.
@belgieboys9867
@belgieboys9867 Жыл бұрын
@@ZanzibarOrchestra Muuaji alikuja na vikosi vya jeshi wakavamia makao makuu nje. Muhusika muuaji aliingia akaua na alipotoka nje na katika hao majeshi waliokuja nao walimuua. Hadithi hiyo niliipata makao makuu ccm kwa mzee mmoja ambaye alikuwa mzee wa chama na yeye siku ya mauaji alikuwepo nje ya jengo kwa alivyonihadithia. Na akanambia rover mbili ziliingii moja geti la mbele na moja nyuma Sasa hiyo hadithi nilipewa makao makuu
@belgieboys9867
@belgieboys9867 Жыл бұрын
@@ZanzibarOrchestra Hata hadithi ya mapinduzi ukiisikiliza kwa mama karume siku ya mwaka wa kwanza mwanawe kuwa rais alisema mumewe alikuwa kalala naye nje zogo watu wanauana tvz record ipo.
@belgieboys9867
@belgieboys9867 Жыл бұрын
@@ZanzibarOrchestra tizama nani aliyekuwa akiwauza watumwa ni muengereza au muarabu? Muarabu alikuwa ni transport tu. Mabaki wanaotembelea wazungu ambayo ni mafichio ya watumwa yapo wapi ? Misikitini au makanisani?
@theophilluskahigwa8128
@theophilluskahigwa8128 Жыл бұрын
Watangazaji punguzeni au acheni kuvaa miwani ya jua mkiwa ndani ya majengo! Mnajificha nini? Mbona watangazaji wa vyombo vingine vya nchi za nje hawana tabia hiyo?
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Mbwembe hizo
@jumaabas6837
@jumaabas6837 Жыл бұрын
Usikariri
@stanleymsenga9444
@stanleymsenga9444 Жыл бұрын
Duu
@user-yi3yh9or4h
@user-yi3yh9or4h 4 ай бұрын
Mung amjalie wazee wetu wot waingie pepon llf wot alikua ateswe kwanz ndipo auliwe uyo mshenzi muuwaj😢
@rizikivincent5255
@rizikivincent5255 Жыл бұрын
Huyu baba anayajuwa yote maana anaeleza mambo yanayoonyesha kuwa katika shauri lililopangwa naye aliusika maana alitaja na viseemu walivyoikalia kana kwamba alikwenda kwanza kupeleleza nafasi karume ameketi ni wapi akapaona nakuelekea kumwambia muaji mbinu laana na mikosi waafrika azitawatoka maana usaliti umewajaa moyoni mtabaki kuwa watumwa wawazungu myaka nenda myaka rudi msipojikosowa dhambi zenu za kusalitiana
@akinzaathumani3870
@akinzaathumani3870 Жыл бұрын
Huo mnafikiii anajuwa kabisaa muwajii nawewe atawawa tuu eleezaa tu ukwelii mzee
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
Hee jamani,SI historia inatunzwa
@johnbernad3990
@johnbernad3990 Жыл бұрын
Huyo muuwaji alijuwa ni shemeji yake alikuwa analipa kisasi cha kupinduliwa maana alikuwa mwaarabu na karume aliowa nwaarabu baada ya kuwapindua hao waarabu
@lutegochangarawe412
@lutegochangarawe412 Жыл бұрын
Una uhakika
@binseifalsuleimaniy503
@binseifalsuleimaniy503 Жыл бұрын
Duh kam hujui bora usicoment karume kao muarabu tena akaza kabla ya mapinduzi mapinduzi yanatokea yeye ameshaowa zamani san ,tena murabu ,pmoja na kina Aboud jumbe ,Ali hasan mwinyi na wengine wengi wameo waarabu tena kabla ya kufanya mapinduzi ,rudi shule kijana
@barwani890
@barwani890 Жыл бұрын
​@@binseifalsuleimaniy503 tena kwa nguvu kuoa
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
small vs big hoop #tiktok
00:12
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 25 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 11 МЛН
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Mwananchi Digital
Рет қаралды 421 М.
EXCLUSIVE: AMANI KARUME ATEMA CHECHE, AFUNGUKA SAKATA LA BANDARI
25:11
Daily News Digital
Рет қаралды 61 М.
MZEE ABEID AMANI KARUME AKIELEZEA ALIVYOIFAHAMU PEMBA
7:01
Bin Seif
Рет қаралды 69 М.
Страшно, когда ругается мама😰
0:10
Лиза Вертинская
Рет қаралды 2 МЛН
Что произошло в ресторане!
0:16
Victoria Portfolio
Рет қаралды 8 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
0:40
EVA mash
Рет қаралды 3 МЛН
The clown snatched the child's pacifier.#Short #Officer Rabbit #angel
0:26
NEW VAMPIRE EPISODE INCOMING 😈
0:27
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 4,3 МЛН