MPWA WA MAGUFULI AELEZA ALIVYOFUKUZWA KAZI

  Рет қаралды 28,504

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 31
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 Жыл бұрын
Rafiki wa kweli ni mama yako tuu na wanao
@nashonjoel20
@nashonjoel20 Жыл бұрын
Pole Sana Furaha. You are still young. Pambana
@ibrahimzabron4619
@ibrahimzabron4619 Жыл бұрын
Pole sana Furaha!! Lkn Mungu ni WA wote!
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 9 ай бұрын
Ehhh
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 Жыл бұрын
Mtegemee Mungu daima
@JsJs-e6h
@JsJs-e6h Жыл бұрын
Mungu atawalipa
@andreakulisha5144
@andreakulisha5144 Жыл бұрын
Pole sana Furaha
@hassanmichael7068
@hassanmichael7068 Жыл бұрын
Bro ila unatakiwa utambue rafiki wa kweli ni mama ako mzazi na wanao tu binadamu wanafiki sana
@allahisone6386
@allahisone6386 Жыл бұрын
Exactly 💯%🤝
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs Жыл бұрын
Live
@mussabalola3692
@mussabalola3692 Жыл бұрын
Kula nao kunywa nao!! Ila wote wanafiki, Mungu akulinde ujekuwa Rais ulipeze kisasi kwa watoto wao leo unawaona kisha mzee kufariki watoto wao mawaziri wakubwa..
@brownsebastianmwibi5647
@brownsebastianmwibi5647 Жыл бұрын
Umeongea utumbo
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
kabsa tena hata asipoweza kulipa yeye Mungu atawalipa hao wanao uwa wazalendo Mungu yupo bado muda tu
@mussabalola3692
@mussabalola3692 Жыл бұрын
Je? Kina nani walimuua mzee? Waseme tu.. msema kweli mpenzi wa Mungu..
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Hichi kijamaaaa kiongo
@KedmonistMaconfidance
@KedmonistMaconfidance Жыл бұрын
Maisha ndivyo yalivyo bro, Binadamu unacheka nao ila kesho ukianguka au sehemu iliyokuwa inakupa nguvu ikitoweka hapo ndio utawajua. Mfano hata huyu Mama Diamond anayependwa sasa Ikitokea siku Mwanae akafariki mtakuja kuamini, Hawa wote wanaompenda sasa hivi na kumchekea baadhi Yao watakuwa maadui zake kwa kumsema Mwanaye vibaya, Ila sijaombea hilo limkute Diamond japo ipo siku tunajua tutalipitia hilo. TUISHI NAO KWA AKILI
@amanmwalyambi1416
@amanmwalyambi1416 Жыл бұрын
Mlikuwa mnajisikia sana safi
@SaruNyanda-ho8bk
@SaruNyanda-ho8bk Жыл бұрын
Pole
@josephinekombo6391
@josephinekombo6391 Жыл бұрын
OMG 😮😮😮
@SeleOmary-e9o
@SeleOmary-e9o Жыл бұрын
Braza kwenye maisha chuki visas vipo kikubwa kuangalia mbele
@hajijumaa4014
@hajijumaa4014 Жыл бұрын
Baba magifuli alipewa simu dodoma na kwa kinywa chake alisema nilinusurika kifo na badae alikuwa Rais Sasa usijali kwa kukosa kibaruwa hujui mungu anakuandaa nani kuwa Mandela usiwe Hitler
@goddamwakimi5889
@goddamwakimi5889 Жыл бұрын
GOS
@pci_tanzania
@pci_tanzania Жыл бұрын
Watu wanaokuwa na ndugu viongozi huwa wanajisikia sana... Pengine tukipata story ya upande wa pili tutajua mengi zaidi kuhusu huyu Bwana
@brownsebastianmwibi5647
@brownsebastianmwibi5647 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa. Haiwezi kuwa ghafla hivyo
@marcodaud1005
@marcodaud1005 Жыл бұрын
Huyu jamaa nimesoma nae tangu shule ya msingi hana majigambo, pia nimesoma na mtoto wa mdogo wake magufuli nae hajisikii kabisa
@abdibilali4186
@abdibilali4186 Жыл бұрын
​@@marcodaud1005kweli aisee jamaa alikuja Dar village sio mtu wa kujiona na anasalimia watu na kujishusha yuko POA sana
@emmanueltillya2017
@emmanueltillya2017 Жыл бұрын
Kwa nini ufukuzwe kama ulikuwa umeajiriwa bila kubebwa na Anko.nenda mahakamani kawashataki waliokufukuza.kama ni mwajiri wako sawaa.shida kazi unayofanya kwa sababu ya mtu fulani ni changamoto,siku huyo aliekuweka hayuko duniani ndipo utaanza kutapatapa.😂
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
sema watanzania akili hua zina uchafu hivi uropokaji sana ukiwa humpendi mtu basi utamsingizia kila tukio ambalo hajalifanya kwanza nikutaarifu magu hakutaka ndugu yake yeyote aingie kwenye siasa hata huyu alionywa sana na akanyanganywa na ubunge ili asiwe kwenye kundi la kuchukiwa na wazeh wezi wa inchi sasa vp ampe cheo wakat alimkataza hata kugombea popote pale unaongea kama kichwan umejaza mavi nasio ubongo
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
We fala kweli isiseme wanaobebwa sasa fyoooooò
@eliaichraymond1215
@eliaichraymond1215 Жыл бұрын
Dunia ndiyo ilivyo,wanadamu wanakupenda pale unapokuwa na kitu/faida fulani kwao!mm nimexperience hivyo mara nyingi,ukiona mtu anakupenda na kukujali wakati huna kitu cha kumsaidia ujue huyo ni rafiki wa kweli! Wengi ni friends with benefits
@hajijumaa4014
@hajijumaa4014 Жыл бұрын
Baba magifuli alipewa simu dodoma na kwa kinywa chake alisema nilinusurika kifo na badae alikuwa Rais Sasa usijali kwa kukosa kibaruwa hujui mungu anakuandaa nani kuwa Mandela usiwe Hitler
MPWA WA MAGUFULI AFUNGUKA SABABU ZA KUKATWA UCHAGUZI CCM
8:38
Wasafi Media
Рет қаралды 27 М.
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
RAIS MAGUFULI ALIVYO MFUKUZA MTU KAZI IKULU “MSUKUMA”
11:01
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 22 М.
MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
13:52
DUNIA (Ep 48)
23:19
ASMA FILMS
Рет қаралды 82 М.
HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018
59:24
Azam TV
Рет қаралды 816 М.
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН