NILIFANYIWA FITINA/ CHATO HAINA SIFA KUWA MKOA/ KIGAMBONI INGEKUA DUBAI - PROF. TIBAIJUKA

  Рет қаралды 98,453

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 188
@thomasjohn3499
@thomasjohn3499 2 жыл бұрын
Profesa nakwita tena profesa unaakili sana kwa kitendo cha kuwaita wapinzani ni wazalendo nimekiwa nikikufatutilia taratibu nagunduwa una AKILI SANA.
@victaboy7273
@victaboy7273 Жыл бұрын
Akili tukaange tule?
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 4 ай бұрын
Je KUNA PROFESA ASIYEKUWA NA AKILI? Anapatikana nchi gani?
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 2 жыл бұрын
"Cha muhimu duniani sio wewe ni nani bali unaweza kufanya nini?" By Prof Anna Tibaijuka
@nambuacassandramlaki3516
@nambuacassandramlaki3516 Жыл бұрын
Love you Mama Tibaijuka
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 2 жыл бұрын
Mama Tibaijuka ni hazina ya Taifa kama walivyo akina Warioba, Butiku, Ulimwengu, Msekwa, Mongella, Malechela, Msuya, Kikwete nk. Sasa kwa bahati mbaya sana hawa wanaomhoji si wazoefu wa kazi hiyo kiasi kwamba hatupati kile cha muhimu tunachoweza kupata kutoka kwa Mama Tibaijuka. Hata hivyo kwa hayo wachache mazuri aliyotujulisha. Mungu ambariki.
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 2 жыл бұрын
Hazina ya kwenu
@stevemahely
@stevemahely 2 жыл бұрын
Hazina ya kwenu tu!.
@MrMtebwa
@MrMtebwa 2 жыл бұрын
Hv waandishi wa habari mna salam yenu binafsi ama? Mana siku hizi sisikii shkamoo kwa wakubwa kama tulivyo zoea ktk tamaduni yetu utasikia Heshma yako mama au Heshma yako mzee kias kwamba mpaka mnawapa wakati mgumu hawajui waitike vp kama nimeeleweka gonga like moja hapa
@zainabwage4658
@zainabwage4658 2 жыл бұрын
True
@ezekielmugishagwe8883
@ezekielmugishagwe8883 2 жыл бұрын
Watu wengi hawawezi ushindani na wanaogopa kushindana.👏🏻👏🏻👏🏻
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 2 жыл бұрын
Amina mama Profesor kwa maneno ya busara ubarikiwe sana 🙏🏼🙏🏼 pamoja na wanahabari
@alexander19077
@alexander19077 2 жыл бұрын
Huyu ndo profesa sasa 👍
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 жыл бұрын
Mchakato....mchakato.... Anna... T.. nakukubal... Maneno yako Yana mantiki.... Radha tupu kuyasikiliza.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 2 жыл бұрын
Prof na Mama unatisha una unyenyekevu wa aina yako. Mungu akubariki sana.
@gregorygumbo7128
@gregorygumbo7128 2 жыл бұрын
Thanks mum you have Good plan for our Country so far ikibidi help them to build Tanzania
@mohamedishasani8625
@mohamedishasani8625 2 жыл бұрын
Profesa yuko vizuri
@anordalfred5422
@anordalfred5422 2 жыл бұрын
Mama una mawazo mapana fikira pevu, inaitaji utuli wa akili na kukubali kujifunza siyo kukusikiliza kisiasa, Barikiwa sana Mama.
@hannanommy302
@hannanommy302 2 жыл бұрын
Kesha kwa Mungu tutajua mengi, muibe mtolewe then mnalalamika ,acheni hizo Mungu amechoka kuangalia wezi
@emanuelyigwira2511
@emanuelyigwira2511 9 ай бұрын
Wasafi nimependa sound effect, na ule utulivu wa mahojiano Prof anapata muda wa kumaliza maelezo yake hongera sana
@nasseaman3720
@nasseaman3720 2 жыл бұрын
mama muadilifu sana msomi na upeo wa hali ya juu ...alikutana na fitna mbaya sana ya watanzania.pole mama
@mosesnyirenda6359
@mosesnyirenda6359 2 жыл бұрын
Very very brilliant..
@iambelnus
@iambelnus 2 жыл бұрын
She is so bright.......
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 2 жыл бұрын
Ninapendekeza kwa uongozi wa Wasafi TV; Charles na Zungu muwape vipindi tofauti sababu wametofautiana sana kiuwezo. Kila mmoja anauwezo wa kukuwa sana na nadhani watakuwa kama kila mmoja akishika njia yake. Ni mawazo yangu tu!
@salminasalim5630
@salminasalim5630 2 жыл бұрын
Mashaallah Tabarak Allah Prof MMungu azidi kukupigania unaweza yaani hata usingestaaf Ubunge. Yaani jambo lako umelifanyia kazi hasa mpaka nikaona wivu wa maendeleo. Yaani ungekuwa mbunge wetu ningefurahi kweli, maana wa kwenu mbunge basi tu hata maji anatuacha tunatumia kwenye madimbwi ya N'gombe.Bk vijijini kwa Rweikiza kata ya Mikoni jamani hadi huruma
@bakermusa9033
@bakermusa9033 2 жыл бұрын
Kung’atuka siyo kungatuka. Wahaya Mungu anawaona mjue
@husseinmillinga1920
@husseinmillinga1920 2 жыл бұрын
my favourite kipindi wasafi
@fredrickmalunde3426
@fredrickmalunde3426 2 жыл бұрын
Professor wa kweli
@mytimeonce1479
@mytimeonce1479 Жыл бұрын
Dah!zungu!na mwezio mnanifurahisha Sana kwa maongezi na maswali ,big Up¡!!nipo huku Ulaya nawapata ,,,
@mwanaidsalehe1109
@mwanaidsalehe1109 2 жыл бұрын
Nimewaona wana goodmorning charles na zungu safi sana.
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 2 жыл бұрын
Hakuwa fit kuwa waziri,alipokea hongo na kutumia sh 10m kununua mboga, labda alinunua sushi toka Japan, bora mngenwacha tu bila interview,angetulia nyumbani kimyakimya.
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 2 жыл бұрын
Wish u were my teacher
@mutalemwagabrie9791
@mutalemwagabrie9791 2 жыл бұрын
😂😂😂😂 connotation, daaaah, professor Mutalemwa, wahaya tuna noma sana❤️❤️
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 2 жыл бұрын
"Kaiba haichoki na ikichochoka huwa ni vita. Tusiichoke na tusiichoshe."
@charleswilliam6221
@charleswilliam6221 2 жыл бұрын
Namkubali Sana uyu inshomile
@karatuboyarusha2731
@karatuboyarusha2731 2 жыл бұрын
Hichi kipindi nmekipendaa ila huyu mama shujaaa🔥🔥🔥🔥
@fugakwamalengo707
@fugakwamalengo707 Жыл бұрын
Kuanzisha mkoa mpya sio kujenga uchumi ni kula uchumi🤣🤣🤣 PR. ANNA TUBAIJUKA
@koburungomubahasha2207
@koburungomubahasha2207 2 жыл бұрын
Tujenge uchumi c kula uchumi ni neno zito natue kudadis mambo fumbo tumtangulze Mungu iwapo tuna haki kweri huu ni msumali wa moto
@mchagashop1342
@mchagashop1342 2 жыл бұрын
Asante Sana ☑️
@linnageorge7795
@linnageorge7795 2 жыл бұрын
Huyo,mama,alifanya kitu kikubwa,sana alituletea maji hapa mtukula,bora,ata zile zamboga nasie,tulizionja
@mashakaomary7043
@mashakaomary7043 2 жыл бұрын
Pole mama kwa msukosoko wa pesa za mboga kumbe ule ubunge iliokuunganisha na Wana porojo/ siasa ndio uliotaka kutuchonganisha Hadi wafugaji wakakuona ni mtu hatari ulipokuwa unawatetea Sana wakulima kwa ajili ya Upigaji kura. Natamani kwenye kazi iiendelee upewe ka taasisi umalizie makali yako kwa manufaa ya wa Tanzania ,Tuundie sera rahisi tukwamuke kwenye hali ngumu nimekuelewa Sana bado unaonekana una nguvu na busara tele.
@AdnanMbaehmahmoud
@AdnanMbaehmahmoud 2 жыл бұрын
Zungu unaweza sana kuhoji na huboi, unakata kiu yetu brother. Keep it up
@AdnanMbaehmahmoud
@AdnanMbaehmahmoud 2 жыл бұрын
Mmechaguana vyema, wakali wawili wa mahojiano.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Daah aisee Kigamboni kilikua na mpango wa kujengwa majumba ya maana saahv hamna kitu 😭
@bigtv4204
@bigtv4204 2 жыл бұрын
Watanzania wanapenda makelele. "Tibaijuka " vijana tujitahidi kutambua uongo na ukweli "tibaijuka"
@fazeelshomary2704
@fazeelshomary2704 2 жыл бұрын
Namkubali sana huyu Mama
@mretamreta8058
@mretamreta8058 2 жыл бұрын
Very bright Prof🥰🥰🥰🥰
@Jackson-Novat
@Jackson-Novat 2 жыл бұрын
Mahojiano ni mazuri Ila kuna vipande mmeviondoa. Hamjatutendea haki. Huyu mama ni rasirimali na hazina kwa Taifa.
@amanirashid9011
@amanirashid9011 2 жыл бұрын
Mama mnafiki
@mercyemmanuel8536
@mercyemmanuel8536 2 жыл бұрын
Huyu mama huwa namuelewa....sana
@husseinmillinga1920
@husseinmillinga1920 2 жыл бұрын
kwamaoni yangu huyu si proffesa wa kweli ni muoga
@robertbutahe2835
@robertbutahe2835 2 жыл бұрын
Wewe kilaza utajuaje kama ni prof wa kweli!?
@tgeofrey
@tgeofrey 2 жыл бұрын
Amezaliwa Nazo kazitumia..
@frankmanyesela6147
@frankmanyesela6147 2 жыл бұрын
Mama Umeongea point.
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 2 жыл бұрын
Dah!! Wahaya tuna Akili nyingi sana aisee,ni kweli siasa ya Bongo ni nyoso,na Chato haina sifa kweli na Vijana wengi hatuko washindani maana hatuwezi kuvumilia ushindani,na ni kweli kilicho mtoa Rugemalila jela siyo mawakili bali ni mabadiliko ya Rais ni vile tuna Rais mpya,,,Kongore #WasafiMedia,#Tibaijuka
@jumannemsengi2195
@jumannemsengi2195 2 жыл бұрын
Lazima aishi MAISHA mazuri alipata muda wa kupiga na akapiga, sasa MAGU nae c bora alipigania CHATO uwe Mkoa kwa manufaaaa ya wengi sasa, yy hiyo hela ya mboga c alikula peke yake.
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 2 жыл бұрын
Hilo nalo neno
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Natamani nchi hii leo ingekuwa na Rais kama huyu mama
@fralex_1276
@fralex_1276 2 жыл бұрын
Good
@emanuelyigwira2511
@emanuelyigwira2511 9 ай бұрын
Prof bana uko vzr “nani atamfunga paka kengele 😂”
@wanderenyeura9011
@wanderenyeura9011 2 жыл бұрын
Hiv Prof ni mama Ebitoke?!nampenda sana
@magarimzeru3686
@magarimzeru3686 2 жыл бұрын
Yaani zungu una maswali ya kichokozi Sana,😄😄
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 2 жыл бұрын
Kasababisha migogoro mradi wa upimaji viwanja Kibada mpaka.leo watu wengine Wana makovu yake na wengine migogoro haijaisha
@gracemima5234
@gracemima5234 2 жыл бұрын
Ameiba za kutosha hana haja ya kufanya kazi. Wengi ni masikini kwasababu yeye ni tajiri.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
😂😂😂
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 2 жыл бұрын
Uyo mama ni mfanya biashara anamiliki shule ya international inaitwa kaizirege shule pekee Tanzania ambayo school bus zake ni malcopolo G7 kwaio Hana njaa
@menlandmutashobya8377
@menlandmutashobya8377 2 жыл бұрын
@@josephwilliam5813 ya kwake n kajumulo sio kaizirege
@sankawila2689
@sankawila2689 2 жыл бұрын
Uyu kweli professor mpaka ana waelekeza jamaa maswali ya kumuuliza
@peterbuju5216
@peterbuju5216 2 жыл бұрын
Msumari wamoto kweliii
@abdulkhamis1170
@abdulkhamis1170 2 жыл бұрын
Siyo kweli Zanzibar mikowa yake ni midogo sana
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 2 жыл бұрын
wala vyeki vya taifa........mama umekonda ile mbaya nadhani ni maisha ya mjomba alijua kuwaweka kwenye mstari ulio nyooka
@ibrahimkhamis7963
@ibrahimkhamis7963 2 жыл бұрын
uyo tibaijuka lini alinenepa na wewe? Ivo ndo alivo uyo acha kuongea ongea utopolo
@zuriathkajwangya4749
@zuriathkajwangya4749 2 жыл бұрын
Hajawai kunenepa huyo
@husseinnganda7220
@husseinnganda7220 2 жыл бұрын
Charles sijui kwanini mnajua mambo mengi nawakati bado wadogo?
@mutalemwagabrie9791
@mutalemwagabrie9791 2 жыл бұрын
Hata mm ninashangaa😂😂😂😂
@fredrick337
@fredrick337 2 жыл бұрын
Mama uko vizuri sana
@hamadgakwaya3466
@hamadgakwaya3466 2 жыл бұрын
Nimewakumbali san
@sarllemmtunze405
@sarllemmtunze405 2 жыл бұрын
Huyo Mama ni mwizi tu na wezi wote wa awamu ya nne waliokuwa wameichimbia kaburi Tanzania hivi Sasa wamerudi nakuwa mashujaa. Vijana wa kitanzania tulizani Magufuli alikufumbueni macho lakini inaonekana bado ni wajinga na wajinga siku zote ndio wanaoumia. Kumbuka kusoma sio kuelimika na ndio maana watanzania tumekuwa wapumbavu kwa kuwaamini wasomi ambao wao wenyewe wameshindwa kujielimisha na kuwa mifano kwa watanzania wengine ila wengi wao wana sifa na kashfa za kulihujumu Taifa kwenye tumishi zao Serikalini au kwenye taasisi.
@sarllemmtunze405
@sarllemmtunze405 2 жыл бұрын
@Abdul update Daily sio mwizi wakati yeye mwenyewe alikiiri kupokea pesa za wizi za PTL zilizo wapeleka vigogo kadhaa jela yeye busara tu ilitumika kutopolekwa mahakamni. Sasa sijui nani ni kichwa maji? Potosheni mtavyopotosha ila miaka 10 ya awamu ya nne Tanzania ni jinamizi sugu na la kutisha kwenye historia ya Tanzania. Wakati huo ndio Twiga wanapandishwa ndege kwenda nje ya nchi na pesa zinaingia mifukoni mwa wachache. Tembo walikaribia kutoweka Tanzania. Makontena ya madini yanasafirishwa nje ya nchi kwa kigezo Kuwa ni takataka. Rada za Ndege fake zilinunuliwa kwa mabilioni ya shilling za watanzania, mitambo ya kuzalisha umeme fake ilinunuliwa kwa mabilioni ya shilling za watanzania na bado Giza lilitawala nchi nzima. Hovyo na ujinga mtupu kusema eti miaka 10 ya Kikwete deni la Taifa lilikuwa chini Tanzania? Katika serikali ya awamu ya nne kitu Gani hasa kilifanyika ambacho watanzania wanajivunia? Kipindi hicho ndicho Tanzania ilishindwa kumiliki hata ndege Moja. Kipindi hicho ndicho madawa ya kulevya yalitamalaki. Kwakweli acheni umbavu msitutie hasira tukaanza kuvurigana wenyewe. Nyamazeni kimya na muache kuisifia uozo kwani ni mapema mno kuanza kuleta habari za awamu nne.
@mretamreta8058
@mretamreta8058 2 жыл бұрын
Unamatatizo ya akili wewe
@robertbutahe2835
@robertbutahe2835 2 жыл бұрын
Alimuibia nani? Au ni ile tabia ya kukariri uongo!
@calabash4221
@calabash4221 2 жыл бұрын
@@robertbutahe2835 memory zenu ndogo sana....ile hela ya mboga aliyopewa umeisahau?
@johnsonmsuya1495
@johnsonmsuya1495 2 жыл бұрын
Hata kama ni mwizi anachoongea ni fact
@athumanii
@athumanii 2 жыл бұрын
Zungu hiyo suruali njiwa umetuibia hapo😃
@joycekalembo2225
@joycekalembo2225 2 жыл бұрын
Nipo na dictionary huku nikimsikiliza mtu mwenye akili.
@redwaanyussuph2003
@redwaanyussuph2003 2 жыл бұрын
Nc
@abuukamugisha5994
@abuukamugisha5994 2 жыл бұрын
Prof anaongea technically, mjanja sn
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 2 жыл бұрын
Hahaaaa
@nestor384
@nestor384 2 жыл бұрын
Huyu mama ni mwizi kama wezi wengine tena mwizi mkubwa sana. Mifumo ya haki-jinai ktk nchi yetu hayajakaa sawa alipaswa kuwa prosecuted na kufungwa.
@elidarweyemamu5144
@elidarweyemamu5144 2 жыл бұрын
Evidence unazo?kamshitaki
@sylvesterjose3286
@sylvesterjose3286 2 жыл бұрын
Acha udumavu wa fikra na fitina, suluhishp za tuhuma ni mahakamani. Una uthibitisho wa wizi wake fungua kesi mahakamani kathibitishe kwa vielelezo ulivyonavyo, vinginevyo acha majungu, chuki na hinda.
@immaculatemakene7546
@immaculatemakene7546 2 жыл бұрын
Pesa za kifisadi alizopewa kwa nini alirudisha serikalini alivyoambiwa na Magufuri !???? Zingekuwa hazina tatzo zile pesa ni halali huyu ni msomi Prof asingerudisha !!!!! Watu hamjuwi mnalopoka tu !!!
@immaculatemakene7546
@immaculatemakene7546 2 жыл бұрын
@@sylvesterjose3286 Hujuwi lolote halaf una comment !???? 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@immaculatemakene7546
@immaculatemakene7546 2 жыл бұрын
@@elidarweyemamu5144 Pesa alizirudisha serikalini kwa nn !??? Kwa kuwa ni Mhaya mwenzako unajifanya haujuwi au vpi !???
@JacksoJMarko
@JacksoJMarko Жыл бұрын
Huyu maza anaakili sana aseee
@larickmtui2852
@larickmtui2852 2 жыл бұрын
Tibaujuka mwingon mwa wanawake waliopiga pesa bila wasi was akasema bilion kum alichukua za mboga
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
Hawa ni watu kama huyu professor ni waliotakiwa wawe jela au wamenyongwa
@janiaoma7093
@janiaoma7093 2 жыл бұрын
mama kibajuka kawajibu vijana wa wasafi wanao safiri kuwafuwata vioozi kutafuta fitina na kuliza mambo ya unafiki nazani hawa vijana muelekeo wao wanatumiwa na viyama vya upizanii juzi wamuliza maswali polepole ya kifitina nakutafuta uharibifuu
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 2 жыл бұрын
Hawa vijana hawajui kuhoji mtu hatua kwa hatua na kuchokoza point muhimu kwa maslahi ya taifa,unapomhoji mtu mkubwa aliyefanya kazi kitaifa na kimataifa lazima ubebe Pini za kutosha!
@nardhismhagama6266
@nardhismhagama6266 2 жыл бұрын
Wewe mama huna akili sjui ulipataje. Uprofes
@faridamikindo4524
@faridamikindo4524 2 жыл бұрын
Tatizo hiyo miradi ndio yao wenyewe sio KWA nananchi,,,ni biashara ZENU, mumejimilikisha nyumba za nyerere zote NHC ZOTE MUMEJIUZIA AKUNA KITU APO,,,WOTE NDO HAO HAO
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 Жыл бұрын
Nyee wabongo mnamatatizo dhambi imewatawala tayari kunahatari yakutafuniwa nakuiteketeza nchihii kwasabbu yaubinafusi naunafiki tu bilakuhofia chochote lolote tuchukuwe hatua mapema tubadrishe mfumo wautawala tulete mfumo wautoaji haki
@thomasjohn3499
@thomasjohn3499 2 жыл бұрын
ZUNGU UMEULIZA SAWALI ZURI SANA. UNA AKILI.
@nasseaman3720
@nasseaman3720 2 жыл бұрын
huyu mama arudishwe kwenye serikali
@rusiamussa6696
@rusiamussa6696 2 жыл бұрын
Wewe jari mambo yako acha uongo
@bsmonline8482
@bsmonline8482 Жыл бұрын
Kuna akina Laprofeseli na profesa huyu ndio Prof Org
@florianhashimu1370
@florianhashimu1370 2 жыл бұрын
Zungu huyo mama mmeendana sana kama vp mbadilishe jina aitwe Mrs Zungu
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 2 жыл бұрын
Tatizo kubwa serikali inataka kuiga wazungu eti tununue vitu maeneo maalumu.
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 2 жыл бұрын
Kipindi Cha kikwete kulikua hakuna mpango wowote wa kuwaendeleza wananchi Zaid ya kupiga dili na kujineemesha wenyewe viongozi
@alexedward4069
@alexedward4069 2 жыл бұрын
Rekodi ya Wizi Na ufisadi pumbavu sana.
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 2 жыл бұрын
Alitaka kuwauza watu na maeneo yao kuanzia kibada mpaka vijibweni hili zengwe likja vunjwa na Jpm
@SimeonCharles-j5x
@SimeonCharles-j5x Жыл бұрын
Amkeni
@stn4873
@stn4873 2 ай бұрын
"NANI ATAMFUNGA PAKA KENGELE."
@faridamikindo4524
@faridamikindo4524 2 жыл бұрын
Ni kweli uliona mpaka ukaita m10 pesa ya mboga looh africa viongozi WETU chuma ulete madarasa mahoptal aziishi KILA siku,,,,mnakula tu mwisho wenu upo watanzania techoka
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 2 жыл бұрын
Je ni kweli mama Tibaijuka umesema Chato haina sifa kuwa Mkoa,au umewekewa maneno na waandishi wa mtandao?
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 2 жыл бұрын
Huyu mamam muongo kabisaaa..ilibaki nusu tu aiuze kigamboni yaan tungekua tunalia saa hizi..huyo mwizi to Kama wezi wengine.
@aminimoshi5474
@aminimoshi5474 Жыл бұрын
Huyu ni Professor mnyoosho hapindishi kitu
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 2 жыл бұрын
Hivi aunt utakuja kunenepa lini wewe!!?
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 жыл бұрын
Samia anatakiwa adili na mijitu kama hii na sio sabaya vimilion 90 ikiwa Kuna watu waliiba mabilion
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 2 жыл бұрын
Iyo million 90 haikua ya serikali wewe mtu akunyang'anye ata mil 10 alafu Sheria isimfanye chochote
@abahimbangerina380
@abahimbangerina380 2 жыл бұрын
Kuachia kijiti ni muhimu sana lakini nadhani mama yetu angekuona akakuweka kuwa mshauri wake na bado una uwezo huo. Ninatamani umpe ushauri wa kimataifa kwa karibu. will miss you.
@OmbeniLuka
@OmbeniLuka Жыл бұрын
Wasomi hawajaisaidia nchi
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 жыл бұрын
Mama thibaijuka
@badenbensoni7516
@badenbensoni7516 2 жыл бұрын
Kama unavaa suti ni lazima koti na suruali vyote viwe vyako.
@ismaildavid6970
@ismaildavid6970 2 жыл бұрын
Wandishi hawajielewi kuwa wamekutana na prof.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 2 жыл бұрын
Jamani mngeuliza kwa nini walishindwa?????? Tujue watuweke wazi ili tuache kuiongelea. Km ni kurekebishwa basi Mshauri msikae kimya
@sixbertmwakaluwa5665
@sixbertmwakaluwa5665 2 жыл бұрын
TZ ni nchi pekee fisadi Anahabudiwa😂
@faridamikindo4524
@faridamikindo4524 2 жыл бұрын
Ndio hapo katiba ina Mana tunaihitaji sababu kilichopangwa akiingia raisi mwingine,,,asiwe na MAMLAKA,,ya kufanya anachotaka yeye afanye tuyatakayo WATANZANIA,,tumechoka lakini hizo pesa si ulirudisha 😂😂😂
@josephgomalo41
@josephgomalo41 2 жыл бұрын
Mwanzo alisema harudishi! Eti leo anadai aonyeshwe clip.. kashasahau! Madwanzi wansema eti huyo mama ni brilliant? kama angekuwa brilliant Samia hangekuwa makamu wa raisi. Tatizo la Tibaijuka ni kukosa maadili ndio maana Magufuli akambwaga!
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 12 МЛН
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 352 М.
When mom gets home, but you're in rollerblades.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 51 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 12 МЛН