Profesa nakwita tena profesa unaakili sana kwa kitendo cha kuwaita wapinzani ni wazalendo nimekiwa nikikufatutilia taratibu nagunduwa una AKILI SANA.
@victaboy7273 Жыл бұрын
Akili tukaange tule?
@YOSHUAMWAMPETA4 ай бұрын
Je KUNA PROFESA ASIYEKUWA NA AKILI? Anapatikana nchi gani?
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
"Cha muhimu duniani sio wewe ni nani bali unaweza kufanya nini?" By Prof Anna Tibaijuka
@nambuacassandramlaki3516 Жыл бұрын
Love you Mama Tibaijuka
@charleskuyeko16602 жыл бұрын
Mama Tibaijuka ni hazina ya Taifa kama walivyo akina Warioba, Butiku, Ulimwengu, Msekwa, Mongella, Malechela, Msuya, Kikwete nk. Sasa kwa bahati mbaya sana hawa wanaomhoji si wazoefu wa kazi hiyo kiasi kwamba hatupati kile cha muhimu tunachoweza kupata kutoka kwa Mama Tibaijuka. Hata hivyo kwa hayo wachache mazuri aliyotujulisha. Mungu ambariki.
@nsajigwamwakalonge57022 жыл бұрын
Hazina ya kwenu
@stevemahely2 жыл бұрын
Hazina ya kwenu tu!.
@MrMtebwa2 жыл бұрын
Hv waandishi wa habari mna salam yenu binafsi ama? Mana siku hizi sisikii shkamoo kwa wakubwa kama tulivyo zoea ktk tamaduni yetu utasikia Heshma yako mama au Heshma yako mzee kias kwamba mpaka mnawapa wakati mgumu hawajui waitike vp kama nimeeleweka gonga like moja hapa
@zainabwage46582 жыл бұрын
True
@ezekielmugishagwe88832 жыл бұрын
Watu wengi hawawezi ushindani na wanaogopa kushindana.👏🏻👏🏻👏🏻
@margarethsaramaki39662 жыл бұрын
Amina mama Profesor kwa maneno ya busara ubarikiwe sana 🙏🏼🙏🏼 pamoja na wanahabari
@alexander190772 жыл бұрын
Huyu ndo profesa sasa 👍
@johnmalembo64642 жыл бұрын
Mchakato....mchakato.... Anna... T.. nakukubal... Maneno yako Yana mantiki.... Radha tupu kuyasikiliza.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Prof na Mama unatisha una unyenyekevu wa aina yako. Mungu akubariki sana.
@gregorygumbo71282 жыл бұрын
Thanks mum you have Good plan for our Country so far ikibidi help them to build Tanzania
@mohamedishasani86252 жыл бұрын
Profesa yuko vizuri
@anordalfred54222 жыл бұрын
Mama una mawazo mapana fikira pevu, inaitaji utuli wa akili na kukubali kujifunza siyo kukusikiliza kisiasa, Barikiwa sana Mama.
@hannanommy3022 жыл бұрын
Kesha kwa Mungu tutajua mengi, muibe mtolewe then mnalalamika ,acheni hizo Mungu amechoka kuangalia wezi
@emanuelyigwira25119 ай бұрын
Wasafi nimependa sound effect, na ule utulivu wa mahojiano Prof anapata muda wa kumaliza maelezo yake hongera sana
@nasseaman37202 жыл бұрын
mama muadilifu sana msomi na upeo wa hali ya juu ...alikutana na fitna mbaya sana ya watanzania.pole mama
@mosesnyirenda63592 жыл бұрын
Very very brilliant..
@iambelnus2 жыл бұрын
She is so bright.......
@Kijana-wa-Tanzania2 жыл бұрын
Ninapendekeza kwa uongozi wa Wasafi TV; Charles na Zungu muwape vipindi tofauti sababu wametofautiana sana kiuwezo. Kila mmoja anauwezo wa kukuwa sana na nadhani watakuwa kama kila mmoja akishika njia yake. Ni mawazo yangu tu!
@salminasalim56302 жыл бұрын
Mashaallah Tabarak Allah Prof MMungu azidi kukupigania unaweza yaani hata usingestaaf Ubunge. Yaani jambo lako umelifanyia kazi hasa mpaka nikaona wivu wa maendeleo. Yaani ungekuwa mbunge wetu ningefurahi kweli, maana wa kwenu mbunge basi tu hata maji anatuacha tunatumia kwenye madimbwi ya N'gombe.Bk vijijini kwa Rweikiza kata ya Mikoni jamani hadi huruma
@bakermusa90332 жыл бұрын
Kung’atuka siyo kungatuka. Wahaya Mungu anawaona mjue
@husseinmillinga19202 жыл бұрын
my favourite kipindi wasafi
@fredrickmalunde34262 жыл бұрын
Professor wa kweli
@mytimeonce1479 Жыл бұрын
Dah!zungu!na mwezio mnanifurahisha Sana kwa maongezi na maswali ,big Up¡!!nipo huku Ulaya nawapata ,,,
@mwanaidsalehe11092 жыл бұрын
Nimewaona wana goodmorning charles na zungu safi sana.
@husseinkarim76632 жыл бұрын
Hakuwa fit kuwa waziri,alipokea hongo na kutumia sh 10m kununua mboga, labda alinunua sushi toka Japan, bora mngenwacha tu bila interview,angetulia nyumbani kimyakimya.
@Ali-nl2du2 жыл бұрын
Wish u were my teacher
@mutalemwagabrie97912 жыл бұрын
😂😂😂😂 connotation, daaaah, professor Mutalemwa, wahaya tuna noma sana❤️❤️
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
"Kaiba haichoki na ikichochoka huwa ni vita. Tusiichoke na tusiichoshe."
@charleswilliam62212 жыл бұрын
Namkubali Sana uyu inshomile
@karatuboyarusha27312 жыл бұрын
Hichi kipindi nmekipendaa ila huyu mama shujaaa🔥🔥🔥🔥
@fugakwamalengo707 Жыл бұрын
Kuanzisha mkoa mpya sio kujenga uchumi ni kula uchumi🤣🤣🤣 PR. ANNA TUBAIJUKA
@koburungomubahasha22072 жыл бұрын
Tujenge uchumi c kula uchumi ni neno zito natue kudadis mambo fumbo tumtangulze Mungu iwapo tuna haki kweri huu ni msumali wa moto
@mchagashop13422 жыл бұрын
Asante Sana ☑️
@linnageorge77952 жыл бұрын
Huyo,mama,alifanya kitu kikubwa,sana alituletea maji hapa mtukula,bora,ata zile zamboga nasie,tulizionja
@mashakaomary70432 жыл бұрын
Pole mama kwa msukosoko wa pesa za mboga kumbe ule ubunge iliokuunganisha na Wana porojo/ siasa ndio uliotaka kutuchonganisha Hadi wafugaji wakakuona ni mtu hatari ulipokuwa unawatetea Sana wakulima kwa ajili ya Upigaji kura. Natamani kwenye kazi iiendelee upewe ka taasisi umalizie makali yako kwa manufaa ya wa Tanzania ,Tuundie sera rahisi tukwamuke kwenye hali ngumu nimekuelewa Sana bado unaonekana una nguvu na busara tele.
@AdnanMbaehmahmoud2 жыл бұрын
Zungu unaweza sana kuhoji na huboi, unakata kiu yetu brother. Keep it up
@AdnanMbaehmahmoud2 жыл бұрын
Mmechaguana vyema, wakali wawili wa mahojiano.
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Daah aisee Kigamboni kilikua na mpango wa kujengwa majumba ya maana saahv hamna kitu 😭
Mahojiano ni mazuri Ila kuna vipande mmeviondoa. Hamjatutendea haki. Huyu mama ni rasirimali na hazina kwa Taifa.
@amanirashid90112 жыл бұрын
Mama mnafiki
@mercyemmanuel85362 жыл бұрын
Huyu mama huwa namuelewa....sana
@husseinmillinga19202 жыл бұрын
kwamaoni yangu huyu si proffesa wa kweli ni muoga
@robertbutahe28352 жыл бұрын
Wewe kilaza utajuaje kama ni prof wa kweli!?
@tgeofrey2 жыл бұрын
Amezaliwa Nazo kazitumia..
@frankmanyesela61472 жыл бұрын
Mama Umeongea point.
@mfalmekaitaba24252 жыл бұрын
Dah!! Wahaya tuna Akili nyingi sana aisee,ni kweli siasa ya Bongo ni nyoso,na Chato haina sifa kweli na Vijana wengi hatuko washindani maana hatuwezi kuvumilia ushindani,na ni kweli kilicho mtoa Rugemalila jela siyo mawakili bali ni mabadiliko ya Rais ni vile tuna Rais mpya,,,Kongore #WasafiMedia,#Tibaijuka
@jumannemsengi21952 жыл бұрын
Lazima aishi MAISHA mazuri alipata muda wa kupiga na akapiga, sasa MAGU nae c bora alipigania CHATO uwe Mkoa kwa manufaaaa ya wengi sasa, yy hiyo hela ya mboga c alikula peke yake.
@blandinamwarabu50252 жыл бұрын
Hilo nalo neno
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Natamani nchi hii leo ingekuwa na Rais kama huyu mama
@fralex_12762 жыл бұрын
Good
@emanuelyigwira25119 ай бұрын
Prof bana uko vzr “nani atamfunga paka kengele 😂”
@wanderenyeura90112 жыл бұрын
Hiv Prof ni mama Ebitoke?!nampenda sana
@magarimzeru36862 жыл бұрын
Yaani zungu una maswali ya kichokozi Sana,😄😄
@mwinyikadhi28702 жыл бұрын
Kasababisha migogoro mradi wa upimaji viwanja Kibada mpaka.leo watu wengine Wana makovu yake na wengine migogoro haijaisha
@gracemima52342 жыл бұрын
Ameiba za kutosha hana haja ya kufanya kazi. Wengi ni masikini kwasababu yeye ni tajiri.
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
😂😂😂
@josephwilliam58132 жыл бұрын
Uyo mama ni mfanya biashara anamiliki shule ya international inaitwa kaizirege shule pekee Tanzania ambayo school bus zake ni malcopolo G7 kwaio Hana njaa
@menlandmutashobya83772 жыл бұрын
@@josephwilliam5813 ya kwake n kajumulo sio kaizirege
@sankawila26892 жыл бұрын
Uyu kweli professor mpaka ana waelekeza jamaa maswali ya kumuuliza
@peterbuju52162 жыл бұрын
Msumari wamoto kweliii
@abdulkhamis11702 жыл бұрын
Siyo kweli Zanzibar mikowa yake ni midogo sana
@Joseph-lu4yj2 жыл бұрын
wala vyeki vya taifa........mama umekonda ile mbaya nadhani ni maisha ya mjomba alijua kuwaweka kwenye mstari ulio nyooka
@ibrahimkhamis79632 жыл бұрын
uyo tibaijuka lini alinenepa na wewe? Ivo ndo alivo uyo acha kuongea ongea utopolo
@zuriathkajwangya47492 жыл бұрын
Hajawai kunenepa huyo
@husseinnganda72202 жыл бұрын
Charles sijui kwanini mnajua mambo mengi nawakati bado wadogo?
@mutalemwagabrie97912 жыл бұрын
Hata mm ninashangaa😂😂😂😂
@fredrick3372 жыл бұрын
Mama uko vizuri sana
@hamadgakwaya34662 жыл бұрын
Nimewakumbali san
@sarllemmtunze4052 жыл бұрын
Huyo Mama ni mwizi tu na wezi wote wa awamu ya nne waliokuwa wameichimbia kaburi Tanzania hivi Sasa wamerudi nakuwa mashujaa. Vijana wa kitanzania tulizani Magufuli alikufumbueni macho lakini inaonekana bado ni wajinga na wajinga siku zote ndio wanaoumia. Kumbuka kusoma sio kuelimika na ndio maana watanzania tumekuwa wapumbavu kwa kuwaamini wasomi ambao wao wenyewe wameshindwa kujielimisha na kuwa mifano kwa watanzania wengine ila wengi wao wana sifa na kashfa za kulihujumu Taifa kwenye tumishi zao Serikalini au kwenye taasisi.
@sarllemmtunze4052 жыл бұрын
@Abdul update Daily sio mwizi wakati yeye mwenyewe alikiiri kupokea pesa za wizi za PTL zilizo wapeleka vigogo kadhaa jela yeye busara tu ilitumika kutopolekwa mahakamni. Sasa sijui nani ni kichwa maji? Potosheni mtavyopotosha ila miaka 10 ya awamu ya nne Tanzania ni jinamizi sugu na la kutisha kwenye historia ya Tanzania. Wakati huo ndio Twiga wanapandishwa ndege kwenda nje ya nchi na pesa zinaingia mifukoni mwa wachache. Tembo walikaribia kutoweka Tanzania. Makontena ya madini yanasafirishwa nje ya nchi kwa kigezo Kuwa ni takataka. Rada za Ndege fake zilinunuliwa kwa mabilioni ya shilling za watanzania, mitambo ya kuzalisha umeme fake ilinunuliwa kwa mabilioni ya shilling za watanzania na bado Giza lilitawala nchi nzima. Hovyo na ujinga mtupu kusema eti miaka 10 ya Kikwete deni la Taifa lilikuwa chini Tanzania? Katika serikali ya awamu ya nne kitu Gani hasa kilifanyika ambacho watanzania wanajivunia? Kipindi hicho ndicho Tanzania ilishindwa kumiliki hata ndege Moja. Kipindi hicho ndicho madawa ya kulevya yalitamalaki. Kwakweli acheni umbavu msitutie hasira tukaanza kuvurigana wenyewe. Nyamazeni kimya na muache kuisifia uozo kwani ni mapema mno kuanza kuleta habari za awamu nne.
@mretamreta80582 жыл бұрын
Unamatatizo ya akili wewe
@robertbutahe28352 жыл бұрын
Alimuibia nani? Au ni ile tabia ya kukariri uongo!
@calabash42212 жыл бұрын
@@robertbutahe2835 memory zenu ndogo sana....ile hela ya mboga aliyopewa umeisahau?
@johnsonmsuya14952 жыл бұрын
Hata kama ni mwizi anachoongea ni fact
@athumanii2 жыл бұрын
Zungu hiyo suruali njiwa umetuibia hapo😃
@joycekalembo22252 жыл бұрын
Nipo na dictionary huku nikimsikiliza mtu mwenye akili.
@redwaanyussuph20032 жыл бұрын
Nc
@abuukamugisha59942 жыл бұрын
Prof anaongea technically, mjanja sn
@blandinamwarabu50252 жыл бұрын
Hahaaaa
@nestor3842 жыл бұрын
Huyu mama ni mwizi kama wezi wengine tena mwizi mkubwa sana. Mifumo ya haki-jinai ktk nchi yetu hayajakaa sawa alipaswa kuwa prosecuted na kufungwa.
@elidarweyemamu51442 жыл бұрын
Evidence unazo?kamshitaki
@sylvesterjose32862 жыл бұрын
Acha udumavu wa fikra na fitina, suluhishp za tuhuma ni mahakamani. Una uthibitisho wa wizi wake fungua kesi mahakamani kathibitishe kwa vielelezo ulivyonavyo, vinginevyo acha majungu, chuki na hinda.
@immaculatemakene75462 жыл бұрын
Pesa za kifisadi alizopewa kwa nini alirudisha serikalini alivyoambiwa na Magufuri !???? Zingekuwa hazina tatzo zile pesa ni halali huyu ni msomi Prof asingerudisha !!!!! Watu hamjuwi mnalopoka tu !!!
@immaculatemakene75462 жыл бұрын
@@sylvesterjose3286 Hujuwi lolote halaf una comment !???? 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@immaculatemakene75462 жыл бұрын
@@elidarweyemamu5144 Pesa alizirudisha serikalini kwa nn !??? Kwa kuwa ni Mhaya mwenzako unajifanya haujuwi au vpi !???
@JacksoJMarko Жыл бұрын
Huyu maza anaakili sana aseee
@larickmtui28522 жыл бұрын
Tibaujuka mwingon mwa wanawake waliopiga pesa bila wasi was akasema bilion kum alichukua za mboga
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Hawa ni watu kama huyu professor ni waliotakiwa wawe jela au wamenyongwa
@janiaoma70932 жыл бұрын
mama kibajuka kawajibu vijana wa wasafi wanao safiri kuwafuwata vioozi kutafuta fitina na kuliza mambo ya unafiki nazani hawa vijana muelekeo wao wanatumiwa na viyama vya upizanii juzi wamuliza maswali polepole ya kifitina nakutafuta uharibifuu
@brysonkaale30032 жыл бұрын
Hawa vijana hawajui kuhoji mtu hatua kwa hatua na kuchokoza point muhimu kwa maslahi ya taifa,unapomhoji mtu mkubwa aliyefanya kazi kitaifa na kimataifa lazima ubebe Pini za kutosha!
@nardhismhagama62662 жыл бұрын
Wewe mama huna akili sjui ulipataje. Uprofes
@faridamikindo45242 жыл бұрын
Tatizo hiyo miradi ndio yao wenyewe sio KWA nananchi,,,ni biashara ZENU, mumejimilikisha nyumba za nyerere zote NHC ZOTE MUMEJIUZIA AKUNA KITU APO,,,WOTE NDO HAO HAO
@josephmakutano7067 Жыл бұрын
Nyee wabongo mnamatatizo dhambi imewatawala tayari kunahatari yakutafuniwa nakuiteketeza nchihii kwasabbu yaubinafusi naunafiki tu bilakuhofia chochote lolote tuchukuwe hatua mapema tubadrishe mfumo wautawala tulete mfumo wautoaji haki
@thomasjohn34992 жыл бұрын
ZUNGU UMEULIZA SAWALI ZURI SANA. UNA AKILI.
@nasseaman37202 жыл бұрын
huyu mama arudishwe kwenye serikali
@rusiamussa66962 жыл бұрын
Wewe jari mambo yako acha uongo
@bsmonline8482 Жыл бұрын
Kuna akina Laprofeseli na profesa huyu ndio Prof Org
@florianhashimu13702 жыл бұрын
Zungu huyo mama mmeendana sana kama vp mbadilishe jina aitwe Mrs Zungu
@benjaminlijongwa37152 жыл бұрын
Tatizo kubwa serikali inataka kuiga wazungu eti tununue vitu maeneo maalumu.
@mwinyikadhi28702 жыл бұрын
Kipindi Cha kikwete kulikua hakuna mpango wowote wa kuwaendeleza wananchi Zaid ya kupiga dili na kujineemesha wenyewe viongozi
@alexedward40692 жыл бұрын
Rekodi ya Wizi Na ufisadi pumbavu sana.
@mwinyikadhi28702 жыл бұрын
Alitaka kuwauza watu na maeneo yao kuanzia kibada mpaka vijibweni hili zengwe likja vunjwa na Jpm
@SimeonCharles-j5x Жыл бұрын
Amkeni
@stn48732 ай бұрын
"NANI ATAMFUNGA PAKA KENGELE."
@faridamikindo45242 жыл бұрын
Ni kweli uliona mpaka ukaita m10 pesa ya mboga looh africa viongozi WETU chuma ulete madarasa mahoptal aziishi KILA siku,,,,mnakula tu mwisho wenu upo watanzania techoka
@machoguhameri77572 жыл бұрын
Je ni kweli mama Tibaijuka umesema Chato haina sifa kuwa Mkoa,au umewekewa maneno na waandishi wa mtandao?
@mwinyikadhi28702 жыл бұрын
Huyu mamam muongo kabisaaa..ilibaki nusu tu aiuze kigamboni yaan tungekua tunalia saa hizi..huyo mwizi to Kama wezi wengine.
@aminimoshi5474 Жыл бұрын
Huyu ni Professor mnyoosho hapindishi kitu
@wazirmlogi75322 жыл бұрын
Hivi aunt utakuja kunenepa lini wewe!!?
@welcometoeat1652 жыл бұрын
Samia anatakiwa adili na mijitu kama hii na sio sabaya vimilion 90 ikiwa Kuna watu waliiba mabilion
@josephwilliam58132 жыл бұрын
Iyo million 90 haikua ya serikali wewe mtu akunyang'anye ata mil 10 alafu Sheria isimfanye chochote
@abahimbangerina3802 жыл бұрын
Kuachia kijiti ni muhimu sana lakini nadhani mama yetu angekuona akakuweka kuwa mshauri wake na bado una uwezo huo. Ninatamani umpe ushauri wa kimataifa kwa karibu. will miss you.
@OmbeniLuka Жыл бұрын
Wasomi hawajaisaidia nchi
@r14kgroup682 жыл бұрын
Mama thibaijuka
@badenbensoni75162 жыл бұрын
Kama unavaa suti ni lazima koti na suruali vyote viwe vyako.
@ismaildavid69702 жыл бұрын
Wandishi hawajielewi kuwa wamekutana na prof.
@ilovejesus93032 жыл бұрын
Jamani mngeuliza kwa nini walishindwa?????? Tujue watuweke wazi ili tuache kuiongelea. Km ni kurekebishwa basi Mshauri msikae kimya
@sixbertmwakaluwa56652 жыл бұрын
TZ ni nchi pekee fisadi Anahabudiwa😂
@faridamikindo45242 жыл бұрын
Ndio hapo katiba ina Mana tunaihitaji sababu kilichopangwa akiingia raisi mwingine,,,asiwe na MAMLAKA,,ya kufanya anachotaka yeye afanye tuyatakayo WATANZANIA,,tumechoka lakini hizo pesa si ulirudisha 😂😂😂
@josephgomalo412 жыл бұрын
Mwanzo alisema harudishi! Eti leo anadai aonyeshwe clip.. kashasahau! Madwanzi wansema eti huyo mama ni brilliant? kama angekuwa brilliant Samia hangekuwa makamu wa raisi. Tatizo la Tibaijuka ni kukosa maadili ndio maana Magufuli akambwaga!