POLEPOLE - "MAGUFULI ALISEMA UMEME USIKATIKE, TUFUKUE MAKABURI?, NAPE ANGEHOJI ENZI ZA JPM"...

  Рет қаралды 196,879

Wasafi Media

Wasafi Media

2 жыл бұрын

POLEPOLE - "MAGUFULI ALISEMA UMEME USIKATIKE, TUFUKUE MAKABURI?, NAPE ANGEHOJI ENZI ZA JPM"...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#Polepole #MsumariWaMoto #AfricaIsWatching

Пікірлер: 610
@johaneskatabalo9480
@johaneskatabalo9480 2 жыл бұрын
hongereni sana wasafi hakika haya mahojiano ni mazuri sana polepole amekuwa mtu sahihi sana jinsi anavyo jibu maswali kwa hoja nzito narudia mara kwa mara haya mahojiano.
@johnmasanja1762
@johnmasanja1762 2 жыл бұрын
Unda chama chako pole pole, kura mingi saaaaana kwako, Tena ukiite jina JPM, 🗽🗽🗽
@josephgomalo41
@josephgomalo41 2 жыл бұрын
NITAKATA KADI KESHO.. CHAMA JPM NDIO FUTURE A TANZANIA.. !
@joezeno8
@joezeno8 2 жыл бұрын
@@josephgomalo41 kabisa
@ilampahamisi5777
@ilampahamisi5777 2 жыл бұрын
We are very blessed to have a person like H. Polepole. He is rich in love Quotient (LQ), emotional Quotient (EQ), Social Quotient (SQ) and intelligent Quotient (IQ). He knows what to speak and how, we need you in near future to be in executive.
@highcalling3012
@highcalling3012 2 жыл бұрын
Real true
@sambbarua9813
@sambbarua9813 2 жыл бұрын
ñ
@neemakaunda1737
@neemakaunda1737 2 жыл бұрын
@@sambbarua9813 ww,
@ilampahamisi5777
@ilampahamisi5777 2 жыл бұрын
@A1 thanks brother be blessed in advance.
@bevenmolokwane_tz4643
@bevenmolokwane_tz4643 2 жыл бұрын
safi sanaaaaa, 👍umemjibu vizuri sana kwenye hoja ya umeme, "hoja ya kipuuzi kweli kweli" Nepi anatufanya sisi watanzania mazuzu !!!
@ellymakongo656
@ellymakongo656 2 жыл бұрын
Anaongea anachokiishi salute sana kwako
@isaacwilson7529
@isaacwilson7529 2 жыл бұрын
Hpolepole Akili nyingi Sana Mungu akupandishe siku uwe rais wetu tz
@Boaz22
@Boaz22 2 жыл бұрын
Akili nyingi ipi kaka
@rickyaruzi1983
@rickyaruzi1983 2 жыл бұрын
Kitambulisho kimoja kinaweza tumiwa na wafanyabiashara wote
@afrohomeofsuccess2359
@afrohomeofsuccess2359 2 жыл бұрын
@@Boaz22 unateseka sana mbona
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
@@afrohomeofsuccess2359 kwasababu anaipenda nchi yake. Watu kama hawa wanahitajika Tanzania. Mungu hafungi milango yote. Katufungia MAGUFULI katufungulia PolePole
@queenpearl8286
@queenpearl8286 Жыл бұрын
@@rickyaruzi1983 q22
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 2 жыл бұрын
Comrade Polepole uko vizuri sana. Unaweza kujenga hoja. Na uelewa mkubwa sana. Wengine wale.... Wanapenda kujipendekeza wazushi nk. Endelea kuelewesha umma !
@Boaz22
@Boaz22 2 жыл бұрын
Hamna kitu hapa,utawala wa uongozi sio kusema jambo la uamuzi uliopo madarakani.give solutions...we are youth let's gain enough knowledge.sio kuchukua kila unachosikia
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
@@Boaz22 Ni wewe unaona hakuna kitu. Wenye akiri zawo na wapenda haki kwa wote Tunaunga mukono.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 жыл бұрын
Ni maoni yako acha mwenye kuona yupo sahihi mpe uhuru. Hata Mungu hakubaliki na wote.
@alhaminyangusi8035
@alhaminyangusi8035 2 жыл бұрын
Mwambie aache stress kila zama na watu wake,, atulie tu
@stevemwandambo587
@stevemwandambo587 2 жыл бұрын
huyu mtu ana uelewa mkubwa xn ila Kwa wale watu wny akili ndogo ni ngumu xn kumuelewa..
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 2 жыл бұрын
huyu jamaa anajua mpk basi hpolepole on fire🔥
@FINGATanzania
@FINGATanzania 2 жыл бұрын
Yuko smart kuongea, smart kuchanganua, smart sana Polepole
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 2 жыл бұрын
Wasafi mmepevuka Sana nawapeni congratulations 😂😂😂
@gospelvibestv3914
@gospelvibestv3914 2 жыл бұрын
Congratulation🔥🔥😜😀😀
@anordkingstar5793
@anordkingstar5793 2 жыл бұрын
Hamfely mngu akuongoze kaka naona moyo wako ulivyo saf juu ya nchi yetu hao mafisadi acha wakupinge tu,,, mda ukifika maneno yako yatakumbukwa,,, Amin nasema na mngu atawafunulia haya cku ya tukio tuombe uzima
@yunusrnb5227
@yunusrnb5227 2 жыл бұрын
Jamaa Ana AKILI Sana,NAMKUBALI polepole toka TYC Tanzania youth Coalition,Ana UELEWA wa Mambo mengi
@yohanaholehole1298
@yohanaholehole1298 2 жыл бұрын
Kongole polepole you have a great vision to our nation....i always appreciate on you since 2011 in a young age of 12 years myself
@mohammedmdangwe2056
@mohammedmdangwe2056 2 жыл бұрын
Polepole jipangeni tumechoka na mgao wa umeme tunalala bila kuoga maji hakuna upigaji umerudi kwa kasi miradi ya kimkakati yote imesimama tunataka bwawa la nyerere liishe reli iishe
@novatusabond9253
@novatusabond9253 2 жыл бұрын
Kweli kabisaa
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 2 жыл бұрын
We ndo baba yetu na ndo kakayetu mzalendo wa kweli hekima na busara zako hakuna mwenye akili na uono wa kesho kutwa katika taifa letu mungu akulinde mungu ibariki Tanzania
@michaelaloyce2072
@michaelaloyce2072 2 жыл бұрын
Baba yako ww. Tena ukome
@Boaz22
@Boaz22 2 жыл бұрын
Baba yako huyu we pimbi
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
@@michaelaloyce2072 Koma wewe. Baba yetu sisi wapenda haki kwa wote. Sio wewe fisadi papasi mkubwa munyonya damu za Watanzania wenzio.
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
@@Boaz22 pimbi ni wewe, usiyependa haki kwa wote. Mubinafi mkubwa wewe. Tanzania ni ya kila Mtanzania
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
@@michaelaloyce2072 michael aloyce mbona unatoa matusi tena
@deejeydaev
@deejeydaev 2 жыл бұрын
Sasa haya ndio mambo. Wasafi hongereni kwa kipindi kama hiki..safi kabisa
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 жыл бұрын
Mb polepole Mungu akulinde tuzidi kujifunza kupitia wewe
@yuathmtenzi2114
@yuathmtenzi2114 2 жыл бұрын
Humble, brilliant and blessed man. Thanks comrade
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 2 жыл бұрын
Akili kubwa sana Huyu Polepole. Lakn nimeridhika na hosts kwa maswali na namna wanavyoijua kazi ya kusaili👍
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 2 жыл бұрын
Siku ukifa ndio tutakuana wasamani na kukupa majina Mazuri mapya ambayo huta sikia MUNGU AKUPATIE SAWABU YA KAZI
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
Pole pole Watanzania wapenda haki kwa wote tunakupenda. You give us hope. May God protect you my son.
@pendomarco8928
@pendomarco8928 2 жыл бұрын
Nakupenda baba Yangu pole pole, wasaliti wabaya Sana mwisho wake ni kujinyonga Kama yuda aliyemsaliti Bwana Yesu
@kiwalejaphett5846
@kiwalejaphett5846 2 жыл бұрын
Kazi nzuri polepole
@fadhilmandaliabdalla6736
@fadhilmandaliabdalla6736 2 жыл бұрын
Michael Schofield 👊you are very truthful, logical, fear no body but God🙏
@paulpius6566
@paulpius6566 2 жыл бұрын
HAMPHREY uko vzr saaaaana kaka , Mungu azidi kukupa Uhai na uisimamie serikali ya awamu ya tano
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 жыл бұрын
Polepole wewe ni very intelligent 👌
@fraviansweetberty8819
@fraviansweetberty8819 2 жыл бұрын
Dah!!!!!!!!!!! Nawahuni wangeisha kweliiiiii Ila yote tumshukuru Mungu kwa kila jamboo atuna namna
@zawadimwambungu8940
@zawadimwambungu8940 2 жыл бұрын
NIMEPENDA SANA HIKI KIPINDI HUYU JAMAA KWELI NIKIONGOZI TUNAOMBA MUMWITE TENA HUYU JAMAA ANAMAONO NA LEADERSHIP MIND KUBWA SANA HII NI SILAAA MUNGU AMPE MAISHA MAREFU SANA MR POLEPOLE WE PRAY FOR HIM
@peterjovit7342
@peterjovit7342 2 жыл бұрын
Pole pole Mtu bwana mapungufu niya kila mwanadam lakini anajitahidi kwakwel
@Boaz22
@Boaz22 2 жыл бұрын
Acha umavi wewe ,,unasikiliza flow sio?
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
@@Boaz22 umavi unao wewe usiojuwa utu ni nini.
@priscacharlescharles9014
@priscacharlescharles9014 2 жыл бұрын
Wasafi ❤❤mko smarti sana 😍
@JMMM686
@JMMM686 2 жыл бұрын
Polepole🇹🇿🇹🇿 wakati muhimu na sahihi unakuja kwako ili Tz uitumikie kwa nafasi ya juu
@ezekielchengula2228
@ezekielchengula2228 2 жыл бұрын
Amen.
@joojombi2341
@joojombi2341 2 жыл бұрын
Tzd tatizo kubwa sana wapigaji kila kikona na tabu sana kuwaponya mola amlaze pahali pema Magu kwa kweli
@awadhichimbunga2009
@awadhichimbunga2009 2 жыл бұрын
Natamani siku moja uje kuongoza taifa letu kaka
@shehitzmakulusha8154
@shehitzmakulusha8154 2 жыл бұрын
Akili nyingi sana
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 2 жыл бұрын
Tunakukubali Polepole piga kazi tu,,,ila umenifurahisha Sana eti Maharamia walipelekewa Moto wa Kutosha
@michaeldady1767
@michaeldady1767 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ana akili mingi sanaaa...God bless you comrade
@alhaminyangusi8035
@alhaminyangusi8035 2 жыл бұрын
Inaonekana ww una akili ndogo
@stevemwandambo587
@stevemwandambo587 2 жыл бұрын
kwa kawaida binadamu akili huwa tunatofautiana kn watu wana akili xn, wengine kdg so ndio iko hvo
@kiwalejaphett5846
@kiwalejaphett5846 2 жыл бұрын
Polepole unajua mambo mengi sana saidia taifa
@rumb5876
@rumb5876 2 жыл бұрын
Usije ukachukua kasentensi kamoja usije ukazama nako baharini🗣 . Polepole Nakukubali sana Mungu akupe maisha marefu .
@nyembomajidi3027
@nyembomajidi3027 2 жыл бұрын
ndio pole pole upinzani wa ubwege hauna faida sisi raia inabidi tuwe makini na hawa wampinzani wafrica from drc🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇰🇪🇺🇬
@mudolyomanzil6502
@mudolyomanzil6502 2 жыл бұрын
Bless bless #polepole #wcb
@avitusleonard6728
@avitusleonard6728 2 жыл бұрын
Pole pole you are blessings to our country. May continue to flourish you; fear not my brother. One day, our people will understand your wisdoms.
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
Not really
@florameza9529
@florameza9529 2 жыл бұрын
Wana ccm 2025 tuleteeni polepole anafaa kufata nyayo za magufuli
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 2 жыл бұрын
Una utu na uzalendo kwenye damu yako wa hali ya juu sana. Nadhani kwenye utoto wako ulikuwa unawagawia wadogo zako mkate kwa upendo na wewe unashiba kiroho.
@michaelaloyce2072
@michaelaloyce2072 2 жыл бұрын
Unaumwa ww
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 2 жыл бұрын
SAFI SANA MH.POLEPOLE.
@fredrickshantiwa9710
@fredrickshantiwa9710 2 жыл бұрын
Pole pole ni kiongozi mwema Sana
@antonyshayo7569
@antonyshayo7569 2 жыл бұрын
Kaka were una hekima sana naomba uendelee kutuelimisha kwani wewe in kiongozi kweli
@malolelamayoka7491
@malolelamayoka7491 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana!
@meddymushimaz4998
@meddymushimaz4998 2 жыл бұрын
Polepole MZALENDO kati ya wazalendo waliobaki na wasiokuwa wanafiki,,NAMPENDA sana Polepole na tunahitaji vijana wa ainahii, baadhi yavijana tunawasomesha kwakodizetu lakini wakitokahuko wanakuwa mafisadi nawezi wa rasilimali za umma
@sleymansleyman9511
@sleymansleyman9511 2 жыл бұрын
Comrade polepole nimtu yupo street sn hanaga konakona ukimuuliza swali anakujibu swali lako mpaka unashiba na anatengeneze hoja zenye mashiko kwa faida ya wananchi hongera kwake kwa kazi nzuri.
@josephsaghana1056
@josephsaghana1056 2 жыл бұрын
Asante naiona nuru ya Taifa inainuka Taratibuuu!!
@adolphmaige4249
@adolphmaige4249 2 жыл бұрын
Asante Sana polepole
@magwinahimself7316
@magwinahimself7316 2 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu kaka polepole
@joojombi2341
@joojombi2341 2 жыл бұрын
Mpe salaam sana rafiki yangu huyo mola amjaalie kila la kheiry
@adamsonkyando682
@adamsonkyando682 2 жыл бұрын
Huyu jamaa anauwezo mkubwa sana wa kuwa kiongozi
@shabaniabdu1312
@shabaniabdu1312 2 жыл бұрын
Upinzani wa tz mara nyingi hujitetea wao wenyewe Sio kutetea umma! Ndio maana hawa kupata kura. Matatizo yao wana tegemea taasisi za nje! Badala ya kutegemea ummma. Hawaja tambua kama kuishi kwao ni lazima kutegemea umma!!!! Ndio wapiga kura.
@eliamwasomola578
@eliamwasomola578 2 жыл бұрын
Ubongo mdogo Sana huwezi kufikili
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 жыл бұрын
Nashukuru kulifahamu jambo la bandari ya bagamoyo huyu waziri mwambe hajielewi kweli kama jewellery la msingi liliwekwa mkataba utakosekanaje ajabu kubwa na ni aibu kwa mwAmbe tena ni muongo mzandiki mkubwa hata mkataba atatudanganya ttu
@mwambedesigner1371
@mwambedesigner1371 2 жыл бұрын
Dah mtihan
@barakaephraim5481
@barakaephraim5481 2 жыл бұрын
Mh Mungu awe mlinzi wako daimaa unafanya makubwa , ila Sasa tukuombee tu watz
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 жыл бұрын
Kiongoz wetu polepole allah akulinde
@sarllemmtunze405
@sarllemmtunze405 2 жыл бұрын
Waziri mwamba ni miongoni mwa wahuni watakaokuja kuighsrimu CCM na Tanzania kwa ujumla 😕
@kaayakitomary1233
@kaayakitomary1233 2 жыл бұрын
Kweli kabisa. Yaaaan sasa hv wanatumia nguvu sana
@angelinankuji7660
@angelinankuji7660 2 жыл бұрын
Nakupenda sana m2 wa mungu una mcmamo na imani kweli usigeuke nyuma ukawa nguzo ya chumvi
@lispafulgence9983
@lispafulgence9983 2 жыл бұрын
Polepole pamoja sana
@Butondo
@Butondo 2 жыл бұрын
Kaka upo vizuri. Ninaingia kitandani kulala na Amani. Unajua unaongea nini na unajua kubaransi na kujibu hoja bila kupindisha swali lolote.
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 жыл бұрын
Uko vizuri polepole
@mohammedmdangwe2056
@mohammedmdangwe2056 2 жыл бұрын
Kwa mbali polepole utakuwa kiongozi mkubwa sana
@fredrickshantiwa9710
@fredrickshantiwa9710 2 жыл бұрын
Nakupenda Sana ww jamaaa
@nicolausclement8408
@nicolausclement8408 2 жыл бұрын
Kwangu mm maoni yangu ningependa kuja kukuona huko mbeleni ukiwa raisi wainchi hii unauzarendo wakweli moyoni mwako kwa inchi yako tanzania nakikumbuka kile kipindi chako cha papo kwa hapo kilitatua kero nyingi sana kwa wanainchi mungu akusimamie msemakweli
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 2 жыл бұрын
Safi sana
@vicentmichael8424
@vicentmichael8424 2 жыл бұрын
Just imagine mtu anatokea sjui wap anaanza kusema mradi wetu ni hasara sjui katumwa na nani , kwanza bwawa lile sio uharibifu wa mazingira kwa sababu maji pia huleta mvua by evaporations process . I wish haya maoni yangu ayasome rais wetu ili atunusuru maana mipango ya nchi zilizoendelea hawataki tuwe na umeme ili tujiokoe na umaskni.
@novatusabond9253
@novatusabond9253 2 жыл бұрын
Good
@jastinestanley6484
@jastinestanley6484 2 жыл бұрын
Kweli sema ukweli nguli WA Tanzania Kwa sasa
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 2 жыл бұрын
MH POLE POLE MM NIMEUONA UGUMU WAKAZI MLIYOKUA MNAIFANYA WAZALENDO NA KAZI NGUMU INAYO ENDELEA MUNGU AWE UPANDE WAKO NA WOTE WAZALENDO
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 жыл бұрын
Humphrey Polepole 💪💪💯💯 kuna wasaliti humo CCM wasio na HAYA. Umewajibu vizuri sana sana. Huyo mwambe Mwambe anapaswa kujihudhuru.
@selector728
@selector728 2 жыл бұрын
Kujihudhulu sio kujihudhuru🚮
@danielkntimba4565
@danielkntimba4565 2 жыл бұрын
Hongereni sana Wasafi TV na Comrade Polepole kwa kutuelimisha Umma wa Watanzania mambo muhimu ya nchi kwa jina.
@mickdadyronaldo4113
@mickdadyronaldo4113 2 жыл бұрын
Polepole sauti safi kabisa umeongea vizuri sana kiongozi mzalendo uliebaki Tunakupenda sana
@yohanamagele3633
@yohanamagele3633 2 жыл бұрын
Huyu ndio Mwanafunzi bora baada ya JPM KUFA Naamini Atashika hatam one day
@geopolitics94
@geopolitics94 2 жыл бұрын
Interview nzuri sana, both Mhojiwa na wanaohoji 👊🏾
@silverman6930
@silverman6930 2 жыл бұрын
This Guy is a Genius I live in the Uk and my guy will be a MP here in a Parliament for sure very intelligent… I’m so impressed listening to you Pole pole .. very articulate and knowledgeable in analysing matters . Incredible stuff 🇬🇧🇬🇧❤️❤️🔥🔥
@noahyavinmlela859
@noahyavinmlela859 2 жыл бұрын
"Tuko pamoja kiongozi #polepole
@vicentmichael8424
@vicentmichael8424 2 жыл бұрын
Maoni yangu: tukiwa na umeme wa kutosha tutaweza kutunza mazingira maana watu wataacha kutumia kuni na mkaa. Pia tutavutia watu wengi kuwa na viwanda hapo ndo nchi yetu itakuwa kiuchumi. Tunaambiwa mazingira huku kwenye nchi zao wao hawatunzi mazingira nadhani lengo ni kutufanya tusiwe na umeme ili tuwe masoko yao ya bidhaa. Tafadhali viongozi wetu Mungu awaidia usiuze nchi yetu tunaipenda sana
@joshemman520
@joshemman520 2 жыл бұрын
Pitia nyumba kumi hapo kwenu alaf unipe wangapi wanatumia umeme kupikia . Labda gesi !! Toa mapungufu ili kujenga hoja yenye nguvu! Watu wameumbwa kuona kasoro kwa wingi., Sipingi hoja fuata .
@petercat7417
@petercat7417 2 жыл бұрын
Ni kweli ila kupata umeme wa uhakika nilazima uharibu mazingira
@enockmakombe9219
@enockmakombe9219 2 жыл бұрын
Daaah sitamani kuandika sana ila polepole tuonyeshe unachokizungumza tunaimani na ww
@kpmagothtv8620
@kpmagothtv8620 2 жыл бұрын
Polepole we una akili sana 👏👏
@saidimalunda6487
@saidimalunda6487 2 жыл бұрын
What a speech HONGERA sana
@davidlinus6940
@davidlinus6940 2 жыл бұрын
Akilini nyingi bro mungu awe nawe
@d.e.o8296
@d.e.o8296 2 жыл бұрын
Why wasikupatie Nchi ndg
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 2 жыл бұрын
Huyu polepole muwekeni karibu na viongozi wakuu awashauri jamani,wekeni watu ambao jamii inawaamini
@benjaminekimanuka6240
@benjaminekimanuka6240 2 жыл бұрын
Asante mzalendo wa afrika
@furahamsabaha4238
@furahamsabaha4238 2 жыл бұрын
Hongera sana comredi kutusomesha,kuhusu bandari yabagamoyo,si rahisi hivyo rais akaweka jiwe la msingi wewe ukasema hakuna mkataba, ! Kusema ukweli jambo jema tusilewe madaraka tukafitinisha watu!
@simontv5012
@simontv5012 2 жыл бұрын
Akil ipo mahali panapo sitahil
@dayana5513story
@dayana5513story 2 жыл бұрын
Love you polepole cup going
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
It's keep
@salhajames2430
@salhajames2430 2 жыл бұрын
Yan pole pol unaakiliiii ww mimi nimkazi wambande nilishangaaa Yan hadi mbande wanaambiwa waondoke nashangaaa Yani hdi huk mbande
@sendimbwega1645
@sendimbwega1645 2 жыл бұрын
Kweli pole pole,🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓
@joshemman520
@joshemman520 2 жыл бұрын
We need a president like you 🇹🇿
@Boaz22
@Boaz22 2 жыл бұрын
Mungu asaidie hio kichwa nazi yako wallah,kuchukua kila linalosemwa.
@fahamnitwahir9249
@fahamnitwahir9249 2 жыл бұрын
@@Boaz22 hawa ndio watz kaka
@dannysix4475
@dannysix4475 2 жыл бұрын
Sure
@emanuelsam1543
@emanuelsam1543 2 жыл бұрын
President of manzese au??
@fahamnitwahir9249
@fahamnitwahir9249 2 жыл бұрын
@@emanuelsam1543 😂😂😂, umemuuliza swali zur sana
@othinielkamyola3697
@othinielkamyola3697 2 жыл бұрын
God bless u Hpolepole
@fidelymasokero1799
@fidelymasokero1799 2 жыл бұрын
charles wilium yuko smart kinoma🤜
@raphaelonyango703
@raphaelonyango703 2 жыл бұрын
Jamaa yangu kweli shule ya uongozi unaiweza na majibu mubashara hongera sana no any one can stop you.big up for your answers.
@mmlove9127
@mmlove9127 2 жыл бұрын
Polepole namkubali sana...Mama ampe majukumu ya ku deal na raia moja kwa moja
@farajastudioandstationery5798
@farajastudioandstationery5798 2 жыл бұрын
Mhe. Pole pole We ni mtu kwelikweli nakukubali, waswahili walaji wa Nchi achana nao....
@ommimg2467
@ommimg2467 2 жыл бұрын
Mungu akusaidie ndugu dah! Akulinde sana uje kutumikia Watz kwa ngazi ya juu sana
@wahapahapa3279
@wahapahapa3279 2 жыл бұрын
Mama samia hamna kitu hpolepole anatumia busara kubwa kutoongea kauli za kumvunjia heshima…ila ameeleweka wazalendo tunamuelewa na tumemuelewa
@binbaya923
@binbaya923 2 жыл бұрын
Hongereni kaka Zungu na mwenzio kwa maswali (mmetulia sana) pamoja na Mh. Polepole kwa majibu mazuri bila skip. God bless you all
@gadafimshamu4851
@gadafimshamu4851 2 жыл бұрын
Pole pole piga kazi Brother we wish you all the best on every movement
@patelmpene3650
@patelmpene3650 2 жыл бұрын
Duuuuh kwel huu n msumari wa Moto mpo fire 🔥 naangalia huku nikiwa naogopa
@hancymtembo1870
@hancymtembo1870 2 жыл бұрын
Polepole una akili sana
@leverimlaki5667
@leverimlaki5667 2 жыл бұрын
Kuna kitu kimoja muhimu sana katika uongozi kinachoitwa consistency, yaani kuto badilika katika yale yaliyo sahihi kwa maslahi ya jamii yako. Licha ya kuwa Mh. Polepole ana mambo ya muhimu ya kiungozi ila kuna mahali hajaonyesha consistency, kuanzia katika swala la katiba mpya. Huwezi mlinganisha yeye na mzee Warioba. Unaweza ona consistency ya Mzee Warioba katika issue ya katiba mpya. He remained consistent. Polepole amekuwa akiyumba, akiwa sehemu muhimu ya awamu ya 5 walitishia watu walio kuwa na mawazo chanya tofauti na yao. Na itikadi hiyo ndiyo inaonekana hata katika viongozi wa CCM wanao mshambulia yeye leo hii anapo toa maoni yake. As leaders we need to show consistency ili leo na kesho maneno yetu yasituhukumu.
@antonyshayo7569
@antonyshayo7569 2 жыл бұрын
Kaka mungu akujalie maoni makubwa zaidi
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 15 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 76 МЛН
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
SNAKE BOY | ep 29 | SEASON TWO
31:40
CLAM VEVO
Рет қаралды 99 М.
MPWA WA MAGUFULI AELEZA ALIVYOFUKUZWA KAZI
4:12
Wasafi Media
Рет қаралды 27 М.
KAULI ZA NAPE NA KASHKASH ZILIZOWAHI KUMKUTA
6:48
JAMBO TV
Рет қаралды 109 М.
Задержи дыхание дольше всех!
0:42
Аришнев
Рет қаралды 2,6 МЛН
Детство злой тётки 😂 #shorts
0:31
Julia Fun
Рет қаралды 4,3 МЛН
😹😹😹
0:19
Татьяна Дука
Рет қаралды 19 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
0:42
Аришнев
Рет қаралды 2,6 МЛН