Kamanda Lissu usiachie kamba, endelea kuvuta mpaka tupate ukombozi na Mwenyezi Mungu akulinde
@wadeelegbogun301510 ай бұрын
Watanzania wenzetu amkeni fungueni macho 4,CCM YA SASA SIYO YA NYERERE, KWA SASA TUNA CCM GENGE LA WAHUNI, MAJIZI, WAUWAJI CCM FEKI
@hajjiomary238310 ай бұрын
Stories
@maryamtan68210 ай бұрын
Na hao vp Chama chako kimejamilika wapi. Kafanye uchunguzi uje utujuze wapi tuelekee.
@amanmalima94010 ай бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@jubeckmkoma373210 ай бұрын
Mganga hajigangi, much appreciation ever
@MsuyaMsemo10 ай бұрын
Pole Sana munguakupenguvu usikatetamaa tukopamoja
@madhuru255410 ай бұрын
Huna mpango na huna jipya
@user-xe8xv6so6s10 ай бұрын
Asante mungu uliyemtetezi wa wanyonge.unayempinia mwamba wetu. Tunaimani kabisa huyu ni muwakilishi wako.
@rajah932810 ай бұрын
Sio uko tu Kenya pia lazima ue na kibali cha police wajue nia yko na mkutano wako utkua sehemu gani pia
@innocentkalumuna966410 ай бұрын
Pole sana ka ka
@user-le3oc2xz1f10 ай бұрын
Pole Sana kiongozi wetu pambana baba
@jumaally246910 ай бұрын
Ipo siku
@shangwefisima399310 ай бұрын
Lisu mweeeee! Si utulieeee
@rashidyusuphwewenimtotowam176110 ай бұрын
Akitulia hatupati katiba mpya si akiongea tunataka katiba mpya hawatuelewi acha kinuke sas ipatikane kwa nguvu
@charlesjoseph108110 ай бұрын
Imejaa polish bila hata kufinywa,huyu msenge ana kampeni ovyo kamateni huyu nwendawazimu weka ndani mpumbavuu
@abdallahdataguy10 ай бұрын
Naanza kumuelewa Magu kwa nini alipiga marufuku siasa baada ya uchaguzi.
Lissu acha fedhuli zako na na uwe na nidhamu na kufuata sheria za nchi usijifanye wewe ndio nchi nzima fuata sheria kama wengine acha jeuri zako wala wewe sio mtu una thamani kuliko watanzania wengine ,,,kama huwezi kufuata sheria unagombania nini haki kama wewe hutaki kufuata haki ..jeuri itakuangamiza na hutopata lolote ,,kama wataka umaarufu hausaidii kitu ,,huwezi kufuata sheria za nchi rudi huko Belgium ukaishi utakavyo wewe japo huko pia utakua na adabu kufuata sheria za huko ...acha jeuri uishi vizuri ama jeuri yako haikukusaidia mwanzoni haitokusaidia milele ,,,kaa kwa adbu kama wengine
@maryamtan68210 ай бұрын
Kazi iendeleee, mwenyewe Alisha Sema polisi waandae magereza, yt Macho na masikio.
@joojombi234110 ай бұрын
Hujaguswa mwenyewe umeshangaa punguza uongo mtupu majibu wesha pewa jana. Punguza uongo na fatani utakaa sawa tu
@georgemassebu208310 ай бұрын
Huu ni upinzani dhaifu sana na hakuna kitu hapa,chama kinatembea na mtu na walinzi wake tu ambao inaonekana anawalipa yeye tu kwa pesa alizopewa na mabepari huko nje,hapa hakuna kitu
@majaliwamussa134310 ай бұрын
Kwa upinzani huu , bora CCM iendelee tu
@khaalidcheo538310 ай бұрын
Kabisa kaka
@OmmyJames-xn7ji10 ай бұрын
MIAKA 1000❤❤❤KAMA WAPINZANI WENYEWE NI WAHUNI TU
@kadmc912410 ай бұрын
Tumevaa kaptula😁😁
@kaguripenina6310 ай бұрын
Eti leo ,wasaf na millard ayo wamekuposit unafiktu
@hajjiomary238310 ай бұрын
Mama piga kazi tuko nyuma yako na bandari wape watu wa kazi cc tumechoka kupotezewa mda na vimashine vichache vya bandari
@Muganyizi10 ай бұрын
Wew utakuja gongewa mke wako
@rashidyusuphwewenimtotowam176110 ай бұрын
Lissu chapa kazi sis tupo nyuma yako usikubali wabinafishishe hizo bandali zetu watatokea viongozi wenye akili kama magufuli wataziendesha vema. Mungu saidia tupate kiongozi mzuri mwenye maono na akili l love tz
@damianmassawe751610 ай бұрын
Huna watoto wewe ndo maana unaongea maneno ya kijinga kuhusu bandari angekuwa wa Kwanza nyerere kuibinafsha lakini aliona mbali huo Ni urith wetu sio wa mwarabu
@emanuelmaya466710 ай бұрын
fala wewe
@rashidyusuphwewenimtotowam176110 ай бұрын
@@emanuelmaya4667 😁😁😁😁😁
@peternelsonP.N.M10 ай бұрын
Dah pole sana mkuu risu 🇹🇿
@SalimAbdallah-tg1yo10 ай бұрын
Mimi sio mwanasheria wala sijasoma ila najua huwez fanya mkutano au hata shereh yoyote mpaka kibali cha polis
@suleimankindy646510 ай бұрын
Wanaonekana wapinzani wapo dhaifu.. hata hao waliojikusanya ni kama wapo KANISANI tu CCM Watashinda kiulaini sana Mama yupo juu..kiwango chake kiko juu Yaani CCM kweli Dume
Wananchi wanahitaji mabadiliko kwani wameona C C M haiwasadii. Wanayoyazungumza wakiwa kwenye jukwaa la kisiasa ni tofauti na matendo yao. Magufuli alitengeneza na kuiweka C C M pazuri lakini naona warisi wake wameanzisha dira yao ambayo ni chungu kwa wananchi.
Yaani lisu huna shukrani leo unamfanyia maama firigisu wakati yeye ndio aliekufanya urudi kwenu kutoka uhamishoni au ndio leo umesahau kama ilikiwa husubutu hata kutia pua tz wakati wa magu ebu kuwa na fazila au ndio tuseme akili zimekuruka kwa zile risasi za magu
@abellutonja458910 ай бұрын
Kwahyo ukitaka apande jukwaani amsifie MAMA KIMBO wenu
@user-od1et5ii1k10 ай бұрын
@@abellutonja4589 ukitaka usitake mama ni raisi wako tu
@kassimkingu551210 ай бұрын
Polisi kama hamwelewi nachukia sana na ninaumia kuwa mnafanya makosa makubwa sana kukamata hao watu wapuuzi thn mnawaachia kwa dhaman mnawapa sifa sana mnavyoaachia bila kesi kuendelea kama mnaona bado hamjaona kosa msiwakate maana mnawapa sifa sana.
@dustanmassawe624910 ай бұрын
Ccm na uongozi wao ni uchafu watuachie nchi yetu Go Lissu
@hajjiomary238310 ай бұрын
Maneno ya kushiba mlikaa kmya leo mama kafungua nchi mnapiga kelele
@joojombi234110 ай бұрын
Mamako kesha kkujibu wacha kupotosha na uongo wako. Baba mzima unavaa kaptura fatan mkubwa
@AlfredMassoud-kw7jm10 ай бұрын
Kiki za kisiasa tu .kaona haongelewi sana so ameandaa tukio huku akijua kuwa polisi watafata Sheria kuwakamata...ni watanzania wachache Sasa wasio elewa mchezo wenu
@mlawayusuph884210 ай бұрын
Safi kabisa
@jeffhard577310 ай бұрын
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipo ishia
@palhmavoice771610 ай бұрын
Thinking capacity yako ni ndogo Sana japo ww unajiona una akili
@katokimera446310 ай бұрын
Huyu watakuwa wanamrafii nakama nimtoto wa kiumee atakuwa nishogaaa
@JustinMwanawima-yi3ey10 ай бұрын
Unajua Nini wewe?
@davidjohn597710 ай бұрын
Ila umezidi Kaka,Tanzania ni ya Watanzania.
@TM.Sullusi10 ай бұрын
Kwahyo wamasai wao sio watanzania bro?😢😢
@siasporttv782310 ай бұрын
Kwani yeye ni mburundi respect for the movement
@user-yq5or7de9d10 ай бұрын
We jinga kabisa
@ilynpayne749110 ай бұрын
Wamasai ni ma mbwa kumbe hawana haki ya kuishi kwenye ardhi walio rithishwa na mababu zao😢
@petergirago94089 ай бұрын
Ila watu wa ccm mnajkitaka mungu mtu 😅😅😅
@user-hv7pw6ih5v10 ай бұрын
Mr Lisu jaribu kuwa mstaaribu kwa nini kila kukicha matatizo debe kama mwanamke mjazimto? kila kukicha yanaibuka matatizo mapya je wewe ndo unategemea kuwa Rais wa nchi kweli wa Tanzania tuwe hange na huyu bomu Rais mtarajiwa maana matatizo yamemzidi kwa nini usiombe kibali wakati unajua ndo sheria 😢
@mlawayusuph884210 ай бұрын
Kashakojolewa Sasa hivi atatulia kwanza
@samniza176310 ай бұрын
Really is that what your gov. know and do to you the people?
@Mohaa430910 ай бұрын
Duuu
@BahatiYenzela-kj6jq10 ай бұрын
Wavuluga amani ni maficm wenyewe
@rushydahmed917910 ай бұрын
sio lazima lkn yeye ni kiongozi wa watu na pia Lissu ni 'International figure' media inafaidika na taarifa zake yaani media ina interest zaidi na matukio ya Lissu. siku zote viongozi wa upinzani duniani kote wanapata umaarufu kutokana na mateso ya watawala hasa waliokaa madaraka kwa muda mrefu kama CCM, watawala wanakuwa na hofu ndio sababu wanatumia vitisho na nguvu kuuwa upinzani. umenipata?
@user-jz6ok7bu4k10 ай бұрын
Kwa hyo bado unaendelea na mkutano
@isaka_omary10 ай бұрын
Nilijua Banda la Video bana
@NassorSalumMengi-jj1nf10 ай бұрын
Lisu wewe naz unataka kushindana na jiwe lengo lako kuvuluga amani ya nchi wewe unako kwa kukimbilia sasa hao kina bile watakimbilli wap?
@siasporttv782310 ай бұрын
Hata wakati wa daudi na goliati kama daudi angejiona ni nazi na goliati ni jiwe asingeweza kumshinda goliati time will tell
@issandule175010 ай бұрын
Bonge la jb
@festokaboge314110 ай бұрын
Huyu kibaraka hatutampatia nafasi yeyote atajisumbua bureee
@NKUBASENI10 ай бұрын
Lakini sababu hasa ni nini mbona kukamatana tena jamani
@maryamtan68210 ай бұрын
Ttz eneo alilo fanya mikutano alikatazwa,
@zegelibilishanga604710 ай бұрын
Mshenzi mkubwa kabisa ,unatutoa kwenye Agenda ya bandari unatuingiaza kwenye ipumbavu wako Kaa kimya watetezi wa mali asili za TZ wazipiganie Kama hujahongwa na Samia kaa kimya na chadema yako, acha kizazi kipya kipigani haki zetu usitafute kiki
@Hillary_Daudi_Mrema10 ай бұрын
Tuendelee kumuunga mkono Mheshimiwa Rais Dokta Samia katika Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Nchini. Viongozi wa Vyama vya Upinzani mmekosa na kuishiwa Sera za kutueleza Wananchi sababu Serikali ya Awamu ya 6 inatekeleza Maendeleo kwa kasi kubwa kulingana na Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa Vitendo. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿
Wewe lazma fuse za kichwa haziko sawa mungee wewe peke yako
@richardburundi309010 ай бұрын
Watakuwuwa mzeehe acaana na ccm wakupinduwa ccm niwananchi nawanajeshitu
@KhalidiSamata-gv8gq10 ай бұрын
Upumbavu mtupu na ha2wakubal kwa taarifa yenu mnajisumbua2
@jubeckmkoma373210 ай бұрын
Vijana wengi Bado uelewa wao ni finyu ndio maana kwenye comment Huwa Hawa akisi ualisia na kusadiki madini ya wanaharakati wanaoleta changes , magu mwenyewe alitufanyia Yale tuliyoyataka kama sehemu ya majibu ya kile upinzani unachokihubili
@festokaboge314110 ай бұрын
Huyu siyo mwanaharakati ni kibaraka tu
@wadeelegbogun301510 ай бұрын
Mama samia, delila, iacheni tanganyika kwa amani, haiwezekani watanzania kuwa watumwa na wakimbizi ndani ya nchi yao.
@ezekielkandonga923810 ай бұрын
Huyu Mama ni Delila kweli,ni Tatizo kubwa kwa Taifa letu hasa Tanganyika,hata afanyeje mwaka huu ataisoma
Mama samia umemsaliti JPM, tunajuwa umehonga jeshi ili watanzania wateseke ,na WAARABU wako watawale ,big nooo, Mama samia umefeli big time. Hayupo wa kuwapa kura tena 2025.PERIOD hata tone.
@hajjiomary238310 ай бұрын
Unajidanganya ccm watatawala mpk hii dunia inaisha labda waamue kuuacha naandika nikiwa hapo city of gold Johannesburg. Chama tawala cha hapa ni km ccm watatawala mpk mwisho
@abdulhakeem95910 ай бұрын
Polisi wamegeuka jeshi usu
@danielalmas659510 ай бұрын
Uyu nd kamanda sas achan na hao wengne wanaongea uku wanajijali wenyew wakiw madarakani
@ismailhaji647110 ай бұрын
Tundu Lisu ni yuleyule wa kipindi cha Magufuli... huyu ni kibaraka wa Wabelgiji... na walelgiji ni watu hatari sana kwa kuvuruga amani za nnchi za Africa. Poteza huyu mtu kabla hajaleta maafa nnchini mwetu
@talibsaid809610 ай бұрын
Huyu jamaa hana maono tena kaamua kutafuta kiki unapoteza dira bro matope matupu
@malindimalindimerinyo163210 ай бұрын
Mungu tusaidie na Tanganyika yetu tunachoka na manyaso haya .....tumeuona mkono wako tunaomba Tanganyika yetu
Wasafi hatutaki unafiki, ww unapost hi hz zingine hupost
@zuenahamoud153210 ай бұрын
Rip JPM Miss you daddy
@bukuruetienne372610 ай бұрын
Polesana mkuu
@mariammbwana901810 ай бұрын
Nilichogundua katika nchi hii hakuna upinzani
@rushydahmed917910 ай бұрын
kwa nini hakuna upinzani tupe umegundua kitu gani, tuelimishe my friend please..
@Veni58410 ай бұрын
Dereva wa zamani yuko wapi?
@OmmyJames-xn7ji10 ай бұрын
CHAMA CHA WAHUNI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿CHADEMA
@ezekiaadam50910 ай бұрын
Lisu mtetez wa wanyonge
@seifmbembe9510 ай бұрын
Kwani ukikamatwa na kuwekwa ndani nakuachiwa kwa dhamana lazima uwaite waandishi wa habari?
@adkajisi453610 ай бұрын
Kwa wewe sio lazima ila kwa mtu Kama lisu lazima.
@galluskanenge489810 ай бұрын
Mengine mnakatwa kwasababu ,mnakosa sera ,mnaanza uchonganishi ,sisi watanzania wa leo tunataka chama chenye mtanzamo chanya ,tukiridhika tu,TUNAMALIZA kazi yenu 2025 .sasa ninyi bandari,mara Loriondo ,yaani ni kujipachika kwenye nyufa tuu ,TANZANIA is a biggest country .Lete seraaa !!😢
@courtesyHealthservices-bg8we10 ай бұрын
Lissu You Are Too Combatant Probably to Draw Sympathy , But no. Do not incite people. Who is Your Sponsor? Tanzania has been one, but you are sowing ethnicity. Yes there's laxity in leadership eroding all the gains of Magufuli, but don't take a dvantage to bring in Uranium looters.
@bonnyngowo756710 ай бұрын
Kwa hiyo WASAFI kwao hii ndio habari?Katiba mpya,mikutano ya CHADEMA,Tume huru ya uchaguzi n.k mbona hatuoni habari zake😢😢
@ilynpayne749110 ай бұрын
Wamasai wana onekana kama mbwa kumbe hawana haki ya kuishi kwenye ardhi walio rithishwa na mababu zao😢 hili jambo sio jema na litakuwa laana kwa viongozi wetu walafi wa pesa
@joojombi234110 ай бұрын
Wee ni fatani mkubwa na muongo mkubwa kazi uchochozi tu na ufatani kesho kutwa utakimbia kwenda kwenu Ubelgiji
@alexmalyango140510 ай бұрын
Mwamba huyu hapa rais
@alexmalyango140510 ай бұрын
Watajuta akina Samia we ngoja
@juma297910 ай бұрын
Lisu tulia ww usituletee fujo nchi ytu saiv imetulia
@henrylugongo63210 ай бұрын
Nshii imetulia .hali ngumu ya maisha sasa imetulia nini mnafumbwa macho kwa amani
@juma297910 ай бұрын
Lisu anatafuta kiki
@timotheontibayaga-lq2xx10 ай бұрын
Tatizo wanasiasa wa tanzania wanaongea tu uku tunaendelea kuteswa kama watumwa hawafanyi action haki kwa maneno tu haiwezi leta fraha ya watanzania et police ndo wanatunyanyasa sibora tungeteswa na mgambo kuliko police
@salimmalaka25610 ай бұрын
MTAUFYATA TU
@mlawayusuph884210 ай бұрын
C ungeenda kuongeza nguvu kaka
@khaalidcheo538310 ай бұрын
Umekula umeshiba nawe.
@seifNsokolo10 ай бұрын
Hivi kwa hali hii bado Kuna mtz ajielewi Kama hawa wanaotoa koment za kijinga labda Kama wao wako kwenye sstime au wazazi wao wako kwenye sstime
@Levinsky2510 ай бұрын
No freedom in Tanzania 🙌💯learn from Kenya enslaved in your own country meeehhn
@2003hintay10 ай бұрын
Acha ujinga na kiingereza chako Cha ovyo nenda kwa wenye lugha hiyo sio kwako huku
@Levinsky2510 ай бұрын
@@2003hintay Sounding like a class three drop out
@allytv171410 ай бұрын
Yaan kuna watanzania etii wanaona huyu mwamba mwanaharakati anakosea amfunguki akili ccm inavyotesa raia wanaotetea haki za raia wengine police wanaua watu wasio na hatia kila mara wanawasingizia kesi za uongo bado tyuu amfunguki akili wabongo na waandishi wa habari wanafki waoga kusema ukweli wananyamaza tyuu mara zote
@joojombi234110 ай бұрын
Fatan mkubwa rudi kwenu Ubeligiji. Fata kanuni wacha uhuni wako Fatan mkubwa wee