LISSU AACHIWA KWA DHAMANA USIKU HUU, AELEZA KOSA ALILOTUHUMIWA NALO

  Рет қаралды 68,990

Wasafi Media

Wasafi Media

10 ай бұрын

Пікірлер: 139
@reginaldtemu6305
@reginaldtemu6305 10 ай бұрын
Kamanda Lissu usiachie kamba, endelea kuvuta mpaka tupate ukombozi na Mwenyezi Mungu akulinde
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 10 ай бұрын
Watanzania wenzetu amkeni fungueni macho 4,CCM YA SASA SIYO YA NYERERE, KWA SASA TUNA CCM GENGE LA WAHUNI, MAJIZI, WAUWAJI CCM FEKI
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 10 ай бұрын
Stories
@maryamtan682
@maryamtan682 10 ай бұрын
Na hao vp Chama chako kimejamilika wapi. Kafanye uchunguzi uje utujuze wapi tuelekee.
@amanmalima940
@amanmalima940 10 ай бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@jubeckmkoma3732
@jubeckmkoma3732 10 ай бұрын
Mganga hajigangi, much appreciation ever
@MsuyaMsemo
@MsuyaMsemo 10 ай бұрын
Pole Sana munguakupenguvu usikatetamaa tukopamoja
@madhuru2554
@madhuru2554 10 ай бұрын
Huna mpango na huna jipya
@user-xe8xv6so6s
@user-xe8xv6so6s 10 ай бұрын
Asante mungu uliyemtetezi wa wanyonge.unayempinia mwamba wetu. Tunaimani kabisa huyu ni muwakilishi wako.
@rajah9328
@rajah9328 10 ай бұрын
Sio uko tu Kenya pia lazima ue na kibali cha police wajue nia yko na mkutano wako utkua sehemu gani pia
@innocentkalumuna9664
@innocentkalumuna9664 10 ай бұрын
Pole sana ka ka
@user-le3oc2xz1f
@user-le3oc2xz1f 10 ай бұрын
Pole Sana kiongozi wetu pambana baba
@jumaally2469
@jumaally2469 10 ай бұрын
Ipo siku
@shangwefisima3993
@shangwefisima3993 10 ай бұрын
Lisu mweeeee! Si utulieeee
@rashidyusuphwewenimtotowam1761
@rashidyusuphwewenimtotowam1761 10 ай бұрын
Akitulia hatupati katiba mpya si akiongea tunataka katiba mpya hawatuelewi acha kinuke sas ipatikane kwa nguvu
@charlesjoseph1081
@charlesjoseph1081 10 ай бұрын
Imejaa polish bila hata kufinywa,huyu msenge ana kampeni ovyo kamateni huyu nwendawazimu weka ndani mpumbavuu
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 10 ай бұрын
Naanza kumuelewa Magu kwa nini alipiga marufuku siasa baada ya uchaguzi.
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 10 ай бұрын
Wapuuzi wakubwa simlikuwa mnamsema Raisi wetuwaheshima JPM sasahayuponani anawakamata MwishowaUbaya Aibu
@alisaid9024
@alisaid9024 10 ай бұрын
Lissu acha fedhuli zako na na uwe na nidhamu na kufuata sheria za nchi usijifanye wewe ndio nchi nzima fuata sheria kama wengine acha jeuri zako wala wewe sio mtu una thamani kuliko watanzania wengine ,,,kama huwezi kufuata sheria unagombania nini haki kama wewe hutaki kufuata haki ..jeuri itakuangamiza na hutopata lolote ,,kama wataka umaarufu hausaidii kitu ,,huwezi kufuata sheria za nchi rudi huko Belgium ukaishi utakavyo wewe japo huko pia utakua na adabu kufuata sheria za huko ...acha jeuri uishi vizuri ama jeuri yako haikukusaidia mwanzoni haitokusaidia milele ,,,kaa kwa adbu kama wengine
@maryamtan682
@maryamtan682 10 ай бұрын
Kazi iendeleee, mwenyewe Alisha Sema polisi waandae magereza, yt Macho na masikio.
@joojombi2341
@joojombi2341 10 ай бұрын
Hujaguswa mwenyewe umeshangaa punguza uongo mtupu majibu wesha pewa jana. Punguza uongo na fatani utakaa sawa tu
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 10 ай бұрын
Huu ni upinzani dhaifu sana na hakuna kitu hapa,chama kinatembea na mtu na walinzi wake tu ambao inaonekana anawalipa yeye tu kwa pesa alizopewa na mabepari huko nje,hapa hakuna kitu
@majaliwamussa1343
@majaliwamussa1343 10 ай бұрын
Kwa upinzani huu , bora CCM iendelee tu
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 10 ай бұрын
Kabisa kaka
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 10 ай бұрын
MIAKA 1000❤❤❤KAMA WAPINZANI WENYEWE NI WAHUNI TU
@kadmc9124
@kadmc9124 10 ай бұрын
Tumevaa kaptula😁😁
@kaguripenina63
@kaguripenina63 10 ай бұрын
Eti leo ,wasaf na millard ayo wamekuposit unafiktu
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 10 ай бұрын
Mama piga kazi tuko nyuma yako na bandari wape watu wa kazi cc tumechoka kupotezewa mda na vimashine vichache vya bandari
@Muganyizi
@Muganyizi 10 ай бұрын
Wew utakuja gongewa mke wako
@rashidyusuphwewenimtotowam1761
@rashidyusuphwewenimtotowam1761 10 ай бұрын
Lissu chapa kazi sis tupo nyuma yako usikubali wabinafishishe hizo bandali zetu watatokea viongozi wenye akili kama magufuli wataziendesha vema. Mungu saidia tupate kiongozi mzuri mwenye maono na akili l love tz
@damianmassawe7516
@damianmassawe7516 10 ай бұрын
Huna watoto wewe ndo maana unaongea maneno ya kijinga kuhusu bandari angekuwa wa Kwanza nyerere kuibinafsha lakini aliona mbali huo Ni urith wetu sio wa mwarabu
@emanuelmaya4667
@emanuelmaya4667 10 ай бұрын
fala wewe
@rashidyusuphwewenimtotowam1761
@rashidyusuphwewenimtotowam1761 10 ай бұрын
@@emanuelmaya4667 😁😁😁😁😁
@peternelsonP.N.M
@peternelsonP.N.M 10 ай бұрын
Dah pole sana mkuu risu 🇹🇿
@SalimAbdallah-tg1yo
@SalimAbdallah-tg1yo 10 ай бұрын
Mimi sio mwanasheria wala sijasoma ila najua huwez fanya mkutano au hata shereh yoyote mpaka kibali cha polis
@suleimankindy6465
@suleimankindy6465 10 ай бұрын
Wanaonekana wapinzani wapo dhaifu.. hata hao waliojikusanya ni kama wapo KANISANI tu CCM Watashinda kiulaini sana Mama yupo juu..kiwango chake kiko juu Yaani CCM kweli Dume
@EliyaMwaipopo-hf6nq
@EliyaMwaipopo-hf6nq 10 ай бұрын
Ohoo kumbe viatu vya magufuli vina mtosha tz tuna malahisi waajabusana
@user-so2pe5zj6y
@user-so2pe5zj6y 10 ай бұрын
Wananchi wanahitaji mabadiliko kwani wameona C C M haiwasadii. Wanayoyazungumza wakiwa kwenye jukwaa la kisiasa ni tofauti na matendo yao. Magufuli alitengeneza na kuiweka C C M pazuri lakini naona warisi wake wameanzisha dira yao ambayo ni chungu kwa wananchi.
@Zakarialembuzel-fc6nm
@Zakarialembuzel-fc6nm 10 ай бұрын
✌️✌️✌️✌️
@aswilasaif2455
@aswilasaif2455 10 ай бұрын
Acha mdomo utafungwa peleka ujinga wako unajifanya unajuwa sheriya mjiga ww f
@samahamed2418
@samahamed2418 10 ай бұрын
Angekuwepo magu walausingerudi kufanya ujinga
@samniza1763
@samniza1763 10 ай бұрын
Asingeuza nchi kwa waarabu.
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 angerisaailika kabisa mbwa mimi
@muhammadjamady-zx1jy
@muhammadjamady-zx1jy 10 ай бұрын
Daaa shida n kwani
@user-od1et5ii1k
@user-od1et5ii1k 10 ай бұрын
Yaani lisu huna shukrani leo unamfanyia maama firigisu wakati yeye ndio aliekufanya urudi kwenu kutoka uhamishoni au ndio leo umesahau kama ilikiwa husubutu hata kutia pua tz wakati wa magu ebu kuwa na fazila au ndio tuseme akili zimekuruka kwa zile risasi za magu
@abellutonja4589
@abellutonja4589 10 ай бұрын
Kwahyo ukitaka apande jukwaani amsifie MAMA KIMBO wenu
@user-od1et5ii1k
@user-od1et5ii1k 10 ай бұрын
@@abellutonja4589 ukitaka usitake mama ni raisi wako tu
@kassimkingu5512
@kassimkingu5512 10 ай бұрын
Polisi kama hamwelewi nachukia sana na ninaumia kuwa mnafanya makosa makubwa sana kukamata hao watu wapuuzi thn mnawaachia kwa dhaman mnawapa sifa sana mnavyoaachia bila kesi kuendelea kama mnaona bado hamjaona kosa msiwakate maana mnawapa sifa sana.
@dustanmassawe6249
@dustanmassawe6249 10 ай бұрын
Ccm na uongozi wao ni uchafu watuachie nchi yetu Go Lissu
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 10 ай бұрын
Maneno ya kushiba mlikaa kmya leo mama kafungua nchi mnapiga kelele
@joojombi2341
@joojombi2341 10 ай бұрын
Mamako kesha kkujibu wacha kupotosha na uongo wako. Baba mzima unavaa kaptura fatan mkubwa
@AlfredMassoud-kw7jm
@AlfredMassoud-kw7jm 10 ай бұрын
Kiki za kisiasa tu .kaona haongelewi sana so ameandaa tukio huku akijua kuwa polisi watafata Sheria kuwakamata...ni watanzania wachache Sasa wasio elewa mchezo wenu
@mlawayusuph8842
@mlawayusuph8842 10 ай бұрын
Safi kabisa
@jeffhard5773
@jeffhard5773 10 ай бұрын
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipo ishia
@palhmavoice7716
@palhmavoice7716 10 ай бұрын
Thinking capacity yako ni ndogo Sana japo ww unajiona una akili
@katokimera4463
@katokimera4463 10 ай бұрын
Huyu watakuwa wanamrafii nakama nimtoto wa kiumee atakuwa nishogaaa
@JustinMwanawima-yi3ey
@JustinMwanawima-yi3ey 10 ай бұрын
Unajua Nini wewe?
@davidjohn5977
@davidjohn5977 10 ай бұрын
Ila umezidi Kaka,Tanzania ni ya Watanzania.
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 10 ай бұрын
Kwahyo wamasai wao sio watanzania bro?😢😢
@siasporttv7823
@siasporttv7823 10 ай бұрын
Kwani yeye ni mburundi respect for the movement
@user-yq5or7de9d
@user-yq5or7de9d 10 ай бұрын
We jinga kabisa
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 10 ай бұрын
Wamasai ni ma mbwa kumbe hawana haki ya kuishi kwenye ardhi walio rithishwa na mababu zao😢
@petergirago9408
@petergirago9408 9 ай бұрын
Ila watu wa ccm mnajkitaka mungu mtu 😅😅😅
@user-hv7pw6ih5v
@user-hv7pw6ih5v 10 ай бұрын
Mr Lisu jaribu kuwa mstaaribu kwa nini kila kukicha matatizo debe kama mwanamke mjazimto? kila kukicha yanaibuka matatizo mapya je wewe ndo unategemea kuwa Rais wa nchi kweli wa Tanzania tuwe hange na huyu bomu Rais mtarajiwa maana matatizo yamemzidi kwa nini usiombe kibali wakati unajua ndo sheria 😢
@mlawayusuph8842
@mlawayusuph8842 10 ай бұрын
Kashakojolewa Sasa hivi atatulia kwanza
@samniza1763
@samniza1763 10 ай бұрын
Really is that what your gov. know and do to you the people?
@Mohaa4309
@Mohaa4309 10 ай бұрын
Duuu
@BahatiYenzela-kj6jq
@BahatiYenzela-kj6jq 10 ай бұрын
Wavuluga amani ni maficm wenyewe
@rushydahmed9179
@rushydahmed9179 10 ай бұрын
sio lazima lkn yeye ni kiongozi wa watu na pia Lissu ni 'International figure' media inafaidika na taarifa zake yaani media ina interest zaidi na matukio ya Lissu. siku zote viongozi wa upinzani duniani kote wanapata umaarufu kutokana na mateso ya watawala hasa waliokaa madaraka kwa muda mrefu kama CCM, watawala wanakuwa na hofu ndio sababu wanatumia vitisho na nguvu kuuwa upinzani. umenipata?
@user-jz6ok7bu4k
@user-jz6ok7bu4k 10 ай бұрын
Kwa hyo bado unaendelea na mkutano
@isaka_omary
@isaka_omary 10 ай бұрын
Nilijua Banda la Video bana
@NassorSalumMengi-jj1nf
@NassorSalumMengi-jj1nf 10 ай бұрын
Lisu wewe naz unataka kushindana na jiwe lengo lako kuvuluga amani ya nchi wewe unako kwa kukimbilia sasa hao kina bile watakimbilli wap?
@siasporttv7823
@siasporttv7823 10 ай бұрын
Hata wakati wa daudi na goliati kama daudi angejiona ni nazi na goliati ni jiwe asingeweza kumshinda goliati time will tell
@issandule1750
@issandule1750 10 ай бұрын
Bonge la jb
@festokaboge3141
@festokaboge3141 10 ай бұрын
Huyu kibaraka hatutampatia nafasi yeyote atajisumbua bureee
@NKUBASENI
@NKUBASENI 10 ай бұрын
Lakini sababu hasa ni nini mbona kukamatana tena jamani
@maryamtan682
@maryamtan682 10 ай бұрын
Ttz eneo alilo fanya mikutano alikatazwa,
@zegelibilishanga6047
@zegelibilishanga6047 10 ай бұрын
Mshenzi mkubwa kabisa ,unatutoa kwenye Agenda ya bandari unatuingiaza kwenye ipumbavu wako Kaa kimya watetezi wa mali asili za TZ wazipiganie Kama hujahongwa na Samia kaa kimya na chadema yako, acha kizazi kipya kipigani haki zetu usitafute kiki
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 10 ай бұрын
Tuendelee kumuunga mkono Mheshimiwa Rais Dokta Samia katika Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Nchini. Viongozi wa Vyama vya Upinzani mmekosa na kuishiwa Sera za kutueleza Wananchi sababu Serikali ya Awamu ya 6 inatekeleza Maendeleo kwa kasi kubwa kulingana na Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa Vitendo. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿
@Stanley.kapumbira
@Stanley.kapumbira 10 ай бұрын
Ivi wewe uko Sawa kichwani? 🤔🤔
@timotheontibayaga-lq2xx
@timotheontibayaga-lq2xx 10 ай бұрын
Mmmmmmmh tumia 😢
@gideonkasese9244
@gideonkasese9244 10 ай бұрын
Endelea kumuunga mkono ww binafsi usitushawishi wengne
@salimmalaka256
@salimmalaka256 10 ай бұрын
MTAUFYATA TU WACHAFUZI WA HALI YA HEWA
@VeNoM-hx4sj
@VeNoM-hx4sj 10 ай бұрын
Wewe lazma fuse za kichwa haziko sawa mungee wewe peke yako
@richardburundi3090
@richardburundi3090 10 ай бұрын
Watakuwuwa mzeehe acaana na ccm wakupinduwa ccm niwananchi nawanajeshitu
@KhalidiSamata-gv8gq
@KhalidiSamata-gv8gq 10 ай бұрын
Upumbavu mtupu na ha2wakubal kwa taarifa yenu mnajisumbua2
@jubeckmkoma3732
@jubeckmkoma3732 10 ай бұрын
Vijana wengi Bado uelewa wao ni finyu ndio maana kwenye comment Huwa Hawa akisi ualisia na kusadiki madini ya wanaharakati wanaoleta changes , magu mwenyewe alitufanyia Yale tuliyoyataka kama sehemu ya majibu ya kile upinzani unachokihubili
@festokaboge3141
@festokaboge3141 10 ай бұрын
Huyu siyo mwanaharakati ni kibaraka tu
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 10 ай бұрын
Mama samia, delila, iacheni tanganyika kwa amani, haiwezekani watanzania kuwa watumwa na wakimbizi ndani ya nchi yao.
@ezekielkandonga9238
@ezekielkandonga9238 10 ай бұрын
Huyu Mama ni Delila kweli,ni Tatizo kubwa kwa Taifa letu hasa Tanganyika,hata afanyeje mwaka huu ataisoma
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 10 ай бұрын
​@@ezekielkandonga9238mmechemsha
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 10 ай бұрын
Mama kafungua nchi akae maisha
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 10 ай бұрын
@@hajjiomary2383 husda zitawauwa.
@isaaabdala7016
@isaaabdala7016 10 ай бұрын
Wewe.ni.mjinga mtu.anaesapot ushoga Hua hatumskilizi nae ni.hivyohivyo mjinga tu.wewe
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 10 ай бұрын
Mama samia umemsaliti JPM, tunajuwa umehonga jeshi ili watanzania wateseke ,na WAARABU wako watawale ,big nooo, Mama samia umefeli big time. Hayupo wa kuwapa kura tena 2025.PERIOD hata tone.
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 10 ай бұрын
Unajidanganya ccm watatawala mpk hii dunia inaisha labda waamue kuuacha naandika nikiwa hapo city of gold Johannesburg. Chama tawala cha hapa ni km ccm watatawala mpk mwisho
@abdulhakeem959
@abdulhakeem959 10 ай бұрын
Polisi wamegeuka jeshi usu
@danielalmas6595
@danielalmas6595 10 ай бұрын
Uyu nd kamanda sas achan na hao wengne wanaongea uku wanajijali wenyew wakiw madarakani
@ismailhaji6471
@ismailhaji6471 10 ай бұрын
Tundu Lisu ni yuleyule wa kipindi cha Magufuli... huyu ni kibaraka wa Wabelgiji... na walelgiji ni watu hatari sana kwa kuvuruga amani za nnchi za Africa. Poteza huyu mtu kabla hajaleta maafa nnchini mwetu
@talibsaid8096
@talibsaid8096 10 ай бұрын
Huyu jamaa hana maono tena kaamua kutafuta kiki unapoteza dira bro matope matupu
@malindimalindimerinyo1632
@malindimalindimerinyo1632 10 ай бұрын
Mungu tusaidie na Tanganyika yetu tunachoka na manyaso haya .....tumeuona mkono wako tunaomba Tanganyika yetu
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 10 ай бұрын
Sasa mikutanonta ninini siasubiri campaign?? Hizonpesa xakuhongwa chakutaka kuchafua NCHI.siawape wakaxi vijijini,akianza nak8jiji chake???
@davidmuyenjwa-nl5ul
@davidmuyenjwa-nl5ul 10 ай бұрын
Wasafi hatutaki unafiki, ww unapost hi hz zingine hupost
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 10 ай бұрын
Rip JPM Miss you daddy
@bukuruetienne3726
@bukuruetienne3726 10 ай бұрын
Polesana mkuu
@mariammbwana9018
@mariammbwana9018 10 ай бұрын
Nilichogundua katika nchi hii hakuna upinzani
@rushydahmed9179
@rushydahmed9179 10 ай бұрын
kwa nini hakuna upinzani tupe umegundua kitu gani, tuelimishe my friend please..
@Veni584
@Veni584 10 ай бұрын
Dereva wa zamani yuko wapi?
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 10 ай бұрын
CHAMA CHA WAHUNI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿CHADEMA
@ezekiaadam509
@ezekiaadam509 10 ай бұрын
Lisu mtetez wa wanyonge
@seifmbembe95
@seifmbembe95 10 ай бұрын
Kwani ukikamatwa na kuwekwa ndani nakuachiwa kwa dhamana lazima uwaite waandishi wa habari?
@adkajisi4536
@adkajisi4536 10 ай бұрын
Kwa wewe sio lazima ila kwa mtu Kama lisu lazima.
@galluskanenge4898
@galluskanenge4898 10 ай бұрын
Mengine mnakatwa kwasababu ,mnakosa sera ,mnaanza uchonganishi ,sisi watanzania wa leo tunataka chama chenye mtanzamo chanya ,tukiridhika tu,TUNAMALIZA kazi yenu 2025 .sasa ninyi bandari,mara Loriondo ,yaani ni kujipachika kwenye nyufa tuu ,TANZANIA is a biggest country .Lete seraaa !!😢
@courtesyHealthservices-bg8we
@courtesyHealthservices-bg8we 10 ай бұрын
Lissu You Are Too Combatant Probably to Draw Sympathy , But no. Do not incite people. Who is Your Sponsor? Tanzania has been one, but you are sowing ethnicity. Yes there's laxity in leadership eroding all the gains of Magufuli, but don't take a dvantage to bring in Uranium looters.
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 10 ай бұрын
Kwa hiyo WASAFI kwao hii ndio habari?Katiba mpya,mikutano ya CHADEMA,Tume huru ya uchaguzi n.k mbona hatuoni habari zake😢😢
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 10 ай бұрын
Wamasai wana onekana kama mbwa kumbe hawana haki ya kuishi kwenye ardhi walio rithishwa na mababu zao😢 hili jambo sio jema na litakuwa laana kwa viongozi wetu walafi wa pesa
@joojombi2341
@joojombi2341 10 ай бұрын
Wee ni fatani mkubwa na muongo mkubwa kazi uchochozi tu na ufatani kesho kutwa utakimbia kwenda kwenu Ubelgiji
@alexmalyango1405
@alexmalyango1405 10 ай бұрын
Mwamba huyu hapa rais
@alexmalyango1405
@alexmalyango1405 10 ай бұрын
Watajuta akina Samia we ngoja
@juma2979
@juma2979 10 ай бұрын
Lisu tulia ww usituletee fujo nchi ytu saiv imetulia
@henrylugongo632
@henrylugongo632 10 ай бұрын
Nshii imetulia .hali ngumu ya maisha sasa imetulia nini mnafumbwa macho kwa amani
@juma2979
@juma2979 10 ай бұрын
Lisu anatafuta kiki
@timotheontibayaga-lq2xx
@timotheontibayaga-lq2xx 10 ай бұрын
Tatizo wanasiasa wa tanzania wanaongea tu uku tunaendelea kuteswa kama watumwa hawafanyi action haki kwa maneno tu haiwezi leta fraha ya watanzania et police ndo wanatunyanyasa sibora tungeteswa na mgambo kuliko police
@salimmalaka256
@salimmalaka256 10 ай бұрын
MTAUFYATA TU
@mlawayusuph8842
@mlawayusuph8842 10 ай бұрын
C ungeenda kuongeza nguvu kaka
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 10 ай бұрын
Umekula umeshiba nawe.
@seifNsokolo
@seifNsokolo 10 ай бұрын
Hivi kwa hali hii bado Kuna mtz ajielewi Kama hawa wanaotoa koment za kijinga labda Kama wao wako kwenye sstime au wazazi wao wako kwenye sstime
@Levinsky25
@Levinsky25 10 ай бұрын
No freedom in Tanzania 🙌💯learn from Kenya enslaved in your own country meeehhn
@2003hintay
@2003hintay 10 ай бұрын
Acha ujinga na kiingereza chako Cha ovyo nenda kwa wenye lugha hiyo sio kwako huku
@Levinsky25
@Levinsky25 10 ай бұрын
@@2003hintay Sounding like a class three drop out
@allytv1714
@allytv1714 10 ай бұрын
Yaan kuna watanzania etii wanaona huyu mwamba mwanaharakati anakosea amfunguki akili ccm inavyotesa raia wanaotetea haki za raia wengine police wanaua watu wasio na hatia kila mara wanawasingizia kesi za uongo bado tyuu amfunguki akili wabongo na waandishi wa habari wanafki waoga kusema ukweli wananyamaza tyuu mara zote
@joojombi2341
@joojombi2341 10 ай бұрын
Fatan mkubwa rudi kwenu Ubeligiji. Fata kanuni wacha uhuni wako Fatan mkubwa wee
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 59 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 88 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 36 МЛН
Mahojiano na Tundu Lissu
27:29
KTN News Kenya
Рет қаралды 71 М.
Tundu Lissu arejea Tanzania
3:25
KTN News Kenya
Рет қаралды 13 М.
ALICHOFANYIWA TUNDU LISSU...... MAELFU WAMLILIA
1:35
TimesFMTZ
Рет қаралды 10 М.
The story Book: Lumumba Shujaa Aliyetolewa Kafara
25:41
Wasafi Media
Рет қаралды 474 М.
Слепой парень помог раскрыть тайну 😱
0:45
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 1,7 МЛН
رورو ضد رقيه🔫😲🚀 #shorts
0:13
رورو فاميلي | Roro Family
Рет қаралды 32 МЛН
Такого они не видели😱😍
0:55
Следы времени
Рет қаралды 3,6 МЛН
Такие сладости мама точно разрешит
0:22
Даша Боровик
Рет қаралды 4,6 МЛН