hapo ktk kinanda (keyboard) yupo Abdul Salvador (Father kidevu), Washirika Tanzania Stars ktk ubora wake.. Pia ni band pekee iliyokuwa inatumia trumboard, achilia mbali trumpet na saxaphone.. Eddie Sheggy na Adam Bakari ktk ubora wao
@kakozidaudi75357 жыл бұрын
jamaa walikuwa wanajuwa sana aitatokeatena
@yassinrashid57502 жыл бұрын
Hapo ni baada ya komandoo Hamza Kalala kupata ajali na kuachwa bila msaada na swahiba wake Maneti ndipo akafyatua kibao hiki akiwa na bendi yake.
@toshamezaw14609 жыл бұрын
Father Kidevu, Abdul Salvador humu. Tisha sana humu hicho kinanda kinanikumbusha mbali sana,
@chidiomari.657 жыл бұрын
Vya kale ni dhahabu kweli daah...
@nurukapoja77594 жыл бұрын
Hakika wimbo Jana wa juzi haupoi
@MrKhatibu10 жыл бұрын
Hii nyimbo ilikuwa ni kukumbushana wakati wapo Vijana Jazz
@nasirally909810 жыл бұрын
bila kusahau Washirika Tanzania Stars walikuwa wanatumia drums za umeme
@mariamfritsi97617 жыл бұрын
kumbukumbu safi sana.25.03.17.
@sangomamourice94254 жыл бұрын
Asante
@tonyvilla72645 жыл бұрын
namkumbuka bro wangu shy town
@severinerwiza46333 жыл бұрын
Shy mtaa buzuka mwinyimvua upo
@thomasmagige19857 жыл бұрын
original yake iko wap jaman me naihitaj anaye jua anisaidie.
@madlipzkenyamadlipz29515 жыл бұрын
Hata mm naitaka
@azizakhereem57995 жыл бұрын
Ndio hii og yake
@marthastephen66003 жыл бұрын
Kuna nyingine kaimba Kalala peke ake
@fundisayore2012 жыл бұрын
@@marthastephen6600 Hii ni original hiyo unayosema ni marudio/remix ya hii.
@abdallaabdulrahman83195 ай бұрын
Hii ndo Original broo.
@fadhiliakida86099 жыл бұрын
Hebu nisaidieni, kwa sababu hii nyimbo wakati inapigwapigwa sana mi enzi hizo nipo primary tena hukoo kijijini, ao inanikumbusha mengi sana, nataka kujua kama imeishia wapi namaanisha akina eddy sheggy na wenzake
@noelmarapachi18086 жыл бұрын
Fadhili Akida Eddy Sheggy na Adam Bakari aka sauti ya Zege walifariki alitangulia Eddy Sheggy baadaye akafata Adam Bakari, ila Hamza Kalala Bado yu hai ana bendi yake inaitwa Bantu Group ila hina nguvu kama ilivyokuwa wakati ina anzishwa
@owenmulenga78703 жыл бұрын
Huu wimbo Hamza Kalala anmwambie Hemedi Maneti aliekuwa kiongozi wa vijana jazz . Alumtetekeza alipougua
@franciskagimbo79738 жыл бұрын
wap original yake
@noelmarapachi18086 жыл бұрын
francis kagimbo Hii ndo Original ile ya Kalala Jr ni Remix Version