Ambao leo tumekutana leo kufuatilia speech za jemedari wetu aliyetumwa na MUNGU kwaajili yetu tuseme Asante Mungu wewe ni mkuu sana Asante kwa zawadi. Amen
@donaldmhulula68883 жыл бұрын
tupo kamanda
@esterkiyabo13293 жыл бұрын
Lala salama shujaa wetu
@thomasmagoti90402 жыл бұрын
Asante mwenyezi mungu
@richardnganya23112 жыл бұрын
Mungu alimtuma.... na amemwondoa ! Mungu anatupenda.
@renatusmatungwa2508 Жыл бұрын
Dah
@zarunaamwanajimba19503 жыл бұрын
Daaa!! Mzalendo kutoka zamani, mchapakazi haswaa jamaniiii Pumzika Baba tutakukumbuka milele!
@aizackkajika50863 жыл бұрын
Nani yuko hapa baada ya kamanda kuzikwa chato
@micamathew25953 жыл бұрын
Huyu mtu alikuwa halali! Hajui cha usingizi. Acha tu, pumzika baba. Sitakusahau hata kwa sekunde mmoja. Acha tu nimwage machozi yangu.
@simonmayunga62523 жыл бұрын
This is unanswered cry, magufuli ww ndiyo baba wa taifa wa pili
@ponsianamataka46073 жыл бұрын
Pumziko la milele umpe Ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie. Apumzike kwa amani Amina. Nahisi ulijitoa sadaka kubwa hadi ukasahau moyo wako na ukauchosha kweli kweli. Mungu Baba msamehe dhambi zote na umpokee mbinguni.
@albertkondela9763 жыл бұрын
🙏
@ramamohamed83929 ай бұрын
Hii imenigusa sana!😭😭😭
@mlalikwabiswalo78043 жыл бұрын
Kumbe tangu zamani alikua haandiki speech anatoa kichwani tu ni hatari sana
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
Jembeeeeeeeeee likikuwa
@hopehealthcs32944 ай бұрын
Kbs
@kamaukamau62333 жыл бұрын
Hon.JPM was a man from the beginning displaying boldness from the start..may his soul RIP
@lucymangwela52753 жыл бұрын
Nilitamani sana uwe Rais miaka 50 lakini haukuwa mpango wa Mungu,umetuacha katika wakati mgumu sana,Taifa lilikuwa bado linakuhitaji Baba,inaniuma sana
@user-gc3ec9wx6z5 ай бұрын
Bc alikuwe awe mfalme
@zakiamsafiri123zakiamsafir73 жыл бұрын
Ulianza kitambo kuijomboa Tanzania yetu ya sasa😭😭😭tungekuwa na uwezo tungekubakiza miaka 10000
@allynazareth96843 жыл бұрын
Huyu jamaa alikuwa ana conference nzuri sana haijapata kutokea hapa anaongea kama yeye ndo alikuwa rais ila mawaziri wa sasa wakiwa mbele ya rais wanaongea kwa hofu na kujipendekeza ila huyu mwamba alikuwa wa tofauti sana mungu amsamehe makosa yake amlaze pema
@khamislisso91373 жыл бұрын
Magufuri siamin Kama umetuacha Baba 😭😭😭
@florakweyunga44903 жыл бұрын
Jamani,Jamani.Mtumbua Majipuuu,........Mungu akupumzishe kwa Amani.
@Ramadhanimsingwa3 жыл бұрын
Shujaa Wa Tanzania hotuba zinatufariji Mungu akupe pepo na mapumziko mema tutakukumbuka daima
@agripinaaudax1683 жыл бұрын
Dah Mungu anamakusudi yake nimeamini hii Leo vyenye Simuoni tena raisi wetu
@dicksonmatulile15233 жыл бұрын
Tutakumisi sana baba yetu
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Rest In peace Rais John Pombe Magufuli, Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏
@modestwenceslaus9 Жыл бұрын
Asante Sana kwa kuweka kumbukumbu sawa kumbe katika utawala Jakaya Kikwete aliweza kujenga mtandao wa Barabara wenye jumla ya KM 11100,bado hujaongerea umeme wa REA chini ya Prof Sospiter Mhongo nk.
@danielupendo67483 жыл бұрын
Baba etu atutakusaau kamwe😭😭😭😭😭kwa upendo wako kwetu,ulitupa upendo wa kweli ,pumzika kipenzi Cha TANZANIA kea amani,amina
@Ronald-gh6jl3 жыл бұрын
Kiongozi supavu,, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi
@amenyemwansile6313 жыл бұрын
Eeh mungu mpe pumziko la amani mja wako katika ufalme wako milele Amina
@yusuphissa96133 жыл бұрын
Ulitakiwa uwe Rais wetu kuanzia 2012
@sospetershijah56193 жыл бұрын
Alikuw mkweli Sana. Rest in peace my president
@vailetikulanga53933 жыл бұрын
Dah hapa alikua wazir😭😭
@imanijohn60693 жыл бұрын
Dah, alikuwa anajiamini sana aisee, ameenda kuwa kiongozi wa malaika
Kumbe alikuwa hivi hivi toka mwanzo mungu mpe pumziko la milele
@lucaschisamalo28523 жыл бұрын
Kikwete ametukanwa Sana kumbe barabara kaanza kujenga yeye
@msetikebwasi14693 жыл бұрын
Sema alikoswa hela kwa kushindwa kukusanya kodi.
@amigodossantos4129 Жыл бұрын
Jamani, amesema Watanzania wanapenda kushurukuru watu waliyekufa :)) dahh ni ukweli sasa umeondoka ndiyo wote wanaupenda
@mwamengele3 жыл бұрын
RIP JPM tutakukumbuka daima
@ombeninnko93323 жыл бұрын
Alichelewa sana kuwa rais. ..rest in peace
@asueddy14654 жыл бұрын
This Man is very humble and hard working....God bless you JPM
@godlizenmolla21923 жыл бұрын
Appreciated, one year ago. 🙏🙏
@romanamassawe814 Жыл бұрын
According to your statement to say this one was humble, I think the meaning of the word humble has changed, you surprised me by called an assassinator Humber instead of dictator
@thegreatsource2953 Жыл бұрын
@@romanamassawe814 Mapumbu yako wewe😡
@herrygaudence9043 жыл бұрын
Daaaah kweli wanashukuru mtu ukishaenda
@sniper939993 жыл бұрын
DAIMA utakubukwa milele JPM ww kwel ni shujaaa ulianza kupigania maendeleo zamani sana 😭😭we still tunakukumbuka hata na kizazi kijacho REST IN PEACE JPM
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo4 ай бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi amefanya kazi kwa haki bila kutaka ambacho sio chake mungu akubariki sanaaaa
@jameskagulu422811 ай бұрын
Mzee documentary sana hadi raha kumsikiliza
@brother_majesty5 ай бұрын
Alikuwa ana upako wa kisiasa..tena akijua anaelekea urais 2015
@ambertektv85683 жыл бұрын
Daaahh mheshimiwa Rais mama SAMIA TUNAKUOMBA FATA NYAO ZA MAGUFULI KUTUONGOZA
@thomasmagoti90402 жыл бұрын
Mh
@coolruler68203 жыл бұрын
Daah,,,Hapa kazi tuu kweli" 2013 iyo Ila hotuba ya Mwamba kama ya jana vle,,,aliziishi kauli zake, iyo kichwa kumbukizi kama kompyuta vle,,mmoja wa Raisi aliyefanikiwa kunishawishi kupiga kura yapata miaka 25 tangu nitimize umri wa kupiga kura sikuwahi kupata wa kunishawishi kumpa kura ila Mwamba alifanikiwa kunishawishi...Rest in Power JPM
@sameermilo49073 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Kamanda JPM 🇹🇿
@elkpddos17814 жыл бұрын
Proud of him,that is my presedent magufuli no doubt he is the man salute you my lovely presedent
@liberatusnsekela39972 жыл бұрын
Hongera sana mtumishi was Mungu.
@gooddeeds1626 жыл бұрын
Honest and straightforward man since day one , 🙌 Mr President. ProudlyTanzanian
@jumamazengo96042 жыл бұрын
Hon. Joseph P. Magufuli a later president of Republic Tanzania your image will exist anymore in our country. R.I.P Dad.
@Julius_Lugwisher2 жыл бұрын
Dah😭😭 our magufuli, anaongea kwa hisia kweli lkn Mungu ampumzishe kwa amani dah,
@jacksonhonorat30783 жыл бұрын
RIP mzee wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@bonneanneebizimana278811 ай бұрын
Hatutakupata tena mungu akulaze mahari pema peponi
@YosiaYohana2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭acheni kunikumbusha majonzi cjui yataisha lin mpak ntakapo kufa
@stevinmwanzaa1785Ай бұрын
Hapa ni waziri bado na kujiamini kweli mungu anamakusudi yake
@brother_majesty5 ай бұрын
Maono alikuwa nayo kitambo.....ana beji ya africa
@johngachugu3052 жыл бұрын
Na imekuja mpaka hapa Uyovu, Uyovu, Uyovu kutoka Dar-es-Salaam, urekosha sana hadi nimecheka kweli WaTanzania mulijaliwa na kiongozi kama Magufuli
@AbdulrahmanMurshid Жыл бұрын
Apumzike kwa aman jemedal wetu na watu wahivi niwachache dunian wenye mapenz kwa wananchi wanyonge ambao wakotayal kujitoa kwa nia ya dhat kutka moyon ili kuwatetea
@mduduonline81163 жыл бұрын
RIP BABA MAGUFULI
@kudraahmad56703 жыл бұрын
Shujaaa muongoza njia
@psitanzania91463 жыл бұрын
R.I.P kamanda
@Renardnho-gd8ib11 ай бұрын
Aaaaaa😢 mwamba tutakukumbuka sana😢😢😢😢😮
@eliamwankenja7087Ай бұрын
Nakukumbaka sana najakaya rasii mpendwa
@user-ms1xg1fp4v4 ай бұрын
Marais wetu hakika wanaishi kishkaji nakuvumiliana sana
@mrinjamwanga14233 жыл бұрын
Kwli baba sio wote watakushukur ,,hata wewe hawajakushukuru ,nashangaa kuona mataifa mengine yakikulilia na kutamani ungekua wakwao,hapo ndo utagundua kibaya ni saile unacho
Pumzika kwa amani baba uliyoyatenda Tanzania ni makubwa Sana
@ibrahimjobu91414 жыл бұрын
Ahahahahahahahahahahahah saizi Baba ndio umeshika rungu sio kwa kutunyoosha huko na uzidi kutunyoosha mbaka tukubali wenyewe
@stephanojmafumbira53693 жыл бұрын
Kama upo duniani vile
@mwaitwalilechannel20243 жыл бұрын
RIP my president
@mosenetor7882 Жыл бұрын
Nakukumbuka BABA Yale uliyokuwa unayatetea hayapo tena
@yordanyona12343 жыл бұрын
Huyu mwamba alikuwa Rais hata kabla
@AliHussein-lk2gw3 жыл бұрын
Daa inauma kweli
@yusuphissa96133 жыл бұрын
Nashindwa hata niseme nini
@eenpaard39153 жыл бұрын
Chuma chetu
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman Shujaa wetu wa Africa 😭😭😭🙏
@bennie72392 жыл бұрын
Mnaofake uongozi hili jiwe ni FUNZO kwenu huyu mwamba alizaliwa alivokuwa; msijifanye mnatembelea Magufulification ambayo kiuhalisia HAMNA. RIP Mr. President..
@lichilasalumu79833 жыл бұрын
Nimemuona majaliwa Apo.
@godfreypaulo83553 жыл бұрын
Nimemuona majaliwa hapo alikuwaga nani?
@ellymwitakichonge84163 жыл бұрын
Alikua Naibu waziri tamisemi
@mawazoaliselemani5 ай бұрын
Huyu mwamba alikuwa hamchukii mtu bali alichukia Umaskini na uzembe serikalini.
@yasinnyembo82493 жыл бұрын
R.i.p chuma
@saidalsalmi93133 жыл бұрын
Hii ndio ilikua safari ya kwenda Ikulu
@charleselijah-vq3hq Жыл бұрын
Ukweli Mweheshimiwa Dr.John John Joseph Pombe Magufuli Hayati ulikuwa Mzalendo wa pumzika kwa amani. Kizuri hakidumu ila thamani yako liko pale pale.utakumbwa siku zote.
@paulsingano6744 жыл бұрын
Mchapa kazi toka zamani
@stn48733 жыл бұрын
Huyu mzee angekua na nguvu kama hivi hadi leo kungechimbika😂😂😂😂😂
@reginaldmasato99323 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@tugesyegemwakatumbula98574 жыл бұрын
Mzee wa kutunza kumbukumbu
@sulaimanomary65334 жыл бұрын
😆😆😆😆😅 kwa kumbukumbu tu duh
@erickphilipo41634 жыл бұрын
Kazi ya samaki hiyo
@mcutanorsonvanwillson29913 жыл бұрын
Rest in peace magu
@ivankivinge29873 жыл бұрын
Rest in peace baba 🙏🙏🙏
@erneuslugusi17853 жыл бұрын
Jembeeee hiloo
@saimonpeter37883 жыл бұрын
😭😭😭😭 tutakukumbuk Bab
@ezekielkazingo60554 жыл бұрын
Waziri adi rais wapekee
@stephanomsuya94142 жыл бұрын
Super JPM, pumzika mzee wetu
@alfredyfredrick89553 жыл бұрын
Daaah Chuma R.I.P
@hidnakirungi65465 ай бұрын
Nkweli kabsa wako watu hawajui kushukulu!!
@gracecharles4114 Жыл бұрын
Yani ulikua kiongozi kweli kweli pumzika Kwa Amani Mzee wetu