Hawa wote wanatakiwa wachukuliwe hatuakali iwefundisho kwa wengine,pongezi kwa waziri mkuu!
@AishaJuma-wd8xd15 күн бұрын
😮fukuza tu muheshiwa
@abedysteven493013 күн бұрын
Yan huyu mzee bora angekuwa ndo makamo wa rais leo hii angekuwa rais dahh😭😭😭
@AlphaxardMRusweka-jr1wi15 күн бұрын
Wawasikilize kwanza,gharama kwenye ujenzi inategemea na mambo mengi,kwa hiyo watu wasikariri.Materials yanazidiana ubora,yenye ubora wa juu,gharama zake nazo ziko juu.,pia mazingira ya sehemu husika
@abedysteven493013 күн бұрын
Hilo nalo jambo lakufatilia nalo kweli!!
@kulwamikwanga311215 күн бұрын
Hahahahaha waziri mkuu unavyo wauriza mkuu hadi mimi nasikia raha nabaki nacheka tu kwa madudu yanayo fanywa ha ha ha apewe onyo kari ha ha ha aandikiwe barua ya onyo kari aiseee waziri mkuu mungu akubariki sana mkuu mwamba upo kazini mbegu Bora irio pandwa na magufuri ipo kazini kweri kweriiii