Hongera sana waziri Orban kwa juhudi zako, M.Mungu atakulipa
@amosstimamaroba10542 ай бұрын
Leo wa kwanza ally unaanza kuongea kama mchambuzi sasa maana awali ulikuwa unaongea as if hauna uhakika na unachoongea good job keep it up
@johnsam49422 ай бұрын
Anatumwa uyo vita imewashinda NATO God blessing #RUSSIA
@JacksonLukumayi2 ай бұрын
Ni kweli mkuuu
@MichaelMathew-j3f2 ай бұрын
Hii vita haiwezi kuisha mpaka ukrein ikubali kuacha mpango wake wa kujiunga na NATO, afu hiyo ukrein ikubali kuachia maeneo yake yaliyochukuliwa na Urusi, afu na marekani na NATO waache kupeleka silaha pale ukrein. Hapo kweli itakuwa mwisho wa hii opareshen ya Russia nchini ukrein. Bila ya hivo ujue ni vita mwanzo mwisho hadi kieleweke.
@malkiawagiza13272 ай бұрын
Nakubaliana nawe kabisa, umegonga ndipo 👍
@MichaelMathew-j3f2 ай бұрын
@@malkiawagiza1327 hahahahahahaha ahsanteeeeeee
@Brunotarimo102 ай бұрын
Habari Kama isi kaka Fredrick bundala ndo anafaa kuripoti
@dominicksangu89342 ай бұрын
Good
@AlexChonanga2 ай бұрын
Good job Russia ❤❤❤❤❤
@ajsmainde51382 ай бұрын
kwani hao wa US safari km hizi hawazijui kwani....? m nahisi km wamemtuma huyu jamaa ilimradi dunia isjue km wamesanda
@DottoMussa-ro6rw2 ай бұрын
kabisaaa ila wanataka waimalize hii vita ki propaganda flani hv,,yaani wasionekane wameshindwa Bali wametafuta mpango wa amani ambao Russia na Ukraine wameridhia,,ila ukweli ni kuwa NATO na kafara wao wamecheze,, ndio maana jamaa anazunguka kumaliza vita,Putin kashajua hiyo mbinu ndio maana kule kwenye uwanja wa vita dozi inaendelea mpaka zelensky asipo kimbia basi kwa kunywa chake akiri kushinda,ili Dunia ijue ukitoa USA ipo nguvu nyingine kubwa na yenye uwezo wa juu kivita,,hivo mezani ubalanse,,na mataifa yanayo ishi kwa hofu ya america yatoe hiyo hofu,,yaanze kujiamulia mambo yake mwenyewe bila hofu ya kumuudhi america yakitumai kuwa Russia nae yupo..na kwa hii vita japo Russia kawekewa vikwazo lukuki ila imemsadia sana kumtangaza duniani kuwa Russia ninani na kupata marafiki wengi na wapya ambao zamani hawakumjua,,hivo Putin ameshinda vita mbili kwenye uwanja mmoja
@ce-082 ай бұрын
Hii safari mbona alisema baada ya kutoka Ujerumani
@WadySaidi2 ай бұрын
Marekani akili Awana eti aman bila urusi ni kujichokonoa puani
@ShedrackShedrack-c2b2 ай бұрын
Midia ii yaunazi mamboleo
@MAHAN-SMART2 ай бұрын
Kawani nchi kuwa kwenye nato ndio hairuhusiwi kutembelea nchi nyengine
@fellaforlife29482 ай бұрын
Hpn unaruhusiwa, sema ni janja janja za marekani tu izo
@hamisisalum61162 ай бұрын
Ulaya wanashikiwa akili na Marekani, wakija kushtuka wamechelewa na uchumi wao utakuwa umekufa kabisa
@GeorgeAkasha-zx2rj2 ай бұрын
@@hamisisalum6116Watachapisha pesa nyingi na kuja Afrika huku na kununua madini,gesi,mafuta,mbao,magogo,mazao na n.k.Wao hawana shida na pesa maana wanauwezo wa kuchapisha makaratasi mengi Yale na kuyaleta nchi masikini.
@hamisisalum61162 ай бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj Hapana, Urusi tayari ameshaanza kuweka misingi ya uhusiano na nchi za Afrika, hao mashoga wakija watakuta Putin ameshaziba njia zao zite za ujanja ujanja. Ameanzia africa magharibi huko kawatimua Ufaransa, na sasa anamshikisha adabu Ruto anayejifanya kibaraka wa Marekani
@GeorgeAkasha-zx2rj2 ай бұрын
@@hamisisalum6116 Tatizo mkuu Mifumo ya pesa na masoko bado unashikiliwa na magharibi zaidi kwa sasa, Russia ana kazi nzito sana kwa sasa kuweza kubadilisha kutoka unipolar to Multi-polar world