Jamani wito wangu tupambane tupate vyetu huo wote ni uvivu wa kujituma Waziri pongezi kwako Allah akupe umri wenye kheri
@user-sl1ko9me7u17 күн бұрын
VIVA MH. WAZIRI WA ARDHI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.
@SalmaMakolo17 күн бұрын
Allah akufanyie wepes bibiangu upate haki yako
@gracekagoma323117 күн бұрын
Huyu mama akili yake safi sana.Wajukuu hao ni machizi😮.Matapeli wakubwa😢
@kwzjkwz353216 күн бұрын
lakini pia mzurii
@amournassorsaid769417 күн бұрын
Vijana wa hovyo baada yakutafuta vya kwao kazi yao ni kukimbilia kuuza mirathi
@khalsasalim793018 күн бұрын
Sasa hiv watu wa Yakima kununua nyumba au ardhi kiholela. Good job mh waziri
@sistertrashid248818 күн бұрын
Nakupenda waziri kwaajili ya ALLAH mungu akulinde Sana
@abdulkarimabdallah953618 күн бұрын
Naungana ww kwa asilimia 100 Nampenda sana huyu wazir kwakaz anayoifanya
@tegemeakyangenyenka611118 күн бұрын
Wajukuu wasiopenda kujituma na kufanya kazi,mkalaaniwe kabisa
@user-xk7vy4gb6g6 күн бұрын
Mtegemea cha ndugu hufa angali masikini. Bora yangu sina chakurithi zaidi ya jina la ukoo
@masoromashauri125617 күн бұрын
Ila silaa anapiga job balaaaa
@marypeter720918 күн бұрын
Waziri upo vizuri sana mungu akulinde jamani maana wanyonge wanapata haki yao
@cmantz883717 күн бұрын
Dah! Wanaweza hata kumuua hao
@saladuma646918 күн бұрын
Mungu akulinde waziri akuongezee siku za kuishi
@chusseboywcb280817 күн бұрын
Jembe la Kaz mungu awe nawe
@abdulkarimabdallah953618 күн бұрын
Pole sana bibi yang Allah yupo atakurejeshea haki yako
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs18 күн бұрын
Bora mimi sina hata cha kurithi kutoka kwa wazazi wangu
@pillyseleman809018 күн бұрын
Haya kama lipo usimtumie maanani kupambania Chako
@AminiMsellem-gk3yy17 күн бұрын
Bora sana kwa kweli
@yusuphalinani543217 күн бұрын
Ameni Asante mh wazili
@vascombembela363218 күн бұрын
Bibi anahitaji pia ulinzi kwani hao Vijana walichofanya wanaweza kuorganise crime nyingine kwa bibi yao, ikiwezekana serikali iwashughulikie kikamilifu ili wapate funzo kubwa
@OmariNgozoma-xg8tb17 күн бұрын
😅
@queensalema526215 күн бұрын
Upo sahih
@user-uh7to2kw2z14 күн бұрын
Hongera waziri kwa kutetea wanyonge mungu azidi kukulinda ❤🙏
@richarddavidmk13 күн бұрын
Mungu wa Bwana yetu Yesu ,akufanye Uwe Raisi wa JMT .Pia waziri uwe na kipindi cha tv kutoa elimu kwa watanzania wote ,wengi wanaonewa na mahakhama
@nassercurtis957918 күн бұрын
Safari hiii chiii matepeli wa ardhi na myumba waitaisoma namba
@user-pt7lc4xu3d17 күн бұрын
Waziri wetu mungu akutunzee naomba sana hutatue mgogoro WA aridhi WA wanamchi WA mbezi GOBA
@trifoniambilo240018 күн бұрын
Pole Sanna,jambo hli sikia tu kwa jran
@mamapeace673013 күн бұрын
Mama mungu akusaidie izo tabia hata huku kwetu wapo wanapenda kuvamia vitu vya ulisi
@barakamanga550218 күн бұрын
Alooh aloooh alooooooooooooooh heeeeee basi bwana ninyamazetu
@dicksonkilupa225818 күн бұрын
BIBI HUYO HAJACHANGANYIKIWA ILA WATOTO HAWAJAMTENDEA HAKI.
@gracekagoma323117 күн бұрын
Hao wajukuu wachukuliwe hatua kali sana😢
@elphacelucas57218 күн бұрын
Duh wajukuu Wana laana kabxa
@israeluronu995818 күн бұрын
Mnooo yani wanakata mkono unaowalisha. Wanalaana sana tuu
@user-ky7mz7qh1o18 күн бұрын
Waziri shujaa kabisa kuwai kutokoea mungu akutunzee kabisaa
@abdulkarimabdallah953618 күн бұрын
Ameen ya rabb Kama kuna m2 nampenda serekalini bas huyu wazir nimoja wapo Anaitendea haki kaz yake
@user-nf3dc9fb6v14 күн бұрын
Kazi nzuri wazili
@user-qn3cf2bg4u17 күн бұрын
ukovizurimwishimiwa asantesana
@joshuakitunzi950017 күн бұрын
J.Silaa jembe kazini💪💪💪
@SelestinaHamis-dw1gs14 күн бұрын
Bibi kaona isiwe shida navaa na nguo za ccm kabisaaaa
@rasnchimbi18 күн бұрын
Kwa kumwandikia kuwa eti anaumwa akili,pekee hilo ni kosa tayari,mamlipe fidia.
@nassorochangogo493518 күн бұрын
Pole sana bibi
@user-ow7pl6tz2c18 күн бұрын
Pole bibi
@user-yj3gy4jc1t14 күн бұрын
Ubarikiwe
@AbbasOmarAbbas18 күн бұрын
Bibi Pole sana...
@user-rf7ni6tr2o18 күн бұрын
Duuuu kweerii duniaa yamwishoooo
@user-rl3yh6ls7b18 күн бұрын
Hao wajukuuuu wapuuziii kabisa Yani wamewapindua Hadi Baba zao, hawa watakuwa wajukuu wa 2000
@MashaMbwana18 күн бұрын
😂😂😂wa 2000 wakoje
@elizabethkikoti726518 күн бұрын
Kweli kabisa vitoto vya mwaka 2000 vina tamaa sana
@israelkisaila840118 күн бұрын
Baba zao nao washenzi sanasana, ningekuwa karibu,nawaroga kabisa😂😂
@shakirashakira-gc2yw17 күн бұрын
Pole sana mama
@rerisamba14 күн бұрын
Majudge Mungu anawaona jamani yani mna kiti chenu jehanam
@johnmalembo646417 күн бұрын
Mambo ya urithi hayo.,.,yanagombanisha sana familia
@user-yv7xg4em4s18 күн бұрын
Halafu eti huzai unalalamika Wakati Mwingine unamshukuru Mungu.Hii sasa hivi imekuwa Tatizo kwa mitoto ya sku hizi.
@user-zl3we4si9q17 күн бұрын
KWELI VYOO
@user-zl3we4si9q17 күн бұрын
Kuzaa mtihani usisazae mtihani tu ila M/Mungu austerity kwa kweli🙏🙏
@ZuhuraMwanafuno14 күн бұрын
Daah
@swahilifashion220611 күн бұрын
Mahakama ilithibitishaje umento wa bibi, hii nchi na hawa watu MUNGU ndie atajua atuhukumuje..
@mfalmenajjash212818 күн бұрын
Hapo wajukuu hawnaa lakwao mazal mwenye mali bado yupohai ikitokeya mazee wamefariki basi watoto wamarehem watarithi malihiyo .Ivi nyinyi wajukuu munawashwaeeeeeh
@yasminoluoch16917 күн бұрын
Yani watu wavivu huwa wabafikiria ujinga tu pole sana bibi
@israeluronu995818 күн бұрын
Hatakama hanaakili mjukuu unapata wapi mamlaka ya kuuza mali isiyokuwa yako jmn
@nancychesang956713 күн бұрын
Mm ninacho ridhi ni majina ya wazazi wangu
@hamidudigogo586317 күн бұрын
Hiyo makama kama imetoa mamuzi hayo wame zingua sana hapa waziri wa aridhi anahusika hapa
@user-qn3cf2bg4u17 күн бұрын
safisana nimefurah kumuwona. Wazirisilah
@fatmaahmed863715 күн бұрын
Mama hio ni haki yako.nenda BAKWATA au hata SERIKALINI.vipi itauzwa nenda Mahakamani..Serikali ingemwita Mmiliki..
@MonaJuma-cp3jg18 күн бұрын
Polesana bibi
@benardboaz634715 күн бұрын
Mnao subili watu wafe mpate mali mna shida fanyeni kazi muache uvivu.
@bakarially25317 күн бұрын
Jerry Slaa tafadhari Ingilia hilo kati
@clemensiadaniel847913 күн бұрын
Sasa huyo aliyenunua haoni kinachoendelea jaman .bibi wa watu apewe haki yake
@afandechanel150717 күн бұрын
Waziri wa Ardhi Slaa
@rerisamba14 күн бұрын
Yani watu wanapenda pesa hata hawaogopi laana kabisa
@neemapaul325718 күн бұрын
wajukuu tuna nini lkini,, tutafeni vya kwetu
@user-to6dh2un9i11 күн бұрын
Nawao Wamo
@MizeKombeSuleiman-id1rp18 күн бұрын
Chungeni watamuua uyo bibi ili kesi iwe nyepec
@user-gy5en6cy8o17 күн бұрын
Msiba huu dah 😢
@MwajumaFundi-ex5tj17 күн бұрын
Urithi wangu jina la ukoo sina kingine cha kurith
@RenaldaZeramula15 күн бұрын
Kosa ni kwamba hawakumshirikisha. Maana walitakiwa. Wagawane.pesa
@mariamumechara339816 күн бұрын
Kaka uko sawa tetea mali ya mama yako
@user-mw5xs2wx8n18 күн бұрын
Jina linaumba jmn
@janifajani887515 күн бұрын
Daaaaaaa maisha magumu haya😂😂😂
@naimatemba806114 күн бұрын
Nimetoa machozi
@AnuCobra17 күн бұрын
Assalam alykum bro milad nakuomba apoitmenti ya kuonana na wewe naitwa anwary naishi kariakoo ninahabari nyeti
@Khadija-ne8ul14 күн бұрын
nenda DM huko au piga simu, huku nani atasoma comment yako?
@farhannahkulishwaburekunam536017 күн бұрын
Wajukuu hatari hao muwe makini jamani hasa wenye tamaa yakuwa hawajui babu au bibi hawajui njisi alivyo pata hiyo mali
Wanaopaswa kukusaidia wanskuibia tena!!! Maisha bhanaa!!!
@israelkisaila840118 күн бұрын
Tena wajukuu,ndo maana mimi mali zangu hata mtoto hapati,labda Mungu anichujuwe ghafla,mpaka nyumba nitapiga bei watafute za kwao,pumbavu
@israelkisaila840118 күн бұрын
Na wewe mtoto wa bibi pumbavu,mpaka watoto wenu wanauzaa umekaa tu kama zuzu,ukubwa wote huo,shame on you
@festohaule971617 күн бұрын
@@israelkisaila8401 Nimekukosea Nini!!! Kitu Gani kibaya nimekiandika au hujaelewa nasema nini... Upumbavu wangu ni kusema wanaopaswa kumsadia Bibi wanamuibia...
@festohaule971617 күн бұрын
@@israelkisaila8401 kwani wewe unavita na Mimi____??? Mimi nasemea wanaopaswa kumsaidia Bibi Yao wanageuka na kumuibia ni kosa langu kwako____??Duuh Binadamu bhana!!!!