Dawah inaendelea kufika katika sehemu mbali mbali Alhamdulillah. Please subscribe @StraightPathDawah for more Islamic related videos.
Пікірлер: 47
@haibazinjibari302024 күн бұрын
Allah azidi kuwabariki na awazidishie subra Allahuma amin
@josemu87024 күн бұрын
To be a Muslim is a massive from Allah barikiweni sana sana kwa mafundisho bora Allhamdhillah
@salmaminja771424 күн бұрын
Allah awape subra kwn mwenye kusubir yupo pmj na Allah. Ucjal kwn hata mtume wetu SAW walimfanyia vituko na sitizai ivyo mbele daima nyuma mwiko, hao km ni chai imekolea sukar ndio mana wanafanya ivo. Hakika mna fungu kuuuuuubwa kwa Allah naye ndio atakauewalipa. Allahumma Amiin Waa- Iyyaka.
@Khalifaathumani-cy5om24 күн бұрын
Kazi hii inataka moyo na subrah kubwa. Allah azidi kuwaongoza kwenye haki amiin yarabb.
@samxx41124 күн бұрын
Asalam Sheikh Ramadhan mie niliwaza kuwa ni vyema daawa pia ikawahusu waislamu mana kuna wengi hawasali wala hawafuati maandiko wanahitaji kukumbushwa..Allah ametuita umma bora kwasababu tunakatazana mabaya na tunaamrishana mema..hivyo mkipata muislamu pia mpigeni dawa japo kusali, kuenda madrasa na kujiepusha na mambo mabaya
@jamilaomari244423 күн бұрын
Allah anapenda walio na subra. Allah awatie moyo.
@alyaqdhan520624 күн бұрын
جزاك الله خيرا شيخ رمضان
@TheSwahiliStudent-yq6ni24 күн бұрын
Dini ya kiislamu na lugha ya kiswahili, hivo vitu viwili vitajenga Kenya imara. Mungu ibariki Kenya.
@Fumokale23 күн бұрын
Wataelewa tu...kazi itaendelea inshaAllah na Allah awajaalie IKHLAS na aalipe magaza mema
@fardoshnassor784724 күн бұрын
Mashaallah Allha 💖💖💖
@fatmaali678022 күн бұрын
Mungu azidi kikujaza subra sana cz unapitia mitihani nyingi SubhanaAllah
@hamidudigogo586324 күн бұрын
Allah yakupe subra na nguvu kazi dawa dini ina changamoto nyingi usikate TAMAA
@user-fh7wu8vx1y19 күн бұрын
ALLAH. Awalipe jana
@saadnaim551822 күн бұрын
Nzuri tunafaidika sana kutpitia chanel yako Allahu aza wajah Akulindine
@user-mc2xd4eu2p24 күн бұрын
Maasha Allah Allah awalipe kheri awatie nguvu sio kazi nyepesi daawa😊
@StraightPathDawah24 күн бұрын
Ameen
@sweetheart254824 күн бұрын
Mash Allah
@adanabdulahi821924 күн бұрын
MashAllah
@Kuminamoja199524 күн бұрын
Kazi ngumu hii
@user-ie7yt9db6f24 күн бұрын
Mwenyezi mungu azidi kuwalinda na kuwatia nguvu kila siku muwe n moyo huo wa hekma
@mohamudAbdullahi-xt4ku24 күн бұрын
Mashallah
@KENNEDYANDERA24 күн бұрын
VP kwema njoo huku eldoret
@issackSalah-xh1bg24 күн бұрын
Good work ❤❤❤❤❤
@SheeMaryam.M24 күн бұрын
Sikuhizi sioni notification sijui kwa nn Sharrif ikiwezekana , heri aende mukurueni asome juu alisema ako tiyari
@StraightPathDawah24 күн бұрын
Inshallah ataenda
@Wekesa-n3b24 күн бұрын
Mbona mlokata kwingine. Kama nyinyi ni wa kweli mbona hamkuweka yote
@StraightPathDawah24 күн бұрын
Hiyo ni part one wacha kujiaibisha
@SheeMaryam.M24 күн бұрын
@@Wekesa-n3b ulijuwaje imekatwa yet you were not the one who was recording.. hujaona imeandikwa "END OF PART 1"??? kula mzizi utulie upangwe ... Next prt is coming
@Sal.024 күн бұрын
Mafundisho BORA again! WAZungu walio teka Palestina NYARA in 1948, na HALAFU kuji ITA 'wa (NCHI ya) israeli' , hawa WaZungu, SIO uzaa wa 'WANA wa YAKUB', walio itwa 'Wa YAHUDI', katika QURAN! Hawa WAZUNGU wanaoji ITA 'jew' SIO 'Wana wa YAKUB', kwa sababu hilo Neno 'jew' ni NENO ilio TUNGWA na the ENGLISH 'KJ Version' Bible, in 1814AD. Therefore WAZUNGU walio anzisha 'judaism' in 1860AD, na halafu in 1948, kui TEKA Palestina NYARA ni 'jews', au Neno laku TUNGWA! Na 'WANA wa YAKUB' ambaye ali pewa cheo cha 'izrael', wana itwa WA YAHUDI, jwa sababu Grandmother wake SARA'H ali kuwa UZAA wa Nabi HUD! Therefore please do NOT MIX the MZUNGUS who call themselves by the MZUNGU Word 'jew',.... with the Children of Yakub who are the YAHUDIS, whose IRAQI great Grandmother SARA'H w/o IBRAHIM, was a descendant of PROPHET HUD! Therefore, SUMMARY...> Hawa WaZungu Katil ni: "Wa.... NCHI ya 'israel'." Na WaYAHUDI ni: " WANA.. wa Bani Izrael". SEE the difference? TabarakAllah Team
@Sai.Mo6924 күн бұрын
Swadakta. Wa..israhelli, wote n8 WaZINGU, kutoka mainly Eastern Bloc RUROPEAN countries. Kama Netayahoo ni from POLAND, na weng8ne kutoka Serbia, Ukraine, Slovakia na wengi kutoka US!
@andrewnjuguna68824 күн бұрын
Kama muhamed ni mtu wa allah ni wapi alijisemea yakwamba muhamed ni mtume wake?
@suleymanali43124 күн бұрын
Sio wewe wa kwanza kuuliza kama muhammad ni mtume wa mwenyezi mungu walikua wengine kabla yako na mwenyezi mungu akawajibu katika qurani tukufu.(Aya wa (33) sūrat l-aḥzāb Muhammad si baba wa yeyote katika wanaume wenu, bali ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na mwisho wa Manabii. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu (Katika Quran yote, Muhammad anajulikana kama Mjumbe wa mwenyezi Mungu na ni Mtume". Maneno mengine yanatumika, ikiwa ni pamoja na "Mwonyaji", "mtoaji habari njema", na "mwenye kuwaalika watu kwa Mungu Mmoja" (Q 12:108, na 33:45-46)
@Sal.024 күн бұрын
Hio ni Swali ya Upuuzi! Dunia MZIMA ina jua habari za MTUME Wetu, saw!
@andrewnjuguna68824 күн бұрын
@@Sal.0 na mnakasiriko😂😂😂,,ama hapo allah alisahau kusema
@andrewnjuguna68824 күн бұрын
@@suleymanali431 bro hapo ni maneno mengi ambayo hayajibu swali langu,kama halina jibu ni sawa
@suleymanali43124 күн бұрын
@@andrewnjuguna688 kwani swali lako ni ipi. Si ume uliza wapi Allah amesema muhammad ni mtume wa mwenyezi mungu,Ama hasa suali yako ni ipi .ebu fafanua kwa maana muhammad 10000% ni mtume wa mwenyezi mungu
@peternyaga-jh7zb24 күн бұрын
Mbna kudanganya watu waislamu .. sefania 3:9 haisemi Arabic ndio lugha moja ni baada ya Dunia kuteketezwa kwa moto ukianza verse 8 ... Wah Ramadhan ata wewe niwakubadika maandiko
@thekingdragon835824 күн бұрын
WACHA CHUKI DOGO
@SheeMaryam.M24 күн бұрын
@@peternyaga-jh7zb twambie ni lugha gani watu wanaitia jina la MUNGU kwa lugha moja... Ila sio lazima uamini lazima upinge ndio ALLAH Aishi kuwa mkweli...
@Lucian-v5p24 күн бұрын
Mnafanya editing. Mbona hizo zingine Hua hamuweki part 1or 2. Au mnaogopa kuonyesha kilichowapata
@saumbliz898324 күн бұрын
Wewe una nyege tafuta Mume akutoe toka hapa@@Lucian-v5p
@SheeMaryam.M24 күн бұрын
@@Lucian-v5p ata ya juzi ilikuwa na part 1 na prt 2 wacheni hasira msubiri, na kama video sio ndefu, kunahaja gani waweke prt na hakuna, kwa screen ishasema ni prt 1 kuweni wapole alfu ndio mrushe mawe baadaye
@haibazinjibari302024 күн бұрын
Allah azidi kuwabariki na awazidishie subra Allahuma amin