Subscribe + Like + Share + comments kwa Habari kila siku
Пікірлер: 21
@methodneka27912 жыл бұрын
Mungu akupokeeee mfalme wetuuu huko mbingunii....
@josephbenard82762 жыл бұрын
Namshukuru sana rais magufuli kwakutu boreshea nchi yete mungu akulaze pema pepponi mungu akubariki mtetezi wa wa nyonge mungu ibariki tanzania asanteni sana wa tanzania mungu hibariki afrika
@jessicarasigu22203 жыл бұрын
Mie nitakukumbuka Raisi wangu JPM 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Ila namshukuru mungu kwa upendo wake kwetu Watanzania kwani anazidi kutuepusha na ili shetani mkubwa Sana duniani itwayo coronavirus izidi kushidwa ktk jina la YESU nchini Tanzania, mungu anatupenda tu Sana tuzidi tu kumlilia yeye pekeyake
@firstladysuleiman41343 жыл бұрын
Baba anguu Jaman umejitoa sadaka saana kwetu Sisi wanachi wako ntabak nakuombea Maisha yangu yotee had pale na mm umaut utakapo Nikuta siwez kuamin jaman 😭😭😭😭😭
@paschaliadeus25023 жыл бұрын
Jamani tulimpata mtu wa kuikomboa nchi yetu, sasa itaangamia tutarudi tulikokuwa tukitalaji kutoka hakika rais alikuwa kiongozi wa aina yake
@bilalysalum56383 жыл бұрын
Inna lilahi wainnaa ilaihi rajighuun hikika mungu ni mkubwa na kazi yake mungu haina makosa kama kama mtume mhammad s a s alikufa akiwa na miaaka 63 magufuli kafa akiwa na miaaka61 wewe na mimi hebu tujitathmini bado miaaka mingap au tutakufa kabla ya miaka hiyo?;
@josephbenard82762 жыл бұрын
Mie namwombea sana magufuli mungu amlaze mahla pema peponi!!!
@badboykiemke Жыл бұрын
Uy mtu atariiiii
@josephatkiliko2546 Жыл бұрын
Dr John pombe Magufuli
@hassanlikwenangu8471 Жыл бұрын
Kimamba ni Kilosa - Morogoro... Nadhani amekusudia KIBAMBA
@josephbenard82762 жыл бұрын
Jaman magufuli ali wa kosea nni mrudisheni raisi wetu
@josephbenard82762 жыл бұрын
Jamani uchaguzi utakao fanyika mwaka 20025 jaman watanzania tuje tuhngne tumchague kiongozi ka magufuli;;;!
@josephbenard82762 жыл бұрын
Jamani tanzania tumekwisha tuta mpata wap kiongozi kama magufuli???
@johnmajebele59273 жыл бұрын
Jaman kiongozi gani Sasa ataweza kujibizana na Hawa wazungu Nani Nani jaman hatowaogopa wazungu jamani😔😔😔😔
@rehemaamony68353 жыл бұрын
Hakika tutakukumbuka lakini mungu hajawahi kumtupa mja wake watanzania tunajua tutampata rais mngine wa sina yako