Utacheka Utani Wa AY Kwa Fid Q "Fid q Ni Shabiki Yangu, Siku Hizi Ana-smile" | Salama Na AY PART 2

  Рет қаралды 46,608

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

Пікірлер: 46
@zawadilutufyo231
@zawadilutufyo231 2 жыл бұрын
😍 the guy is funny!!♥️❣️ na they got chemistry✌️🥰
@ddy8636
@ddy8636 2 жыл бұрын
I love this gent😍 he is soo genius
@Nimanickson259
@Nimanickson259 2 жыл бұрын
appreciate u salama n AY!!!
@marwajuma6478
@marwajuma6478 2 жыл бұрын
Can't wait salama na mbwana samata
@wanzakleruu
@wanzakleruu 2 жыл бұрын
One of the best chemistry. Asante sana
@bskpstationery5388
@bskpstationery5388 2 жыл бұрын
Kazi nzur sana nasubili ya Mchonvu na P. Hilary
@mwashikishuly4149
@mwashikishuly4149 2 жыл бұрын
AY is a humble guy,nampenda kwa kweli
@alvinmbugua9830
@alvinmbugua9830 2 жыл бұрын
Salama your one the brilliant lady in Tanzania...I really love this show ...God bless you guys
@maryshirima1234
@maryshirima1234 2 жыл бұрын
Ila aka kanyimbo ka Salama na kanainspire sana...🥳🥳💚
@kassimoludara4746
@kassimoludara4746 2 жыл бұрын
chemistry between this guys is AMAZING
@majojo91
@majojo91 2 жыл бұрын
lit sana 🔥 ilifikia sehemu AY akawa ana muinterview Salama 🙌
@ramzy5280
@ramzy5280 2 жыл бұрын
Hii interview naona imekatwa sana nahisi humo ndani kulikuwa utani mwingi 😂🫡
@maryshirima1234
@maryshirima1234 2 жыл бұрын
Yah!
@abduly.snootie
@abduly.snootie 2 жыл бұрын
#SalamaNaAY I'ts a Big Big "CONVERSATION" S/O Kwao ni "MADINI" TU.📌💯🎥🎞️🎬📽️🔥🔥🔥🔥🔥
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Nilitamani kipindi kisiishe, good job salama.
@tobiastunzo165
@tobiastunzo165 2 жыл бұрын
Forever young East Africa's Jay-z
@mbarakalikati5228
@mbarakalikati5228 2 ай бұрын
Kumbe tulifika kuwa sehemu moja na watu wakubwa sana
@theodoreconstantine2565
@theodoreconstantine2565 2 жыл бұрын
sound haija kaa sawa, sound engineer fanyia kazi next time.
@surusuru1994
@surusuru1994 2 жыл бұрын
Hipapu iko up bro nai peda
@alextarimo4972
@alextarimo4972 2 жыл бұрын
salama why unamis basic questions ect vipi wale members wako wapi,like ay aliweza vipi kuconnet dots na wakenya n ug,how comes now amefanikiwa kizaidi kuliko other artists tulitegemea kukuta haya majib
@aminamfinanga8165
@aminamfinanga8165 2 жыл бұрын
Nampenda sana AY Sana nikimaanisha kbs
@vichilegrand
@vichilegrand Жыл бұрын
sister salam naomba mulete Mr blue
@rashadabdallah8509
@rashadabdallah8509 2 жыл бұрын
Interview kali salama, mi ni shabiki yako na binafsi nimekua nikijifunza mengi kutoka kwenye hiki kipindi, Naoomba upate muda umtafute mbunge mheshimiwa KIBAJAJI watu wata enjoy na kujifunza pia.
@edwardkasubi5135
@edwardkasubi5135 2 жыл бұрын
Mmmmmmhhhh binafsi sitakuwa na cha kujifunza kutoka kwa Kibajaji
@rashadabdallah8509
@rashadabdallah8509 2 жыл бұрын
jamaa ana inspirational story alianzia kua house boy mpaka hapo unavyomuona leo. kujifunza kuko kwa angle nyingi kaka, kama akiletwa ukipata nafasu jaribu tu kusikiliza.
@onesmomtaturu3124
@onesmomtaturu3124 2 жыл бұрын
Salama nakuomba umtafute diamond umuhoji tunamambo mengi ya kujua kutoka kwake
@nemimnazareti5434
@nemimnazareti5434 2 жыл бұрын
#SALAMANA_NIKIWAPILI 🙏
@binamuhk9568
@binamuhk9568 2 жыл бұрын
Sema mmepiga story sana
@masumappay5079
@masumappay5079 Жыл бұрын
Salaam na novatus
@mwanaishachiku1954
@mwanaishachiku1954 2 жыл бұрын
Nakukubali sana mkaka
@solomonkitonka6904
@solomonkitonka6904 2 жыл бұрын
Salama yuko na boss wake
@salumjumah5648
@salumjumah5648 2 жыл бұрын
Zeeee
@bhaleeali8459
@bhaleeali8459 2 жыл бұрын
inaeza ikawa hii ndio last ep2 mana nakumbuka ya mkasi ile ep ya mwisho ilikuwa na AY
@maryshirima1234
@maryshirima1234 2 жыл бұрын
Duh! Hapana kwa kweli...😥
@usanifumaandishi7519
@usanifumaandishi7519 2 жыл бұрын
Hii video imekatwa sana, unajua kwanini? Washkaji wanahojiana😂😂
@GamechangerTz
@GamechangerTz 2 жыл бұрын
Kitu nilikuwa sifahamu ni kuwa Ay alizaliwa Hospitali ya Ligula Mtwara na kwa bahati nzuri ndo Hospitali niliyokuwa nafanyia Mazoezi Kipindi niko chuo na Hongereni kwa Mahojiano mazuri
@maujanjacrypto2021
@maujanjacrypto2021 2 жыл бұрын
Zeee
@saidmshunga5823
@saidmshunga5823 2 жыл бұрын
hapa kwenye wazungu wanaojua kiswahili, aisee umenichekesha sana ni kweli hawa jamaaa wanaboa mnooo. kila kitu wanazinguaga tu sijaonaga afadhali.
@robartifabiani
@robartifabiani Жыл бұрын
Jamaa amemuua fid q 🤣🤣
@llo6912
@llo6912 Жыл бұрын
Kwan salama mbn kacheka sana kuskia fid Q katoa wimbo wa tarabu na Isha mashauzi mana nimehamasika kucheka sana bila ya kujua nacheka nn. Maana narudishia kila saa nicheke tena na tena
@maryshirima1234
@maryshirima1234 2 жыл бұрын
AY kaanza kumuhoji Salama... 🤣🤣🤣
@Love4Ril
@Love4Ril 2 жыл бұрын
EFFORTLESS
@aminiismail2118
@aminiismail2118 2 жыл бұрын
Hii ni miongoni mwa interview mbaya zaid yenye mafunzo machache mno aliyowahi kufanya salama. Salama tuletee watu wa kutufunza na kutukuza kiakili kama ulivofanya kwa idriss na Majei
@victornjwango9683
@victornjwango9683 Жыл бұрын
Acha roho mbaya wewe
@franka4799
@franka4799 2 жыл бұрын
promosm
"كان عليّ أكل بقايا الطعام قبل هذا اليوم 🥹"
00:40
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 7 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 12 МЛН
Salama Na Fid Q Ep 7 | NGOSHA WA MBASA Part 1
29:51
YahStoneTown
Рет қаралды 145 М.
Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 1
40:33
YahStoneTown
Рет қаралды 68 М.