Salama your one the brilliant lady in Tanzania...I really love this show ...God bless you guys
@maryshirima12342 жыл бұрын
Ila aka kanyimbo ka Salama na kanainspire sana...🥳🥳💚
@kassimoludara47462 жыл бұрын
chemistry between this guys is AMAZING
@majojo912 жыл бұрын
lit sana 🔥 ilifikia sehemu AY akawa ana muinterview Salama 🙌
@ramzy52802 жыл бұрын
Hii interview naona imekatwa sana nahisi humo ndani kulikuwa utani mwingi 😂🫡
@maryshirima12342 жыл бұрын
Yah!
@abduly.snootie2 жыл бұрын
#SalamaNaAY I'ts a Big Big "CONVERSATION" S/O Kwao ni "MADINI" TU.📌💯🎥🎞️🎬📽️🔥🔥🔥🔥🔥
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Nilitamani kipindi kisiishe, good job salama.
@tobiastunzo1652 жыл бұрын
Forever young East Africa's Jay-z
@mbarakalikati52282 ай бұрын
Kumbe tulifika kuwa sehemu moja na watu wakubwa sana
@theodoreconstantine25652 жыл бұрын
sound haija kaa sawa, sound engineer fanyia kazi next time.
@surusuru19942 жыл бұрын
Hipapu iko up bro nai peda
@alextarimo49722 жыл бұрын
salama why unamis basic questions ect vipi wale members wako wapi,like ay aliweza vipi kuconnet dots na wakenya n ug,how comes now amefanikiwa kizaidi kuliko other artists tulitegemea kukuta haya majib
@aminamfinanga81652 жыл бұрын
Nampenda sana AY Sana nikimaanisha kbs
@vichilegrand Жыл бұрын
sister salam naomba mulete Mr blue
@rashadabdallah85092 жыл бұрын
Interview kali salama, mi ni shabiki yako na binafsi nimekua nikijifunza mengi kutoka kwenye hiki kipindi, Naoomba upate muda umtafute mbunge mheshimiwa KIBAJAJI watu wata enjoy na kujifunza pia.
@edwardkasubi51352 жыл бұрын
Mmmmmmhhhh binafsi sitakuwa na cha kujifunza kutoka kwa Kibajaji
@rashadabdallah85092 жыл бұрын
jamaa ana inspirational story alianzia kua house boy mpaka hapo unavyomuona leo. kujifunza kuko kwa angle nyingi kaka, kama akiletwa ukipata nafasu jaribu tu kusikiliza.
@onesmomtaturu31242 жыл бұрын
Salama nakuomba umtafute diamond umuhoji tunamambo mengi ya kujua kutoka kwake
@nemimnazareti54342 жыл бұрын
#SALAMANA_NIKIWAPILI 🙏
@binamuhk95682 жыл бұрын
Sema mmepiga story sana
@masumappay5079 Жыл бұрын
Salaam na novatus
@mwanaishachiku19542 жыл бұрын
Nakukubali sana mkaka
@solomonkitonka69042 жыл бұрын
Salama yuko na boss wake
@salumjumah56482 жыл бұрын
Zeeee
@bhaleeali84592 жыл бұрын
inaeza ikawa hii ndio last ep2 mana nakumbuka ya mkasi ile ep ya mwisho ilikuwa na AY
@maryshirima12342 жыл бұрын
Duh! Hapana kwa kweli...😥
@usanifumaandishi75192 жыл бұрын
Hii video imekatwa sana, unajua kwanini? Washkaji wanahojiana😂😂
@GamechangerTz2 жыл бұрын
Kitu nilikuwa sifahamu ni kuwa Ay alizaliwa Hospitali ya Ligula Mtwara na kwa bahati nzuri ndo Hospitali niliyokuwa nafanyia Mazoezi Kipindi niko chuo na Hongereni kwa Mahojiano mazuri
@maujanjacrypto20212 жыл бұрын
Zeee
@saidmshunga58232 жыл бұрын
hapa kwenye wazungu wanaojua kiswahili, aisee umenichekesha sana ni kweli hawa jamaaa wanaboa mnooo. kila kitu wanazinguaga tu sijaonaga afadhali.
@robartifabiani Жыл бұрын
Jamaa amemuua fid q 🤣🤣
@llo6912 Жыл бұрын
Kwan salama mbn kacheka sana kuskia fid Q katoa wimbo wa tarabu na Isha mashauzi mana nimehamasika kucheka sana bila ya kujua nacheka nn. Maana narudishia kila saa nicheke tena na tena
@maryshirima12342 жыл бұрын
AY kaanza kumuhoji Salama... 🤣🤣🤣
@Love4Ril2 жыл бұрын
EFFORTLESS
@aminiismail21182 жыл бұрын
Hii ni miongoni mwa interview mbaya zaid yenye mafunzo machache mno aliyowahi kufanya salama. Salama tuletee watu wa kutufunza na kutukuza kiakili kama ulivofanya kwa idriss na Majei