Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 333
@colethamkasa58219 ай бұрын
diva kwako ni kuzuri bhana,kwa wanaoponda achen wivu,kupangilia pangilien nyie ukute wengine wapo room moja kila kitu kipo umo afu mko kuponda😀,iyo ni apartment bhana
@faidhacute9 ай бұрын
Nakupenda diva wangu❤❤❤❤ mdhungu yaan diva ni mimi kabsa i love it❤❤
@mkasihamad72258 ай бұрын
Yani comment nyingi ni za makasiriko 😂😂😂😂si mtafute pesa jamani kaah❤❤❤ati nyumba ya kawaida. Wee uko nayo😂😂😂😂😂😂
@vero579 ай бұрын
Miwani ya jua mpaka ndani ya nyumba khaaa!! We dada wee!!!😂😂
@estermahenge-ks3dr9 ай бұрын
ana haibu sana kwaiyo ana jifichia miwani😂
@mweshaosako20119 ай бұрын
The end of this interview is the best of the year. He summarized the whole relationship struggles, we are treating each other according to our past traumas, and fear which is not okay and uncontrollable. In fact everyone is playing defensive. Anaensikiliza anajifunza, anae ona anatamani” this Guy is a brain. Much love to you
@sharaharith79539 ай бұрын
Nahis Diva you are impressed with this man's confidence
@faidhacute9 ай бұрын
Kama una akili timamu huwezi kukoment ujinga but mutafute pesa tuache makasiriko ambayo hayatokusaidia chochote😂
@khadijaramadhani55629 ай бұрын
Umeona eeeh! Tutafute pesa aiseee
@zulekhasaud4838 ай бұрын
Kweri kabisa
@baimarrajahbuayan62378 ай бұрын
😅😅😅Haswaa
@HusseinAhmada-ir6ne7 ай бұрын
😅Vc. 😅😅'😅'c😅😊 be😅 by😊 na😊
@user-xs6vo1ur7w8 ай бұрын
Hongera kwa,saleh anaweza kukiendesha kipindi
@marciawambui196523 күн бұрын
This girl is funny,she loves herself. But i can tell she has a good heart. you have a beautiful home diva
@sabihaibrahim1439 ай бұрын
mume anajisikia vibaya kwa sifa za mkewe yaani anamshangaa anavojisifia
@sarahkeivaly33518 ай бұрын
Muacheni mdada wa watu aishi maisha yake
@user-yq4sn6cq1l9 ай бұрын
Mbona mnamukera jamani muwaceni Diva na mambo yake kwanini munaroho mbaya
Watu acheni wivu jamani ndani kwake kuzuri kajitahidi na nyie weken magheto yenu hapa kama hatujakimbiana.
@user-vv1te9fu8q9 ай бұрын
Hana kitu hata kimoja cha kwake hapo parm village kila kitu unak8kuta humohumo ukishindwa kodi unabeba begi lako unasepa
@Neema929 ай бұрын
@@user-vv1te9fu8q Duhh! Hatari 😂😂🏃🏃
@jasminshemsanga87278 ай бұрын
Tinted hd ndan kwan hy diva uwa kipofu au😮😮 miwan hd anaboah alf tabia ya kugombana kidogo na mumeo kututangazia mitandaon sio vzr unamdharirisha mwenzio alf bd mpo wote
@husnarashid78499 ай бұрын
Hakuna binadam aliyekamiloka kila mtu na madhaifu yake kuna watu humu wanatukana tu sababu hawampendi ila wanakoishi kama stool yaani 😂😂😂😂😂 mimi cpendi ila anakaa pazuri acheni unafiki
@safiyanirram-pf3sv9 ай бұрын
Sema kwa kawaida sana tu sema anavyo jishauwa ss maana akustui na mumewe wa wote😂😂
@rukiayasuleyman29003 ай бұрын
Diva Masha Allah! Allah akuhifadhi pamoja na mume wako! Nakupenda sana❤
@ZolufaMas-ie4un5 ай бұрын
WOW pazur sana hongera diva 🎉🎉
@keyla36419 ай бұрын
Diva sasa kila unakohamia unahojiwa kaa kimya ufanye mambo yako
@user-pg3pu4jk9f9 ай бұрын
Abduli hajapenda hizo sifa jamani
@nuruosward81618 ай бұрын
Ndiyo lkn yeye analelewa na diva hana ata chake kitu hapo zaid ya maneno ya janja janja sema diva hapo sipo kbsaaaaaa
@sophsoph47408 ай бұрын
Kbs hapend
@khamoshmikidadi6189 ай бұрын
Icho kizungu mda wote cha nin 😏hatufaham😅 eti napenda kupika lkn kwny friza hamna kitu😅😅😅
@user-qs7lj7kj1k9 ай бұрын
Diva akigombana na muganga wake wanahama nyumba ingine🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kekiplus1andonly9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mbona mawigi😂😂😂sasa 2023 bado wamama watu wazima wanaringia mawigi😂😂😂😂😂
@cyahmkanile85878 ай бұрын
For real can inspire sana❤
@bintqassimidarous16369 ай бұрын
Ulivo huna adabu na ndoa ukigombana na mumeo unakimbilia mitandaoni kumchafua mumeo kwa sifa chafu hata kama anamakosa hupaswi kuja mitandaoni kumchafua wakati hujiwezi kwa uyo bwana huwezi kukaa nae mbali kwanini umchafue mumeo mpuuzi wee huna lolote kazi kujisifu tu maisha
@flackomasterbaddest41559 ай бұрын
Olewa na ww
@sharifabahar99059 ай бұрын
@@flackomasterbaddest4155😂😂😂😂😂😂 wabongo kwani majibu uwa mnakuwa nakitabu
@chany99509 ай бұрын
Safi👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾
@Daniella2499 ай бұрын
Mm mwnywe nashangaa kumbe wako pamoja xx mdomo ule wote ulikua wann Ila wanawake Sisi 😂😂
@sakinaomary72079 ай бұрын
ile ilikuwa kiki
@estermahenge-ks3dr9 ай бұрын
ila diva kiboko😂😂😂😂😂😂🙌🏻tambo nyingi
@bintqassimidarous16369 ай бұрын
Vioo vya Balkon pia vichafuuuu sijui usafi gani unazungumzia unapenda uonekane unamaisha mazuri hunaga kazi kujikweza tu unapenda sifaaa
@ramlaramadhan42068 ай бұрын
Mtangazaji hta hpti kzi kubwa yakuulza, diva ywajbu yote bila kuulzw... Its like she waited patiently for this interview au ye ndo altka awe interviewed?! 😊
@salhawaziri16689 ай бұрын
Huyu ni too materialistic yan kila Saa when we moved out when we moved out vitu vingi vimearibika khaaa mfuniko an kisoda Mume na mke wote wehu
@AdoAshu809 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@patriciapastory3248 ай бұрын
😂😂😂😂 this made me laugh so hard
@queenandchill919 ай бұрын
Nyumba kama pamepigwa bomu 💣
@Official836409 ай бұрын
Huyu ana ubalozi wakutangaza apartment za watu eeh sijui yy atajenga lini ili azidi kuringa maana hajiamini ht uso wake kutwa miwani km mchomea mageti
@user-qs7lj7kj1k9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@yusraramadhan82039 ай бұрын
Beautiful!😊
@HappyAlex-ei6vz5 ай бұрын
Dada hongera umejipata😊😊🎉
@aminakasim11989 ай бұрын
Wiki vyombo vipome zani😢aibu
@user-wh4xi2yi3w8 ай бұрын
Mungu akutunze diva
@latifahkarim97749 ай бұрын
Salehe kakuta wenyeji washakula
@AdoAshu809 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@msafirlaizer23689 ай бұрын
Huyu mzee Abdul ni Sheikh tu kwenye Camera, behind the scenes ni Mfirahuni.. Ooooh my goodness 😢 #FreeDivasMind 🌟
@user-up1tb7sj2f8 ай бұрын
Unamaanisha nn😮😮😮
@rizikiabdalla25017 ай бұрын
Umeshawahi kufiraini naeee au
@Teddy_jones7 ай бұрын
Sjuw kwa nn wanampaka make up ya njano jmn make up zinaharibu sana şura see her face having rashes naturally is very cute tho
@MalangaMartin4 күн бұрын
Good diva ♥️
@user-vv1te9fu8q9 ай бұрын
Minywele mpaka ndani miwani mbona hauko comfotable na mijakert mwanamke ndani vaa dira mwili uwe mwepesi umejijaza mikorokoro kibao
@Zainab_salat6 ай бұрын
Hata mume akivunua dira mara moja😂😂😂😂😂anagusa
@user-sv3jd8in7o9 ай бұрын
Miguuu jmn si nyweusi 😂 au
@yustamshana-sx8dy9 ай бұрын
Miwani kama James Bond!
@lightnessabdallah23409 ай бұрын
😂😂😂😂
@omytifa64039 ай бұрын
Shekh Abdul kasinywaa
@user-fy9pw2zr8l9 ай бұрын
eti miwani jamani 😂😂😂😂 njo mali zake ama sijui wengine wanawake jamani
@RahmaAwadh-ul9yu9 ай бұрын
Mradi wanapendana ,Wana enjoy maisha yao basi tuwaombee wakae pamoja wafike mbali,Nawapenda jamani
@chidymsaficlassic_tz25937 ай бұрын
Abdul kaongea point sana nimependa
@faridapandu75796 ай бұрын
Sasa huyu salehe yeye Hana kwake😂😂😂 hatuoneshi kwake
@nasrinasra54725 ай бұрын
Tumewaza wotee😅😅
@user-hn8un5fz2n8 күн бұрын
Yeye zamu yake ifike
@user-ct3ty7xk5z4 ай бұрын
Uwalete waingizaji hawa grace mapunda, (odama Jennifer kiyaka,welu sengo,Mimi mars,JB,getruda mwita,riyama ally,Irene paul,mayasa mrisho,ray kigosi,Stanley msungu,hemedy,Luka wa jua Kali, nitafurah sana nikiwaona hawa
@maryandason18159 ай бұрын
Aisee at isha mashauz ajamfikiaa kwa mashauz hyoo mwingerezaa ingekuwa kwa mashauz hayo unaingia mbingun dada ungeshika no moja 😂😂😂punguza bas kujifnya muingereza
@user-vv1te9fu8q9 ай бұрын
Kafumaniwa kakutwa na mivyombo kibao hata kusafisha meza kashindwa mtu kaondoka ana siku nne sijui tano mivyombo ipo juu ya meza ya kulia na uache uongo kupika hujui tena ulisema mwenyewe usijisahaulishe
@vinnahjasson55468 ай бұрын
Kasema anapenda kupika
@Onlyserialsaga8 ай бұрын
😂😂😂😂ila diva Ila nampenda ivyoivyo😂😂😂😁
@baimarrajahbuayan62378 ай бұрын
Mashallah ila Sofa zijazipenda 😜😜😜😜kama. Magoxi 😅😅
@ummySheikh729 ай бұрын
Hana Raha. Mumewe unamuona anajilazimisha tu mambo ya ma show off
@aminakawawa58006 ай бұрын
Diva msafi mashallah
@shyfettymtunda46198 ай бұрын
Miwani ya jua mpka ndani jamani.😂😂😂 Miwani yenyewe kama wachomelea mageti.
@hannansaidahmed19439 ай бұрын
Hujui kupangilia nyumba bado makorokoro yamejaa mezani pangilia vizur
@zabubamudy1269 ай бұрын
mhh kuwa mpole
@tanzcanmediatv44739 ай бұрын
Umaskini ndio unao waua mapema.tafuteni pesa jamani mfano mimi hapa naangalia for fun siwezi ponda chochote nina kila kitu maishani watu maskini kazi sana
@AtufenaValentino6 күн бұрын
kukwambia alikua n wageni
@victoriamuyanzi38628 ай бұрын
Kila saa ooh vitu vilharbika wen we were moving out...nini bana ww😂😂
@aminamwinyi79276 ай бұрын
😂😂😂
@mariamibrahim67388 ай бұрын
Napenda mnavyo ishii ila diva uwe npikia mumeo dda
@GloriaMillinga7 ай бұрын
Apartment hiyo kila kitu unakuta ndani😂😂 ukitaka kuhama unatoka na mabegi yako tu
@shuwehaharuna63099 ай бұрын
Tuliozoea kuangalia majumba ya waarabu hapo kwa diva tunaona kama stoo, tunashangaa akijisifia halafu nyumba ya kupanga
@chaucassim41238 ай бұрын
Yani. We acha. Yani Ana taka taka. Sisi. Tunaofanya. Kazi Oman. Tunaonana. Anatuchefua. Tu Bora ata angejenga
@venusbby8 ай бұрын
Sasa majumba ya waarabu si yatuwashe’ni?
@FatmaMwinyi-jt2rr8 ай бұрын
Watanzania bhana kwakuwasifia mataifa mengine yetu yanatushinda muache amsifie achokuwa nacho unataka afake au
@shuwehaharuna63098 ай бұрын
@@FatmaMwinyi-jt2rr hatutaki majigambo
@allthingdranabeauty8 ай бұрын
Kiukweli pazuri atakama kapanga then mabye anajenga kidogo kidogo nyumba ya maana wengine hawawezi kukaa uswazi atakam wanajenga
@lovenessoscar41029 ай бұрын
Hamna wigi ya maana hapo hata moja😂😂😂😂😂😂
@dork87498 ай бұрын
Kawaida sana yani
@subrynerysegerow13238 ай бұрын
Halafu diva wala haringi sana yupo kawaida tu me naona mchesh
@victoriarichard87615 ай бұрын
Haringi ila sema ana uhaya mwingi hata kama kitu hajaulizwa anajieleza sana kama kujihami vile
@SululuZungu-kx8ws6 ай бұрын
Sasa kingeredha chann mawani za nn daa alf umeolew na mislmu hiv mpo serias au 🤔
@NanaNana-oe5ft9 ай бұрын
Sasa uyu diva nikipofu sijawahi kuona Hana miwani hata nyumban miwani
Me nashangaa kwanza cwaliachanaga na mumewe anapenda majimama
@rizikiabdalla25017 ай бұрын
Chezeaa aya za Allah ww
@thelyrics51659 ай бұрын
achen wivu mbona kaongea vizur t
@bennamush46167 ай бұрын
Jiamini dada miwani ya mpaka nyumban
@user-ky7mz7qh1o5 ай бұрын
Jamaaa tapeli diva analipa kodi
@aishamuly4667 ай бұрын
Tanga tujuaneeee ❤❤😂😂
@lulugora27129 ай бұрын
Allah akusaidie upone unachougua it's sad
@BerthaModest9 ай бұрын
😅😅afya ya akil sio
@jesterfredrick94979 ай бұрын
@@BerthaModest😂😂😂😂😂😂😂😂
@MuniraShughuli-kc7vj9 ай бұрын
Janaba halitoki mwilini ww mwehu unasuka Rasta Astaghafirullah mke WA Sheikh duh🤔mambo gani haya Allah awaongozee
@ukuvukiland23879 ай бұрын
Mtoe sadaka jamani hata kama hamuamini mungu ...msiishie majivuno,ungekua na mtoto wewe demu sijui ingekuaje lakini Sisi wanaume wenye malezi ya kweli kwa watoto hatudekezi watoto,kwa sababu ya maisha ya baadaye tunapenda watoto wajue ups and down,hata ukiwaachia Mali watazitunza..
@sabihasalim9429 ай бұрын
Sio kupenda kwake kutokuwa na watoto it's Allah plan....shida iko wapi.
@saumbliz89836 ай бұрын
Sasa Kuna binadamu asie amini mungu
@AmusedAstronomicalModel-lq3yu6 ай бұрын
Kafanana na marehemu Defao
@chany99509 ай бұрын
Bio vichafuuuu toka
@user-qm9np2uf9m6 ай бұрын
Hasara kitanda chamumeo unawaeka watangazaji
@user-oj9ek2qj3x7 ай бұрын
Kuswaliii n rastaa jamaniiiii😮😮😮😮
@user-vv1te9fu8q9 ай бұрын
Mwanamme hajapenda kabisa
@SarahKussa-rv5rc9 ай бұрын
Kumbe hata ww umeona nikajua mimi tu
@user-vv1te9fu8q8 ай бұрын
@@SarahKussa-rv5rc ujue nini huyu mwanamme anaona vile vitu vyote anavyoongea mke wake pale ni vya uongo ndio mana anaona haya anatamani amwambie huyo muandishi aondoke lkn anashindwa
@SarahKussa-rv5rc8 ай бұрын
Kweli kabisa
@SarahKussa-rv5rc8 ай бұрын
@@user-vv1te9fu8q kweli kabisa ndio waache kuoa wanawake wa mitandaoni
@FatumaSalimu-pn4vo8 ай бұрын
Yani mm nikioana gana hivi nakuwa nahasla sana yakutafuta pesa napenda sana maisha haya jamani
@saidtembele30707 ай бұрын
Allah akutilie wepesi na yawe ya kheri kwako wakati mwingine Allah hatupi tunachomuomba kwa kutuepusha na shari fulani
@husnamusa31787 ай бұрын
Huyu nae anakera mamiwani hadi ndani ya nn sasa ndo mn mange anakuchamba sana hlf kingereza kiiiiingiii
@bennamush46167 ай бұрын
Hajiamini mamiwani mpaka nyumban masweta ya kofia na upo ndan way
@davinaheven47949 ай бұрын
Yaani mashauzi yoote kaishia kwa Mganga.
@maryandason18159 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@angelalyimo28628 ай бұрын
Mashauzi tupu
@perpetuamagesa23058 ай бұрын
wew shehe acha kulelew bwege wew auna ela ya kulipa kodi apo wew tafta ela kenge wew
@kingkendrickk2 ай бұрын
Aisee
@felisterben67169 ай бұрын
Kila kitu kinatoka nje jaman hahahaha
@anjelinakasembe8452 ай бұрын
Ndio maana unanenepa kula Malwettbewerb kake
@user-vv1te9fu8q9 ай бұрын
Kitanda kiko vuru 😂😂😂😂 daah majigambo yote yale
@jenestermerchades91118 ай бұрын
Huku kwetu zara og elfu 40 mnapunjwaga kwa nini?😅
@rahmaomaryomary-md5ck5 ай бұрын
Diva mama tulosomea magongomoka unatupoteza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@FatimaAli-of4gh9 ай бұрын
Wig je unaweza kupaka
@iyabakar36127 ай бұрын
Kwann shekheee abdul asimfundikisheee wifiii diniii km yeye
@nancyg86648 ай бұрын
Anapenda usafi wakati likioo la jikoni lichafu🤣🤣🤣
@deboramakala30449 ай бұрын
😂😂 hapo kwenye viatu Diva anamjuua Jimmy choo kweli''
@deboramakala30449 ай бұрын
Eti expensive 😊
@Sarah-tq2vc7 ай бұрын
Jaman daa miwan had ndani
@lildraco_k89779 ай бұрын
Diva ni macho magenge
@RayaAmeir6 ай бұрын
Diva anafunzwa mambo ya pwani na mumewe
@subrynerysegerow13238 ай бұрын
Kwa status yake wala sio mbaya anaendana na anapoishi wala sio mbaya kwake pazuri tu
@user-vx1cz3rc2u5 ай бұрын
Duuuh anajielezea mwenyew an kabla mwandsh ajamaliza