#isleblogTV Kishindo cha Dkt Mwinyi Soko la Kwanza la kihistoria Zanzibar, kwa Tanzania ndio soko la Kwanza pamoja na Afrika Mashariki yake.
Пікірлер: 95
@oparetionmaalum903024 күн бұрын
Mashallah mashallah mashallah hongera sana muheshmiwa Rais kwa kutumia uzalendo wakuwaajiri wazawa kwenye ukandarasi kumbe tunaweza
@hajimnubi458124 күн бұрын
Kazi nzuri tatizo utunzaji....ndio watz tunapofeli
@rajabmsinzia171522 күн бұрын
Kabisa ndugu hatuna utunzaji katika majengo husussan ya Serikali。 Maoni Serikali iajiri au wafunge mkataba na Kampuni tatu Kampuni ya Usafi Kampuni ya Security Na Kampuni ya Maintanace, NB:Vituo vya Afya,Skuli na Masoko
@mussakiziyzi40818 күн бұрын
Utunzaji kweli ni tatizo la uswahilin,lkn pia Tatizo jenqine ni ujenz wa viwango va chini. Yote ni walafi wachache waliomo kwenye sirikali
@DoctorBondia22 күн бұрын
🎉 Maashallah Inapendeza Sana, Allah ambariki Mr Rais na nawatakia utunzaji wa soko hilo.
@SalimKombo-xo4pq21 күн бұрын
Rais mwinyi fanya kazi ndugu yangu mungu atakubariki. Ishaallah ❤❤❤
@samirasalim420324 күн бұрын
MashaaAllah Tabaraka Rahman, mwege toa na chumba cha kuswalia.
@hairathussein111818 күн бұрын
Mbona kipo
@husnamohamed924523 күн бұрын
Kazi nzuri mashallah wasiwasi wangu kwenye usafi mpaka vyooni usafi security ikuepo. Usafi nasisitiza zaidi soko zuri sana mashallah mwinyi mitano tena baba.
@KS-iw7qv24 күн бұрын
Wasiwasi wangu kwenye Usafi na maintenance 😢😢.... Soko zuri saaana... Viwepo vitengo maalum kwa usafi na maintenance... Pesa hizi Kodi hizi😔
@mohddelo18 күн бұрын
Wnapewa sekta binafsi kuendesha
@AnkallyPandu24 күн бұрын
Mashaallah soko zuri sana usafi muhimu sana maana soko kama hilo likiwa chafu aibu iwe kila mara liwe linasafishwa hongera kwa soko letu kuwa la kwanza Tanzaniaa nzima kwa ukubwa
@masoudkhamismasoud994525 күн бұрын
Mnahitaji pongezi kwa kazi kubwa
@salumkarim6925 күн бұрын
mashaallah ukhtiy umejitahid kuelezea
@SalimKombo-xo4pq21 күн бұрын
Mashallaah kazi nzuri sana. Haya ndio maendeleo tunayo yataka tanzania 🇹🇿 yetuu.
@DaniDani-v3w22 күн бұрын
Shukrani mweshimiwa raisi ila walokuwepo kibanda maiti na wanamizigo ya kutundika kwamfano ndizi pia na mozigo mengi
@masoudjuma816923 күн бұрын
Congratulation #Badrani # Hamis hollela🎉 good interview
@DoctorBondia22 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤ Hakika yajayo yanafurahisha😅. Naomba na parking ijengwe ili Mambo yawe mazuri zaidi.
@hadijamgambo-jn7kg20 күн бұрын
Kumbe wamejenga wazawa wa Zanzibar...Ma Shaa Allah
@KhamisHaji-pw4jo24 күн бұрын
Potential area,,,,Masha Allah
@user-qr7et3vl5z19 күн бұрын
Mashallah hakika 25 huna mpizani kiongozi
@masoudmasoud813824 күн бұрын
HONGERA MAMA SAMIA ♥
@jumamohamed316824 күн бұрын
Soko ni zuri ,lakini ninavyo ijua Zanzabar shida yetu kubwa ni usimamizi mbaya juu ya mambo mengi sana ,soko hilo litakuwa chafu muda mfupi tu ,takataka zitazagaa kila mahala .
@hajiabdalla577224 күн бұрын
Hao wafanya biashara ndio wachafu zarau kuta zote zitawekwa misumari waweke mapolo pakacha
@w405824 күн бұрын
Machinjio ulimwengu mzima takriban hayawi sokoni sehemu nyingi sana sana
@rayisadesigns26463 күн бұрын
Inategemea na aina ya machinjio na pia aina ya utamaduni wa jamii, kwa mfano kuweka machinjio ya kuku ktk soko kama hilo ni jambo la kawaida na ndiyo masoko yote ya asili ya kitanzania yapo hivyo, wateja huwa wananunua kuku na kuchinjiwa papo hapo ila kwa kesi ya wanyama kama ng'ombe hilo ni swala jengine kwani wanyama wakubwa kama hao huwa na machinjio yao.
@mohddelo18 күн бұрын
Safi Rais mwinyi
@mohdkhamis38573 күн бұрын
Sema lile soko la chuini au mnaitaga kwa nyanya jamaa wameboronga xn
@firdaus742823 күн бұрын
Masha Allah znz Dr. Hussein Mwinyi pongezi nyingi kwako Baba 👏👏
@IbrahimSallim-xd4lx24 күн бұрын
Mashallah 😍❤
@alihabib227024 күн бұрын
Na kama hili halikuonekana sasaivi litakuja kuonekana baadae inshaallah. Hongera sana raisi Mwinyi.
@saidkhatib914625 күн бұрын
Looking good
@yahyahamisi203820 күн бұрын
Tanganika ziiiiiii 😂😂😂😂 Kadiba mmmaa 👍👍👍👍
@alihabib227024 күн бұрын
Nina 9:00 shauri machinjio yawe mbali na soko na hata kuwa mbali na mji na hiyo ndio utaratibu wa masoko mengi ya mji ili kudumisha usafi wa masoko
@abubakarkhamis388417 күн бұрын
MashaAllah
@ibrahimabdullah188724 күн бұрын
Mskiti umeuvunja ujengwe soko sio muhimu zaidi kuliko ibada zetu
@DoctorBondia22 күн бұрын
Akhy kuwa na shukrani kwani ineo Hilo msikiti ulikuwa Ni huo mmoja tu?
@DoctorBondia22 күн бұрын
Ni Mara ngapi amejengesha miskiti unguja na Pemba
@bakarhamad681018 күн бұрын
Misikiti ni mingi Sana znz na km tutagawanyiwa wazanzibar wote utagundua kila wtu 20 wanapata msikiti wao so tatzo lkn je tupo ktk Hali gani kiimani na kiitikad. Sasa kuna misikiti mingine sio tatzo kuvunjwa km patatengenezwa Jambo kubwa lenye manufaa makubwa ktk maendeleo y jamii. Il'imrad tu iwe walengwa na wanufaika ni jamii ya Sasa na baadae.
@bakarhamad681018 күн бұрын
Ninalolitamani ni siku moja na sisi wapemba aje atujengee kitu km hicho ili tuanze kuifungua pmba kiuchumi.
@RioIpo14 күн бұрын
@@bakarhamad6810 In Sha Allah
@IdiKondo19 күн бұрын
Daa ingekuwa msikiti Ingependeza zaidi
@salimkhamis363818 күн бұрын
Kuna msikiti mkubwa unajengwa hapo karibu na soko
@nasrasheikh10208 күн бұрын
Soko linahitaji usafi, soko ni zuri masha a Allah ila tutaweza kulitunza?
@alihabib227024 күн бұрын
Nadhani pamoja na dhamira nzuri ya serikali katika kufanikisha biashara kwa soko la kwerekwe lakini kuweka Shemu ya machinjio sokoni naona kwa kuanzia inaweza ikaonekana ni sawa ila kadiri machinjio yanaendelea nahisi itakuwa mzigo kwa wananchi na wafanyabaishara sokoni
@user-qt5xq6fk6o21 күн бұрын
Mh mwinyi wewe ni mtu na nusu big up Mr president.
@jombadulla24 күн бұрын
nakuomba mheshimiwa ukienda kukagua angalia kuna raba nyeupe kweny ukuta umezibwa hiyo ni nyufa imeanza kukatik ,wameziba ili kuficha,
@masoudjuma816923 күн бұрын
Maeneo unayoona rubber nyeupe ni expansion joints, kitaalamu jengo kama ilo kubwa huwa linagawanywa .
@msabahaali75825 күн бұрын
ule msikiti mliouvunja ujengeni jamaaniii apo kwerekwe
@ramadhanngwilili626123 күн бұрын
Jengo kuwa kama hili haliwezi kosa Sehem ya Kuswalia kaka
@rasheedabby287114 күн бұрын
mwinyi sasa anafanya vitu vya standard sana
@salimsalim-ut4jk23 күн бұрын
Mm mungekuja na uchambuzi ni namna gani na kwa kipindi gani fedha zilizojengewa soko zitarudi hp ningewasifu lkn pia siwalaumu kwa kua sisi pengine hatujawahi kuona vitu km hivi lkn pia nikumbushe tu kuwa vitu km hivi maranyingi hufanywa na makampuni na sio serikali, nakuombeni mutuletee na uchambuz wa hela iliyotumika na vp itarud
@alhajjkassim264820 күн бұрын
❤
@harithwhite58924 күн бұрын
Jusa yuleeeee,kama namuona hivi
@RioIpo14 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣 kazi yake kukosoa tu
@hamicpina115124 күн бұрын
Tengeza viwanda vpi kuusu bandar hivi ND tunataka maana watu watapata ajira pasipo mfano na nd maana watanganyika wanajuwa ukijenga bandar na viwanda Zanzibar itakuwa kimaendeleo na sera ya ccm kuizamishaza Zanzibar kimaendeleo kwa iyo mtatubabaisha kwa vitu kama ivo xjuli masoko na Barbara ila mujuwe tuu viwanda vy samaki vy mwani vy matumbawe vya karafuu vya makonyo na pamoja na bandar ndio tunahitaji
@DelightfulMacawBird-tl5hf24 күн бұрын
Zuri
@harithwhite58924 күн бұрын
Viazi mbatata vinakawaida ya kubeba tope,kwaivo vibaraza vyake viwe uko second floor,sio mbele ya mapokezi apo mwanzo
@moodyman758817 күн бұрын
Vp wanyonyoa kuku watapata maji yamoto. Au waje na majiko yao ?
@moodjeco584415 күн бұрын
usiseme ndio soko kubwa tanzania nzima bali sema zanzibar
@alhudhaify78109 күн бұрын
Anajua kusema znz ila kasema tz sasa unalifananisha na soko lipi jengine?
@Khatib-xp6fp24 күн бұрын
Tuko hapa hapa
@alimuhamed183024 күн бұрын
Msikitini vp jama kumbukeni hiyo ninyumba ya Allah na nyinyi mumeibomoa na mpaka sasa hamjafanya chochote
@sule1794223 күн бұрын
Mwinyi mtu sana
@DoctorBondia22 күн бұрын
Kwa hali hii hakika Mwinyi anastahiki kupewa tena mitano ❤
@ibrahimame980515 күн бұрын
Mitano kidogo akae mpaka kiama.
@DoctorBondia15 күн бұрын
@@ibrahimame9805 Duh! Sasa hiyo itakuwa chuki
@DoctorBondia15 күн бұрын
@@ibrahimame9805 Allah amhifadhi dhidi ya maadui wa Aina zote, na ampe afya njema zaidi azidi kuijenga Zanzibar. Aaamin 🤲
@user-un3hr5kh6z23 күн бұрын
Tunahitaji viwanda zaidi mwinyi usitumbaze sisi mitaji hatuna ila nguvu na akilin tunayo
@moodyman758817 күн бұрын
Lift hamna
@user-ho1ze2jb5c24 күн бұрын
Naomba mtangazaj tumia kiswahili sababu wazaa wite hatuelewi lugha ya kiengerez na tuna hski ya kupata habar
@hassanmakame438224 күн бұрын
Kwan anaongea English hapo😅
@user-wz7tm6bp1g22 күн бұрын
Doky MWINYI vunja HOROFA hapo mbele ya SOKO
@abuuzahra-fc2jg17 күн бұрын
Jamn Pemba mbona Iko Hoi
@RioIpo14 күн бұрын
Unguja ndio kitovu cha uchumi so wacha kuekezwe..
@Khatib-xp6fp24 күн бұрын
Kodi je itakuaje maana tulisikia ya dara jani?
@AnkallyPandu24 күн бұрын
Vipi kuhusu usafi maana hilo soko la kitaifa
@labunaabouna612224 күн бұрын
Ila zuri lkn pesa hio no
@user-gb5vz6wm2q22 күн бұрын
Muwaweke watu watakaosafisha
@bongo3924 күн бұрын
Mashaallah kama oman mwinyi anafanya mabadiliko makubwa sana
@labunaabouna612224 күн бұрын
Hio hela bilioni 35 hebu inane tena wasema tu hio mpesa soko hii no kwa pesa hio no
@Khamis_Waya24 күн бұрын
😂😂😂 so mchezo ila wao ndo walojemga kwaio cc wacha tukafanye kaz lakin cio pow ata kidogo.
@user-qr7et3vl5z19 күн бұрын
Wewe nimpizani hata ukipauka Domo lako sisi kazii tunsiyoons
@RioIpo14 күн бұрын
@@user-qr7et3vl5z Kazi yao kubwa ni kukosoaa
@saidaly820121 күн бұрын
Limghrimu Milion 30 au nimeskia vbya tu hebu rejea ndg sjaelwa hapo
@hairathussein111818 күн бұрын
Bilioni sio milioni
@jombadulla24 күн бұрын
limepasuka wameziba raba nyeupe,mkifik jamani angalieni
@RioIpo14 күн бұрын
Muongo 😊
@khatibabass310624 күн бұрын
Kwa vikuta hivyo ninavyoviona hahahahaha kazi ipo vitawashinda tu hao wafanya biashara