JUMBA LA KIFAHARI ANALOISHI MBUNGE WA MPENDAE/LINA MSITU,WANYAMA PORI,NA CHUMBA CHA SINEMA NDANI

  Рет қаралды 107,372

ZamaradiTV

ZamaradiTV

4 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 376
@salimkassim6020
@salimkassim6020 3 ай бұрын
Nimewakubali wote Mbunge,,, mtangazaji,,,na camera man wote Mashallah Allah awazidishie wametulia sana,,safi kabisa nimefurahia kipindi
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 4 ай бұрын
Mashaallah kasri mungu akupe afya na akuzidishie na sisi atupe inshaallah. Kuna watu wana pesa lkn hawana mipangilio ila wewe mheshimiwa umezitendea haki neema alokupa m.mungu
@patimaissa8572
@patimaissa8572 4 ай бұрын
Naishi jimbo la mpendae ni kweli kabisa kiongozi wetu ni mtu mzur
@missp1814
@missp1814 4 ай бұрын
Aisee hongera nampenda Huyu kiongozi,nilimsikiliza kwenye salama na,anaonekana nimtu mwenye utu sana....M. Mungu ambariki zaidi na zaidi
@komboomar8275
@komboomar8275 4 ай бұрын
*Mungu akubarik ww na familia yenu mzima na abariki zaidi company yenu mumetufuta machozi cc wapemba kwa boat yenu ya speed tunasafiri kwa wepesi na urahisi zaiidii Allah aibariki Zan fast ferries*
@RayyanRayyan-rt9cg
@RayyanRayyan-rt9cg 4 ай бұрын
Iyo ni nyumba au mtaaa maashallaaah mungu kajua kuwabariki❤❤❤❤❤
@FatmaZena
@FatmaZena 4 ай бұрын
Allah amlaze pema peponi mzee Turk.nililia sana alipofariki,hawa watu wana mioyo ya huruma sana,Allah awazidishie .nilifanya kazi ktk kiwanda chao mombasa unguja,yaani ni watu wenye mioyo ya imani mnoooooo
@user-bu1te3bf8p
@user-bu1te3bf8p 4 ай бұрын
Amiin yarab
@user-qg4wc5dz9r
@user-qg4wc5dz9r 4 ай бұрын
Njaaa itakuponza
@mokeya
@mokeya 4 ай бұрын
@@user-qg4wc5dz9r na ww husda zitakuua
@mokeya
@mokeya 4 ай бұрын
@@user-qg4wc5dz9r husda zitakuua
@abdulwahidmsellem1964
@abdulwahidmsellem1964 4 ай бұрын
😂😂why
@tunkuh661
@tunkuh661 4 ай бұрын
Mandhari ya hii nyumba ni tamu sana..... Mungu akupe maisha marefu Mh. Ufurahie mafanikio yako na familia kwa ujumla
@ramhuudulla8921
@ramhuudulla8921 11 күн бұрын
Mashaallaah mke wa kiongozi tajir lkn anaandaa mwenyewe meza na sio dada mashaallah tujifunze kwa hilo
@dorynfao
@dorynfao 4 ай бұрын
"Kuhakikisha mfereji wa kuendelea kupata unakuwepo".👏👏
@salmamkwizu3223
@salmamkwizu3223 3 ай бұрын
Mashallah mashallah maisha ni nyumba inaleta utulivu wa akili ingekua mswahili apo unhekuta ana wake kumi vijana wa kiswahili wajifunze hili
@MsJabalkiss
@MsJabalkiss 3 ай бұрын
Wivu wako usitutaje tuwache tajiri na mali zake masikini na watoto wake wacha tuoe tupate watoto😂😂😂
@ForodhaniZanzibar
@ForodhaniZanzibar 4 ай бұрын
Hana cheni hana kipuli hajatoboa pua hana tatoo ila anabonge la jumbaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 4 ай бұрын
Mashallah sio wengine wamechora matatoo wametobowa pua
@ABUUALLY-tv8rl
@ABUUALLY-tv8rl 4 ай бұрын
Kwahiyoo unampiga kijembe mtangazaji 😂😂😂
@ForodhaniZanzibar
@ForodhaniZanzibar 3 ай бұрын
@@ABUUALLY-tv8rl Kwan mtangazani ana tatoo
@JechaMakameIssa-gs2bl
@JechaMakameIssa-gs2bl 3 ай бұрын
Anatokea familia ina hela usishangae hana njaa kwao
@valencesokoni3291
@valencesokoni3291 3 ай бұрын
@RayyanRayyan-rt9cg
@RayyanRayyan-rt9cg 4 ай бұрын
Muheshimiwa haringi umepoa mtu wamaana kabisa huna majivuno mwenyekukuelewa amekuelewa
@yusrasalum
@yusrasalum 4 ай бұрын
Mashallah hongera kwa mbunge anajielewa! Bora tunaona vitu tofauti 😊
@mussakhamis3149
@mussakhamis3149 3 ай бұрын
Mashaallah kka hongera sn Allah akurudhuku zaid akuekee mamaetu ale neema zako za kijana wamzazi mwenzie km yy mzazi mwenzie alivo kua famasia baba akala nema zake nayy mama ale nayma zake kupitia ww kka hongera sa uwe naramadhan Qareem na laylat-lkadir iwe juu yk nami M/mungu anijalie niwe km ww tuige mfano wako mzuri kka inshaallah 🙏
@asiamerey9081
@asiamerey9081 4 ай бұрын
Mashaallah sikutegemea kama kuna mpaka sehemu ya kuswalia kumbe nilazima ilikuwa uwe Tajiri pia kila siku unasoma juzuu moja unaimaliza Mungu akuongezee kila ulipopunguza
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 4 ай бұрын
Mtangazaji kuchanganyikiwa na jumba la kifahari mpaka viatu umeogopa kuvaa😂😂😂
@salhaothman8278
@salhaothman8278 4 ай бұрын
😂😂😂halaf hana uhuru wa maswali leo Halazimishi kuingia vyumbani km anavofanya kwa wasanii
@asiamerey9081
@asiamerey9081 4 ай бұрын
😂😂😂 yani nimecheka sana nanimependa bei ya gari pekee nyumba ya mwijaku
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 13 күн бұрын
Na ukiwa nae mitaani myu fresh wala hana kelele km za mwijaku😂
@vincej9275
@vincej9275 4 ай бұрын
Mtu mwenye mwoyo safi. Very humble man.
@FreeGod368
@FreeGod368 4 ай бұрын
Uyu jamaa yuko humble sana
@MrA24G
@MrA24G 4 ай бұрын
Huyuu ndio mbunge ana provide direct kwa watu si wale wanaongea maneno mengi.Majimbo yana njaa chagueni wabunge wenye uwezo kama huyuu hii ndio style ya marekani
@subirajohn728
@subirajohn728 4 ай бұрын
Hongera sana Mh Mwenyezimungu akulinde❤
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 3 ай бұрын
Katika vijana ambao wanamiliki mambo makubwa lakini ukimuona katika shuhuli za maarous misiba au hata uraiyani hana mambo mengi wala kujivuna namkubali🎁🥰💞💯🌹
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 2 ай бұрын
Ni kweli hawa Turk wote wana roho nzuri na anasaidia sana pale mpendae
@user-pv3km8cb7s
@user-pv3km8cb7s 4 ай бұрын
Alhamdulillah nmesoma kitu kupitia kiongozi
@markmwaghogho9226
@markmwaghogho9226 4 ай бұрын
From Nairoi Kenya...mheshimiwa yupo sawa
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 4 ай бұрын
I seeee Kuna watu wanaishi alaf Kuna sisi wapiga debe insta
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 4 ай бұрын
Mwenyezi Mungu azid kumbarik huyu Mheshimiwa na mtangazaji wa hii makala, Mwenyezi Mungu atujaalie wote tulio Tazama tuwe serious na malengo yetu
@OmanOman-bm1lr
@OmanOman-bm1lr 4 ай бұрын
❤❤kabisa wallah 💯 Allah atunyanyuwe ktk kila kheri tunazozifanya
@feynalabdul5999
@feynalabdul5999 4 ай бұрын
Ameen
@MahraMansoor5969
@MahraMansoor5969 4 ай бұрын
Tawfiq mtu mzuri sana lakini huyu tokea zanani yupo hivi hana tabu mashaa allah nice one from 🇬🇧
@salma0000
@salma0000 3 ай бұрын
Alipata malezi mazuri
@omanmct135
@omanmct135 4 ай бұрын
Rahasana nimependa sana chumba chKusaliya
@judithkirenga9977
@judithkirenga9977 4 ай бұрын
Viongozi wetu wote wanatakiwa kuwa inspiration kwa Watanzania wetu kama hivi❤❤
@user-cz1pb6zn3h
@user-cz1pb6zn3h 4 ай бұрын
Masha Allah ... allah akulinde na Khasad... sali SUNNA rakaa 2 ... kuomba ulinzi wake... NA CHA KUSHANGAZA UPO KAWAIDA KABISA.
@suhailaidarousahmed2879
@suhailaidarousahmed2879 4 ай бұрын
MashaAllah muheshimiwa Allah akuhifadhi nimefurahi hicho chumba cha Swalaa wallahi good usali na familis
@RioIpo
@RioIpo 4 ай бұрын
Hongera sana Mbunge wangu Taufiq
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 4 ай бұрын
Aisee hakika Allah akutunze sana Mh Taufiq kwa faida ya wengi
@user-kh8tr8xh4v
@user-kh8tr8xh4v 4 ай бұрын
Mashallah nimependa sana.maendeleo yako Allah azidi kukuweka.
@gracelisso7163
@gracelisso7163 4 ай бұрын
Kijana mdogo lakini amekuwa na njozi kubwa yaani mpaka naona wivu wa maendeleo Aristotle anasema spaceeeee
@Luweenamandal2911
@Luweenamandal2911 4 ай бұрын
Muombe dua, ili Allah na wewe akubariki ❤
@khamisshee803
@khamisshee803 4 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤ AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@aminaomary5567
@aminaomary5567 4 ай бұрын
Zenji wana vitu vizuri sana'ongera mhe❤❤❤
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 4 ай бұрын
Saleh leo kawa km sie yeye full nidham,ule ukuda wa kutaka kujua kila akionacho na kufunqua funqua draw na mafridge kakaushia. All in all Mpaka miquu chini katembea kudadek 😂
@salehcllassic2325
@salehcllassic2325 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nimechekaaaa jmn
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 4 ай бұрын
Nimecheka sanaaaa
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 2 ай бұрын
Mpaka uzungumzaj tofa hahha
@user-pv3km8cb7s
@user-pv3km8cb7s 4 ай бұрын
Shukran bro swaleh classic kwa kutusaidia kwa namna nyengine
@chybuwagwantaz8054
@chybuwagwantaz8054 26 күн бұрын
Allah akbar aendelee kuku Bariki inshallah
@nailaomar4810
@nailaomar4810 4 ай бұрын
Mashaallah tabarakaallah Allah akuhifadhi
@mahmoudliwali1919
@mahmoudliwali1919 4 ай бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie ni mtu mzuri na apenda mazuri Allah ampe mazuri
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 2 ай бұрын
Aaaaaa unashindwaje.bwana kuongeza wake aaah lakn maaasha allah
@rahimahamad1016
@rahimahamad1016 3 ай бұрын
Frankley speaking, I like the way the garden is! It is woow and I don't expecting the weird of apart from that house.
@ZuhuraKhamis-rw1it
@ZuhuraKhamis-rw1it 4 ай бұрын
Mashallah Allah akubariki na pia uwe na moyo wa kusaidia wasojiweza Kwani wapo wasomiliki ata chumba 1 Allah atakuhifadh duniani na akhera
@khamismohammed1650
@khamismohammed1650 4 ай бұрын
Ndio nipo si hata chumba kimoja
@bas2823
@bas2823 4 ай бұрын
GOD BLESS U MORE N BLESS ALL THE CREATIONS OF GOD! IN HIS SWEET WORLD👌AMEEN🤲
@ashaabdallah9672
@ashaabdallah9672 4 ай бұрын
Maashallah mungu akuzidishie
@salimalrumhy7575
@salimalrumhy7575 3 ай бұрын
Kwa hio sisi tuliojiripua huku turundi Mpendae tuje tupate ruzuku ya Ramadhan na posho la mwisho wa mwezi 😂
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k 4 ай бұрын
Mashallha beautiful place❤
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 4 ай бұрын
Hii si nyumba chuo kikuuuu.
@annamosha968
@annamosha968 3 ай бұрын
Yaani daaah
@user-fl7mr4dt1p
@user-fl7mr4dt1p 3 ай бұрын
😂😂😂😂ndo unachosoma au
@muddychambale5854
@muddychambale5854 4 ай бұрын
Mungu akuzidishie zaidi na zaidi
@FayeezAlbahassaney
@FayeezAlbahassaney 4 ай бұрын
MashaAllah juzu 1 kwa sik
@bentybenty2343
@bentybenty2343 4 ай бұрын
Masha ALLAH ❤ ❤ ❤ 🎉🎉
@tutumarzouk9803
@tutumarzouk9803 4 ай бұрын
hii sio nyumba inafaa iitwe Kasri, ina hadhi ya Presidetial house ⭐⭐⭐⭐⭐
@JJ_00755
@JJ_00755 4 ай бұрын
Masha'allah ✨
@MaranduMarandu
@MaranduMarandu 4 ай бұрын
Mungu akubariki kiongozi unaonekana nimtu wa watu
@user-ff2ez9hj4e
@user-ff2ez9hj4e 3 ай бұрын
❤mashallah namuomba allah anijalie na mimi
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k 4 ай бұрын
He has a good heart mashallha
@OmarSongoro-bp9pn
@OmarSongoro-bp9pn 4 ай бұрын
Kuna kuishiii na kuishiaaa
@mwantumkombo3014
@mwantumkombo3014 4 ай бұрын
Manshallah ❤
@jeedymasoud4269
@jeedymasoud4269 4 ай бұрын
Unaweza tafutwa mwezi mzima na usipatikane
@fahadfahmy
@fahadfahmy 3 ай бұрын
Mimi nimfatiliaji mzuri wakipindi chenu,lakini leo kwamara yakwanza amehojiwa Muheshimiwa plus Tajiri nawala haringi
@faridapandu7579
@faridapandu7579 4 ай бұрын
Mungu akupe zaidi nazaidi muheshimiwa na salehe munguakuongoze inshaallah
@salehcllassic2325
@salehcllassic2325 4 ай бұрын
Amin inshallah
@HassanHassan-sr3fq
@HassanHassan-sr3fq 4 ай бұрын
Amin kwa sote
@emmanueljohn9286
@emmanueljohn9286 4 ай бұрын
Umasikini kitu kibaya sana.yaani mtangazaji anatembea peku wakati tajiri kavaa sandal..😂😂😂
@eunicejohn5520
@eunicejohn5520 3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hufai
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 4 ай бұрын
Mungu amuongezeee na sisi atupe vino heri na sisi.
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 4 ай бұрын
Leo hamna ubwabwa 😂😂 mfungo 😂😂😂
@nasirabdalla8646
@nasirabdalla8646 4 ай бұрын
Mwiiteni aristote aseme speeeec
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 13 күн бұрын
😂😂 watu wana maisha na wapo kimyaaa lkn kina aristote na mwijaku ni pata leo
@officialoscaroscarjrfan
@officialoscaroscarjrfan 4 ай бұрын
Ila haya maisha sio poa yaani daah😢
@amourmtungo623
@amourmtungo623 4 ай бұрын
🤔Kuonyesha raslimali, mafanikio na kusimulia historia yako sio jambo geni, ni jambo zuri na la mfano kwasababu sisi tunaoshuhudia haya huweza kutufunua macho na kujua jambo mojaau mawili. Asanteni kwa kushea tumefarijika na kujua kidogo vipi mwenzetu amefanikiwa.
@rastapeace9616
@rastapeace9616 4 ай бұрын
Mungu akupe umri muheshimiwa
@aishakambenga6191
@aishakambenga6191 4 ай бұрын
MashaAllah kama Ikulu vilee pokea MAUA yako 💐
@leaherasto929
@leaherasto929 4 ай бұрын
Soaaaaceee imezingatiwa wenye pesa hawana kelele
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 4 ай бұрын
Jamaaa nimemkubali Sanaa mbunge safi
@khadijamansoor7415
@khadijamansoor7415 4 ай бұрын
Mashaallah jumba la kifahati hatare
@deega1234
@deega1234 4 ай бұрын
Allah yebarik
@bas2823
@bas2823 4 ай бұрын
I LIKE THE PLACE ITS VERY PEACEFUL N STUNNING PLACE TO LIVE N HAVE BRAKE N RELAX👌 IT IS A MARVALOUS STUNNING PLACE😆👍 I LOVE IT❤" "PEACE N QUITE" I LIKE TO LIVE AT THE FARM! THEN TOWN" FAR FROM THE NOISY N ZAHMA 👌COOL N CALM👍
@si-qm1ki
@si-qm1ki 3 ай бұрын
Ila nyumba ndogo na simple ni nzuri bana hlf una enjoy haikupi stress....
@leaherasto929
@leaherasto929 4 ай бұрын
Nakukubali sana tangu nilivyokusikiliza kwaSalama
@omanmct135
@omanmct135 4 ай бұрын
Mashalllah❤
@mjombambuzi4295
@mjombambuzi4295 3 ай бұрын
Kher, baraka,upendu,uzma,akili na mengi mazur mungu akuzidishie wewe na sisi amin amin
@mjombambuzi4295
@mjombambuzi4295 3 ай бұрын
Kwli baba Kwan psa kuizalisha kunahtaji kufnya matumiz mm nnalak tano na amini nita izalisha kuwa tilion
@officialoscaroscarjrfan
@officialoscaroscarjrfan 4 ай бұрын
Huyu kweli ni tajir😂😂😂
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 4 ай бұрын
Yaani mungu huyu ha! Sisi wengine twatabika ha! Asante mungu🙏
@user-ex6sh1rl4d
@user-ex6sh1rl4d 4 ай бұрын
​@@ziadasalimu1730omba msamaha kwa mola wako
@hamidhajimakame3700
@hamidhajimakame3700 4 ай бұрын
Nyumba ina heka Kumi mashaallah
@user-in4en3pu2b
@user-in4en3pu2b 4 ай бұрын
Allah akujalie kheer
@HoneyBeel5
@HoneyBeel5 4 ай бұрын
Kwahy ndio ukagoma kuvaa viati😂😂😂
@Tuu2019
@Tuu2019 4 ай бұрын
Mashaalah
@ReshimaAbdalla
@ReshimaAbdalla 4 ай бұрын
Mwijaku anatuambia ana kasri😅sijui hii itakuwa Nini kama ile ni kasri😅😅😅
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 ай бұрын
Ila Kuna watu wanaishi ili wale, wengine tunakula ili tuishi.
@user-nf9ck9wk5y
@user-nf9ck9wk5y 4 ай бұрын
Mashallah allah akubariki
@user-sf5lk3qo4s
@user-sf5lk3qo4s 4 ай бұрын
Masha Allah
@hidayasultan9220
@hidayasultan9220 19 күн бұрын
Mmbunge umeweza sana
@mbwanafeisal2904
@mbwanafeisal2904 4 ай бұрын
Huyu MH katisha Nadhan hata Mr white mwenyewe hajawai ishi namna hii
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 ай бұрын
dah huyu mweshimiwa wa Zbar ni mtu poa sana..anajua kuji-express na ni mtu mwema mno
@HassanHassan-sr3fq
@HassanHassan-sr3fq 4 ай бұрын
Hana tatizo ni mtu mstaarab sana,
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 4 ай бұрын
Daaah kweli tutafute hela
@thuweinthabit6313
@thuweinthabit6313 4 ай бұрын
Maa shaa Allah
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 4 ай бұрын
Maashallah
@ahlamsaleh670
@ahlamsaleh670 Ай бұрын
Muhishimiwa Kwanza kabisa Sema alhamdulilah sio kwa nyumba alhamduliah kwa mama kuwa hai trust me once mamako ataondoka duniani life is meaningless trust me 😢
@fatumahashimmcheni9610
@fatumahashimmcheni9610 4 ай бұрын
Kuna watu wsishi alafu sisi tunaishiaa Msanii mkubwa wa tz mmoja aonyeshe kama hili
@meowzna
@meowzna 4 ай бұрын
Masha'Allah🙏
@philisanga866
@philisanga866 4 ай бұрын
Me nkajua utasema namshukur mama yangu mzaz kwa kunizaa we unakumbuka malafiki zako tu. We mpuuz sana mama ndyo kila kitu kwako hiyo siku yako ya kuzaliwa ujue hukujitambua alie kuwa anakutambua wewe ni mama yako pekee huna hud kumshukuru mama yako kwanza ndyo wafate hap marafik zako jua kuwa siku ya kuzaliwa kwako ni siku aliyo pitia mambo mengi mama yako alitukanwa na manes na pia alipelekwa hosptal kwa shida wewe unashangilia kitu ambacho hukijui jua kuwa huo ni ujinga sana. Me nina mke mke wangu alizalia nyumban tena usiku kitu nilicho kiona hakika siwez kufurahia siku ya kuzaliwa kwangu yaan hiyo siku ntampa zawad mama yangu tena ntajitahid nimpe zawad kubwa zaid ya anavo fikilia. Kuzaa sio mchezo mdogo wangu acha kabisa kufurahia siku iyo mama ndye anae jua.
@bagalucha
@bagalucha 4 ай бұрын
Yote ya nini hayo,mbona hayakuhusu?,wewe unajua Vipi yeye na mzee wake wanavyoishi,hebu kuwa mstaarabu.
@mrsab303
@mrsab303 3 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 85 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 25 МЛН
MFAHAMU MUUZA SUPU ALIYEIBUKA KUWA BILIONEA
38:24
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 34 М.
SADI AELEZEA SAFARI YAKE YA CANADA
4:18
SHIJA tv
Рет қаралды 6 М.
Как мама ухаживает за мной VS гостями
0:50
Время горячей озвучки
Рет қаралды 3,1 МЛН
настоящий чемпион
0:59
QorabogTV
Рет қаралды 8 МЛН
LEVITATING MAGIC REVEALED 😱😳
0:18
Milaad K
Рет қаралды 33 МЛН
КАЧЕЛИ ИЗ АРБУЗА #юмор#cat  #топ
0:24
Лайки Like
Рет қаралды 1,8 МЛН
ПОДВОДНЫЙ ГЕЙМИНГ #shorts
0:22
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,8 МЛН