Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 376
@salimkassim60203 ай бұрын
Nimewakubali wote Mbunge,,, mtangazaji,,,na camera man wote Mashallah Allah awazidishie wametulia sana,,safi kabisa nimefurahia kipindi
@fatmaabdallah77094 ай бұрын
Mashaallah kasri mungu akupe afya na akuzidishie na sisi atupe inshaallah. Kuna watu wana pesa lkn hawana mipangilio ila wewe mheshimiwa umezitendea haki neema alokupa m.mungu
@patimaissa85724 ай бұрын
Naishi jimbo la mpendae ni kweli kabisa kiongozi wetu ni mtu mzur
@missp18144 ай бұрын
Aisee hongera nampenda Huyu kiongozi,nilimsikiliza kwenye salama na,anaonekana nimtu mwenye utu sana....M. Mungu ambariki zaidi na zaidi
@komboomar82754 ай бұрын
*Mungu akubarik ww na familia yenu mzima na abariki zaidi company yenu mumetufuta machozi cc wapemba kwa boat yenu ya speed tunasafiri kwa wepesi na urahisi zaiidii Allah aibariki Zan fast ferries*
@RayyanRayyan-rt9cg4 ай бұрын
Iyo ni nyumba au mtaaa maashallaaah mungu kajua kuwabariki❤❤❤❤❤
@FatmaZena4 ай бұрын
Allah amlaze pema peponi mzee Turk.nililia sana alipofariki,hawa watu wana mioyo ya huruma sana,Allah awazidishie .nilifanya kazi ktk kiwanda chao mombasa unguja,yaani ni watu wenye mioyo ya imani mnoooooo
@user-bu1te3bf8p4 ай бұрын
Amiin yarab
@user-qg4wc5dz9r4 ай бұрын
Njaaa itakuponza
@mokeya4 ай бұрын
@@user-qg4wc5dz9r na ww husda zitakuua
@mokeya4 ай бұрын
@@user-qg4wc5dz9r husda zitakuua
@abdulwahidmsellem19644 ай бұрын
😂😂why
@tunkuh6614 ай бұрын
Mandhari ya hii nyumba ni tamu sana..... Mungu akupe maisha marefu Mh. Ufurahie mafanikio yako na familia kwa ujumla
@ramhuudulla892111 күн бұрын
Mashaallaah mke wa kiongozi tajir lkn anaandaa mwenyewe meza na sio dada mashaallah tujifunze kwa hilo
@dorynfao4 ай бұрын
"Kuhakikisha mfereji wa kuendelea kupata unakuwepo".👏👏
@salmamkwizu32233 ай бұрын
Mashallah mashallah maisha ni nyumba inaleta utulivu wa akili ingekua mswahili apo unhekuta ana wake kumi vijana wa kiswahili wajifunze hili
@MsJabalkiss3 ай бұрын
Wivu wako usitutaje tuwache tajiri na mali zake masikini na watoto wake wacha tuoe tupate watoto😂😂😂
@ForodhaniZanzibar4 ай бұрын
Hana cheni hana kipuli hajatoboa pua hana tatoo ila anabonge la jumbaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂
@nadyasalim79564 ай бұрын
Mashallah sio wengine wamechora matatoo wametobowa pua
@ABUUALLY-tv8rl4 ай бұрын
Kwahiyoo unampiga kijembe mtangazaji 😂😂😂
@ForodhaniZanzibar3 ай бұрын
@@ABUUALLY-tv8rl Kwan mtangazani ana tatoo
@JechaMakameIssa-gs2bl3 ай бұрын
Anatokea familia ina hela usishangae hana njaa kwao
@valencesokoni32913 ай бұрын
@RayyanRayyan-rt9cg4 ай бұрын
Muheshimiwa haringi umepoa mtu wamaana kabisa huna majivuno mwenyekukuelewa amekuelewa
@yusrasalum4 ай бұрын
Mashallah hongera kwa mbunge anajielewa! Bora tunaona vitu tofauti 😊
@mussakhamis31493 ай бұрын
Mashaallah kka hongera sn Allah akurudhuku zaid akuekee mamaetu ale neema zako za kijana wamzazi mwenzie km yy mzazi mwenzie alivo kua famasia baba akala nema zake nayy mama ale nayma zake kupitia ww kka hongera sa uwe naramadhan Qareem na laylat-lkadir iwe juu yk nami M/mungu anijalie niwe km ww tuige mfano wako mzuri kka inshaallah 🙏
@asiamerey90814 ай бұрын
Mashaallah sikutegemea kama kuna mpaka sehemu ya kuswalia kumbe nilazima ilikuwa uwe Tajiri pia kila siku unasoma juzuu moja unaimaliza Mungu akuongezee kila ulipopunguza
@fatmaabdallah77094 ай бұрын
Mtangazaji kuchanganyikiwa na jumba la kifahari mpaka viatu umeogopa kuvaa😂😂😂
@salhaothman82784 ай бұрын
😂😂😂halaf hana uhuru wa maswali leo Halazimishi kuingia vyumbani km anavofanya kwa wasanii
@asiamerey90814 ай бұрын
😂😂😂 yani nimecheka sana nanimependa bei ya gari pekee nyumba ya mwijaku
@shamsahaji620213 күн бұрын
Na ukiwa nae mitaani myu fresh wala hana kelele km za mwijaku😂
@vincej92754 ай бұрын
Mtu mwenye mwoyo safi. Very humble man.
@FreeGod3684 ай бұрын
Uyu jamaa yuko humble sana
@MrA24G4 ай бұрын
Huyuu ndio mbunge ana provide direct kwa watu si wale wanaongea maneno mengi.Majimbo yana njaa chagueni wabunge wenye uwezo kama huyuu hii ndio style ya marekani
@subirajohn7284 ай бұрын
Hongera sana Mh Mwenyezimungu akulinde❤
@ahmadsayyeed79103 ай бұрын
Katika vijana ambao wanamiliki mambo makubwa lakini ukimuona katika shuhuli za maarous misiba au hata uraiyani hana mambo mengi wala kujivuna namkubali🎁🥰💞💯🌹
@Leylah-pz5sc2 ай бұрын
Ni kweli hawa Turk wote wana roho nzuri na anasaidia sana pale mpendae
@user-pv3km8cb7s4 ай бұрын
Alhamdulillah nmesoma kitu kupitia kiongozi
@markmwaghogho92264 ай бұрын
From Nairoi Kenya...mheshimiwa yupo sawa
@Officialjidaa-sn9cs4 ай бұрын
I seeee Kuna watu wanaishi alaf Kuna sisi wapiga debe insta
@ndukulusudikucho_4 ай бұрын
Mwenyezi Mungu azid kumbarik huyu Mheshimiwa na mtangazaji wa hii makala, Mwenyezi Mungu atujaalie wote tulio Tazama tuwe serious na malengo yetu
@OmanOman-bm1lr4 ай бұрын
❤❤kabisa wallah 💯 Allah atunyanyuwe ktk kila kheri tunazozifanya
@feynalabdul59994 ай бұрын
Ameen
@MahraMansoor59694 ай бұрын
Tawfiq mtu mzuri sana lakini huyu tokea zanani yupo hivi hana tabu mashaa allah nice one from 🇬🇧
@salma00003 ай бұрын
Alipata malezi mazuri
@omanmct1354 ай бұрын
Rahasana nimependa sana chumba chKusaliya
@judithkirenga99774 ай бұрын
Viongozi wetu wote wanatakiwa kuwa inspiration kwa Watanzania wetu kama hivi❤❤
@user-cz1pb6zn3h4 ай бұрын
Masha Allah ... allah akulinde na Khasad... sali SUNNA rakaa 2 ... kuomba ulinzi wake... NA CHA KUSHANGAZA UPO KAWAIDA KABISA.
@suhailaidarousahmed28794 ай бұрын
MashaAllah muheshimiwa Allah akuhifadhi nimefurahi hicho chumba cha Swalaa wallahi good usali na familis
@RioIpo4 ай бұрын
Hongera sana Mbunge wangu Taufiq
@ndogoroedson1994 ай бұрын
Aisee hakika Allah akutunze sana Mh Taufiq kwa faida ya wengi
@user-kh8tr8xh4v4 ай бұрын
Mashallah nimependa sana.maendeleo yako Allah azidi kukuweka.
@gracelisso71634 ай бұрын
Kijana mdogo lakini amekuwa na njozi kubwa yaani mpaka naona wivu wa maendeleo Aristotle anasema spaceeeee
@Luweenamandal29114 ай бұрын
Muombe dua, ili Allah na wewe akubariki ❤
@khamisshee8034 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤ AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@aminaomary55674 ай бұрын
Zenji wana vitu vizuri sana'ongera mhe❤❤❤
@mussakiziyzi4084 ай бұрын
Saleh leo kawa km sie yeye full nidham,ule ukuda wa kutaka kujua kila akionacho na kufunqua funqua draw na mafridge kakaushia. All in all Mpaka miquu chini katembea kudadek 😂
@salehcllassic23254 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nimechekaaaa jmn
@sophiakassim67844 ай бұрын
Nimecheka sanaaaa
@KhalidNa-bn4gp2 ай бұрын
Mpaka uzungumzaj tofa hahha
@user-pv3km8cb7s4 ай бұрын
Shukran bro swaleh classic kwa kutusaidia kwa namna nyengine
@chybuwagwantaz805426 күн бұрын
Allah akbar aendelee kuku Bariki inshallah
@nailaomar48104 ай бұрын
Mashaallah tabarakaallah Allah akuhifadhi
@mahmoudliwali19194 ай бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie ni mtu mzuri na apenda mazuri Allah ampe mazuri
@KhalidNa-bn4gp2 ай бұрын
Aaaaaa unashindwaje.bwana kuongeza wake aaah lakn maaasha allah
@rahimahamad10163 ай бұрын
Frankley speaking, I like the way the garden is! It is woow and I don't expecting the weird of apart from that house.
@ZuhuraKhamis-rw1it4 ай бұрын
Mashallah Allah akubariki na pia uwe na moyo wa kusaidia wasojiweza Kwani wapo wasomiliki ata chumba 1 Allah atakuhifadh duniani na akhera
@khamismohammed16504 ай бұрын
Ndio nipo si hata chumba kimoja
@bas28234 ай бұрын
GOD BLESS U MORE N BLESS ALL THE CREATIONS OF GOD! IN HIS SWEET WORLD👌AMEEN🤲
@ashaabdallah96724 ай бұрын
Maashallah mungu akuzidishie
@salimalrumhy75753 ай бұрын
Kwa hio sisi tuliojiripua huku turundi Mpendae tuje tupate ruzuku ya Ramadhan na posho la mwisho wa mwezi 😂
@user-dn7gn6ib4k4 ай бұрын
Mashallha beautiful place❤
@user-yy6vy4xu2s4 ай бұрын
Hii si nyumba chuo kikuuuu.
@annamosha9683 ай бұрын
Yaani daaah
@user-fl7mr4dt1p3 ай бұрын
😂😂😂😂ndo unachosoma au
@muddychambale58544 ай бұрын
Mungu akuzidishie zaidi na zaidi
@FayeezAlbahassaney4 ай бұрын
MashaAllah juzu 1 kwa sik
@bentybenty23434 ай бұрын
Masha ALLAH ❤ ❤ ❤ 🎉🎉
@tutumarzouk98034 ай бұрын
hii sio nyumba inafaa iitwe Kasri, ina hadhi ya Presidetial house ⭐⭐⭐⭐⭐
@JJ_007554 ай бұрын
Masha'allah ✨
@MaranduMarandu4 ай бұрын
Mungu akubariki kiongozi unaonekana nimtu wa watu
@user-ff2ez9hj4e3 ай бұрын
❤mashallah namuomba allah anijalie na mimi
@user-dn7gn6ib4k4 ай бұрын
He has a good heart mashallha
@OmarSongoro-bp9pn4 ай бұрын
Kuna kuishiii na kuishiaaa
@mwantumkombo30144 ай бұрын
Manshallah ❤
@jeedymasoud42694 ай бұрын
Unaweza tafutwa mwezi mzima na usipatikane
@fahadfahmy3 ай бұрын
Mimi nimfatiliaji mzuri wakipindi chenu,lakini leo kwamara yakwanza amehojiwa Muheshimiwa plus Tajiri nawala haringi
@faridapandu75794 ай бұрын
Mungu akupe zaidi nazaidi muheshimiwa na salehe munguakuongoze inshaallah
@salehcllassic23254 ай бұрын
Amin inshallah
@HassanHassan-sr3fq4 ай бұрын
Amin kwa sote
@emmanueljohn92864 ай бұрын
Umasikini kitu kibaya sana.yaani mtangazaji anatembea peku wakati tajiri kavaa sandal..😂😂😂
@eunicejohn55203 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hufai
@user-yy6vy4xu2s4 ай бұрын
Mungu amuongezeee na sisi atupe vino heri na sisi.
@Chakol123-k7s4 ай бұрын
Leo hamna ubwabwa 😂😂 mfungo 😂😂😂
@nasirabdalla86464 ай бұрын
Mwiiteni aristote aseme speeeec
@shamsahaji620213 күн бұрын
😂😂 watu wana maisha na wapo kimyaaa lkn kina aristote na mwijaku ni pata leo
@officialoscaroscarjrfan4 ай бұрын
Ila haya maisha sio poa yaani daah😢
@amourmtungo6234 ай бұрын
🤔Kuonyesha raslimali, mafanikio na kusimulia historia yako sio jambo geni, ni jambo zuri na la mfano kwasababu sisi tunaoshuhudia haya huweza kutufunua macho na kujua jambo mojaau mawili. Asanteni kwa kushea tumefarijika na kujua kidogo vipi mwenzetu amefanikiwa.
@rastapeace96164 ай бұрын
Mungu akupe umri muheshimiwa
@aishakambenga61914 ай бұрын
MashaAllah kama Ikulu vilee pokea MAUA yako 💐
@leaherasto9294 ай бұрын
Soaaaaceee imezingatiwa wenye pesa hawana kelele
@damsonwilson52024 ай бұрын
Jamaaa nimemkubali Sanaa mbunge safi
@khadijamansoor74154 ай бұрын
Mashaallah jumba la kifahati hatare
@deega12344 ай бұрын
Allah yebarik
@bas28234 ай бұрын
I LIKE THE PLACE ITS VERY PEACEFUL N STUNNING PLACE TO LIVE N HAVE BRAKE N RELAX👌 IT IS A MARVALOUS STUNNING PLACE😆👍 I LOVE IT❤" "PEACE N QUITE" I LIKE TO LIVE AT THE FARM! THEN TOWN" FAR FROM THE NOISY N ZAHMA 👌COOL N CALM👍
@si-qm1ki3 ай бұрын
Ila nyumba ndogo na simple ni nzuri bana hlf una enjoy haikupi stress....
@leaherasto9294 ай бұрын
Nakukubali sana tangu nilivyokusikiliza kwaSalama
@omanmct1354 ай бұрын
Mashalllah❤
@mjombambuzi42953 ай бұрын
Kher, baraka,upendu,uzma,akili na mengi mazur mungu akuzidishie wewe na sisi amin amin
@mjombambuzi42953 ай бұрын
Kwli baba Kwan psa kuizalisha kunahtaji kufnya matumiz mm nnalak tano na amini nita izalisha kuwa tilion
@officialoscaroscarjrfan4 ай бұрын
Huyu kweli ni tajir😂😂😂
@ziadasalimu17304 ай бұрын
Yaani mungu huyu ha! Sisi wengine twatabika ha! Asante mungu🙏
@user-ex6sh1rl4d4 ай бұрын
@@ziadasalimu1730omba msamaha kwa mola wako
@hamidhajimakame37004 ай бұрын
Nyumba ina heka Kumi mashaallah
@user-in4en3pu2b4 ай бұрын
Allah akujalie kheer
@HoneyBeel54 ай бұрын
Kwahy ndio ukagoma kuvaa viati😂😂😂
@Tuu20194 ай бұрын
Mashaalah
@ReshimaAbdalla4 ай бұрын
Mwijaku anatuambia ana kasri😅sijui hii itakuwa Nini kama ile ni kasri😅😅😅
@GeorgeAkasha-zx2rj3 ай бұрын
Ila Kuna watu wanaishi ili wale, wengine tunakula ili tuishi.
@user-nf9ck9wk5y4 ай бұрын
Mashallah allah akubariki
@user-sf5lk3qo4s4 ай бұрын
Masha Allah
@hidayasultan922019 күн бұрын
Mmbunge umeweza sana
@mbwanafeisal29044 ай бұрын
Huyu MH katisha Nadhan hata Mr white mwenyewe hajawai ishi namna hii
@jedidahbintidaudi82414 ай бұрын
dah huyu mweshimiwa wa Zbar ni mtu poa sana..anajua kuji-express na ni mtu mwema mno
@HassanHassan-sr3fq4 ай бұрын
Hana tatizo ni mtu mstaarab sana,
@frankngoloka25894 ай бұрын
Daaah kweli tutafute hela
@thuweinthabit63134 ай бұрын
Maa shaa Allah
@mahmoudhamisi6734 ай бұрын
Maashallah
@ahlamsaleh670Ай бұрын
Muhishimiwa Kwanza kabisa Sema alhamdulilah sio kwa nyumba alhamduliah kwa mama kuwa hai trust me once mamako ataondoka duniani life is meaningless trust me 😢
@fatumahashimmcheni96104 ай бұрын
Kuna watu wsishi alafu sisi tunaishiaa Msanii mkubwa wa tz mmoja aonyeshe kama hili
@meowzna4 ай бұрын
Masha'Allah🙏
@philisanga8664 ай бұрын
Me nkajua utasema namshukur mama yangu mzaz kwa kunizaa we unakumbuka malafiki zako tu. We mpuuz sana mama ndyo kila kitu kwako hiyo siku yako ya kuzaliwa ujue hukujitambua alie kuwa anakutambua wewe ni mama yako pekee huna hud kumshukuru mama yako kwanza ndyo wafate hap marafik zako jua kuwa siku ya kuzaliwa kwako ni siku aliyo pitia mambo mengi mama yako alitukanwa na manes na pia alipelekwa hosptal kwa shida wewe unashangilia kitu ambacho hukijui jua kuwa huo ni ujinga sana. Me nina mke mke wangu alizalia nyumban tena usiku kitu nilicho kiona hakika siwez kufurahia siku ya kuzaliwa kwangu yaan hiyo siku ntampa zawad mama yangu tena ntajitahid nimpe zawad kubwa zaid ya anavo fikilia. Kuzaa sio mchezo mdogo wangu acha kabisa kufurahia siku iyo mama ndye anae jua.
@bagalucha4 ай бұрын
Yote ya nini hayo,mbona hayakuhusu?,wewe unajua Vipi yeye na mzee wake wanavyoishi,hebu kuwa mstaarabu.