No video

NYUMBANI KWA DIVA THE BAWSE AONYESHA MAWIGI YAKE/MIWANI ZAIDI YA MIA /BAFUNI KAMA CHUMBANI

  Рет қаралды 114,206

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Пікірлер: 334
@marciawambui1965
@marciawambui1965 2 ай бұрын
This girl is funny,she loves herself. But i can tell she has a good heart. you have a beautiful home diva
@sharaharith7953
@sharaharith7953 10 ай бұрын
Nahis Diva you are impressed with this man's confidence
@mweshaosako2011
@mweshaosako2011 10 ай бұрын
The end of this interview is the best of the year. He summarized the whole relationship struggles, we are treating each other according to our past traumas, and fear which is not okay and uncontrollable. In fact everyone is playing defensive. Anaensikiliza anajifunza, anae ona anatamani” this Guy is a brain. Much love to you
@faidhacute
@faidhacute 10 ай бұрын
Nakupenda diva wangu❤❤❤❤ mdhungu yaan diva ni mimi kabsa i love it❤❤
@mkasihamad7225
@mkasihamad7225 10 ай бұрын
Yani comment nyingi ni za makasiriko 😂😂😂😂si mtafute pesa jamani kaah❤❤❤ati nyumba ya kawaida. Wee uko nayo😂😂😂😂😂😂
@vero57
@vero57 10 ай бұрын
Miwani ya jua mpaka ndani ya nyumba khaaa!! We dada wee!!!😂😂
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr 10 ай бұрын
ana haibu sana kwaiyo ana jifichia miwani😂
@colethamkasa5821
@colethamkasa5821 10 ай бұрын
diva kwako ni kuzuri bhana,kwa wanaoponda achen wivu,kupangilia pangilien nyie ukute wengine wapo room moja kila kitu kipo umo afu mko kuponda😀,iyo ni apartment bhana
@jasminshemsanga8727
@jasminshemsanga8727 10 ай бұрын
Tinted hd ndan kwan hy diva uwa kipofu au😮😮 miwan hd anaboah alf tabia ya kugombana kidogo na mumeo kututangazia mitandaon sio vzr unamdharirisha mwenzio alf bd mpo wote
@yustamshana-sx8dy
@yustamshana-sx8dy 10 ай бұрын
Mhh hayo mawig sio classic 😊
@faidhacute
@faidhacute 10 ай бұрын
Kama una akili timamu huwezi kukoment ujinga but mutafute pesa tuache makasiriko ambayo hayatokusaidia chochote😂
@khadijaramadhani5562
@khadijaramadhani5562 10 ай бұрын
Umeona eeeh! Tutafute pesa aiseee
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 9 ай бұрын
Kweri kabisa
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 9 ай бұрын
😅😅😅Haswaa
@HusseinAhmada-ir6ne
@HusseinAhmada-ir6ne 8 ай бұрын
😅Vc. 😅😅'😅'c😅😊 be😅 by😊 na😊
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 10 ай бұрын
mume anajisikia vibaya kwa sifa za mkewe yaani anamshangaa anavojisifia
@user-xs6vo1ur7w
@user-xs6vo1ur7w 10 ай бұрын
Hongera kwa,saleh anaweza kukiendesha kipindi
@rukiayasuleyman2900
@rukiayasuleyman2900 4 ай бұрын
Diva Masha Allah! Allah akuhifadhi pamoja na mume wako! Nakupenda sana❤
@ZolufaMas-ie4un
@ZolufaMas-ie4un 7 ай бұрын
WOW pazur sana hongera diva 🎉🎉
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 10 ай бұрын
Ulivo huna adabu na ndoa ukigombana na mumeo unakimbilia mitandaoni kumchafua mumeo kwa sifa chafu hata kama anamakosa hupaswi kuja mitandaoni kumchafua wakati hujiwezi kwa uyo bwana huwezi kukaa nae mbali kwanini umchafue mumeo mpuuzi wee huna lolote kazi kujisifu tu maisha
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 10 ай бұрын
Olewa na ww
@sharifabahar9905
@sharifabahar9905 10 ай бұрын
​@@flackomasterbaddest4155😂😂😂😂😂😂 wabongo kwani majibu uwa mnakuwa nakitabu
@chany9950
@chany9950 10 ай бұрын
Safi👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾
@Daniella249
@Daniella249 10 ай бұрын
Mm mwnywe nashangaa kumbe wako pamoja xx mdomo ule wote ulikua wann Ila wanawake Sisi 😂😂
@sakinaomary7207
@sakinaomary7207 10 ай бұрын
ile ilikuwa kiki
@mkasihamad7225
@mkasihamad7225 10 ай бұрын
Diva M/MUNGU akubariki mtoto 🤲❤❤
@JasithaMchina
@JasithaMchina 14 күн бұрын
Aisee!
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 10 ай бұрын
Muacheni mdada wa watu aishi maisha yake
@user-yq4sn6cq1l
@user-yq4sn6cq1l 10 ай бұрын
Mbona mnamukera jamani muwaceni Diva na mambo yake kwanini munaroho mbaya
@msafirlaizer2368
@msafirlaizer2368 10 ай бұрын
Huyu mzee Abdul ni Sheikh tu kwenye Camera, behind the scenes ni Mfirahuni.. Ooooh my goodness 😢 #FreeDivasMind 🌟
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 10 ай бұрын
Unamaanisha nn😮😮😮
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 8 ай бұрын
Umeshawahi kufiraini naeee au
@safiyanirram-pf3sv
@safiyanirram-pf3sv 10 ай бұрын
Sema kwa kawaida sana tu sema anavyo jishauwa ss maana akustui na mumewe wa wote😂😂
@faridahalil4456
@faridahalil4456 7 ай бұрын
Naona uislam bado hajakuwa nao vizuri nashangaa mumewe hamkatazi asiwe akivaa mawigi 24-7, inambidi avae" hijab"
@user-pg3pu4jk9f
@user-pg3pu4jk9f 10 ай бұрын
Abduli hajapenda hizo sifa jamani
@nuruosward8161
@nuruosward8161 10 ай бұрын
Ndiyo lkn yeye analelewa na diva hana ata chake kitu hapo zaid ya maneno ya janja janja sema diva hapo sipo kbsaaaaaa
@sophsoph4740
@sophsoph4740 10 ай бұрын
Kbs hapend
@keyla3641
@keyla3641 10 ай бұрын
Diva sasa kila unakohamia unahojiwa kaa kimya ufanye mambo yako
@RahmaAwadh-ul9yu
@RahmaAwadh-ul9yu 10 ай бұрын
Mradi wanapendana ,Wana enjoy maisha yao basi tuwaombee wakae pamoja wafike mbali,Nawapenda jamani
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 10 ай бұрын
Vioo vya Balkon pia vichafuuuu sijui usafi gani unazungumzia unapenda uonekane unamaisha mazuri hunaga kazi kujikweza tu unapenda sifaaa
@husnarashid7849
@husnarashid7849 10 ай бұрын
Hakuna binadam aliyekamiloka kila mtu na madhaifu yake kuna watu humu wanatukana tu sababu hawampendi ila wanakoishi kama stool yaani 😂😂😂😂😂 mimi cpendi ila anakaa pazuri acheni unafiki
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k 10 ай бұрын
Diva akigombana na muganga wake wanahama nyumba ingine🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Official83640
@Official83640 10 ай бұрын
Huyu ana ubalozi wakutangaza apartment za watu eeh sijui yy atajenga lini ili azidi kuringa maana hajiamini ht uso wake kutwa miwani km mchomea mageti
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k 10 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@hannansaidahmed1943
@hannansaidahmed1943 10 ай бұрын
Hujui kupangilia nyumba bado makorokoro yamejaa mezani pangilia vizur
@zabubamudy126
@zabubamudy126 10 ай бұрын
mhh kuwa mpole
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 10 ай бұрын
Umaskini ndio unao waua mapema.tafuteni pesa jamani mfano mimi hapa naangalia for fun siwezi ponda chochote nina kila kitu maishani watu maskini kazi sana
@AtufenaValentino
@AtufenaValentino Ай бұрын
kukwambia alikua n wageni
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 10 ай бұрын
Mimi ata sioni kitu cha ajabu hapa😂😂😂ni kama tu nyumba ya mtu anaanza maisha,poor organization, sasa diva vile unajiweka iyo ndo bedroom yako😮😮mashuka ndo hayo😂😂iyo ndo dressing table 😂😂😂mi apa naona vituko tu,maneno tu ndo mengi but hana kitu cha maana apo😂😂😂😂pochi sasa😂😂😂😂viatu😂😂😂mi ni km sielewi kitu 😂😂😂 Eti njoo uone😂😂cha kuona sasa ni hereni 200 mchanganyiko za kariakoo 😂😂😂 Ivo vya UK&US anasema tu kila mara lakini ni vitu ata havina maana😂😂😂😂😂😂ila jamani mashauzi tupunguze
@immah_deo19
@immah_deo19 10 ай бұрын
Muache aishi maisha yake acha wivu aisee...wabongo tunasumbuliwa sana na CHUKI WIVU NA NYEGE.
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 10 ай бұрын
Mungu wangu kheeee sio kwa wivu huo punguza 👌👌👌👌👌👌
@latifaroro877
@latifaroro877 9 ай бұрын
Me mwenyee cjaona maajabu kwakwel ila kuna watu hawajui na hawaja tembea na hivo vtu hawana wanamuona tajir kwel😂😂😂
@SalhaFadhili-xr3ey
@SalhaFadhili-xr3ey 2 ай бұрын
Pakawaida sanaaaa mm mwenyew nimewazid nnaish pazur hatareee
@queenandchill91
@queenandchill91 10 ай бұрын
Nyumba kama pamepigwa bomu 💣
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 10 ай бұрын
Huyu ni too materialistic yan kila Saa when we moved out when we moved out vitu vingi vimearibika khaaa mfuniko an kisoda Mume na mke wote wehu
@AdoAshu80
@AdoAshu80 10 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@patriciapastory324
@patriciapastory324 10 ай бұрын
😂😂😂😂 this made me laugh so hard
@khamoshmikidadi618
@khamoshmikidadi618 10 ай бұрын
Icho kizungu mda wote cha nin 😏hatufaham😅 eti napenda kupika lkn kwny friza hamna kitu😅😅😅
@ramlaramadhan4206
@ramlaramadhan4206 10 ай бұрын
Mtangazaji hta hpti kzi kubwa yakuulza, diva ywajbu yote bila kuulzw... Its like she waited patiently for this interview au ye ndo altka awe interviewed?! 😊
@latifahkarim9774
@latifahkarim9774 10 ай бұрын
Salehe kakuta wenyeji washakula
@AdoAshu80
@AdoAshu80 10 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@Neema92
@Neema92 10 ай бұрын
Watu acheni wivu jamani ndani kwake kuzuri kajitahidi na nyie weken magheto yenu hapa kama hatujakimbiana.
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 10 ай бұрын
Hana kitu hata kimoja cha kwake hapo parm village kila kitu unak8kuta humohumo ukishindwa kodi unabeba begi lako unasepa
@Neema92
@Neema92 10 ай бұрын
@@user-vv1te9fu8q Duhh! Hatari 😂😂🏃🏃
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mbona mawigi😂😂😂sasa 2023 bado wamama watu wazima wanaringia mawigi😂😂😂😂😂
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 10 ай бұрын
Tuliozoea kuangalia majumba ya waarabu hapo kwa diva tunaona kama stoo, tunashangaa akijisifia halafu nyumba ya kupanga
@chaucassim4123
@chaucassim4123 10 ай бұрын
Yani. We acha. Yani Ana taka taka. Sisi. Tunaofanya. Kazi Oman. Tunaonana. Anatuchefua. Tu Bora ata angejenga
@venusbby
@venusbby 10 ай бұрын
Sasa majumba ya waarabu si yatuwashe’ni?
@FatmaMwinyi-jt2rr
@FatmaMwinyi-jt2rr 10 ай бұрын
Watanzania bhana kwakuwasifia mataifa mengine yetu yanatushinda muache amsifie achokuwa nacho unataka afake au
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 10 ай бұрын
@@FatmaMwinyi-jt2rr hatutaki majigambo
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 10 ай бұрын
Kiukweli pazuri atakama kapanga then mabye anajenga kidogo kidogo nyumba ya maana wengine hawawezi kukaa uswazi atakam wanajenga
@Teddy_jones
@Teddy_jones 8 ай бұрын
Sjuw kwa nn wanampaka make up ya njano jmn make up zinaharibu sana şura see her face having rashes naturally is very cute tho
@user-ct3ty7xk5z
@user-ct3ty7xk5z 5 ай бұрын
Uwalete waingizaji hawa grace mapunda, (odama Jennifer kiyaka,welu sengo,Mimi mars,JB,getruda mwita,riyama ally,Irene paul,mayasa mrisho,ray kigosi,Stanley msungu,hemedy,Luka wa jua Kali, nitafurah sana nikiwaona hawa
@faridapandu7579
@faridapandu7579 7 ай бұрын
Sasa huyu salehe yeye Hana kwake😂😂😂 hatuoneshi kwake
@nasrinasra5472
@nasrinasra5472 6 ай бұрын
Tumewaza wotee😅😅
@user-hn8un5fz2n
@user-hn8un5fz2n Ай бұрын
Yeye zamu yake ifike
@fatmasaid3536
@fatmasaid3536 10 ай бұрын
Sijategemea kwa diva pako hivo I was expecting more than that. Sijui kwa tanzania ila kwa uarabuni haya ni maisha ya kawaida sana tu kulingana na anavo jitapa diva.
@Jijuw
@Jijuw 10 ай бұрын
Ameendelea hapo sanaa tu hujaona interview yake ya mwisho alikuwa anaweka viatu jikoni
@user-hp3cu9ll5z
@user-hp3cu9ll5z 10 ай бұрын
Me mwenyewe sikutegemea kwakwel,,pakawaida sanaaaaaa
@HappyAlex-ei6vz
@HappyAlex-ei6vz 6 ай бұрын
Dada hongera umejipata😊😊🎉
@Malangalusaede
@Malangalusaede Ай бұрын
Good diva ♥️
@Daniella249
@Daniella249 10 ай бұрын
Mume hajapendezwa kabix mwnamke anaongea sn sifa nyingi mpka mwnaume anaonekana kaboeka
@Lucy_ikupa
@Lucy_ikupa 10 ай бұрын
Atapendaje na anafugwa hapo
@aminakasim1198
@aminakasim1198 10 ай бұрын
Wiki vyombo vipome zani😢aibu
@cyahmkanile8587
@cyahmkanile8587 9 ай бұрын
For real can inspire sana❤
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 10 ай бұрын
Kafumaniwa kakutwa na mivyombo kibao hata kusafisha meza kashindwa mtu kaondoka ana siku nne sijui tano mivyombo ipo juu ya meza ya kulia na uache uongo kupika hujui tena ulisema mwenyewe usijisahaulishe
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 10 ай бұрын
Kasema anapenda kupika
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 10 ай бұрын
Minywele mpaka ndani miwani mbona hauko comfotable na mijakert mwanamke ndani vaa dira mwili uwe mwepesi umejijaza mikorokoro kibao
@Zainab_salat
@Zainab_salat 8 ай бұрын
Hata mume akivunua dira mara moja😂😂😂😂😂anagusa
@fatmamdihiri4164
@fatmamdihiri4164 10 ай бұрын
Vi2 vingi vimearibika jmn mmesikia😂😂😂😂👌
@shangwerobert5639
@shangwerobert5639 10 ай бұрын
Sijui vimeharibikaje 😂
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 6 ай бұрын
😂😂😂😂
@maryandason1815
@maryandason1815 10 ай бұрын
Aisee at isha mashauz ajamfikiaa kwa mashauz hyoo mwingerezaa ingekuwa kwa mashauz hayo unaingia mbingun dada ungeshika no moja 😂😂😂punguza bas kujifnya muingereza
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 7 ай бұрын
Diva msafi mashallah
@yusraramadhan8203
@yusraramadhan8203 10 ай бұрын
Beautiful!😊
@lulugora2712
@lulugora2712 10 ай бұрын
Allah akusaidie upone unachougua it's sad
@BerthaModest
@BerthaModest 10 ай бұрын
😅😅afya ya akil sio
@jesterfredrick9497
@jesterfredrick9497 10 ай бұрын
​@@BerthaModest😂😂😂😂😂😂😂😂
@ummySheikh72
@ummySheikh72 10 ай бұрын
Hana Raha. Mumewe unamuona anajilazimisha tu mambo ya ma show off
@omytifa6403
@omytifa6403 10 ай бұрын
Shekh Abdul kasinywaa
@user-wh4xi2yi3w
@user-wh4xi2yi3w 9 ай бұрын
Mungu akutunze diva
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 10 ай бұрын
Mwanamme hajapenda kabisa
@SarahKussa-rv5rc
@SarahKussa-rv5rc 10 ай бұрын
Kumbe hata ww umeona nikajua mimi tu
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 10 ай бұрын
@@SarahKussa-rv5rc ujue nini huyu mwanamme anaona vile vitu vyote anavyoongea mke wake pale ni vya uongo ndio mana anaona haya anatamani amwambie huyo muandishi aondoke lkn anashindwa
@SarahKussa-rv5rc
@SarahKussa-rv5rc 10 ай бұрын
Kweli kabisa
@SarahKussa-rv5rc
@SarahKussa-rv5rc 10 ай бұрын
@@user-vv1te9fu8q kweli kabisa ndio waache kuoa wanawake wa mitandaoni
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 10 ай бұрын
Halafu diva wala haringi sana yupo kawaida tu me naona mchesh
@victoriarichard8761
@victoriarichard8761 6 ай бұрын
Haringi ila sema ana uhaya mwingi hata kama kitu hajaulizwa anajieleza sana kama kujihami vile
@yustamshana-sx8dy
@yustamshana-sx8dy 10 ай бұрын
Miwani kama James Bond!
@lightnessabdallah2340
@lightnessabdallah2340 10 ай бұрын
😂😂😂😂
@kautharsalat6449
@kautharsalat6449 10 ай бұрын
Huyu dada alisema mume wangu anapenda wanawake mbona leo yuko naye 😂😂😂😂
@user-ky9dp3hm6v
@user-ky9dp3hm6v 10 ай бұрын
Me nashangaa kwanza cwaliachanaga na mumewe anapenda majimama
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 8 ай бұрын
Chezeaa aya za Allah ww
@chidymsaficlassic_tz2593
@chidymsaficlassic_tz2593 8 ай бұрын
Abdul kaongea point sana nimependa
@bennamush4616
@bennamush4616 9 ай бұрын
Jiamini dada miwani ya mpaka nyumban
@victoriamuyanzi3862
@victoriamuyanzi3862 10 ай бұрын
Kila saa ooh vitu vilharbika wen we were moving out...nini bana ww😂😂
@aminamwinyi7927
@aminamwinyi7927 8 ай бұрын
😂😂😂
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr 10 ай бұрын
ila diva kiboko😂😂😂😂😂😂🙌🏻tambo nyingi
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 10 ай бұрын
Napenda mnavyo ishii ila diva uwe npikia mumeo dda
@NanaNana-oe5ft
@NanaNana-oe5ft 10 ай бұрын
Sasa uyu diva nikipofu sijawahi kuona Hana miwani hata nyumban miwani
@fatumamohamed2229
@fatumamohamed2229 10 ай бұрын
😂😂😂😂 miwani ya jua ndani au mi sijaelewa?
@user-sv3jd8in7o
@user-sv3jd8in7o 10 ай бұрын
Miguuu jmn si nyweusi 😂 au
@user-fy9pw2zr8l
@user-fy9pw2zr8l 10 ай бұрын
eti miwani jamani 😂😂😂😂 njo mali zake ama sijui wengine wanawake jamani
@husnamusa3178
@husnamusa3178 9 ай бұрын
Huyu nae anakera mamiwani hadi ndani ya nn sasa ndo mn mange anakuchamba sana hlf kingereza kiiiiingiii
@bennamush4616
@bennamush4616 9 ай бұрын
Hajiamini mamiwani mpaka nyumban masweta ya kofia na upo ndan way
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 9 ай бұрын
Mashallah ila Sofa zijazipenda 😜😜😜😜kama. Magoxi 😅😅
@user-ky7mz7qh1o
@user-ky7mz7qh1o 6 ай бұрын
Jamaaa tapeli diva analipa kodi
@bu.hamad.aldarei7651
@bu.hamad.aldarei7651 7 ай бұрын
Diva nakupenda sana wanaokuzungumzia mabaya umewazidi ndio mana
@AmusedAstronomicalModel-lq3yu
@AmusedAstronomicalModel-lq3yu 8 ай бұрын
Kafanana na marehemu Defao
@FatumaSalimu-pn4vo
@FatumaSalimu-pn4vo 10 ай бұрын
Yani mm nikioana gana hivi nakuwa nahasla sana yakutafuta pesa napenda sana maisha haya jamani
@saidtembele3070
@saidtembele3070 8 ай бұрын
Allah akutilie wepesi na yawe ya kheri kwako wakati mwingine Allah hatupi tunachomuomba kwa kutuepusha na shari fulani
@davinaheven4794
@davinaheven4794 10 ай бұрын
Yaani mashauzi yoote kaishia kwa Mganga.
@maryandason1815
@maryandason1815 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@GloriaMillinga
@GloriaMillinga 8 ай бұрын
Apartment hiyo kila kitu unakuta ndani😂😂 ukitaka kuhama unatoka na mabegi yako tu
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 10 ай бұрын
Mashauzi tupu
@thelyrics5165
@thelyrics5165 10 ай бұрын
achen wivu mbona kaongea vizur t
@user-qm9np2uf9m
@user-qm9np2uf9m 7 ай бұрын
Hasara kitanda chamumeo unawaeka watangazaji
@nicholauspeter9454
@nicholauspeter9454 10 ай бұрын
HUYU ABDUL SIMPENDI KABISA JAMAN
@lovenessoscar4102
@lovenessoscar4102 10 ай бұрын
Hamna wigi ya maana hapo hata moja😂😂😂😂😂😂
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 10 ай бұрын
Mtoe sadaka jamani hata kama hamuamini mungu ...msiishie majivuno,ungekua na mtoto wewe demu sijui ingekuaje lakini Sisi wanaume wenye malezi ya kweli kwa watoto hatudekezi watoto,kwa sababu ya maisha ya baadaye tunapenda watoto wajue ups and down,hata ukiwaachia Mali watazitunza..
@sabihasalim942
@sabihasalim942 10 ай бұрын
Sio kupenda kwake kutokuwa na watoto it's Allah plan....shida iko wapi.
@saumbliz8983
@saumbliz8983 8 ай бұрын
Sasa Kuna binadamu asie amini mungu
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 10 ай бұрын
Janaba halitoki mwilini ww mwehu unasuka Rasta Astaghafirullah mke WA Sheikh duh🤔mambo gani haya Allah awaongozee
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 10 ай бұрын
Mumewe anaonekana hajapendezewa kabisaaa
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 10 ай бұрын
nimeonaaa mpaka anashangaa
@pascalinajames9117
@pascalinajames9117 10 ай бұрын
Uzuri wamajuana
@user-qm9np2uf9m
@user-qm9np2uf9m 7 ай бұрын
Angetoka nadira ningependa sana
@PriskilaMajengo
@PriskilaMajengo 10 ай бұрын
Anapenda miwani shida sijui ni Nini anafichaa
@cocorita8367
@cocorita8367 10 ай бұрын
Anashida ya macho
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 10 ай бұрын
Macho yamevimba😅😅
@RayaAmeir
@RayaAmeir 7 ай бұрын
Diva anafunzwa mambo ya pwani na mumewe
@HusnaMuhammed-yx8nl
@HusnaMuhammed-yx8nl 9 ай бұрын
Mwanaume Hataki kabisa
@perpetuamagesa2305
@perpetuamagesa2305 10 ай бұрын
wew shehe acha kulelew bwege wew auna ela ya kulipa kodi apo wew tafta ela kenge wew
@kingkendrickk
@kingkendrickk 4 ай бұрын
Aisee
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 8 ай бұрын
Sasa kingeredha chann mawani za nn daa alf umeolew na mislmu hiv mpo serias au 🤔
@iyabakar3612
@iyabakar3612 8 ай бұрын
Kwann shekheee abdul asimfundikisheee wifiii diniii km yeye
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 7 ай бұрын
kitanda hata changu kizuri kitanda cha 4kwa 5 daa unabanjuka vip na bwana si utajikuta chini
@elizabethadolf7373
@elizabethadolf7373 9 ай бұрын
Miwani Hadi usiku jamni kaaaa
@user-sh9cw6mj1y
@user-sh9cw6mj1y 8 ай бұрын
😂😂😂😂
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 7 ай бұрын
Jamani Uko nyumbani ndani na mjaket tena mpaka usoni
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 10 ай бұрын
Ila mzee abdul mwakitombile mungu anakuona
@kristinakeneth5657
@kristinakeneth5657 10 ай бұрын
Yaani mimi nimesema miwani Ya Diva wewe ume comment tatizo sina.. nikajua wewe unamtetea Diva.. haya na hii Mwakitombile tena 😂😂😂😂😂 kumsema mume wake
@BerthaModest
@BerthaModest 10 ай бұрын
😂😂😂🙌🙌🙌🙌
@bethfrorambashaagabo4171
@bethfrorambashaagabo4171 9 ай бұрын
Kwann mwakitombile
@nancyg8664
@nancyg8664 10 ай бұрын
Ifike atua diva aache kuvaa izo miwani jaman kah anwkua kama j Martin jmn
@latifaroro877
@latifaroro877 9 ай бұрын
Wenye sura mbaya ndo walivo huoni na dida anavo penda miwani?
@nancyg8664
@nancyg8664 9 ай бұрын
@@latifaroro877 😆😆
@deboramakala3044
@deboramakala3044 10 ай бұрын
😂😂 hapo kwenye viatu Diva anamjuua Jimmy choo kweli''
@deboramakala3044
@deboramakala3044 10 ай бұрын
Eti expensive 😊
@chany9950
@chany9950 10 ай бұрын
Bio vichafuuuu toka
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 67 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 54 МЛН
The FASTEST way to PASS SNACKS! #shorts #mingweirocks
00:36
mingweirocks
Рет қаралды 12 МЛН
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 6 МЛН
Baba Olivia Episode 17 Finale❤️// Single Father Story
31:59
Henry Mwakajumba
Рет қаралды 37 М.
RIYAMA NA MUME WAKE WAFANYA YAO LIVE KWEUPE REDIONI TAZAMA.
16:49
TimesFMTZ
Рет қаралды 2,4 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 67 МЛН