Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 140
@aishanassor-wf8vq9 ай бұрын
Jitahidi kaka kaa vizuri wanaangalia watu tofauti
@jumalihumbo53149 ай бұрын
Kwan kabila gn uy😂😂😂
@lizashagilliard23368 ай бұрын
Unataka akaaje😂
@iddymtitiko8 ай бұрын
😂😂😂 sikiliza kinacho ongeleka siyo mkao
@user-qz5st4sh3b8 ай бұрын
Ila hayakuhuusu kwan ye ajitambui
@salmabasil3858 ай бұрын
Ni vyema mtu ake vizuri ndo mana watoto hufunzwa kukaa vizuri na tabia nyingine kama kutafuna vizuri hivi vitu sio vya kuchukulia poa
@user-id1me9ve1oАй бұрын
Sema juma Maisha yako mazuri sana wajitahidi sana ❤
@EmJesho9 ай бұрын
Weeee juma weeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ saleh mambo vp nakukumbuka sana pale Linda salon wewe na masha mlikua mnakuja Bg up san kwasasa. Npo pande za 🇴🇲 o
@nancywanjiku15549 ай бұрын
Much love from 🇰🇪 juma wa jua kali
@binti_chiraka9 ай бұрын
Ila jamaa ni msafi mwenyezi Mungu amfanyie wepesi kwenye kutafuta riziki
@atislady34009 ай бұрын
Ukiacha uchekeshaji wa mahi wangu but the guy is real.
@rahymaaa43579 ай бұрын
😂😂😂😂J hajawahi kuwa serious wallah weeeeh hamna lolote afu akitaja Hilo lolote lazima ugonge ili uwe umesaport nyie J Ila bonge la mjengo na la kupanga tu Hilo duh wakishua kweli❤
@stellahwilfred57629 ай бұрын
Yaan nna kaka yangu huyo ni Jackson ila wakamwita Juma mm nachukia alivyo najua Juma ndiyo shida yake sema huyu amejijua amepeleka uzinguzi wake kazini😅..
@user-dx3in3cq2p9 ай бұрын
Nakupenda jumaa wetuu wajua Kali my wangu jamani😂
@neemammbaga2278 ай бұрын
Yan tokea nkutane na show bizz bando langu linaishia hapa😅
@SalamaNauthar9 ай бұрын
Mara ya kwanza kabisa kukuona Jol master' nilikuona katika skonga' ukiwa Mwanafunzi
@fridolinefrance13539 ай бұрын
Na Mimi aisee
@user-tk3wl7xf4n8 ай бұрын
Huyu jamaa kuna kitu hakiko sawa
@Zainab_salat6 ай бұрын
Umeona bomba la maji na nguo ziko karibu
@user-zw9fk5ol6h9 ай бұрын
Nampendaga mtangazaji anajua
@mankakimaro64119 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣ila juma jmn vituko tupu kla kitu hamna lolote👏🏻
@nancyg86649 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@user-pg3pu4jk9f9 ай бұрын
Sasa uvaaji gani huko+mkao wenyewe siyo rafiki na hicho kipensi😢
@auntmakochela42028 ай бұрын
Ka Saleh nenda kwa kidundu wa jua kali tumemmiss pia😊😊😊
@Leila-salim9 ай бұрын
Juma kaa vizuri mahiii
@rahmagebra74679 ай бұрын
Kijana napenda sana uigizaji wako pambana utafika mbali❤
@user-kp6lz7zs1w9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nakupenda cn juma
@NgengeMkeni-uo5hq9 ай бұрын
Mtangazaji chenga sana
@aishaissa25129 ай бұрын
Juma bwan 😅😅😅hongera sana 🎉🎉🎉
@MamodelPark8 ай бұрын
Ni msafi Mashaallah 🤍
@RacherBakari-qh2gx9 ай бұрын
Mashallah uko vzur
@faidhamyovela1797 ай бұрын
Juma
@dorisfabian47769 ай бұрын
Alivyokaa sasa kwenye hilo kochi
@shakilasharifa99 ай бұрын
Juma wetu wajua kali kichwa maji myiiii wangu 😂😂😂😂❤
@user-nb6bw5co4n6 ай бұрын
Mikende yote njee 😂😂😂😂😂 musimbebe huyu simzima😅😅😅
@rehemavickie65219 ай бұрын
Anavyokaa sasa na hicho kuguo !
@user-dd3kb8wr9o9 ай бұрын
Juma wa juakali duuu we noma kumbe unajumba kote hilo
@ummullaqsa9749 ай бұрын
Yan juma hujawah kua sirias🤣🤣🙌nakupend n ujinga wk 😂😂
@user-qb3hx2ku9v9 ай бұрын
Mimi sijasikia kitu macho yangu yapo kwenye mkao mbka naona babu anacheza😅😅
@FatimaAli-of4gh9 ай бұрын
Hatari jamani muna macho makali sio wenzenu tumetegesha masikio kusikia si macho😅😅
@khadijakhatibu52709 ай бұрын
Utakaa uchi juma 😂😂
@reginamluviji94059 ай бұрын
fridge halina kitu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@tatuaamuuinyi96339 ай бұрын
Kwani wanaume ndo wanaruhudiwa kukaa hovyohovyo.yani juma a avyojibanua
@estermahenge-ks3dr9 ай бұрын
mi mwenyewe sija muelewa😅
@rizikiabdalla25018 ай бұрын
Kama msengeee kujikaaaa uchi tuuu hana maadili kabisaaaa
@fatumakidoa40069 ай бұрын
Juma sasa watuonesha mjengo wako kwa nn walati wa interview kavae vizuri 😅😅😅😅
Juma me naomba kaz ya kuwa mpishi tu kwenu hapo nia yangu nipate kucheka 2 nkikuona ntanenepa😅😂
@nancyg86649 ай бұрын
Kumbe mdogo wangu ila watoto wa kiume wanakuwa na miili mikubwa unaweza ukasema mtu ni mkubwa kumbe anaumri mdogo. Hongera kwa mafanikio hayo katika umri mdogo
@user-hi8le2vb7z9 ай бұрын
NI KWASABABU UNA MAFANIKIO TU,,,NA ULIPOWASALITI WALIKUPAKA LIVE,,NDO UMEMAIND HADI LEO,,,ELIUD MWENZIO ANAGONGA KILA SEHEMU..KIPOTOSHI NK...
@FatimaAli-of4gh9 ай бұрын
Saleh kipindi kinachokupendeza shughuli zetu jinsi unavowapaisha warembo
@hamisindingo8 ай бұрын
Sasa mnakaa wawili wanaume tupu Mafuta ya nazi ya MINARA ya nini hapo showcase.
@Lexerjoh9 ай бұрын
salehe hajui hata kumenya ndiziii anaulizia sana misosiii anataka kula nin🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@NeemaStephen-oe4ww9 ай бұрын
Mahi wangu wewe eti hayatuhusu😀😀😀
@rehemafeysali44449 ай бұрын
😂😂eti usimwambie mtu😅😅 wakati uko kwenye interview 😅
@fatmasaid48069 ай бұрын
Mh ila ukiwa msanii bhana unapekuliwa mpk chupi zako😂😂😂😂😂hii kaz mmmh hapana hata km ujatandika bahat mbaya kaz unayo😂
@komboko41434 ай бұрын
Juma anao umeme kwa kikomwe wake
@batulindege70579 ай бұрын
Nice
@AgnesAgnes-fm8wp9 ай бұрын
Juma kumbe ni mzr sana
@everlyne85959 ай бұрын
Kweny swal l kupangish nyumb kubwa kw bei mby mnazngua kwnn msitafut nyumb z kawaid mkajenga
@fettiemaganza14848 ай бұрын
Sa hv wanatumia nyumba zao kushoot content
@joslinchuwa12989 ай бұрын
Nimekupenda bureeeee
@KeityKeen9 ай бұрын
Mahi
@komboko41434 ай бұрын
Eva amekuambukiza ukimwi ww na frank 😅😅😅😅umeme huoooo
@umaima11788 ай бұрын
Mahii 🎉🎉🎉
@JulianaJackson-nm7te9 ай бұрын
Nachekaga Sana nikimuona huyu jamaa
@DorcasJoseph-so1qf9 ай бұрын
Nimekupenda bure
@Zuwenasalum27889 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂I love this guy
@eshymohammed88379 ай бұрын
izo nywele vip mahi
@nusaebahkeis67749 ай бұрын
Jumaaaa 😂
@LeylaHamisi-qh3kb9 ай бұрын
Yan interview hii vichekesho vitupu🤣🤣
@glorianikiza39409 ай бұрын
Juma weye hata bila kuigiza unachekesha tu yani kama unaigiza tu😅😅😅
@roqayaro94398 ай бұрын
YUPO VZR HUYU KAKA JUMA WA JUAKALI😊
@drinozzsamson86768 ай бұрын
Mwambieni. Juma nipo gorani 😂😂😂
@jasminshemsanga87279 ай бұрын
,😂😂😂😂kichaa huyu
@SalamaNauthar9 ай бұрын
Wa pili leo' nipeni Like zangu hapa👇
@rizikiabdalla25018 ай бұрын
Sasa huku kutukalia uchiii ndioo nn
@gracerichard81459 ай бұрын
Asimwambie mtu!🤣ila kanambia peke yangu🤣🤣🤣
@user-yu3kg6zl8q5 ай бұрын
kwa nini usivae nguo ukainekana mtu kukaka uchi sio vizur sio
@khadijakhatibu52709 ай бұрын
😂😂😂😂 Hii intarview sjawahi ona
@sugarthompson93699 ай бұрын
Ila iko kipensi jmn 😄
@mirnababy50128 ай бұрын
Nguo gani ya intavyuu iyo uyu kaka vipi
@margrethamsechu70889 ай бұрын
Et wanawake wakija 😅😅
@user-kp6lz7zs1w9 ай бұрын
Jmn juma wewe htr cn nakupenda ndaga cn nainjoi cn nikikuona kwenye jua kali😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅
@salhamrishoi49439 ай бұрын
Mayi nakupenda saaa❤❤❤🎉mayiiih wangu upo pouwah kabisa hauna baya tunakukubali🎉🎉🎉🎉
@bennamush46169 ай бұрын
Sasa umevaa Nini hicho umeshindwa kujistiri
@abdulnaseermrisho43429 ай бұрын
Ila Juma bhana 😂😂😂😂😂
@gloryangel70958 ай бұрын
Ila usimwambie mtu😂😂😂
@givenessdavid37439 ай бұрын
Mwenye kanga yake akiona atahamia mazima
@margrethamsechu70889 ай бұрын
Joel mbona unyoi sasa😅😅
@jasminshemsanga87279 ай бұрын
😂😂amna loloteee
@margrethamsechu70889 ай бұрын
Juma fala sana 😅😅😅
@hidayah34059 ай бұрын
Toka elfu mbili na kumi ishirini😂😂😂😂😂😂😂
@user-nf9nw7xd6y9 ай бұрын
Mahii
@m.mmarckus62989 ай бұрын
Kwahiyo wamliiba tivii2
@mcback43848 ай бұрын
Hivi huyu Mbona kama alikua anaigiza futuhi? Me kama nimemuona kitambo sio kweli kwamba kaanzia cheka tu
@masungaiwvata58357 ай бұрын
Hamna lolotee 😂😂😂
@YT_ST4R72079 ай бұрын
Sasa jolmaster kuvaa ilo bukta wakati akihojiwa ndo nini sisi wangine kutufanyaje 😂😂😂😂😂
@israeluronu99589 ай бұрын
😂😂😂😂 ukorofii huoooo!!!
@hellennehemia92699 ай бұрын
😂😂😂naalivyokua amekaa sasa😂😂hajali Wala nini
@TaarabChannel9 ай бұрын
Mpitie na kwangu jamani
@TaarabChannel9 ай бұрын
Mpitie na kwangu jamani
@vibetz99919 ай бұрын
Kazidi mdomo😂
@rukaya-jg7hj9 ай бұрын
Mahi wangu😂😂
@rahimaaaaa56829 ай бұрын
Yn uyu kaka😂😂😂😂😂😂😂
@rehemafeysali44449 ай бұрын
Eti hamna lolote😅😅😅😅
@fettymilly76649 ай бұрын
😂😂😂😂😂 etiiii ma mon ma bad fala hili😂😂😂😂
@FatimaAli-of4gh9 ай бұрын
Friji weka jikoni kwa nini Africa friji tunaeka ukumbini au dinning
@mcback43848 ай бұрын
Wanaweka watu wanaojitafuta bado sababu ndio kitu cha thamani wanachomiliki lazima wageni wakione ila saivi naona wengi wanaachana na huo ulimbukeni
@FatimaAli-of4gh8 ай бұрын
@@mcback4384 Hahaaaa mimi nikimiliki nyumba ya kisasa friji nitaweka jikoni ukumbini sofa na tv,dinning meza ya kulia tu kama jiko la nje basi litaishia dinning si ukumbini