Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 76
@fortheloveofsafaritanzania37968 ай бұрын
Nampenda sana Nyoshi 😂😂😂 Raha ya wakongo hata kama anaishi mazingira mabovu vipi nenda kaangalie nguo zake,viatu,bakora,Kiko,kofia utanyoosha mikono.Wengine wanajiita Sapee kama sikosei.
@user-nj2rk9ts9d4 ай бұрын
Siyi sapeee ni sapeer ama swagger
@user-nm2pr1xz6u23 күн бұрын
Sisi wa Congo ni watu ya sifa mingi sana 😂😂😂👍❤️🇨🇩
@user-zk7sc7fg1s3 ай бұрын
Daaah ivi kweli nyoshi miaka yote ame kaaa tzbado swahili hajuwi!!!
@papaamularfins5992 ай бұрын
Mokonzi @Nyosh.......Danger 💥💥💥💥⚡⚡⚡🔥🔥🔥🔥
@iamdjgunz14145 ай бұрын
Huyu msenge ana sifa sana 🙌😂😂😂😂😂😂😂
@fahadfahmy10 ай бұрын
Wakongo kwakuvaa namba moja duniani
@brownjulius8514Ай бұрын
Huyu jamaa nimtu saf sana
@hukusweden089 ай бұрын
Njo hivyo.. le Prezidan Nyosho 👍🏾👍🏾👍🏾
@fettymilly766410 ай бұрын
Yan huyu Kaka kaibusu jezi ya Simba Yan adi nikatama. Nizame kwenye cm nmpe ela 🤣🤣🤣
@baimarrajahbuayan62376 ай бұрын
Napenda wakongo wapo smart na ongea Yao 😅😅❤🎉
@mariamibrahim673810 ай бұрын
Iyo samanii anii sardine uko juu nakumbuka congo kbs
@user-yu3kg6zl8q3 ай бұрын
uko vizuri minakuombea ukumbuke na sadaka ya wale ambao hawana
@melissarama306110 ай бұрын
Fresh
@KhadijaKhadijadunia-ed5nv10 ай бұрын
Napenda kipindi chenu mnafanya vzr sana .. ila ndugu mtangazaji nafatilia sana vipindi vyako ikifika swala la kukaribiswa kinjwaji au kilaji macho yanakutoka unakuwa muoga kweli kweli si useme umefunga tuh
@salimuramsey91249 ай бұрын
Duuh aisee jamaa nomaa
@theresiatemba37066 ай бұрын
Good ❤
@UjusMukandama10 ай бұрын
Nyoshi ongera 🇨🇩🇨🇩
@EventElias6 ай бұрын
Nyoshi mtu safi sana
@Mimy_keys9 ай бұрын
Aisee Nyoshi Unaweza Mpaka Unaweza Tena 🙌 Pamba na Viatu Kama Vyote 🤭🔥😎🤠
@SashaOscar6 ай бұрын
Ila wakongo kwnyw kuvaa ni nyoko wapo vzr 😂😂😂😂😂
@noelbryson78406 ай бұрын
Napendaga sana kiswahili ya hawa wakongo 😂🤣..
@mariamibrahim673810 ай бұрын
Msisha simple kbs
@specialminds2310 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nyoshi 😂😂😂😂😂
@aziza90937 ай бұрын
Daemond akasome huyukiboko
@user-ii1ro2vf9x5 ай бұрын
Ila mtangazaji ukipewa kitu shukuru.....af ulisahau kuuliza nguo ya bei ndogo n ipi na viatu vya bei ndogo n vip...sijapenda😂😂sijaendamkubwa
@officialbntrasool52239 ай бұрын
Yupo yupo lakini hayupo 😂😂
@fahadfahmy10 ай бұрын
Ila huyu Nyoshi anaonekana ni mtu wakutoa sana ana imani
@somiasomia23065 ай бұрын
kabisa nimependa alivomkumbuka na camera wetu
@MonicaMhina-sf4pz7 ай бұрын
Nyoshi yupo poa sana
@hussenyahaya867510 ай бұрын
Km umeckia soda pale maji hpa like yko pls
@yassinlisa61684 күн бұрын
😂😂😂😂
@joycemuhoja47297 ай бұрын
Jamani Nyoshi mkaribishe Ndani Mgeni Mbona Mnakaa nje jamani
@ismailmasoud600110 ай бұрын
Nyoshu El Saadat 'Sauti ya Simba'....🤣🤣🤣, Ila Nyoshi mpk Leo hujui kutamka kiswahili, 🤣🤣🤣
@Dymitri-Babushka.3 ай бұрын
Nyoshi Ana watoto 14 mamae,unasaga valvu sana😂😂😂
@mjunicharles11982 ай бұрын
Swahili ya wakongo napenda kuwasikilizaga mm😂
@anethbwino10267 ай бұрын
Kwenye Mkorogo hapo
@happynelson11366 ай бұрын
Mke wake anaishi nje miaka 18 halafu jamaa ana watoto 14 na mama tofauti
@dafrosamonko8254Ай бұрын
Jamaa kakanyagwa kafuta
@congoboymbeyas244010 ай бұрын
Congo 🇨🇩 ❤😂
@hejmabohejhej910 ай бұрын
Haki huyu jamaa ni special nampenda sana mambo zake hajitupi 😂
@nyoshielsaadat171010 ай бұрын
Jamnii nKupnda babangu dahh upo n ujasiri sana. Nyoshii
@rashidkatundu96747 ай бұрын
Jamaa anaonekana n mtu wa watu alafu hana majifuno
@salumjrsaidjr71503 ай бұрын
Anny samaki wakopo huku Lubumbashi 500fc au 100fc😂
@happynelson11366 ай бұрын
Huyu anazo nguo nyingi na viatu vingi sana sio kama kwa Lukamba kuna vijaketi vitatu tu
@giztony20096 ай бұрын
Salehe leo amekutana na moto eti hahaaaaa
@fettymilly766410 ай бұрын
Ila nmegundua salehe ni muoga Sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@tausimohammed42867 ай бұрын
😂😂😂mm pia Kwanza hapo kwny samak
@pharesdismas88766 ай бұрын
Versace=vechachi 😂
@fettymilly766410 ай бұрын
Sema nyoshi Hana roho safi sana
@SashaOscar6 ай бұрын
😂😂😂kwa hio na yy kumbe mkorogo anautumia 😅😅😅😅
@user-ii1ro2vf9x5 ай бұрын
Wacongo kawaida sana wanapenda sana urembo wame kwa wake wanaume wa kikongo ad wanja chini ya macho wanapaka na lipshine na hawanaga story sana za ushoga ....wapo smart
@dayana5513story9 ай бұрын
Kwenye Sardine fish eti inatoka congo 😅😅
@dottowache51499 ай бұрын
Hao samaki wa Kongo honey mkongo wa samaki huo wanakulisha hao weka tu weke iyo
@Commentsplus6 ай бұрын
VAR -machawa wake wa kikongo wanamfuata ili waonekqna
@roseraymond49547 ай бұрын
Mtangazaji ni mnafk sana kha😂
@vinny.morales9 ай бұрын
Kipindi kizuri sema mtangazaji ana wenge kinoma. Ujuaji mwingi nyumbani kwa mtu kama kwake vile...
@baimarrajahbuayan62376 ай бұрын
Sasa utaonaje asipokuwa mpekuz Ila apunguze kidogo chumban
@user-vv1te9fu8q10 ай бұрын
Na hayo mapoda je ni ya wapi halafu nyoshi miaka yote hiyo uliyoishi tanzania kiswahili hujui tu mpk leo
@darlinmamawatatu64116 ай бұрын
Jordan alivyo vaa alafu yeye ana manguo na viatu km vyote nyie
@zagabechishali90607 ай бұрын
Elle sadath …🙏
@fettymilly766410 ай бұрын
Nyoshi Hana watoto 14 🙄🙄🙄🙄
@officialbntrasool52239 ай бұрын
Wacongo ni kama wahaya wanapenda sifa 😂😂😂
@Mimy_keys9 ай бұрын
Kupenda Sifa ndo Zao 😂😂😂😂
@123228799 ай бұрын
Muzee ya verchachi
@Joliegal8347 ай бұрын
😂
@user-vv1te9fu8q10 ай бұрын
Jamani huyu swalehe ni mmbea kaa
@kessymnumbile75406 ай бұрын
Wakongo wapenda sifa sana
@user-vv1te9fu8q10 ай бұрын
Kumbe kapanga
@user-qs7lj7kj1k9 ай бұрын
Ninyumba yake ao amepanga?? Samahani kwa hiro swari
@lilianpeter16317 ай бұрын
😂
@chidiomari.6510 ай бұрын
👁️👁️🇫🇮🇫🇮🤝
@hejmabohejhej910 ай бұрын
Ikulu Dishi limeota kutu na mazingira ya Ikulu yako byeee
@lenoxbuhanza492610 ай бұрын
Bongo bana yaani bado mtu anagonga geti kwa mikono kwani wireless bell bado hazijafika bongo?badilikeni walau kiasi nyumba na geti vinaumbali wa mita kazaa halafu unasikia mtu eti hodiii ngongongongo,sio poa,eti bongo Newyork!!newyork haina hata kengele milangoni.
@user-qs7lj7kj1k9 ай бұрын
😂😂😂😂😂bado
@michaelsamson9663Ай бұрын
🤣🤣uyu mzeee kavulugwa ninoma sana minnamiaka 32 natangaza kama nimezeeka kumbe bado sana nimejiskia laa sana kumchek uyu dingi ataki uzee