Mmh nmeanza kusoma comment nkajua watu wana choyo ila hapana tena hawajakuchamba kisasawa mkali wenu ni mchafuuuuuuuuuu hiyo mipua unaishika muda woteeee mbele ya camera mbele ya mtu anakuhoji ukiwa mwneyewe nahisi na huko chini unajikuna muda wote mchafuuuuuuuuuuu unatia kinyaaaa😢
@mercymodest22486 ай бұрын
Sio kwa ubaya bro starah ni nzuri sana jaribu usafi daah sicomentigi ila umetisha mwanangu. Unasonga makamasi afu unakula unamshika mwenzio bila ata kujipanguza daah jitahidi stara kiasii
@johnbwirabukiza18786 ай бұрын
Anajikuna sana haogagi nimuchafu kweli nakura birakuosha mikono hatalii
@TALLUBOY6 ай бұрын
Kweri vipi vina muda wake Leo mo! Town sanya ayupo Tena duu! MKARI WENU AUOGI MAJI UNAJIWASHA JASHO SANA MAANA DU!
@user-qb3hx2ku9v6 ай бұрын
Saleh, ukifika nyumbani hizo nguo zako toa zimejaa makamasi tu 😅😅 kila akiingiza vidole puani naona maganda ya makamasi yanatondoka chii😅😅😅
@thedygeorge45486 ай бұрын
Sule anaona kinyaa kula hiyo miogo, jitu halijanawa kujikuna muda wote mara pua mara miguu huyu kaka mchafu bhana... 🙌
@EmJesho6 ай бұрын
😅😅😅😅😂
@gracemabula41815 күн бұрын
😂😂😂😂 ila watu
@edwinamos97347 күн бұрын
Umeona content chumbani kwake aaaah umetufurahisha sana..... Xema maelezo yake tumehisi nyumba sio yake maake hana uwakika wa nyumba inavyumba vi ngapi????
@maireshsaid16286 ай бұрын
Hapo sio kwake huo ndo ukweli, kabandika tu mapicha
@user-lw7sy2gy9d5 ай бұрын
Atakama c kwake but uwa anaishi apo Kwa mda mlefu sana toka mwaka juzii so kama una wivuuu jinyinge okay
@joycechaz28406 ай бұрын
Mkali wenu sjui ana kunguni mbona anajikuna sana 😖🤮 kula bila kunawa🤮 Nyumba yako ujui vyumba viko vingapi😢
@FatimaAli-of4gh6 ай бұрын
Amejikuna miguu yote kisha bila kunawa mumekula hongereni😂😂😂
@user-jj9xf7nt9k6 ай бұрын
Ila salehe usivae helen bana unajihalibu nawakat uko vizur sana na langi yako iyo
@hanifahkhamiss84856 ай бұрын
Mchafu hatar loogh😅😅😅kujikuna tu koga aaaa😂😂😂😂
@gracemabula41815 күн бұрын
Kujikuna tu kuoga aaaah.
@rynesawaya70435 ай бұрын
Mungu wangu amechokonoa pua wwe akajikuna ajanawa mikono anakula mihogo jaman 🤮🤮🤮🤮 huu uchafu wawaz kabisa c angenawa mikono tu jman 😭🙆
@marthahozza29646 ай бұрын
mimi sio mkamilifu ila Kiujumla huyu ni MCHAFU .ukweli usemwe
@azizayassin36236 ай бұрын
Kwani yle mke wake waliachana
@fatmakashi79486 ай бұрын
Kwani hio pua yawasha nn unavoikuna na kumshika mwenzio
Yn huyu kajiwasha mwilini kwny mapua daa mchafu xn 🤔🤔
@user-sh2rl9yz4x6 ай бұрын
😂😂nimecheka mpaka basi anavyo jikuna daah😅
@gracemabula41815 күн бұрын
Ila jmn mm na show biz ni Pete na kidole
@AishaFerous-jp8oq6 ай бұрын
Ila do mnamoyo kila bila kunawa m.Inawezekana kweli sio kwake.
@GloriaMillinga6 ай бұрын
Kijana mchafu sana hadi anaona jau kuonesha chumba chake
@Joliegal8346 ай бұрын
Saleh punguza uroho mtu kajikuna pua na miguu ajanawa unakula naye utapata kipundupindu😂😂😂😂 ila unapitia mengi sana mtangazaj wetu
@jackjudy91825 ай бұрын
😂😂😂😂
@IssaSefu6 ай бұрын
Mbona anajikuna sana kweny mguu?ana matatiz ya ngoz au????😂😂 😂😂😂
@WemaOmary-of6to6 ай бұрын
Itakua anafunzaa sisi wangoni tunaita matekenyaa
@komboko41433 ай бұрын
Huyu kweli mchafu hata kuoga anaweza kukaa siku nne simnaona hivyo anavyojikuna😅😅😅umarrrrr kwarukaaruuu
@fatmaathumani71162 ай бұрын
Hamjaskia kitu mmakonde wa chale 😂😂 mipua foko foko mikuno miguu muda wote na mnakula bila kunawa khaaa, salehe ww ni mwanaume wa kweli aiseee 😂😂😂😊😊
@Kuminamoja19956 ай бұрын
Una Haribu interview
@salumjumanne-bn8zp6 ай бұрын
Huyu Saleh msenge huyuuu,mwanammw rijali hawez kuvaa hereni maskioni.
@irenemacha56616 ай бұрын
Kwan urijali unakaa maskioni
@Njeriii5366 ай бұрын
Vaa nawewe
@joycechaz28406 ай бұрын
Salehe anajikaza tu kula ila anaona kinyaaa kula mtu ajikuna ukurutu😂😂
@rehmakondo6 ай бұрын
Hahahaha 😂😂😂😂yani kumont zinanifurahisha
@EmJesho6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@EmJesho6 ай бұрын
Daah comment 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nmecheka sana ila jamaa kweli mchafuuuuuuuuu sana
@komboarts71106 ай бұрын
Watu wamecomments maneno mabovu daah. Tanzania
@katalinabuhoro35996 ай бұрын
😂cyo kwako bro..
@barotvonlineofficialramaba43346 ай бұрын
mbona uanjikuna sna mkali gitaaaaaaaa @mkali
@ruu65926 ай бұрын
Viumba vyote ivo mama anaishi vibaya sana
@thabeapaul24736 ай бұрын
Yaan huo muhogo aliompa camera man kinyaa nimeona mimi loh
@djhajiztz6 ай бұрын
ihii sebule au seem ya kupiga pcha maan pcha nyngi
@deboranicoraus48666 ай бұрын
Wachafuu hawa ht kunawa tuu hakuna km mkali wenu full kujikuna kunaa tuu
@photonatuschie94776 ай бұрын
Cio kwa kujikuna hivo had unatia kitapitapi😂😂😂
@HamisiSaid-ni8kp4 ай бұрын
Huyu mkali nivenye tuh kuna camera am sure anajikuna pia makende akiwa lonely😅😅😅
@salmahanai6 ай бұрын
Salehe napenda sana vipindi vyako
@bennamush46166 ай бұрын
Huyu jamaa kiafya hayupo sawa na ndo mana anakosa ham ya kula anakaa siku tatu bila kula ajaribu kwenda kupima dam huenda ana dam chafu ndo mana anajikuna hovyo
@Sarah-tq2vc6 ай бұрын
Jaman mkali wenu ety siku tatu bila kula sio kweli kwa kweli😅😅😅
@EbambeWakilongo6 ай бұрын
Yuko vizuri sana mkaliwenu
@user-xg7ph7bz7p6 ай бұрын
Unamjua mama ake
@fatmamrihani68286 ай бұрын
KWAN HIZO PUA ZINA SHIDA GANI KILA SAA UNAZICHOKONOA? KWAKWELI UNABOA KAMA NI UGONJWA NENDA KWA DAKTARI
@user-wu4jj7ms2c6 ай бұрын
Mkaliwenu na Tannah ❤❤
@simonsangu604023 күн бұрын
Saaaana tajil
@nuruscard95346 ай бұрын
Cameraman 😂 akaombaa muogo wish tumuoneee 😅😅
@Joliegal8346 ай бұрын
Amini kwamba sio kwake😂
@GeorgeWilson-cu6bp2 ай бұрын
Jamn nimecheka sana hizi comment
@JanethMadios-oe5ue6 ай бұрын
Yaani nimechefukwa hatari uyu kaka anaonekana ninmchafu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa nauhakika atakuwa ananuka sana kama jasho, mdomo, pumbu, yaaani dhohari jamani 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@JennyJma6 ай бұрын
Jamani nimecheka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ZabibuJulius6 ай бұрын
Mkali wenu anang'atwa sana na mbu ndo mikuno yake iyoo
@user-fy9pw2zr8l6 ай бұрын
mke wapi
@emmanuelkihiyo92366 ай бұрын
Iichafu kweli kila saa linajikuna mapua 😂😂😂😂
@darlinmamawatatu64116 ай бұрын
Kaka mchafu 😢jamani kajikuna pua lake ,miguu mikwapa kaja kula viazi mkono ajanawa ni mchafu sanaa
@user-hp5kl8wd1e6 ай бұрын
khaaa mkaliwenu ni mchafu jmni duh
@ashazuber65486 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anatafuna mbwa kidogo😢😢
@ummishakii83226 ай бұрын
Na salehe alikutana yaaan mchafu wajameni nayey anakula tuuu