GETO ANALOISHI HAMIS WA BSS UTALIPENDA/AFUNGUKA KUACHWA NA MZUNGU

  Рет қаралды 150,549

ZamaradiTV

ZamaradiTV

7 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 612
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 ай бұрын
Yaani hii interview, muonekano wa geto na anavyoongea inanikumbusha mbali sana. Kiufupi vijana wengi wanaojielewa na wanatoka familia za kimaskini lazima upitie maisha haya. Safi sana Hamusi utadhani geto langu ila sasa naishi kwangu na mke na watoto 3. Nakuombea kwa Mungu akufungulue mlango.
@ChristianJustin-jn9pt
@ChristianJustin-jn9pt 7 ай бұрын
Hamis ana heshima sanaa anakukarubisha ingia tuu na viatu mi si nitafagiaa 😭😭😭 jamanii
@noelajulius7726
@noelajulius7726 7 ай бұрын
NAOMBA MNISAIDIE NATAKA KUMNUNULIA GESI HAMISI
@johnraphaelbocco2260
@johnraphaelbocco2260 7 ай бұрын
Nilikuwa namchkulia poa sana huyu mshkaji ila kupitia hii interview ameniprove wrong, jamaa ni fighter na bado inaonekana anajitafuta na anahitaji support za watanzania kumfkisha pale anapotaka, naanza kukusaport, Na kuanzia sasaa mimi ni shabiki yako mpya, sitaacha kuangalia kudownload na kustream platform zako zotee Big Up Brother Keep It On And Never Ever Give Up
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 7 ай бұрын
Ahsante kaka ubarikiwe
@gazzatz9564
@gazzatz9564 7 ай бұрын
Mim mwana na mwelewa!!! sio kwamba anaigiza watu kazi!! Mungu akusimamie mwanang!! sanaa ina mambo mengiii sema Panga getto vizur,kak hata hauna ela lakin kuwa SMART MY BROTHER!
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 7 ай бұрын
Sasa pesa anaitoa wapi yakuapanga geto nakuwa smati
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 ай бұрын
Nimependa hamisi anasema ukwer hafeki safi,,mungu atakubaliki kaka usikate tamaa
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 7 ай бұрын
Ahsante ubarikiwe sana ndugu yangu
@nurukiwia93
@nurukiwia93 7 ай бұрын
Allah azidi kumpigania. Ni mkweli kabisa
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 ай бұрын
@@bwakahamisi9607 Amin kaka,,utafika mbali sana Kwa uwezo wa mungu ila kikubwa tu usifek life be really mtumainie mungu na pambana Sana utatoboa innshaala kaka
@matridasambali6432
@matridasambali6432 7 ай бұрын
Yeah hata Mimi nimependa sana napenda sana mtu anaeishi katika ukweli na penda sana
@matridasambali6432
@matridasambali6432 7 ай бұрын
Yeah hata Mimi nimependa sana napenda sana mtu anaeishi katika ukweli na penda sana
@emmanuelibrahim4556
@emmanuelibrahim4556 7 ай бұрын
Usanii ni kazi ngum sana,,, unaanza kupata umaaru afu maisha bado
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 7 ай бұрын
😂😂
@Mimy_keys
@Mimy_keys 7 ай бұрын
Jina kubwaaa 😂😂😂😂😂
@farijalanyoni5685
@farijalanyoni5685 7 ай бұрын
BSS alipata mzigo au alikuwa mshiriki tu?
@deeruta9894
@deeruta9894 7 ай бұрын
Tulipia hapo hata ss wengine infact tuliaza kwa box la fridge kulalia but mungu mkubwa sana 🙏🏽, sahii tunamiliki majumba na magari but tumetoka mbali sana. Keep your dreams alive faith siku moja utafanikiwa
@user-fj2ob2ey7j
@user-fj2ob2ey7j 7 ай бұрын
Kaka nimekuelewa kikubwa pambana na ukweli umuweka mtu hulu kuliko udanganye afu uje ufeli kabisa maisha afuukakosa musada
@_Prince2023
@_Prince2023 7 ай бұрын
Mwenyez mungu ndo anaejua uhalisia we2 kiukweli mungu akujalie my friend maana sote bado tupo kwenye utaftaji😢
@MrSamaki
@MrSamaki 7 ай бұрын
Ananikumbusha room yangu ya kwaza kupanga kwa mwezi elf 20 Kuna siku inapita bila Kula ila adi sasa nilipofikia nimejipata kidogo, Mungu atufanyie wepesi vijana watafutaji
@abdallahsimba3516
@abdallahsimba3516 7 ай бұрын
Acha tu mwanangu hayo yalikuwa maisha yanguu
@Jerryatz
@Jerryatz 7 ай бұрын
Wabongo mnapend sana mtu awe chini but uyu hapa siyo kwake ila kajitahidi sana kuigiza yuko vzr big up
@imanimakishe8632
@imanimakishe8632 3 ай бұрын
Ata mimi nazani
@NaigagaUganda-hl6xx
@NaigagaUganda-hl6xx 7 ай бұрын
You don't show fake life like other people big up may Almighty Allah bless you all
@kimmaayah303
@kimmaayah303 7 ай бұрын
Kumchangia sio dhambi kutoa ni moyo pia na MUNGU anakupa zaidi unapoamua kujitoa.. Sio vibaya tukamchangia hata apate gase jaman .. Tunampenda ndomn tunamfuatilia hapa.
@jacklinegorden2897
@jacklinegorden2897 7 ай бұрын
Nikwel tupate hta namb yake ili mweny chochote kitu ambarik jmn nimeumia japokuwa wote maisha magumu ila tunazidiana
@user-cl9hg3uc8e
@user-cl9hg3uc8e 7 ай бұрын
Wasanii wote wangekua kama hamisi bac wangefika mbali maana n rahis kusaidiwa Ila waliowengi uwongo2 nakupenda Mali zawa2 kufanya zao hongera hamis taratibu ndo mwendo utafika unapohitaji mungu yupo nawewe ❤❤
@estomiailomo7844
@estomiailomo7844 7 ай бұрын
Naomba watanzania mlio ona interview hii tuanze kumsaport huyu kijana kwanza anaeleza uhalisia wa maisha yake anahitaji saport pili ana hekima
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 ай бұрын
Ila anapambana pambana mungu atakubaliki usikate tamaa maisha sio Lele mama
@JescaMuyabi-ix8ly
@JescaMuyabi-ix8ly 7 ай бұрын
Hongera kwakuishi maisha yk harisi amini IPO siku utafanikiwa
@mercykamau4360
@mercykamau4360 7 ай бұрын
Mimi kama mkenya I propose tutafute paybill tuchangie Hamisi❤❤
@norahprotas1769
@norahprotas1769 7 ай бұрын
Safi sana Bro umekuwa real Mungu aendelee kukusogeza sote tunatokeaga huko ayo ndo maisha yetu
@user-xu6fg7sg6s
@user-xu6fg7sg6s 7 ай бұрын
Bless dogo hsmiss ndio maisha yetu
@user-bv4dk8bj6x
@user-bv4dk8bj6x 7 ай бұрын
Hakuna kitu gharama duniani kama uhuru na amani ata ukilala chini,
@dayana5513story
@dayana5513story 7 ай бұрын
👏👏👏🙌
@raymondmallosa-df9hm
@raymondmallosa-df9hm 7 ай бұрын
Mungu akubariki Hamis hufek maisha,mdogomdogo maisha taratibu
@issamanyota
@issamanyota 6 ай бұрын
DAH THIS LIFE IS NOT FEAR , NATAMANI WASANII WENZAKO AU WALIOFANIKIWA WAKUPE HATA SHOW ZA WEEKEND UPATE KIASI FLANI BRO CHA KUJIKIMU 😢 ILA BIG UP 🆙 HAMISI WA BSS TUPO PAMOJA NAWE
@Atb300
@Atb300 7 ай бұрын
❤❤❤Nimempenda mkweli sana hafeki life big up mdogo wngu
@queendollie8792
@queendollie8792 7 ай бұрын
Jamani tumchangie hamis nime mpenda he is honest with his life
@nurukiwia93
@nurukiwia93 7 ай бұрын
Sana. Nimkweli
@geoffreykayombo6524
@geoffreykayombo6524 7 ай бұрын
Angeweka namba
@sugashTv
@sugashTv 7 ай бұрын
Nani atatuwekea number jamani? Number yake direct tuweke ata kidogo.....
@youngjamaica5099
@youngjamaica5099 7 ай бұрын
Nichangie me ,nipo vibaya zaidi yake Hamisi
@user-ji4gj8zf7n
@user-ji4gj8zf7n 7 ай бұрын
​p
@ruu6592
@ruu6592 7 ай бұрын
Kuna watu ata ayo maisha ya hamisi hana
@KimbilimaSocial-dy9cl
@KimbilimaSocial-dy9cl 7 ай бұрын
Ungeliweka namba ya sim Tungelikuchangia ununue gas Na kitanda kabisa pmj Na tv na king'amuz
@Issa_negro
@Issa_negro 7 ай бұрын
Mashaallah 🙏🏽 one beautiful life🎉💯
@musason1680
@musason1680 7 ай бұрын
Haya maishaa wanaishi watu wengi tu tnaotamani kua kama wao lakn n vile hatujui undani wa maisha yao
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 ай бұрын
Diamond platinumz mpe show uyo kaka ,,ikiwezekana achangiwe au apewe show Bado anajitafuta atajipata tu
@LucyKulaya-bj5ow
@LucyKulaya-bj5ow 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 7 ай бұрын
Nakushukuru sana endelea kunisapot mdogo wako Hamis Bss ubarikiwe sana
@BerthaModest
@BerthaModest 7 ай бұрын
Dah uyo diamond tena😂😂😂jmn mtu yyt atae wez amsaidie sio mpk diamond
@jalinachilala8465
@jalinachilala8465 7 ай бұрын
Leo umekutana na chuma cha afrika 😂😂Safi saana khamis wengi wetu tunaanzia huko
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 7 ай бұрын
Ahsante ndugu yangu Kwa baraka zako
@judnesstemba7252
@judnesstemba7252 7 ай бұрын
Nimependa sana khamis ubarikiwe
@jalinachilala8465
@jalinachilala8465 7 ай бұрын
@@bwakahamisi9607 usijali tuko pamoja
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 7 ай бұрын
Huyu jamaa anajua kushukuru sana Mungu akujalie ufanikiwe
@nuubaby
@nuubaby 7 ай бұрын
Mtanganzaj alijua anakaa nyumba hyo yenye mlango mzuri😂😂😂🙌
@shagarbycash9549
@shagarbycash9549 7 ай бұрын
Real and gud ...salute bro
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 7 ай бұрын
Mi nakuombea Mungu akutoe hapo na ukipata riziki usiache kumshukuru Mungu!nakuombea
@salma_6j975
@salma_6j975 7 ай бұрын
Mtangazaji yupo vizur sana...creativity
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 7 ай бұрын
Ana hekma sana na ukarimu pia, Allah akupe hitaji la moyo wako inshaAllah ❤🙏🙏
@allydugovisima3120
@allydugovisima3120 7 ай бұрын
Inshallah
@mwanakitenge
@mwanakitenge 7 ай бұрын
Kitendo tu cha kumiliki funguo ya chumba chako umeshajipata hongera sana mdogo wangu
@MashaSaidy-bs8xb
@MashaSaidy-bs8xb 7 ай бұрын
Nimependa comment yako
@gazzatz9564
@gazzatz9564 7 ай бұрын
Uyu mtangazaji nae.miyeyusho etii wash room...unaleta mambo ya kishua uswahilin😂😂😂
@majigeelieza5180
@majigeelieza5180 7 ай бұрын
Daaaah mwanangu ayoo ndoo maisha pambana
@GiftAbduly
@GiftAbduly 7 ай бұрын
Wanaume pia wanadanga😂 daah haya hongera Hamis unapambn sema mdogo mdogo ndio mwendo utatoboa tu
@strong8534
@strong8534 7 ай бұрын
Fame before success, it's very hard. Usani ni mtihani
@AfricaQueen
@AfricaQueen 7 ай бұрын
Kwa kweli Hamisi wewe ni mtu wa ukweli mungu atakusimamia ndugu yangu zidi kusali nasi tunakuombea utakuja kuishi pazuri hayo ni maisha ya kupita usiwache kuomba mungu🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 7 ай бұрын
Ahsante sana
@achalamila
@achalamila 7 ай бұрын
Mtu safi kabisa huyu , vizuri sana. Lakini kuonyesha unacho au huna vyote ni makosa.
@Issa_negro
@Issa_negro 7 ай бұрын
Mashaallah 🙏🏽 one beautiful life🎉 💯 Kaka mshukuru mungu kwa hayo maisha uliyo nayo kwani wengine tunatamani sana ila tunaishia kuishi kwa wazazi. Sio kwamba hatuwezi kupanga ila HALI SIO HALI😢
@abdibilali4186
@abdibilali4186 7 ай бұрын
Kweli
@dayana5513story
@dayana5513story 7 ай бұрын
Wow nimependa alivyo sema code inaisha Mungu akufanyie wepesi
@aminamohammed-rq7ew
@aminamohammed-rq7ew 6 ай бұрын
Ila nyie nimempenda huyu kaka anaishi kwenye uhalisia yaan nafurahia sana kuona maanii anaishi kiuhalisia 😊keep going bro
@sidikassim6759
@sidikassim6759 7 ай бұрын
Ndgu yngu umechzea snaa maisha alfu tatzo ulianza kujitapa snaaa wenzio hawanzi hvyo
@aminamohammed-rq7ew
@aminamohammed-rq7ew 6 ай бұрын
Ukweli ni kwamba huy hafeck maisha yupo really….Masha Allah Allah akusimamie
@HarunaJuma-cg9ie
@HarunaJuma-cg9ie 7 ай бұрын
Big up hamisi, Allah akufanyie wepesi
@user-wv9zr2zm2h
@user-wv9zr2zm2h 7 ай бұрын
Sawa mi sijaona baya... maisha yetu n aya aya..lkn dogo usafi n muimu...upangilie room yako vzr.. mbona fresh sana
@BenMugaka
@BenMugaka 6 ай бұрын
The guy is so honest with his life
@paschalEmanuel096
@paschalEmanuel096 3 ай бұрын
Kaka Nakubali, Mwanzo mgumu ila naimani mda unakuja Utabarikiwa Sana 🙏
@alhajiFashions7563
@alhajiFashions7563 4 ай бұрын
Juzi kati December nimekua mitaa hio daaaaah sema wewe ni Fighter brother!!!
@Chembika
@Chembika 7 ай бұрын
Huyu dogo mkweli sana wekeni utaratibu hata wakuchangiwa asaidiwe ila huyu ndio kielelezo cha wasanii wengi unadhifu unawafichia mengi ila hawana maisha
@nyembomajid1262
@nyembomajid1262 7 ай бұрын
mi sikubali sio kweli hiyo kiki
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 7 ай бұрын
congratulations keep it up good job 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@rehemamsengo2805
@rehemamsengo2805 5 ай бұрын
Aliweza atq kuomba ghetto Kwa washkaji wake ila kaonesha ualisia wake Allah akujaalie hamis ❤❤
@hamischilinga6706
@hamischilinga6706 7 ай бұрын
Ujue hayo ni mambo ya muda sio mpaka unataka kubadili dini kwa sababu ya mwanamke
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 7 ай бұрын
Pole mdogo next time tafuta mzungu mkubwa sio hicho kitoto hanakuwa account zao hazina pesa ya kutosha wajerumani wabaili mno
@raymondclaud6026
@raymondclaud6026 7 ай бұрын
Kabisa ila sio wabahili Sema wana nidhamu ya kutumia pesa😅
@user-iq3qs2fl3c
@user-iq3qs2fl3c 7 ай бұрын
😅😅😅 nyie wajerumani waacheni😂😂🙌🙌
@nsmilles_tz2601
@nsmilles_tz2601 7 ай бұрын
Hamis kama kweli ayo ni maisha yako mwenyezi mungu akupe nguvu zaidi ya kupambania maisha ila kama unaigiza bro unawakosea sana watu wanaotizama video hii bss madam alikuwa anakukubali sana sizan kama anaweza akakuacha kwenye life kunamana gani ya kuingia bss na level Ile uliyokuwa umefikia so inamana aijakupa michongo duh!?
@user-nn3is3hr8u
@user-nn3is3hr8u 7 ай бұрын
huyu kijana alisema yuko tayari kuwacha dini yake ya usilamu kwa ajili ya huyu mzungu mwitu, hahahahaaa. sasa imekuwaje?
@nmasare9364
@nmasare9364 7 ай бұрын
Hayo ndo maisha ya vijana wengi hapa dar nashangaa sana mnavyoshangaa alaf wasanii kibao sana wanaish hayo maisha sema tu wakiambiwaga interview wanatafuta nyumba wanampooza kidogo mwenye nyumba wanaiweka vtu vyao viwili vitatu wanakuja kufanyiwa interview ni kama vile tu waigizaji wanavyoazimaga nyumba za kushootia hata interview nyingi za wasanii nyumba wanaomba
@user-nn3is3hr8u
@user-nn3is3hr8u 7 ай бұрын
hahahahahahaaa
@dottomsuya6597
@dottomsuya6597 7 ай бұрын
Afanye kazi bhana
@NaseebMgono-wl3bu
@NaseebMgono-wl3bu 7 ай бұрын
Mi naona kma anatembelea upepo hata kma kma unafanya kaz kijana mpambanaji ushindwi vitu vidogovidogo kama gas na kadhalika huyu toka yupo bss ni mtu anaependa kuonewa huruma sana
@user-nn3is3hr8u
@user-nn3is3hr8u 7 ай бұрын
true
@hassanamtunzitv2368
@hassanamtunzitv2368 7 ай бұрын
Da! Imeniuma anavyoishi. Ila nampongeza kwa kutofeki maisha. Japo anahitaji kusaidiwa si kupatiwa ela bali apate kibarua sehemu ili akajitafutie maisha yenye unafuu.
@user-vf6on5dk4t
@user-vf6on5dk4t 7 ай бұрын
Hamisi nimkweri hamisi mungu anakuona ipo ridhiki yako Walausikate tamaaa mungu anaona
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 7 ай бұрын
Mzungu aliyachoka hayo maisha!! Na alicho kiona kwa Hamisi hana muelkeo mwengine Badala ya mziki na kagunduwa kuwa mziki kwa bongo ni mgumu!!lakini pambana na uwache kufuru aliongea vitu vingi vya ovyo
@bakaromar8135
@bakaromar8135 7 ай бұрын
Kweli umesema kweli huyu dogo alikuwa amesha anza kufuru fla sana alikuwa amesha anza ushetan
@user-rn5ov9lr4v
@user-rn5ov9lr4v 7 ай бұрын
Eeeh jamn mzung ajakuachia chocht duuh mungu kweli tumuache tu alikuwa anatk kubadrsha din
@asnatabdallah
@asnatabdallah 7 ай бұрын
Dah inasikitisha sana jamani msaidieni uyu kija sio kuojiwa tu dada zamaradi msaidie uyu kijana walau kwa kazi iweze kumpatia kipato jamani mimi namfatilia sana salehe na nina mpenda sana na mara ya mwisho nilikuatana nae pale kwa Jessica salon magomeni please naombeni mumsaiidie jamani uyu kijana naangaliaga watu wengi anaowatembelea salehe lakini uyu kanigusa sana
@dottomsuya6597
@dottomsuya6597 7 ай бұрын
Apige kazi aaache Uboya hapoa anazingua sanaa
@ValessKenny
@ValessKenny 7 ай бұрын
We kumaunann unamkejer kijana mwenzio
@jumakhamis226
@jumakhamis226 4 ай бұрын
😂😂😂😂Amisi bhnaaa
@KimbilimaSocial-dy9cl
@KimbilimaSocial-dy9cl 7 ай бұрын
Nakuona upo na KILOBA CHA BASMART RICE ni mchele bomba kinomaa
@user-ud3jt6hx5y
@user-ud3jt6hx5y 7 ай бұрын
Daah hamisi we ni wakipekee sana pamba mdogo angu ukija iringa nione
@bwakahamisi9607
@bwakahamisi9607 7 ай бұрын
Sawa kaka
@furahaseth1215
@furahaseth1215 7 ай бұрын
Umenimeki Happy,kwamba Ukiona Wingu fasta Home daaa!
@raheemkhalfani7209
@raheemkhalfani7209 7 ай бұрын
unajua kitu,, Khamis upo true sana,, halafu pambana sana mungu atafungua milango,, . .
@boazkingdaffer5330
@boazkingdaffer5330 7 ай бұрын
Asee akijalibu kufake life atateseka pongezi kwake mana anaishi maisha yake halisi
@bdreams2793
@bdreams2793 7 ай бұрын
Kaka u still young and u got talent please tzt people u Cnt not support this young guy bss mnafanya nn
@MahraMansoor5969
@MahraMansoor5969 6 ай бұрын
Nampenda hamis from uk 🇬🇧 anaitaji msaada
@mikamwamba3554
@mikamwamba3554 7 ай бұрын
Mungu amuongezee kijana uyu
@bobboris4859
@bobboris4859 7 ай бұрын
Ulisema hadi dini utabadlisha kisa mzungu sai unaona mambo yanavyobdlkaga ,shtuka mdogo wangu
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 7 ай бұрын
Huyu jamaa na Dotto magari WANAISHI maisha ya Ukweli
@zainabzwena3156
@zainabzwena3156 7 ай бұрын
Hakika
@aaa64sa13
@aaa64sa13 7 ай бұрын
😂😂😂 mitihani
@farijalanyoni5685
@farijalanyoni5685 7 ай бұрын
Dotto ni Fake, huyu chalii ni real Dude
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 7 ай бұрын
@@farijalanyoni5685 Ahsee Doto nae LYFE yake sio poa 🤣
@user-ne5pw7pp9g
@user-ne5pw7pp9g 7 ай бұрын
Pole njoo ZANZIBAR Wapo kibao huku
@furahaseth1215
@furahaseth1215 7 ай бұрын
I LOVE THAT HAKUNA MTU ANAEPENDA MAISHA MAGUMU NI MAISHA TUU!
@mulhatkahamiss
@mulhatkahamiss 7 ай бұрын
Nimecheka kwakweli et pensi yangu😂😂 Allah akubari🙏 inshallah
@user-yo7sj8fs4h
@user-yo7sj8fs4h 7 ай бұрын
Ndio mwanzo. Mungu atakuinua. Hata mimi nilianza na godoro kukuu ambalo nilipewa na kaka angu. Kaza utafanikiwa.
@Its_Goodluck
@Its_Goodluck 7 ай бұрын
wazungu kuishi nao kwa akili na kama akuwezeshi kufikia malengo achana naye
@Bombom-ze1sj
@Bombom-ze1sj 7 ай бұрын
Inshaalah Soon You will win this Gme 💥💥💥 Ongera Sana ….
@Mahirwazanzibar
@Mahirwazanzibar 7 ай бұрын
Mwazo alikua ni mshamb wa wazung ila now nahis itakua kajifunz kajifunza, ila kit zur t ansem ukwel.
@user-qv8qo3ff3q
@user-qv8qo3ff3q 7 ай бұрын
Watu wengi wanaamini ukiwa na mzungu ndo unatoboa, lakini sio kweli, me nilikuwa na mzungu lakin aliondoka kama umeme bila taarifa so wabongo tusiamini kwenye kusaidiwa na mzungu ni wapumbavu sana ngozi nyeupe
@MultiKenyana
@MultiKenyana 7 ай бұрын
Humble guy and realest I’ve ever seen ✊🏽✊🏽
@baloz8974
@baloz8974 7 ай бұрын
Most of the hamisi names are humbles
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 7 ай бұрын
Eti mzungu hajanipa hela😂😂😂 pambana kaka fungu lako lipo tu mazal upo duniani riski yako hukosi
@Juke995
@Juke995 7 ай бұрын
Kamchango kapite jaman ako very humble ashike hata 20 kasema hajaishika muda
@omarysaid8725
@omarysaid8725 7 ай бұрын
Wazungu ni watu wa kujiachia sana na ni wa janja wakija nchi kama zetu za Africa huwa wanatafutaga marafiki hata kuwafanya wawe wapenzi wao ili tu waweze kujua na kufahamu zaidi tamaduni na kuto sumbuliwa katika vibali na katika harakati zao
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 7 ай бұрын
Kabisa Yan💯💯
@sugashTv
@sugashTv 7 ай бұрын
Huyu jamaa nimependa sana. Tumchangie isee...
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 ай бұрын
Hyu ni mimi kabsa 😂😂😂😂 yni kama sna naomba adi watu wnashanga safi tu
@MskMtm
@MskMtm 7 ай бұрын
Swaleh kila kitu anauliza 😂😂😂😂 et ule mfuko wanini had nimetamani kujua maisha yake so kwa maswali hayo😂😂😂
@user-rf6ie5fx9o
@user-rf6ie5fx9o 7 ай бұрын
😂😂😂 hadi feni anauliza km zinafanya kazi
@fridaminja7191
@fridaminja7191 5 ай бұрын
Daa!😭😭😭😭😭mbona namba haipo nikuchangie hata kidogoooo. Muwe mnaweka namba jaman daah! Nimeumia sana
@user-jy8hi7lf4m
@user-jy8hi7lf4m 4 ай бұрын
Aisee kweli mana ukisema kwako kunaungua kwa mwenzio kunawaka moto jmn maisha haya
@alexchungu6263
@alexchungu6263 7 ай бұрын
Hahaha tulio soma cuba, huyu anatudanganya
@MomadeMohammed
@MomadeMohammed 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏☝☝☝
@cdeleo9336
@cdeleo9336 7 ай бұрын
Bora umeonesha ukweli na watu i hope watakusaidia
@imanimakishe8632
@imanimakishe8632 3 ай бұрын
Kumbe mimi nimetoboa, asante Mungu
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 6 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 163 МЛН
Entre Didi B et Himra qui est fort ? (micro trottoir 2024)
7:18
leader parker
Рет қаралды 9 М.
Hamis Bss Ft Jona - Waambie (Official Subtitles)
2:34
Hamisi Bss
Рет қаралды 66 М.
BEHIND The GRAM (MOM & DAUGHTER) Ep 1| kajala amlilia paula kuhusu Harmonize|
3:51
Feysal Daudi Films. 457k views.5hrs
Рет қаралды 14 М.
Madam Ritha aeleza kila kitu Kilichomrudisha Hamisi BSS
5:57
Director Willy
Рет қаралды 106 М.
KARMA AT SCHOOL 🏫 Stop time
0:32
dednahype
Рет қаралды 3,8 МЛН
La emociones de Bluey #歌ってみた #bluey #burrikiki
0:13
Bluey y BurriKiKi
Рет қаралды 33 МЛН
Всегда проверяйте зеркала
0:19
Up Your Brains
Рет қаралды 22 МЛН
Приятного аппетита 🤣
0:15
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 9 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
0:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 10 МЛН
КАРОЧЕ НЕУДОБНАЯ СИТУАЦИЯ😱🔥 #shorts
0:45
ПОПОВИЧИ
Рет қаралды 3,7 МЛН