Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 612
@gibsonjosephat63527 ай бұрын
Yaani hii interview, muonekano wa geto na anavyoongea inanikumbusha mbali sana. Kiufupi vijana wengi wanaojielewa na wanatoka familia za kimaskini lazima upitie maisha haya. Safi sana Hamusi utadhani geto langu ila sasa naishi kwangu na mke na watoto 3. Nakuombea kwa Mungu akufungulue mlango.
@ChristianJustin-jn9pt7 ай бұрын
Hamis ana heshima sanaa anakukarubisha ingia tuu na viatu mi si nitafagiaa 😭😭😭 jamanii
@noelajulius77267 ай бұрын
NAOMBA MNISAIDIE NATAKA KUMNUNULIA GESI HAMISI
@johnraphaelbocco22607 ай бұрын
Nilikuwa namchkulia poa sana huyu mshkaji ila kupitia hii interview ameniprove wrong, jamaa ni fighter na bado inaonekana anajitafuta na anahitaji support za watanzania kumfkisha pale anapotaka, naanza kukusaport, Na kuanzia sasaa mimi ni shabiki yako mpya, sitaacha kuangalia kudownload na kustream platform zako zotee Big Up Brother Keep It On And Never Ever Give Up
@bwakahamisi96077 ай бұрын
Ahsante kaka ubarikiwe
@gazzatz95647 ай бұрын
Mim mwana na mwelewa!!! sio kwamba anaigiza watu kazi!! Mungu akusimamie mwanang!! sanaa ina mambo mengiii sema Panga getto vizur,kak hata hauna ela lakin kuwa SMART MY BROTHER!
@JumaJuma-fu7ji7 ай бұрын
Sasa pesa anaitoa wapi yakuapanga geto nakuwa smati
@@bwakahamisi9607 Amin kaka,,utafika mbali sana Kwa uwezo wa mungu ila kikubwa tu usifek life be really mtumainie mungu na pambana Sana utatoboa innshaala kaka
@matridasambali64327 ай бұрын
Yeah hata Mimi nimependa sana napenda sana mtu anaeishi katika ukweli na penda sana
@matridasambali64327 ай бұрын
Yeah hata Mimi nimependa sana napenda sana mtu anaeishi katika ukweli na penda sana
@emmanuelibrahim45567 ай бұрын
Usanii ni kazi ngum sana,,, unaanza kupata umaaru afu maisha bado
@zenadaudzena28497 ай бұрын
😂😂
@Mimy_keys7 ай бұрын
Jina kubwaaa 😂😂😂😂😂
@farijalanyoni56857 ай бұрын
BSS alipata mzigo au alikuwa mshiriki tu?
@deeruta98947 ай бұрын
Tulipia hapo hata ss wengine infact tuliaza kwa box la fridge kulalia but mungu mkubwa sana 🙏🏽, sahii tunamiliki majumba na magari but tumetoka mbali sana. Keep your dreams alive faith siku moja utafanikiwa
@user-fj2ob2ey7j7 ай бұрын
Kaka nimekuelewa kikubwa pambana na ukweli umuweka mtu hulu kuliko udanganye afu uje ufeli kabisa maisha afuukakosa musada
@_Prince20237 ай бұрын
Mwenyez mungu ndo anaejua uhalisia we2 kiukweli mungu akujalie my friend maana sote bado tupo kwenye utaftaji😢
@MrSamaki7 ай бұрын
Ananikumbusha room yangu ya kwaza kupanga kwa mwezi elf 20 Kuna siku inapita bila Kula ila adi sasa nilipofikia nimejipata kidogo, Mungu atufanyie wepesi vijana watafutaji
@abdallahsimba35167 ай бұрын
Acha tu mwanangu hayo yalikuwa maisha yanguu
@Jerryatz7 ай бұрын
Wabongo mnapend sana mtu awe chini but uyu hapa siyo kwake ila kajitahidi sana kuigiza yuko vzr big up
@imanimakishe86323 ай бұрын
Ata mimi nazani
@NaigagaUganda-hl6xx7 ай бұрын
You don't show fake life like other people big up may Almighty Allah bless you all
@kimmaayah3037 ай бұрын
Kumchangia sio dhambi kutoa ni moyo pia na MUNGU anakupa zaidi unapoamua kujitoa.. Sio vibaya tukamchangia hata apate gase jaman .. Tunampenda ndomn tunamfuatilia hapa.
@jacklinegorden28977 ай бұрын
Nikwel tupate hta namb yake ili mweny chochote kitu ambarik jmn nimeumia japokuwa wote maisha magumu ila tunazidiana
@user-cl9hg3uc8e7 ай бұрын
Wasanii wote wangekua kama hamisi bac wangefika mbali maana n rahis kusaidiwa Ila waliowengi uwongo2 nakupenda Mali zawa2 kufanya zao hongera hamis taratibu ndo mwendo utafika unapohitaji mungu yupo nawewe ❤❤
@estomiailomo78447 ай бұрын
Naomba watanzania mlio ona interview hii tuanze kumsaport huyu kijana kwanza anaeleza uhalisia wa maisha yake anahitaji saport pili ana hekima
@jamilaathumani54817 ай бұрын
Ila anapambana pambana mungu atakubaliki usikate tamaa maisha sio Lele mama
@JescaMuyabi-ix8ly7 ай бұрын
Hongera kwakuishi maisha yk harisi amini IPO siku utafanikiwa
@mercykamau43607 ай бұрын
Mimi kama mkenya I propose tutafute paybill tuchangie Hamisi❤❤
@norahprotas17697 ай бұрын
Safi sana Bro umekuwa real Mungu aendelee kukusogeza sote tunatokeaga huko ayo ndo maisha yetu
@user-xu6fg7sg6s7 ай бұрын
Bless dogo hsmiss ndio maisha yetu
@user-bv4dk8bj6x7 ай бұрын
Hakuna kitu gharama duniani kama uhuru na amani ata ukilala chini,
@dayana5513story7 ай бұрын
👏👏👏🙌
@raymondmallosa-df9hm7 ай бұрын
Mungu akubariki Hamis hufek maisha,mdogomdogo maisha taratibu
@issamanyota6 ай бұрын
DAH THIS LIFE IS NOT FEAR , NATAMANI WASANII WENZAKO AU WALIOFANIKIWA WAKUPE HATA SHOW ZA WEEKEND UPATE KIASI FLANI BRO CHA KUJIKIMU 😢 ILA BIG UP 🆙 HAMISI WA BSS TUPO PAMOJA NAWE
@Atb3007 ай бұрын
❤❤❤Nimempenda mkweli sana hafeki life big up mdogo wngu
@queendollie87927 ай бұрын
Jamani tumchangie hamis nime mpenda he is honest with his life
@nurukiwia937 ай бұрын
Sana. Nimkweli
@geoffreykayombo65247 ай бұрын
Angeweka namba
@sugashTv7 ай бұрын
Nani atatuwekea number jamani? Number yake direct tuweke ata kidogo.....
@youngjamaica50997 ай бұрын
Nichangie me ,nipo vibaya zaidi yake Hamisi
@user-ji4gj8zf7n7 ай бұрын
p
@ruu65927 ай бұрын
Kuna watu ata ayo maisha ya hamisi hana
@KimbilimaSocial-dy9cl7 ай бұрын
Ungeliweka namba ya sim Tungelikuchangia ununue gas Na kitanda kabisa pmj Na tv na king'amuz
@Issa_negro7 ай бұрын
Mashaallah 🙏🏽 one beautiful life🎉💯
@musason16807 ай бұрын
Haya maishaa wanaishi watu wengi tu tnaotamani kua kama wao lakn n vile hatujui undani wa maisha yao
@jamilaathumani54817 ай бұрын
Diamond platinumz mpe show uyo kaka ,,ikiwezekana achangiwe au apewe show Bado anajitafuta atajipata tu
@LucyKulaya-bj5ow7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@bwakahamisi96077 ай бұрын
Nakushukuru sana endelea kunisapot mdogo wako Hamis Bss ubarikiwe sana
Leo umekutana na chuma cha afrika 😂😂Safi saana khamis wengi wetu tunaanzia huko
@bwakahamisi96077 ай бұрын
Ahsante ndugu yangu Kwa baraka zako
@judnesstemba72527 ай бұрын
Nimependa sana khamis ubarikiwe
@jalinachilala84657 ай бұрын
@@bwakahamisi9607 usijali tuko pamoja
@mariasixmund79647 ай бұрын
Huyu jamaa anajua kushukuru sana Mungu akujalie ufanikiwe
@nuubaby7 ай бұрын
Mtanganzaj alijua anakaa nyumba hyo yenye mlango mzuri😂😂😂🙌
@shagarbycash95497 ай бұрын
Real and gud ...salute bro
@twiseghekisilu88457 ай бұрын
Mi nakuombea Mungu akutoe hapo na ukipata riziki usiache kumshukuru Mungu!nakuombea
@salma_6j9757 ай бұрын
Mtangazaji yupo vizur sana...creativity
@aminathaabubakarmasoud5657 ай бұрын
Ana hekma sana na ukarimu pia, Allah akupe hitaji la moyo wako inshaAllah ❤🙏🙏
@allydugovisima31207 ай бұрын
Inshallah
@mwanakitenge7 ай бұрын
Kitendo tu cha kumiliki funguo ya chumba chako umeshajipata hongera sana mdogo wangu
@MashaSaidy-bs8xb7 ай бұрын
Nimependa comment yako
@gazzatz95647 ай бұрын
Uyu mtangazaji nae.miyeyusho etii wash room...unaleta mambo ya kishua uswahilin😂😂😂
@majigeelieza51807 ай бұрын
Daaaah mwanangu ayoo ndoo maisha pambana
@GiftAbduly7 ай бұрын
Wanaume pia wanadanga😂 daah haya hongera Hamis unapambn sema mdogo mdogo ndio mwendo utatoboa tu
@strong85347 ай бұрын
Fame before success, it's very hard. Usani ni mtihani
@AfricaQueen7 ай бұрын
Kwa kweli Hamisi wewe ni mtu wa ukweli mungu atakusimamia ndugu yangu zidi kusali nasi tunakuombea utakuja kuishi pazuri hayo ni maisha ya kupita usiwache kuomba mungu🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@bwakahamisi96077 ай бұрын
Ahsante sana
@achalamila7 ай бұрын
Mtu safi kabisa huyu , vizuri sana. Lakini kuonyesha unacho au huna vyote ni makosa.
@Issa_negro7 ай бұрын
Mashaallah 🙏🏽 one beautiful life🎉 💯 Kaka mshukuru mungu kwa hayo maisha uliyo nayo kwani wengine tunatamani sana ila tunaishia kuishi kwa wazazi. Sio kwamba hatuwezi kupanga ila HALI SIO HALI😢
@abdibilali41867 ай бұрын
Kweli
@dayana5513story7 ай бұрын
Wow nimependa alivyo sema code inaisha Mungu akufanyie wepesi
@aminamohammed-rq7ew6 ай бұрын
Ila nyie nimempenda huyu kaka anaishi kwenye uhalisia yaan nafurahia sana kuona maanii anaishi kiuhalisia 😊keep going bro
Ukweli ni kwamba huy hafeck maisha yupo really….Masha Allah Allah akusimamie
@HarunaJuma-cg9ie7 ай бұрын
Big up hamisi, Allah akufanyie wepesi
@user-wv9zr2zm2h7 ай бұрын
Sawa mi sijaona baya... maisha yetu n aya aya..lkn dogo usafi n muimu...upangilie room yako vzr.. mbona fresh sana
@BenMugaka6 ай бұрын
The guy is so honest with his life
@paschalEmanuel0963 ай бұрын
Kaka Nakubali, Mwanzo mgumu ila naimani mda unakuja Utabarikiwa Sana 🙏
@alhajiFashions75634 ай бұрын
Juzi kati December nimekua mitaa hio daaaaah sema wewe ni Fighter brother!!!
@Chembika7 ай бұрын
Huyu dogo mkweli sana wekeni utaratibu hata wakuchangiwa asaidiwe ila huyu ndio kielelezo cha wasanii wengi unadhifu unawafichia mengi ila hawana maisha
@nyembomajid12627 ай бұрын
mi sikubali sio kweli hiyo kiki
@aminamwivita76907 ай бұрын
congratulations keep it up good job 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@rehemamsengo28055 ай бұрын
Aliweza atq kuomba ghetto Kwa washkaji wake ila kaonesha ualisia wake Allah akujaalie hamis ❤❤
@hamischilinga67067 ай бұрын
Ujue hayo ni mambo ya muda sio mpaka unataka kubadili dini kwa sababu ya mwanamke
@aminakawawa58007 ай бұрын
Pole mdogo next time tafuta mzungu mkubwa sio hicho kitoto hanakuwa account zao hazina pesa ya kutosha wajerumani wabaili mno
@raymondclaud60267 ай бұрын
Kabisa ila sio wabahili Sema wana nidhamu ya kutumia pesa😅
@user-iq3qs2fl3c7 ай бұрын
😅😅😅 nyie wajerumani waacheni😂😂🙌🙌
@nsmilles_tz26017 ай бұрын
Hamis kama kweli ayo ni maisha yako mwenyezi mungu akupe nguvu zaidi ya kupambania maisha ila kama unaigiza bro unawakosea sana watu wanaotizama video hii bss madam alikuwa anakukubali sana sizan kama anaweza akakuacha kwenye life kunamana gani ya kuingia bss na level Ile uliyokuwa umefikia so inamana aijakupa michongo duh!?
@user-nn3is3hr8u7 ай бұрын
huyu kijana alisema yuko tayari kuwacha dini yake ya usilamu kwa ajili ya huyu mzungu mwitu, hahahahaaa. sasa imekuwaje?
@nmasare93647 ай бұрын
Hayo ndo maisha ya vijana wengi hapa dar nashangaa sana mnavyoshangaa alaf wasanii kibao sana wanaish hayo maisha sema tu wakiambiwaga interview wanatafuta nyumba wanampooza kidogo mwenye nyumba wanaiweka vtu vyao viwili vitatu wanakuja kufanyiwa interview ni kama vile tu waigizaji wanavyoazimaga nyumba za kushootia hata interview nyingi za wasanii nyumba wanaomba
@user-nn3is3hr8u7 ай бұрын
hahahahahahaaa
@dottomsuya65977 ай бұрын
Afanye kazi bhana
@NaseebMgono-wl3bu7 ай бұрын
Mi naona kma anatembelea upepo hata kma kma unafanya kaz kijana mpambanaji ushindwi vitu vidogovidogo kama gas na kadhalika huyu toka yupo bss ni mtu anaependa kuonewa huruma sana
@user-nn3is3hr8u7 ай бұрын
true
@hassanamtunzitv23687 ай бұрын
Da! Imeniuma anavyoishi. Ila nampongeza kwa kutofeki maisha. Japo anahitaji kusaidiwa si kupatiwa ela bali apate kibarua sehemu ili akajitafutie maisha yenye unafuu.
@user-vf6on5dk4t7 ай бұрын
Hamisi nimkweri hamisi mungu anakuona ipo ridhiki yako Walausikate tamaaa mungu anaona
@maxlattinokiki81057 ай бұрын
Mzungu aliyachoka hayo maisha!! Na alicho kiona kwa Hamisi hana muelkeo mwengine Badala ya mziki na kagunduwa kuwa mziki kwa bongo ni mgumu!!lakini pambana na uwache kufuru aliongea vitu vingi vya ovyo
@bakaromar81357 ай бұрын
Kweli umesema kweli huyu dogo alikuwa amesha anza kufuru fla sana alikuwa amesha anza ushetan
@user-rn5ov9lr4v7 ай бұрын
Eeeh jamn mzung ajakuachia chocht duuh mungu kweli tumuache tu alikuwa anatk kubadrsha din
@asnatabdallah7 ай бұрын
Dah inasikitisha sana jamani msaidieni uyu kija sio kuojiwa tu dada zamaradi msaidie uyu kijana walau kwa kazi iweze kumpatia kipato jamani mimi namfatilia sana salehe na nina mpenda sana na mara ya mwisho nilikuatana nae pale kwa Jessica salon magomeni please naombeni mumsaiidie jamani uyu kijana naangaliaga watu wengi anaowatembelea salehe lakini uyu kanigusa sana
@dottomsuya65977 ай бұрын
Apige kazi aaache Uboya hapoa anazingua sanaa
@ValessKenny7 ай бұрын
We kumaunann unamkejer kijana mwenzio
@jumakhamis2264 ай бұрын
😂😂😂😂Amisi bhnaaa
@KimbilimaSocial-dy9cl7 ай бұрын
Nakuona upo na KILOBA CHA BASMART RICE ni mchele bomba kinomaa
@user-ud3jt6hx5y7 ай бұрын
Daah hamisi we ni wakipekee sana pamba mdogo angu ukija iringa nione
@bwakahamisi96077 ай бұрын
Sawa kaka
@furahaseth12157 ай бұрын
Umenimeki Happy,kwamba Ukiona Wingu fasta Home daaa!
@raheemkhalfani72097 ай бұрын
unajua kitu,, Khamis upo true sana,, halafu pambana sana mungu atafungua milango,, . .
@boazkingdaffer53307 ай бұрын
Asee akijalibu kufake life atateseka pongezi kwake mana anaishi maisha yake halisi
@bdreams27937 ай бұрын
Kaka u still young and u got talent please tzt people u Cnt not support this young guy bss mnafanya nn
@MahraMansoor59696 ай бұрын
Nampenda hamis from uk 🇬🇧 anaitaji msaada
@mikamwamba35547 ай бұрын
Mungu amuongezee kijana uyu
@bobboris48597 ай бұрын
Ulisema hadi dini utabadlisha kisa mzungu sai unaona mambo yanavyobdlkaga ,shtuka mdogo wangu
@PrinceBonnyTz87 ай бұрын
Huyu jamaa na Dotto magari WANAISHI maisha ya Ukweli
@zainabzwena31567 ай бұрын
Hakika
@aaa64sa137 ай бұрын
😂😂😂 mitihani
@farijalanyoni56857 ай бұрын
Dotto ni Fake, huyu chalii ni real Dude
@PrinceBonnyTz87 ай бұрын
@@farijalanyoni5685 Ahsee Doto nae LYFE yake sio poa 🤣
@user-ne5pw7pp9g7 ай бұрын
Pole njoo ZANZIBAR Wapo kibao huku
@furahaseth12157 ай бұрын
I LOVE THAT HAKUNA MTU ANAEPENDA MAISHA MAGUMU NI MAISHA TUU!
@mulhatkahamiss7 ай бұрын
Nimecheka kwakweli et pensi yangu😂😂 Allah akubari🙏 inshallah
@user-yo7sj8fs4h7 ай бұрын
Ndio mwanzo. Mungu atakuinua. Hata mimi nilianza na godoro kukuu ambalo nilipewa na kaka angu. Kaza utafanikiwa.
@Its_Goodluck7 ай бұрын
wazungu kuishi nao kwa akili na kama akuwezeshi kufikia malengo achana naye
@Bombom-ze1sj7 ай бұрын
Inshaalah Soon You will win this Gme 💥💥💥 Ongera Sana ….
@Mahirwazanzibar7 ай бұрын
Mwazo alikua ni mshamb wa wazung ila now nahis itakua kajifunz kajifunza, ila kit zur t ansem ukwel.
@user-qv8qo3ff3q7 ай бұрын
Watu wengi wanaamini ukiwa na mzungu ndo unatoboa, lakini sio kweli, me nilikuwa na mzungu lakin aliondoka kama umeme bila taarifa so wabongo tusiamini kwenye kusaidiwa na mzungu ni wapumbavu sana ngozi nyeupe
@MultiKenyana7 ай бұрын
Humble guy and realest I’ve ever seen ✊🏽✊🏽
@baloz89747 ай бұрын
Most of the hamisi names are humbles
@nahlahassan-fd6le7 ай бұрын
Eti mzungu hajanipa hela😂😂😂 pambana kaka fungu lako lipo tu mazal upo duniani riski yako hukosi
@Juke9957 ай бұрын
Kamchango kapite jaman ako very humble ashike hata 20 kasema hajaishika muda
@omarysaid87257 ай бұрын
Wazungu ni watu wa kujiachia sana na ni wa janja wakija nchi kama zetu za Africa huwa wanatafutaga marafiki hata kuwafanya wawe wapenzi wao ili tu waweze kujua na kufahamu zaidi tamaduni na kuto sumbuliwa katika vibali na katika harakati zao
@nahlahassan-fd6le7 ай бұрын
Kabisa Yan💯💯
@sugashTv7 ай бұрын
Huyu jamaa nimependa sana. Tumchangie isee...
@azizayassin36237 ай бұрын
Hyu ni mimi kabsa 😂😂😂😂 yni kama sna naomba adi watu wnashanga safi tu
@MskMtm7 ай бұрын
Swaleh kila kitu anauliza 😂😂😂😂 et ule mfuko wanini had nimetamani kujua maisha yake so kwa maswali hayo😂😂😂
@user-rf6ie5fx9o7 ай бұрын
😂😂😂 hadi feni anauliza km zinafanya kazi
@fridaminja71915 ай бұрын
Daa!😭😭😭😭😭mbona namba haipo nikuchangie hata kidogoooo. Muwe mnaweka namba jaman daah! Nimeumia sana
@user-jy8hi7lf4m4 ай бұрын
Aisee kweli mana ukisema kwako kunaungua kwa mwenzio kunawaka moto jmn maisha haya