Рет қаралды 29
Kuelekea Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania
Tunakuletea matukio ya Kihistoria ya kabla ya Uhuru na baada ya Uhuru.
Leo, tunakuletea Ziara ya Indira Gandhi Mama wa Taifa la India alipowasili Tanzania Mwaka 1976. Ziara hii, ilitikisa Afrika.
Tazama 👆🏿👆🏿👆🏿
Urithi wa Ukombozi Fahari ya Afrika